AHMED ALLY Afunguka CHAMA, KIBU/TUTAWATOA SANDAKALAWE/Kama HATUMTAKI mchezaji Yeyote

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 май 2024
  • Afisa Habari wa klabu ya Simba Ahmed Ally amefunguka kuhusu tetesi za Wachezaji Kibu Denis na Chama kutaka kuondoka klabuni hapo. Kwa mujibu wa Ahmed amesema kuwa mchezaji yeyote kama simba haimtaki itamuacha lakini kama wanamtaka atabaki SIMBA
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
    #KibuDenis #Chama #Simba

Комментарии • 19

  • @StephenPauloPaulo
    @StephenPauloPaulo 21 день назад +2

    Ongea point ,hiyo mikono inachoma mwandishi wa habar

  • @IsackJamesmabara
    @IsackJamesmabara 21 день назад

    Mungu hachez

  • @pastormwanjatv1000
    @pastormwanjatv1000 21 день назад

    Aachwe kocha mgunda tumeteseka sana na makocha wa kigeni hivi karibu

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 21 день назад

    TUNATAKA VIONGOZI WANAOJUA MPIRA ,MANGUNGU NA TRAY AGEN siyo watu wa mpira ,wale ni wanasiasa 😢😢😢

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 21 день назад

    Wala hatuna ubaridi wowote ukae ukikua hilo

  • @kwangahudispensary7238
    @kwangahudispensary7238 21 день назад

    Edwin bukayo baluwa saka

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z 21 день назад

    Et saiv amekuwa mkali kwa kipi sasa😂😂😂 hahah kwl wakali wa kutukana viongoz hapo sawa😂

  • @HassaniNdundu
    @HassaniNdundu 21 день назад +1

    🎉

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 21 день назад

    😂😂😂zungusha camera tuone ayo makombe yamejangwapangwaje na kwann usikae kwa office ako unakaa office ya makombe

  • @Suleimanalysoud
    @Suleimanalysoud 21 час назад

    Makom be ya mchongo hayo

  • @emmanuelshashanija-ge3eq
    @emmanuelshashanija-ge3eq 21 день назад

    Acha uongo wa wazi tumeshakuzoea

  • @JumaJuma-nn6fv
    @JumaJuma-nn6fv 21 день назад

    Unauhakika kweli hao chama nakibu hawandoki?

  • @sospeterchallo3005
    @sospeterchallo3005 21 день назад

    Edwin Barua ndiye mbadala sahihi wa Chama

  • @aunyisameena374
    @aunyisameena374 21 день назад

    Uzembe na ufinyu wa maarifa ya mpira kwa viongozi wa Simba unatusababisha Simba kutoshiriki mechi za Kimataifa mwaka kesho. Ni wazi Simba haina uwezo wa kumtoa Azam kwenye nafasi ya pili. Sasa hawa viongozi huwa wanajifikiria?

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 21 день назад

    Msimu mmoja makocha kibao hilo lirekebishwe