AHMED ALLY Afunguka CHAMA, KIBU/TUTAWATOA SANDAKALAWE/Kama HATUMTAKI mchezaji Yeyote
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- Afisa Habari wa klabu ya Simba Ahmed Ally amefunguka kuhusu tetesi za Wachezaji Kibu Denis na Chama kutaka kuondoka klabuni hapo. Kwa mujibu wa Ahmed amesema kuwa mchezaji yeyote kama simba haimtaki itamuacha lakini kama wanamtaka atabaki SIMBA
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe RUclips channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#KibuDenis #Chama #Simba
Ongea point ,hiyo mikono inachoma mwandishi wa habar
Mungu hachez
Aachwe kocha mgunda tumeteseka sana na makocha wa kigeni hivi karibu
TUNATAKA VIONGOZI WANAOJUA MPIRA ,MANGUNGU NA TRAY AGEN siyo watu wa mpira ,wale ni wanasiasa 😢😢😢
Wala hatuna ubaridi wowote ukae ukikua hilo
Edwin bukayo baluwa saka
Et saiv amekuwa mkali kwa kipi sasa😂😂😂 hahah kwl wakali wa kutukana viongoz hapo sawa😂
🎉
😂😂😂zungusha camera tuone ayo makombe yamejangwapangwaje na kwann usikae kwa office ako unakaa office ya makombe
Makom be ya mchongo hayo
Acha uongo wa wazi tumeshakuzoea
Unauhakika kweli hao chama nakibu hawandoki?
Edwin Barua ndiye mbadala sahihi wa Chama
Uzembe na ufinyu wa maarifa ya mpira kwa viongozi wa Simba unatusababisha Simba kutoshiriki mechi za Kimataifa mwaka kesho. Ni wazi Simba haina uwezo wa kumtoa Azam kwenye nafasi ya pili. Sasa hawa viongozi huwa wanajifikiria?
Msimu mmoja makocha kibao hilo lirekebishwe