UTACHEKA VITUKO VYA AHMED ALLY WA MCHONGO AFUNGUKA UKARIBU WAKE NA SEMAJI/YANGA NA SIMBA NI BALAA..
HTML-код
- Опубликовано: 16 май 2024
- JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz/en/auth/signup?ut...
NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA TOYOTA HARRIER NA NISSAN X-TRAIL
TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE RUclips CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
INSTAGRAM @pmtvtz
TWITTER @Pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv
kama unaona wanafanana hadi ndevu gonga like hapa
Dada hongera Kazi YAKO mzuri tushakutana TANGA ngao ya jamii
Hongera sana kijanga kwa kipaji ambacho Mungu amekupa unatisha mwanangu uko kama semaji la cafu . Simba nguvu mojaaaaaa ❤❤🎉🎉
Acha usenge semaji la cafu upumbavu
Huyu Mtangazaji kwambaaaali ana ujeni Kishai wa Mpenja Tv... Hongera sana kwako dada ushajipata Sasa kaza zaid
SAFI SANA UMEJUWA NANI WA KUMUIGIZA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Big up Babu twende kazi mzee kaza Buti na Ahmed ally simba sports.
One love from Geita Tanzania
Kwanza mm naipenda Simba,pili nampenda semaji la Simba na Kila anaemigiza semaji Ahmed,mungu atusimamie na Simba yetu,tutakufa nayo
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
Yupo vizuri kuigiza👏👏👏
Ama anafanana na Semaji wetu wa simba yetu safi sana❤❤❤❤
One love My blood piga Kaz kaka💪🤝🙏
Anamwezea vibaya mnooo😂😂😂😂
Jamaa anajua hongera zke
Naomba uwe shabiki wa simba
Nice Nice... Burudani popote🔥🙌🏿
Unajuwa sana na mtu unayemwiga na mtu wa maana sana
Tenge Tengele, kuigiza uchizi we kweli Genious.
daaa kaka unaweza sana napenda sana♥️❤️❤️❤️❤️❤️💐
😂😂😂kindege siooo
Mashaallah anajua sana
Mimi nampenda sana sana huyu jamaa sijui kwakua mimi n simba au😂😂😂😂
Mimi ni yanga lakin nampend❤❤
Mimi coast union lakin namkbal
Mpe tobo
Unampenda Kwa kuwa ww ni shoger
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉😂😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉😂😂🎉😂🎉😂🎉😂🎉🎉🎉
😂😂😂Hadi sura wanataka kufanana
Uko vizur sana ndugu yangu
Uko vizuri sana mdau
Aisee umetisha.
Hongera sana kaka.
All in all kijana yupo vizr lkn ushaur wangu kw tathnia aliopo lazima afatiliane mpira ndio atashine zaid
Pamoja sana kaka
Jamaa anaweka sauti ya Ahmed Ally na sio anaiga sauti
Semaji la CAF na FIFA part 2
Hongera sana
Kazi nzur
Yani huyu jamaa na watu wake wa garage ni kama alivyo miso misondo😂😂😂
Jamaa kamuweza kweli Ahamed Ally🤣🤣🤣🤣
Upo vizuri ndugu
Kaka uko fresh San jap0 mimi ni yanga
The best ever
Sijui Hadi sasa bila Ahmed Ally tungekuwa wapiii, semaji linaloshusha stress zetu wanaSimbaaa
Semaji la CAF
Uyo ni amed aliy ni wa mchongo tu 🎉🎉🎉🎉😮😮😮
Afu sauti ingine unayoweza kuiga ni hayati Kanumba....yaan hyo hata hutaitengezaaa😅😅😅
Hongera sana kijana unamuiga mtu maarufu sana
Herieli we jamaa unajua sanaa tembea na hilo hilo gep piga maokoto fanya mambo chap
😂😂😂😂😂😂ila mbona anampatia kabisa semeji letu kongore ahmed
Yupo good
KICHWA TENGE KUMUIGA inahitaji moyo.
Mm nampenda kwa kuwa n yanga
Mara alikamwe mshamba,mara anaongea huku amshike mdada bega...anaongea sana but ana kipaji ila bado ajielewi
Hongera sana kaka, ubunifu mkubwa sana
Kuwa shabiki wa cmba bhana kwa sababu ndio iliyokutoa haya ni mapito tu kaka usiogope kuwa cmba mbona ni timu nzur xana
Hongera yako mwaya sio wa mchongo mwenyewe huyu
Mwamb Anajuwa Kukopy Kwa Kweli Hata Mim Nqmkubalii
Ahmed amejaliwa kipaji Sana hata ukinuna utacheka ana haki ya kuigwa namkubali .
Kiufupi jamaa sauti anaingiza ya muhusika halafu unamkandia ally kamwe
Mimi ni mwananchi ila dogo yupo vzr
Ukiweka cm hapa weka kindege😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mashaalah mkaka mzuri jaman ila hajamzidi mchaga wangu😛😛😛😛mume wangu natania ila kumbe nayy ni mangi mwenzio wachaga oyeeeee😂
Jamaa machinooo Sana Sasa ati hata Ahmed hajui Yuko team gan kiburi tu
Hapa naungana na ww kaka
Ndugu hicho kipaji kitumie vema kupigia pesa!
Alikamwe anajua mpila kasoma mpila ndyo mana usimzalau ammed ajasoma Sasa unamkosoa je
Simba day lazima utakuepo itafana sana
😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda weee kaka
Mwamba yuko vizuri
Dogo alivyomdiss Ally kamwe kazingua!!!
❤❤❤❤❤❤❤❤
Anajua jaamaa
Talent 🎉
Dah!!! Mpaka nachanganyikiwa😂😂😂
Lkn mbona sauti ni ileile ya Ahmed Ally!?😳😳jamani watu Wana vipaji,ni Semaji mtupu kabsaaa,ad mwonekano kdg anafanana👏👏😄😄
Editing
Mmefanana sana
Mungu anajua aisee huyu jamaa ni shida
😂😂 unaweza
Dogo unaweza Sanaa 😅😅😅😅😅hongera
Haaaa nimecheka sana aise chukua maua yako 🎉🎉
👏👏👏👏👏
Hahaha nakubal sana
Anafana lakini tuseme ukweli
Vibayaaa mnooo 😂😂😂
Huyu anaingiza sauti ya ahmedy ally ila yeye anaiga vitendo t
Huyu Bwana ni mbulula tu, hafuatilii mpira lkn sauti za wasemaji wote anawajua
Kawaida ukifanya kitu kizur daima watu watakuiga tu
Km huna tim kalale make inakuwaje unatuzungumuzia ss wana SIMBA 😊
Atuthibitishie kama kweli hafuatilili mpira😊😅
Kaina umependeza cn
Comedian
Inshot mwamba ana kitu ataendelea kufk mbali
sasa chaajabu siyo sauti ata sura wanafanana kinoma
Pia kafanana nae sana
Huyu jamaa🤣🤣🤣 mshenzi kabisa
Ana kipaji ila Hajielewi
Unakipaji kikubwa sana
Hakika kaka ile ni mashine.
Kaka wewe umeramba damu ahsante
Mtangazaji jifunze kiswahili siyo anafanyaga Sema huwa anafanya duu
Izi nazo bangi 2 polic mpo wapi kamata sukuma ndani kipindi cha mavuno iki watu wakavune🙄
Apigi Baki voko kwl
Yaani mimi hata uongelee vyaujinga kama nivyasimba me nafurahii tuuuu
Acha ubabaifu tobo lako hilo ongea fresh
Kama VIP msajilini naye
😂😂 WEWE NI YANGA
Lakini yeye simba mwenzetu?
Hajui kuhusu mpira