Magari siyo fahari ila toys tu! Akina Sadio Mane ndio wenye hela maana wanasaidia maendeleo na siyo kupanga Mbezi na kuendesha magari ghali! Waafrika tuna shida! Heri Samata amejenga msikiti badala ya magari ghali!
Aziz tuliwaambia mimsajili toka alivyokuja na asec , nyinyi mkamuona hafai mkaenda kumleta SAWADOGO, Na adebayo pia mliishia kuchekacheka nae na kupiga naw picha tuu
Huyu jamaa nimuongo sisi Simba swala la azizi ki hatuwezi.hapa ndipo tunapoanza kudanganywa hili jamaa niliongo Sana Yani yanga wamuachie Aziz ki huu niuongo mwakani tukicheza tutateseka Kama hivi.huyu hafai kuwa msemaji wa Simba haongei Mambo yamaana.eti magari magari yawachezaji yanatusaidia Nini wakati nafasi yapili tunagombania Hadi tunaitwa tatu.katika wasemaji huyu kavamia kazi zawatu ana point yoyote.amuige Ally kamwe
Aisee huy msemaji wanasimba mmepigwa kabs yaan hakuna point hata Moja ambay ameongea Ikaw ya ni point kubwa iv ukiongea tu kisoka kibu Denis iv anampira gan mkubwa au kweny tm ya yang atapat namb gan ya kucheza
Yani badala yakuongea Mambo yamaana unaanza kuongelea magari ya kina kibu😅😅😅yanasaidia Nini Wana Simba huna poit yoyote yanga wanatanya vitendo acha kudanganya watu chawa mkubwa we wendio unapotosha watu
Uko vizuri msemaji
Semaji kuu Tz . Halina papalaaa
Umetajaj daselama kam bib yang wew unajuw kuwaker ❤❤❤❤❤
Hongera Ahmed Aly
Huna Akili kama yeye.. Huoni anaongea upuuzi
Kwa kuongea upooo sawa kaka mkubwa ila natumaini msimu ujao balaa
Msemaji kz yake kusema ila haja kosea ametimiza wajibu wake.
Acha kudanganya watu ww mtazitoa wap hela za kumsajil azz k?? Au fei toto??
Love
Ndio ivo ndg yangu msemaji 🔊🔊 wetu upo sawaaaa
Yupo sawa ipii mbona nyie mnapenda kudanganywaa na huyu mpotoshaji
Uko vizuri hahaha
...mmh sisi atuongelei magali tuongelea mpila
Magari siyo fahari ila toys tu! Akina Sadio Mane ndio wenye hela maana wanasaidia maendeleo na siyo kupanga Mbezi na kuendesha magari ghali! Waafrika tuna shida! Heri Samata amejenga msikiti badala ya magari ghali!
Huo ni utapeli tu mnalipwa pesa nzuri hafu hamna mnachokifanya hata wew sikuelewi kabisaaaa Tambo nyingi mwishoe azam ndo kashaenda hivo
Maneno mengiii wanasimba tunataka vitendo bhana
Hivi jamani mwanaume unaanzaje kuongea kama shogaaaa huyu jamaa anatuletea sauti zile anapoliwa analia ndo anatuletea hapa😂😂😂😂😂
Huyu ndo anaewapoteza simba wameingia kwenye siasa badala ya kucheza mpira😂😂😂😂
Nyie.pigeni.kerere.lakini.iposiku.tutapata.viongozi.wanaojuwa.wanasimba.tunaumiakiasigani.
Mwamba anajua hadi anakera safi sana kipaj pasipo kutumia nguvu ya uongeaj.
Semaji mahili sana🎉🎉🎉
Sijui kwa nini akili zako hazina akili
nakubar sana Hamed Aly
Bro we nimchekeshaji
Zman nilikuwa namkunbal kwasas hamna anasapoti ujinga nisawa nanyumba ya nyasi inaungua bado unajipa moyo moto utazima kwel hapo ndo anatuchosha kuongea anajua shinda ukwel nautendaj wake haujulii vizur sana
Semaj la cuf sema baba tupo pamoja na weye
Nilikuw na mawaz yangu nikawek band nikakutan na hii jaman daah wew unafaa kuw comedy
Jamaa anaongelea simba na yanga
Ahmedi Aliy hujuwi kuongea kuhusu mpira ongea vitu tukuelewe
Wejamaa noma sana da nimecheka mpaka basi
Lakini shemeji wetu unatupa rahaa❤❤❤😁😁😁😁👍👍
Nguvu moja 🦁💪
Huyu msemaji wa Simba maneno yake ndio yanayoichochea yanga kufanya usjiri Bora zaid na yanga itachukua back to back miaka 10 kombe la ligi
inawauma kumbe tulieni mtaona kumbukeni kwa haruna
Aziz tuliwaambia mimsajili toka alivyokuja na asec , nyinyi mkamuona hafai mkaenda kumleta SAWADOGO, Na adebayo pia mliishia kuchekacheka nae na kupiga naw picha tuu
Huyu chawa
Sisi tunataka ushid maisha yao hayatuhusu
Huyu jamaa nimuongo sisi Simba swala la azizi ki hatuwezi.hapa ndipo tunapoanza kudanganywa hili jamaa niliongo Sana Yani yanga wamuachie Aziz ki huu niuongo mwakani tukicheza tutateseka Kama hivi.huyu hafai kuwa msemaji wa Simba haongei Mambo yamaana.eti magari magari yawachezaji yanatusaidia Nini wakati nafasi yapili tunagombania Hadi tunaitwa tatu.katika wasemaji huyu kavamia kazi zawatu ana point yoyote.amuige Ally kamwe
Unyama unyamani waambie
Ww upewe tu ❤
Simba nguvu moja
Wao ndio wamekwenda kuishusha mtibwa yetu
Atapata Aibu siku Moja isiyo kuwa na jina ndani ya huu mwezi atajuuta sana mpuyangaji huyu
Kweli hayo Mambo
Mashabiki wa kweli ndio tunaopambania timu yetu na tunamuelewa jamaa ila Mashabiki muemko wafuata upepo ,
kabisa
Kiukwer simbo tushakula mikosi lisenge hili limebaki lichekeshaji tu so msemaji mwenye uchungu na tim yake
We fala kweli wauze jengo kwa ajili ya kibu ananini hasa
Endelea kuwapa donzi semaji❤🎉😅
Huyujama.anatufanya.tumerara.
Wamsaji wampe namba ya nani?
Unampenda azizi ki
Aisee huy msemaji wanasimba mmepigwa kabs yaan hakuna point hata Moja ambay ameongea Ikaw ya ni point kubwa iv ukiongea tu kisoka kibu Denis iv anampira gan mkubwa au kweny tm ya yang atapat namb gan ya kucheza
WANASIMBA KAZI MNAYO MSEMAJI KAMA MLIPA KAZI YA KUTANGAZA MAGARI YA WACHEZAJI HILO NALO NI JAMBO
Yani badala yakuongea Mambo yamaana unaanza kuongelea magari ya kina kibu😅😅😅yanasaidia Nini Wana Simba huna poit yoyote yanga wanatanya vitendo acha kudanganya watu chawa mkubwa we wendio unapotosha watu
Azz aende kwenye tatumzuka kweli Hamed we mweu
Acha kutudanganya sisi sio watoto hatuna huwezi kununua azzk
Mbona kama wana yanga mnatokwa na imani jamni niwkati wa kukosa wakati wa kupata wajaaa
😂😂😂😂 semaji unawakera upande wa pili😂😂😂😂😂
Huyu MSEMAJI K8CHWA MAJI KABISA.. NAAMINI HATA YEYE ANAJUA HANA AKILI...
Wewe ahamedi acha uongo na maneno yasio na maana
1:45
Wanini hawoo,,, hatuwataki simba hawoo.. hawana chapa ya simba, wabakie na timu yao hiyo hiyo,,au watafute timu zinazowafaa
3:08
Huyu kaka kiboko hahahaha 😅😅😅
Ww ni mbuzi ko wanaoongea kifaransa wanapitiana kwenye vitz???
Ww ni kolo achana Simba ya wenyewe wanaohimili mazuri na mabaya
Mutaendelea kumuota mr mafunguo mpaka maji ya matakoni yatawatoka sio kwa azizi kee wetu tena sahau usiwadanganye wapuuz wenzako😊😊😊😅😊
Una nuksi unaitia nuksi simba hujui kuongea bora manara
Yani wenzake waliokaa nao hapo pia wanamcheka jmny duh huyu mwamba simba mmepotea
Amhed ally achaga sifa Za kipumbavu
Mtajilaumu.wenyewe.viongozi.sio.na.wachezaji.sio.mnadanganya
Sisi tunaweka picha ya chama na sio kipu
Akuna mtu huyo chizi wa kupimwa hakili kabisa amkeni makolo
Tand
Hapo madunduka mmefurahiii kuporojeka na ujinga wa semaji lenu msusi wa wa mke wa mo
aibu mtapata ninyi siyo semaji letu
Kubwa jinga hili jamaa maneno mengi vitendo tz fara sana🎉🎉
Hahaaaaa
Uongo mwingi. Simwamini huyu jamaa. Huwa anatuangusha sana.
Mshindi wa 3 huyoooo,,,,,-!!
Wewe muongo sana
Hilo cheko😂😂😂😂😂ila kwa Aziz ki mkuu unatupiga
Nimechekaaaa daslamaaaaaaa dah semaj
Benk..ipi !!.bank zote zinawalinzi labda mkavunje kikoba huko mbagala unakoishi
Mawazo ya kimaskini..kumiliki gari ndio mtu anakuwa tajiri! Upuuzi mtupu! 2:08
Huyu kweli anavuta bangi
Binge la semaji.
Wewe MBN hauna gari la kifahari acha UJINGA WEWE😅😅😅
Msemaji mwenye GUNDUUUU
Ongea ukweli acha kutoa ulimi kama mmakonde alyeona nyama ya mtoto marehemu
Hivi mashabiki wa Simba ndiyo mnayoyataka hayo??
Kwisha habari yake kaanza kujamba jamba,sera kwishaaaaaa......mashine yakuongea
Twamtaka fei toto aje simba
Hapo Simba hakuna wachezaji hawana hadhi ya kucheza timu kubwa kama ya simba
kwa nn usem ivy bro
Muongo uyujamaaaa😂😂😂
Usibane pua tunataka ubingwa
Ili bwege kweli afu limbukeni wa magari hamna Akili humu
Hiv kweki ahmed unaweza fikiria yanga inaweza mchukia kibu impeleke wapi
Ndo ulicho bakiza we bwabwa kweli kamwe atabaki kuwa mkuu wako uwe unaenda kuomba ushauri unatuboa
ah msemaji uko vizur yaan unajitekenya af unacheka mwenyewe haaa
Semaji la Africa
Sasa leteni story mala sijui nn Kisha mtuletee wapiga manyanga
Huna akili wewe,Kibu Yanga hana number,msimu unaisha na goli moja,Kii mlishindwa mkiwa wa moto leo mmefilisika mtaeza..? Achaga uongo Ahmed