DAVID PASCAL SIMBA WAMALIZANA NA KIUNGO MSHAMBULIAJI HATARI KUTOKA UGANDA HAPA SIMBA WAMELAMBA DUME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

Комментарии • 32

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 14 дней назад +2

    Jamaa yangu leo unachemka sana kwani hao wachezaji mbona wamedondosha point kibao tu

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 14 дней назад +3

    Kuberi na shisha mbaya brother.
    Kwa hiyo Azam wanauwezo wa kupiga mpira makusudi ugonge mwamba. Katika Ile mechi Azam wamegonga mwamba mara tatu ikiwemo penati ya Fei. Mimi naamini Azam walikomaa ila hawakuwa na bahati.

  • @mlawamangasini3836
    @mlawamangasini3836 14 дней назад +1

    Mpira umeanza lini.kuna siku unaamka vizuri vilevile vibaya

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k 14 дней назад +1

    Unaropoka tu

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 13 дней назад

    Njaaaaaaa
    Njaaaaaaaa
    Na kweli ni friji bovu,
    Hujielewi

  • @godfreymkelemi9663
    @godfreymkelemi9663 14 дней назад +1

    Siku nyingine unakuwa mjinga, siku nyingine unakuwa na point, siku nyingine kama uzezeta. Aisee.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 14 дней назад +1

    UPO SAHIHI SANA VIONGOZI WA SIMBA HAWAJUI USAJILI. WAO NI USAJILI WA MAJINA TUU

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj 14 дней назад +1

    HUYU muong msindo alikwepo

  • @vicentnyanda828
    @vicentnyanda828 13 дней назад

    Kinyago weeeee

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 13 дней назад

    Ebwana Edward Charles Manyama ni mbovu sana 🤣 tena sana sanaaaa akicheza beki ya kati 😂😂😂

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 14 дней назад

    njaa mbaya sana kila mcha mbuzi simba ai juwi aya

  • @SanguyaKeiya
    @SanguyaKeiya 14 дней назад

    Anatafuta kula yake tusimlaumu jamani 😊
    Kazi iendelee hata kama ni wizi endeleza😅

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 14 дней назад +2

    Hivi huyu mwamba mdomoni kaweka nini.?ugolo au kubeli?

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 14 дней назад +3

    Hivii hawa wachambuzi wamesomea wap

  • @user-lb6my9qs5c
    @user-lb6my9qs5c 11 дней назад

    We mbuzi Akaminko wa nini??

  • @195941233
    @195941233 14 дней назад +1

    Wewe msemaji una pepo la uongo

  • @nehemiatv665
    @nehemiatv665 11 дней назад

    Pachael unayo ongea una uhakika nayo?

  • @user-qv8jb5tj9l
    @user-qv8jb5tj9l 14 дней назад +1

    Huyu mchambuz wa mchongo kasomea kweli principle za mpira au anatafuta umaarufu kuikashif simba wawakague ilimu zao jamani mana kilamtu mchambuzi wa mpira wanageuza kama ngonjera

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 14 дней назад

    Safi sana

  • @amanifadhi
    @amanifadhi 14 дней назад

    Leo umenifraisha sana

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 14 дней назад

    Mchambuzi Daah!!

  • @israelnibigira4990
    @israelnibigira4990 14 дней назад

    Huyu katumwa sio bure,mashabiki wa Simba tumsamehe kabisa hajui anachokiongea

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 14 дней назад +1

    Basi sajili ww na matako yako

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 14 дней назад

    WEWE MWONGO SANA PENATI WENGI WANAKOSA KM AKOSA AKINA SALAR NA RONALDO NA WENGINE WENGI WANAKOSA ACHENI UONGO

  • @SuleimanRangijrRangi
    @SuleimanRangijrRangi 9 дней назад

    HUYU KAATHIRIKA NA PUNYETO, AKILI KISODA!!

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 12 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂Simba ni vijakazi wa muhindi Mo .Simba ni timu ya Hhovyoo kabisa yani mashabiki wao wote ni wanafiki na hawaipendi timu yao

  • @benjaminnelson4834
    @benjaminnelson4834 13 дней назад

    Achaa ushabiki sira mpira umegonga mwamba, fei umegonga mwamba unasema ATI Simba kaachiwa mbona uko nyuma kafungwa Simba na mashuja na prision . kwani yanga awajachukua yanga

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 14 дней назад

    huyu ni mchambuz wa hisia na hear says..

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 14 дней назад

    Hahahahaha. Wee Fridge bovu unamaana Azamu ni Mume wa Simba alichomolewa ubavuni? Kama ulishangaa hilo, ktk michezo mitatu iliyobaki Azam atajivunja Simba iongoze na kushiriki Clabu bingwa.

  • @erasmusleonidas6729
    @erasmusleonidas6729 14 дней назад +2

    Huyu ni mbumbu kabisa

  • @PharmacistGoodluckMdugi
    @PharmacistGoodluckMdugi 14 дней назад +1

    Kumbe na wewe jamaa ni boya kabisa

  • @user-nx6he6yn6w
    @user-nx6he6yn6w 6 дней назад

    Mpumbavu wewe unaongea utumbo mtupu