Yaan nyie ndo mnao tuponza mpka watumaji wana susa na kuamua kuuza ktk magroup ya telegram na wasp ...ambacho hamuelew ni nn mkiambiwa muache kuomba likes mara kusema mm wa kwanza cjui wa 60 km mitoto bn heb mjitambue walau kwa sekunde 3. Aaahhhhh 🤬🤬🤬
unamfikiria majizzo nn sasa kwan unadhan hakuambiwa mpaka akamruhus kumuona hap lulu ni mmew amekubali aingie ku act 😂😂 na juz alikuwa zake insta anasapot kaz ya mkew endelea kuwaz ujing
Kweli siri ya baba wa mtoto anayo mama , Matia kiboko,jua kali wanafikisha ujumbe tu nashangaa wanaoonyesha chuki za wazi kwa waigizaji wanasahau hili ni igizo ambalo linaweza kuwa la kufikirika au uhalisia wa maisha ya jamii tunayoishi
Thx Kwa Sapoti
Sawa dj
Limeisha ilo Tajir
@@shakirambugi8142 Mtu Wa Maana Sana
Nkushauri kitu dj, watu watakupenda tuu wala uctumie nguvu, boresha kazi yako kwa kukata vpande vya matangazo, hapo utatukosha zaid
@@Vee_money Mtu Wa Maana Sana
Nimejaribu kuwa like wooote mlionitangulia ila huyu mtoto wa mama maria atakipata anachokitafuta😂😂😂😂
Ila majizo apewe maua yake 😂😂maana sio poa weeeeh
😂😂😂😂😂😂
Jamn Dj apewe maua yake nimeitafuta sana Leo mpaka mchozi😂😂
Alaaaa kimaria kinaboa aa umalaya gani uwo sasa mxuii
Frank nakuonea huruma sana umechachisha mapenzi wakati mwenzio yuko kwa game 😢
😂😂😂atatudi kwenye ili tabia yake
Frenk atakumbuka maneno ya femi kuwa makini na maria
😂😂😂😂😂😂
Wadada wa mjin😂
Kama na wewe umeitafuta kama mimi gonga like
Yaan nyie ndo mnao tuponza mpka watumaji wana susa na kuamua kuuza ktk magroup ya telegram na wasp ...ambacho hamuelew ni nn mkiambiwa muache kuomba likes mara kusema mm wa kwanza cjui wa 60 km mitoto bn heb mjitambue walau kwa sekunde 3. Aaahhhhh 🤬🤬🤬
Maria anaweza Tena anaweza Kila siku anakuabora💫
Anafundisha vile wadada wanaweza kuwa manyangau😂
Wauoooooh namimi leo wa tatu munipe like jameni 🎉🎉🎉
Jamani nawakubali sana King na baba hake I love you.🎉🎉🎉🎉
femi🎉🎉🎉🎉achanana ton Malaya wa kiume nimemisi idi na wake zake nawapenda sana maria na Anita mmeweza
Femi anampenda luke ila mama yake hamtaki nahilo balaa alilolifanya ndokabisaaa
Nampenda Femi anamsimamo
🎉🎉🎉 upate mwanaume kama tomas rahaaaa
Me mkenya napambana huku nipate hela niende zangu nkamtafute Frank,nampenda uyo mkaka jamani,niliskia anadrive left hand nikaogopa😅😅😅Muarabu huyo🙌🥰🥰
Wacha umbwakini mburukenge unatuaibisha😂
Haha..madam simba eti anataka akaokoke 😅😅😅madam simba we nikiboko hasa
Mbona nahisi km atampata Maria😂😂😂
@@m.mmarckus6298 kumpata vipi yani
Mnazingua bhana
Afu nampenda sanaaaa Maria I'm from Rwanda 🇷🇼
Hapo kwa maria na frank walivyo kumbatiana asee daah usingo utaniua 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂weeeeee
😂😂😂😂😂 kwahyo umekula kwa macho 😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂
@@olicej7837 acha yani duuh nimeumia kweli 😀😀
Me nshaanza kuichukia jua kali maana kila kitu maria tu kupendwa ni maria tu yeye hajawai kupenda ata mmoja
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Unataka upedwa wewe
Nimecheka 🤣🤣🤣🤣🤣
Viviani nakupenda bure unafurahisha ofisini
Hii ni ya Jana usiku lakin
Frank ni mzuri jaman I love you
Kwani Hiyo Mimba Ya Maria Hajifungui Tuu😁😁😄😄
😂😂Maria ana pepo la umalaya
Hv wanaume wanaochanganikiwa kama madevu bado wapo au ni kwenye juakali tuu 😅😅😅
Kwanzia leo hamna siku sitaona jua kali tena ,,ikifika maria kuwakiwa na jua mniite ,, haiwezi lamata kutuzingua kila wakati maria mshindi tu nkts
Asante sana nimefurahi kuona jua kali mapema 🎉🎉
Maria bhanaa tumechoka huwakiwi tu na hilo jua khaa🙌🙌🙌🙌🙌
Jamani yote Tisa, nmemiss familia ya kina diba @uncle lusajo, anganile. Weken kipande chao tufurahi jaman
Acheni ufala mnalilia like za nn kila mtu naomba like ukishapewa unafaidika nn sasa mnakera kunguru nyie
😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
semag ww
😅😅😅😅😅
Maria na Toni wanafaa kuoa ju game zao mojaa😂😂😂😂
Kumbe watu washenzi jmn badala mtoe like kwa alieposti mnaomba ninyi muwe mnaiposti ninyi ili mpewe like fyuuu😂
Jamaniiiii miss u semeni na sofia🎉
Siku hizi. Siangaliagi jua kali imenichosha uyo marym feki simpend
Astaghafilulah ,mweee uyu Maria uyu uyuuuuu achiiiii 🙆
Ety hakun matata nan kaipenda hiyo😂😂
Dj mtu wa maana kabisa ❤
Maria ni kahaba
Upewe maua yako baba
Yaani wee thomas mzee unanikosha
Mtoto wa maiko anaona mambo ya vivian na babake 😂😂
Kwan hawa wanaume hawamuon anita jaman😢
Mwenyewe nashangaaa
Yani ata vivi tuu hawamuonii
Nilivohangaika kuipata mmmh
Endelea na msimamo Femi safi saana
Lkn Femi anaoneka bado anampenda Tony😂😂😂 sema litoni halieleweki
@@m.mmarckus6298na tony anasema anatimiza ahadi tu ila anampenda mariaa
Aaisee Mr DJ 🎉 yan kitu natural pasi na ile sauti yavkishenzi inayo wekagwa back ground
🎉🎉🎉dj
Sikuhizi mpka hapitite ya kuangalia juakar ilishakata naangalia tyu kwasababu ni wajibu😂
Waoooo fem
Nan kagundua dogo ana hongea kama frank kwa gara B
Ahaaaa mm sitaki urafiki na Viviani jamani 😅😅 nimegundua uta mwambia shemeji yako kuwa nina mimba wakati mm bado natafuta maokoto😅😅
Hivi unapomkumbatia frenk hubinyi mmmh mmh ya frenk in majizo voice
Tony na maria waoane sio kwa uhuni huu
Nimemmiss mahi Juma😂😂
Mariya wee huogopi😂😂
Thomas friji haligandishi lol😂😂😂
Mwanamke akiwa nawanahumewote siyo mwanamuke
Kwn hiyo mimba vipi haitokei 😢afu umalaya wa maria duh umetisha usituulie frank wetu 😅😅😅 namis mwajay wetu bna mtuonyeshe
Nimeitafuta sana
Courage
Tumpe Femi mauwa yake kaweza🎉💐💐💐💐🌹💐
Vivian mandevu n mashetani sana and for you Femi Tony n Malaya Wa jua Kali km ujuhi heei Lukas wko wallai
Maria we ni nyoo asee
The last part of prayers got me😂😂😂
❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
Kijumbe vivian
Daah jmn tuma miendelezo msitutenge hivy
Maria kubabako kabisaaaa 😢 kama huwezi kutulia na frank wetu achana nae usimfanye mjinga
Kama like ni chakula nipen na mm nishibe leo😅😅
Shiba mpaka uvembewe😂
Mke wa majizo😢
Pale kwenye ujauzito ndo wap jmn thomas khaa 😅😅😅anakamba huyu mzee
😂😂😂😂😂
Hujaona yajana kwan
Maria🙌🏻
Maria uyu nikiboko 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅
Vivi na madevu ni wambea😂😂😂😂
Namfikiria majizo 😢
unamfikiria majizzo nn sasa kwan unadhan hakuambiwa mpaka akamruhus kumuona hap lulu ni mmew amekubali aingie ku act 😂😂 na juz alikuwa zake insta anasapot kaz ya mkew endelea kuwaz ujing
Alafu yy hana habari ww endelea kumfikiria😂😂😂😂
Ila watu asa majizo kafikaje huku, fikra za kimaskin hizo😂
@@hosea7919😂😂😂
Jamani ya Ijumaa sijaionaa
Maiko anaakili
😂😂😂😂😂Thomas na viviani duuu alafu maria kitakuramba
Thomas na Vivian mnanipa Raha sana😂
Tunaomba utuwekee telegram
Maria nae umaya tu kuoga aaah
Hapa nimecheka amekuwa Nassoro umalaya lkn kuoga aaah😂😂😂😂😂
Lamata Thomas mwengezee buannaaaaa
Ila maria wa mwanzo pengo lake halijazibwa aisee niwe tu mkweli 🤣🤣
Hahahahah😂😂ila Mariah😂😂
Character ya Maria imenoga🎉🎉🎉🎉
Kwan mbon zinakuj nakuondoka jamn
majozi yakupigwaa
Jmn madevu🤗
Na nyie wakuomba like wacheni upuzi Hadi miji Baba ina omba like
😢😢yaan mpk watumaji wamesusa kututumia skuhz.
Nice
It has been long this jua kali
Jua bila diba Anna akuna utamu
Gg😅 x vtxdf
Nqmiss drama,Anna na wake wenza,huku kwengine nikuboeka tu
Kweli siri ya baba wa mtoto anayo mama ,
Matia kiboko,jua kali wanafikisha ujumbe tu nashangaa wanaoonyesha chuki za wazi kwa waigizaji wanasahau hili ni igizo ambalo linaweza kuwa la kufikirika au uhalisia wa maisha ya jamii tunayoishi
🔥
Thomas utakjakfa na mapenz ya Maria
😅
Mariaaaa KIBOKO AISEEE
Maria khaaa😅😅
🔥🔥🔥
❤❤❤ thx
Ukiwa na rafiki mmbea kama Vivian ni shida😂😂😂
Anakuuza wewe bila kujua 😂😂😂😂😂😂
Kwani yale mgari alopewa mari yako wapi atujawahi kuyaona
Asanteh Uko akilini kwangu
Kabisa
magari hayaonekani na mimba haikui kila siku ana flat tummy 😂😂
Si apo ata mimi siwaelewagi afu na vibunda vya Vivian anaviperekaga wapi na bado anakaa kwa watu😂😂😂😂🎉😂
@@olicej7837ww unawaza kama mm kabisa
Frank wetu maskin pole
🔥😊
Mmmh lenimehi🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Jua kali jamani mbona hakuna kipengele cha kina Sofia mm napenda sana hapo kama hakuna hua naona jua kali ikiniboo😂😂
na familia ya akin Diba piaa
Yeah kabisaa