Mtu Wa Maana Kabisa The king budwaka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 май 2024
  • #Thekingbudwaka #uvira #congo #comedy
  • ПриколыПриколы

Комментарии • 348

  • @thekingbudwaka2
    @thekingbudwaka2  14 дней назад +111

    Thx Kwa Sapoti

    • @SalomeSwalehe-gz6wm
      @SalomeSwalehe-gz6wm 14 дней назад +1

      Sawa dj

    • @shakirambugi8142
      @shakirambugi8142 14 дней назад +2

      Limeisha ilo Tajir

    • @thekingbudwaka2
      @thekingbudwaka2  14 дней назад +2

      @@shakirambugi8142 Mtu Wa Maana Sana

    • @Vee_money
      @Vee_money 14 дней назад +4

      Nkushauri kitu dj, watu watakupenda tuu wala uctumie nguvu, boresha kazi yako kwa kukata vpande vya matangazo, hapo utatukosha zaid

    • @thekingbudwaka2
      @thekingbudwaka2  14 дней назад +1

      @@Vee_money Mtu Wa Maana Sana

  • @RithaDavidson-nz9uf
    @RithaDavidson-nz9uf 14 дней назад +31

    Nimejaribu kuwa like wooote mlionitangulia ila huyu mtoto wa mama maria atakipata anachokitafuta😂😂😂😂

    • @UmmyZakiah
      @UmmyZakiah 14 дней назад +1

      Ila majizo apewe maua yake 😂😂maana sio poa weeeeh

    • @user-zc9qs8kk1z
      @user-zc9qs8kk1z 13 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

  • @rilianwillium
    @rilianwillium 14 дней назад +20

    Jamn Dj apewe maua yake nimeitafuta sana Leo mpaka mchozi😂😂

  • @irankundaAlia
    @irankundaAlia 14 дней назад +23

    Alaaaa kimaria kinaboa aa umalaya gani uwo sasa mxuii

  • @zahraabdul9652
    @zahraabdul9652 14 дней назад +15

    Frank nakuonea huruma sana umechachisha mapenzi wakati mwenzio yuko kwa game 😢

  • @kitulotvkitulotv418
    @kitulotvkitulotv418 14 дней назад +67

    Kama na wewe umeitafuta kama mimi gonga like

    • @zenaycechanzinho6702
      @zenaycechanzinho6702 13 дней назад

      Yaan nyie ndo mnao tuponza mpka watumaji wana susa na kuamua kuuza ktk magroup ya telegram na wasp ...ambacho hamuelew ni nn mkiambiwa muache kuomba likes mara kusema mm wa kwanza cjui wa 60 km mitoto bn heb mjitambue walau kwa sekunde 3. Aaahhhhh 🤬🤬🤬

  • @abiangala-gi3hm
    @abiangala-gi3hm 14 дней назад +19

    Maria anaweza Tena anaweza Kila siku anakuabora💫

    • @emanuelnjau1747
      @emanuelnjau1747 14 дней назад

      Anafundisha vile wadada wanaweza kuwa manyangau😂

  • @user-pg7nc4kr9u
    @user-pg7nc4kr9u 14 дней назад +31

    Wauoooooh namimi leo wa tatu munipe like jameni 🎉🎉🎉

  • @user-go4uc4oe4p
    @user-go4uc4oe4p 14 дней назад +14

    Jamani nawakubali sana King na baba hake I love you.🎉🎉🎉🎉

  • @theodorachaki5174
    @theodorachaki5174 14 дней назад +14

    femi🎉🎉🎉🎉achanana ton Malaya wa kiume nimemisi idi na wake zake nawapenda sana maria na Anita mmeweza

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 14 дней назад +1

      Femi anampenda luke ila mama yake hamtaki nahilo balaa alilolifanya ndokabisaaa

  • @Ruu-yt4pm
    @Ruu-yt4pm 14 дней назад +6

    Nampenda Femi anamsimamo

  • @Lukiapaulo-xz6sf
    @Lukiapaulo-xz6sf 14 дней назад +4

    🎉🎉🎉 upate mwanaume kama tomas rahaaaa

  • @elizabethwakesho5900
    @elizabethwakesho5900 14 дней назад +5

    Me mkenya napambana huku nipate hela niende zangu nkamtafute Frank,nampenda uyo mkaka jamani,niliskia anadrive left hand nikaogopa😅😅😅Muarabu huyo🙌🥰🥰

    • @tusmokinana3836
      @tusmokinana3836 13 дней назад

      Wacha umbwakini mburukenge unatuaibisha😂

  • @user-lh4bb8mm8w
    @user-lh4bb8mm8w 14 дней назад +10

    Haha..madam simba eti anataka akaokoke 😅😅😅madam simba we nikiboko hasa

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 14 дней назад +1

      Mbona nahisi km atampata Maria😂😂😂

    • @user-lh4bb8mm8w
      @user-lh4bb8mm8w 13 дней назад

      @@m.mmarckus6298 kumpata vipi yani

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 13 дней назад

    Mnazingua bhana

  • @Tatu_Cool
    @Tatu_Cool 13 дней назад +4

    Afu nampenda sanaaaa Maria I'm from Rwanda 🇷🇼

  • @aminakipande5645
    @aminakipande5645 14 дней назад +11

    Hapo kwa maria na frank walivyo kumbatiana asee daah usingo utaniua 😂😂😂😂

  • @user-yf1ne4gr4v
    @user-yf1ne4gr4v 14 дней назад +14

    Me nshaanza kuichukia jua kali maana kila kitu maria tu kupendwa ni maria tu yeye hajawai kupenda ata mmoja

  • @MariamSekwao
    @MariamSekwao 14 дней назад +11

    Viviani nakupenda bure unafurahisha ofisini

  • @ElizabethCharles-tx1lb
    @ElizabethCharles-tx1lb 13 дней назад +1

    Frank ni mzuri jaman I love you

  • @davidanderson125
    @davidanderson125 13 дней назад +2

    Kwani Hiyo Mimba Ya Maria Hajifungui Tuu😁😁😄😄

  • @user-ph7yz5kf9d
    @user-ph7yz5kf9d 14 дней назад +3

    😂😂Maria ana pepo la umalaya

  • @Daniella249
    @Daniella249 13 дней назад +2

    Hv wanaume wanaochanganikiwa kama madevu bado wapo au ni kwenye juakali tuu 😅😅😅

  • @Eunicekhayesi33
    @Eunicekhayesi33 13 дней назад +1

    Kwanzia leo hamna siku sitaona jua kali tena ,,ikifika maria kuwakiwa na jua mniite ,, haiwezi lamata kutuzingua kila wakati maria mshindi tu nkts

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 14 дней назад +9

    Asante sana nimefurahi kuona jua kali mapema 🎉🎉

  • @VeeEhMgimwa
    @VeeEhMgimwa 13 дней назад

    Maria bhanaa tumechoka huwakiwi tu na hilo jua khaa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @sestinandelwa1385
    @sestinandelwa1385 13 дней назад +1

    Jamani yote Tisa, nmemiss familia ya kina diba @uncle lusajo, anganile. Weken kipande chao tufurahi jaman

  • @PascarSaimoni
    @PascarSaimoni 14 дней назад +8

    Acheni ufala mnalilia like za nn kila mtu naomba like ukishapewa unafaidika nn sasa mnakera kunguru nyie

  • @Lovenesszani
    @Lovenesszani 13 дней назад +2

    Maria na Toni wanafaa kuoa ju game zao mojaa😂😂😂😂

  • @selinalucaschatta5216
    @selinalucaschatta5216 14 дней назад +1

    Kumbe watu washenzi jmn badala mtoe like kwa alieposti mnaomba ninyi muwe mnaiposti ninyi ili mpewe like fyuuu😂

  • @MaryamHAMISI-ei9fq
    @MaryamHAMISI-ei9fq 14 дней назад +4

    Jamaniiiii miss u semeni na sofia🎉

  • @majabiali973
    @majabiali973 13 дней назад

    Siku hizi. Siangaliagi jua kali imenichosha uyo marym feki simpend

  • @YusraMohammed-zj4ck
    @YusraMohammed-zj4ck 14 дней назад +7

    Astaghafilulah ,mweee uyu Maria uyu uyuuuuu achiiiii 🙆

  • @FestonyMwalongo
    @FestonyMwalongo 13 дней назад +1

    Ety hakun matata nan kaipenda hiyo😂😂

  • @NoorynMuddy
    @NoorynMuddy 13 дней назад

    Dj mtu wa maana kabisa ❤

  • @user-zw7sl5qz2t
    @user-zw7sl5qz2t 14 дней назад +8

    Maria ni kahaba

  • @barutilazizi1223
    @barutilazizi1223 9 дней назад

    Upewe maua yako baba

  • @user-be8lm2bo7g
    @user-be8lm2bo7g 14 дней назад +3

    Yaani wee thomas mzee unanikosha

  • @mariamakungwa
    @mariamakungwa 13 дней назад +1

    Mtoto wa maiko anaona mambo ya vivian na babake 😂😂

  • @fathiyaahmady1913
    @fathiyaahmady1913 14 дней назад +4

    Kwan hawa wanaume hawamuon anita jaman😢

  • @anastaziamlungu9871
    @anastaziamlungu9871 14 дней назад +8

    Nilivohangaika kuipata mmmh

  • @MaggieSichone-fj5kc
    @MaggieSichone-fj5kc 14 дней назад +6

    Endelea na msimamo Femi safi saana

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 14 дней назад +1

      Lkn Femi anaoneka bado anampenda Tony😂😂😂 sema litoni halieleweki

    • @khadijatwaha7684
      @khadijatwaha7684 14 дней назад

      ​@@m.mmarckus6298na tony anasema anatimiza ahadi tu ila anampenda mariaa

  • @AminaSadallah-yi1dv
    @AminaSadallah-yi1dv 13 дней назад +1

    Aaisee Mr DJ 🎉 yan kitu natural pasi na ile sauti yavkishenzi inayo wekagwa back ground

  • @user-dr7ld2em8y
    @user-dr7ld2em8y 13 дней назад +1

    Sikuhizi mpka hapitite ya kuangalia juakar ilishakata naangalia tyu kwasababu ni wajibu😂

  • @user-rl5qu4zj9b
    @user-rl5qu4zj9b 14 дней назад +3

    Waoooo fem

  • @user-xl5ze7yr2v
    @user-xl5ze7yr2v 14 дней назад +4

    Nan kagundua dogo ana hongea kama frank kwa gara B

  • @EsteR-dt9iw
    @EsteR-dt9iw 14 дней назад +13

    Ahaaaa mm sitaki urafiki na Viviani jamani 😅😅 nimegundua uta mwambia shemeji yako kuwa nina mimba wakati mm bado natafuta maokoto😅😅

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 14 дней назад +1

      Hivi unapomkumbatia frenk hubinyi mmmh mmh ya frenk in majizo voice

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 14 дней назад +2

      Tony na maria waoane sio kwa uhuni huu

  • @aishaabeid8106
    @aishaabeid8106 14 дней назад +2

    Nimemmiss mahi Juma😂😂

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 13 дней назад

    Mariya wee huogopi😂😂

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 14 дней назад +2

    Thomas friji haligandishi lol😂😂😂

  • @toshamafikiri5961
    @toshamafikiri5961 13 дней назад

    Mwanamke akiwa nawanahumewote siyo mwanamuke

  • @user-fh4fj3fh6v
    @user-fh4fj3fh6v 14 дней назад +10

    Kwn hiyo mimba vipi haitokei 😢afu umalaya wa maria duh umetisha usituulie frank wetu 😅😅😅 namis mwajay wetu bna mtuonyeshe

  • @SizzoSela29-sh8nz
    @SizzoSela29-sh8nz 14 дней назад +4

    Nimeitafuta sana

  • @freddyblackboyonenine2492
    @freddyblackboyonenine2492 8 дней назад

    Courage

  • @cecylaurentkabutu8188
    @cecylaurentkabutu8188 14 дней назад +8

    Tumpe Femi mauwa yake kaweza🎉💐💐💐💐🌹💐

  • @buru1235
    @buru1235 13 дней назад

    Vivian mandevu n mashetani sana and for you Femi Tony n Malaya Wa jua Kali km ujuhi heei Lukas wko wallai

  • @bagenihuduma1569
    @bagenihuduma1569 13 дней назад

    Maria we ni nyoo asee

  • @leahjohn4734
    @leahjohn4734 13 дней назад +1

    The last part of prayers got me😂😂😂

  • @user-hf9cc6sw7c
    @user-hf9cc6sw7c 13 дней назад +1

    ❤❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉

  • @FelisterGodwin
    @FelisterGodwin 14 дней назад +7

    Kijumbe vivian

  • @ErnestMsemakweli-nm2ok
    @ErnestMsemakweli-nm2ok 13 дней назад

    Daah jmn tuma miendelezo msitutenge hivy

  • @SalimSalim-wp3zx
    @SalimSalim-wp3zx 13 дней назад +1

    Maria kubabako kabisaaaa 😢 kama huwezi kutulia na frank wetu achana nae usimfanye mjinga

  • @susanjoseph8420
    @susanjoseph8420 14 дней назад +18

    Kama like ni chakula nipen na mm nishibe leo😅😅

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 14 дней назад +2

    Mke wa majizo😢

  • @susanjoseph8420
    @susanjoseph8420 14 дней назад +6

    Pale kwenye ujauzito ndo wap jmn thomas khaa 😅😅😅anakamba huyu mzee

  • @user-ed4nr1lx6f
    @user-ed4nr1lx6f 13 дней назад

    Maria🙌🏻

  • @mwaminishakalili4120
    @mwaminishakalili4120 13 дней назад

    Maria uyu nikiboko 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 13 дней назад +2

    Vivi na madevu ni wambea😂😂😂😂

  • @user-ki1jy7fn5t
    @user-ki1jy7fn5t 14 дней назад +7

    Namfikiria majizo 😢

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 14 дней назад +3

      unamfikiria majizzo nn sasa kwan unadhan hakuambiwa mpaka akamruhus kumuona hap lulu ni mmew amekubali aingie ku act 😂😂 na juz alikuwa zake insta anasapot kaz ya mkew endelea kuwaz ujing

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 14 дней назад +3

      Alafu yy hana habari ww endelea kumfikiria😂😂😂😂

    • @hosea7919
      @hosea7919 13 дней назад +1

      Ila watu asa majizo kafikaje huku, fikra za kimaskin hizo😂

    • @zenaycechanzinho6702
      @zenaycechanzinho6702 13 дней назад +1

      ​@@hosea7919😂😂😂

  • @aishamsofe3274
    @aishamsofe3274 14 дней назад +1

    Jamani ya Ijumaa sijaionaa

  • @danielmwakalinga6049
    @danielmwakalinga6049 13 дней назад

    Maiko anaakili

  • @Fatma-to6rq
    @Fatma-to6rq 13 дней назад +1

    😂😂😂😂😂Thomas na viviani duuu alafu maria kitakuramba

  • @YustaNtara-po7cl
    @YustaNtara-po7cl 14 дней назад +2

    Thomas na Vivian mnanipa Raha sana😂

  • @jessysammy4664
    @jessysammy4664 13 дней назад +1

    Tunaomba utuwekee telegram

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 14 дней назад +5

    Maria nae umaya tu kuoga aaah

    • @kinananyuni9732
      @kinananyuni9732 14 дней назад +1

      Hapa nimecheka amekuwa Nassoro umalaya lkn kuoga aaah😂😂😂😂😂

  • @DottoKhamis
    @DottoKhamis 14 дней назад +1

    Lamata Thomas mwengezee buannaaaaa

  • @HeavenlightMarco
    @HeavenlightMarco 13 дней назад

    Ila maria wa mwanzo pengo lake halijazibwa aisee niwe tu mkweli 🤣🤣

  • @AtukuzweGift0-kg1ns
    @AtukuzweGift0-kg1ns 14 дней назад +3

    Hahahahah😂😂ila Mariah😂😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 13 дней назад

    Character ya Maria imenoga🎉🎉🎉🎉

  • @shakilafadhili3517
    @shakilafadhili3517 13 дней назад +1

    Kwan mbon zinakuj nakuondoka jamn

  • @user-zw3jt1sh8e
    @user-zw3jt1sh8e 13 дней назад

    majozi yakupigwaa

  • @stellajoseph6212
    @stellajoseph6212 14 дней назад +4

    Jmn madevu🤗

  • @BarkerNassir001
    @BarkerNassir001 14 дней назад +4

    Na nyie wakuomba like wacheni upuzi Hadi miji Baba ina omba like

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 14 дней назад +4

    Nice

  • @sheilanaliaka
    @sheilanaliaka 14 дней назад +3

    It has been long this jua kali

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 14 дней назад +5

    Jua bila diba Anna akuna utamu

  • @elvinakalu6991
    @elvinakalu6991 14 дней назад +5

    Nqmiss drama,Anna na wake wenza,huku kwengine nikuboeka tu

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894 13 дней назад

    Kweli siri ya baba wa mtoto anayo mama ,
    Matia kiboko,jua kali wanafikisha ujumbe tu nashangaa wanaoonyesha chuki za wazi kwa waigizaji wanasahau hili ni igizo ambalo linaweza kuwa la kufikirika au uhalisia wa maisha ya jamii tunayoishi

  • @marypaul4085
    @marypaul4085 14 дней назад +11

    🔥

  • @janethmonge5594
    @janethmonge5594 13 дней назад

    Thomas utakjakfa na mapenz ya Maria

  • @odetharwaibale4963
    @odetharwaibale4963 14 дней назад +1

    😅
    Mariaaaa KIBOKO AISEEE

  • @JacklineDavid-nz3fn
    @JacklineDavid-nz3fn 14 дней назад +2

    Maria khaaa😅😅

  • @user-rz8mn8cn3o
    @user-rz8mn8cn3o 14 дней назад +9

    🔥🔥🔥

  • @JaliaHussein-px4ws
    @JaliaHussein-px4ws 14 дней назад +1

    ❤❤❤ thx

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele350 14 дней назад +6

    Ukiwa na rafiki mmbea kama Vivian ni shida😂😂😂

    • @olicej7837
      @olicej7837 14 дней назад

      Anakuuza wewe bila kujua 😂😂😂😂😂😂

  • @gaudensiarobert5360
    @gaudensiarobert5360 14 дней назад +12

    Kwani yale mgari alopewa mari yako wapi atujawahi kuyaona

    • @iamanoutstanding_creation
      @iamanoutstanding_creation 14 дней назад +1

      Asanteh Uko akilini kwangu

    • @MariamSekwao
      @MariamSekwao 14 дней назад

      Kabisa

    • @Khadija-ne8ul
      @Khadija-ne8ul 14 дней назад +1

      magari hayaonekani na mimba haikui kila siku ana flat tummy 😂😂

    • @olicej7837
      @olicej7837 14 дней назад

      Si apo ata mimi siwaelewagi afu na vibunda vya Vivian anaviperekaga wapi na bado anakaa kwa watu😂😂😂😂🎉😂

    • @shamilamgata7754
      @shamilamgata7754 13 дней назад

      ​@@olicej7837ww unawaza kama mm kabisa

  • @user-zk6mx6de3q
    @user-zk6mx6de3q 13 дней назад

    Frank wetu maskin pole

  • @rachelfadhil6024
    @rachelfadhil6024 14 дней назад +6

    🔥😊

  • @mahijjaeidi9144
    @mahijjaeidi9144 14 дней назад +8

    Mmmh lenimehi🇦🇪🇦🇪🇦🇪

  • @merymery3606
    @merymery3606 14 дней назад +4

    Jua kali jamani mbona hakuna kipengele cha kina Sofia mm napenda sana hapo kama hakuna hua naona jua kali ikiniboo😂😂