Haji ni mwislam, vipi badala ya kumsitiri alokuwa mke wake anakaa akimwongelea habari zake mitandaoni. Naompa Mungu ampe hekma. Kama katika hadisi za mtume wetu SAS, Amsitiri mtoto wa watu na mungu atamstiri duniani na akhera.
Social Media ni shida Dunia Nzima siyo Tanzania Tu ni Ulimwengu Mzima Mwenyezi Mungu Awatunze Katika Ndoa Yenu na Muishi na Furaha Amen 🙏🏿 🎀🌸🎀♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🙇🏽♀️🧎🏾♀️👏🏾
Nampendaga sana huyu mwamba,wakati mwingine huwa ananijenga kimaendeleo zaidi, pongezi sana father manyara, Aristote issa USA Arizona Tucson 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 🇺🇲🇺🇲 Marekani.
Iyo story ya mama uliyoihadithi ni kama move lakini ni kwel uyo mama ni wa muhimu sana ktk maisha yako jitahid kumtafuta M/Mungu atakusaidia unaweka kuwapata japo watoto wake na ikitokea amefariki usisahau kumuombea Dua
Imagine anasema chakula cha wakenya kina majina ya kijinga jinga na ambapo alisaidiwa akashiba tumbo lake hadi akafika kwao tz...ni mjinga ajifunze kutumia kauli mbaya kwa mdomo wake
Lakini namna yakumpata huyo mama Martha utampata tu,starting point ni lale al8pokuwa anafanyia biashara zake ukienda ukaulizia lazima utapata direction na fununu au yamkini ukamkutahapohapo kamasiyo yeye hata watoto zake.
Mimi huwa napenda sana mtu akikumbuka fadhila, yaani hiyo ulioiongea kuhusu mtu aliekusaidia kipindi ambocho ndio ulihitaji zaidi, hiyo ni kitu kikubwa sana, hata kama hujamuona huyo dada. Kuna watu waliosaidiwa vikubwa vikubwa na hawakumbuki, tena hata kutukanwa utatukanwa, hawakumbuki, tena watakwambia huyu alikuwa anaringa sana. mimi ni muhanga, nakumbuka wimbo wa Rose muhando, Tenda wema uende zako utafuteni.
@ntegrty Wewe mwenyewe unaewatukana ni nani si ajabu una shida sana ndio unakasirika ns kutukana hovyo tafuta pesa acha chuki hata ukiwatukana unapoteza nguvu zako na hasira zako bure wao wanaishi maisha yao. Hangaikia shida zako hayawani wewe.
@@mohdkhatib223 Na wewe pia unayo. 🤣 Mimi nimesema hivyo kwa sababu najuwa ya uvunguni yaliyojificha, mwenyewe anafikiri hatujui nini kinatokea. Sasa wewe unaedhania, kakae mji wa kufikirika na majibu yako ya chakubanga 🤣🤣
Ngojeni kwanza kwani wameachana 😢😢
Mashaa Allah usiseme haya ana haiba ya kike na anajitambuwa
Haji ni mwislam, vipi badala ya kumsitiri alokuwa mke wake anakaa akimwongelea habari zake mitandaoni. Naompa Mungu ampe hekma. Kama katika hadisi za mtume wetu SAS, Amsitiri mtoto wa watu na mungu atamstiri duniani na akhera.
Social Media ni shida Dunia Nzima siyo Tanzania Tu ni Ulimwengu Mzima Mwenyezi Mungu Awatunze Katika Ndoa Yenu na Muishi na Furaha Amen 🙏🏿 🎀🌸🎀♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🙇🏽♀️🧎🏾♀️👏🏾
Nampendaga sana huyu mwamba,wakati mwingine huwa ananijenga kimaendeleo zaidi, pongezi sana father manyara, Aristote issa USA Arizona Tucson 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 🇺🇲🇺🇲 Marekani.
Iyo story ya mama uliyoihadithi ni kama move lakini ni kwel uyo mama ni wa muhimu sana ktk maisha yako jitahid kumtafuta M/Mungu atakusaidia unaweka kuwapata japo watoto wake na ikitokea amefariki usisahau kumuombea Dua
Mm huwa nakukubali tu
Kiukweli manala umejibu vzuli sana nakupenda bule mwenyez MUNGU awafanyie wepesi kwenye ndoa yenu
Allaah azidi kuwasaidia daima katika maisha ...msisikilize ya binadam wengi hawana wema
Mbona tena hajji manara unatutusi wakenya majina yetu yakijinga jinga duh😢
Lakini kwa nn unamtangaza mkewe akiwa uch uch unamtangaza Kila mtu akuone
Iyo stor imenigusa Sana niliwai saidiwa na Kaka mmoja anatwa mudi kutoka Zambia kwenda Botswana lkn mpaka Leo Kama yupo au hayupo
Mtolee sadaka awemzima au amekufa mungu ataipokea nawenafsiyako itatulia
Kenya majina ya kijnga jinga. Maneno yako Bwana Haji si mazuri. Wewe uwe kiyoo. Heshimu wengine
Imagine anasema chakula cha wakenya kina majina ya kijinga jinga na ambapo alisaidiwa akashiba tumbo lake hadi akafika kwao tz...ni mjinga ajifunze kutumia kauli mbaya kwa mdomo wake
We koma hakuna shabiki wa simba anamtaka kilopoko huyuu utukomeee
unamsifia bure tu huyo Mpumbavu hana lolote zaidi ya ufedhuli tu
Kweli manara alihitahidi sana kwa simba
imenigusa hii story tukumbuke waliotugusa mkono pale tulipo kwama,
Mnanikera kuwapa watu wa kuonja onja wanawake kama wakina mnara na wenzie kama kina Mond. Onja onja ya wanawake . Hawa ni wakora tuu
Sasa huyu akiachana na mtu yuaita press??
Bugatti 🔥🔥🔥🔥🔥
Lakini namna yakumpata huyo mama Martha utampata tu,starting point ni lale al8pokuwa anafanyia biashara zake ukienda ukaulizia lazima utapata direction na fununu au yamkini ukamkutahapohapo kamasiyo yeye hata watoto zake.
Mimi huwa napenda sana mtu akikumbuka fadhila, yaani hiyo ulioiongea kuhusu mtu aliekusaidia kipindi ambocho ndio ulihitaji zaidi, hiyo ni kitu kikubwa sana, hata kama hujamuona huyo dada. Kuna watu waliosaidiwa vikubwa vikubwa na hawakumbuki, tena hata kutukanwa utatukanwa, hawakumbuki, tena watakwambia huyu alikuwa anaringa sana. mimi ni muhanga, nakumbuka wimbo wa Rose muhando, Tenda wema uende zako utafuteni.
Tenda wema nenda zako kuna watu hawana kumbe kumbu
Zai uishi kwenye ndoa yako...jaman mtoto kapendeza huko kwa mzungu...Kula unenepa mwamwrika zai
Wanjiru ni mkikuyu
Wanamuitaaa bughaaaaaaaaaaaaaaaa
Bukati wa hekima Sanaa👍
Buggati ni mmoja tu
Kwan hii tv ya nani
Brother unautulivu sana katika uongeaji wako ila jifunze kutousemea moyo wa mtu hujui mwenzio anawaza nini juu yako
Wangechi ni jina la kabila la kikukuyu
Apart FROM football sio part of Football. Suprise siyo Suplise. Kwani lazima kutumia kiingereza?
Hapo sasa
Huyu Ndo bugati😊
Huyu jamaa simuelewagi mjuaji wa kila jambo maneno mengi. Mbona baba yako mzee manala ana hekima au ni ushamba unakusumbua kaka.
Haji manara ni ng'ombe kama mbuzi zingine Zayliza ni MALAYA tu kama MALAYA wengine hizo ni choo za kulipia ukiwa na hela unakojoa tu
@ntegrty Wewe mwenyewe unaewatukana ni nani si ajabu una shida sana ndio unakasirika ns kutukana hovyo tafuta pesa acha chuki hata ukiwatukana unapoteza nguvu zako na hasira zako bure wao wanaishi maisha yao. Hangaikia shida zako hayawani wewe.
Muongo huyu hatasema maovu yake.' Funika kombe mwanaharamu apite'
Hata wewe unayo maovu pengine kuliko yeye
@@mohdkhatib223 Na wewe pia unayo. 🤣 Mimi nimesema hivyo kwa sababu najuwa ya uvunguni yaliyojificha, mwenyewe anafikiri hatujui nini kinatokea.
Sasa wewe unaedhania, kakae mji wa kufikirika na majibu yako ya chakubanga 🤣🤣
Hbu niibie sir uku maskion🎉@@mwanahawamohammed8540
Huyu mtu mwenyewe anapenda sifa na nyinyi mnampamba pamba mauwa huyo masifa
In
J
Ulishasema hapo nyuma ukiona mke mwingine tukuite mbwa na sasa umemuoa zaylisha kwa hiyo tunakuita mbwa mkubwa wewe
Manara ni mmoja tu kajambe huko
Ni kweli aitwe mbwa
Jjbf