HAJI MANARA AFUNGUKA MAZITO KUHUSU KUACHANA NA ZAIYLISSA NA KUONGEZA MKE MWINGINE / SIWEZI KUOA TENA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2024
  • HAJI MANARA AFUNGUKA MAZITO KUHUSU KUACHANA NA ZAIYLISSA NA KUONGEZA MKE MWINGINE / SIWEZI KUOA TENA
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 50

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 12 дней назад +5

    Ngojeni kwanza kwani wameachana 😢😢

  • @fatyymohammed1378
    @fatyymohammed1378 11 дней назад +2

    Mashaa Allah usiseme haya ana haiba ya kike na anajitambuwa

  • @jsabood
    @jsabood 14 дней назад +3

    Haji ni mwislam, vipi badala ya kumsitiri alokuwa mke wake anakaa akimwongelea habari zake mitandaoni. Naompa Mungu ampe hekma. Kama katika hadisi za mtume wetu SAS, Amsitiri mtoto wa watu na mungu atamstiri duniani na akhera.

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi 11 дней назад +1

    Social Media ni shida Dunia Nzima siyo Tanzania Tu ni Ulimwengu Mzima Mwenyezi Mungu Awatunze Katika Ndoa Yenu na Muishi na Furaha Amen 🙏🏿 🎀🌸🎀♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎊🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🎁🙇🏽‍♀️🧎🏾‍♀️👏🏾

  • @user-ep8ob5ty3e
    @user-ep8ob5ty3e 15 дней назад +6

    Nampendaga sana huyu mwamba,wakati mwingine huwa ananijenga kimaendeleo zaidi, pongezi sana father manyara, Aristote issa USA Arizona Tucson 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 🇺🇲🇺🇲 Marekani.

  • @abddulqadir9779
    @abddulqadir9779 17 дней назад +4

    Iyo story ya mama uliyoihadithi ni kama move lakini ni kwel uyo mama ni wa muhimu sana ktk maisha yako jitahid kumtafuta M/Mungu atakusaidia unaweka kuwapata japo watoto wake na ikitokea amefariki usisahau kumuombea Dua

  • @PendoMfalamagoha
    @PendoMfalamagoha 13 дней назад +2

    Mm huwa nakukubali tu

  • @maernov4257
    @maernov4257 15 дней назад +2

    Kiukweli manala umejibu vzuli sana nakupenda bule mwenyez MUNGU awafanyie wepesi kwenye ndoa yenu

  • @minnahhers7437
    @minnahhers7437 12 дней назад

    Allaah azidi kuwasaidia daima katika maisha ...msisikilize ya binadam wengi hawana wema

  • @fatimaabdullahmohd2347
    @fatimaabdullahmohd2347 15 дней назад +2

    Mbona tena hajji manara unatutusi wakenya majina yetu yakijinga jinga duh😢

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s 15 дней назад +2

    Lakini kwa nn unamtangaza mkewe akiwa uch uch unamtangaza Kila mtu akuone

  • @LovelyGarterSnake-hx8pp
    @LovelyGarterSnake-hx8pp 14 дней назад

    Iyo stor imenigusa Sana niliwai saidiwa na Kaka mmoja anatwa mudi kutoka Zambia kwenda Botswana lkn mpaka Leo Kama yupo au hayupo

  • @salimanguzo5553
    @salimanguzo5553 15 дней назад +1

    Mtolee sadaka awemzima au amekufa mungu ataipokea nawenafsiyako itatulia

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 17 дней назад +4

    Kenya majina ya kijnga jinga. Maneno yako Bwana Haji si mazuri. Wewe uwe kiyoo. Heshimu wengine

    • @AngleAnglewakesho
      @AngleAnglewakesho 10 дней назад

      Imagine anasema chakula cha wakenya kina majina ya kijinga jinga na ambapo alisaidiwa akashiba tumbo lake hadi akafika kwao tz...ni mjinga ajifunze kutumia kauli mbaya kwa mdomo wake

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 12 дней назад +1

    We koma hakuna shabiki wa simba anamtaka kilopoko huyuu utukomeee

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 6 дней назад

    unamsifia bure tu huyo Mpumbavu hana lolote zaidi ya ufedhuli tu

  • @Mumewangu
    @Mumewangu 14 дней назад

    Kweli manara alihitahidi sana kwa simba

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 15 дней назад +1

    imenigusa hii story tukumbuke waliotugusa mkono pale tulipo kwama,

  • @DakorTrony
    @DakorTrony 14 дней назад

    Mnanikera kuwapa watu wa kuonja onja wanawake kama wakina mnara na wenzie kama kina Mond. Onja onja ya wanawake . Hawa ni wakora tuu

  • @criminalminds7723
    @criminalminds7723 17 дней назад +6

    Sasa huyu akiachana na mtu yuaita press??

  • @Mshuta
    @Mshuta 16 дней назад +2

    Bugatti 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k 17 дней назад +3

    Lakini namna yakumpata huyo mama Martha utampata tu,starting point ni lale al8pokuwa anafanyia biashara zake ukienda ukaulizia lazima utapata direction na fununu au yamkini ukamkutahapohapo kamasiyo yeye hata watoto zake.

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 15 дней назад +10

    Mimi huwa napenda sana mtu akikumbuka fadhila, yaani hiyo ulioiongea kuhusu mtu aliekusaidia kipindi ambocho ndio ulihitaji zaidi, hiyo ni kitu kikubwa sana, hata kama hujamuona huyo dada. Kuna watu waliosaidiwa vikubwa vikubwa na hawakumbuki, tena hata kutukanwa utatukanwa, hawakumbuki, tena watakwambia huyu alikuwa anaringa sana. mimi ni muhanga, nakumbuka wimbo wa Rose muhando, Tenda wema uende zako utafuteni.

    • @achouraachoura5763
      @achouraachoura5763 14 дней назад +2

      Tenda wema nenda zako kuna watu hawana kumbe kumbu

    • @user-og4wh1xr2c
      @user-og4wh1xr2c День назад +1

      Zai uishi kwenye ndoa yako...jaman mtoto kapendeza huko kwa mzungu...Kula unenepa mwamwrika zai

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 14 дней назад

    Wanjiru ni mkikuyu

  • @kazungualii5368
    @kazungualii5368 14 дней назад

    Wanamuitaaa bughaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @meowzna
    @meowzna 17 дней назад +2

    Bukati wa hekima Sanaa👍

  • @ArnoldSemeni
    @ArnoldSemeni 17 дней назад +1

    Buggati ni mmoja tu

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 14 дней назад

    Kwan hii tv ya nani

  • @MgishaMathias-jb4nh
    @MgishaMathias-jb4nh 15 дней назад

    Brother unautulivu sana katika uongeaji wako ila jifunze kutousemea moyo wa mtu hujui mwenzio anawaza nini juu yako

  • @faizamohamed6993
    @faizamohamed6993 15 дней назад

    Wangechi ni jina la kabila la kikukuyu

  • @mamohamed1252
    @mamohamed1252 17 дней назад +4

    Apart FROM football sio part of Football. Suprise siyo Suplise. Kwani lazima kutumia kiingereza?

  • @maniscamullah6282
    @maniscamullah6282 17 дней назад

    Huyu Ndo bugati😊

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 12 дней назад +1

    Huyu jamaa simuelewagi mjuaji wa kila jambo maneno mengi. Mbona baba yako mzee manala ana hekima au ni ushamba unakusumbua kaka.

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 17 дней назад +5

    Haji manara ni ng'ombe kama mbuzi zingine Zayliza ni MALAYA tu kama MALAYA wengine hizo ni choo za kulipia ukiwa na hela unakojoa tu

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 День назад

      @ntegrty Wewe mwenyewe unaewatukana ni nani si ajabu una shida sana ndio unakasirika ns kutukana hovyo tafuta pesa acha chuki hata ukiwatukana unapoteza nguvu zako na hasira zako bure wao wanaishi maisha yao. Hangaikia shida zako hayawani wewe.

  • @mwanahawamohammed8540
    @mwanahawamohammed8540 14 дней назад

    Muongo huyu hatasema maovu yake.' Funika kombe mwanaharamu apite'

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 12 дней назад

      Hata wewe unayo maovu pengine kuliko yeye

    • @mwanahawamohammed8540
      @mwanahawamohammed8540 12 дней назад

      @@mohdkhatib223 Na wewe pia unayo. 🤣 Mimi nimesema hivyo kwa sababu najuwa ya uvunguni yaliyojificha, mwenyewe anafikiri hatujui nini kinatokea.
      Sasa wewe unaedhania, kakae mji wa kufikirika na majibu yako ya chakubanga 🤣🤣

    • @SikudhaniKulonda-jy1bq
      @SikudhaniKulonda-jy1bq 8 дней назад

      Hbu niibie sir uku maskion🎉​@@mwanahawamohammed8540

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 13 дней назад

    Huyu mtu mwenyewe anapenda sifa na nyinyi mnampamba pamba mauwa huyo masifa

  • @TheresiaRegan
    @TheresiaRegan 15 дней назад

    In

  • @TheresiaRegan
    @TheresiaRegan 15 дней назад

    J

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 15 дней назад

    Ulishasema hapo nyuma ukiona mke mwingine tukuite mbwa na sasa umemuoa zaylisha kwa hiyo tunakuita mbwa mkubwa wewe

  • @TheresiaRegan
    @TheresiaRegan 15 дней назад

    Jjbf