Sisi simba hatujawahi kukupenda tangia uache kazi simba Ndiomaana hata ulivyolia na mashabiki walikuacha sisi hatumpendi mtu tunapenda timu yetu sasa wewe unatapatapa tulia Alafu kwenye swala la wizi usiseme CCM wanakujua vizuri sema unajisafisha tu
Hapo hata mimi ningemchukia mpaka nyanya yake na simba siyo simba tuu baba mpaka babu zake na marafiki zake kumbe mzungu walimtesa kiasi hicho yawezekana hata ndoa zake wanahusika hawa hawa simba kuzivunja yaani hawa nguruwe kabisa😂😂😂
Mwongo sana huyu, simba has no such powers. They can’t order a policeman to go and arrest you. Manara you have a very serious sad life. Leave Mo alone, siyo size yako na wala hutamfikia hata ukiwalsngua CCM
Wewe unaemuuriza kuwa umaalufu kaupata wapi hujui kwani kabla yakuwa simba mlikuwa mnamjua huyo katangazwa na simba hapo yanga wara hajawaka arivyo chukuriwa na simba arikuwa mwalimu wa madrasa
Acha propaganda kuna vitu haviwezekani hata kidogo kuhama timu unayoishabikia haiwezekani unaweza kwenda kufanya kazi timu pinzani lakini si kuishabikia.Timu ni kama kabira kaka hicho kibarua tu ila unaumia Simba kufanya vibaya coz ndio timu yako na hayo ulishaweka bayana mwenyewe babu yako ndio alikufanya uipende tangu utoto.
Sasa iyo chuki sio club ya Simba kwako isipokuwa ni baadhi ya watu ambao wote mlikuwa wafanyakazi wa Simba ndio walikuwa na chuki au wivu kwako Sasa ulitakiwa kuwachukiwa awo sio club ya Simba Simba itakuwa mpaka meisho wa Dunia lakini awo waliokuwa na chuki na wewe wataondoka Simba siku moja hapo umefeli kuichukiaclub ya Simba ulipaswa kuwachukia binadamu wenzio sio club
Manala ndugu yangu, kwani Simba ni watu? Make ukisema hauwezi kuipenda Simba ajili ya maudhi ya kazini!!! Hii siyo sawa.. kaka umesema %10 tukijia yalokukuta tutakuonea uruma!! Hapo mbona mambo yanayoonekana yenu katika Kazi? Mi nadhani kuja kukamatwa kwenye kutafta ushaid wa Mo nayo ni kawaida kaka...
ver true
Umaarufu wako hukuupata Yanga,umepata Simba pia jaribu kuwa una kukumbuka fadhila
Mungu akusaidie upone maana akili yako sio nzuri sana
UMAARUFU WAKO UMEUPATIA SIMBA
Kbsaaa
Kumbe mvuta bangi ndo maana zinaingia zinatoka
Pole sana laana yako inawatafna broo pga kazi
Pole sana boss duh
Sisi simba hatujawahi kukupenda tangia uache kazi simba
Ndiomaana hata ulivyolia na mashabiki walikuacha sisi hatumpendi mtu tunapenda timu yetu sasa wewe unatapatapa tulia
Alafu kwenye swala la wizi usiseme
CCM wanakujua vizuri sema unajisafisha tu
Manara Tv mmejaza interview za boss na matukio yake aisee haya kesho tunamfanyia nn boss😂😂😂
Makwasukwasu hiyo imeendaaaaaaaaaaa
Kaka mkubwa cha kuomba kwa ss muombe mola akupe pepo 2 hawo hawana fadhila allah akupe mwisho mwm 😮
Duh kama nikweli kaka Pole sana
Mnamuhoji bos mnacheka cheka tu
Du kumbe brother unavuta sigara!!!
Msengee mweupee mamako
At walio kuamin unawapotosh wew naendag San kukufatilia ila ap umezingua wot mlikua wafanyakaz tu kilabu inausika wap
Kwasukwasu
Hapo hata mimi ningemchukia mpaka nyanya yake na simba siyo simba tuu baba mpaka babu zake na marafiki zake kumbe mzungu walimtesa kiasi hicho yawezekana hata ndoa zake wanahusika hawa hawa simba kuzivunja yaani hawa nguruwe kabisa😂😂😂
El bugatti rudi kaka
Mwongo sana huyu, simba has no such powers. They can’t order a policeman to go and arrest you. Manara you have a very serious sad life. Leave Mo alone, siyo size yako na wala hutamfikia hata ukiwalsngua CCM
Just leave the Guy alone ... We mkweli Simba wamemfunga GB64 kuna ajabu gani simba kuitia Watu polisi
HAMNA SIMBA WALA YANGA WEWE NI KIPAJI TOKA KWA MUNGU SIMBA NA YANGA ZIMEKUWA NI NJIA KWANI NJIA ZIPO SI ZINATAKIWA ZITEMBELEWE
Wewe unaemuuriza kuwa umaalufu kaupata wapi hujui kwani kabla yakuwa simba mlikuwa mnamjua huyo katangazwa na simba hapo yanga wara hajawaka arivyo chukuriwa na simba arikuwa mwalimu wa madrasa
Kwa hiyo wewe ni mnafiki siyo mkweri Sasa kweri wewe mwisilamu
Makwasu kwasu fc
Hana mchango wowote manara mtto tu huyo hawez kuwa star kwakupanic na mashabik wachini mshamba
Nyiko wewe Simba ndio waliokupa jina msenge wewe
Mzee hiyo siyo kazi ya catalyst mzee
Manara kwer unao wewe ila we simba
Kumbe unavuta sigara
Kaongea mengi umeskia ilo tu
Manara mnafiki shoga tu
Laaana waliofanya ndio inawatesa Watateseka sana
🤔🤔🤔 kumbe na ww unavuta sigara
Acha propaganda kuna vitu haviwezekani hata kidogo kuhama timu unayoishabikia haiwezekani unaweza kwenda kufanya kazi timu pinzani lakini si kuishabikia.Timu ni kama kabira kaka hicho kibarua tu ila unaumia Simba kufanya vibaya coz ndio timu yako na hayo ulishaweka bayana mwenyewe babu yako ndio alikufanya uipende tangu utoto.
Sasa iyo chuki sio club ya Simba kwako isipokuwa ni baadhi ya watu ambao wote mlikuwa wafanyakazi wa Simba ndio walikuwa na chuki au wivu kwako Sasa ulitakiwa kuwachukiwa awo sio club ya Simba Simba itakuwa mpaka meisho wa Dunia lakini awo waliokuwa na chuki na wewe wataondoka Simba siku moja hapo umefeli kuichukiaclub ya Simba ulipaswa kuwachukia binadamu wenzio sio club
Makwasu kwasu fc
haji kua tu mkweli simba wekutoa wewe
We naona hausikiliz vizur maelezo yake hajasema kama somba haina msaada kwake
Manala ndugu yangu, kwani Simba ni watu? Make ukisema hauwezi kuipenda Simba ajili ya maudhi ya kazini!!! Hii siyo sawa.. kaka umesema %10 tukijia yalokukuta tutakuonea uruma!!
Hapo mbona mambo yanayoonekana yenu katika Kazi? Mi nadhani kuja kukamatwa kwenye kutafta ushaid wa Mo nayo ni kawaida kaka...
Ana mchango mkubwa wa kutukana binadamu, this guy is mentally ill, help him
Inawezekana wewe ni Dunduka. Kwahiyo huwezi kukubaliana na Haji. Fala wewe