HAJI MANARA ASIMULIA JINSI SIMBA WALIVYOMTUMIA ASKARI WAMKAMATE NYUMBANI KWAKE KISA MO DEWJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • HAJI MANARA ASIMULIA JINSI SIMBA WALIVYOMTUMIA ASKARI WAMKAMATE NYUMBANI KWAKE KISA MO DEWJI

Комментарии • 45

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 3 месяца назад +1

    ver true

  • @hashmyss-hotmail.com123
    @hashmyss-hotmail.com123 3 месяца назад +1

    Umaarufu wako hukuupata Yanga,umepata Simba pia jaribu kuwa una kukumbuka fadhila

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h 4 месяца назад

    Mungu akusaidie upone maana akili yako sio nzuri sana

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 4 месяца назад +2

    UMAARUFU WAKO UMEUPATIA SIMBA

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 4 месяца назад +1

    Kumbe mvuta bangi ndo maana zinaingia zinatoka

  • @user-px6ho3dp8j
    @user-px6ho3dp8j 4 месяца назад +1

    Pole sana laana yako inawatafna broo pga kazi

  • @osumsafi2095
    @osumsafi2095 4 месяца назад

    Pole sana boss duh

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 4 месяца назад +1

    Sisi simba hatujawahi kukupenda tangia uache kazi simba
    Ndiomaana hata ulivyolia na mashabiki walikuacha sisi hatumpendi mtu tunapenda timu yetu sasa wewe unatapatapa tulia
    Alafu kwenye swala la wizi usiseme
    CCM wanakujua vizuri sema unajisafisha tu

  • @Official83640
    @Official83640 4 месяца назад +1

    Manara Tv mmejaza interview za boss na matukio yake aisee haya kesho tunamfanyia nn boss😂😂😂

  • @gurayale2875
    @gurayale2875 3 месяца назад

    Makwasukwasu hiyo imeendaaaaaaaaaaa

  • @bablialik0019
    @bablialik0019 4 месяца назад +4

    Kaka mkubwa cha kuomba kwa ss muombe mola akupe pepo 2 hawo hawana fadhila allah akupe mwisho mwm 😮

  • @marymoshi572
    @marymoshi572 4 месяца назад

    Duh kama nikweli kaka Pole sana

  • @JamalAbas-fe5dj
    @JamalAbas-fe5dj 4 месяца назад

    Mnamuhoji bos mnacheka cheka tu

  • @KondoAmini
    @KondoAmini 3 месяца назад

    Du kumbe brother unavuta sigara!!!

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 4 месяца назад

    Msengee mweupee mamako

  • @SalambSalamb-hv1cj
    @SalambSalamb-hv1cj 4 месяца назад

    At walio kuamin unawapotosh wew naendag San kukufatilia ila ap umezingua wot mlikua wafanyakaz tu kilabu inausika wap

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 3 месяца назад

    Kwasukwasu

  • @fitinakisamuhagakisamuhaga693
    @fitinakisamuhagakisamuhaga693 4 месяца назад

    Hapo hata mimi ningemchukia mpaka nyanya yake na simba siyo simba tuu baba mpaka babu zake na marafiki zake kumbe mzungu walimtesa kiasi hicho yawezekana hata ndoa zake wanahusika hawa hawa simba kuzivunja yaani hawa nguruwe kabisa😂😂😂

  • @abdulnasuma9729
    @abdulnasuma9729 4 месяца назад

    El bugatti rudi kaka

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 4 месяца назад

    Mwongo sana huyu, simba has no such powers. They can’t order a policeman to go and arrest you. Manara you have a very serious sad life. Leave Mo alone, siyo size yako na wala hutamfikia hata ukiwalsngua CCM

    • @nabiljumaothman5912
      @nabiljumaothman5912 4 месяца назад

      Just leave the Guy alone ... We mkweli Simba wamemfunga GB64 kuna ajabu gani simba kuitia Watu polisi

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 4 месяца назад

    HAMNA SIMBA WALA YANGA WEWE NI KIPAJI TOKA KWA MUNGU SIMBA NA YANGA ZIMEKUWA NI NJIA KWANI NJIA ZIPO SI ZINATAKIWA ZITEMBELEWE

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx 3 месяца назад

    Wewe unaemuuriza kuwa umaalufu kaupata wapi hujui kwani kabla yakuwa simba mlikuwa mnamjua huyo katangazwa na simba hapo yanga wara hajawaka arivyo chukuriwa na simba arikuwa mwalimu wa madrasa

  • @malilosaid6495
    @malilosaid6495 3 месяца назад

    Kwa hiyo wewe ni mnafiki siyo mkweri Sasa kweri wewe mwisilamu

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 4 месяца назад

    Makwasu kwasu fc

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 4 месяца назад

    Hana mchango wowote manara mtto tu huyo hawez kuwa star kwakupanic na mashabik wachini mshamba

  • @raphaelkomba364
    @raphaelkomba364 3 месяца назад

    Nyiko wewe Simba ndio waliokupa jina msenge wewe

  • @zebedayobiswalo1924
    @zebedayobiswalo1924 4 месяца назад

    Mzee hiyo siyo kazi ya catalyst mzee

  • @pasua15
    @pasua15 4 месяца назад

    Manara kwer unao wewe ila we simba

  • @halidimsuya-cy9bl
    @halidimsuya-cy9bl 4 месяца назад +1

    Kumbe unavuta sigara

  • @AzhadSaid-j1t
    @AzhadSaid-j1t 4 месяца назад

    Manara mnafiki shoga tu

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 4 месяца назад

    Laaana waliofanya ndio inawatesa Watateseka sana

  • @Japanese-lz1or
    @Japanese-lz1or 4 месяца назад

    🤔🤔🤔 kumbe na ww unavuta sigara

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 3 месяца назад

    Acha propaganda kuna vitu haviwezekani hata kidogo kuhama timu unayoishabikia haiwezekani unaweza kwenda kufanya kazi timu pinzani lakini si kuishabikia.Timu ni kama kabira kaka hicho kibarua tu ila unaumia Simba kufanya vibaya coz ndio timu yako na hayo ulishaweka bayana mwenyewe babu yako ndio alikufanya uipende tangu utoto.

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 4 месяца назад

    Sasa iyo chuki sio club ya Simba kwako isipokuwa ni baadhi ya watu ambao wote mlikuwa wafanyakazi wa Simba ndio walikuwa na chuki au wivu kwako Sasa ulitakiwa kuwachukiwa awo sio club ya Simba Simba itakuwa mpaka meisho wa Dunia lakini awo waliokuwa na chuki na wewe wataondoka Simba siku moja hapo umefeli kuichukiaclub ya Simba ulipaswa kuwachukia binadamu wenzio sio club

  • @kaisisaid9394
    @kaisisaid9394 4 месяца назад

    haji kua tu mkweli simba wekutoa wewe

    • @mchawimweusinjomo5533
      @mchawimweusinjomo5533 4 месяца назад

      We naona hausikiliz vizur maelezo yake hajasema kama somba haina msaada kwake

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 4 месяца назад

    Manala ndugu yangu, kwani Simba ni watu? Make ukisema hauwezi kuipenda Simba ajili ya maudhi ya kazini!!! Hii siyo sawa.. kaka umesema %10 tukijia yalokukuta tutakuonea uruma!!
    Hapo mbona mambo yanayoonekana yenu katika Kazi? Mi nadhani kuja kukamatwa kwenye kutafta ushaid wa Mo nayo ni kawaida kaka...

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 4 месяца назад

    Ana mchango mkubwa wa kutukana binadamu, this guy is mentally ill, help him

    • @songombingo108
      @songombingo108 4 месяца назад

      Inawezekana wewe ni Dunduka. Kwahiyo huwezi kukubaliana na Haji. Fala wewe