EXCLUSIVE : ZAYLISSA AMCHANA MAKAVU LIVE HAJI MANARA / TUNAGOMBANA SABABU HUNIKUMBATII USIKU
HTML-код
- Опубликовано: 23 май 2024
- MKE HALALI WA C E O WA MANARA TV HAJI SUNDAY MANARA ZAIYLISSA AMEMCHANA MAKAVU LIVE MUME WAKE HAJI KWENYE KIPINDI CHAKE CHA MANARA HOUR HAJI AMEBAKI ANASHANGAA TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #hajimanara #diamondplatnumz #millardayo #mwijaku - Развлечения
Zaynabu ni mstaraabu sana na anaonekana ana mapenzi na mume wake mengi sana Mola amdumishe kwenye ndowa yake ❤❤ daaimah
Allah Ailinde ndoa yenu.zai umependeza san❤
Akuna mausiano ambayo yako parfect,Mungu akawatangulie katika ndoa yenu❤❤❤❤❤
Bismillah maa Shaa Allah Mrs Manara wow🥰 Akili Yako kubwa Sanaa hongera my
Mashallah manara tunza ndoà yako kaka tulia. Angalia maisha na watoto
Manara unajuaa sana
Yataka moyo kumuoji mkeo ila ni vyema kwa maisha🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Congrats guys your marriage is still going strong, Manara i see you boo, making wife a star. She should appreciate you and you her.
sema Mungu awape amani na upendo kwenye ndoa yenu🥰
Niwape hongera japo kwangu mm binafsi siwezi maana najua kuna jocks sana
Allah awafanyie wepesi.....mdumu milele
ugomvi hasa ule wa kipuuzi puuzi unatokana mara nyingi na upendo mkubwa unakuwepo kati yenu na mara nyingi upendo huo una demand kubwa unataka kudekezwadekezwa hivyo braza haji mdekeze shemeji yetu na ni haki yake
Jamani Allah awabark sn jazakallahu kher inshaalah
Kweli utu namalezi nde sawa
Safi sana hii interview
Mashaalah
Safi sana ❤❤
Nimegunduwa zaylisa anaakili nyingi na nidhamu. Ni mke mwema kwa Haji manara
MashaAllah ❤❤❤❤
Mbona usingempeleka kwa zamaradi tv akamhoji ingependeza zaidi
Ndoo kutafuta hela ndomana wapo hapo
Mbona isiwe Kwa manara TV! Anajenga TV show yake!!
Haji nay mko vzr mashaallah
Hahahaha Bugati kumbatia babaaa😂😂 me mwenzio nishajirekebisha😂😂😂
Safi sana😂😂😂
Mu mnziiiiiiiiu
Haji unataka kumuongozea nyashi zay
❤❤❤
Hii inaitwa kujitekenya ili ucheke😂😂
Anamkumbuka ngoja mkiachana ndio atamjuwa anae muwaza au anayemkumbuka
Lakini yule aliyemtoa sild amkumbuki naye kweli mmmh
Daah bugati weee
Allah awadumishe
❤❤❤❤❤❤❤❤
Swadaktaaa nawatakia maisha mema
Manara umempata mke ametulia akili
Unamuuliza kufumaniana.kwani nyie mulivyokuwa munakulana,so kufumaniana.na mlikuwa hamna ndoa
Upumbavu tu,km hakukumbatiii si ujiongeze
Hii ni therapy Kwa ndoa Yao!!
Kweli unapendwaa au ndoizo kiki ? Haya tuyaone
Hii content inachekesha 😂
Una mke wewe.na wewe zai una mume hapo?? Mnazini tu.mlikaa uhawara ndo mubariiki ndoa.ya wapi hayo ktk uislam
Ungefunika hicho kifua chako ungependeza zaidi dada
Na wewe hasa wa kukimbiwa
Pipa na mfuniko
😂😂😂😂
Ni interview nzuri kwa couple hii nzuri naya mfano. 😂😂😂😂
Na wee Haji ni kafiri mkubwa.wee umevaa nguo.mke umemueka Uchi.
Msukule na mdori wake😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Nawapenda saaaaaana Mungu awalindiye ndoa yenyu kabisa
Ukwwli haji toka uha simba nilikuchukia lakini nime penda ulivo muhiji mkeo
Adabu Huna.unakaa Uchi.changudoa wee.mke wa mtu hakai kuma nje.
Haters😂😂😂😂
Lazima una matatizo wewe si kwa chuki hiyo, mtafute mwanasaikolojia akusaidie, dalili za kichaa nakiona kwako, tena huyo Dr awe na kichaa kama wewe