MKOJANI NI MCHAWI? MKE WAKE AMWAGA UKWELI WOTE "ANAWEZA KUMILIKI MBUYU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #mkojani #mkojanigang
    MKOJANI NI MCHAWI? MKE WAKE AMWAGA UKWELI WOTE "ANAWEZA KUMILIKI MBUYU"
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 90

  • @lucyrenatus5207
    @lucyrenatus5207 4 месяца назад +7

    Lkn hii imezidi Sana Kwa mkojani maan wengi wanasema halipi..lisemwalo lipo kama halipo bas laja

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 4 месяца назад

      Weee kukaa na watu kazi sana.mi yameshanikuta achana na kitu chuki

  • @SultaniDitopile
    @SultaniDitopile 4 месяца назад +5

    Hapa kuna ukweli mana hadi samofi alisema mkojani mchawi

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 4 месяца назад +3

    Inawezekana kweli ni mchawi lkn kulea vijana asee shughuli ipo.wanabadilika balaa viburi vya kutosha we mi sitaki tena

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 4 месяца назад +6

    Izo stress za kulipa iyo nyumba rent kwann asiwadidimize wasanii

  • @LeylaHamisi-qh3kb
    @LeylaHamisi-qh3kb 4 месяца назад +9

    Ndo mana chumvi nyingi alijitoa mapema😮😮

  • @Movadofillm
    @Movadofillm 4 месяца назад +14

    Huyu mwanamke siku akija kuachwa namkojani ataoropoka mengi sana hii intaview naiweka ili Nije kumskilizisha maana anavyoongea hapo utazani kama yeye ndo mkurugenzi wakampuni

  • @Halflife__infotech
    @Halflife__infotech 3 месяца назад +2

    Mkojani unafanya kazi nzuri sana, ila youtube yako umepigwa mzee...
    Lakini pia suala la kua na mazoea na wafanyakaz wako mpaka unawaweka nyumbani kwako hayo mambo achana nayo yamekaa kim chongo sana....
    Lengo lako ni kutaka kuwatumia pasi na kuwalipa alafu mwisho wa siku kisingizio kiwe unawalea kwa gharama zako, wakati huo tambua ni watu wazima na uwepo wao unafanya uendelee kuwepo hapo juu ulipo ... mzee play now pay later! Hayo mambo tumekutana nayo sana tukiwa huko Tz.
    Na huyu mkeo nina wasiwasi nae japo sijui kwann..anajiamini sanaaaa😂

  • @KautharRamadhan-xv3gf
    @KautharRamadhan-xv3gf 3 месяца назад +2

    Anaongelea vitu visivyohusiana uyo mwanamke mara picha za utupu zinahusiana nn

  • @bilaliabdallah9351
    @bilaliabdallah9351 4 месяца назад +2

    Nan alogundua kuwa mke wa mkojani ana fanana na zinduna kuanzia sura, Uongeaji mpaka sauti

  • @ibocwamabe-rk7jz
    @ibocwamabe-rk7jz 3 месяца назад +1

    kazi hiii po kayatimba

  • @timothyndiwa2651
    @timothyndiwa2651 4 месяца назад +2

    Labda ata Ni mwanamke huyu ndio anamchonganisha Chandimu na mkojani

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 4 месяца назад +2

    Dah kipupwe ongera sana maendeleo yako hayawezi mfurahisha kila mtu.ukifatiliwa unatamanika na unavutiya zidi kupambana.wewe ni mfano bora tanzania kwenye tasnia ya comedie unatisha ndugu yangu👏

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 4 месяца назад

      🙏🙏🙏🙏🥰

  • @RobsonWisdom
    @RobsonWisdom 4 месяца назад +3

    We dada hata kiswahili kinakushinda unamtetea mumeo sana

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 4 месяца назад +2

    Skuona lamaana had kuongea kuwa mnavideo zake z uchi jmn khaa we dada alafu unaongea kwa panik" alafu mkojan kuwa na mtt wa miaka 18 mbn inawezekana kwan ana utoto gan

  • @MATHA-kg1es
    @MATHA-kg1es 4 месяца назад +2

    Jaman m najua mkojani nimtu wa songwe tanga tena?

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 4 месяца назад +2

    Kwahyo na wale wengine walikua wanamchafua tu au sio

  • @Hapygideon
    @Hapygideon 3 месяца назад +1

    Ambao hatujamuelewa huyu dada likes tafadhali 😂😂😂😂

  • @ramadhanirashidi4175
    @ramadhanirashidi4175 4 месяца назад +1

    Sema inaonekana muna wanyonya kweli kuna msanii gani ana hata gari zaidi ya mkoani samofi mwenyewe gari mpka walivyo chafuana ndy akaambiwa ata pew

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd 3 месяца назад +1

    Kwan mkojan Kaz nyingine anafanya Kaz gan

  • @MunaMuddy
    @MunaMuddy 4 месяца назад +2

    Sasa hizo video za utupu kulikua n ulazima gani kuyaongea hayo khaaa binadamu 😁😂😂😂😂💔🙌au ndo ubaya juu ya ubaya

  • @SimonWembo-re3sq
    @SimonWembo-re3sq 3 месяца назад +2

    So anamtetea bhn anasema kwel,,,, kikubwa tufurah mamb mengne yaendelee kuhusu uchaw si haituhusu atajuwa yy na Mung wake,,,ila kwa comedy mkojani ni noumaaaaaaaa sana aseee

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 4 месяца назад +1

    Mmm mbona uyo sister kafanana na chandimu

  • @salymsuleiman2035
    @salymsuleiman2035 4 месяца назад +2

    Hakuna mwanzo lisilokuwa na mwisho one day Allah ataleta kweli

  • @vkivurugecomedy1496
    @vkivurugecomedy1496 4 месяца назад

    Niwaulize kitu mnao sema anateswa na alipwi mbona bado yuko kwa mkojani na kaxi mpya inayo luka kacheza aaeche kiki sio vixurii bila mkojani nani angemjua usimchafue kwa kuwa umepata

  • @JahiyahIdrissa
    @JahiyahIdrissa 4 месяца назад +1

    Tamaaa mkojani bwani

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 4 месяца назад +1

    Mashaallah nyumba hio nzuri Sana ❤

  • @wizzykeyzbeat
    @wizzykeyzbeat 3 месяца назад +1

    Akiachika atasema ukweli chezea iphone 15 ww 😂😂😂

  • @jonathanmwanja3994
    @jonathanmwanja3994 4 месяца назад +1

    Sofa nzuri mkojani

  • @dotoomary6889
    @dotoomary6889 4 месяца назад

    Sura ya sister kama yangu

  • @MbarakaidiIdirisa
    @MbarakaidiIdirisa 4 месяца назад +1

    Chandimu msenge na mkitaka kujua wanadamu tulivyo fanya kumsaidia mtu mmoja ulonae karbu na atakuja kwa kulia ila mwisho wake ndio utajua wanadamu walivyo

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 4 месяца назад +1

    Mbona anafanana sana na Mkojaniii😮😮

  • @BonifaceSylivester
    @BonifaceSylivester 4 месяца назад +1

    Mjianalie msije kutupoteza mashabiki

  • @elisifaedsoni
    @elisifaedsoni 4 месяца назад +17

    Unamtetea mme wako ww Amna lolote mkojan mnyonyaji anawakandamiza wasanii wadogo ipo ivoo usitufunge kamba uongo2 kuoga mmhmmh

  • @imtiaznazirosman9305
    @imtiaznazirosman9305 4 месяца назад +2

    Huyo mtangazaji afadhali angevaa hijabu tu akajitinda

  • @PonamaliMtanzania
    @PonamaliMtanzania 4 месяца назад

    Mkojani. Umejiitaidi sio kwa mjengo huo

  • @Rodgers393
    @Rodgers393 4 месяца назад

    Kwa wizi Kenya tunaongoza Afrika Lakini kwa uchawi Tanzania inaongoza ndugu zangu 😂😂😂mtu awezi toka bila kufanya ushirikina jamani kwa muamin mungu tu mnashindwa

  • @omarisike8799
    @omarisike8799 4 месяца назад

    Hapa kuna vitu haviko sawa, huyo mkewe mkojani hana hoja zenye mashiko kuhusu maneno yanayozungumzwa juu ya mkojani. Nafikiri mkojani anatakiwa kutengeneza namba nzuri ya ufanyaji Kazi zake atenganishe ndoa yake na shughuli zake za kiuchumi

  • @JuliusAugustino-wp1yo
    @JuliusAugustino-wp1yo 4 месяца назад

    Wanamchafua tu mkojani kwakua ashakua brand

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 4 месяца назад

    Wasafi bana why mnatumia micro fon mojaa,????

    • @FatumaShabani-mp9vt
      @FatumaShabani-mp9vt 4 месяца назад +1

      We nawe ashuo 😮kwani ajabu sio Kila seem Kila mtu na maiko Fon yake 😏😏😏

  • @Bravegirl.427
    @Bravegirl.427 4 месяца назад

    Kesi ya nyani kapewa ngedere

  • @HanceKimokozi
    @HanceKimokozi 4 месяца назад +3

    Duwe uwa namkubali sanaa

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 4 месяца назад

    Nakunenepa kanenepa kawa na bonge la tumbo Chandimu Bin Daruwesh😂😂😂😂
    Hiyo Video ilikuwa wp dd hapo kuna kitu nahisi sio bure mbona unaongea mambo mengi kumtetea Mkojani acha dharau

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 4 месяца назад +1

    Nzunda wa tanga au kahamia toka mbozi ❤

  • @AllySibila
    @AllySibila 4 месяца назад +2

    Nyumba za kimara hizi mwendo wa milima😂

  • @EzekielJimmy-v1o
    @EzekielJimmy-v1o 4 месяца назад +1

    Dogo chandim aende ajiunge kwa chunvi nyingi

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df 4 месяца назад

    Hii ndo inaitwa tenda wema nenda zako,kua kiongozi kunaomba roho ngum sn.

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 4 месяца назад

    Maneno meeeengiiiihh mnaonekana mna matatizo na bwana wako punguzen tamaa

  • @kontz2798
    @kontz2798 4 месяца назад

    We dada unaongea kama sio msomi maswala ya siri chandimu kwenda bar inahusu nini jibu kama mtu mzima seeeeeeh utoto tu fyuuuuuu

  • @shamimageta6651
    @shamimageta6651 4 месяца назад +1

    Dah Sasa video za utupu tena😂😂😂 mngeyamaliza tu

  • @SadyaIsco
    @SadyaIsco 4 месяца назад

    Jamn mkojan bland muachen lazim mt akiw bland atatangazia kil bay mkojan una bay bab log sn lizik popot awo wote maish yao magumuu pig kaz wek tuwek

  • @lilybarongo8119
    @lilybarongo8119 4 месяца назад

    Kasema analipwa elfu 50

  • @chidi_don
    @chidi_don 4 месяца назад +2

    MKOJANI MCHAWI 🤣🤣🤣

  • @CalvinKidayo
    @CalvinKidayo 4 месяца назад +2

    Duh

  • @naviebeatz
    @naviebeatz 4 месяца назад

    video inaanza na mikelele

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 4 месяца назад

    Unaonekana unamtetea kumeo

  • @ElizabethMchomvu-s2d
    @ElizabethMchomvu-s2d 3 месяца назад

    Dada nilikuwa nakuibia mume afu tunapiga story ila mwisho wa siku mke niww 😂😂😂😂

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 4 месяца назад

    Huyu dada hata sijamuekewa

  • @nasmick_brand_media
    @nasmick_brand_media 4 месяца назад

    ruclips.net/video/HlUYeWjfBHc/видео.htmlsi=oricV-FPuO06vkul
    Kunguru video

  • @KenifamilyTV
    @KenifamilyTV 4 месяца назад +1

    Kwenye Kaz kukosana kupo, ila nikosa kutamka kaulimbaya kwa kujitetea wewe. Apo Chandimu Kafanya kosa kwakweli tena sana tu.
    Mwanzo kapikwa pili kaluusiwa kufanya kisha kuanzia kuoneka, sawa tunageukaga lakini huo anatengeneza ubaya, na nikituambacho akitakiwi kutokana na umli wake.

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 4 месяца назад

      Kama ni ww hulipwi vp ungekaa kimya au wale kina samofi na chumvi nao waongo bas

  • @Ndundu23
    @Ndundu23 4 месяца назад

    huyu mwanamke anamshika maskio

  • @saidilome-ue2df
    @saidilome-ue2df 4 месяца назад

    Ikiwa km kweli Mkojani ni mnyonyaji mbona Kamugisha na Baruti hawajawah kutoka wala kulalamika nawao ni wakitambo kuliko woote walioko ss Mkojani gang.

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 4 месяца назад

      Mbona unaongea pumba mzeee😂😂 sas hyo ndo inaonesha kua sio mnyonyaji? Kwahyo wale wengi walio ondoka nao tusemeje?

  • @ShamsaGao-nn1ge
    @ShamsaGao-nn1ge 4 месяца назад

    Wee mwana mke unaoneka unaroho mbaya achen kumchafua mtt Wa w2, watu kibao wanalalamika hawalipwi

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 4 месяца назад

    Msubili hapohapo ndivyo walivyo he will come kneeling down

  • @IrenewillyMwenda
    @IrenewillyMwenda 4 месяца назад

    Mnanong'ona San toen sauti

  • @ZubedaHussein-it7nf
    @ZubedaHussein-it7nf 4 месяца назад

    Punguzen iyo mikelele yenu bhna

  • @chidi_don
    @chidi_don 4 месяца назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 4 месяца назад

    Sofa zang pendwa daima

  • @Josephkp629
    @Josephkp629 4 месяца назад

    Tufanye kwel haya mkojani mchawi na huyo Samofi karud karogwa au? Embu muache uchawa kidgo

  • @Ndundu23
    @Ndundu23 4 месяца назад

    huyu mwanamke anamshika maskio

  • @AliMkumbukwa
    @AliMkumbukwa 4 месяца назад +4

    Nyumban nzul ❤

  • @abuuabdillahtv8457
    @abuuabdillahtv8457 4 месяца назад +3

    Asinge kuwa mkojani chandimu tusinge mjuwa chandimu alicho kifanya kamkosea mkojan na adabu

    • @ShamsaGao-nn1ge
      @ShamsaGao-nn1ge 4 месяца назад

      Fatilia vizur ndugu chadim ameanza mda

    • @abuuabdillahtv8457
      @abuuabdillahtv8457 4 месяца назад

      @@ShamsaGao-nn1ge miaka yote alio kaa alikuwa alipwi amemkosea mkojan amuombe radh

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 4 месяца назад

      Sasa kama ni ww hulipwi ungekaa tuu au mapenzi yako, kwahiyo samofi na chumvi nao wanamsingizia au

  • @cattovan_tz228
    @cattovan_tz228 4 месяца назад

    MKOJANI DAWA YAKE SAMOFI TUH😂😂😁😁

  • @mosessimkoko9364
    @mosessimkoko9364 4 месяца назад

    Kiki