MKOJANI NI MCHAWI? MKE WAKE AMWAGA UKWELI WOTE "ANAWEZA KUMILIKI MBUYU"
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #mkojani #mkojanigang
MKOJANI NI MCHAWI? MKE WAKE AMWAGA UKWELI WOTE "ANAWEZA KUMILIKI MBUYU"
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Lkn hii imezidi Sana Kwa mkojani maan wengi wanasema halipi..lisemwalo lipo kama halipo bas laja
Weee kukaa na watu kazi sana.mi yameshanikuta achana na kitu chuki
Hapa kuna ukweli mana hadi samofi alisema mkojani mchawi
Inawezekana kweli ni mchawi lkn kulea vijana asee shughuli ipo.wanabadilika balaa viburi vya kutosha we mi sitaki tena
Izo stress za kulipa iyo nyumba rent kwann asiwadidimize wasanii
Ndo mana chumvi nyingi alijitoa mapema😮😮
Huyu mwanamke siku akija kuachwa namkojani ataoropoka mengi sana hii intaview naiweka ili Nije kumskilizisha maana anavyoongea hapo utazani kama yeye ndo mkurugenzi wakampuni
Mkojani unafanya kazi nzuri sana, ila youtube yako umepigwa mzee...
Lakini pia suala la kua na mazoea na wafanyakaz wako mpaka unawaweka nyumbani kwako hayo mambo achana nayo yamekaa kim chongo sana....
Lengo lako ni kutaka kuwatumia pasi na kuwalipa alafu mwisho wa siku kisingizio kiwe unawalea kwa gharama zako, wakati huo tambua ni watu wazima na uwepo wao unafanya uendelee kuwepo hapo juu ulipo ... mzee play now pay later! Hayo mambo tumekutana nayo sana tukiwa huko Tz.
Na huyu mkeo nina wasiwasi nae japo sijui kwann..anajiamini sanaaaa😂
Anaongelea vitu visivyohusiana uyo mwanamke mara picha za utupu zinahusiana nn
Nan alogundua kuwa mke wa mkojani ana fanana na zinduna kuanzia sura, Uongeaji mpaka sauti
kazi hiii po kayatimba
Labda ata Ni mwanamke huyu ndio anamchonganisha Chandimu na mkojani
Dah kipupwe ongera sana maendeleo yako hayawezi mfurahisha kila mtu.ukifatiliwa unatamanika na unavutiya zidi kupambana.wewe ni mfano bora tanzania kwenye tasnia ya comedie unatisha ndugu yangu👏
🙏🙏🙏🙏🥰
We dada hata kiswahili kinakushinda unamtetea mumeo sana
Skuona lamaana had kuongea kuwa mnavideo zake z uchi jmn khaa we dada alafu unaongea kwa panik" alafu mkojan kuwa na mtt wa miaka 18 mbn inawezekana kwan ana utoto gan
Jaman m najua mkojani nimtu wa songwe tanga tena?
Kwahyo na wale wengine walikua wanamchafua tu au sio
Ambao hatujamuelewa huyu dada likes tafadhali 😂😂😂😂
Sema inaonekana muna wanyonya kweli kuna msanii gani ana hata gari zaidi ya mkoani samofi mwenyewe gari mpka walivyo chafuana ndy akaambiwa ata pew
Kwan mkojan Kaz nyingine anafanya Kaz gan
Sasa hizo video za utupu kulikua n ulazima gani kuyaongea hayo khaaa binadamu 😁😂😂😂😂💔🙌au ndo ubaya juu ya ubaya
So anamtetea bhn anasema kwel,,,, kikubwa tufurah mamb mengne yaendelee kuhusu uchaw si haituhusu atajuwa yy na Mung wake,,,ila kwa comedy mkojani ni noumaaaaaaaa sana aseee
Mmm mbona uyo sister kafanana na chandimu
Hakuna mwanzo lisilokuwa na mwisho one day Allah ataleta kweli
Niwaulize kitu mnao sema anateswa na alipwi mbona bado yuko kwa mkojani na kaxi mpya inayo luka kacheza aaeche kiki sio vixurii bila mkojani nani angemjua usimchafue kwa kuwa umepata
Tamaaa mkojani bwani
Mashaallah nyumba hio nzuri Sana ❤
Kbsa
Akiachika atasema ukweli chezea iphone 15 ww 😂😂😂
Sofa nzuri mkojani
Sura ya sister kama yangu
Chandimu msenge na mkitaka kujua wanadamu tulivyo fanya kumsaidia mtu mmoja ulonae karbu na atakuja kwa kulia ila mwisho wake ndio utajua wanadamu walivyo
Mbona anafanana sana na Mkojaniii😮😮
Mkipendana mnafanana
Mjianalie msije kutupoteza mashabiki
Unamtetea mme wako ww Amna lolote mkojan mnyonyaji anawakandamiza wasanii wadogo ipo ivoo usitufunge kamba uongo2 kuoga mmhmmh
Naww mtafut wa kukutetea
Naww mtafut wa kukutetea
🤣🤣
kwahyo ww ndio ceo pale kwamba unajua kila kitu
Huyo mtangazaji afadhali angevaa hijabu tu akajitinda
Mkojani. Umejiitaidi sio kwa mjengo huo
Kwa wizi Kenya tunaongoza Afrika Lakini kwa uchawi Tanzania inaongoza ndugu zangu 😂😂😂mtu awezi toka bila kufanya ushirikina jamani kwa muamin mungu tu mnashindwa
Yaan balaa
Mtihan walah
Hapa kuna vitu haviko sawa, huyo mkewe mkojani hana hoja zenye mashiko kuhusu maneno yanayozungumzwa juu ya mkojani. Nafikiri mkojani anatakiwa kutengeneza namba nzuri ya ufanyaji Kazi zake atenganishe ndoa yake na shughuli zake za kiuchumi
Wanamchafua tu mkojani kwakua ashakua brand
Wasafi bana why mnatumia micro fon mojaa,????
We nawe ashuo 😮kwani ajabu sio Kila seem Kila mtu na maiko Fon yake 😏😏😏
Kesi ya nyani kapewa ngedere
Duwe uwa namkubali sanaa
Nakunenepa kanenepa kawa na bonge la tumbo Chandimu Bin Daruwesh😂😂😂😂
Hiyo Video ilikuwa wp dd hapo kuna kitu nahisi sio bure mbona unaongea mambo mengi kumtetea Mkojani acha dharau
Nzunda wa tanga au kahamia toka mbozi ❤
Nyumba za kimara hizi mwendo wa milima😂
Bonyokwa
Dogo chandim aende ajiunge kwa chunvi nyingi
Hii ndo inaitwa tenda wema nenda zako,kua kiongozi kunaomba roho ngum sn.
Maneno meeeengiiiihh mnaonekana mna matatizo na bwana wako punguzen tamaa
We dada unaongea kama sio msomi maswala ya siri chandimu kwenda bar inahusu nini jibu kama mtu mzima seeeeeeh utoto tu fyuuuuuu
Dah Sasa video za utupu tena😂😂😂 mngeyamaliza tu
Jamn mkojan bland muachen lazim mt akiw bland atatangazia kil bay mkojan una bay bab log sn lizik popot awo wote maish yao magumuu pig kaz wek tuwek
Kasema analipwa elfu 50
MKOJANI MCHAWI 🤣🤣🤣
Duh
video inaanza na mikelele
Unaonekana unamtetea kumeo
Dada nilikuwa nakuibia mume afu tunapiga story ila mwisho wa siku mke niww 😂😂😂😂
Huyu dada hata sijamuekewa
ruclips.net/video/HlUYeWjfBHc/видео.htmlsi=oricV-FPuO06vkul
Kunguru video
Kwenye Kaz kukosana kupo, ila nikosa kutamka kaulimbaya kwa kujitetea wewe. Apo Chandimu Kafanya kosa kwakweli tena sana tu.
Mwanzo kapikwa pili kaluusiwa kufanya kisha kuanzia kuoneka, sawa tunageukaga lakini huo anatengeneza ubaya, na nikituambacho akitakiwi kutokana na umli wake.
Kama ni ww hulipwi vp ungekaa kimya au wale kina samofi na chumvi nao waongo bas
huyu mwanamke anamshika maskio
Ikiwa km kweli Mkojani ni mnyonyaji mbona Kamugisha na Baruti hawajawah kutoka wala kulalamika nawao ni wakitambo kuliko woote walioko ss Mkojani gang.
Mbona unaongea pumba mzeee😂😂 sas hyo ndo inaonesha kua sio mnyonyaji? Kwahyo wale wengi walio ondoka nao tusemeje?
Wee mwana mke unaoneka unaroho mbaya achen kumchafua mtt Wa w2, watu kibao wanalalamika hawalipwi
Msubili hapohapo ndivyo walivyo he will come kneeling down
Mnanong'ona San toen sauti
Punguzen iyo mikelele yenu bhna
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sofa zang pendwa daima
Tufanye kwel haya mkojani mchawi na huyo Samofi karud karogwa au? Embu muache uchawa kidgo
huyu mwanamke anamshika maskio
Nyumban nzul ❤
Asinge kuwa mkojani chandimu tusinge mjuwa chandimu alicho kifanya kamkosea mkojan na adabu
Fatilia vizur ndugu chadim ameanza mda
@@ShamsaGao-nn1ge miaka yote alio kaa alikuwa alipwi amemkosea mkojan amuombe radh
Sasa kama ni ww hulipwi ungekaa tuu au mapenzi yako, kwahiyo samofi na chumvi nao wanamsingizia au
MKOJANI DAWA YAKE SAMOFI TUH😂😂😁😁
Kiki