SHILOLE AWASHIWA MOTO NA DK SURE, KWANINI UNAWACHEZEA WANAUME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 66

  • @saifal-busaidi-x8j
    @saifal-busaidi-x8j 3 месяца назад +2

    Dr. Sure maneno yako sahihi Mungu akujalie uwe mwema na muadilifu

  • @maxmiletz4563
    @maxmiletz4563 3 месяца назад +5

    Asante dokta nimejifunza kitu

    • @AzaAzamhmod
      @AzaAzamhmod 3 месяца назад

      Shekhe smart sana❤❤❤

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 3 месяца назад +5

    Nimependa somo❤❤❤

  • @elizabethmukeba2528
    @elizabethmukeba2528 3 месяца назад +5

    Shilole we ni mwanamke mwenye muzuri sana tena mpambanaji lakini pesa yako sio fimbo ya kuwachapa wanaume

  • @ShukurMkan
    @ShukurMkan 3 месяца назад +3

    Upo sawa sana shekhe

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 3 месяца назад +4

    Asante imenisaidia sikujua mambo mengi nimemjua sasa

  • @رحمةمحمد-ش1ه
    @رحمةمحمد-ش1ه 3 месяца назад

    Swadaqta doctor Sule.mashaallah Allah akuzidishie akili.

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 3 месяца назад +8

    Sheikh Sule ana elimu na anajiamini,hodari wa kujieleza huchoki kumsikiliza na unajifunza mengi.

  • @ErizicDaud
    @ErizicDaud 3 месяца назад +3

    Dr .nimekuelesa sana

  • @raimajimoto1122
    @raimajimoto1122 3 месяца назад +3

    Nimekuelewa sana mwamba

  • @MuharamiNgasinda
    @MuharamiNgasinda 3 месяца назад +4

    Dr of drs

  • @CatySungula
    @CatySungula 3 месяца назад

    Hongera Sana shehe. Umesema kweli tupu, uko vzr Sana. Yani hapo pa wanaume ndo penyewe, hata mm naliaga na hapo pa elimu ya ndoa kwa wanaume pamesahaulika Sana.

  • @jamilamasoud8544
    @jamilamasoud8544 3 месяца назад +2

    Jifundishe kutuma handkerchief sheikh, kimawaidha uko sawa.

  • @sudamohamed1439
    @sudamohamed1439 3 месяца назад

    Subhana Allah dunia imekwisha ajiitangaza ataka mume . Waschana Mbona hatuna Haya . Aibuuuuu

  • @Bahatiali781
    @Bahatiali781 Месяц назад

    Ukweli uxtdhi ❤

  • @RehemaKiswago
    @RehemaKiswago 3 месяца назад +1

    shilole upo sahii san

  • @MsonjoSicario
    @MsonjoSicario 3 месяца назад +1

    Mie ni Mkristo....
    Ila Huyu MR DR Sheikh SURE ni brilliant sana....Awesome....AMESOMA.....BIG UP SIR...

    • @tonnyojambo1731
      @tonnyojambo1731 3 месяца назад

      Sasa ukristo hapo unakujaje?

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 3 месяца назад

      ​@@tonnyojambo1731Sasa wewe wataka jibu la aina gani? Kasema yeye ni mkristo lakini maelezo ya huyu sheikh yamemwingia. Ubishi tu wa kipuuzi hauna maana. Huyu ni mkristo anayeweza kuingia uislamu.

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 3 месяца назад +1

    Dr eeeh,Hachezei wanaume,anachezea wavulana😂😂😂😂😂

  • @AminaJuma-r4v
    @AminaJuma-r4v 3 месяца назад +2

    ALLah mtukufu akupe mwesho mwema shehk wetu uko vizurr
    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤،،🌹🌹🌹💞💞💞💞💕💕💕💕🍀🍀🍀🍀🌱🌱🌱🌱🌷🌷🌷🌷☘️☘️☘️☘️🌷💓💓💓💓💖💖💖💖🇹🇿

  • @florakimaro-vw7qj
    @florakimaro-vw7qj 3 месяца назад

    😂😂😂😂😂umenifanya nicheke jamani mwanamke anaweza kuongeza vitu juu ya kitu unaweka kucha juu yakucha nywele juu ya nywele jamani nimecheka

  • @D1andonlysally
    @D1andonlysally 3 месяца назад +1

    Leo dk kakerwa na mmoja wa wake zake😂😂

    • @afianzele7571
      @afianzele7571 3 месяца назад

      nkadhani nimeona peke yangu😅

  • @sallysafisanakijanakazibut1688
    @sallysafisanakijanakazibut1688 3 месяца назад

    Yaqni hilo la mwanaume kujitetea akiwa na kosa nakupa 100 kwa 100.

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 3 месяца назад +1

    Shekh toa namba kuna mtu nimtengeneze 😂😂😂😂

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 3 месяца назад

    Tz ndoa nyingi watu hawana herimu na ndoa sasaiv watu wameona mtandaoni ndio makama Yao

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Kwani kuachika kwa shilole ni ajabu au kwa vile ni star hamna kitu cha kuzungumzi ktk news

  • @Onlyforfun1992tube
    @Onlyforfun1992tube 3 месяца назад

    😂😂😂😂 janja janja dah hatari

  • @faridseilan4400
    @faridseilan4400 3 месяца назад

    Assalamu alekum naomba Dr.Sule ani fasirie hii Ayaa wayata3allamunna ma yadhuruhum wala yanfa3ahum surrat Bagara Ayaa 101 to 102

    • @TatoTato-t7s
      @TatoTato-t7s 3 месяца назад

      Nawewe kunamaajabu gan usiposikiliza apa Kwan umeitwa au umekewa bando namtu usikilize

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 3 месяца назад

    Kiukweli ata na mimi nampenda huyu dada.sana

    • @salisali3738
      @salisali3738 3 месяца назад

      Sawa lini niende kuchumbia😂😂😂

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 3 месяца назад

    Vipi sheikh anakunywa maji bila Bismilah wala Alhamdulillah

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozya 3 месяца назад

    Umbea tu

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 3 месяца назад

    Haswaaa🎉😂😂😂😂

  • @abdulazizimashaka3275
    @abdulazizimashaka3275 3 месяца назад +3

    Huyu shekh nae anapenda umaarufu jmn

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 3 месяца назад

      Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 3 месяца назад

      Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏

    • @nakundwamkubwe7823
      @nakundwamkubwe7823 3 месяца назад +4

      @abdulazizimashaka3275 Dr Sulle ni maarufu kabla mimba yako haijatungwa. Sulle hana shida ya umaarufu labda wewe umemjua jana.

    • @hajiramadhanihaji355
      @hajiramadhanihaji355 3 месяца назад +1

      Dr sule Ni sheikh maarufu tangu zamani . Anaelimisha jamii vizuri . Jamii inahitaji watu Kama hawa.

    • @salisali3738
      @salisali3738 3 месяца назад +1

      Sana

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 3 месяца назад

    Hakuna uhusiano Kati ya dini na ndoa kwa sababu ndoa ipo daima na ni ni lazima.Dini ni hadithi nyingine

    • @hemedramadhani7946
      @hemedramadhani7946 3 месяца назад +2

      upo uhusiano wa ndoa na dini kaka.

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 3 месяца назад

      Upo uhusiano?.
      Kivipi​@@hemedramadhani7946

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 3 месяца назад

      Kikristo imeandikwa ndoa ni mojawapo ya maisha matakatifu, ikaandikwa Mungu anachukia kuachana 😢

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 3 месяца назад

    Aaa sh na wanaume pia wapo wanauliza masuali ya kijinga hayo unoyasema na wanaume wanayo pia wengine

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 3 месяца назад

    Saa mbona sidiria yangu iko wapi, 😂😂

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 3 месяца назад

    Sheghe sio wanawake wa siku hizi si kama wapenda kujaliwa no hawana habari wanapenda pesa tu hata asipokuona

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад

    uyo sule hafai ata kwa chumvi...aachwe kama alivyo...na usipomuelewa hakuna kitu utaelewa mpaka kifo chako

  • @MonaMis-m3t
    @MonaMis-m3t 3 месяца назад

    😂😂😂

  • @AbdulkareemNyongoro
    @AbdulkareemNyongoro 3 месяца назад

    Kumbe sule hata qur' an hajui kusoma

  • @sallysafisanakijanakazibut1688
    @sallysafisanakijanakazibut1688 3 месяца назад

    Mengine umesema sahihi km kuwa na hasira sana unapokuwa kwenye siku. Ila hili la kutosheka wanaume pia hawatoshiki haswa kwa kutaka wanawake hamtoshi na hicho kitu hata mkiowa wanee bado mnataka zaidi

  • @HadijaMmwaro
    @HadijaMmwaro 3 месяца назад

    Roho inakuuma umekosewa eti unaenda kupika na kupakua kwa wakwe😂😂😂😂nijikute