Hongera Sana shehe. Umesema kweli tupu, uko vzr Sana. Yani hapo pa wanaume ndo penyewe, hata mm naliaga na hapo pa elimu ya ndoa kwa wanaume pamesahaulika Sana.
@@tonnyojambo1731Sasa wewe wataka jibu la aina gani? Kasema yeye ni mkristo lakini maelezo ya huyu sheikh yamemwingia. Ubishi tu wa kipuuzi hauna maana. Huyu ni mkristo anayeweza kuingia uislamu.
Mengine umesema sahihi km kuwa na hasira sana unapokuwa kwenye siku. Ila hili la kutosheka wanaume pia hawatoshiki haswa kwa kutaka wanawake hamtoshi na hicho kitu hata mkiowa wanee bado mnataka zaidi
Dr. Sure maneno yako sahihi Mungu akujalie uwe mwema na muadilifu
Asante dokta nimejifunza kitu
Shekhe smart sana❤❤❤
Nimependa somo❤❤❤
Shilole we ni mwanamke mwenye muzuri sana tena mpambanaji lakini pesa yako sio fimbo ya kuwachapa wanaume
Upo sawa sana shekhe
Asante imenisaidia sikujua mambo mengi nimemjua sasa
Swadaqta doctor Sule.mashaallah Allah akuzidishie akili.
Sheikh Sule ana elimu na anajiamini,hodari wa kujieleza huchoki kumsikiliza na unajifunza mengi.
Dr .nimekuelesa sana
Nimekuelewa sana mwamba
Dr of drs
Hongera Sana shehe. Umesema kweli tupu, uko vzr Sana. Yani hapo pa wanaume ndo penyewe, hata mm naliaga na hapo pa elimu ya ndoa kwa wanaume pamesahaulika Sana.
Jifundishe kutuma handkerchief sheikh, kimawaidha uko sawa.
Subhana Allah dunia imekwisha ajiitangaza ataka mume . Waschana Mbona hatuna Haya . Aibuuuuu
Ukweli uxtdhi ❤
shilole upo sahii san
Mie ni Mkristo....
Ila Huyu MR DR Sheikh SURE ni brilliant sana....Awesome....AMESOMA.....BIG UP SIR...
Sasa ukristo hapo unakujaje?
@@tonnyojambo1731Sasa wewe wataka jibu la aina gani? Kasema yeye ni mkristo lakini maelezo ya huyu sheikh yamemwingia. Ubishi tu wa kipuuzi hauna maana. Huyu ni mkristo anayeweza kuingia uislamu.
Dr eeeh,Hachezei wanaume,anachezea wavulana😂😂😂😂😂
ALLah mtukufu akupe mwesho mwema shehk wetu uko vizurr
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤،،🌹🌹🌹💞💞💞💞💕💕💕💕🍀🍀🍀🍀🌱🌱🌱🌱🌷🌷🌷🌷☘️☘️☘️☘️🌷💓💓💓💓💖💖💖💖🇹🇿
😂😂😂😂😂umenifanya nicheke jamani mwanamke anaweza kuongeza vitu juu ya kitu unaweka kucha juu yakucha nywele juu ya nywele jamani nimecheka
Leo dk kakerwa na mmoja wa wake zake😂😂
nkadhani nimeona peke yangu😅
Yaqni hilo la mwanaume kujitetea akiwa na kosa nakupa 100 kwa 100.
Shekh toa namba kuna mtu nimtengeneze 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Tz ndoa nyingi watu hawana herimu na ndoa sasaiv watu wameona mtandaoni ndio makama Yao
Kwani kuachika kwa shilole ni ajabu au kwa vile ni star hamna kitu cha kuzungumzi ktk news
😂😂😂😂 janja janja dah hatari
Assalamu alekum naomba Dr.Sule ani fasirie hii Ayaa wayata3allamunna ma yadhuruhum wala yanfa3ahum surrat Bagara Ayaa 101 to 102
Nawewe kunamaajabu gan usiposikiliza apa Kwan umeitwa au umekewa bando namtu usikilize
Kiukweli ata na mimi nampenda huyu dada.sana
Sawa lini niende kuchumbia😂😂😂
Vipi sheikh anakunywa maji bila Bismilah wala Alhamdulillah
Bismillah kasema moyoni
Sio lazima aseme adi wewe usikie
Hio kila mtu anaisahau hata weye hupigi unaisahau
Umbea tu
Haswaaa🎉😂😂😂😂
Huyu shekh nae anapenda umaarufu jmn
Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏
Shekh yupo visuri . Anaelimisha jamii👏
@abdulazizimashaka3275 Dr Sulle ni maarufu kabla mimba yako haijatungwa. Sulle hana shida ya umaarufu labda wewe umemjua jana.
Dr sule Ni sheikh maarufu tangu zamani . Anaelimisha jamii vizuri . Jamii inahitaji watu Kama hawa.
Sana
Hakuna uhusiano Kati ya dini na ndoa kwa sababu ndoa ipo daima na ni ni lazima.Dini ni hadithi nyingine
upo uhusiano wa ndoa na dini kaka.
Upo uhusiano?.
Kivipi@@hemedramadhani7946
Kikristo imeandikwa ndoa ni mojawapo ya maisha matakatifu, ikaandikwa Mungu anachukia kuachana 😢
Aaa sh na wanaume pia wapo wanauliza masuali ya kijinga hayo unoyasema na wanaume wanayo pia wengine
Saa mbona sidiria yangu iko wapi, 😂😂
Sheghe sio wanawake wa siku hizi si kama wapenda kujaliwa no hawana habari wanapenda pesa tu hata asipokuona
uyo sule hafai ata kwa chumvi...aachwe kama alivyo...na usipomuelewa hakuna kitu utaelewa mpaka kifo chako
😂😂😂
Kumbe sule hata qur' an hajui kusoma
Mengine umesema sahihi km kuwa na hasira sana unapokuwa kwenye siku. Ila hili la kutosheka wanaume pia hawatoshiki haswa kwa kutaka wanawake hamtoshi na hicho kitu hata mkiowa wanee bado mnataka zaidi
Roho inakuuma umekosewa eti unaenda kupika na kupakua kwa wakwe😂😂😂😂nijikute