Aliyekuwa mke wa Juma Lokole afunguka, miaka yao 9 ya ndoa, kupigwa Bastola, mtoto wao mmoja

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 май 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Авто/МотоАвто/Мото

Комментарии • 43

  • @hawababy120
    @hawababy120 28 дней назад +11

    Mashaallah anamuongelea vizuri san mzazi mwenzake

  • @emmyally1511
    @emmyally1511 26 дней назад +5

    Juma msapoti mzazi mwezio anakuongelea mazuri sana

  • @user-cr1nk1zc5s
    @user-cr1nk1zc5s 28 дней назад +6

    Mashaallah anafanana na Ivon Chaka Chaka 🥰 na mbiliabeli at once. Siri ya kuachana na juma ni kwamba Juma anapenda wanaume wenzake

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 28 дней назад +11

    Juma Kwa Mimi nimeelewa kuwa dada yupo tayari kuishi na wewe lakini wewe ndio hutaki kuishi nae rudia mke huyu dada ni mrembo umefeli wapi juma huyu ni chombo chako bhanaaa KHAAA

    • @saidirakozi1809
      @saidirakozi1809 27 дней назад

      Juma analiwa nyuma sasa

    • @Official83640
      @Official83640 22 дня назад

      Kwani alivyoondoka na fenicha zote za ndani alitegemea Juma atakuwa fukara au demu ndy aliondoka😂😂

  • @adelinabaitu3291
    @adelinabaitu3291 19 дней назад +1

    Jamani Mika 14 umepata mtt na shule umeishamaliza hongera

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 28 дней назад +1

    Mke ❤❤❤❤❤Mashallah Mbonge LA Dem Kama Hamisa mzuri kweli❤❤❤🇰🇪💯

  • @pceodhc
    @pceodhc 26 дней назад +3

    Mtangazaji anaijua kazi yake! Big up!

  • @elizabethbwakila3982
    @elizabethbwakila3982 18 дней назад +1

    Jmn huyu mama ikram anaonekana bado anampenda juma

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 28 дней назад

    Waongea vizur Maa Shaa Allah hautamki alianza ushoga kbsa , Good sister

  • @user-zz7jr7yj9m
    @user-zz7jr7yj9m 28 дней назад +7

    Mashallah huyooo demuuu mzuriii JUMAAA alifeliii wapii

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 28 дней назад +1

      Toka lini papai likatunza ndoa😅😅😅😅😅😅 jamaa kaona bora kuwa complete homo than bisexual

    • @Official83640
      @Official83640 22 дня назад

      Demu ndy alimuacha Juma akabeba kila kitu cha ndani ndy maana Juma akashikwa hasira hamtaki😂😂😂

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 25 дней назад +1

    Miaka 9 mtoto mmoja, juma alikua mvivu sana KMMK

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 28 дней назад

    Nice interview
    Napenda mziki
    Ntakuja nikirud tz

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 28 дней назад +4

    Huyu dada ni bonge la mtu na nusu, anajielewa mno

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 28 дней назад +2

    Huyu dem ni mrembo Sana!!! Juma regelea huyu dem

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 28 дней назад +2

    Ongera mtangazaji , unajua kuhoji maswali

  • @Living7Stone
    @Living7Stone 28 дней назад

    Atamka vizuri jina Lokole (ki-Congo); Lo ko lé👍

  • @chany9950
    @chany9950 28 дней назад +4

    Juma love you👍🏾👍🏾👍🏾👍🏾

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 28 дней назад

    Mzuri mwenyewe mke wa juma
    ❤❤😂alzaa mdogo

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 28 дней назад

    Afu juma handsome mwenyewe na kimwanya chake.

  • @bahatihassan7492
    @bahatihassan7492 28 дней назад +3

    Unajua kuuliza maswali

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 19 дней назад

    Duh kumbe JL alikua anapiga?

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 28 дней назад

    Ana saut nzuri

  • @itzsnazzyjazzy472
    @itzsnazzyjazzy472 27 дней назад

    Nimempenda huyu dada furiiiii

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 28 дней назад +1

    Mtangazaji yuko vzuri

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 20 дней назад

    Mahojiano yametuliaaaa mpaka raha

  • @yusraramadhan8203
    @yusraramadhan8203 27 дней назад

    MashaAllah

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx 28 дней назад

    Kumbe huyu ni sevice geli

  • @catherineshilima7576
    @catherineshilima7576 28 дней назад +5

    Juma lokole anaitwa dada juma

    • @svt3
      @svt3 28 дней назад

      Huyu alikuwa mke alali tena wa ndoa, Juma na huyu dada wana mtoto tena amekuwa mkubwa miaka 10 sasa au zaidi wanalea pamoja na wana kutana kila mara na hawaongeleani vibaya labda hata kiporo wana peana

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 28 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤❤️‍🔥❤️‍🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💋💋💋💋

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 20 дней назад

    Sauti kama ya zuchu

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 28 дней назад

    Kumbe juma baba bora😂😂😂

  • @rebbywealth9869
    @rebbywealth9869 27 дней назад

    Ni mrembo..... na Juma upande wa malezi ameweza
    Ila so far sijajua kwanini kahojiwa, nikajua in the end ana jambo lake la kupush

    • @BerthaModest
      @BerthaModest 27 дней назад +1

      Anaimba apo amesema na ni mnenguaji iyo bendi amesema kumpush ni kwenda kuangalia iy band ukiwez mtunze rebby

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 28 дней назад +1

    Sasa choko atakaa vp na mwanamke

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 28 дней назад +1

      Humjui juma fyata lidomo lako!!

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 28 дней назад

      ​@@BarbaraPatience-qt9cckwenda huko na wewe..... kwani hiyo ni siri

    • @susans4490
      @susans4490 26 дней назад

      Ulimuona wacha kujipatia dhambi