Malaika: Nimeachana na Ricardo Momo, sitaki ndoa, Harmonize sio type yangu, French Montana ni rafiki

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 360

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 Месяц назад +40

    Mwananchi naombeni like mbili tu

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Месяц назад +29

    Ricardo momo amshukuru Mungu kwa kumnasua apa angekufa amesimama

  • @godsdaughter2820
    @godsdaughter2820 Месяц назад +38

    Mbona amekuwa mbayaaa😢😮she was very beautiful 😮

    • @SolomomAdams-pf5zy
      @SolomomAdams-pf5zy 23 дня назад +1

      Vibakuli vya matako vimekuwa vyakuwekea ugali wa Mohogo komeni kujibadilisha wengine wamekuwa saawa na katoon

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Месяц назад +16

    Big up to Chris ❤ nice presenter kuhoji watu wenye mapoz na ki2 kidogo tu ni no comment yahitaji moyo

  • @jimboulaya
    @jimboulaya Месяц назад +24

    Kabla ya kuoa ni muhimu kufanya umakini na utafiti , kuna wanawake dizaini hii sio wife material na huwezi kuwabadilisha , udangaji ndio nature yao upo ndani ya damu na hata umpe dunia nzima bado atachagua kudanga iko ivo, huyu ni wale wa kutafuta booking za wanaijeria wa Dubai, asafirishwe wiki na wamtumie vibaya alimradi tu apate hela ya kumantain BBL na kuishi maisha ya kufake mtandaoni.

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 Месяц назад +11

    My God,da kweri hofu ya Mungu haipo ,ona umekuwa mubaya Makario kama kinu.,e mwenyezi Mungu naomba mwisho mwema..

  • @user-eb7oi2bx6s
    @user-eb7oi2bx6s Месяц назад +14

    Wengi tumekuja ku view baada ya kusikia jina la konde boy🤝

  • @K24397
    @K24397 Месяц назад +23

    TUTAFUTENI HELA WANANGU
    PIA TUMUOMBE MUNGU ATUPE MWISHO MEMA🙏

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Месяц назад +36

    Kiukweli " Criss , we nimtangazaji unajua kuuliza maswali broo uko vizuri "

    • @josephk90
      @josephk90 Месяц назад +5

      Huyu mwamba ni balaa na hana aibu😂

    • @user-op7zl7fo1r
      @user-op7zl7fo1r Месяц назад +1

      Sanaa

    • @samsonnzisabira768
      @samsonnzisabira768 Месяц назад

      Mimi nimeshitukia maswali ya huyu mtangazaji,he is very smart

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 27 дней назад

      kwa kweli maana interviewee is a cut throat lakini yy duuh anatiririka vixuri na maswali

  • @djumakadege659
    @djumakadege659 Месяц назад +37

    MwenyeziMungu amemnusuru Ricardo Momo ! huyu mrembo yalikuwa maji marefu.

  • @user-yq3ov6kj3p
    @user-yq3ov6kj3p Месяц назад +11

    Mungu atujalie mwisho mwema

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Месяц назад +21

    Amekuwa mbaya sana alikuwa mzuri

  • @sund2553
    @sund2553 Месяц назад +11

    Kaacha ndoa kaenda kudanga maisha haya

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Месяц назад +10

    Anauliza maswali vizuri sana

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 Месяц назад +7

    Lkn wanaume simunapendaga wanawake km hao sasa munampaje pole ricardo why 😂😂

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy Месяц назад +4

    daaaaaah Ricardo mshukulu mungu kwa kukuepushia uyu binadam

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Месяц назад +16

    KILICHOKUWA KINAMSUMBUA RICARDO MPAKA AKARUDI NI ALIMPENDA KWELI,,ILA DEMU ALISHAKUNGUZUKA TAYARI,,DM ZA MASTAA NJE😊,,CADO AKAONA USINTANIE

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Месяц назад +8

    Hizo nchi alizokutajia huwa wanaenda kujiuza South Africa, Nigeria huko kote alipotaja ndipo wanaenda kujiuza, shape kajiharibu mitako mikubwa mno mihipsi yaani kajiharibu sasa angalia hivyo vimiguu kama vijiti mwili umemezwa mitako surgery sio urembo ni kumkosoa mungu hivi ulivyoniumba sivyo hata sijui wananawa vipi? Kafanya hiyo surgery Kwa ajili ya biashara ndio wakina poshi hao matokeo yake wanaenda kulala na kina harmonize ,nayule mwingine Nicole mwenye miboga huyo kitengo chake Nigeria biashara yake na chauzi

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 25 дней назад

      Zote anazotaja sana alikuwa anaenda na kina mond kwa lipi awe mwenyewe aaende mali sijui guinee kuna nn ?

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf Месяц назад +16

    Momo alikuwa na mtihani , kweli kweli

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Месяц назад +16

    Huyo Ricardo pia asingemueza mambo yenyewe ni haya😂

  • @Sakwa01
    @Sakwa01 Месяц назад +8

    Hawa celebrity ndo wanatuaribia watoto

  • @murtanseif3539
    @murtanseif3539 Месяц назад +6

    Yani maskin huyo mwanamke hajielewi hata unavyojibu anajubu uongo tu ila kama ametamani kuzaa nje ya ndoa kuliko ndani ya ndoa kiukweli ni mtihan sana ndio mana amesema sajari ni urembo 😂

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Месяц назад +10

    Yani Sio mzuri wa hivyo,huwezi kumfananisha na poshy Nzuri Sanaa tu

    • @EvaWaziri-so3gi
      @EvaWaziri-so3gi Месяц назад +4

      Alikuwa mnzuri uyo kuliko uyo posh,mungalie zamani

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Месяц назад +1

      Huyu alikuwa mzuri mno

    • @HannanSomaiyah-wp7ny
      @HannanSomaiyah-wp7ny Месяц назад

      @@vickydan2869 kajiaribu mnoo sijui Nani kamdanganya kutengeneza matako kama contena na China

    • @lukasjelamisanana6770
      @lukasjelamisanana6770 21 день назад

      Yaan kibaya lakin kinajiona mno

  • @Tuu2019
    @Tuu2019 Месяц назад +9

    Mdogo lakini amejiaribu mapema na Amekubuuuuuu....DOOOOH..?.Nah umekuja kwenye interview ya nini km no comments, na kwanini unaniuliza hivyoo.....why yr here....?

  • @user-jv8dt8pk3p
    @user-jv8dt8pk3p Месяц назад +5

    Mbona hajui hata kujieleza hajui. Kujibu mashali kabisa ovyo

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Месяц назад +5

    Hivi picha zinalipa au......😅😅😅 maaana sijui....huyu ni model au

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji Месяц назад +47

    Sasa mbona shepu imekuwa mbaya sanaa kama furushi khaa bora ungekaa vile vile kumkufuru tu mwenyez mungu😢

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Месяц назад +4

      sijui limekaaje kaa kila kitu kikizidi kinakera

    • @xxxl-jf2ji
      @xxxl-jf2ji Месяц назад +3

      @@sabihaibrahim143 sanaaa yan kama fukushi khaa

    • @user-ym5dc1iz9e
      @user-ym5dc1iz9e Месяц назад

      Nenda kwenye youtube halafu tafuta video surgerygo roung

    • @user-ym5dc1iz9e
      @user-ym5dc1iz9e Месяц назад +1

      Top 10 celebrity plastic surgery desasters in you tube😂

    • @merinakassembe118
      @merinakassembe118 Месяц назад

      Usijichanganye kariakoo sio upanga

  • @mosesthuranira6553
    @mosesthuranira6553 Месяц назад +2

    huyu interviewer yuko juuu sana hauboeki kuangalia akihoji mtu anajua sana ku drive interview kaka kazi nzuri SnS itakuja kuwa big channel sana 🔥🔥🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul Месяц назад +29

    Surgery sio urembo n umalaya unaongeza kalio unalego gan kama sikuuza mkuu

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Месяц назад +2

      umalaya

    • @jamil1547
      @jamil1547 Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂kuuza mku...

    • @ghayamjombo6582
      @ghayamjombo6582 Месяц назад

      😂

    • @gladnessshola2718
      @gladnessshola2718 Месяц назад

      Asilimia 💯 maana najiuliza anafanya ili iweje😂😂😂

    • @officialAlAbdul
      @officialAlAbdul Месяц назад

      @@gladnessshola2718 mwanamke kuongeza kalio ni ishara kuvutia wanaume waone kalio after kuona mwisho nn

  • @naifathassan2607
    @naifathassan2607 Месяц назад +40

    Tengeneza meno dada sio unaangaika na shape tu

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Месяц назад +1

      😅😅😅😅

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад +2

      Nilithani Mimi peke yangu kuoma hana jino moja 😂😂😂😂

    • @MtessaAlly-rd4hf
      @MtessaAlly-rd4hf Месяц назад +1

      Hahahahhahahahahahahaaaaaaaaa

    • @user-gj2mm3ko8m
      @user-gj2mm3ko8m Месяц назад +1

      😂😂😂😂😂😂Kenya tunacheka😂😂😂😂

    • @MuniraShughuli-kc7vj
      @MuniraShughuli-kc7vj Месяц назад +3

      😂😂Naviguu hivyo kma vijiti

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 Месяц назад +4

    Watu kama hawa ndio wanao fanikiwa sana kuliko sisi tunaopambana kila siku 😢😂😂

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Месяц назад +6

    Ila akili za Hawa ndugu zetu kweli aiseee Mungu awasaidie Sana!

  • @juma3049
    @juma3049 Месяц назад +6

    Chriss wee mkali kwa hizi kazi

  • @gladnessshola2718
    @gladnessshola2718 Месяц назад +1

    Huyu mtangazaji ni very professional, keep it up 🎉🥰

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Месяц назад +2

    Nimempenda anasema ukweli she is so pretty wow

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Месяц назад +3

    Dada ulikua mzuri sana jamani zamani saivi mm naona umezeeka mwili umekua mkubwa mno jaman ila ulikua mzuri mno zamani nimelia sana mpaka kwikwi

    • @SolomomAdams-pf5zy
      @SolomomAdams-pf5zy 23 дня назад

      Hahahaha hahahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha
      Jamaani

  • @timothzullu4665
    @timothzullu4665 Месяц назад +17

    Sio kusafir ni umalaya tu unaufata uko Kuna kesho kwa MUNGU AISEE

  • @NashonyMagwi
    @NashonyMagwi Месяц назад +2

    umeongea vizuri sana malikia mambo yote sio ya kuonge .uko vizuri tunza siri za mmeo wadada wengine ni fujo you so cute malikia❤❤❤

  • @newzon5300
    @newzon5300 Месяц назад +18

    Ricardo momo alijichanganyaa vip kwa uyu mwanamke😅😅😅😅

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Месяц назад +2

      Na alikuwa anampenda saana

    • @trice_yanga
      @trice_yanga Месяц назад +2

      sio kwamba alijichanganya momo alikuwa nae kabla hajajipata baad ya kujipata demu kalimbuka

    • @SolomomAdams-pf5zy
      @SolomomAdams-pf5zy 23 дня назад

      Ricardo alimchukuwa wakati hayo mabakuli feki hayachaanza kumchemka hahaha

  • @henriettenkuba3240
    @henriettenkuba3240 Месяц назад +9

    Yani Tanguy ameacana na Ricardo amekuwa n'a kiburi kweli😊

    • @SolomomAdams-pf5zy
      @SolomomAdams-pf5zy 23 дня назад

      Uzeeee huo unamtembelea anakumbuka ujana wake anachanganyikiwa sasa ukizeeka na mabali ya kuwekwa yanashuka

  • @swalehmohammed8378
    @swalehmohammed8378 Месяц назад +1

    Masha'allah malaika ni mzuri mzuri mzuri sana masha'allah

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 29 дней назад +1

    listening tu it seems kichwani akili hakuna ohh my, mtangazji anamchora tuu alafu mbona kama mtangazaji anaskia harufu jmn?? kazi unayo poleee.

  • @HappinessMasolwa-nm2to
    @HappinessMasolwa-nm2to Месяц назад +6

    Sema Huyu dada anapaniki sana ajuh kujibu maswali

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Месяц назад

      Yaani hadi inasikitisha, full kupaniki, hajitambui 😂😂😂😂

    • @nunuuali5316
      @nunuuali5316 Месяц назад

      Sio hajuwi kujibu hata akili ya kuelewa swali hana. Yaan ni mburura wa kwanza

  • @alexanderhaule7667
    @alexanderhaule7667 Месяц назад +10

    Ame dedicate maisha yake kwenye makalio.

  • @hilarymayende
    @hilarymayende Месяц назад +5

    Hivi huyu demu na kajala na queen nani class??huyu ana utiaji sana

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o Месяц назад +5

    Sageri ya Malaiki imepitiza ,ni kubwa sana ,angeipunguza ingekua poa is beautiful

  • @swalehmohammed8378
    @swalehmohammed8378 Месяц назад +1

    Malaika masha'allah tabaarakallaah the beutiful beautiful beutiful queen queen queen the beutiful queen beautiful queen queen beutiful queen mashaallaah

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 5 дней назад

    Mungu atusaidie

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Месяц назад +22

    Malaika au shetani

  • @rajuxcharity
    @rajuxcharity Месяц назад +4

    Yani unamanisha utaendelea kuzini kuliko kuolewa?

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Месяц назад +3

    Za ndaaaaaaaaaaaaniiii Ricardo Momo asingeweza kumiliki huu mzigo😂😂😂😂😂... Project na French Montana 😂😂meneja kwa ajili ya makalio tu

  • @itNeza
    @itNeza Месяц назад +10

    What Belongs to the Street will always be on Street ( Huyu Anafanya kazi Gani ? Mwanamke Asie na Kazi Rasmi yeye na Mtandao ) Huyu sio wakuwa Mke, Eti kajitengeneza Kabisa, Huyu kuna Business Anafanya Huwezi ukamuweka ndani. 😎

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 Месяц назад +1

      Ricardo momo angesumbuliwa tu bora amemuacha

    • @AugeniaDaniel-mo7hi
      @AugeniaDaniel-mo7hi Месяц назад

      Sure...she belongs to the streets.... focus on the BAG

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Месяц назад +1

    Shida ni ndoa tu lakini mikanda mizo kama kawaida hakuna off ya mungu

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Месяц назад +1

    Kila k2 no comment,bure kbsa

  • @Lina4285baby
    @Lina4285baby Месяц назад +2

    If I pay money and I end up look like this I would just slap the doctor nonsense😂😂

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Месяц назад

    Wanaume cc tutapata tabu sana special tunaopenda tusiivyovijua ndani ya wanawake .ukitaka maisha mazuri tafuta mtoto mbichi mzuri anaejua kupika utaenjoi life lkn awa wanaofata shepi na mionekano watasubuka sana

  • @user-dz1gm4dh7e
    @user-dz1gm4dh7e Месяц назад +2

    Ety harmonize sio hadhi yangu mweeeeeeee wakati kashakupiga papaa kitamboo

  • @josephchaba6007
    @josephchaba6007 Месяц назад +16

    Wadada wauza K mjini nikazi kuwamiliki Momo angekufa

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658 Месяц назад

    nimefatilia interview ya momo anasema ako na watoto wawil na uyu nikaja uku uyu mara mtoto mmoja mara watoto mara no comment je ni swali kwa wanaowajua vzr uyo mtoto momo alosema ana miaka 12 ni wa uyu malaika ama ni wa momo kwa mke mwingin mbon sielew

  • @JanethMapunda-hq1cw
    @JanethMapunda-hq1cw Месяц назад

    Mzuri sana❤

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Месяц назад +1

    kwa iyo ndo umekwenda kuwavutia wanaume hahahaaaa pole kujipenda ni kujitunza vile maumbile alokupa Mungu ukajiweka vizuri basi sio kuvichoma choma kila sehemu

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Месяц назад +3

    No comment ya nyoko 😏 pengo kama mlango wa jela

  • @mwanaidikhamis5430
    @mwanaidikhamis5430 Месяц назад +2

    Huyu mwanamke hajui hata thamani yake yy yupo yupo tu na ulimwengu wake

  • @celline3148
    @celline3148 Месяц назад +1

    Jamani Stive Nyerere yako wapi? Jamani?

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 Месяц назад +5

    Biashara matangazo lazima

  • @user-jz6lm5yv4f
    @user-jz6lm5yv4f Месяц назад +7

    Leo wa kwanza naombeni like zenu

  • @mackysuphian
    @mackysuphian Месяц назад +4

    MashaAllh napenda malaika yuko calm sana nyie wenye makasiriko TAFUTENI PESA😂😂😂

  • @ahlamverynice.3605
    @ahlamverynice.3605 23 дня назад +1

    Mbona alie kuwa mumewe aliongea wako na watoto 3 na huyu anasema mmoja sasa tumuamini nani🙄?

  • @EvelyneJoseph-ub1cb
    @EvelyneJoseph-ub1cb Месяц назад

    Nahisi Mimi ndo namuelewa pekeangu anavyoongea huyu dada, afu pia nampenda sana Malaika na namfatilia sana

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 27 дней назад

    Hivi ina maana gani kuwa na mshepu Kama huu halafu k joto hakuna?yaani wala hainogi kitu😅😅😂😂

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 Месяц назад

    Amezidisha kalio khaaa amezidisha

  • @spaganiceboy
    @spaganiceboy Месяц назад +1

    Harmonie nimushenzi sana😂😂 Mimi Niko Congo nimechikizwa nayeye kumutusi mwenyezi mungu😂😂😂 aache bangi niyetu sisi wacongo unaona alifika kwetu congo Goma bangi zikamuchanganya akashindwa kutumiya akifika kwetu goma Tena namupiga masasi🔥🔥

  • @ombeniruvubika5392
    @ombeniruvubika5392 Месяц назад +1

    Mina penda hilo tako hilo
    Yani kusukuma uboo mwailo tako kwa hasira sn, piga ma bao km zote mwailo tako.

  • @paulvimbamvula9508
    @paulvimbamvula9508 Месяц назад +1

    Better remain neutral and naturally than ....

  • @abnassirkarriem-ko5pw
    @abnassirkarriem-ko5pw Месяц назад +1

    Inauma sana hataki ndoa sasahivi yuoko anauza ka wakimaliza kumchokonowa arudi kwa momo

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Месяц назад +2

    Hiyo kao hapana kwa kweli!!! Angefanya na miguu pia

    • @Mina.15
      @Mina.15 Месяц назад

      😂😂🐜 🐜🐜🐜

    • @mrsjuma100
      @mrsjuma100 Месяц назад

      Meno tu angerekebisha!

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Месяц назад +2

    Wadda wa mjin,,hawataki kuzeeka,,naskia ana miaka 20😁😁😁😁

  • @controlTheoryChamps
    @controlTheoryChamps 25 дней назад

    Bendera ya Dubai 😀

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Месяц назад +1

    Mwanamke yeyote mwenye kupata pesa hawezi kukaa kwenye ndoa anaona anabanwa sana na mwanume kipindi hicho anaraka kukaa huru ili yauze uke wake kujipatia kipato

  • @queenbibisha1961
    @queenbibisha1961 Месяц назад +9

    Huyu dada kuanzia abadilishe shape hata tabia yake imebadilika 😏😏😏 yani anajiona classic sana hivi huyu anaweza ingia kwa wanawake wa harmo??

  • @samchris1914
    @samchris1914 Месяц назад

    Swali zuri unaenda kufanya nn,,,anasema kutembeaa?? Daah😅

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Месяц назад

    Munakuwa kama midoli ngojeni mungu awaumbue kwa kumkosoa uumbaji wake😢😢😢

  • @user-dz1gm4dh7e
    @user-dz1gm4dh7e Месяц назад +1

    Huyu Kwa French Montana kajipendekeza tyuuu akapigwe papa apate maokoto

  • @Mwamba-hc1jy
    @Mwamba-hc1jy 28 дней назад

    Ricardo kachinje ngombe bro!!hili dude lingekumaliza😂

  • @user-zq7jb2ij4u
    @user-zq7jb2ij4u Месяц назад

    Napenda travelliiiiiiiig.

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en Месяц назад +1

    Hovyooo

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Месяц назад

    Mtu gn uyu mmetuletea kwenye interview mmh no comments n nyingi kuliko majibu dah

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Месяц назад +1

    Hataki kuolewa anatak kuuza matikiti 😂😂😂

  • @MulongoWinnie
    @MulongoWinnie Месяц назад

    Kwani ana meno

  • @mpalazotz7753
    @mpalazotz7753 Месяц назад +2

    Apo konde kasha chakaza na kaliacha

  • @SamiraKimaro-ps8iu
    @SamiraKimaro-ps8iu Месяц назад

    Ndo zama za mwisho inaalilah wainalilah rajuuli

  • @user-is7ot7bq9x
    @user-is7ot7bq9x Месяц назад

    Kila ktu no comment

  • @issajumaali4009
    @issajumaali4009 Месяц назад

    Dah 9.35 hakuna tofauti; huu mtihani sana

  • @alfredbowa9677
    @alfredbowa9677 Месяц назад

    Mmm acha midengo ludi kwa mwamba

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2r Месяц назад

    Jamani wadada ni Vizuri mkaelewa kuwa mwanamke mrembo huwa ahitaji matakata ya kujipambia na ukiona mtu anajiwekea kucha ndefu kama shetwani mara makope kama Bata mzinga mara wigi yaani zote hizo takataka!

  • @official_mr_bery
    @official_mr_bery Месяц назад +1

    Ma start wengii ni yangaa😔

  • @noorrajpar3928
    @noorrajpar3928 Месяц назад +3

    😅😅😅😅dada anapanic vibaya

  • @alhabib9874
    @alhabib9874 Месяц назад +1

    No comment

  • @Bashitetako
    @Bashitetako Месяц назад

    Kawa km kilema mwili wa juu na wachini ni km vimechomekwa

  • @mohamedchalamila3993
    @mohamedchalamila3993 Месяц назад +1

    Kwanza uwaga mnanuka wanawake dizain hii