Kabla ya kuoa ni muhimu kufanya umakini na utafiti , kuna wanawake dizaini hii sio wife material na huwezi kuwabadilisha , udangaji ndio nature yao upo ndani ya damu na hata umpe dunia nzima bado atachagua kudanga iko ivo, huyu ni wale wa kutafuta booking za wanaijeria wa Dubai, asafirishwe wiki na wamtumie vibaya alimradi tu apate hela ya kumantain BBL na kuishi maisha ya kufake mtandaoni.
Hizo nchi alizokutajia huwa wanaenda kujiuza South Africa, Nigeria huko kote alipotaja ndipo wanaenda kujiuza, shape kajiharibu mitako mikubwa mno mihipsi yaani kajiharibu sasa angalia hivyo vimiguu kama vijiti mwili umemezwa mitako surgery sio urembo ni kumkosoa mungu hivi ulivyoniumba sivyo hata sijui wananawa vipi? Kafanya hiyo surgery Kwa ajili ya biashara ndio wakina poshi hao matokeo yake wanaenda kulala na kina harmonize ,nayule mwingine Nicole mwenye miboga huyo kitengo chake Nigeria biashara yake na chauzi
Yani maskin huyo mwanamke hajielewi hata unavyojibu anajubu uongo tu ila kama ametamani kuzaa nje ya ndoa kuliko ndani ya ndoa kiukweli ni mtihan sana ndio mana amesema sajari ni urembo 😂
Mdogo lakini amejiaribu mapema na Amekubuuuuuu....DOOOOH..?.Nah umekuja kwenye interview ya nini km no comments, na kwanini unaniuliza hivyoo.....why yr here....?
huyu interviewer yuko juuu sana hauboeki kuangalia akihoji mtu anajua sana ku drive interview kaka kazi nzuri SnS itakuja kuwa big channel sana 🔥🔥🇺🇸🇺🇸🇺🇸
What Belongs to the Street will always be on Street ( Huyu Anafanya kazi Gani ? Mwanamke Asie na Kazi Rasmi yeye na Mtandao ) Huyu sio wakuwa Mke, Eti kajitengeneza Kabisa, Huyu kuna Business Anafanya Huwezi ukamuweka ndani. 😎
Wanaume cc tutapata tabu sana special tunaopenda tusiivyovijua ndani ya wanawake .ukitaka maisha mazuri tafuta mtoto mbichi mzuri anaejua kupika utaenjoi life lkn awa wanaofata shepi na mionekano watasubuka sana
nimefatilia interview ya momo anasema ako na watoto wawil na uyu nikaja uku uyu mara mtoto mmoja mara watoto mara no comment je ni swali kwa wanaowajua vzr uyo mtoto momo alosema ana miaka 12 ni wa uyu malaika ama ni wa momo kwa mke mwingin mbon sielew
kwa iyo ndo umekwenda kuwavutia wanaume hahahaaaa pole kujipenda ni kujitunza vile maumbile alokupa Mungu ukajiweka vizuri basi sio kuvichoma choma kila sehemu
Mwanamke yeyote mwenye kupata pesa hawezi kukaa kwenye ndoa anaona anabanwa sana na mwanume kipindi hicho anaraka kukaa huru ili yauze uke wake kujipatia kipato
Jamani wadada ni Vizuri mkaelewa kuwa mwanamke mrembo huwa ahitaji matakata ya kujipambia na ukiona mtu anajiwekea kucha ndefu kama shetwani mara makope kama Bata mzinga mara wigi yaani zote hizo takataka!
Mwananchi naombeni like mbili tu
chukuakoment usisahau kusubscribe😅
@@BarakerZeonlist😂😂😂
Ricardo momo amshukuru Mungu kwa kumnasua apa angekufa amesimama
😂😂😂
😂😂 Dudu lisengeingia 😂😂😂
😂😂😂😂😂Dah
Mwanamke akipata hela kinachofatia ni kumchukuza muumba wake tu
Mbona amekuwa mbayaaa😢😮she was very beautiful 😮
Vibakuli vya matako vimekuwa vyakuwekea ugali wa Mohogo komeni kujibadilisha wengine wamekuwa saawa na katoon
Big up to Chris ❤ nice presenter kuhoji watu wenye mapoz na ki2 kidogo tu ni no comment yahitaji moyo
Kabla ya kuoa ni muhimu kufanya umakini na utafiti , kuna wanawake dizaini hii sio wife material na huwezi kuwabadilisha , udangaji ndio nature yao upo ndani ya damu na hata umpe dunia nzima bado atachagua kudanga iko ivo, huyu ni wale wa kutafuta booking za wanaijeria wa Dubai, asafirishwe wiki na wamtumie vibaya alimradi tu apate hela ya kumantain BBL na kuishi maisha ya kufake mtandaoni.
My God,da kweri hofu ya Mungu haipo ,ona umekuwa mubaya Makario kama kinu.,e mwenyezi Mungu naomba mwisho mwema..
Wengi tumekuja ku view baada ya kusikia jina la konde boy🤝
TUTAFUTENI HELA WANANGU
PIA TUMUOMBE MUNGU ATUPE MWISHO MEMA🙏
Naaam
Kiukweli " Criss , we nimtangazaji unajua kuuliza maswali broo uko vizuri "
Huyu mwamba ni balaa na hana aibu😂
Sanaa
Mimi nimeshitukia maswali ya huyu mtangazaji,he is very smart
kwa kweli maana interviewee is a cut throat lakini yy duuh anatiririka vixuri na maswali
MwenyeziMungu amemnusuru Ricardo Momo ! huyu mrembo yalikuwa maji marefu.
Kwel aisee dah
Kweli kabisaa
Ni kichaaa
Jamaa alikwepa risasi bila kujijua hapo😂😂Amshukuru Mungu sana.
Sio mrembo tumia neno shetani
Mungu atujalie mwisho mwema
Amekuwa mbaya sana alikuwa mzuri
Kivipii mbaya
Malaika aliyeimba na chege kipindi cha nyuma
Kaacha ndoa kaenda kudanga maisha haya
Anauliza maswali vizuri sana
Lkn wanaume simunapendaga wanawake km hao sasa munampaje pole ricardo why 😂😂
daaaaaah Ricardo mshukulu mungu kwa kukuepushia uyu binadam
KILICHOKUWA KINAMSUMBUA RICARDO MPAKA AKARUDI NI ALIMPENDA KWELI,,ILA DEMU ALISHAKUNGUZUKA TAYARI,,DM ZA MASTAA NJE😊,,CADO AKAONA USINTANIE
Hizo nchi alizokutajia huwa wanaenda kujiuza South Africa, Nigeria huko kote alipotaja ndipo wanaenda kujiuza, shape kajiharibu mitako mikubwa mno mihipsi yaani kajiharibu sasa angalia hivyo vimiguu kama vijiti mwili umemezwa mitako surgery sio urembo ni kumkosoa mungu hivi ulivyoniumba sivyo hata sijui wananawa vipi? Kafanya hiyo surgery Kwa ajili ya biashara ndio wakina poshi hao matokeo yake wanaenda kulala na kina harmonize ,nayule mwingine Nicole mwenye miboga huyo kitengo chake Nigeria biashara yake na chauzi
Zote anazotaja sana alikuwa anaenda na kina mond kwa lipi awe mwenyewe aaende mali sijui guinee kuna nn ?
Momo alikuwa na mtihani , kweli kweli
kabisa
Huyo Ricardo pia asingemueza mambo yenyewe ni haya😂
Hawa celebrity ndo wanatuaribia watoto
Yani maskin huyo mwanamke hajielewi hata unavyojibu anajubu uongo tu ila kama ametamani kuzaa nje ya ndoa kuliko ndani ya ndoa kiukweli ni mtihan sana ndio mana amesema sajari ni urembo 😂
Yani Sio mzuri wa hivyo,huwezi kumfananisha na poshy Nzuri Sanaa tu
Alikuwa mnzuri uyo kuliko uyo posh,mungalie zamani
Huyu alikuwa mzuri mno
@@vickydan2869 kajiaribu mnoo sijui Nani kamdanganya kutengeneza matako kama contena na China
Yaan kibaya lakin kinajiona mno
Mdogo lakini amejiaribu mapema na Amekubuuuuuu....DOOOOH..?.Nah umekuja kwenye interview ya nini km no comments, na kwanini unaniuliza hivyoo.....why yr here....?
Mbona hajui hata kujieleza hajui. Kujibu mashali kabisa ovyo
Hivi picha zinalipa au......😅😅😅 maaana sijui....huyu ni model au
Sasa mbona shepu imekuwa mbaya sanaa kama furushi khaa bora ungekaa vile vile kumkufuru tu mwenyez mungu😢
sijui limekaaje kaa kila kitu kikizidi kinakera
@@sabihaibrahim143 sanaaa yan kama fukushi khaa
Nenda kwenye youtube halafu tafuta video surgerygo roung
Top 10 celebrity plastic surgery desasters in you tube😂
Usijichanganye kariakoo sio upanga
huyu interviewer yuko juuu sana hauboeki kuangalia akihoji mtu anajua sana ku drive interview kaka kazi nzuri SnS itakuja kuwa big channel sana 🔥🔥🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Surgery sio urembo n umalaya unaongeza kalio unalego gan kama sikuuza mkuu
umalaya
😂😂😂😂😂kuuza mku...
😂
Asilimia 💯 maana najiuliza anafanya ili iweje😂😂😂
@@gladnessshola2718 mwanamke kuongeza kalio ni ishara kuvutia wanaume waone kalio after kuona mwisho nn
Tengeneza meno dada sio unaangaika na shape tu
😅😅😅😅
Nilithani Mimi peke yangu kuoma hana jino moja 😂😂😂😂
Hahahahhahahahahahahaaaaaaaaa
😂😂😂😂😂😂Kenya tunacheka😂😂😂😂
😂😂Naviguu hivyo kma vijiti
Watu kama hawa ndio wanao fanikiwa sana kuliko sisi tunaopambana kila siku 😢😂😂
Achaaa tuuu 😢😢
Ila akili za Hawa ndugu zetu kweli aiseee Mungu awasaidie Sana!
Chriss wee mkali kwa hizi kazi
Huyu mtangazaji ni very professional, keep it up 🎉🥰
Nimempenda anasema ukweli she is so pretty wow
Dada ulikua mzuri sana jamani zamani saivi mm naona umezeeka mwili umekua mkubwa mno jaman ila ulikua mzuri mno zamani nimelia sana mpaka kwikwi
Hahahaha hahahahaha hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha
Jamaani
Sio kusafir ni umalaya tu unaufata uko Kuna kesho kwa MUNGU AISEE
umeongea vizuri sana malikia mambo yote sio ya kuonge .uko vizuri tunza siri za mmeo wadada wengine ni fujo you so cute malikia❤❤❤
Ricardo momo alijichanganyaa vip kwa uyu mwanamke😅😅😅😅
Na alikuwa anampenda saana
sio kwamba alijichanganya momo alikuwa nae kabla hajajipata baad ya kujipata demu kalimbuka
Ricardo alimchukuwa wakati hayo mabakuli feki hayachaanza kumchemka hahaha
Yani Tanguy ameacana na Ricardo amekuwa n'a kiburi kweli😊
Uzeeee huo unamtembelea anakumbuka ujana wake anachanganyikiwa sasa ukizeeka na mabali ya kuwekwa yanashuka
Masha'allah malaika ni mzuri mzuri mzuri sana masha'allah
listening tu it seems kichwani akili hakuna ohh my, mtangazji anamchora tuu alafu mbona kama mtangazaji anaskia harufu jmn?? kazi unayo poleee.
Sema Huyu dada anapaniki sana ajuh kujibu maswali
Yaani hadi inasikitisha, full kupaniki, hajitambui 😂😂😂😂
Sio hajuwi kujibu hata akili ya kuelewa swali hana. Yaan ni mburura wa kwanza
Ame dedicate maisha yake kwenye makalio.
Hivi huyu demu na kajala na queen nani class??huyu ana utiaji sana
Sageri ya Malaiki imepitiza ,ni kubwa sana ,angeipunguza ingekua poa is beautiful
Malaika masha'allah tabaarakallaah the beutiful beautiful beutiful queen queen queen the beutiful queen beautiful queen queen beutiful queen mashaallaah
Mungu atusaidie
Malaika au shetani
Vyote sawa ila wahuni tukipewa tunaruka nae kama kawa
🎉🎉🎉
shetani wanajiita malaika
Yani unamanisha utaendelea kuzini kuliko kuolewa?
Za ndaaaaaaaaaaaaniiii Ricardo Momo asingeweza kumiliki huu mzigo😂😂😂😂😂... Project na French Montana 😂😂meneja kwa ajili ya makalio tu
Innalilahiwainnailaihirajoun surgery ni urembo biashara ya makalio
What Belongs to the Street will always be on Street ( Huyu Anafanya kazi Gani ? Mwanamke Asie na Kazi Rasmi yeye na Mtandao ) Huyu sio wakuwa Mke, Eti kajitengeneza Kabisa, Huyu kuna Business Anafanya Huwezi ukamuweka ndani. 😎
Ricardo momo angesumbuliwa tu bora amemuacha
Sure...she belongs to the streets.... focus on the BAG
Shida ni ndoa tu lakini mikanda mizo kama kawaida hakuna off ya mungu
Kila k2 no comment,bure kbsa
If I pay money and I end up look like this I would just slap the doctor nonsense😂😂
Wanaume cc tutapata tabu sana special tunaopenda tusiivyovijua ndani ya wanawake .ukitaka maisha mazuri tafuta mtoto mbichi mzuri anaejua kupika utaenjoi life lkn awa wanaofata shepi na mionekano watasubuka sana
Ety harmonize sio hadhi yangu mweeeeeeee wakati kashakupiga papaa kitamboo
Wadada wauza K mjini nikazi kuwamiliki Momo angekufa
😂😂😂😂🎉🎉
nimefatilia interview ya momo anasema ako na watoto wawil na uyu nikaja uku uyu mara mtoto mmoja mara watoto mara no comment je ni swali kwa wanaowajua vzr uyo mtoto momo alosema ana miaka 12 ni wa uyu malaika ama ni wa momo kwa mke mwingin mbon sielew
Mzuri sana❤
kwa iyo ndo umekwenda kuwavutia wanaume hahahaaaa pole kujipenda ni kujitunza vile maumbile alokupa Mungu ukajiweka vizuri basi sio kuvichoma choma kila sehemu
No comment ya nyoko 😏 pengo kama mlango wa jela
😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu mwanamke hajui hata thamani yake yy yupo yupo tu na ulimwengu wake
Jamani Stive Nyerere yako wapi? Jamani?
Biashara matangazo lazima
Leo wa kwanza naombeni like zenu
MashaAllh napenda malaika yuko calm sana nyie wenye makasiriko TAFUTENI PESA😂😂😂
Mbona alie kuwa mumewe aliongea wako na watoto 3 na huyu anasema mmoja sasa tumuamini nani🙄?
Nahisi Mimi ndo namuelewa pekeangu anavyoongea huyu dada, afu pia nampenda sana Malaika na namfatilia sana
Hivi ina maana gani kuwa na mshepu Kama huu halafu k joto hakuna?yaani wala hainogi kitu😅😅😂😂
Amezidisha kalio khaaa amezidisha
Harmonie nimushenzi sana😂😂 Mimi Niko Congo nimechikizwa nayeye kumutusi mwenyezi mungu😂😂😂 aache bangi niyetu sisi wacongo unaona alifika kwetu congo Goma bangi zikamuchanganya akashindwa kutumiya akifika kwetu goma Tena namupiga masasi🔥🔥
Mina penda hilo tako hilo
Yani kusukuma uboo mwailo tako kwa hasira sn, piga ma bao km zote mwailo tako.
Better remain neutral and naturally than ....
Inauma sana hataki ndoa sasahivi yuoko anauza ka wakimaliza kumchokonowa arudi kwa momo
Hiyo kao hapana kwa kweli!!! Angefanya na miguu pia
😂😂🐜 🐜🐜🐜
Meno tu angerekebisha!
Wadda wa mjin,,hawataki kuzeeka,,naskia ana miaka 20😁😁😁😁
Da😂😂
Bendera ya Dubai 😀
Mwanamke yeyote mwenye kupata pesa hawezi kukaa kwenye ndoa anaona anabanwa sana na mwanume kipindi hicho anaraka kukaa huru ili yauze uke wake kujipatia kipato
Huyu dada kuanzia abadilishe shape hata tabia yake imebadilika 😏😏😏 yani anajiona classic sana hivi huyu anaweza ingia kwa wanawake wa harmo??
😅😅😅😅😅
Haingi hata nusu kwa poshy sula kama matako.
Wivu
Wivu
Swali zuri unaenda kufanya nn,,,anasema kutembeaa?? Daah😅
Munakuwa kama midoli ngojeni mungu awaumbue kwa kumkosoa uumbaji wake😢😢😢
Huyu Kwa French Montana kajipendekeza tyuuu akapigwe papa apate maokoto
Ricardo kachinje ngombe bro!!hili dude lingekumaliza😂
Napenda travelliiiiiiiig.
Hovyooo
Mtu gn uyu mmetuletea kwenye interview mmh no comments n nyingi kuliko majibu dah
Hataki kuolewa anatak kuuza matikiti 😂😂😂
Kwani ana meno
Apo konde kasha chakaza na kaliacha
Ndo zama za mwisho inaalilah wainalilah rajuuli
Kila ktu no comment
Dah 9.35 hakuna tofauti; huu mtihani sana
Mmm acha midengo ludi kwa mwamba
Jamani wadada ni Vizuri mkaelewa kuwa mwanamke mrembo huwa ahitaji matakata ya kujipambia na ukiona mtu anajiwekea kucha ndefu kama shetwani mara makope kama Bata mzinga mara wigi yaani zote hizo takataka!
Ma start wengii ni yangaa😔
😅😅😅😅dada anapanic vibaya
Uyo dada mchaga amekulia rombo
No comment
Kawa km kilema mwili wa juu na wachini ni km vimechomekwa
Kwanza uwaga mnanuka wanawake dizain hii