MWANZO MWISHO : MKE WA MOMO AFUNGUKA KUTOKA NA MSIZWA WA ESMA PLATNUMZ/ ANAROHO MBAYA NA WIVU UMEJAA
HTML-код
- Опубликовано: 14 янв 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm Развлечения
Anayehamini baada ya hii interview Momo atakwenda kuhanzisha mahojiano mapya nyumbani au ugomvi anipe like tafadhali.
🤣🤣🤣
I applaud him for standing by his woman period!
Ricardo you are a real man. May God bless your marriage
Yaan huyu kaka ni mwanaume zaidi ya wanaume daa
Amin
Momo nimekupenda sanaa we mwanaume na nusu asantee kwa kumtetea mkeo
Kumbe Esma kumbe ujamkataa msizwa kuwa humpendi, Kumbe nimaumivu tu yakimapenz ya mumewe, msizwa popote ulipo Esma kumbe alikuzimikia👌 Msizwa we mwanaume na nusu 💪
Ni ngumu sana kujua ya mwanamke: Siri ya kuzini kwa mwanamke you need more than telescopic eye to identify the point of aim..! (POA) Wana akili sana Hawa viumbe ila mwisho wao huwa mfupi sana: it is because they never focus at the Point of Impact (POI)
Pole sana kaka Ricardo Momo
Shemeji kuna ulakini katika hadithi yake ... Shekhe.
Hongera dada...umepata mume💓
Kbs Mume anamsimamo wake wamsumbue tu uyouyo daymond wao
@Ricadomomo wachana na Huyu Malaya katombwa Huyu Ana maneno mengi Kaliwa more love From kenya !🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Malaya kamtoma baba Ako au mama yako? Sounds stupid
Sema mwanangu momo uyo mkeo mwamba kapitanae
Acha umbea
Aliliwa huyo demu, acha kuhepahepa
@@olive-jaysilasofficial xo udea mzee dam mwenyewe anaunyesha hajatulia yan anavyo ongea2 hajiamin
@@olive-jaysilasofficial kwani uongo
37:21 Jinsi Bwana Ricardo anavyo mtazama mkewe ndiyo utajua kama wanawake ni wauaji😄😄😄,Msizwa amemla huyu mwanamke...
🤣🤣🤣
Hamisi omary una uhakika kama kaliwa
Kaliwa uyu
Uyo demu kaliwa kwel na wew momo unachosubir nikumkamata kwa mwenyo lkn hakuna cku nyingi utamkamata uyo demu cie
True body language tells it all
Kama umeona jicho momo anlomkata mkewe weka like twende sawa
Cheee😂😂jicho la momo aki nmeliona
Wivu nikitu kibaya Sana mwenyez mungu atusimamie.
Sanaaa
Momo mume bhna..Mariam tulia na mumeo..❤
Saaaaana
😂😂😂sasa kama chart zilifumwa kuna nn apo kaka anajikaza tu ila demu wako kaliwa na mswiziiiiiiiiiii
Sana tena hapo anajikaza
Anajikaza lakin ni kweli🤣😂
Umeona ee,kusoma hujui hata picha huiyoni
Nobody wins when the family feuds
Tuliosoma Saikolojia tunajua huyu dem aliliwa
Kwel kabisa
Haha haha ikowazi hyo
Ndio Ana chachawa
Hata maelezo yake tu kaliwa😂😂😂
Sana tu maneno mengi
Esma is single and she wants all her friends to be single like her! Shame on you Esma!
Esma mnafiki! Mwivu tu YUDA huyo!
She go back to his baby daddy
Yaan esma anachokitafuta siku at akipata tu
Ukisoma na kwenye sura ya tatu ndani ya qur-an 3(6-7) Allah anasema (...And those who accuse their wives of adultery and have no witnesses except themselves,then the witness of one of them shall be four testmonies (swearing) by Allah that indeed he is of the truth....).
Ushahidi wa zinaa lazima waje mashahidi wanne kama wapo,na kama aliona mmoja basi atatoa viapo vinne kuthibitisha kosa hilo.
Hao mashahidi pia wanavigezo ikiwemo 1)Tabia njema 2)waadilifu 3) wasema ukweli 4) na wameshuhudia kwa jicho la wazi sio kuambiwa au kusikia. So big up bro Momo kamatilia mke wako mpaka pale atakapowahuku Allah wewe na mkeo
Alizungumza kwa lugha ya kizungu?
Strong man
Eeee aka kamwanamke aka..kanakaa kanjanja Sana😂😂😂 momo keshaliliwa ayaaaaaaaaaaaaaa
Wallah hii familia inafanya mambo ya aibu na tatizo kubwa wako mbali na Allah mke wako kichwa wazi katika mtandao .... hii ni aibu tuu kwa hakika lipo jambo hapa na mume pia ajua lile jicho alilo kua anamuangalia mkewe sio mchezo
Ukweli maisha yanahitaji ujasiri na sio nguvu wala Akili nyingi,,,Esma muharibifu anataka Wifi yake aachwe awe mdangaji Kama yeye,,,Wivu wa maisha unatuumiza wengi
Duh 🤯 sielewi bado. Yaishe sasa maisha yaendelee
Mabaharia tumeshaelewa huyu dada kaliwa story mingi mingi sana anatumix na mastory mob....
Momo unakosea awa wanawake Ni mama zetu lkn Wana tabia ya kutotosheka kwaiyo umempa %100% nyingi Sana momo izo kwakumpa mwanamke ata uwe unamuamini vipi izo bado ni nyinyi
Ustadh unazingua,khulil haq wainkaa na murah
Bongo raha sana jamani dah! 🤗🤗😎😎 sijui unakosaje vipindi kama hivi!? Ila tujifunze tu, na tusiyapeleke nyumbani 😁
Yuda ni msaliti jamani ila kuongea uongo huwa hawezi
Kabisa
Jamaa kagongewa lakini ndio kapenda atafanyaje anajikaza kiume tu.😂
Kabisa😂
Hahahahaha
Ningekuwa mm ningekaa kimya tu . Asa anatetea nini...hakuna maongezi ya faragha au makutano ya faragha kati ya mwanaume na mwanamke tena wote mazuri halaf ukiangalia momo na msizwa ni tofauti msizwa hb japo anatabia mbaya.
Momo ameshikwa na mkewe
Pole mariam ndo duniha hy
Muja muzitooo wakatii amekanaa kwa kishindo kikubwa mungu amuhurumiyee🤲🤲🤲
Daàh..kipi ni kipi Sasa lkn hapo nakupa BIG UP MOMOOO"moyo wa kishujaaa namwaume shupavu(ila momo KILA nikikuona kwenye MACHO YAKO naona kitu.
Yanga
Mungu akujalie uwe namungu hivyo
ili uitwe mwanaume hakikisha uwe na moyo wa momo dah kijana umejikaza kiume mkeo huyo kapita na msizwa anashindwa hata kujieleza
Msizwa kapita hapo,
Mhhh kazi.... Kweli kweli
Momo ni mume na nusu Mungu akulindeie ndoa yako
Wewe mzuri Sana mungu akulinde dada achana na huyo yuda
Huyu msizwa inawezekana nikama alikua na mwanamke mwengine mpenzi wake ila akamsave jina lake kama Malaika..just in case ata ESMA akichukua Simu ya msizwa akipata hizo messages ajue kua ni Malaika.Msizwa ni MTU mmbaya sana.Tapeli,na mwenye kufanya watu wakigombana.
Where is text msgs? She should've screenshot harakaharaka send to her phone 📱
Mungu akujalie hekima nyingi kijana,Archana na wanaosumbuka na wivu, kaa na mkeo, wivu Tu na husda nandio maana kila kukicha anazaa na huyu mara Yule,mumuache Malika wawatu
Yan we Ricardo ungekuwa na akili usingeliongelea hilo aibu nyoo mkeo kat*** na msizwa unaenda kumtetea..
emsa yan ukiachwa ww unatak n watu wengine waachane kwenda uko roho mbaya emsa
Na atayumba saaana
Sasa ndo napata picha huyo Momo anavoongea ni diamondi mtuuupuuu kweli damu nzito
Ata mie nimeona ilo
Kweli wamefanana sn
Ata mtoto wa tanasha zaidi kafanana na momo
Poleni Sana Esma, Familia ya momo, msamaha muhimu
For what she's lie and making it up story's
Masitufanye sisi ni watoto huyo Malaika ametembea na Msizwa 100%.
Moja kwa moja inaonyesha msizwa kala mzigo...kuchapiwa ni siri ya ndani kaka vumilia 😂😂😂😂
Niko pamoja Na wewe
@@fatmasaid1911 👌
Duu kaliwa tena huyo dada itakuwa wagombea bwana
Maa shaa Allah nampenda recado momo anavyio rezone yani anatumia hekma na ndio maana ametunza mukewe hio miakayote
Yaani huyu mama anakaa hatari 😂 ameliwa kwa kweli 😂 😂
Ata wy unaliwaga pia
Wahuni tmeelewa tunda la peponi ni tamu
Esma kaachwa yeye anataka kuvulugwa ndoa ya mwenzio!!! Ovyooooooo
Dah nakumbuka kusikiliza kipindi hiki 2 years ago. Maskini Momo ulimpigia kifua mkeo, Leo kakutupa huko. Maneno ya Asmah tuyakumbuke.
Mungu waajabu sana mmekuja kumuaibisha mzee Abduri mmejikuta mnaaibika wenyewe
Oops..wawe kama Diamond tu....Maana Diamond anapitia mengi sana..mengi sana..ila ni mkimya..mpaka now hajaoongea
Hebu tuleteeni mambo ya kutuelimisha hatutaki kila saa hivi vikesi vyia utoto sasa hii ni interview gani? Kama kuna jambo na nyinyi ni jamii moja kaeni pembeni mkatengeze hivi vitu ndo vinafanya harmonize anawashambulia sisi tunawapenda hebu tuleteeni mambo mapya.
Hii ni redio na ina vipindi vyake elewa hiki nikipindi cha mashaamshaam kuna udaku ndani yake, fatilia good morning uelemike
Keshaliwa mbna msizwa kasema malaika ajipendekeza
Anything could be happened,never trust woman,MOMOO000,uko strong,sio kwa kujieleza huko.
I believe this woman mybe it was another woman not her.....
Mume wa Esma Ali save Malaika kwanamba ingine. Kumuumiza Esma
50 50
@@filletist1 lakini Dar yote kuna Malaika wangapi? Yeye mwenyewe kasema alisoma haraka haraka alafu hakuangalia number ku confirm kama ni yeye. Sikuwa na mtetea lakini ukiamua kuleta maneno haya njee u need a lot of good evidence.
Hahahaha mweee... Ukiona manyoya kuku kashaliwa
Wewe kaka zidi kumpenda mkeo uko powa 🤲🙏♥️
Malika malaya kweli bwana.kajuza sana Oman 😏
@@garoedod6272 🤣mlikuwa ote
@@garoedod6272 umekutana nayee ao alikuwa combo yako Oman😏😏😏😏
Go to the point!!! Umetembea na Msizwa au hujazembea naye ????
Dem anajikanyaga kanyaga tu kaliwa complete na msizwaaaa
Pole momo
Daaa!! Kwel utabili wangu umetimia, uongeaji wa momo ni mond mtupu, sikujua ni kwanini,, kumbe kaka bwana.
Kweli anaongea kama diamond umeonaeee
Yaani wamefanana mpak kuongea..
Sanaaa Yan nmeliona hilo
Hilo nililijua siku nyingi wanafanana wanavyozungumza
Yan wanafanana Sautii jmnnn uwiiii
Kelele sana iyo nyimbo
Its possible msizwa he was sent to bring confusion just wake up
Msizwa has chewed the forbidden fruit
Wahuni Tunaelewa Huyu dada Kaliwa😂😂malegendary tunaangalia tu anavyoonge alaf tunajua😂😂😂
hahahahah
Kuna ukweli fulani mke wa MOMO anaujua same tu ndo hivyo hawezi kusema...
Ila ESMA naye wivu kweli unamsumbua
😌😌
Hajatembe anae wivu tu
Never mix business with family affairs.
True indeed,they have low knowledge
This is not mixing business with family, its mixing sex with business
@@oyay2821 🤣🤣🤣🤣
Huyu dada simwamini hata kidogo. Kafumaniwa ndio anajidai innocent
No problem nyingii... Msizwa alijuaje kama una duka kama mkewe hajui!!!
Na huyu alisema Hana no ya msizwa hio simu alimpigia na No gani
Jamani masikio Masha'Allah
Kapigwa huyo hana jipya
Mkeo mrembo Momo wape kisogo wanadamu wana wivu
Saaaaaaana
Ni kweli kabisa
Demu wa momo kaliwa haha
Momo kaibiwa chombo 😂😂😂😂😂😂😂
Hii familia Ina trend kuliko bongo movie 😂😂
Kabisa 😂😂👏👏👏
Wallah😂😂😂
🤣
😄😄😄 kweli, movie zinakosa soko
Braza achana na huyo dem. Yupo kweny mission yake.
Yuda. Umetahayariiiii uyooooooo.
Hatari mna mambo familiya ya diamond mlimtafuna hamisa na wanawake wengine wa diamond sasa leo mnatafunana kama mihindi jamani mungu ni shujaa malipo ni hapa hapa
Msizwa kagonga Dada na wifi hahahaha
Yaani alafu yule jamaa ana vi biashara vingine ambavyo sio halali na esma kasema ,yaani unashindwa unajivuna kwa laki nne anti mchumi angetafuta mwanamke mwenye heshima sio hao ,
Huyu Dada hajielewi Mara hajawahi kulala nje Leo tena anasema alikuwa snalala nje Kwa ajiri ya esma kaliwa namsizwa
Familia ya nyange mpooooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wapo
Yaan kwa haya maelezo yake inaonekana wazi msizwa kagusa hii
Na anajikanyaga sana amepaniki ata jicho la mmewe linamtazama kwa mashaka mhh
Huyu Mke wa momo anaonekana tu kama hajatulia na momo anajua kila kitu kama demu hajatulia sema anaamua kukausha kutokana hiyo pisi ni kali akiiacha Leo watu wakubwa wataimiliki hiyo ni pisi ya BMW sio Ist na momo kachoka hana uwezo wa kumiliki Hii pisi ndo maana anakubali hata demu akimpiga matukio
Kitu Kama hicho bingwa!!
ndoujue kueka familia kwenye social medial jau we unafikiri wakina harmonize hawana madada ila wanakwepa haya
Nice
ruclips.net/video/N6zRw7PnCik/видео.html
Acha tuishi na hii cc wenye uelewa wa haraka YUDA MSTARITI ILA AJAWAHI KUSEMA UONGO ila respect mwanetu wa nyange mmorogolo mwezetu
Hìi family ikona kazi balaa laana sielewe.
Nimeamini sasa maneno ya Esma,kuhusu mke wa Momo na Msizwa
DUUH mmefanana ,sauti na brother yako Diamond
Sisi watu wa psychology tumeshagundua huyo mke wa Momo anaongopa!
Psychology wa kariako stop making up stuff you don't even know her.
Umeharibu ndowa yako Sasa unataka kuharibu ya wengine wewe wenyewe mchafu
Malaika nenda kamdunde esma🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiii
Nimekupenda bureee momo mwanamke unayejua nn mana ya ndoa
Nakupenda Sana malaika achana nao washamba hao tulia na momo akoooo
Kuna utata hapo. Mkweli bado hajajulikana hapo. Ila malaika kama vile mjanja mjanja hivi?!
Ni kweli kabisa
Hahaaaaa
kama vip tuende kwa mawakala ofisini tutajua msg zao pamoja na call zote zilikuaje kwa hao wanaoshtumiwa uyo bidada malaika na uyo mme wa esma
Huyo kaliwa sema hakuna jinsi maisha yaendelee
Hapo nimahakani au ?
Sasa hii ndo moja ya sababu inayomfanya diamond asioe
Daaah esma shikamoo
Momo uko. Na mke mzuri sana malaika malaika kweli si mchezo