MWANZO MWISHO : MKE WA MOMO AFUNGUKA KUTOKA NA MSIZWA WA ESMA PLATNUMZ/ ANAROHO MBAYA NA WIVU UMEJAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 янв 2021
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 580

  • @olomweneabongela1717
    @olomweneabongela1717 3 года назад +54

    Anayehamini baada ya hii interview Momo atakwenda kuhanzisha mahojiano mapya nyumbani au ugomvi anipe like tafadhali.

  • @leolaganira8679
    @leolaganira8679 3 года назад +27

    I applaud him for standing by his woman period!

  • @shankim3416
    @shankim3416 3 года назад +27

    Ricardo you are a real man. May God bless your marriage

  • @salmaseif8755
    @salmaseif8755 3 года назад +6

    Momo nimekupenda sanaa we mwanaume na nusu asantee kwa kumtetea mkeo

  • @salmaseif8755
    @salmaseif8755 3 года назад +5

    Kumbe Esma kumbe ujamkataa msizwa kuwa humpendi, Kumbe nimaumivu tu yakimapenz ya mumewe, msizwa popote ulipo Esma kumbe alikuzimikia👌 Msizwa we mwanaume na nusu 💪

  • @christophernsemwa8185
    @christophernsemwa8185 3 года назад +13

    Ni ngumu sana kujua ya mwanamke: Siri ya kuzini kwa mwanamke you need more than telescopic eye to identify the point of aim..! (POA) Wana akili sana Hawa viumbe ila mwisho wao huwa mfupi sana: it is because they never focus at the Point of Impact (POI)
    Pole sana kaka Ricardo Momo
    Shemeji kuna ulakini katika hadithi yake ... Shekhe.

  • @miriamlaurean2226
    @miriamlaurean2226 3 года назад +18

    Hongera dada...umepata mume💓

    • @salmaseif8755
      @salmaseif8755 3 года назад +1

      Kbs Mume anamsimamo wake wamsumbue tu uyouyo daymond wao

  • @khalifapaul2543
    @khalifapaul2543 3 года назад +5

    @Ricadomomo wachana na Huyu Malaya katombwa Huyu Ana maneno mengi Kaliwa more love From kenya !🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      Malaya kamtoma baba Ako au mama yako? Sounds stupid

  • @rafaeliezekieli7685
    @rafaeliezekieli7685 3 года назад +22

    Sema mwanangu momo uyo mkeo mwamba kapitanae

  • @hamisomarykumba5877
    @hamisomarykumba5877 3 года назад +29

    37:21 Jinsi Bwana Ricardo anavyo mtazama mkewe ndiyo utajua kama wanawake ni wauaji😄😄😄,Msizwa amemla huyu mwanamke...

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 3 года назад

      🤣🤣🤣

    • @siahfrednand670
      @siahfrednand670 3 года назад

      Hamisi omary una uhakika kama kaliwa

    • @lilianrichard2298
      @lilianrichard2298 3 года назад

      Kaliwa uyu

    • @rashidaly4179
      @rashidaly4179 3 года назад

      Uyo demu kaliwa kwel na wew momo unachosubir nikumkamata kwa mwenyo lkn hakuna cku nyingi utamkamata uyo demu cie

    • @cocobae5172
      @cocobae5172 3 года назад

      True body language tells it all

  • @musaabuebker1750
    @musaabuebker1750 3 года назад +14

    Kama umeona jicho momo anlomkata mkewe weka like twende sawa

  • @carstuslucas4248
    @carstuslucas4248 3 года назад +21

    Wivu nikitu kibaya Sana mwenyez mungu atusimamie.

  • @malongosalim6826
    @malongosalim6826 3 года назад +9

    Momo mume bhna..Mariam tulia na mumeo..❤

  • @sikudhanhaule8879
    @sikudhanhaule8879 3 года назад +31

    😂😂😂sasa kama chart zilifumwa kuna nn apo kaka anajikaza tu ila demu wako kaliwa na mswiziiiiiiiiiii

  • @jarnicebenson1323
    @jarnicebenson1323 3 года назад +5

    Nobody wins when the family feuds

  • @wananchitv8690
    @wananchitv8690 3 года назад +53

    Tuliosoma Saikolojia tunajua huyu dem aliliwa

  • @missannevwtvvvip1576
    @missannevwtvvvip1576 3 года назад +14

    Esma is single and she wants all her friends to be single like her! Shame on you Esma!

  • @jamalmageser9390
    @jamalmageser9390 3 года назад +8

    Ukisoma na kwenye sura ya tatu ndani ya qur-an 3(6-7) Allah anasema (...And those who accuse their wives of adultery and have no witnesses except themselves,then the witness of one of them shall be four testmonies (swearing) by Allah that indeed he is of the truth....).
    Ushahidi wa zinaa lazima waje mashahidi wanne kama wapo,na kama aliona mmoja basi atatoa viapo vinne kuthibitisha kosa hilo.
    Hao mashahidi pia wanavigezo ikiwemo 1)Tabia njema 2)waadilifu 3) wasema ukweli 4) na wameshuhudia kwa jicho la wazi sio kuambiwa au kusikia. So big up bro Momo kamatilia mke wako mpaka pale atakapowahuku Allah wewe na mkeo

    • @omaryally5555
      @omaryally5555 3 года назад

      Alizungumza kwa lugha ya kizungu?

  • @aboukillo969
    @aboukillo969 3 года назад

    Strong man

  • @mrthreesix280
    @mrthreesix280 3 года назад +14

    Eeee aka kamwanamke aka..kanakaa kanjanja Sana😂😂😂 momo keshaliliwa ayaaaaaaaaaaaaaa

  • @abdulhemedabdulhemed7110
    @abdulhemedabdulhemed7110 3 года назад +5

    Wallah hii familia inafanya mambo ya aibu na tatizo kubwa wako mbali na Allah mke wako kichwa wazi katika mtandao .... hii ni aibu tuu kwa hakika lipo jambo hapa na mume pia ajua lile jicho alilo kua anamuangalia mkewe sio mchezo

  • @siamollel9725
    @siamollel9725 3 года назад +4

    Ukweli maisha yanahitaji ujasiri na sio nguvu wala Akili nyingi,,,Esma muharibifu anataka Wifi yake aachwe awe mdangaji Kama yeye,,,Wivu wa maisha unatuumiza wengi

  • @handbagsquality9835
    @handbagsquality9835 3 года назад +3

    Duh 🤯 sielewi bado. Yaishe sasa maisha yaendelee

  • @lucamartin6584
    @lucamartin6584 3 года назад +12

    Mabaharia tumeshaelewa huyu dada kaliwa story mingi mingi sana anatumix na mastory mob....

  • @rashidaly4179
    @rashidaly4179 3 года назад +4

    Momo unakosea awa wanawake Ni mama zetu lkn Wana tabia ya kutotosheka kwaiyo umempa %100% nyingi Sana momo izo kwakumpa mwanamke ata uwe unamuamini vipi izo bado ni nyinyi

  • @Nalxylee254
    @Nalxylee254 3 года назад +2

    Ustadh unazingua,khulil haq wainkaa na murah

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 3 года назад +2

    Bongo raha sana jamani dah! 🤗🤗😎😎 sijui unakosaje vipindi kama hivi!? Ila tujifunze tu, na tusiyapeleke nyumbani 😁

  • @pendojeremiah9111
    @pendojeremiah9111 3 года назад +10

    Yuda ni msaliti jamani ila kuongea uongo huwa hawezi

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 3 года назад +30

    Jamaa kagongewa lakini ndio kapenda atafanyaje anajikaza kiume tu.😂

    • @swaummussa1272
      @swaummussa1272 3 года назад

      Kabisa😂

    • @shaibumahanda5190
      @shaibumahanda5190 3 года назад

      Hahahahaha

    • @ayshabayun9014
      @ayshabayun9014 3 года назад

      Ningekuwa mm ningekaa kimya tu . Asa anatetea nini...hakuna maongezi ya faragha au makutano ya faragha kati ya mwanaume na mwanamke tena wote mazuri halaf ukiangalia momo na msizwa ni tofauti msizwa hb japo anatabia mbaya.

    • @abdallahsaidi2942
      @abdallahsaidi2942 3 года назад

      Momo ameshikwa na mkewe

  • @johnrahab2698
    @johnrahab2698 3 года назад +10

    Pole mariam ndo duniha hy

  • @medaihatungimana107
    @medaihatungimana107 3 года назад +3

    Muja muzitooo wakatii amekanaa kwa kishindo kikubwa mungu amuhurumiyee🤲🤲🤲

  • @andrewjulius6796
    @andrewjulius6796 3 года назад +7

    Daàh..kipi ni kipi Sasa lkn hapo nakupa BIG UP MOMOOO"moyo wa kishujaaa namwaume shupavu(ila momo KILA nikikuona kwenye MACHO YAKO naona kitu.

  • @hamadshariff7424
    @hamadshariff7424 Год назад

    Mungu akujalie uwe namungu hivyo

  • @aishajafa4139
    @aishajafa4139 3 года назад +15

    ili uitwe mwanaume hakikisha uwe na moyo wa momo dah kijana umejikaza kiume mkeo huyo kapita na msizwa anashindwa hata kujieleza

  • @charlskpc1103
    @charlskpc1103 3 года назад +12

    Msizwa kapita hapo,

  • @zulkhulayfatfayadhil2371
    @zulkhulayfatfayadhil2371 3 года назад

    Mhhh kazi.... Kweli kweli

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Год назад +1

    Momo ni mume na nusu Mungu akulindeie ndoa yako

  • @alshabje7185
    @alshabje7185 3 года назад +2

    Wewe mzuri Sana mungu akulinde dada achana na huyo yuda

  • @aishamaina6815
    @aishamaina6815 3 года назад +11

    Huyu msizwa inawezekana nikama alikua na mwanamke mwengine mpenzi wake ila akamsave jina lake kama Malaika..just in case ata ESMA akichukua Simu ya msizwa akipata hizo messages ajue kua ni Malaika.Msizwa ni MTU mmbaya sana.Tapeli,na mwenye kufanya watu wakigombana.

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      Where is text msgs? She should've screenshot harakaharaka send to her phone 📱

  • @habibamhina9075
    @habibamhina9075 4 месяца назад

    Mungu akujalie hekima nyingi kijana,Archana na wanaosumbuka na wivu, kaa na mkeo, wivu Tu na husda nandio maana kila kukicha anazaa na huyu mara Yule,mumuache Malika wawatu

  • @ayshabayun9014
    @ayshabayun9014 3 года назад +9

    Yan we Ricardo ungekuwa na akili usingeliongelea hilo aibu nyoo mkeo kat*** na msizwa unaenda kumtetea..

  • @irenenyange9409
    @irenenyange9409 3 года назад +10

    emsa yan ukiachwa ww unatak n watu wengine waachane kwenda uko roho mbaya emsa

  • @rizikiwaadee8790
    @rizikiwaadee8790 3 года назад +15

    Sasa ndo napata picha huyo Momo anavoongea ni diamondi mtuuupuuu kweli damu nzito

  • @marysellawanza2315
    @marysellawanza2315 3 года назад

    Poleni Sana Esma, Familia ya momo, msamaha muhimu

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      For what she's lie and making it up story's

  • @ahmadshomali4206
    @ahmadshomali4206 3 года назад +6

    Masitufanye sisi ni watoto huyo Malaika ametembea na Msizwa 100%.

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 3 года назад +5

    Moja kwa moja inaonyesha msizwa kala mzigo...kuchapiwa ni siri ya ndani kaka vumilia 😂😂😂😂

  • @nunniznurcky9724
    @nunniznurcky9724 3 года назад

    Maa shaa Allah nampenda recado momo anavyio rezone yani anatumia hekma na ndio maana ametunza mukewe hio miakayote

  • @darlinghadija1313
    @darlinghadija1313 3 года назад +12

    Yaani huyu mama anakaa hatari 😂 ameliwa kwa kweli 😂 😂

    • @zaerajuma9159
      @zaerajuma9159 3 года назад +1

      Ata wy unaliwaga pia

    • @oyay2821
      @oyay2821 3 года назад

      Wahuni tmeelewa tunda la peponi ni tamu

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 3 года назад +14

    Esma kaachwa yeye anataka kuvulugwa ndoa ya mwenzio!!! Ovyooooooo

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Год назад +2

    Dah nakumbuka kusikiliza kipindi hiki 2 years ago. Maskini Momo ulimpigia kifua mkeo, Leo kakutupa huko. Maneno ya Asmah tuyakumbuke.

  • @winfridadominancy3492
    @winfridadominancy3492 3 года назад +4

    Mungu waajabu sana mmekuja kumuaibisha mzee Abduri mmejikuta mnaaibika wenyewe

  • @patsonmassawe7714
    @patsonmassawe7714 3 года назад +11

    Oops..wawe kama Diamond tu....Maana Diamond anapitia mengi sana..mengi sana..ila ni mkimya..mpaka now hajaoongea

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад +7

    Hebu tuleteeni mambo ya kutuelimisha hatutaki kila saa hivi vikesi vyia utoto sasa hii ni interview gani? Kama kuna jambo na nyinyi ni jamii moja kaeni pembeni mkatengeze hivi vitu ndo vinafanya harmonize anawashambulia sisi tunawapenda hebu tuleteeni mambo mapya.

    • @cheedvevo
      @cheedvevo 3 года назад

      Hii ni redio na ina vipindi vyake elewa hiki nikipindi cha mashaamshaam kuna udaku ndani yake, fatilia good morning uelemike

  • @zenamadhan2517
    @zenamadhan2517 3 года назад +8

    Keshaliwa mbna msizwa kasema malaika ajipendekeza

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 3 года назад +2

    Anything could be happened,never trust woman,MOMOO000,uko strong,sio kwa kujieleza huko.

  • @moniquemaua01
    @moniquemaua01 3 года назад +9

    I believe this woman mybe it was another woman not her.....

    • @filletist1
      @filletist1 3 года назад +3

      Mume wa Esma Ali save Malaika kwanamba ingine. Kumuumiza Esma

    • @thisiszai2045
      @thisiszai2045 3 года назад

      50 50

    • @moniquemaua01
      @moniquemaua01 3 года назад +1

      @@filletist1 lakini Dar yote kuna Malaika wangapi? Yeye mwenyewe kasema alisoma haraka haraka alafu hakuangalia number ku confirm kama ni yeye. Sikuwa na mtetea lakini ukiamua kuleta maneno haya njee u need a lot of good evidence.

    • @karimchindema9823
      @karimchindema9823 3 года назад

      Hahahaha mweee... Ukiona manyoya kuku kashaliwa

  • @alshabje7185
    @alshabje7185 3 года назад +3

    Wewe kaka zidi kumpenda mkeo uko powa 🤲🙏♥️

    • @garoedod6272
      @garoedod6272 3 года назад

      Malika malaya kweli bwana.kajuza sana Oman 😏

    • @sharonchristian3711
      @sharonchristian3711 3 года назад

      @@garoedod6272 🤣mlikuwa ote

    • @medaihatungimana107
      @medaihatungimana107 3 года назад

      @@garoedod6272 umekutana nayee ao alikuwa combo yako Oman😏😏😏😏

  • @officiallymercymargaret3259
    @officiallymercymargaret3259 3 года назад

    Go to the point!!! Umetembea na Msizwa au hujazembea naye ????

  • @rajabrwambo8083
    @rajabrwambo8083 3 года назад +4

    Dem anajikanyaga kanyaga tu kaliwa complete na msizwaaaa

  • @maslavaofficial8813
    @maslavaofficial8813 3 года назад

    Pole momo

  • @kinasatz7266
    @kinasatz7266 3 года назад +13

    Daaa!! Kwel utabili wangu umetimia, uongeaji wa momo ni mond mtupu, sikujua ni kwanini,, kumbe kaka bwana.

  • @etox6940
    @etox6940 3 года назад

    Kelele sana iyo nyimbo

  • @emmanuelsimkonda3304
    @emmanuelsimkonda3304 3 года назад +6

    Its possible msizwa he was sent to bring confusion just wake up

    • @oyay2821
      @oyay2821 3 года назад

      Msizwa has chewed the forbidden fruit

  • @lama6310
    @lama6310 2 года назад +2

    Wahuni Tunaelewa Huyu dada Kaliwa😂😂malegendary tunaangalia tu anavyoonge alaf tunajua😂😂😂

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa3575 3 года назад +6

    Kuna ukweli fulani mke wa MOMO anaujua same tu ndo hivyo hawezi kusema...
    Ila ESMA naye wivu kweli unamsumbua

  • @itsangycuisine1162
    @itsangycuisine1162 3 года назад +1

    😌😌

  • @deega1234
    @deega1234 3 года назад +17

    Never mix business with family affairs.

    • @healthchoicewithluciebern8741
      @healthchoicewithluciebern8741 3 года назад

      True indeed,they have low knowledge

    • @oyay2821
      @oyay2821 3 года назад

      This is not mixing business with family, its mixing sex with business

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      @@oyay2821 🤣🤣🤣🤣

  • @Gigizlife
    @Gigizlife 3 года назад +5

    Huyu dada simwamini hata kidogo. Kafumaniwa ndio anajidai innocent

  • @devotheranderson1158
    @devotheranderson1158 3 года назад

    No problem nyingii... Msizwa alijuaje kama una duka kama mkewe hajui!!!

  • @aisharajimbo6784
    @aisharajimbo6784 3 года назад +5

    Na huyu alisema Hana no ya msizwa hio simu alimpigia na No gani

  • @chollogangstar3183
    @chollogangstar3183 3 года назад +9

    Kapigwa huyo hana jipya

  • @olive-jaysilasofficial
    @olive-jaysilasofficial 3 года назад +13

    Mkeo mrembo Momo wape kisogo wanadamu wana wivu

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 3 года назад +24

    Demu wa momo kaliwa haha

  • @jumongjr5837
    @jumongjr5837 3 года назад +11

    Momo kaibiwa chombo 😂😂😂😂😂😂😂

  • @derickydeniz583
    @derickydeniz583 3 года назад +19

    Hii familia Ina trend kuliko bongo movie 😂😂

  • @fravoredstunner5
    @fravoredstunner5 3 года назад +4

    Braza achana na huyo dem. Yupo kweny mission yake.

  • @mamukassim4075
    @mamukassim4075 3 года назад

    Yuda. Umetahayariiiii uyooooooo.

  • @elit3_furor517
    @elit3_furor517 3 года назад +1

    Hatari mna mambo familiya ya diamond mlimtafuna hamisa na wanawake wengine wa diamond sasa leo mnatafunana kama mihindi jamani mungu ni shujaa malipo ni hapa hapa

  • @kingmorani469
    @kingmorani469 3 года назад +13

    Msizwa kagonga Dada na wifi hahahaha

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 3 года назад

      Yaani alafu yule jamaa ana vi biashara vingine ambavyo sio halali na esma kasema ,yaani unashindwa unajivuna kwa laki nne anti mchumi angetafuta mwanamke mwenye heshima sio hao ,

    • @gracedaudi4124
      @gracedaudi4124 3 года назад

      Huyu Dada hajielewi Mara hajawahi kulala nje Leo tena anasema alikuwa snalala nje Kwa ajiri ya esma kaliwa namsizwa

  • @mariangittu7418
    @mariangittu7418 3 года назад +20

    Familia ya nyange mpooooooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @gerry_macopper3808
    @gerry_macopper3808 3 года назад +5

    Yaan kwa haya maelezo yake inaonekana wazi msizwa kagusa hii

    • @priscamlyuka5531
      @priscamlyuka5531 3 года назад

      Na anajikanyaga sana amepaniki ata jicho la mmewe linamtazama kwa mashaka mhh

  • @Noname-gg6bx
    @Noname-gg6bx 3 года назад +12

    Huyu Mke wa momo anaonekana tu kama hajatulia na momo anajua kila kitu kama demu hajatulia sema anaamua kukausha kutokana hiyo pisi ni kali akiiacha Leo watu wakubwa wataimiliki hiyo ni pisi ya BMW sio Ist na momo kachoka hana uwezo wa kumiliki Hii pisi ndo maana anakubali hata demu akimpiga matukio

  • @elitwazambwambo2222
    @elitwazambwambo2222 3 года назад +3

    ndoujue kueka familia kwenye social medial jau we unafikiri wakina harmonize hawana madada ila wanakwepa haya

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 3 года назад +2

    Nice

    • @mdachiog5211
      @mdachiog5211 3 года назад

      ruclips.net/video/N6zRw7PnCik/видео.html

  • @sponsertv5009
    @sponsertv5009 3 года назад +13

    Acha tuishi na hii cc wenye uelewa wa haraka YUDA MSTARITI ILA AJAWAHI KUSEMA UONGO ila respect mwanetu wa nyange mmorogolo mwezetu

  • @shellaking6185
    @shellaking6185 2 года назад

    Hìi family ikona kazi balaa laana sielewe.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад +2

    Nimeamini sasa maneno ya Esma,kuhusu mke wa Momo na Msizwa

  • @dominamollel6753
    @dominamollel6753 3 года назад

    DUUH mmefanana ,sauti na brother yako Diamond

  • @khalidtv6200
    @khalidtv6200 3 года назад +4

    Sisi watu wa psychology tumeshagundua huyo mke wa Momo anaongopa!

    • @Mina.15
      @Mina.15 Год назад

      Psychology wa kariako stop making up stuff you don't even know her.

  • @alshabje7185
    @alshabje7185 3 года назад +12

    Umeharibu ndowa yako Sasa unataka kuharibu ya wengine wewe wenyewe mchafu

  • @zaydelabay9776
    @zaydelabay9776 3 года назад +7

    Malaika nenda kamdunde esma🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uwiiiiii

  • @vailetherasto2288
    @vailetherasto2288 3 года назад +2

    Nimekupenda bureee momo mwanamke unayejua nn mana ya ndoa

  • @jumahabibu8698
    @jumahabibu8698 3 года назад +1

    Nakupenda Sana malaika achana nao washamba hao tulia na momo akoooo

  • @ramadhanimasudi6904
    @ramadhanimasudi6904 3 года назад +6

    Kuna utata hapo. Mkweli bado hajajulikana hapo. Ila malaika kama vile mjanja mjanja hivi?!

  • @nafhal
    @nafhal 3 года назад +2

    kama vip tuende kwa mawakala ofisini tutajua msg zao pamoja na call zote zilikuaje kwa hao wanaoshtumiwa uyo bidada malaika na uyo mme wa esma

  • @ommyskillz1793
    @ommyskillz1793 3 года назад +1

    Huyo kaliwa sema hakuna jinsi maisha yaendelee

  • @zainabkimatare8539
    @zainabkimatare8539 3 года назад +1

    Hapo nimahakani au ?

  • @eliadominick7332
    @eliadominick7332 3 года назад +6

    Sasa hii ndo moja ya sababu inayomfanya diamond asioe

  • @hellenmanzi4740
    @hellenmanzi4740 3 года назад

    Daaah esma shikamoo

  • @pendochimammy5013
    @pendochimammy5013 Год назад

    Momo uko. Na mke mzuri sana malaika malaika kweli si mchezo