MALAIKA amjibu ESMA: Mimi sikuchepuka na MSIZWA, Niko tayari kuapa, Akili zimemruka ananichafua

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 янв 2021
  • Malaika mke wa Ricardo Momo afunguka baada ya kushutumiwa na Esma kuwa aliivunja NDOA yake kwa kuingia kwenye mahusiano na Msizwa, Kwenye exclusive interview hii ametueleza mwanzo mwisho kuhusu ukweli wa shutuma hizi. Enjoy!

Комментарии • 972

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 3 года назад +98

    Momo umepata mke mwenye hekma hongera

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 года назад +21

    Hongera Ricardo momo heshima yako,umesimama na mkeo na kumjengea heshima kama mke, napenda ulivyo mlinda na endelea kumlinda na shutuma za watu na family, esma alizoea kucheza na mahusiano ya naseeb,safari hii amekutana na kisiki cha mpingo,unamke mzuri maashaaallah,Allah ailinde ndoa yenu,huyu esma ni wivu unamsumbua hata ktk mahusiano yake hayadumu ni vile awatendea watu ubaya humrudia mwenyewe,hasbi'allah wanaimal wakil

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 3 года назад +91

    Ahsante malaika unajielewa hongera dada namna hio nimekupenda bureee

    • @ruthmdamo7661
      @ruthmdamo7661 3 года назад

      Hunishindi Mimi marafiki Hawa mmmmh

  • @fatmaali7605
    @fatmaali7605 3 года назад +11

    She’s vry wise mashallah keep going gurl May God bless u Malaika

  • @marianakapeller4699
    @marianakapeller4699 3 года назад +30

    Pole Malaika Allah akupe subra na uishi na mumeo vizuri

  • @ikrammahonda4566
    @ikrammahonda4566 3 года назад +11

    Asante sana nimekuelewa malaika esma amezid. Mdomo anajifanya kaxoea mitandao

  • @lovvy854
    @lovvy854 3 года назад +10

    That's great your 💯👌 write sure may God bless you and your family

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 3 года назад +259

    Kama mmeona malaika kafanana na wolper like

  • @azaabdallah3186
    @azaabdallah3186 3 года назад +66

    Esma kivuruge ,mama yake nae yaleyale ,mtu mzima ovyo...malaika angalia familia yako. Nimeipenda uko strong

    • @nasrimohamed7556
      @nasrimohamed7556 3 года назад

      Dah ile familia jamn

    • @mymunamymuna4807
      @mymunamymuna4807 3 года назад

      Esma ni mchawi wa ndugu zake ana wivu na mawifi zake coz niwazuri kumliko ndio maana domo hakai na wanawake coz anawasikiliza sana esma na mamake

    • @saumushabani3170
      @saumushabani3170 3 года назад

      Hahaha

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 3 года назад +33

    One of the best interview chris

  • @zahrasulaiman8827
    @zahrasulaiman8827 3 года назад +21

    Nakupenda Maraika kiukweli ww umemzidi ESMA iyo ndio tatizo

  • @sallygrace1495
    @sallygrace1495 3 года назад +9

    Umependeza Malaika.
    God bless you sis 💞

  • @jasnafkiser4211
    @jasnafkiser4211 3 года назад +24

    Daah Ricardo momo ongera kwakupata mwanamke mwenye hekima 😍🪝

  • @salmanyangasa1171
    @salmanyangasa1171 3 года назад +5

    Nimempenda Sana huyu dada yan anajielewa Sana wallah...hongera Ricardo una mke anaejielewa

  • @hamedaabdultaleb5341
    @hamedaabdultaleb5341 3 года назад +139

    Huyu mdada nimzur kweli lazima aonewe wivu

  • @marywamaitha
    @marywamaitha 3 года назад +11

    I salute this lady 💪💯

  • @elizabethsakina9987
    @elizabethsakina9987 3 года назад +48

    That’s why I love SNS awachelewi kumtafuta muhusika good job

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 3 года назад

      Hii ndiyo Tz🤣🤣🤣

    • @dianamadege1703
      @dianamadege1703 3 года назад

      Ila esma ni muongo jaman

    • @mariamniko9470
      @mariamniko9470 3 года назад

      @@dianamadege1703
      L
      L
      P
      L
      Ppp L
      L
      L
      L
      Ppp l
      L
      L
      Ll
      P
      P
      L
      Ll l
      P
      L
      L
      P
      Power

    • @mariamniko9470
      @mariamniko9470 3 года назад

      @@dianamadege1703
      L
      L
      P
      L
      Ppp L
      L
      L
      L
      Ppp l
      L
      L
      Ll
      P
      P
      L
      Ll l
      P
      L
      L
      P
      Power

    • @ms_caramel2688
      @ms_caramel2688 3 года назад

      @@salomewandya7257 yaan wanaichangamsha nchi ady raha

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 3 года назад +31

    Piga kelele kwa Malaika wake love bby girl

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 года назад +15

    SO BEAUTIFUL

  • @elizabethjames2693
    @elizabethjames2693 3 года назад +3

    Wow wewe dada ni mzuri pia una roho nzur sana mungu akubariki Mimi nimekupenda hongera sana 🌹 yani

  • @medaihatungimana107
    @medaihatungimana107 3 года назад +5

    Nilikupenda juu hawuna mikucaaa kama watanzania wengine❤️❤️❤️❤️aace kukupanikisha uyooo esma ashacoka na maishaa😳

  • @salmafikirini4899
    @salmafikirini4899 3 года назад +3

    Mungu atakulipia dada nimekuonea mpaka huruma na mwenyezi mungu ataisimamia ndoa yako itadumu milele inshaallah

  • @zaitunimohd3617
    @zaitunimohd3617 3 года назад +88

    Jamani familia hii tutaona mengi

    • @khdijaahmed8458
      @khdijaahmed8458 3 года назад +3

      Umeonaeeh

    • @mercyndujilo5363
      @mercyndujilo5363 3 года назад +6

      Tutaambiwa uncle shamte anatembea na Esma sasa😂

    • @kibongobongo4608
      @kibongobongo4608 3 года назад +3

      😁 😁 Kama Egoli vile
      Kwa kupenda Kiki wapo tayari kwa chochote. Sasa mpaka kumkataa baba mzazi Sio kitu kidogo

    • @mamukassim4075
      @mamukassim4075 3 года назад

      Esma. Kachanganyikiwa na kuachwaaaaaaaaaaaa

    • @awezayesu1779
      @awezayesu1779 3 года назад

      😅😅😅😅😅😅

  • @zaraannabell3195
    @zaraannabell3195 3 года назад +8

    Uko mzuri dada kama namuona dada jacky wolpa❤❤ acana na esma. hananyota ule domo tu la bure. Kacoka

  • @btylove1870
    @btylove1870 3 года назад +43

    Kweli naamini now kuwa Esma nitatizo kwenye hii familia. That's why hata kaka yake hadumu na wanawake, na yeye Esma hatodumu na ndoa kabisa mpaka aache fitna na roho mbaya!

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 3 года назад +36

    Kuanzia leo MIMI nishakua mteja wa malaika jamani....!ebu pambana na duka lako mpauko ESMA😏😏

    • @hawaloth7115
      @hawaloth7115 3 года назад

      Pambe tuu😁😁😁😁😁

  • @judithgeofrey1107
    @judithgeofrey1107 3 года назад +31

    Huyu Dada mzuri MWe!

  • @chauabdalah3311
    @chauabdalah3311 3 года назад +5

    Nimekupenda unajielewa na una hofu ya mungu safi endelea kusimama kwenye iman

  • @azaabdallah3186
    @azaabdallah3186 3 года назад +11

    Ukoo ilitolewa pesa malimbukeni, unajua ukitoka kwenye maisha ya tabu ukipata unawapanda watu wote vichwani kwao

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 года назад +6

    Mmmm esma kiboko jina la yuda linamfaa sana 🙄 anafanya uyuda mpaka ktk familia 🙆‍♀️ da! Kiboko, malaika mrembo sana mashallah ❤🇹🇿🇨🇭

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 года назад +12

    Mmmmh ngoja ninywe chai nirudi🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️🏃🏽‍♀️

  • @aminalupetu3647
    @aminalupetu3647 3 года назад +7

    Malaika nakupenda bure mam na maneno yak ya busara 💖

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 3 года назад +7

    nakupenda sana Malaika iyo nikweli mumewako anakupenda sana

  • @swahilisongswithZita
    @swahilisongswithZita 3 года назад +35

    Keeping up with the Chibus is sooo juicy than the Kardashians kwakweli😆🤣

  • @selestineosoo5045
    @selestineosoo5045 3 года назад +34

    Esma, wacha mambo mob, hiyo ndiyo malipo ya Diamond kuchezea wasichana wa watu, wembe ni ule ule

  • @judithsidi1087
    @judithsidi1087 3 года назад +20

    We dangote family mtatuonyesha mambo mengi basi huyu esma ame chukua tabia za mamake

  • @maryzulu8456
    @maryzulu8456 3 года назад +39

    Nan kackia "what is goes on"?

  • @ndaganoanastazia2658
    @ndaganoanastazia2658 3 года назад +12

    Siyo Esma ... Msizwa kiboko kaja kuwavuruga familia nzima.... ona mama dangote amemvuruga mzee.... malaika kavurugwa na Esma.... na msipo kaaa kufamily 2021 mtaparangana sana ... yetu 👀👀👀🇧🇪

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 3 года назад +45

    Umetisha, alithan we ni akina Hamisa,wale anawapanda mgongo na kushuka

  • @sonialand2646
    @sonialand2646 3 года назад +3

    Nimeipenda hiyo nimefundwa! Safi sana!

  • @happynicholaus6474
    @happynicholaus6474 3 года назад +28

    Sema huyu dada ajui kujipendekeza nimempenda

  • @scolanalle7503
    @scolanalle7503 3 года назад +3

    Live your life Malaika

  • @wahiduitsverycommentmane5421
    @wahiduitsverycommentmane5421 3 года назад +2

    uyoo malaya esma kakomaaa kama jinii majii anamuonea huyu malaika wivu mdada wa watu mremboo mashallah dumu na ndoa yako mamy achana na huyo malaya changudoa kama alizoea kina tanasha,hamissa na wengine akuache ukae kwenye ndoa yako kwa amanii na mungu atakufunika inshallah 🙏🏻

  • @user-vr1cq9mt2r
    @user-vr1cq9mt2r 3 года назад +53

    This is is keeping up with diangotess family episode 2...😂😂😂

  • @louisedusabe825
    @louisedusabe825 3 года назад +9

    I love your dress 👗

  • @Agnes-qq4np
    @Agnes-qq4np 3 года назад +74

    Dada wewe nikiboko ya yuda(Esma)alizoweya wakina Amissa tanasha anawo onea

  • @ukhtynaa1096
    @ukhtynaa1096 3 года назад +23

    1.esma alikua na mimba akawa hapendi harufu , esma kasharudiana na baba taraj weuweee piga kelele

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 года назад +45

    Kweli Esma hafai kuwa rafiki ana uswahili mwingi sn,ata Tanasha alishaliongea hili

    • @salmaseif8755
      @salmaseif8755 3 года назад +1

      Ndio mana daymond hakai na wanawake kwa tabia za mamaake na dadaake

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 3 года назад +20

    Esma ana matatizo amezoea kufukuza wake wa diamondplantinamz sasa hawako ameanza warecardomomo thats not good malaika usijali hayo yasikujalishe endelea na kazi zako mama.

    • @Elsie39409
      @Elsie39409 3 года назад

      Alifuza wa Diamond Nyange wa kwanza sasa amesonga kwa wa Ricardo Nyange wa pili

    • @neemaumwemasana9823
      @neemaumwemasana9823 3 года назад

      Pole mamy

  • @bumeplatnumz8445
    @bumeplatnumz8445 3 года назад +9

    Point🔥❤❤

  • @nahiaabdallah5871
    @nahiaabdallah5871 3 года назад +1

    Kama kweli Kaku shafuwa pole mamangu Allah Ata kusa fisha inshallah 🙏

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 3 года назад +9

    Creez never disappoints...thanks #sns

  • @angelinaomare3055
    @angelinaomare3055 3 года назад +17

    Good girl Msamaha yes to make things Right....but with such a Person keep distance with Dangerous pple

  • @lucyheigre1974
    @lucyheigre1974 3 года назад +27

    ALIYESKIA WHAT is GOES On!!!!! GONGA LIKE

  • @khalossalim213
    @khalossalim213 3 года назад +35

    Esma kavurugwa na msizwa bas anataka awavuruge na wenzie

  • @anitakamene5073
    @anitakamene5073 3 года назад +2

    Nice

  • @fatnahsaleh860
    @fatnahsaleh860 3 года назад +10

    Wallah you are soooooo cute 😘🌹

  • @hellenalex9541
    @hellenalex9541 3 года назад +17

    You’re so beautiful

  • @nasrahsamwely6871
    @nasrahsamwely6871 3 года назад +19

    Maskin Dada wawatu mtarabu mwenyew 😢😢😢

  • @evergreenmagingila8756
    @evergreenmagingila8756 3 года назад +4

    Ofcoz momo ana mke cute and smart woman ..

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 3 года назад +34

    Be humble malaika.

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 3 года назад +16

    Huyo mtu wa Familia I hope si Diamond juu wewe ni type Yake unafanana sana na Zari jamani 😜😂😂😂

  • @twahaali8601
    @twahaali8601 3 года назад

    So cute

  • @patrickqueen6393
    @patrickqueen6393 3 года назад

    Wooow so smart malaika

  • @farahanafarer7588
    @farahanafarer7588 3 года назад +5

    Malaik mungu akutangulie

  • @zaraannabell3195
    @zaraannabell3195 3 года назад

    Unajielewa dada God bless u . Urafik aca ata ikitokea akuombe msama

  • @marinamooh4055
    @marinamooh4055 3 года назад +1

    Pole Walalo hiyo family looh pooh

  • @chundemayala6641
    @chundemayala6641 3 года назад +8

    Kama umemsikia huyu malaika kamwambia esma ni mpumbavu shule hakna gonga like nataka kuzipeleka sokon

  • @everrineanyango7410
    @everrineanyango7410 3 года назад +38

    Esma wivu na roho mbaya itampasua ubongo

  • @magrethsanga942
    @magrethsanga942 3 года назад

    Pole dada

  • @mishibomba934
    @mishibomba934 3 года назад

    Very nice

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 3 года назад +5

    Ni kweli huyu dada anaakili Sana akiamua kuchukulia hatua anaeza mlipa

  • @haikha-vn8sb
    @haikha-vn8sb 3 года назад +15

    Duh esma n muongo..alidai ana mimba...kumbe aliitoa huyu demu amechukua mama dangote

  • @scolamwanisasu8499
    @scolamwanisasu8499 3 года назад +1

    Mungu azidi kukupa hekima nimekupenda mungu awatunze mama uwe mwanake mwelevu mama angu

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 3 года назад

    Upo sawa dada umesha muumbuwa wew pig kaziii mama wasikuletee useng maisha yot ukitaka uhasama udai chako

  • @didaamohsin6594
    @didaamohsin6594 3 года назад +6

    YAANI TODAY..IS TODAY...DANGOTEE FAMILY..MAMBO NI🔥🔥🔥

  • @euniceandibo4686
    @euniceandibo4686 3 года назад +5

    I like her principles

  • @khadijaamur6032
    @khadijaamur6032 3 года назад

    Angel Maryam 😘 Hongera sana kwa kujiamini

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 3 года назад

    Mashaallah hongera dada

  • @officialmariecongo8026
    @officialmariecongo8026 3 года назад +4

    Dada mzuri

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 года назад +6

    Hii series naitaka season 2!🤣🤣

  • @halimafuketi8369
    @halimafuketi8369 3 года назад

    Waah!

  • @latifamugisha5026
    @latifamugisha5026 3 года назад

    Pole mamy

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 года назад +16

    Malika, esma alitaka ufukuzwe na Ricardo momo

    • @salmasaid7058
      @salmasaid7058 3 года назад +1

      @@adijaniyonkuru9731 umeonaee taratibu utashangaa wameachana

    • @uwimanauwimana7692
      @uwimanauwimana7692 3 года назад +1

      @@salmasaid7058 hachiki mtu hapo 🤣🤣

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 3 года назад +7

    🤦🙆😲Drama kama drama ,but what's wrong with that family?? I'll pray for them.

  • @sanuraissa3834
    @sanuraissa3834 3 года назад

    Endelea kumshukuru Mungu kwakukupa mume mwenyemapenzi ya dhati maana siokitu cha kawaida inshallah kwauwezo wamungu mtazeeka pamoja🙏🙏🙏

  • @jamilahathumani4222
    @jamilahathumani4222 3 года назад

    Safi malaika nimekupenda sana inaonekana huna shobo na unajiamin sana na unajitambua sana bishost,,safiiiiiii

  • @mariammwiso
    @mariammwiso 3 года назад +8

    She has even shown proof. That is enough, even in the eyes of God, Proof is a must.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 3 года назад +9

    Esma hapa amegonga mwamba kashazoea kuwasumbua wakina Tanasha

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 3 года назад +2

    Mzuri sana naona kam kafanana na jack kidogo

  • @mohhamedmasai3911
    @mohhamedmasai3911 3 года назад +3

    Mwanamke Huyu kakomaa kweli kweli Mungu Amoungoze vyema......Katika Maisha yake

  • @pizzaz4333
    @pizzaz4333 3 года назад +22

    Mmmhh, na mlidhani shida ni Hamisa! Kumbe familia yote full vituko!

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 3 года назад +2

    Mmh...mungu nifundishe kunyamaza😷😷

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 3 года назад

    Esma mungu hamuachi mtu mbaya akaishi umezidi ubaya kwa wanawake wa diamond tena unajitapa kabisa kua we na mama ako mkilipanga lenu juu ya mwanamke wa dai hamsindwi...wallah Esma kutokua na maisha marefu kwa kujutia umungu na kusumbua wanawake wenzako kisa pesa na jina la kaka ako..Esma Bora ufe kina tanasha na wengine waishi vizuri na mzazi mwenzao Daimond na yule mama akifuate nyuma dai awe na maamuzi yake na kuweza kuishi na mke.

  • @azaabdallah3186
    @azaabdallah3186 3 года назад +4

    Malaika jina nzuri dada kama malaika kweli wa peponi nakushauri more shekh me yamini umkomeshe huyo esma yamezidi sana mdomo yy na mama yake

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 3 года назад +7

    R.I.P English..... "What is Goes On???" Malaika Cute baby

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 3 года назад

      What is goes on? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umetisha

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 3 года назад

      @@timothmwakakusyu4563 ujamsikia Malaika hapo kasema hivyo??

    • @scolamayomba4662
      @scolamayomba4662 3 года назад +1

      Hahahaha

    • @elizabethswai9670
      @elizabethswai9670 3 года назад +1

      Piga like zote R.I.P English

    • @lindaclarah553
      @lindaclarah553 3 года назад +1

      What about "educator"😅😅😅🏃🏃🏃🏃😅😅😅

  • @Kal-Mary
    @Kal-Mary 3 года назад

    Sns hamtukawizi🙌🙌

  • @albertdoherty9394
    @albertdoherty9394 3 года назад +1

    Mm nimekuelewa niwivu2 kwanza ww mzuri ma sha Allah

  • @jeyshillyjack4470
    @jeyshillyjack4470 3 года назад +27

    🙆🙆Karudi Kwa petman huyo pet man nae ngombe tu

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 3 года назад +12

    Mbona Esma anasema hajabeba mimba ya msizwa? Hichi ni kizungumkuti🤣🤣