MALAIKA amjibu ESMA: Mimi sikuchepuka na MSIZWA, Niko tayari kuapa, Akili zimemruka ananichafua
HTML-код
- Опубликовано: 14 янв 2021
- Malaika mke wa Ricardo Momo afunguka baada ya kushutumiwa na Esma kuwa aliivunja NDOA yake kwa kuingia kwenye mahusiano na Msizwa, Kwenye exclusive interview hii ametueleza mwanzo mwisho kuhusu ukweli wa shutuma hizi. Enjoy!
Momo umepata mke mwenye hekma hongera
Kabda ya kubadil mwil alikuwa mzur😢
Hongera Ricardo momo heshima yako,umesimama na mkeo na kumjengea heshima kama mke, napenda ulivyo mlinda na endelea kumlinda na shutuma za watu na family, esma alizoea kucheza na mahusiano ya naseeb,safari hii amekutana na kisiki cha mpingo,unamke mzuri maashaaallah,Allah ailinde ndoa yenu,huyu esma ni wivu unamsumbua hata ktk mahusiano yake hayadumu ni vile awatendea watu ubaya humrudia mwenyewe,hasbi'allah wanaimal wakil
Ahsante malaika unajielewa hongera dada namna hio nimekupenda bureee
Hunishindi Mimi marafiki Hawa mmmmh
She’s vry wise mashallah keep going gurl May God bless u Malaika
Pole Malaika Allah akupe subra na uishi na mumeo vizuri
Asante sana nimekuelewa malaika esma amezid. Mdomo anajifanya kaxoea mitandao
That's great your 💯👌 write sure may God bless you and your family
Kama mmeona malaika kafanana na wolper like
Yaan sanaaa hata m nilikua nataka nicomment hvo
Kweli wanafanana mnoo na wolper
👍👍👍👍
Wolpa Hana uzuri huu, angekuwa nao tungekoma
@@catherinemsoffe8366 naunga hojaaaa
Esma kivuruge ,mama yake nae yaleyale ,mtu mzima ovyo...malaika angalia familia yako. Nimeipenda uko strong
Dah ile familia jamn
Esma ni mchawi wa ndugu zake ana wivu na mawifi zake coz niwazuri kumliko ndio maana domo hakai na wanawake coz anawasikiliza sana esma na mamake
Hahaha
One of the best interview chris
Nakupenda Maraika kiukweli ww umemzidi ESMA iyo ndio tatizo
Umependeza Malaika.
God bless you sis 💞
Daah Ricardo momo ongera kwakupata mwanamke mwenye hekima 😍🪝
Nimempenda Sana huyu dada yan anajielewa Sana wallah...hongera Ricardo una mke anaejielewa
Huyu mdada nimzur kweli lazima aonewe wivu
Umeona
Ni wivu tu
Kwanza anaongea ukweli mtu ukimwangalia tu
Wallah
Lazima awone wivu anamzidi uzuri ndo mana anaamuwa kumchafuwa hivo
I salute this lady 💪💯
That’s why I love SNS awachelewi kumtafuta muhusika good job
Hii ndiyo Tz🤣🤣🤣
Ila esma ni muongo jaman
@@dianamadege1703
L
L
P
L
Ppp L
L
L
L
Ppp l
L
L
Ll
P
P
L
Ll l
P
L
L
P
Power
@@dianamadege1703
L
L
P
L
Ppp L
L
L
L
Ppp l
L
L
Ll
P
P
L
Ll l
P
L
L
P
Power
@@salomewandya7257 yaan wanaichangamsha nchi ady raha
Piga kelele kwa Malaika wake love bby girl
Weweeee
SO BEAUTIFUL
Wow wewe dada ni mzuri pia una roho nzur sana mungu akubariki Mimi nimekupenda hongera sana 🌹 yani
Nilikupenda juu hawuna mikucaaa kama watanzania wengine❤️❤️❤️❤️aace kukupanikisha uyooo esma ashacoka na maishaa😳
Mungu atakulipia dada nimekuonea mpaka huruma na mwenyezi mungu ataisimamia ndoa yako itadumu milele inshaallah
Jamani familia hii tutaona mengi
Umeonaeeh
Tutaambiwa uncle shamte anatembea na Esma sasa😂
😁 😁 Kama Egoli vile
Kwa kupenda Kiki wapo tayari kwa chochote. Sasa mpaka kumkataa baba mzazi Sio kitu kidogo
Esma. Kachanganyikiwa na kuachwaaaaaaaaaaaa
😅😅😅😅😅😅
Uko mzuri dada kama namuona dada jacky wolpa❤❤ acana na esma. hananyota ule domo tu la bure. Kacoka
Kweli naamini now kuwa Esma nitatizo kwenye hii familia. That's why hata kaka yake hadumu na wanawake, na yeye Esma hatodumu na ndoa kabisa mpaka aache fitna na roho mbaya!
Kuanzia leo MIMI nishakua mteja wa malaika jamani....!ebu pambana na duka lako mpauko ESMA😏😏
Pambe tuu😁😁😁😁😁
Huyu Dada mzuri MWe!
mzuri wapi
Nimekupenda unajielewa na una hofu ya mungu safi endelea kusimama kwenye iman
Ukoo ilitolewa pesa malimbukeni, unajua ukitoka kwenye maisha ya tabu ukipata unawapanda watu wote vichwani kwao
Mmmm esma kiboko jina la yuda linamfaa sana 🙄 anafanya uyuda mpaka ktk familia 🙆♀️ da! Kiboko, malaika mrembo sana mashallah ❤🇹🇿🇨🇭
Mmmmh ngoja ninywe chai nirudi🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
Malaika nakupenda bure mam na maneno yak ya busara 💖
nakupenda sana Malaika iyo nikweli mumewako anakupenda sana
Keeping up with the Chibus is sooo juicy than the Kardashians kwakweli😆🤣
😄😅🤣
🤣🤣🤣
😂😂
Esma, wacha mambo mob, hiyo ndiyo malipo ya Diamond kuchezea wasichana wa watu, wembe ni ule ule
We dangote family mtatuonyesha mambo mengi basi huyu esma ame chukua tabia za mamake
Nan kackia "what is goes on"?
Me too
😂😂😂😂
Yuko na jazba tu ila English anajua huyu dada, huko anakosafiri anatafsiriwa na south Africa na kwingineko
😂😂
😂😂😂English problem ooh
Siyo Esma ... Msizwa kiboko kaja kuwavuruga familia nzima.... ona mama dangote amemvuruga mzee.... malaika kavurugwa na Esma.... na msipo kaaa kufamily 2021 mtaparangana sana ... yetu 👀👀👀🇧🇪
Fact
🤣🤣shikamoo msizwa
Umetisha, alithan we ni akina Hamisa,wale anawapanda mgongo na kushuka
Nimeipenda hiyo nimefundwa! Safi sana!
Sema huyu dada ajui kujipendekeza nimempenda
Live your life Malaika
uyoo malaya esma kakomaaa kama jinii majii anamuonea huyu malaika wivu mdada wa watu mremboo mashallah dumu na ndoa yako mamy achana na huyo malaya changudoa kama alizoea kina tanasha,hamissa na wengine akuache ukae kwenye ndoa yako kwa amanii na mungu atakufunika inshallah 🙏🏻
This is is keeping up with diangotess family episode 2...😂😂😂
😀😀😀😀absolutely
True
So true😊😊😊
🤣🤣🤣🤣
Sio dangotess ni nyangezzzzz
I love your dress 👗
Dada wewe nikiboko ya yuda(Esma)alizoweya wakina Amissa tanasha anawo onea
1.esma alikua na mimba akawa hapendi harufu , esma kasharudiana na baba taraj weuweee piga kelele
Kweli Esma hafai kuwa rafiki ana uswahili mwingi sn,ata Tanasha alishaliongea hili
Ndio mana daymond hakai na wanawake kwa tabia za mamaake na dadaake
Esma ana matatizo amezoea kufukuza wake wa diamondplantinamz sasa hawako ameanza warecardomomo thats not good malaika usijali hayo yasikujalishe endelea na kazi zako mama.
Alifuza wa Diamond Nyange wa kwanza sasa amesonga kwa wa Ricardo Nyange wa pili
Pole mamy
Point🔥❤❤
Kama kweli Kaku shafuwa pole mamangu Allah Ata kusa fisha inshallah 🙏
Creez never disappoints...thanks #sns
Good girl Msamaha yes to make things Right....but with such a Person keep distance with Dangerous pple
Yeeesss
ALIYESKIA WHAT is GOES On!!!!! GONGA LIKE
I laughed my ass silly.she is guilty af*
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Ila wew mnaaa😂
😂😂😂
Esma kavurugwa na msizwa bas anataka awavuruge na wenzie
Kweli hujakosea
Nice
Wallah you are soooooo cute 😘🌹
ata wy u are cute
You’re so beautiful
Mashallah
Maskin Dada wawatu mtarabu mwenyew 😢😢😢
Ofcoz momo ana mke cute and smart woman ..
Be humble malaika.
Hawa wanavituko
Huyo mtu wa Familia I hope si Diamond juu wewe ni type Yake unafanana sana na Zari jamani 😜😂😂😂
So cute
Wooow so smart malaika
Malaik mungu akutangulie
Unajielewa dada God bless u . Urafik aca ata ikitokea akuombe msama
Pole Walalo hiyo family looh pooh
Kama umemsikia huyu malaika kamwambia esma ni mpumbavu shule hakna gonga like nataka kuzipeleka sokon
Esma wivu na roho mbaya itampasua ubongo
Pole dada
Very nice
Ni kweli huyu dada anaakili Sana akiamua kuchukulia hatua anaeza mlipa
Duh esma n muongo..alidai ana mimba...kumbe aliitoa huyu demu amechukua mama dangote
Mungu azidi kukupa hekima nimekupenda mungu awatunze mama uwe mwanake mwelevu mama angu
Upo sawa dada umesha muumbuwa wew pig kaziii mama wasikuletee useng maisha yot ukitaka uhasama udai chako
YAANI TODAY..IS TODAY...DANGOTEE FAMILY..MAMBO NI🔥🔥🔥
Hahaha fireee
I like her principles
Angel Maryam 😘 Hongera sana kwa kujiamini
Mashaallah hongera dada
Dada mzuri
Hii series naitaka season 2!🤣🤣
Waah!
Pole mamy
Malika, esma alitaka ufukuzwe na Ricardo momo
@@adijaniyonkuru9731 umeonaee taratibu utashangaa wameachana
@@salmasaid7058 hachiki mtu hapo 🤣🤣
🤦🙆😲Drama kama drama ,but what's wrong with that family?? I'll pray for them.
Endelea kumshukuru Mungu kwakukupa mume mwenyemapenzi ya dhati maana siokitu cha kawaida inshallah kwauwezo wamungu mtazeeka pamoja🙏🙏🙏
Safi malaika nimekupenda sana inaonekana huna shobo na unajiamin sana na unajitambua sana bishost,,safiiiiiii
She has even shown proof. That is enough, even in the eyes of God, Proof is a must.
Esma hapa amegonga mwamba kashazoea kuwasumbua wakina Tanasha
Hii ni karma mungu halali
Mzuri sana naona kam kafanana na jack kidogo
Mwanamke Huyu kakomaa kweli kweli Mungu Amoungoze vyema......Katika Maisha yake
Mmmhh, na mlidhani shida ni Hamisa! Kumbe familia yote full vituko!
🤣🤣🤣🎤
😄😄wale mashabiki madazi ndo waelewe hiii family niyadizaini geni
Atari na nusu😅😅😅
😆😆😆
Mmh...mungu nifundishe kunyamaza😷😷
Esma mungu hamuachi mtu mbaya akaishi umezidi ubaya kwa wanawake wa diamond tena unajitapa kabisa kua we na mama ako mkilipanga lenu juu ya mwanamke wa dai hamsindwi...wallah Esma kutokua na maisha marefu kwa kujutia umungu na kusumbua wanawake wenzako kisa pesa na jina la kaka ako..Esma Bora ufe kina tanasha na wengine waishi vizuri na mzazi mwenzao Daimond na yule mama akifuate nyuma dai awe na maamuzi yake na kuweza kuishi na mke.
Malaika jina nzuri dada kama malaika kweli wa peponi nakushauri more shekh me yamini umkomeshe huyo esma yamezidi sana mdomo yy na mama yake
R.I.P English..... "What is Goes On???" Malaika Cute baby
What is goes on? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umetisha
@@timothmwakakusyu4563 ujamsikia Malaika hapo kasema hivyo??
Hahahaha
Piga like zote R.I.P English
What about "educator"😅😅😅🏃🏃🏃🏃😅😅😅
Sns hamtukawizi🙌🙌
Mm nimekuelewa niwivu2 kwanza ww mzuri ma sha Allah
🙆🙆Karudi Kwa petman huyo pet man nae ngombe tu
0+0=petiman
🤣🤣🤣🤣
Hahahaha 😅😅
😂😂😂
🤔🤔🤔
Mbona Esma anasema hajabeba mimba ya msizwa? Hichi ni kizungumkuti🤣🤣