HOFU YAMKUTA MKE WA BALOZI MSTAAFU ZNZ, ASIMULIA, KUVAMIWA USIKU WA MANANE NA SILAHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 май 2024

Комментарии • 533

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 25 дней назад +22

    Pamaoja na wavamizi katika Nyumba yake ,mke wa balozi aliendelea na sala yake ,a faithful beautiful woman.

  • @ssoud2394
    @ssoud2394 26 дней назад +17

    Da Amina umeongea point hao majamaa huenda wana kitu maalum wanachokihitaj kutoka kw Mumeo pole sana dada

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 25 дней назад +10

    Pole Sana Endelea Kufanya Ibado Zako Kilasiku Na Allah Yupo Nawewe Ataendelea Kukulinda Usiwe Nawasiwasi.. insha'Allah Hatakweza Kufanya Lakufanya...

  • @mohdkhamis5687
    @mohdkhamis5687 24 дня назад +4

    Subuhanallah Dada Zidisha Kuamka Usiku Na Uzidi Kumomba Allah Yeye Ndie Mlinzi Wa Kila Kitu Yani ZNZ Imefikia Hapo Lahaula Walakuwata Ilabilahi Laaliu Lazwim,

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 26 дней назад +45

    Ukiachana na uvamizi mashaalah she is beautiful
    #Poleni

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 26 дней назад +13

    Pole sanandugu minaona muondoke tu kunajambo hapo lakini mwenyezi mungu awaepushie nabalaa hilo

  • @shakurushakuru2211
    @shakurushakuru2211 22 дня назад +4

    Pole kwa misuko suko Allah yupo pamoja nanyi mja wa Allah.

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 26 дней назад +11

    Ndugu yng tunakuombea Kwa Allah akujaalie Nusra na Ulinzi Inshaallah

  • @muhydinaden552
    @muhydinaden552 26 дней назад +22

    Madam ambassador fungeni camera na security light za solar hata balozi atapata access akiwa commoro...Na mwisho hao ni watu wanafahamu mazingira ya hilo jumba na mara nyingi huwa mtu wanayemfahamu ....ulinzi uimarishwe huyo ni mtumishi wa ngazi ya juu serikalini .....

    • @user-cz9zu7ur1h
      @user-cz9zu7ur1h 25 дней назад +3

      Yawezekana pia niwatu waserekalipi kunakiyu wanakitaka

    • @Mrisho-lj7wy
      @Mrisho-lj7wy 20 дней назад

      @@user-cz9zu7ur1h Ndio iko hivyo. Tukio hili halina tofauti kabisa na lile la miaka ya 1997. Jina na muhifadhi Prof ...... huyu alikua waziri wa Viwanda na bihashara wakati huo alikua akiishi maeneo ya Kunduchi. Huyu alivamiwa na majambazi tena walimpatia taarifa tuta kuja nyumbani. kweli walienda nyumbani Mh bahati mbaya Mh siku hiyo alichelewa kurudi nyumbani walipishana lisaa tu.Lkn taarifa ya ugeni alizipata kwa binti yake na ujumbe mzito aliupata kwamba wageni wamesema watarud tena. Yule Mh alitoa taarifa sehem husika akapewa na ulinzi wa polisi mwenye silaha. Siku sio nyingi kuripoti kwa yule mlinzi. Yalitokea maswali Magumu mpaka leo hii. Yule polisi siku aliyo chelewa kwenye lindo mh Prof .... yeye aliwahi mapema kurudi nyumbani saa 18:00 alikua nyumbani wale wageni walifika mapema nao wakaingia Prof kwa kujiamini akatoka ndani kuja nje watambuane Prof alichezea za Kifua 3 mbele ya Familia yake. Mchezo ukaishia hapo prof akaenda kuhifadhiwa kwao Mkoa wa Morogoro huko. Hili limenikumbusha nyuma kidogo. Kuna jambo hapa limejificha.

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 25 дней назад +12

    Unaswali mpaka swalaza usiku ila kujistili kisheria. Bado jistili mama. Kulinganana shetlria ya kiislam. Pole kwamtihani. ALLAH atakuvusha bihidhnillah❤❤

    • @SharifaOmary-ui8vs
      @SharifaOmary-ui8vs 25 дней назад +1

      Hakimu mkazi😊

    • @kuhusumapenzinamahusiano8458
      @kuhusumapenzinamahusiano8458 24 дня назад +2

      Avae gunia au hapo kavaa stara nguo ndefuu mashallah

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl 24 дня назад

      @@kuhusumapenzinamahusiano8458 kwako nguoyastala kwenye Dini bado stala hapo kabisa kajiachiakichwawazi maumbileyanaonekana. We usitanie.stala badokabisa

    • @aginsagins-jf4vz
      @aginsagins-jf4vz 24 дня назад

      ​@@SharifaOmary-ui8vs😂😂😂😂😂

    • @latifamchomvu4735
      @latifamchomvu4735 24 дня назад

      ​@@SharifaOmary-ui8vs 😂😂

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 26 дней назад +12

    Mungu anawapenda mpaka UO UMEME KUKATIKA... ALLAH..AWALINDE. YARABB 🙏

    • @mwinyiali
      @mwinyiali 16 дней назад +1

      izo ni sala za usiku anazosali maana ile huwa unaongea na Mungu moja kwa moja

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q 26 дней назад +14

    Ila mwanamke mzuri mashallah

    • @hono1232
      @hono1232 25 дней назад

      Hatari kweli kweli mashalah

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 26 дней назад +10

    Pole sana Mungu awaangamuze hao watu

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 26 дней назад +46

    Pisi kali,mzigooo.. hongera mama balozi

    • @Swamadu-om3uj
      @Swamadu-om3uj 26 дней назад +3

      Umebaki hy mitakoyenye majipu tu umekwisha ww

    • @Swamadu-om3uj
      @Swamadu-om3uj 26 дней назад +2

      Nilikuwambia na huyo pereira atakuwacha eti mna vitus tele vya thmn c mungepkw ht rangi wch ushmb

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 26 дней назад +6

      🤣🤣🤣🤣🤣 mzigooo...😂😂 yenyewe ni Mzigo yupo vizuri bado😂

    • @user-xm2rm7wn6h
      @user-xm2rm7wn6h 26 дней назад +6

      Vijana wahovyo uta wajuatu😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 26 дней назад +1

      ​@@user-xm2rm7wn6h😂😂😂😂😂😂 wamechanganyikiwa kuuona kwa picha 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat 22 дня назад +5

    Mwana amina watu wanakupa pole lkn wanaongelea mzigo tuu inabidi shekhe kipoozeo aje akufanyie dua

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 18 дней назад

      Aise ana mzigo uyo mwanamke namuona sn mazoezini ana takooo si mchezo na mzuri Mashaa Allah

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 25 дней назад +1

    Pole mama, Mungu akulinde na mabaya waliokusudia, na yawarudie wao wenyewe ktk Jina la Yesu 🙏

  • @aishamuhammad7785
    @aishamuhammad7785 26 дней назад +12

    Poleni sana, na stara ukhti bado io in shaa ALLAH ujitahidi

  • @stn4873
    @stn4873 25 дней назад +2

    Bi MwanaAmina Ma shaa Allah.

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 23 дня назад +1

    Bismillah mashallah mzurii

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 25 дней назад

    Mashaallah mashaallah mashaallah dada yng allah akuhim yaaaaarab we na family yk

  • @lmdos4382
    @lmdos4382 23 дня назад +4

    Dah! Huyu Dada kwa kweli sio mchezo kabisa !Apewe mauwa yake

  • @feisalabdallah8632
    @feisalabdallah8632 25 дней назад

    MA Sha Allah mama Mzuri ila pole Sana na mtihani

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 25 дней назад +2

    Mzuri MashaAllah ❤❤

  • @mgalamohamed6956
    @mgalamohamed6956 18 дней назад

    Mwenyezimungu akulinde Insh Allah

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 26 дней назад +10

    Pole sana, ALLAH Akuepushie shari zao

  • @khairatkisima9217
    @khairatkisima9217 26 дней назад +4

    Pole jiran yang daah mtihan kwakwel

  • @Farsomtz
    @Farsomtz 16 дней назад +1

    Bi amina mashallah

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 24 дня назад +4

    Dada mzuri mashaallah

  • @omarmassoud2011
    @omarmassoud2011 25 дней назад +1

    Allah akulinde sana

  • @Mohamed-sc6bk
    @Mohamed-sc6bk 19 дней назад +1

    Daa mina umevamiwa tena pole sana

  • @abdulhalimomar5329
    @abdulhalimomar5329 17 дней назад +1

    Angejistiri vzr abgependeza zaidi hapa

  • @pyzzocatto1829
    @pyzzocatto1829 26 дней назад +11

    Walinzi walijificha😂😂😂 af wanasubir kulipwa mshahara😮

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 26 дней назад +3

      😂😂😂😂😂Tobaaaaa karoho kangu mtume😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @user-vt4vd5rh8u
      @user-vt4vd5rh8u 25 дней назад +1

      ulitaka wapambane na watu wenye silaha wanajua wamejpangaje polisi wenyewe Huwa wajpanga

    • @fatumamilimo7336
      @fatumamilimo7336 25 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @hafidhclassic5862
    @hafidhclassic5862 26 дней назад +3

    Ww ni mrembo mashallah 🙏

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 21 день назад +2

    Allah akbar Allah akbar Allah akbar pole dada zidisana na swala za ucku Allah atazidi kukulinda😢

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 25 дней назад

    Pole sana Amina

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 25 дней назад +11

    allah awanusuru na awahifadhi, kuhusiana na ibada,haitakiwa usimlie ibada zako unazo zifanya,bora ungesem nilikua macho sikua nimelala ingependeza zaidi !!!

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p 25 дней назад +7

    Lakin pia walinzi walijificha , kujificha sindowangepiga cm wapate usaidizi wao wamejificha mpaka kunapambazuka 😂

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 25 дней назад +1

    Hapo Mwamini Mungu tu hawatoweza hao ni wanadamu tu

  • @seifdisail3007
    @seifdisail3007 21 день назад

    Mama mzuri haswaa MashaAllah

  • @mzeenassib4271
    @mzeenassib4271 16 дней назад +1

    Uyo ndo Amina Haji bigwa wa vituko asiemjua aende mtopepo garagara mtapata stori zake noma

    • @aminafarouk5062
      @aminafarouk5062 14 дней назад

      Wacha weee nakuombea sana kwa Allah asikuoneshe wewe wala asiwaoneshe watoto wako walioyaona wanangu… Allah ndie alienijaalia nikawa vituko… Ila muhimu khatma njema. Shukraan

    • @aminafarouk5062
      @aminafarouk5062 14 дней назад

      Na hata wakija huku chukwani pia watazipata kule za utotoni huku za ukibwani kubwa ni kuomba khatma njema baasss

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 26 дней назад +8

    Itabidi hiyo camera unga na kwenye simu yako dada matukio yote utayaona na hata mumeo aunge kwa simu akupita mtu nje atakwambia kuna mtu getini

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 24 дня назад +1

    Hongera mama kwa tahajud Mungu akudumishe

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft 26 дней назад +13

    Wacomoro ni wazuri mashaallah kuusu mzigo sina hakika ❤

    • @user-jf7vx9nb9m
      @user-jf7vx9nb9m 26 дней назад +4

      Huyo sio mkomoro mzanzibar

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 26 дней назад

      Kwani alienda kusoma Comoro au kwenda kikazi😂😂😂😂

    • @husna34562
      @husna34562 25 дней назад

      Mkomoro​@@user-jf7vx9nb9m

    • @user-si9pb1us8d
      @user-si9pb1us8d 25 дней назад

      😂😂😂eti mzigo sina uhakika

    • @baloz8974
      @baloz8974 21 день назад

      ​@user-si9pb1us8d Hahaha hatari hao ndio washenzi washenzi

  • @Aminayunus-je7id
    @Aminayunus-je7id 24 дня назад +1

    Afande anajitangulizia eti aje ofisini kwangu tujadili usalama wake😮😊😊😊😊😊😊😊

  • @homeofvideos8893
    @homeofvideos8893 21 день назад

    Mashallah mwanaamina ❤

  • @maase2023
    @maase2023 24 дня назад +3

    Huyu dada mwanaamina mzuri jamani mashallah mashallah

    • @FatumaIssa-kw3vv
      @FatumaIssa-kw3vv 19 дней назад

      Kwakweli Allah kamuumba vizuri Masha’Allah

    • @maase2023
      @maase2023 19 дней назад

      @@FatumaIssa-kw3vv yani huyu dada itabidi niende znz nimtafute nimwone tu nimtunze tu basi niridhike

    • @maase2023
      @maase2023 19 дней назад

      @@FatumaIssa-kw3vv halafu mashallah hajijui kuwa ni mzuri hivo ! Unajua hata hao walomvamia majambazi watakuwa tu wanamtaka tu kwa uzuri wake

  • @user-ll7np8td7x
    @user-ll7np8td7x 26 дней назад +2

    Pole mama mungu akulinde akuepushie na watu wabaya wanamna hiyo

  • @geoffreygaudance904
    @geoffreygaudance904 26 дней назад +6

    Pole sana dada

  • @charlzmboya
    @charlzmboya 26 дней назад +3

    HUYU DADA NI MZURI SANAAA HUENDA MUMEWE ANAMUBITAJI WAISHI WOTE COMORO LAKINI YEYE HATAKI !! IKABIDI ATUMIE PLAN B YAKULA NJAMA NA WALINZI WAKE ,,,WAMTIE HOFU MKEWE ILI AHAMIE COMORO ....mama wee mzuri maashalaah.

    • @charlzmboya
      @charlzmboya 26 дней назад

      Nenda COMORO kaishi na balozi mumeo ...wewe ni pic Kali sanaaaaa ...me mwenyewe nimeingiza tamaaa

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 26 дней назад

      Utakuta ni hivo hivo kwanini hapendi kuhishi na mume wake Comoro

    • @gasper90mathias58
      @gasper90mathias58 22 дня назад

      Maybe true

    • @hawrajehan2398
      @hawrajehan2398 16 дней назад

      Comoro kusikie tu,kuna pisi kali balaa kule tena hatar usiombe,usikute mmewe keshaowa maana kastaaf kitambo huk Comoro anafanya nini?

  • @nassorsubah3100
    @nassorsubah3100 13 дней назад

    Hatari zanzibar

  • @manuelsaramba2138
    @manuelsaramba2138 25 дней назад

    Pole sana mama hao watakua kunaki2 wanata

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 25 дней назад +1

    Daah muheshimiwa hakika alikuwa analala kwenye usingizi mzuri

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 26 дней назад +10

    mama mbona kama unaonyesha unamashaka kwamba mume kaoa mkee mwingine basi mwambie akuahamishie komoro mkae wotee ili uwee na amani

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 26 дней назад +2

    Bibi amina wew sio mchezo mmh

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 16 дней назад

    Aaaa jamani mama Maashaallah sijui alivyokua msichana mdogo alikuaje

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n 26 дней назад +7

    Chukua cm zte za walinz wako zipeleke police zikafuatiliwe mawasiliano utapata majbu

  • @chamandaayolaiza1535
    @chamandaayolaiza1535 21 день назад

    ALLAH USAFISHE MOYO WKO DDA UZID KUUSTIR MWILI WK

  • @barikiwa22
    @barikiwa22 19 дней назад

    Dah wazidishe ulinzi

  • @user-bl4sy5ei1k
    @user-bl4sy5ei1k 24 дня назад +1

    Balozi anajua kuchagua mke ana kishundu hadi raha

  • @user-tw5er2qh3q
    @user-tw5er2qh3q 22 дня назад

    Pole sana mama 😮😮😮😮😮😮😮

  • @faiasap8307
    @faiasap8307 25 дней назад +1

    Daah b mwanaamina akikaa haumii maana ana sit protector

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 25 дней назад +1

    Mama anataka akaushi Kwa mumewe TU , huko Comoro , mazingira ya tukio kama la kusadikika waje na slaaa wasimdhuru mt

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 21 день назад +1

    Mimi nimsaidie kumlinda mke wa mstaafu

  • @mapishiyalulu9696
    @mapishiyalulu9696 13 дней назад

    Bora uweke camera itakusaidia kiasi flani pole sana dada

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 26 дней назад +1

    Tuachane na uvamizi, ila we mzuri bhana hadi unakera

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn 26 дней назад +5

    Mulize mumeo vizurii

  • @user-cx7rh6jt6y
    @user-cx7rh6jt6y 25 дней назад

    Hama hio nyumba my jihami kabla y hatari Mungu awanusuru inshallah

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 25 дней назад +5

    MashaAllah bonge la toto dah

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 26 дней назад +10

    hao asikali wa MZ niviazi kweli ya mhalifu anakuja wahajificha sasa hao Ni asikali au madem wa kimboka

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 26 дней назад +1

      Nimecheka km fala

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 26 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @mnesoboy4338
      @mnesoboy4338 24 дня назад +1

      Yani wew unakirungu mwenzio anabunduki wew usijifiche acha zako

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 24 дня назад

      @@mnesoboy4338 😂😂😂😂😂😂😂😂MSG

    • @mnesoboy4338
      @mnesoboy4338 24 дня назад +1

      @@MiriamAbdallah ana utani huyu jamaa

  • @kadiakirua7621
    @kadiakirua7621 23 дня назад +3

    Pole mama mkwe hili ni funzo jamani kwamba sala za usiku zinasaidia majambo yetu

  • @ZubeirJuma-up7kb
    @ZubeirJuma-up7kb 26 дней назад +7

    Nmeumia roho kwa izo swala za uxku mashaallah uxjali iyo michizi haina uwezo wowote mama tulia unapiga ibada uxku ww ni mtu mwengine kabisa mashaallah

  • @giftkelvin7
    @giftkelvin7 24 дня назад

    Mungu anakulinda, hayo yalimkuta gwajima usiogope

  • @Smokeylucas
    @Smokeylucas 26 дней назад +3

    Hiyo ni siasa. Wanamtafuta mumeo

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 26 дней назад +2

    Kwani hapo Zanzibar hakuna Polisiii… ??? Zanzibar imeharibika sana. Hata Watalii wakisikiya hayo hawatokuja Tena Zanzibar. Serikali tizameni sana mambo hayo.

  • @MassoudAmour-qj1og
    @MassoudAmour-qj1og 22 дня назад

    Acheni masihara mama ana wowooo alindwee😮

  • @omanmct135
    @omanmct135 26 дней назад

    Hatari kweli

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 26 дней назад +1

    Sema nyashi ipo bana 😂😂

  • @majumaatieno5640
    @majumaatieno5640 17 дней назад

    Pole mama Aisha perera ....hao wezi wakome

  • @ahmedbaamironlinetv4753
    @ahmedbaamironlinetv4753 16 дней назад

    HUYU MAMKWE MASHALLAH

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 24 дня назад

    Aise.....

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 25 дней назад

    Bi Amina unatakiwa kubakwa wewe na watoto. M. Mungu atawalinda

  • @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
    @KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy 25 дней назад +1

    Ukiachana na uvamizi mmmh shep IPO haswa

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w 19 дней назад

    Daaaaaah kama mkundu tuanao 😅😅😅😅😅😅 aiseeee

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg 22 дня назад +1

    Ila duuh dada kajaliwa kuanzai sura, umbo, kujistili anaongea vizuri, anamacho mazuri 😮😮 hadi afande anajifanya mjanja heti aje ofisini kwangu nijadili nae juu ya usalama wake 😂😂😂 afande tunaijua hiyo!.

  • @l.marley_2542
    @l.marley_2542 22 дня назад

    Mwanamke mrembo sana

  • @hono1232
    @hono1232 25 дней назад +1

    6:04 Nahisi mmeo kawafanyia kosa hao jamaa awaombe msamaa

  • @DesertTears
    @DesertTears 23 дня назад

    Walinzi walijificha😂😂😂😂 hio Kali sana😂😂😂😂

  • @AllyWaziri-bo3je
    @AllyWaziri-bo3je 25 дней назад +1

    Mungu kaumba

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 26 дней назад +3

    Maombi yako ya usiku ndio yanayokulinda
    Endelea kuomba wala usiogope

  • @user-bq2zn1wy1q
    @user-bq2zn1wy1q 25 дней назад

    Bi Amina ana bonge la tako

  • @annamussa185
    @annamussa185 26 дней назад +10

    Hiyo ndo nyumba ya Barozi😮😮Pakeni hata rangi basi

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 26 дней назад +1

      Astahili eeh

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 26 дней назад +3

      Wewe yako Umepaka rangi? Kumbuka,Kaburi haina rangi wala Taa.

    • @annamussa185
      @annamussa185 26 дней назад

      @@MinskBelarus-il2tl siongei na Mbwa 🐕

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 26 дней назад +2

      ​@@annamussa185acha matusi kwani umetukanwa?

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 25 дней назад +1

      @@annamussa185 😃😃😃😃 ngoja nikuhadithie Habari moja. Mume alikuwa ana mkaripia MKEWE na akamwambia " WANAWAKE WOTE MAMBWA TU" mara akakatiza MBWA mbele yao, yule Mke akamwambia mumewe..... yule anaekatiza ni MAMA YAKO.🙏🙏🙏 na mimi nimejibiwa na Binaadamu. Maajabu haya😒😒😒

  • @ssoud2394
    @ssoud2394 26 дней назад +10

    Duuh! Hao walinzi wanafanya kazi hapo watimuliwe hawafai kukaa tena hapo

    • @bilakawaboynew978
      @bilakawaboynew978 24 дня назад

      Wewe mtu Ana silaha unamzuiaje

    • @ssoud2394
      @ssoud2394 24 дня назад

      @@bilakawaboynew978lazima apambane kwa hilo kwani yy ni kazi yake kutoruhusu chochot kuingia ndan na hasa nyumban kwa kiongoz

  • @veronicaaugust1793
    @veronicaaugust1793 25 дней назад +1

    POLE SANA MAMA

  • @user-gj2mm3ko8m
    @user-gj2mm3ko8m 19 дней назад

    Serikali mpe Ulinzi is Na hao watu ashikwe, Ama serikali yetu ya Kenya Uje imusaidie🇰🇪😭😭😭😭

  • @nasraissa4873
    @nasraissa4873 24 дня назад +1

    Majumba mazuri yanamitihani hawana raha vo wenye majumba mazuri

    • @baloz8974
      @baloz8974 21 день назад

      Kweli kabisa kuna kuwa sana na mitihani

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 24 дня назад

    Mungu ndo mlinzi hakika yuko Nanyi

  • @silimangwali9181
    @silimangwali9181 13 дней назад

    Ajla itakuaje kama mama yupo hiv, ayo mtuoneshe na ao watoto bas

  • @seifhabib5987
    @seifhabib5987 26 дней назад +5

    Amina una Kiuno ww Mheshimiwa Anafaidi

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 25 дней назад

      😂😂😂

    • @SaidIssa-tq3yv
      @SaidIssa-tq3yv 21 день назад

      Sio katika mafundisho ya mtume s.w.a jifunze kuandika usisifu maumbile ya wake za watu . mwenye zimngu atuongoze sote Amin.

  • @AbouhSix-wm2bx
    @AbouhSix-wm2bx 25 дней назад

    Poleee

  • @JabiriSeif
    @JabiriSeif 22 дня назад

    Kuna shida hapo ila mungu akulinde na shari zao kwakwel