"MSIWAPIGE" MGOGORO WA JESHI NA WANANCHI KIGAMBONI RC CHALAMILA ATINGA NA KUTOA MAAGIZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2024

Комментарии • 142

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 12 дней назад +2

    Inaonekana jeshi wanafosi kuchkuwa ilo eneo 😢

  • @GabrielSkyMtanzania
    @GabrielSkyMtanzania 14 дней назад +2

    Jeshi letu tunalo amini
    Kutulinda leo ndio linawadunda wanainchi aibu sana😢.. Alafu Jeshi sindio serikali

  • @african_channel
    @african_channel 15 дней назад +2

    Kamanda ametulia sana kwenye majibu,ndio uzuri wa kuajiri wanajeshinwasomi hayo mambo ya kupiga raia yalisha pitwa na wakati,ila ulinzi wa nchi na kambi,japo he has to respect the civilian leaders including the DC na inaonekana DC amejaribu otherway round na ameshindwa

  • @hapaupdates9277
    @hapaupdates9277 15 дней назад +9

    AIBU KUBWA KAMA JESHI LINA PIGA WATU

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 15 дней назад +2

    Shida ya jeshi na raia Tanzania ni kupiga. Wanajeshi katika Tanzania kuna amani sana kwahiyo hakuna vita sasa nawao wamelelewa na kujazwa kupigana. Tanzania ni amani na waoa wedhajzwa kupigana ndio maana kazi yao kubwa ni kupiga raia ambao hata fimbo hawana. Wanajeshi wetu TZ wote popote waonevu. Unapogwa na Jeshi ukaripoti polisi kwanza polish wanaufyata mkia mbele ya Jeshi. Halafu unapigw na golira unashtaki kwa nyani. Unachekesha sana. Wanajeshi waonevu sana.

    • @abdallahiddy6333
      @abdallahiddy6333 6 дней назад

      Walikuonea wapi au unachuki nao jisemee wewe usifate mkumbo

  • @user-lx2yc8tj5h
    @user-lx2yc8tj5h 15 дней назад +3

    Makonda yupo wapi❤❤

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 15 дней назад +8

    Makonda amewamshaaaaaa

  • @daudifesto5592
    @daudifesto5592 15 дней назад +10

    Nyie Wanajeshi mnaopiga raia.. Hamuoni aibu... Nendeni Kongo hukoo mkapigane na wenye mafunzo wenzenu.... Achane kuonea raia wema

    • @DennisMkumbala
      @DennisMkumbala 15 дней назад +1

      Punguza mdomo

    • @daudifesto5592
      @daudifesto5592 15 дней назад

      @@DennisMkumbala acha kuingilia mambo wew

    • @mayanmlingwa4250
      @mayanmlingwa4250 15 дней назад +2

      Ndugu yangu punguza mdomo ,,,,ujuaji sio mzuri

    • @Ambwene
      @Ambwene 13 дней назад

      ​@@DennisMkumbalaAcha upumbavu kama wewe mwanajeshi nenda kapigane congo huko sio unaleta upumbavu hapa

    • @Ambwene
      @Ambwene 13 дней назад

      ​@@mayanmlingwa4250Tulia dawa ikuingie wewe

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 15 дней назад +4

    Kwanza hao wajeshi maeneo Yao yote hayana hati

  • @HussainMaula-tz8dh
    @HussainMaula-tz8dh 15 дней назад +3

    Tanzania sizani kama ukipigwa na mwanajeshi utaenda polisi haki utaipata sizani ila wananchi mkimpiga mwanajeshi mtafute nchi ya kuenda kuishi. Nnachoamini meno ya mbwa hayang'atani na siku zote kunguru muoga hukimbiza ubawa wake.

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458 13 дней назад +1

    Shala hilo lifike kwa Rais

  • @enezermwafrica7443
    @enezermwafrica7443 15 дней назад +5

    Huyu ndio Mkuu wa wilaya anaejitambua, apandishwe cheo anastahili

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s 15 дней назад +6

    Jeshi kama mnawapiga wananchi kweli mnawakosea sanaa wananchi maana tunawategemeeni nyie.

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe 15 дней назад +2

    HONGERA CHALAMILA KWA KUFUATA MISINGI YA UTAWALA BORA

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 16 дней назад +18

    Hii case angekuwa Makonda ingeisha hapahapa

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 15 дней назад +1

      Umesema kweli

    • @PeterJohn-sg4oe
      @PeterJohn-sg4oe 15 дней назад

      Kivipi, Acha ujinga, Makonda yupo juu ya sheria? Angenyang'anya ardhi akawapa jeshi, au angelinyang'anya jeshi, RC Chalamila hataki Kiki, anafuata sheria na taratibu, kifupi anaheshimu utawala wa Sheria

    • @PeterJohn-sg4oe
      @PeterJohn-sg4oe 15 дней назад

      HONGERA CHALAMILA KWA KUWA UNAFUATA UTAWALA WA SHERIA

    • @SALEHSALEH-lk5jr
      @SALEHSALEH-lk5jr 13 дней назад

      ​@@PeterJohn-sg4oeLkn ujue mkuu wa mkoa ndiye mkubwa kwa majeshi yote yaliopo kwenye mkoa wake

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 15 дней назад +2

    Wakenda Congo wanapigwa kama bisi hasira zao zinarudi kwa raia. Mimi hunambii, jeshi namuogopa hata kukaa kiti kimoja kwenye dala dala akiniangali miguu inanitetemeka. Mara utaambiwa ngariaa mbere unamuangaria nani mmh haa ?!!

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe 15 дней назад +2

    Wananchi wanapenda kuvamia maeneo halafu baadae sheria inapochukuwa mkondo wanaanza kulalamika kwenye mikutano ya Wanasiasa, acha sheria ichukuwe mkondo

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 16 дней назад +6

    Hii nchi issue ya ardhi imeharibiwa na watendaji vilaza wa serikalini. Rushwa wizi ndio imepelekea hali hii leo.
    Jeshi lazima litengewe maeneo spesho nchi nzima. Na mipaka ijengwe inayoonyesha eneo hilo ni la jeshi. Hii ni mipango ya permanent kwa maeneo ya jeshi. Master plan ya nchi nzima yatengewe maeneo ya jeshi.

    • @ajoseph31
      @ajoseph31 14 дней назад

      Kosa ni sera ya serikali kutokua na taasisi rasmi inayosimamia arthi kutoa vibali na kuacha hawa viongozi weny njaa, unategemea nini??

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn 15 дней назад +1

    Jeshi kuweni wa kweli

  • @nathanjustine3973
    @nathanjustine3973 11 дней назад

    Hv hii nchi ni ruksa kwa raia wa kigeni kumiliki Ardhi? Naona mchina nae analalamika

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 16 дней назад +3

    Kigamboni ipi Hiyo

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 15 дней назад +2

    Sasa Wananchi Awana Mazoezi Kipigo Cha Kazi Gani Wewe Mjeda Mpaka Umeitwa Mjeda Kwasababu Umefunzwa Mazoezi Sasa Kwenda Kumpiga Mtu Asie Na Mazoezi Ni Uonevu Usio Na Mana Shelia Za Nchi Zipo

  • @halimamwingu4478
    @halimamwingu4478 15 дней назад +1

    Yawezekana kwl jeshi limekosea lakn mkuu wa wilaya anaongea kishabiki ili ashangiliwe. Kasahau kuwa yy ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya na jeshi linamlinda km mteule wa rais. Alitakiwa asolve problem kwa hekima na sio uchochezi wa jeshi kwa wananchi, haisaidii. Mkuu wa wilaya mchochezi tu kwa maneno yake. Hajaongea kisomi

  • @VeronicaAdam-lx8yd
    @VeronicaAdam-lx8yd 3 дня назад

    Eneo ni lajesh Wananch wamevamia

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 15 дней назад +6

    Jeshi kupiga wananchi sio sawa wao Wana mazoezi wananchi hawana mazoezi mkuu wa majeshi aliangarie Ilo adi kule karagwe kagera wanajeshi wanachukua wake za watu mwanaume ukileta kujitetea unapewa kwata vijana wanaotoka dapple wanasumbua sana kwenye jeshi letu mkuu wa majeshi aliangarie kwa jicho la Tatu isiwepo chuki kati ya jeshi na Raia mambo ya kupigana waachieni Askari police ndo wanalinda raia na Mali zake

    • @enezermwafrica7443
      @enezermwafrica7443 15 дней назад +1

      Mimi ukimchukua mke wangu kwa nguvu ujue umejichongea kaburi

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 15 дней назад

      Ukiamua hivo sawa ila kama una plan kubwa za maisha yako unakuwa mpole pamoja na kuchukua mkeo huyo ni binadamu pia ana mapungufu yake subira inatakiwa sana kwenye jambo kama Hilo ndo maana Kuna wakubwa wa hizo kesi japo inaumiza ila no namna

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 15 дней назад +4

    Sasa kama jeshi ni lawananchi manakeke ni familia moja. Ila jeshi haliwagi rafiki na mwananchi, na wanaweza kutembeza kibano, haijalishi wewe nani wala una umri gani. Bora jina la jeshi la wananchi libadilishwe tu.

    • @abdallahiddy6333
      @abdallahiddy6333 6 дней назад

      Kwani nyie huwa mnapigwa na wanajeshi kwenye matukio gani mbona sis huu mwakwa wa arobain tunaishi nao jirani bila vita

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 12 дней назад

    sjawahi kujuwa majina ya vyeo vya wanajeshi wa maji pamoja na kmkm anaejuwa tafadhali anijuze

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 15 дней назад

    Na Jeshi pia lipeleke vielelezo vya tangu 1969 kwamba wao ndio wamiliki. Maamuzi yatatokana na vielelezo halali vya makundi yote matatuu..... vya Jeshi, vya wamiliki na wizara ya ardhi, na vya wenyeji wa tangu mwaka1969... historia na vielelezo mahakamani ni muhimu sana...

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 15 дней назад +1

    Jeshi la Bongo

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 15 дней назад +2

    Mambor c yapo mengi jamni ao wanajeshi vip asee wanapig wananchi da! Atarii sanaa aiseeee hi nchii najuta

  • @franciscojohn5751
    @franciscojohn5751 15 дней назад +4

    Jeshi nini mimi niliasi jeshi kwa ujinga wa kupiga wananchi bila kosa na niliwapiga wanajeshi wenzangu kwa ujinga wao na wanachi msiogope pambaneni nao hawana ubavu zaidi tu wao watakuja na silah mkiwazidi msiogope nguo

    • @Sadati-mj2ub
      @Sadati-mj2ub 15 дней назад +2

      😂😂😂😂acha kuhqmasishq watu....nenda kawapige wewe

    • @geraldsanga4879
      @geraldsanga4879 15 дней назад +1

      Kwahiyo kwakuwa wewe ulifanya ujinga huo unataka na wananchi wadharau jeshi lao linalowalinda?

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 15 дней назад

      Ulistahili kuondoka jeshini

  • @obedmasaki3565
    @obedmasaki3565 15 дней назад

    Hii Nchi ni yetu wote au ina wenyewe? Na kwetu ni wapi?

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 12 дней назад

    Huyu brigedia atumbuliwe anaharibu Image ya Jeshi la wananchi kazi yao nikulinda mipaka nasio kupora ardhi😢

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 15 дней назад

    Uko ni wapi Kigamboni ipi wenyekujuwa

  • @harunamtiko117
    @harunamtiko117 15 дней назад

    Mkuu wa wilaya km ana ushahid weka mezani. Ukwel ujulikane

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 10 дней назад

    Hivi wafrika tunakwama wapi?Mchina ana hati ya kumiliki lakini muafrika asie mtanzania anaekewa vikwazo kama vyote.Is that really pan africanisim which mwalimu championed it?

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk 15 дней назад +2

    JJesh linajiongezea maeneo si huko tu ,nimpango endelevu wa kupora ardhi za raia jiran

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 13 дней назад

    Jeshi mbona ni la wananchi!!! Au maanake Nini?

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 13 дней назад

    Sema abubakar chalamila mtu sana dar anaiweza

  • @user-tx7df1lk9k
    @user-tx7df1lk9k 16 дней назад +2

    Swala hili ni la kiutawala, very bad planning

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh 15 дней назад +7

    Mkuu wa Wilaya wapewe mauwa yao

  • @Ambwene
    @Ambwene 13 дней назад

    YAANI JESHI SASA HIVI LIMEKUWA LA KIHUNI SANA 😂😂😂 SASA WANAPIGA RAIA ILI IWEJE SI UPUMBAVU HUO

  • @kakaimbela2597
    @kakaimbela2597 15 дней назад

    Hivi kweli tunarasimisha utaratibu huu utumike kusuluhisha changamoto zinazoikabili Jamii.

  • @theophilmawe9776
    @theophilmawe9776 15 дней назад

    Wenyewe yanajua kupiga tu

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 13 дней назад

    Kuna vitu havipo sawa,,,mkuu wa wilaya ni mwenykt wa usalama kwenye wilaya. Ko ni kama haya mazungumzo mm tu nimejiuliza

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 15 дней назад

    Yani huyu hanampya

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 16 дней назад +2

    Ila wizard ya ardhi mheshimiwa slaa haki itendeke. Jeshi ni la wananchi . Jeshi litende haki

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 15 дней назад

      Na wananchi wasivamie maeneo hovyohovyo kisa eneo liko wazi😢

  • @WilliamYatosha
    @WilliamYatosha 14 дней назад

    Jesh lnapiga wtu jesh lenyew dhaifu bla n siraha znawabeba

  • @ip_header
    @ip_header 15 дней назад

    Tatazo wanajeshi wa Kiafrika Ubabe mwingi. Kwasababu untouchable

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy 15 дней назад +1

    Mnaweka viclip nusu nusu kwanini

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 15 дней назад +1

    Serikali kuu kupitia mkuu wa mkoa jeshi ligawiwe eneo lake. Si busara wanajeshi kujitetea hadharani hivi.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 15 дней назад

      Busara wakajitetee wapi? Akhera mbele ya uwanja wa hukumu?
      Sasa wakisubiri kujitetea akhera muda utakua umeisha, hapo ni kusukumwa jehanam kwa kupiga wenzao, wajitetee kabisa.

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 16 дней назад +6

    Jeshi linapofanya maamuzii liheshhimiwe na si busara kutatua migogoro na Jeshii letu.hadharani na kubishana..Mkuu wa Wilaya hapo hapana busara itumike..Jeshi letu lipo kwa ajili ya kutulinda..vikao vya ndani vianze kwanza..ardhi Tanzania ni kubwa Sana wananchi wakapewe eneo lingine lengo ni mipaka yetu iwe salama na ilindwe..Viva JWTZ❤❤❤❤

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l 16 дней назад +3

      Wewe vip yaan hatakama linaonea lisiambiwe Acha uwogo ucyo kuwa nakichwa wala miguu

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l 16 дней назад +3

      Tatizo la ccwatanzania uwoga mwingi nenda hata makao makuu yajeshi utasikilizwa kunawengine wanajeshi hawana tamaa navitu vyawatu hiyo nitamaa tu Imewaingiya

    • @kissamwamunyange1018
      @kissamwamunyange1018 15 дней назад +1

      Wewe unayesema wananchi wanaonewa Una uhakika? Au upo unasikiliza wananchi wanaposema? Hivi hujuh hakuna watu wanao zamia maeneno km watanzania?

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 15 дней назад

      Jeshi ni mali ya wananchi,huanza jeshi kufika kisha maisha ya wananchi yafuate,ikifikia hatua jeshi haliwezi kuendelea na shughuli zake sababu ya uwepo wa wananchi,basi linatakiwa kutafuta eneo jingine kwa ajili ya shughuli zake.
      Jeshi linaweza kupewa eneo lolote na likaendelea na shughuli zake,ila wananchi inawezakuwa changamoto zaidi.

    • @michaeldoroleo4864
      @michaeldoroleo4864 15 дней назад

      ​@@user-ex9sd8wm4lwananchi wanadhani wanajeshi huwa wanapiga watu hovyo hovyo tu bipa sababu.

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 15 дней назад +1

    Chalamila unakosea kulihujumu jeshi .kazi za jeshi hamzijui au mnajitoa ufahamu

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 14 дней назад

      Jeshi la Tanzania halina kazi msubiri vita nchi jirqni mpelekwe chambo basi

  • @novatusabond9253
    @novatusabond9253 15 дней назад

    Mchina nae anadai ardhi,aende zanzibar kama atapata

  • @Mwinyi77
    @Mwinyi77 15 дней назад +1

    Such a District Commissioner we need

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 15 дней назад

      Alishindwa kupata audience kwa Afande Amiri Jeshi Mkuu. Pia hana ushahidi wa watu waliouawa na Jeshi.

  • @novatusabond9253
    @novatusabond9253 15 дней назад

    Tutatega viazi kwenye shamba hilo

  • @user-hj4sy9fy4g
    @user-hj4sy9fy4g 15 дней назад

    Wote twatakuwa wanajeshi! Hayo ni mafunzo tu,kila bindamu anaweza,si muujiza!

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 16 дней назад +3

    Huyu mkuu wa wilaya kazingua ....
    Mbili angekaa na wawakilishi wa team hizo zote mbili kutatua huo mgogoro

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 15 дней назад

      Huu mgogoro nimkubwa saaan

    • @halimamwingu4478
      @halimamwingu4478 15 дней назад +3

      Anaongea kutaka sifa mbele ya wananchi wakati yeye ni mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilaya. Na Jeshi ndio linamlinda. Alitakiwa aongee kisomi ili kuweka mambo sawa na sio kulikandamiza jeshi km aongeavyo. Mi simo😂

    • @gallusmbaga5522
      @gallusmbaga5522 15 дней назад +2

      Hajakomaa bado anaishi kwa mihemko

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 15 дней назад

      @halimamwingu4478 inasikitisha sana
      She talks like a mere mwananchi ....kama third party
      Sijui wanatolewa wapi??
      Wanamuabisha sana mama samia wa watu

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 15 дней назад +1

      @@Wamoyothenumberone hakutakiwa kuzungumza vile kwa mkuu wa kikosi cha Jeshi la wananchi wake ...akiwa kama mwenyekiti wa ulinzi na usalama wilaya ...
      Kazungumza lugha ya kutokumuamini yule kamanda,isiyo na busara ...
      Angetumia akili kidogo ingesaidia...anyway watatatua

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 15 дней назад +1

    Yani watu 6 wa family moja ndiyo walipwe fidia?? Heeeee uwiiii. Waziri wa Ardhi Jerry slaa aliangalie hili kwa kina

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 16 дней назад +1

    Zuluma nimbaya jamaan

  • @brightmpembela5177
    @brightmpembela5177 15 дней назад +1

    Wengine mnacoment msicho kijua napia kuna kulewa Amani ndan yake ndiomana mnatusi jeshi . Na jeshi halina shida na maeneo km mkiona jeshi linawakera mlihamishe liende hata mkoa Mwingine na usalama wa maeneo hayo kuanzia banadar na usawa wa bahari mlinde nyie.

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 15 дней назад

    Chalamila SSH Samia Suruhu Hassan
    Makonda Nike na Jesus did it.

  • @EddySempay-qf1on
    @EddySempay-qf1on 15 дней назад

    Kuna dada mweusi hapo kakaachini anabinyua mdomo dada kimbia ukiona jeshi linakuja wekunja sura wakuuwe

  • @AyoubPapiy
    @AyoubPapiy 15 дней назад

    Kwamujibu wa maelezo ya bibi wanajeshi wanapora eneo,

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 16 дней назад +1

    Hapa unatamani Makonda ndo angelisimama hapo hili jambo lingeisha papo kwa papo... Kingine hii nchi kuna viongozi wameamua kuwa machawa hadharani sasa hiyo kofia aloivaa SSH inatafta nn hapo kama siyo uzwa....

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 15 дней назад

      Kwani kila mkuu wa mkoa anavaa hiyo kofia? Hayo ni mapenzi yake na uhuru wake wee hutakiwi kuumia sababu binafsi yako uwezi kuvaa kofia ya namna hiyo pia maamuzi yako yanaheshimiwa.

  • @alfredbyangwamu9821
    @alfredbyangwamu9821 15 дней назад

    NCHI HII! AU VIONGOZI HAWA WENYE DHURUMA!!! HATA KAMA NI WA KIJESHI!!! WATAISHA LINI???

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 15 дней назад +1

    Kwahiyo mkuu wa wilaya na yeye anaongea kama raia tu au hajui mamlaka yake ndani ya wilaya yake et leo mkuu wa mkoa tunaomba utusaidie useme neno tupone kwahiyo inamanisha yeye hatoshi kwenye wilaya yake husika

  • @enocksilungwepondajr9707
    @enocksilungwepondajr9707 16 дней назад +1

    Namchina.....!?

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 15 дней назад

    Hapo chanzo ni serikali inashindwa kutenga maeneo,hasa linapokuja swala.la fidia .Wananchi ni kama upepo tu na wanajisikia fahari kuishi karibu na kambi za jeshi,yakitokea ya kutokea kama Mbagala wataelewa tu,ccm mmeshindwa kutawala,mkuu wa wilaya anatamani kuongoza.mgogoro.

  • @user-yy6gf4my9f
    @user-yy6gf4my9f 16 дней назад +3

    Huyu .mkuu wa wilaya kaharibu kama vipi mama mtoe icho cheo.mingine ni siri yangu

    • @stevemahely
      @stevemahely 15 дней назад

      Walipaswa kuongea ndani lkn yeye anaonyesha wilaya imemshinda km wanajeshi wanapiga watu.

    • @salehemsumi615
      @salehemsumi615 15 дней назад

      Mkuu wa wilaya hatoshi,yeye ni mkubwa kuliko wanajeshi kwanini hakuchukua hatua?

    • @stefanmatafu
      @stefanmatafu 14 дней назад

      Kama hawasiki na Wananchi wake wanapigwa afanyeje kama wewe utetei Wananchi wanaoishi kwenye ardhi Wanamiliki kihalali atete nani? Wavamizi ambawo wanasema uwongo mbele za Mamlaka mbili? Mkoa na Wilaya nani Mkuu wa Kamati ya Ulinzi ? Acha atutete tuna hati na ardhi ni yetu Sio Yao ndio tunapigwa hamna uwongo hapo

  • @lukasielibariki3181
    @lukasielibariki3181 15 дней назад

    Jeshi ni laovyo linapiga Rai wake badala ya kulinda

  • @alexchungu6263
    @alexchungu6263 16 дней назад +2

    Wanajeshi form 4 failure ndio wanao piga raia

    • @DennisMkumbala
      @DennisMkumbala 15 дней назад +1

      Ungeenda apo nevy ukawaambie ayo maneno😂

    • @Alphonce-em2xi
      @Alphonce-em2xi 15 дней назад +1

      Wewe uko na Elimu Gani na imekusaidia nn makamanda endelea kulinda Taifa la Tz na mipaka yake

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 15 дней назад

      Na mwenye PhD hafanyi kazi hiyo😂😂

  • @stellanyamuhogota1832
    @stellanyamuhogota1832 15 дней назад

    Hao wanajeshi hawana kaz hadi wapig3 raiakam vip watafutiwe sehemu yenye vita wakajipime huko

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 15 дней назад +1

      😂😂😂😂😂wapelekwe congo

    • @theemperor8229
      @theemperor8229 15 дней назад

      ​@@petermanala6138 Mara ngapi? Walishapiga Uganda, Comoro, Seychelles, South Africa n.k. baada ya dhiki ni faraja.

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 14 дней назад

      @@theemperor8229 faraja kupiga wananchi?

  • @mohammedhimba1647
    @mohammedhimba1647 15 дней назад

    Huyu chalamila anawazuga wananchi

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu2153 15 дней назад

    Hatuwezi kuwa na jeshi la kihivi......labda la nchi nyingine.......malizeni hizi mambo bhana tukae kwa amani na kupendana.

    • @brightmpembela5177
      @brightmpembela5177 15 дней назад

      Kama vip km mnaona jeshi linawasumbuwa mlihamishe likakae hata kigoma mbaki na kigambon yenu jeshi hawana shida na maeneo wenyewe popote mkisema wahamie wanahamia .

  • @AbdulkareemHassan-ip5fl
    @AbdulkareemHassan-ip5fl 15 дней назад

    Yani mkuu wa mkubwa chalamila hamnakitu Yani anaambia co kwamba simamisheni kupiga watu kwanza rusubiri Yani wanajeshi Kuna Sheria inasema wanajeshi kukiwa na mgogoro na wananchi wawapige wewe mkuu wa mkowa hufai kabisa Rudi shule,

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 15 дней назад

    Jamanii na sisi Eneo letu LA tondoloni wanajeshi wanasem Lao kesi haiishi mpka Leo basiii tujue km lao tuondoke hizi kesi nyingi

  • @PeterJohn-sg4oe
    @PeterJohn-sg4oe 15 дней назад +1

    DC hayo mambo ni ya ndani, Wewe ni kiongozi wa ulinzi na usalama kwenye wilaya, hukupaswa kulalamika hapo, hayo mambo ungeyashughulikia kabla ya ziara ya RC, wewe ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya, hivyo vyombo vipo chini yako

  • @DaheerK
    @DaheerK 15 дней назад

    Mkumbuke wanajeshi mtaondoka madarakan mkagombee mikoan kwenu mkajenge duh

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k 15 дней назад

    Hapo chanzo ni serikali inashindwa kutenga maeneo,hasa linapokuja swala.la fidia .Wananchi ni kama upepo tu na wanajisikia fahari kuishi karibu na kambi za jeshi,yakitokea ya kutokea kama Mbagala wataelewa tu,ccm mmeshindwa kutawala,mkuu wa wilaya anatamani kuongoza.mgogoro.

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 15 дней назад +2

    Kuna jeda mmoja eti alinizingua eti nivue nguo yenye rangi zao,ni nani mwenye haki miliki ya rangi duniani hilo la kwanza wajeda wa tz ni wajinga walio wengi hasa hawa wadogodogo wakitoka mafunzoni tu ni kwenda kuonea raia ndio maana mkienda kongo mna dediii

    • @mayanmlingwa4250
      @mayanmlingwa4250 15 дней назад +1

      Kwaiyo una izo nguo mpaka mda huu.

    • @theemperor8229
      @theemperor8229 15 дней назад

      Wewe tii maagizo tu, kwa nini huvai kanzu ya kiislamu kama wewe ni mkristo au kwa nini usivae joho la padri? Kama wewe mwanamke kwa nini usivae ya kiume, au kama Wewe mwanaume kwa nini usivae sidiria? Wewe heshimu tu taratibu, basi.