Huyu jamaa ana trauma na ptsd, aliona after kum treat vmoney kishkaji jinsi vanessa moved on less thn 6 months akawa na rotimi and in 2 years after their breakup akazaa nae…. so kwa karen sio kwamba labda alimpenda sanaaaaaaa ila aliona mfano kwa vmapesa akaogopa mara hii pia itakua hivyo ndo kisa cha kujirekebisha na kujishusha kiasi hicho staki kuamini kwamba alimpenda karen kiasi hicho after 2 years nae while vanessa alikua nae miaka sita na kuna vitu vingi walipitia and love grows w time.. he just didn’t want to repeat the same mistakes, he was redeeming himself to a different woman
Hali aliyopitia jux namuelewa sana hata mimi nilipitiaga iyo situeshen kumuomba mtu msamaha hadi nilichanganyikiwa kimapenzi bila kusamehewa mpaka leo..kiukwer mapenzi nikitu kibaya sana yani nimewahi kufanya nakukiri kitu ambacho sijawahi kufanya katika maisha yng hata mala moja
jux nimwanaume ambae anasitahili kuwa na mtu mtulivu mwenye akili na kiongozi wa familiy sijui anaitwaje mwanamke mwenye wanaume zaidi ya wawili sijui tunamuitaje??
Jux ndiye msanii wa kwanza kujibu swali la mziki wa Nigeria sahihi. Kabla ya 2000 for every five blacks in the world one was Nigerian. Baada ya hapo ndio wengine tumeongezeka sasa ni for every eight bkacks one is Nigerian. Halafu baada ya biafra war walianza kutoka Nigeria na wako kwa all the commercial capitals.
ii situation naijua vzr sn ila nlichojifunza mwanaume hauitajik kumpa uhuru au siri zko zote mwanamke lazma ataku disappoint ata kama unampenda vipi usiruhusu kumpa simu yako kila anapotaka atakuchukulia poa hasa hawa wanaojiona wazuri kwa shape zao🙌
Nyota yake mashuke na tabia ya mashuke si rahisi kumpenda mtu huwaga ni wazito ila wakikuamini na wakiona vile wanavyovitaka kwako huwa wanaangukaa kama trenii na inawachukua mda sana kupona na wakishakutoa moyoni huwa hawarudi nyuma 🚶🚶 anyway we are so honest
Jux ni mwanaume mzuri sana na hafai kudate wanawake wa tz hatuko hvyo kama yy anavyowekeza we are selfsh na kama tukimpenda mtu sana ujue ana zaid which money sasa yy jux hajui anamapnz ya kzungu Pole sana sana Jux ila ucrudie tena kudate na caren hakufai anakujua sn na anaweza tumia vby madhaifu yako lakin you re best boyfrnd ever Pole sana
Jux Alichokosea Ni Kukubali Kuishi Kwa sheria Na Masharti Kutoka Kwa Mwanamke , Naturally Mwanamke Anatkiwa Kuwa Obidient Sio Mtunga Sheria , Na Ukiona sheria Nyingi Kutoka Kwa Mwanamke Wako Ujue Hakupendi kiivyo (anakuchukulia Poa Tu) For Granted , Jux alifumbwa Na Mapenz , Mapenz Yalimzidi, aliruhusu Mdada Awe Contoller
Jux ulikosea.Mwanamke mgombane leo kesho umkute na mwanaume mwingine halafu uendelee kumwomba msamaha kwa miezi minane😮..Hapo ulijizima tu data Jux.La kuvunda hhalina ubani..
mapenzi shikamoo 🙌🙌 yalonikuta sisemi niliomba msamaha mwaka kwa mtu alonikosea na nisisamehewe ila nilivyomaliza kupona depression saiv naenjoy alaf jamaa hoiiiii saiv anaomba msamaha kila saa
Mtu ako.palepale. anatumia WiFi ya kazi halagi ana skip ads kwa video. Nkt. Jux alijaribu sana lakini caren alijua hayuko tayari kuwa mke wa mtu tena kubadili dini.
Ww ukiachana na mtu umpendae ujue umemuacha huru na yoyote yupo huru kumuoa au kuwa naye kimahusiano # hapo kitu cha kujifunza n faida ya ndoa kwenye jamii # 1. Ina kuweka huru na uhasama na watu kwa njia ya shetan # Muhimu jiulize je mtu ameingia kwenye mahusiano yako wakat gan awe rafk au nan katika kuharibu mahusiano yenu wakat wa ndoa au nje ya ndoa . Penda kutengeneza stress zenye uhusiano na allah jitahd kukimbia stress zenye husiano na shetan #
Ni vile tu hizi ni stori tu, men haleluya mnajuua kuigiza muv nying ila majuto ndio mapenz yenu hushtuliwa afu , ukipimia maoenzi kijiko lazima ukome kuyajua😂
wasanii wakubwa sana bongo lakini bado mnasikitisha sana katika upande wa matumizi ya lugha ya kingereza ambayo mnaipenda kuitumia sana na nukuu "i have never do that"hivi huyu jamaa aijua kweli lugha ya watu au anaipenda kuitumia tu.jiongezeni INTERNATIONAL ARTIST SIO KWA NJIA YA KUPELEKANA PELEKANA KIBONGO BONGO
Ondoa mazoea ya dem wako na watu wa industry tunza heshima yake nilijua hamtakaa sana kwa yale mazoea ya wasani na kumtumia kwenye ma promotion wasanii wanashinda nyumbani kwako . Mfiche Kama Kizz daniel
Kwani lazima ulazimishe mapenzi babu. Kwani wanawake ni huyu tu wewe Mtoto wa kiume unatakiwa ujiamini sio kudandia dandiaa tu. Kuwa mtu wa kujiamini as a Man Sasa kugombania mwanamke unajidhalilisha bwana. Wacha huo utoto.
Wewe dada Mtangazaji unajua sana❤❤❤
Huyu jamaa ana trauma na ptsd, aliona after kum treat vmoney kishkaji jinsi vanessa moved on less thn 6 months akawa na rotimi and in 2 years after their breakup akazaa nae…. so kwa karen sio kwamba labda alimpenda sanaaaaaaa ila aliona mfano kwa vmapesa akaogopa mara hii pia itakua hivyo ndo kisa cha kujirekebisha na kujishusha kiasi hicho
staki kuamini kwamba alimpenda karen kiasi hicho after 2 years nae while vanessa alikua nae miaka sita na kuna vitu vingi walipitia and love grows w time.. he just didn’t want to repeat the same mistakes, he was redeeming himself to a different woman
Jux bado ana true love maskini May Allah grant him the best wife he deserves🙏🏼❤️
Hali aliyopitia jux namuelewa sana hata mimi nilipitiaga iyo situeshen kumuomba mtu msamaha hadi nilichanganyikiwa kimapenzi bila kusamehewa mpaka leo..kiukwer mapenzi nikitu kibaya sana yani nimewahi kufanya nakukiri kitu ambacho sijawahi kufanya katika maisha yng hata mala moja
Pole sana habibty
Ww fala sana ,,
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakupa pole kama inauma naku pole 😂😂😂
Ila Karen mzuri kwakweli Maa Shaa Allah,, lazma bro aumie kweli 😢❤
@@hamiszali1434😂😂
Mungu atakupa mke mwema piga dua
Frida yupo vizuri kwenye maswali ❤
Jux bado anampenda Karen🙌🏻🙌🏻🙌🏻
jux nimwanaume ambae anasitahili kuwa na mtu mtulivu mwenye akili na kiongozi wa familiy sijui anaitwaje mwanamke mwenye wanaume zaidi ya wawili sijui tunamuitaje??
pretty sure hampendi wanaume tunajijua tyu
Careen kazaliwa 1994 , so she is almost 30 years
Jux is the problem, he lost his frame and little did he knew that, genuine desire cannot be negotiated. The price of a simp is dust.
Baba Jux alitwisha Mabomuu!!! Yaani msichana wa kibongo unampa hiyo power halafu mambo yawesalama ni kitu hakiwezekani
Safi sana frida unambana mtu hadi aseme kitu anachozuia tusisikie
Nikwer
kwanza wametulia mpaka anaehojiwa anajihisi yuko huru kufunguka
Big up kwa frida kwa kumbana
Jux ndiye msanii wa kwanza kujibu swali la mziki wa Nigeria sahihi. Kabla ya 2000 for every five blacks in the world one was Nigerian. Baada ya hapo ndio wengine tumeongezeka sasa ni for every eight bkacks one is Nigerian. Halafu baada ya biafra war walianza kutoka Nigeria na wako kwa all the commercial capitals.
Nime enjoy Sana ila Frida I love you
Mapenzi shikamoo
😂😂😂😂
Marhaba 😂
Jamn kama uukitaka kuenjoy maisha achana na hao mastar hawanaqa mapenzi ya kweli.tafuta mlalahoi mwenzako enjoy
ii situation naijua vzr sn ila nlichojifunza mwanaume hauitajik kumpa uhuru au siri zko zote mwanamke lazma ataku disappoint ata kama unampenda vipi usiruhusu kumpa simu yako kila anapotaka atakuchukulia poa hasa hawa wanaojiona wazuri kwa shape zao🙌
Pole juma 😊
Nyota yake mashuke na tabia ya mashuke si rahisi kumpenda mtu huwaga ni wazito ila wakikuamini na wakiona vile wanavyovitaka kwako huwa wanaangukaa kama trenii na inawachukua mda sana kupona na wakishakutoa moyoni huwa hawarudi nyuma 🚶🚶 anyway we are so honest
Jux ni mwanaume mzuri sana na hafai kudate wanawake wa tz hatuko hvyo kama yy anavyowekeza we are selfsh na kama tukimpenda mtu sana ujue ana zaid which money sasa yy jux hajui anamapnz ya kzungu Pole sana sana Jux ila ucrudie tena kudate na caren hakufai anakujua sn na anaweza tumia vby madhaifu yako
lakin you re best boyfrnd ever Pole sana
Jux Alichokosea Ni Kukubali Kuishi Kwa sheria Na Masharti Kutoka Kwa Mwanamke , Naturally Mwanamke Anatkiwa Kuwa Obidient Sio Mtunga Sheria , Na Ukiona sheria Nyingi Kutoka Kwa Mwanamke Wako Ujue Hakupendi kiivyo (anakuchukulia Poa Tu) For Granted , Jux alifumbwa Na Mapenz , Mapenz Yalimzidi, aliruhusu Mdada Awe Contoller
It’s True
Kwasasa mshirikishe mungu akupe mwanamke sahihi wa maisha yako ❤usiumie kwa maneno yawatu 😮
Jux njoo kwangu ninambegu za mapacha utafurahi😂❤
Jux bado anampenda Karen ile pisi kali sana
Caren ka cuteeeeeee afu bado teenager . Umri huo acha kbsaaa. Jux ww unaichungulia 40 unatakiwa upate mdada aloshiba relationship 😂.mapensi mapens
Jux ulikosea.Mwanamke mgombane leo kesho umkute na mwanaume mwingine halafu uendelee kumwomba msamaha kwa miezi minane😮..Hapo ulijizima tu data Jux.La kuvunda hhalina ubani..
mapenzi shikamoo 🙌🙌
yalonikuta sisemi niliomba msamaha mwaka kwa mtu alonikosea na nisisamehewe ila nilivyomaliza kupona depression saiv naenjoy alaf jamaa hoiiiii saiv anaomba msamaha kila saa
Jux still is loving caren😂😂😂pole❤❤❤❤Ila caren ataumizwa nae
Mtu ako.palepale. anatumia WiFi ya kazi halagi ana skip ads kwa video. Nkt. Jux alijaribu sana lakini caren alijua hayuko tayari kuwa mke wa mtu tena kubadili dini.
Jux unajua kujieleza nakujibu nenosijui limekaapoa sana
Anaehojiwa na wanaoohoji wote mmetisha... noma sana
Dada uko na questions good walah😂😂😂😂😂sometimes age is a problem in love. Don't say age is like a number... Think twice
Jux Kama kasepa pw tuu mama Shazii awaridhikii hao uwa njoo R mama shazii
Dimpoz bana😢
Frida Kwa Hili Umehuwa Kichizi Yaniii🔥✌️🔥
Ww ukiachana na mtu umpendae ujue umemuacha huru na yoyote yupo huru kumuoa au kuwa naye kimahusiano # hapo kitu cha kujifunza n faida ya ndoa kwenye jamii #
1. Ina kuweka huru na uhasama na watu kwa njia ya shetan #
Muhimu jiulize je mtu ameingia kwenye mahusiano yako wakat gan awe rafk au nan katika kuharibu mahusiano yenu wakat wa ndoa au nje ya ndoa .
Penda kutengeneza stress zenye uhusiano na allah jitahd kukimbia stress zenye husiano na shetan #
Kweli kabisa 🫡
Jux wengi hawawezi kukuelewa lkn sisi wanyawezi wakali wa hizi kazi tunakuelewa hata Nengatronix lazima akuelewe
I have never do that in my life 😅😅😅 na alisoma chuo china ..... I HAVE NEVER DONE THAT sio DO😅😅😅😅
Ukijua wewe inatosha bhana😂😂😂😂
Mbwa kama nyie mnafanyaga nini mtandaoni....
Interview nzima umeona hicho tu?
Ukijua wewe na kizazi chako inatosha
Kwani China wanafundisha kingereza??
China alijifunza kichina
China na kiingereza wapi na wapi
Tanzanian music ni worldwide now ila wasanii wapendane na wasaidiane kufika mbele
Ni vile tu hizi ni stori tu, men haleluya mnajuua kuigiza muv nying ila majuto ndio mapenz yenu hushtuliwa afu , ukipimia maoenzi kijiko lazima ukome kuyajua😂
Frida i seee you😂
Sikutegemea kuwa huyu dogo ni mwepesi kiasi hiki kwenye mapenzi kama nyoya.
3
wasanii wakubwa sana bongo lakini bado mnasikitisha sana katika upande wa matumizi ya lugha ya kingereza ambayo mnaipenda kuitumia sana na nukuu "i have never do that"hivi huyu jamaa aijua kweli lugha ya watu au anaipenda kuitumia tu.jiongezeni INTERNATIONAL ARTIST SIO KWA NJIA YA KUPELEKANA PELEKANA KIBONGO BONGO
Eeenh,lkn Jux banae?
Yaani kudate kote haujai jua tu wanawake wakishachoka bloody
Hata hiyo reason,alikupatia mzee baba... Shida unapenda sanaa,madem hupenda watu hawaeleweki kaka.
Ww alikua anakuona kaa bwege flani tu vile.. Utakuja jinyonga ww kabogoro 😂😂😂
Wasanii wa bongo ?
C uoe jux?
Ondoa mazoea ya dem wako na watu wa industry tunza heshima yake nilijua hamtakaa sana kwa yale mazoea ya wasani na kumtumia kwenye ma promotion wasanii wanashinda nyumbani kwako . Mfiche Kama Kizz daniel
Don't forget to subscribe.
Kifupi uyu jux aliekewa masheria mengi magumu ili ashindwe mahusiano yaishe
Omy huyo bana wamtetea bure
Jux?? That so cheap bro.. unasubiri demu toke kwenye mausiano ili uhingie??😂😂😂😂
Jux usikate tamaa wanawake wenye upendo bada wapo utapata tu mtu sahihi
Frida 😂😂😂😂😂 duh wifi mshakunaku 😂😂😂😂 unavyomchimba J 😂😂😂😂
Juma kwa kujieleza.. Yan kelele kama zote
Jux wape mimba mademu wew mchizi.
Mpe dadako apewe mimba
Hao ni dada w wenzako
Mjinga ndio anapeana mbegu kila mahali
@@ConstanceKarisa-yq7qc😂😂Simba , kiba, wajinga
Kwani lazima ulazimishe mapenzi babu. Kwani wanawake ni huyu tu wewe Mtoto wa kiume unatakiwa ujiamini sio kudandia dandiaa tu. Kuwa mtu wa kujiamini as a Man Sasa kugombania mwanamke unajidhalilisha bwana. Wacha huo utoto.
Take them shades off man … where are the sun rays 😂
😂
Tatizo unarudisha ball kwa kipa, weka ndani usafishe nyota dingi.
Wee unaongea ujinga tuuu chali yangu unafeli sanaaa
Kumbe Jux ni kinuthia
Kwanini kinuthia
Ulichenje na ulituma pic unachezea dudu yako nasabuni yani unachukua sheria mkononi
Kama huzalishi watoto wazuri kama jux karibu ujani tukupe dawa
Mnatesemaa na umarufuu wenu woteee bado mnaniginizwa tuu ndoman mnakula bangi sanaaa pumbavu wewe piga shoo za maana acha ujinga wee shoo zirooo unachwa Kila ckuuu
True
Unashindwa kuelewa kuna videmu na demu unahisi huyo ni wa chpis kuku 😂😂😂
Ulishwai kumili hata demu mwenye gari 😂😂😂
Huyu jamaa mjinga sana unamsubiri mwanamke kakuacha kuwa na bwana mwingine na unamsubiri😂😂😂 anatatizo huyu nani sababu huyu demu amchezea.
thinking the same thing.....huyu jamaa bwege
Hiyo ni kawaida mmezoea vidmu vynu vya kichangani ujawai miliki hata demu mwenyewe gari
😂😂😂😂😂😂hii ilinipita😂😂 kumbe zwazwa huyu
Mimi wanawake wa kitanzania hapana hawana mapenzi ya kweli ni gold diggers yaani huyo demu Karen ana bwana wake Na huku anataka kuwa Na Jux
Syo wote
Mapenzi shikamoo
Jux unajua kujieleza nakujibu nenosijui limekaapoa sana