PART II: KUHUSU KUACHANA NA KAREN "I DON'T TRUST ANYBODY, YA OMMY DIMPOZ NA KAREN NIMEYASIKIA" -JUX

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 апр 2024

Комментарии • 106

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 26 дней назад +28

    Wewe dada Mtangazaji unajua sana❤❤❤

  • @Br12312
    @Br12312 25 дней назад +25

    Huyu jamaa ana trauma na ptsd, aliona after kum treat vmoney kishkaji jinsi vanessa moved on less thn 6 months akawa na rotimi and in 2 years after their breakup akazaa nae…. so kwa karen sio kwamba labda alimpenda sanaaaaaaa ila aliona mfano kwa vmapesa akaogopa mara hii pia itakua hivyo ndo kisa cha kujirekebisha na kujishusha kiasi hicho
    staki kuamini kwamba alimpenda karen kiasi hicho after 2 years nae while vanessa alikua nae miaka sita na kuna vitu vingi walipitia and love grows w time.. he just didn’t want to repeat the same mistakes, he was redeeming himself to a different woman

  • @umutonijowelia8794
    @umutonijowelia8794 10 дней назад +1

    Jux bado ana true love maskini May Allah grant him the best wife he deserves🙏🏼❤️

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 26 дней назад +30

    Hali aliyopitia jux namuelewa sana hata mimi nilipitiaga iyo situeshen kumuomba mtu msamaha hadi nilichanganyikiwa kimapenzi bila kusamehewa mpaka leo..kiukwer mapenzi nikitu kibaya sana yani nimewahi kufanya nakukiri kitu ambacho sijawahi kufanya katika maisha yng hata mala moja

    • @salamafair1169
      @salamafair1169 26 дней назад +1

      Pole sana habibty

    • @hamiszali1434
      @hamiszali1434 26 дней назад +1

      Ww fala sana ,,

    • @Mina.15
      @Mina.15 26 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂nakupa pole kama inauma naku pole 😂😂😂

    • @Mohaa4309
      @Mohaa4309 26 дней назад +2

      Ila Karen mzuri kwakweli Maa Shaa Allah,, lazma bro aumie kweli 😢❤

    • @Mina.15
      @Mina.15 26 дней назад

      @@hamiszali1434😂😂

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 26 дней назад +18

    Mungu atakupa mke mwema piga dua

  • @MzeeKigogo_
    @MzeeKigogo_ 24 дня назад +7

    Frida yupo vizuri kwenye maswali ❤

  • @MoviesAde
    @MoviesAde 26 дней назад +14

    Jux bado anampenda Karen🙌🏻🙌🏻🙌🏻

    • @Dje-ru9wd
      @Dje-ru9wd 25 дней назад +1

      jux nimwanaume ambae anasitahili kuwa na mtu mtulivu mwenye akili na kiongozi wa familiy sijui anaitwaje mwanamke mwenye wanaume zaidi ya wawili sijui tunamuitaje??

    • @Dje-ru9wd
      @Dje-ru9wd 25 дней назад

      pretty sure hampendi wanaume tunajijua tyu

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan5090 18 дней назад +3

    Careen kazaliwa 1994 , so she is almost 30 years

  • @samirbenito
    @samirbenito 13 дней назад +2

    Jux is the problem, he lost his frame and little did he knew that, genuine desire cannot be negotiated. The price of a simp is dust.

  • @Zenny89
    @Zenny89 22 дня назад +2

    Baba Jux alitwisha Mabomuu!!! Yaani msichana wa kibongo unampa hiyo power halafu mambo yawesalama ni kitu hakiwezekani

  • @kudadeki00007
    @kudadeki00007 26 дней назад +13

    Safi sana frida unambana mtu hadi aseme kitu anachozuia tusisikie

  • @bintimkitosi6187
    @bintimkitosi6187 26 дней назад +3

    Jux ndiye msanii wa kwanza kujibu swali la mziki wa Nigeria sahihi. Kabla ya 2000 for every five blacks in the world one was Nigerian. Baada ya hapo ndio wengine tumeongezeka sasa ni for every eight bkacks one is Nigerian. Halafu baada ya biafra war walianza kutoka Nigeria na wako kwa all the commercial capitals.

  • @lucymtuka6393
    @lucymtuka6393 26 дней назад +5

    Nime enjoy Sana ila Frida I love you

  • @Mshuta
    @Mshuta 26 дней назад +17

    Mapenzi shikamoo

  • @righitkileo
    @righitkileo 24 дня назад +1

    Jamn kama uukitaka kuenjoy maisha achana na hao mastar hawanaqa mapenzi ya kweli.tafuta mlalahoi mwenzako enjoy

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo5314 23 дня назад +1

    ii situation naijua vzr sn ila nlichojifunza mwanaume hauitajik kumpa uhuru au siri zko zote mwanamke lazma ataku disappoint ata kama unampenda vipi usiruhusu kumpa simu yako kila anapotaka atakuchukulia poa hasa hawa wanaojiona wazuri kwa shape zao🙌

  • @HawaSaid-ru4zq
    @HawaSaid-ru4zq 26 дней назад +1

    Pole juma 😊

  • @monicacyprian9137
    @monicacyprian9137 25 дней назад +2

    Nyota yake mashuke na tabia ya mashuke si rahisi kumpenda mtu huwaga ni wazito ila wakikuamini na wakiona vile wanavyovitaka kwako huwa wanaangukaa kama trenii na inawachukua mda sana kupona na wakishakutoa moyoni huwa hawarudi nyuma 🚶🚶 anyway we are so honest

  • @sumaiyabakary2692
    @sumaiyabakary2692 18 дней назад

    Jux ni mwanaume mzuri sana na hafai kudate wanawake wa tz hatuko hvyo kama yy anavyowekeza we are selfsh na kama tukimpenda mtu sana ujue ana zaid which money sasa yy jux hajui anamapnz ya kzungu Pole sana sana Jux ila ucrudie tena kudate na caren hakufai anakujua sn na anaweza tumia vby madhaifu yako
    lakin you re best boyfrnd ever Pole sana

  • @einsteinmboje4730
    @einsteinmboje4730 25 дней назад +2

    Jux Alichokosea Ni Kukubali Kuishi Kwa sheria Na Masharti Kutoka Kwa Mwanamke , Naturally Mwanamke Anatkiwa Kuwa Obidient Sio Mtunga Sheria , Na Ukiona sheria Nyingi Kutoka Kwa Mwanamke Wako Ujue Hakupendi kiivyo (anakuchukulia Poa Tu) For Granted , Jux alifumbwa Na Mapenz , Mapenz Yalimzidi, aliruhusu Mdada Awe Contoller

  • @ElifitiaLyimo
    @ElifitiaLyimo 22 дня назад

    Kwasasa mshirikishe mungu akupe mwanamke sahihi wa maisha yako ❤usiumie kwa maneno yawatu 😮

  • @gloryprotas1043
    @gloryprotas1043 25 дней назад +1

    Jux njoo kwangu ninambegu za mapacha utafurahi😂❤

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 26 дней назад +3

    Jux bado anampenda Karen ile pisi kali sana

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 19 дней назад

    Caren ka cuteeeeeee afu bado teenager . Umri huo acha kbsaaa. Jux ww unaichungulia 40 unatakiwa upate mdada aloshiba relationship 😂.mapensi mapens

  • @sendisteve7981
    @sendisteve7981 25 дней назад +2

    Jux ulikosea.Mwanamke mgombane leo kesho umkute na mwanaume mwingine halafu uendelee kumwomba msamaha kwa miezi minane😮..Hapo ulijizima tu data Jux.La kuvunda hhalina ubani..

  • @msakadoobongeladada-uh3sk
    @msakadoobongeladada-uh3sk 15 дней назад

    mapenzi shikamoo 🙌🙌
    yalonikuta sisemi niliomba msamaha mwaka kwa mtu alonikosea na nisisamehewe ila nilivyomaliza kupona depression saiv naenjoy alaf jamaa hoiiiii saiv anaomba msamaha kila saa

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 19 дней назад

    Jux still is loving caren😂😂😂pole❤❤❤❤Ila caren ataumizwa nae

  • @bintimkitosi6187
    @bintimkitosi6187 26 дней назад +1

    Mtu ako.palepale. anatumia WiFi ya kazi halagi ana skip ads kwa video. Nkt. Jux alijaribu sana lakini caren alijua hayuko tayari kuwa mke wa mtu tena kubadili dini.

  • @daudichoghoghwe5035
    @daudichoghoghwe5035 21 день назад

    Jux unajua kujieleza nakujibu nenosijui limekaapoa sana

  • @rebbywealth9869
    @rebbywealth9869 26 дней назад

    Anaehojiwa na wanaoohoji wote mmetisha... noma sana

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 19 дней назад

    Dada uko na questions good walah😂😂😂😂😂sometimes age is a problem in love. Don't say age is like a number... Think twice

  • @EmmanuelPaulo-zf1xk
    @EmmanuelPaulo-zf1xk 26 дней назад

    Jux Kama kasepa pw tuu mama Shazii awaridhikii hao uwa njoo R mama shazii

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 25 дней назад

    Dimpoz bana😢

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 24 дня назад

    Frida Kwa Hili Umehuwa Kichizi Yaniii🔥✌️🔥

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 26 дней назад +5

    Ww ukiachana na mtu umpendae ujue umemuacha huru na yoyote yupo huru kumuoa au kuwa naye kimahusiano # hapo kitu cha kujifunza n faida ya ndoa kwenye jamii #
    1. Ina kuweka huru na uhasama na watu kwa njia ya shetan #
    Muhimu jiulize je mtu ameingia kwenye mahusiano yako wakat gan awe rafk au nan katika kuharibu mahusiano yenu wakat wa ndoa au nje ya ndoa .
    Penda kutengeneza stress zenye uhusiano na allah jitahd kukimbia stress zenye husiano na shetan #

  • @bryanzeconfesor5476
    @bryanzeconfesor5476 16 дней назад

    Jux wengi hawawezi kukuelewa lkn sisi wanyawezi wakali wa hizi kazi tunakuelewa hata Nengatronix lazima akuelewe

  • @ramseychobaliko1002
    @ramseychobaliko1002 26 дней назад +8

    I have never do that in my life 😅😅😅 na alisoma chuo china ..... I HAVE NEVER DONE THAT sio DO😅😅😅😅

    • @annytahadrehem3819
      @annytahadrehem3819 26 дней назад +4

      Ukijua wewe inatosha bhana😂😂😂😂

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 26 дней назад +7

      Mbwa kama nyie mnafanyaga nini mtandaoni....
      Interview nzima umeona hicho tu?
      Ukijua wewe na kizazi chako inatosha

    • @rosejulius7756
      @rosejulius7756 26 дней назад +4

      Kwani China wanafundisha kingereza??

    • @bintimkitosi6187
      @bintimkitosi6187 26 дней назад +2

      China alijifunza kichina

    • @user-io3wz1ky5v
      @user-io3wz1ky5v 26 дней назад

      China na kiingereza wapi na wapi

  • @MswahilAdventures
    @MswahilAdventures 26 дней назад

    Tanzanian music ni worldwide now ila wasanii wapendane na wasaidiane kufika mbele

  • @catherinefrance3642
    @catherinefrance3642 26 дней назад

    Ni vile tu hizi ni stori tu, men haleluya mnajuua kuigiza muv nying ila majuto ndio mapenz yenu hushtuliwa afu , ukipimia maoenzi kijiko lazima ukome kuyajua😂

  • @user-cd1sk5yv2f
    @user-cd1sk5yv2f 20 дней назад

    Frida i seee you😂

  • @katumabiyan5090
    @katumabiyan5090 18 дней назад

    Sikutegemea kuwa huyu dogo ni mwepesi kiasi hiki kwenye mapenzi kama nyoya.

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 26 дней назад

    3

  • @user-lq1yg9mk1i
    @user-lq1yg9mk1i 24 дня назад

    wasanii wakubwa sana bongo lakini bado mnasikitisha sana katika upande wa matumizi ya lugha ya kingereza ambayo mnaipenda kuitumia sana na nukuu "i have never do that"hivi huyu jamaa aijua kweli lugha ya watu au anaipenda kuitumia tu.jiongezeni INTERNATIONAL ARTIST SIO KWA NJIA YA KUPELEKANA PELEKANA KIBONGO BONGO

  • @Unity6663
    @Unity6663 26 дней назад

    Eeenh,lkn Jux banae?
    Yaani kudate kote haujai jua tu wanawake wakishachoka bloody
    Hata hiyo reason,alikupatia mzee baba... Shida unapenda sanaa,madem hupenda watu hawaeleweki kaka.
    Ww alikua anakuona kaa bwege flani tu vile.. Utakuja jinyonga ww kabogoro 😂😂😂

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 22 дня назад

    Wasanii wa bongo ?

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 19 дней назад

    C uoe jux?

  • @jumaorido2532
    @jumaorido2532 26 дней назад +3

    Ondoa mazoea ya dem wako na watu wa industry tunza heshima yake nilijua hamtakaa sana kwa yale mazoea ya wasani na kumtumia kwenye ma promotion wasanii wanashinda nyumbani kwako . Mfiche Kama Kizz daniel

  • @calvinmushi6240
    @calvinmushi6240 24 дня назад

    Don't forget to subscribe.

  • @augustfive5279
    @augustfive5279 26 дней назад +3

    Kifupi uyu jux aliekewa masheria mengi magumu ili ashindwe mahusiano yaishe

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 25 дней назад

    Omy huyo bana wamtetea bure

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 26 дней назад +1

    Jux?? That so cheap bro.. unasubiri demu toke kwenye mausiano ili uhingie??😂😂😂😂

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m 25 дней назад

    Jux usikate tamaa wanawake wenye upendo bada wapo utapata tu mtu sahihi

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 26 дней назад

    Frida 😂😂😂😂😂 duh wifi mshakunaku 😂😂😂😂 unavyomchimba J 😂😂😂😂

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 26 дней назад

    Juma kwa kujieleza.. Yan kelele kama zote

  • @ALNAVSINKINDOLE-tr9qs
    @ALNAVSINKINDOLE-tr9qs 26 дней назад +11

    Jux wape mimba mademu wew mchizi.

  • @juliusnyerere5393
    @juliusnyerere5393 26 дней назад

    Kwani lazima ulazimishe mapenzi babu. Kwani wanawake ni huyu tu wewe Mtoto wa kiume unatakiwa ujiamini sio kudandia dandiaa tu. Kuwa mtu wa kujiamini as a Man Sasa kugombania mwanamke unajidhalilisha bwana. Wacha huo utoto.

  • @silverman6930
    @silverman6930 26 дней назад +2

    Take them shades off man … where are the sun rays 😂

  • @thierrybisimwa3312
    @thierrybisimwa3312 26 дней назад

    Tatizo unarudisha ball kwa kipa, weka ndani usafishe nyota dingi.

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 26 дней назад

    Wee unaongea ujinga tuuu chali yangu unafeli sanaaa

  • @edisonbingu5660
    @edisonbingu5660 26 дней назад +1

    Kumbe Jux ni kinuthia

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 26 дней назад

    Ulichenje na ulituma pic unachezea dudu yako nasabuni yani unachukua sheria mkononi

  • @UjaniHerbals
    @UjaniHerbals 26 дней назад

    Kama huzalishi watoto wazuri kama jux karibu ujani tukupe dawa

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js 26 дней назад +1

    Mnatesemaa na umarufuu wenu woteee bado mnaniginizwa tuu ndoman mnakula bangi sanaaa pumbavu wewe piga shoo za maana acha ujinga wee shoo zirooo unachwa Kila ckuuu

    • @user-lp5bj3vi3w
      @user-lp5bj3vi3w 26 дней назад

      True

    • @Hamidkaran
      @Hamidkaran 24 дня назад

      Unashindwa kuelewa kuna videmu na demu unahisi huyo ni wa chpis kuku 😂😂😂

    • @Hamidkaran
      @Hamidkaran 24 дня назад +1

      Ulishwai kumili hata demu mwenye gari 😂😂😂

  • @user-re3sv8zz2z
    @user-re3sv8zz2z 26 дней назад

    Huyu jamaa mjinga sana unamsubiri mwanamke kakuacha kuwa na bwana mwingine na unamsubiri😂😂😂 anatatizo huyu nani sababu huyu demu amchezea.

    • @ndondiafrika249
      @ndondiafrika249 26 дней назад +1

      thinking the same thing.....huyu jamaa bwege

    • @Hamidkaran
      @Hamidkaran 24 дня назад

      Hiyo ni kawaida mmezoea vidmu vynu vya kichangani ujawai miliki hata demu mwenyewe gari

    • @user-ib2uf3uk2d
      @user-ib2uf3uk2d 24 дня назад

      😂😂😂😂😂😂hii ilinipita😂😂 kumbe zwazwa huyu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 26 дней назад +1

    Mimi wanawake wa kitanzania hapana hawana mapenzi ya kweli ni gold diggers yaani huyo demu Karen ana bwana wake Na huku anataka kuwa Na Jux

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 26 дней назад +4

    Mapenzi shikamoo

  • @daudichoghoghwe5035
    @daudichoghoghwe5035 21 день назад

    Jux unajua kujieleza nakujibu nenosijui limekaapoa sana