Hawachelewi WAKENYA kumfanya wao. Nnachowapendea WAKENYA ni kuwa CHOCHOTE kizuri ni chao kama yule Mdada WA KENYA alisema OLDUVAI GORGE IPO KENYA . MLIMA KILIMANJARO UKO KENYA. ASLAY naye kwa sasa ni MKIKUYU😂😂😂😂
Tunajua Hilo ASLAY ni MKIKUYU kwa sasa hivi. Wa kwenu huyo kama ambavyo MLIMA KILIMANJARO UKO KENYA, OLDUVAI GORGE iko KENYA na hata ALI KIBA ni MKENYA WA MOMBASA. KENYA is a GREAT COUNTRY.🙏🙏🙏
millard hongera sana kwa kutupasha habari, kwa team nzima ya AyoTv nawapa hongera. nina ombi moja kwa upande wa mahojiano ya kipindi chenu,uboreshwaji kwa hawa ndugu zetu viziwi kuwawekea mtu atakayewatafria kama tunavyoona baadhi ya vipindi vingi vya Tv.
Aslay n kijana mkweli Sana muelew ,alaf anaongea ukweli atafika mbali sanaaa na pia ana kumbuka wema alotendewa ,ubarikiwe zaidi Aslay nataman mrudiane na Tessy
Ukumbusho wa kirafiki: Huwezi kujua kitu kipya bila kuwa mwanzilishi kwanza.ASLAY alianzisha kitu chake na alifanikiwa.(MTOTO KUWA MWANAMUZIKI MASHUHURI) Kwa hiyo usiogope kujikwaa, kuhangaika, na kujifunza. Kubali mchakato, kumbatia ukuaji, na ujiangalie ukibadilika kuwa mkubwa wa kweli.(ASLAY AMEWEZA) Ikumbuke sauti yako. Kuna mtu mmoja tu anayesikika kama wewe.(ANACHOKIWEZA HAWEZI KUSHINDWA) Msanii Usiogope kuruhusu ulimwengu kusikia jinsi unavyosikika. Sisi sote hatuwezi kusikika sawa.(HAFANANI NA MTU ASLAY NI MMOJA) #BOKA
Nice interview ,anaongea ukweli kabisaa alioptia , tofaut na wasanii wengne kila ktu wakiulizwa wanakataa tuh na huk nje inajulkana wamefanya. BEST INTERVIEW
Good vision nimetumia sim ya mke wangu kipenzi ila tunakukubali sana na hata kwa gari yangu ninanyimbo zako kama za ela yote na nimekufuatia toka yamoto band na ninakuombea kwa mungu ufike mbali
Aslay Mdogoangu, Nakubali Sana Mziki Wako, Moja Kati Ya Wasanii Ambao Awana Kiki, Awana Makundi Wala Sio Msanii Wa Kiki, Piga Kazi Mdogoangu, Mw\ Mungu Akujalie Uwe Mkubwa Zaidi Ya Hapo Ulipo🤲
Hujawahi kujiharibu hata kidogo kwenye mwili wako, ata uso wako unavutia,ila wengine wasanii Noma Sana kwenye sura zao Hadi ngozi zao, Aslay nikuombe Tu uache kunywa pombe ila utulize akili kisha urejee vyema Sana kabisaa, mahusiano ni shida kubwa mnooo
Dogo anajua sana pia kuna wasanii wakubwa hawajui hata kujitetea yani unajielezea vzr sana hadi huo msemo wako wa hua sishindwi ninachokiweza😂 big up sana bro@aslayshika
Aslay ni msanii wa kipekee anatumia kipaji chake vizuri .Aslay ni lukunga umetulia siku ukiamua kupurura ni moja kwa moja vitu visafi .Aslay akurupuki yuko vizuri tu nampenda sana Aslay anatoa nyimbo za maana .anaimba nyimbo za maana .thibiti ajaimba amapiano ndo mjue akurupuki kufanya mambo ya kisenge kama ameitoa utakuta ni safi tuu🎉🎉🎉🎉🎉Aslay to the world
In Kenya,Aslay ,Kiba na Nandy wanatamba sana ❤️🇰🇪
Kenya my country ❤❤ kijana Aslay katajirikia Kenya 💪💪 wapi likes za aslay
Ni mkenya😂😂
Hawachelewi WAKENYA kumfanya wao. Nnachowapendea WAKENYA ni kuwa CHOCHOTE kizuri ni chao kama yule Mdada WA KENYA alisema OLDUVAI GORGE IPO KENYA . MLIMA KILIMANJARO UKO KENYA. ASLAY naye kwa sasa ni MKIKUYU😂😂😂😂
Tunajua Hilo ASLAY ni MKIKUYU kwa sasa hivi. Wa kwenu huyo kama ambavyo MLIMA KILIMANJARO UKO KENYA, OLDUVAI GORGE iko KENYA na hata ALI KIBA ni MKENYA WA MOMBASA. KENYA is a GREAT COUNTRY.🙏🙏🙏
@@DUL69wachocha sana😂😂
Yani mbosso hana hela kabisa mbaka akakae nyumba alo jengewa kwel wasanii hawana hela lebo kubwa wasafi nyumba hawana
Aslay we love you from burundi🇧🇮🇧🇮Kibokooo aiseeeee
Aslay ni mtu poa ana, Mungu aendelee kubariki kazi ya mikono yako.
Thanks Millard Ayo na team yako nzima kwa kazi nzuri, i wish you all the best🎉
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Aslay is very composed, hana mabwebwe, like most bongo artists.
millard hongera sana kwa kutupasha habari, kwa team nzima ya AyoTv nawapa hongera.
nina ombi moja kwa upande wa mahojiano ya kipindi chenu,uboreshwaji kwa hawa ndugu zetu viziwi kuwawekea mtu atakayewatafria kama tunavyoona baadhi ya vipindi vingi vya Tv.
Aslay n kijana mkweli Sana muelew ,alaf anaongea ukweli atafika mbali sanaaa na pia ana kumbuka wema alotendewa ,ubarikiwe zaidi Aslay nataman mrudiane na Tessy
A wise young man. You can tell from the way he is responding to the questions. I love him.
Nawapenda sana Mimi kwangu ni mapacha ASLAY & MBOSO nawapenda sana sana sana..Mungu azidi kuwainua zaidi na zaidi
This guy has always believed in himself en that's what I like about him and I have always loved his music since day one✊🇰🇪
🇰🇪
❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Asley ni kijana mtulivu sana pia bado mdogo ngoma alizotoa ni nyimbo za kudumu huu jama nifundi ma studio ❤
ASLAY uko vizuri saaana. Unajua kujieleza na uko Muwazi. Big Up.👍👍👍👍
Ukumbusho wa kirafiki:
Huwezi kujua kitu kipya bila kuwa mwanzilishi kwanza.ASLAY alianzisha kitu chake na alifanikiwa.(MTOTO KUWA MWANAMUZIKI MASHUHURI)
Kwa hiyo usiogope kujikwaa, kuhangaika, na kujifunza.
Kubali mchakato, kumbatia ukuaji, na ujiangalie ukibadilika kuwa mkubwa wa kweli.(ASLAY AMEWEZA)
Ikumbuke sauti yako.
Kuna mtu mmoja tu anayesikika kama wewe.(ANACHOKIWEZA HAWEZI KUSHINDWA)
Msanii Usiogope kuruhusu ulimwengu kusikia jinsi unavyosikika.
Sisi sote hatuwezi kusikika sawa.(HAFANANI NA MTU ASLAY NI MMOJA)
#BOKA
Aslay Nakukubali Sana 🇲🇿🇲🇿
Aslay 💞💞💞I just like this guy.. he is such a gentle man🥰🥰🥀
Love from burundi mzee aslay🤛🇧🇮🇧🇮
Aslay mukali sana uku Kenya tunamukubali sana👏👏👏👏👏
Nice interview ,anaongea ukweli kabisaa alioptia , tofaut na wasanii wengne kila ktu wakiulizwa wanakataa tuh na huk nje inajulkana wamefanya. BEST INTERVIEW
Nice interview Sio haina Mbwembwe Nyinyi Vibe Of The Day *Siwezi Shindwa Kitu Ambacho nakiweza*-(30/09/2023)❤️🇰🇪❤️
I just love this guy kutoka nikiwa mtomto tulianza nasema ❤❤
Millard nakukubari broo... Unamkenga sana aslay.. Aslay kanenepa jaman.... Njimbo zake ni nzuriiii😍🔥
Dogo ni mkweli kabisa. Zidi kutamba Aslay🔥🔥❤. Millard ayo nawe ubarikiwe sana.
Millard really knows how to ask gooood questions which are engaging. Ndoto yangu ni kuku interview siku moja😊
Inawezekana
Mwenyez Mungu akujalie mwanang nakupenda sana Huna maringo Wala dharau ubarikiwe sanaa
@@dorisimgeni3936 asante sana 🤗
This guy is matured😍😍.🔥🔥
Good vision nimetumia sim ya mke wangu kipenzi ila tunakukubali sana na hata kwa gari yangu ninanyimbo zako kama za ela yote na nimekufuatia toka yamoto band na ninakuombea kwa mungu ufike mbali
Aslay Mdogoangu, Nakubali Sana Mziki Wako, Moja Kati Ya Wasanii Ambao Awana Kiki, Awana Makundi Wala Sio Msanii Wa Kiki, Piga Kazi Mdogoangu, Mw\ Mungu Akujalie Uwe Mkubwa Zaidi Ya Hapo Ulipo🤲
I have followed Aslsy since day one. I like how he has matured.
Still going strong. Big up mdogo wangu
Aslay uko vizuri endelea kupambana
Aslay he's my Favorite Artist.. Hata huku Kenya🇰🇪 tuna mkubali sanaa zaidi ya Mondi.. Keep Going bro.. Much love Aslay 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wewe na nani
Mm na wale tunao mkubali bro sawa...
Aslay is more mature indeed, good hearted and much obedient...Here in 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 we love you soo much
Katika hii interview yoote nimegundua MKUBWA FELLA ni legend asiyeimbwa.
Siwezagi kushindwa kwa kitu ambacho nakuweza daah hatari sana nakukubali sana Aslay,,Dany tokea Kenya🔥🔥💯
Mashaallh Allah akuzidishie ktk maisha yko mzaramo mwenzangu❤tunakupenda sana Asly
Big up kwakukumbuk fadhiraa honger Aslay
This is the best interview na msanii wa Bongo flavor Big up Aslay. I really enjoyed. Big up Ayo TV Maswali na majibu was perfect.
He is the best of all the singers
Love Aslay music since Yamoto band bless you so much
Hujawahi kujiharibu hata kidogo kwenye mwili wako, ata uso wako unavutia,ila wengine wasanii Noma Sana kwenye sura zao Hadi ngozi zao,
Aslay nikuombe Tu uache kunywa pombe ila utulize akili kisha urejee vyema Sana kabisaa, mahusiano ni shida kubwa mnooo
Nakupenda sana aslay l am from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Big up baba.Yani unajibu maswali kiufasaa si mtu wa kukurupuka tu.Allah azidi kukuongoza katika maisha yako
Asley
His a good artist na anajua kuimba sana I like it
Much love from Mombasa 🇰🇪❤️
Namkubali sana huyu bingwa aslay alafu watu Huwa wanasema tume taka kufanana hvi❤
Unamoyo safi Asley hauna makuu 👍👏👏👏👏
Huyu mwamb Yuko powa,,Ana kumbuka alipotoka ,,Na ana heshimu walio MPA Sapport
Dogo anajua sana pia kuna wasanii wakubwa hawajui hata kujitetea yani unajielezea vzr sana hadi huo msemo wako wa hua sishindwi ninachokiweza😂 big up sana bro@aslayshika
Namkubali san aslay M/mungu akuongoze azidi kukusongesha zaidi
❤
uko juu sana kakaagu....mwenyezi mungu akuzaidie mashalah
My only king of music ❤❤❤❤❤❤❤❤
vraiment courage aslay
Aslay umekua mtu wa kujiaminia Sana zidi kung'aa
Nakubari sana kazi zako
😂😂 you can tell when Kenyans like someone, they are always in the comment section, just tell me you are Kenyan and you like Aslay without saying it. 😅
Tuko wengi
I just love Aslay🇰🇪🇰🇪❤❤
Kijana Mwenyezi Mungu akuongoze zaidi maana una shukrani ya binadamu.
Congratulations aslay MUNGU akutangulie ktk maisha yako daima
Millard Ayo & AyoTV. Kings of interview. Big up.sana kwa Aslay
Aslay namu kubali sana ndiye mungu wangu kwa mziki mimi ni joslay
Real talented Aslay! love from Burundi
Nakukubal saaana janja,Aslay Mwenyez Mungu akuinue zaid ,,unajua sanaa zaid ya saaaana
The best interview so far
Kajibu maswali vizurii Sana
Take home "siwezagi kushindwa na kitu ninachokiweza"❤
Kinacho nishawishi upole wako ma heshima Yako 🥰🥰🥰wazazi wangu wamekusifia sana kwa tabia Yako,sula Yako ya upole inanivutia 🥰🥰🥰🥰💕💕💕
Wimbo mzuriiii
I loved Aslay since first song,, Nakupenda sana Aslay Mungu akulinde
Nakukubali dogo
Aslay ni msanii wa kipekee anatumia kipaji chake vizuri .Aslay ni lukunga umetulia siku ukiamua kupurura ni moja kwa moja vitu visafi .Aslay akurupuki yuko vizuri tu nampenda sana Aslay anatoa nyimbo za maana .anaimba nyimbo za maana .thibiti ajaimba amapiano ndo mjue akurupuki kufanya mambo ya kisenge kama ameitoa utakuta ni safi tuu🎉🎉🎉🎉🎉Aslay to the world
pongezi bratha ASLAY, Lodwar, Kenya - Turkana tunakumiss, CONFIRM show huku mwana
Big up Aslay, thanks Millard Ayo for this show ❤🎉
Lot's of love from Kenya 🇰🇪
Gostei muito das respostas do Aslay. Dá para ver sinceridade e humildade nelas. Mungu azidi kukubariki kijana.
Aslay kaza Buti nakukubali sana Mwanangu sijawahi chukia mwimbo wako, na wewe Dada mtangazaji huwa nakufuatilia unaimba vizuri yaani huboi.
Siwezi kushindwa wakati kitu nakiweza 🙏🙏
My favorite artist of all the time.
Mungu akulinde maana naona uko mkweli sana❤
Bonge la interview respect kwa milady ayo namkubali dogo,nimeipenda sana(siwezi kushindwa na kitu ambacho nakijua)
Milard ayo anam zoom sana aslay amemuelewa ni mtu anajitambua sana very charming 😊😊😊
Miradi wewe kichwa sana uwa sichoki kuangalia exclusive zako kama izi una maswali mazuri sana big up sana brooo unyama ni mwingi.
young legend of all time...GOAT🐐
I also give credit to my mum for where I am right now....blessings to all Mothers,
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Aslay nikipenzi nyimbo zake aisee anaweza
Mbona sijaona izoo ngoma ❤️
I love your music Aslay.
Unafanya vizuri brother king Goldenboy from DRC
In kenya mi napenda nyimbo za aslay sana,we yani tamu
My favourite of all time. This young boy knows bwana
Na amewapatia mnoo common sense yake ilikuwa kali
Aslay is always too matured
The 🐐 Greatest Of All Time.goat mwenyewe
❤aseee aslay nakukubali niko Congo ina faa vizuri sana unaukweli
uma das melhores entrevistas
Essy from kenya Allhamdulillahi you the king of great music I loved you songs since❤
Nimekubali sana interview hii nakumbuka nilikuwa atumiwa hela ya chakula nailipa show za yamoto bend dah nimekumbuka mbali
Daaaaah bro unajikubar sana nakubali pia unajua kujibu maswali ya maprisenter respect you my brother
Aslay Ni wa motoo asikudaganye mtu💥💥
Asley mutu wamaana sana❤
This young man is very authentic in whatever he does ❤🔥🔥🔥🔥💪💪💪
Pambana Aslay unaongea vizuri hujigambi unajibu Maswali bila wasiwasi na ni mkweli.
Aslay mimi pamoja na wanangu ni wapenzi wa muziki yako Allah akuinue zaidi mwanangu
mwambie nampendaaa sanaaa he is my favorite artist🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Kiranga komo
❤ allah. Abariki. Kibaji. Chako. Kaka. Umetoka mbali. Na. Maisha. Haukata. Tamaa. Hongela saana. Kaka. Aslay
Kijana humble ❤
Full of respect
My favorite,He made me love bongo song's