One of the best interviews, yani jux umetulia kwenye majibu.. Millard umeua na huyu sister Duu Ndo kabisaaaa ume relax unatupa mawe kwa utuliivu huna pressure. 😂😂😂 big sana 👌
Jux umeongea kitu Cha Maana sanaaaa Ila hakikisha unatimiza lengo lako Maana umesema unatamani watoto wako wawe wa Baba moja na Mama moja au kupata mke ambae kifo ndo kitawatenganisha inabidi umuombe MUNGU SANA Maana atakupa
Jux kiukweli nakupendaga sana kwasababu uko mukweli nakuomba ujitahidi uendeleye kuwa n'a imani n'a kumukumbuka Allah kwa sababu n'a yeye hajawahi kukusahau ❤
Zaa tu usiogope mimi nina watoto saba .zaa mwingine nletee nikusidie kumlea i mean kumpatia security .usiogope kabisaa maisha .mtoto wako ndio atakuwa rafiki yako .mimi wanangu ndio marafiki zangu napiga nao story mpaka nasikia raha japo sina sana but im very happy na hivyo sitakufà haraka .maana najua Mungu hawezi kunichukua nikaacha hawa watoto .Ameen
Mimi simujuwi huyu jux lakini naona anahakili nyingi sanaaa tena sanaaa !❤Mngu akubaliki natena akufikishie lengo lako ,Mngu nimuweza wayote tuuu uwendeleye njiya nzuli inapendezesha Mngu yote yatatimiya ,siye tunashugulika lakini mngu alitupatanisha na ambao hakili zimecanganyikia mwisho vikanshindikana😢😢lakini kilakitu Mngu ndoo anajuae ✌️❤️.
Ayo nimependa ulivyogeuza concept ya cheating na kufungua kabat la jux 😂😂😂 smart technical questions, hii ndo ufunze watu wako uloajiri siyo yale maswali yao , kwa haraka haraka unaingiza sh ngapi
😂😂😂😂 hiyo inakuwaga sana, sababu unaweza kuwa unamatatizo, unawaambia masela, halafu wao hawakuelewi hawaaamini yani. Lkn hiyo ni nzuri bro inamaana unyota ya kufanikiwa. Uhauri wangu tu kutjmia huo muknekano wako unaweza tafuta connection na watu wenye mafanikio na wewe waweza kufanikiwa kea njia hiyo
@@LeilahRashid-fg3pt kwa kaz tuu kipenzi alhamdulillah nina stationary yang tena kubwa tuu napatikana amani zanzibar mkabala na uwanja wa aman taifa ukifika tuu ulizia Ijmal stationary utaletwa na ilo Ijmal ni jina la mwanang nimeandika office yang jengne nikisaidis
Nilisikia "nomatawale" pale jamaa walivosema "no matter what" 😂😂😂😂..dah, when english ain't ur thing unasikia vitu vya ajabu sana watu wakiongea kizungu bana
Brother Millad mtafute kijana mtanzania mmoja he/she asie na chochote fanya nae interview nakuhakikishia utakuwa umemsaidia sana huyo mtu tunakupenda millad . #back to the community 🤝👊
we umeongea point coz kuna vijana wengi mtaani wana talent kaka millard tuna kuamini mfano kuna kijana ana itwa ivorange ana jua sana akina vanilla akina hanstone
Maisha kweli yanaenda kasi Sana huyo Frida nilikuwa nae kwenye bongo star search 2015 alikuwa anajitafuta Sana, leo kafika mbali kiasi hiki, mm ndo kwanza hata sijulikani dahhh kwenye hii dunia unaweza ukawa na matamanio ya kufika mbali lekini WAP hata sijui naelekea wap
Jux ana jitambua kumbe kiasi hiki aisee noma 💪💪💪
I started listening to this interview a bit skeptical, however now i respect the guy .. he’s truly really humble
I love frida amani ..... ana kitu atafika mbali AMEN.
she is so good aisee
One of the best interviews, yani jux umetulia kwenye majibu.. Millard umeua na huyu sister Duu Ndo kabisaaaa ume relax unatupa mawe kwa utuliivu huna pressure. 😂😂😂 big sana 👌
Kama unamkubali millard ayo gonga like za kutosha
Nimependa anavyojielezea mara nying ukiulizwa kuusu ex wako utajikuta unamsema vibaya but him anawaongelea vizur nimependa tujifunze kitu Kwa kwel❤
Jux umeongea kitu Cha Maana sanaaaa Ila hakikisha unatimiza lengo lako Maana umesema unatamani watoto wako wawe wa Baba moja na Mama moja au kupata mke ambae kifo ndo kitawatenganisha inabidi umuombe MUNGU SANA Maana atakupa
Napendaga interview za jux hanaga konakona
Katika wasanii humble na wenye heshima ni Jux. Nampenda sana🥰. Interview poa sana 🙏
Jux kiukweli nakupendaga sana kwasababu uko mukweli nakuomba ujitahidi uendeleye kuwa n'a imani n'a kumukumbuka Allah kwa sababu n'a yeye hajawahi kukusahau ❤
Zaa tu usiogope mimi nina watoto saba .zaa mwingine nletee nikusidie kumlea i mean kumpatia security .usiogope kabisaa maisha .mtoto wako ndio atakuwa rafiki yako .mimi wanangu ndio marafiki zangu napiga nao story mpaka nasikia raha japo sina sana but im very happy na hivyo sitakufà haraka .maana najua Mungu hawezi kunichukua nikaacha hawa watoto .Ameen
Watoto saba 😂😂😂
@@rose_Winchester86 ndio ndugu yangu .wewe huna watoto ?au mtoto?
Masha'Allah Ramadan Kareem Wa Saum Maqbul Insha'Allah... May Allah protect you from hasad
Jux so professional answering questions
Nimepanda hii interview 🎉superb
Gelfrnd alofkia nae kutaka kuoa ni vanesa na huyu atajutia sana hatodumu mahusiano karma ta Vmane hii😢
Mimi simujuwi huyu jux lakini naona anahakili nyingi sanaaa tena sanaaa !❤Mngu akubaliki natena akufikishie lengo lako ,Mngu nimuweza wayote tuuu uwendeleye njiya nzuli inapendezesha Mngu yote yatatimiya ,siye tunashugulika lakini mngu alitupatanisha na ambao hakili zimecanganyikia mwisho vikanshindikana😢😢lakini kilakitu Mngu ndoo anajuae ✌️❤️.
He speaks Soo well of his exes ,,hope he finds a good wife wishing you all the best Jux ,,may the stars align for you all the best
Ayo nimependa ulivyogeuza concept ya cheating na kufungua kabat la jux 😂😂😂 smart technical questions, hii ndo ufunze watu wako uloajiri siyo yale maswali yao , kwa haraka haraka unaingiza sh ngapi
Kama unamkubali jux tujuane kwa like❤
kx m,.,
x.z.zkskxkxmxmdmdmxlxmxkxlzmzzm dkddkdjd nc xkdkdkls cwkkqoskzM
Ni kweli.nina muonekano wa mtu mwenye hela ila sina hela kabisa.mungu mdio mjuzi wa mambo yangu
😂😂😂😂 hiyo inakuwaga sana, sababu unaweza kuwa unamatatizo, unawaambia masela, halafu wao hawakuelewi hawaaamini yani. Lkn hiyo ni nzuri bro inamaana unyota ya kufanikiwa. Uhauri wangu tu kutjmia huo muknekano wako unaweza tafuta connection na watu wenye mafanikio na wewe waweza kufanikiwa kea njia hiyo
interview Safi ,I just like the way he answers the questions.my favourite artist always.🥰🥰🥰🥰.
Kajitaidi kufunga sana ongera jux
Naombeni mnikutanishe naye please😢 msanii wangu pendwa❤
Kama unamkubali juma jux bad nipe like hata kama so ya upendo 🙏
Jux mim nakupenda kama vip karibu kwenye ulimweng wang tujenge familia napatikana zanzibar 💕
Tafuta kazi ufanye uache ujinga
@@LeilahRashid-fg3pt kwa kaz tuu kipenzi alhamdulillah nina stationary yang tena kubwa tuu napatikana amani zanzibar mkabala na uwanja wa aman taifa ukifika tuu ulizia Ijmal stationary utaletwa na ilo Ijmal ni jina la mwanang nimeandika office yang jengne nikisaidis
sawa tutakujaaa
Mtoto wakitaa kimara baruti,respect juma jux
Sehem gan kaka?
Mungu atakuwezesha utasali swala zote
Nilisikia "nomatawale" pale jamaa walivosema "no matter what" 😂😂😂😂..dah, when english ain't ur thing unasikia vitu vya ajabu sana watu wakiongea kizungu bana
Ila jux nimemkubali Kwa aina ya mwanamke anaetaka kumuoa safi kujisimamia ni vizur sana hata kama mume hayupo good
Millard hakuwepo kabisa kwa hiyo interview...ameuliza maswali ambayo Jux alishaeleza..ni kama hakua focused
bro yupo open sana i like that
the composure on jux when he answers the questions
Brother Millad mtafute kijana mtanzania mmoja he/she asie na chochote fanya nae interview nakuhakikishia utakuwa umemsaidia sana huyo mtu tunakupenda millad . #back to the community 🤝👊
we umeongea point coz kuna vijana wengi mtaani wana talent kaka millard tuna kuamini mfano kuna kijana ana itwa ivorange ana jua sana akina vanilla akina hanstone
Afanye nae interview kuhusu nn?!
Nimepitia kama jux kuachana na mtu bila 7bu za msingi inaumiza sana inatokea tu
One of the best.
ALLAH AKUJALIE UPATE MKE MWENYE KHERI NA WW JUX❤
Jux❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mbona km nime fit kwenye vigezo vyako juma 😅😅
Jaman part 2 iko wapi 😢😢
Jux una Mungu mkubwa sana. Umeweza kuwa Karibu na furaha yako ya milele
Huyu kaka ana hekima sana pia imani
Juma nimemuelewa sana ❤❤❤❤❤
You’ll find your soulmate 💔 you’ll find your forever girl
Jux hapo kwa miaka HAPANA😂😂😂😂😂ILA NAKUPENDA JUX❤❤UNAIMBA👌UR SONGS👌😍
Bhanaaa this interview was so good and therapeutic kwangu! But is Jux on a therapy?!
Nimpend sana jux❤
Uko vizuri kwakweli nimekupenda kwa ajili ya allah
Sema mwamb mbunifu sana !!
I missed you guys may the lord keep you alive 😊 From Cape Town
Pezula musandawana mamelodi 😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂 I see you’re still hangry but don’t I’m Congolese and my club is TP mazembe
❤ you sana jux
so much love jux
Mchukuwe bs uyu mdada.ni kama anakuwaga na hutu ndani yk ,naamini mnaweza mkadumu 😘😘
mdada yupi?
@@palistrofruly uyo mtangazaji
Jux 👍🏿
ILA CRUSH JAMANI
Namkubali Sana Huyu Jamaa ❤❤❤
I don’t know why I have a feeling the lady that juma blocked and unblocked is hudah from kenya
Big up sna jux...m2 pic sna
NICE
😂😂 una date na kale katoto kanasomagaa habary😂😂😂 nomaa san milan
Millard ana maswali ya mitego sana very professional 😂
Frida is even worse😅
Nakupenda Sana paka naumwa
❤❤
Jitaidi tu kumuomba mungu atasaidia ❤
Jux👏👏👏
Jux All the best una baya mwamba wangu
Dimpoz Dimpoz 😢
Jux anajua🎉
Kumbe frida ni pisi kali tu😊😊😊
Frida mrembo kweri kweri
Mm nataman wangemuuliza kuhusu tattoo alizo chora na maana yake
Kwel Jux Kaongey Fact Xana 👌
Frida ❤❤❤❤
Umeongea vzr sn utapata mke mwema mtangulize mungu
Ila angali anafanya umalaya!
Ila izi miwan waga zinaficha maovu
nice speech
Millard Ayo hii interview part 2 ni vipi?
We was ....
Frida ana maswali kama mtangazaji wa redio za njombe
Kwann njombe lkn😂😂😂
Kwakwel why njombe
Bro punguza kukojoa njee utasaulika mapema sana siku ikifika
Niko hapa jux
❤❤❤
Audhubillah vp unajisifia maovu hali ya kuwa mwenyezi mungu akikustiri?maovu yako
🤝
Inaonekana kesha cheat buana anakimbia 😂😂😂😂 but MUNGU ANAJUA
Jux Kwann unateseka na wanawake ambao hawaoni umuhimu wako Wala upendo wako njoo nichukue mm ninayekupenda🥰
😂😂😂😂atary san
Maisha kweli yanaenda kasi Sana huyo Frida nilikuwa nae kwenye bongo star search 2015 alikuwa anajitafuta Sana, leo kafika mbali kiasi hiki, mm ndo kwanza hata sijulikani dahhh kwenye hii dunia unaweza ukawa na matamanio ya kufika mbali lekini WAP hata sijui naelekea wap
Yeah,kwel lazima tuwe na mke mwenye uwezo wa akili ya kuendesha familia
yakisenge sana interview
Acha wivu bro
Frida umenifurahisha sanaaaaaaa umechimba hadi raha yani😂❤
Nimemsikiliza namna alivyo lelewa ndiomana hawezi kuishi na mwanamke na lazima atakua mchoyo kifupi huyu lazima atakua ana gubu kwa mwanamke
part two plz, brother Milard _?
This guy has a spiritual wife only those with spiritual eyes will know, he needs prayers.
❤
Frida anazingua😅 in a good way.
If you hare for what you have been waiting to know about Karen and juma like
Jux make a song and named it as African mum to make respect for your mama nakufuatilia Sawa?
Fridaaaa mchimbisti kunywa soda kwa mangi nitalipa 😂😂😂😂😂
ww acha mziki na uache zinaa
Kwel kabisaa aache hiyo kazi ya mziki
Pesa ya kuishi utampa wew
Frida anamshangaa mnyamwezi
Outdated bro
❤❤❤❤ jux
❤