Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 1
HTML-код
- Опубликовано: 25 июл 2020
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
Kusema ukweli kabisa mimi na mgeni wetu wa wiki hii hatuna urafiki wala mazoea kabisa, ila tunafamiana kwa mbali na pengine (naamini) kila mmoja anamheshimu mwenzake kutokana na kazi ambazo kila mmoja wetu ameshafanya, na hiyo ndo ambayo imeleta heshima kati yetu. Pia tukumbuke heshima hainunuliwi wala haihongwi, huja yenyewe na kutuwama pale inapoona inafaa.
Kwa kipaji na jina lake kuwa kule na huku nami ndo nilimfahamu Baba Levo. Utani wake kwa wasanii wengine (hasa siku za hivi karibuni) watanzania wamekua wakiuona sana. Ila kwa mujibu wa historia chache juu yake ambayo nilikua naifahamu Baba Levo siku zote amekua mtu wa utani mwingi, na kwa uelewa wangu pia amekua akitumia utani huo pia kufikisha ujumbe wake kwa alomdhamiria, na kwa aliyetumiwa ujumbe pia ataupata pengine huku akiwa anacheka. Nani atasahau matani yake kwa Peter Msechu juu ya uzito wake uliopitiliza ambao pengine unahatarisha maisha yake. Baba Levo amekua mstari wa mbele kumbukusha Peter hilo.
Pia kuna ishu za yeye kuwa ‘Chawa’ wa baadhi ya wasanii na viongozi. Lakini pia yeye ni KIONGOZI ambaye wananchi wamemchagua, na chama cha ACT kiliridhia yeye kuwakilisha Chama, hilo si jambo ya mzaha na bila ya shaka anahitaji heshima kuliko ile ambayo tunamuonyesha ingawa pengine jinsi yeye binafsi navyojijeba ndo kunatufanya tumchukulie hivyo, lakini haiondoi heshima na uaminifu ambao Chama chake kilimpa pamoja na uaminifu kwa kuwatumikia wananchi wa Kigoma kule, kama diwani wao walompa dhamana. Baba Levo pia ashawahi kuingia matatani kwa ugomvi wake na dola baada ya kuvunja sheria za barabarani, kisa ambacho kilimfanya akae jela kwa takriban miezi mitano.
Mengi sana yalikua yanahitaji uchambuzi na ufafanuzi, na kujuana pia kati yangu na yeye. Maongezi yetu yalikua kati ya muuliza maswali na mtoa majibu ambae alikua ana maelezo yake mengi sana na kwa hilo namkubali sana. Tumeongea kuhusu Siasa, muziki, familia, uongozi na marafiki. Yangu matumaini una enjoy kama ambavyo nami nili enjoy na kujifunza kutokana na maongezi haya. Nakutakia kheri na tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown - Развлечения
Wanaopenda kuangalia interviews za baba levo tujuane apa kwa likes....
Tupo
Mm mpk nimemfollow
Yes
Oyo
Tupo
This guy needs his own show, he is funny and hard worker. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@FyN we appreciate good things, unlike Tz who moves with waves. He is real and I only acknowledge it. If he gets an opportunity in Kenya, why not, amekaribishwa. Tunakaribisha wote wachapa kazi
@FyN hiv ume elewa alicho kisema jaman au una ropoka tu wala hta haja sema wanamtaka aje Kenya jaman somen kitu muelewe
@FyN acha kuropok pumbavu watz hatupo ivyo sisi ni kenya ni ndugu futa licomment lako
@@veeJesus 🤣🤣🤣 alafu ana comments kila sehem ujinga yaan zaid hta angeelewa
@@yunaisamir2099 mwanaume mzm mjinga naziona comment zake
Naitwa,jaribu uyaone km umesikia hii kwa baba levo like hapa
Wanaopenda interview za Baba levo like hapa 👍👍👍 jamaa ni muwazi sana ALL IN ALL 💥💥💥✔️✔️🔥🔥
Bb Levo nakupenda sana yaani hata kama ninastress inapotea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na unaponifurahisha zaidi pale unapowaza kula na wala huna haya hujali uko wapi 🤣🤣🤣🤣 safi sana ❤
anakula huyoo kama fukoo
@@athumanimhanga2053 🤣🤣🤣
Mfipa uwaga hana haya popote pale alipo
waoooh
Katisha saana
Usipomsikiliza baba levo unamsikiliza nani sasa
Kwel Haboi,halaf akiwa serious pia anakuwa serious..utaniwake hauchukiz🤗
Nikuulize ww sasa😀😁😁😀😀
Akuna
Baba levo unaitaji uanzishe reality show yako...itaweza sana au kufana😁😁😁
Asie mpenda baba levo ni mchawi
Hata uwe umenun vip utachek tu
Niliisubiri kwa hamu sana nampenda sana baba levo
Yaani mm kila saa nachungulia
nimelike ata sijackiliza 😂😂😂😂
Karatin
Napenda sana interview zake huyu jamaa
Baba Levo kabadilsha Suti. Ile Ya Pink Karudisha kwa mweyewe😀😀😀😀 Wakigoma mwenzangu
eti mke wako pekee ndo unaweza kumshindilia ngumi akavumilia😂😂😂ila baba levo jaman👏👏
Nilikua nasikiliza podcast hio sehemu ya Jesca ikanifanya nije huku Daaaaaah.
Baba levo anachekesha kuliko MC Pilipili, na Yeye sio mchekeshaji
🤣🤣Jesca nmenyee hili chenzaaaaa da! B.levo utanivunja mbavuuuu
Ila baba levo kiukwel bro hujui kujivunga wallah Mungu akuweke miaka mingi
Nikiangalia interview zake naenjoy sanaa big up bro 🦾
Baba Levo has a sense of humor! Very charming
Baba levo unanichekesha unaongea Kiswahili cha kiha Eti UKAFOMOLOLA!!
Mweu sn huyu
Nani ka Like na kuweka comments ata kama hajackiliza kuona Baba levo tuu 😂😂😂😂😂😂😂
😁😀😀😁😁😁😁👍
Yan baba levo kwann usiwe mchekeshaj
Baba levo mwanzo tu wa kipind glass iko nusu khaa 😂😂😂
😆😆😆
🤣🤣🤣🤣🙆
🤣🤣🤣
😁😁😁😁
😁
Apa najua kitakua n vichekesho jinsi ninavyo mjua babalevooo😂😂😂🇰🇪❤️
Apo anakwambia poli police wanapenda mambo yaishe juu kwa juu
Duniani hakuna haki Mwenyezi Mungu pekee ndiye mtoa haki naipo cku Aliyemkuu zaidi atakuja kutoa hukumu ya kesi zote.
🙏🙏
Na wish one day iwe Salama na Masanja Mkandamizaji ,please nataman iwe hvoo Salama nafkir tutajifunza mengi kuhusu historia yake
Kingereza cha baba levo #All in all maisha yanaendelea 😂😂😂😂😂
All in all am good maisha yanaendelea🤣
😂 😂 😂 😂 Daah
Yaan huyu ananikosha aisee
neema mayco nomaa
😂😂😂😂😂😂
Baba levo you are a comedian tamaa ya baba levo huishia kujipuli akiona wenye maini 🤣🤣🤣🤣🤣,but nakupenda sana bro,but do me a favour I love salama, nipigieni kura nimwoe salama 😘😘😘😘😘😘
Yaan hii intevew inajieleza kbs baba levo alifungwa kichuki
We jesca njoo nimenyeee chenza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baba levo kichaa😂😂😂
Hehehehehe hanangwa mkubwa 🤣🤣
Ali Hassan shikamoo Ali
Duni Vlogs yaanii 🤣😁
Nimecheka kabla sijaskia hio sehemu🤣🤣🤣
Et machenza ya mapambo tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu baba levo ni mwisho wa maneno jmn anafurahisha sana
😂😂🤣🤣🤣 Baba Levo hana utani kwenye Kula
😅😅😅😅😅😅
Hahahahha si ndo uhai bro
🤣🤣🤣ndiomaba uchebe akamueka kwa blacklist
Akitoka apo ukute anapitia tena kwa Shishi kutia hasara. 😀😀😀😀😀
nimenyee chenza au ni kwaajil ya maua
🤣🤣🤣
Nimecheka sana
😂😂
BABA LEVO UKUU JUU YANI HIGH WAALA SIO LOW
😂😂😂 Nani mwengine ka shitukiya uyu mchezo wa Baba levo 🤣 movie ina anza jus 🥤 robo nusu 😂😂🙌🏾🙌🏾 Baba levo mkigoma halisi 🙌🏾 One love from Burundi 🇧🇮 Bujumbura
Ndivyo inavyotengenzwa hiyo cocktail hiyo nyingine ni barafu
Ngoja Nile aka kachenzaa😁😁😁
Subiri salama punguza kihererehe😆😆😆 baba Levo bhana 🔥🔥🔥🔥
BABA LEVO NAKUKUBALI SANA MH. DIWANI KWANZA UKO TOFAUTI NA WASANII WENGINE KUWA CCM LAKINI UNAPENDWA NA KILA MTU CHAMA CHOCHOTE NA UNAENDA SEHEMU YOYOTE KAMA MIMI MWANA CCM LAKINI NAKUPENDA SANA
I like this guy jaman uwiii
😜😜 nikupe konekisheni nae
@FyN Neno nakupenda Lina maana pana....but we unajaribu kulipunguza kwenye hicho unachofikiri ww 😀😀
yani mimi nkimuona baba levo nachekaaaaaaaaa
Kulayangu kwako
Tupo wengii
Tupo wengi
Baba levo nakupenda bureeee...make me laugh lol.
Mzee wa ALL in ALL naomba ufanye Comedy😂😂😂😂
Baba levo ni Simba wa Mwanga kigoma mjini
Hongera sana Salama kutuletea huyu mjuba, so funny
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu jamaa nomaaa kwakila kitu haswa kwenye misosi
Nakupenda bure mfipa mwenzagu, Dada salama tuletee Singo mtambalike
Nani kaona baba levo kangonga maiki kaduwaaa arafu kairudisha kimya kimya.
Wow, kwa mala ya kwanza, baba levo amenivuta huku nitazame interview
Kama umeiskia "ALL IN ALL" mara nyingi kama mimi Gonga like😄😂😂😂😂😂😂
Anaipenda hiyo ALL IN ALL😂😂😂😂
Sio poa jamaa ana trend had imebd wampe part 2
Baba levo mbwa sn ww eti nilicheka kigoma yote🤣🤣🤣🤣🤣😏😏😏😏😏
Jesca nmenyee chenza hil😁😁😁😁
Huyo polisi ninge penda kujua ako wapi. Malipo ni hapa hapa. Usijali.
Mwenye ana hate baba levo maybe ako na shida 974 tuned sana 💪big up
Baba levo kwa kweli interview ilikuwa poa sana salama nimependa sana
Bangi siyo alicheka kigoma nzima that part nimecheka mpk bac..... Uwiiii
Yaan nimechek hapo eti hat bibi angu akipete mchele naona ananichekesha
Sio uongo nilijarbu siku moja haki sababu c sababu kicheko
neema mayco 🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁😁😁😁
Mpatie mtu nafasi ya kula....au usinifokeee 😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪BabaLevo.
daah baba levo yuko ni msema kweli always sio mtu wakujisikia au kujib maswali kwa misifa sifa....
Salama nilikuombaga umlete Dijaro arungu hapa au comment yangu hujaiona
Haaaaaaa baba levoo unapajuaa nyumban mbagala kingugiii shikamoo diwani
We jesca eb nmenyee chenza
Baba Levo inaonesha usiku wa jana yake alikuwa wimbi sana!!😆😆😆😀
Kipenzi changu baba levoo
Safi sana moja kati ya watu ambao nina imani nao sana katika focus zake japo watu wengi wanamchukulia poa kwa mambo yake. Huyu ni Kanye West wa Tanzania
🙌nakubal
Baba Levo mwehu, eti Bibi akipeta Mchele naona kama ananichekesha
🤣🤣🤣
Baba Levo Ataaleee Eti Nimkaa Napiga Story Sisikii Unaniambia Kunyaa Hahahaii
Ahaa kumbe kinaendelea waooo ngoja niendelee kuona huku naenjoy
All in All he has to come back again
Mimi namwangalia tu Salama nampenda mno Hongera Salama kwa kazi nzuri.
I've noticed the pictures on the wall.. kuna ile ya interview na lordeyes
pima uyambe .. from 18:00 - 20:25 this interview is pure Grammy award comedy material. love it!
Salama umependeza n'a baba levo
OBD aka Baba level, nacheka sn ndugu yngu WA kigoma
Much respect baba levoo❤️
kwa kautafiti kadogo tu,hii ni interview yenye Views zaidi na comments nyingi zenye furaha...BABA LEVEL unakubalika..hahaha.
I love Baba Levo, ni mhalisi kabisa
Sawaaa baba
Dah nimechekaaa sanaa yaan anavo adithia iyo ishu ya jelaa kama sio habari yakusikitisha vile
Baba levo kaona msosi haelewiii
Nilianza kukufuatilia baada ya kuona utaniwako na piter msechu mpk saiv nakupenda bure
Hata mm napenda sana utani wao
@@hasnasaif1075 pale bab levo anaposema piter msechu alienda kwa huyo mzamin kuangua maembe wakaomba unga hahahah
Nmeipenda interview 😀😀
Salama mstarabu sana I LOVE YOU UNTIL DIE
Huyu jamaa ananikumbusha rafiki yangu kassim kebero wanafanana kuongea hadi vichekesho....shoutout kassim
Duniani wawili wawili
Kumbe ukicheka Salama unapendeza tofaut na nilivyo kua nakuona Bss 😘😘
Haki jamaan me huwa napenda interviews za babalevo aiseeee ..... huwa na enjoy sanaaaaaa
Love this
Hunambii kuhusu kula
Duuh,hela tumboni laki 3
Daah napenda tabasam LA salama tu anavyochekaa
😂😂😂🔥🔥🔥you never disappoint salama much love from kenya 🇰🇪
Salama punguza kiherehere 😂😂😂😂
Jamaa anatakiwa afanye stand up comedy
Kabisa anachekesha aswaa
Ol in ol, baba Levo kapiga story hapo, hadi nimesahau swali ni nn......
🤣🤣🤣🤣
Jaman ww
P
Baba Levo, u're the best interviewee I've ever seen
Baba levo unazingua elimu huna sema mdomo ni ndefu
Du sipendi uonevu hapa ulionewa sana pole.
😂😂😂😂jamaa ana mbwembwe huyuu
All in all unawashusha shusha...
Yan Baba levo utulivu Umeisha tuuu chakula kilipokuja😀😀
😂😂😂😂Da salama Bana eti mpe vyote, ashindwe yeye tu hahahahaha
Nani amegunduaaa baba Levo alikuaa vyomboo
Asante salama
tumeisubiri sana hii
Jamani ivi salama kaolewa nipeni jibu ilo sio ombi nilazima