Salama Na Baba Levo Ep 26 | ALL IN ALL Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июл 2020
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
    Kusema ukweli kabisa mimi na mgeni wetu wa wiki hii hatuna urafiki wala mazoea kabisa, ila tunafamiana kwa mbali na pengine (naamini) kila mmoja anamheshimu mwenzake kutokana na kazi ambazo kila mmoja wetu ameshafanya, na hiyo ndo ambayo imeleta heshima kati yetu. Pia tukumbuke heshima hainunuliwi wala haihongwi, huja yenyewe na kutuwama pale inapoona inafaa.
    Kwa kipaji na jina lake kuwa kule na huku nami ndo nilimfahamu Baba Levo. Utani wake kwa wasanii wengine (hasa siku za hivi karibuni) watanzania wamekua wakiuona sana. Ila kwa mujibu wa historia chache juu yake ambayo nilikua naifahamu Baba Levo siku zote amekua mtu wa utani mwingi, na kwa uelewa wangu pia amekua akitumia utani huo pia kufikisha ujumbe wake kwa alomdhamiria, na kwa aliyetumiwa ujumbe pia ataupata pengine huku akiwa anacheka. Nani atasahau matani yake kwa Peter Msechu juu ya uzito wake uliopitiliza ambao pengine unahatarisha maisha yake. Baba Levo amekua mstari wa mbele kumbukusha Peter hilo.
    Pia kuna ishu za yeye kuwa ‘Chawa’ wa baadhi ya wasanii na viongozi. Lakini pia yeye ni KIONGOZI ambaye wananchi wamemchagua, na chama cha ACT kiliridhia yeye kuwakilisha Chama, hilo si jambo ya mzaha na bila ya shaka anahitaji heshima kuliko ile ambayo tunamuonyesha ingawa pengine jinsi yeye binafsi navyojijeba ndo kunatufanya tumchukulie hivyo, lakini haiondoi heshima na uaminifu ambao Chama chake kilimpa pamoja na uaminifu kwa kuwatumikia wananchi wa Kigoma kule, kama diwani wao walompa dhamana. Baba Levo pia ashawahi kuingia matatani kwa ugomvi wake na dola baada ya kuvunja sheria za barabarani, kisa ambacho kilimfanya akae jela kwa takriban miezi mitano.
    Mengi sana yalikua yanahitaji uchambuzi na ufafanuzi, na kujuana pia kati yangu na yeye. Maongezi yetu yalikua kati ya muuliza maswali na mtoa majibu ambae alikua ana maelezo yake mengi sana na kwa hilo namkubali sana. Tumeongea kuhusu Siasa, muziki, familia, uongozi na marafiki. Yangu matumaini una enjoy kama ambavyo nami nili enjoy na kujifunza kutokana na maongezi haya. Nakutakia kheri na tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 693

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 года назад +809

    Wanaopenda kuangalia interviews za baba levo tujuane apa kwa likes....

  • @mariammwiso
    @mariammwiso 3 года назад +230

    This guy needs his own show, he is funny and hard worker. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @mariammwiso
      @mariammwiso 3 года назад +2

      @FyN we appreciate good things, unlike Tz who moves with waves. He is real and I only acknowledge it. If he gets an opportunity in Kenya, why not, amekaribishwa. Tunakaribisha wote wachapa kazi

    • @yunaisamir2099
      @yunaisamir2099 3 года назад

      @FyN hiv ume elewa alicho kisema jaman au una ropoka tu wala hta haja sema wanamtaka aje Kenya jaman somen kitu muelewe

    • @veeJesus
      @veeJesus 3 года назад +1

      @FyN acha kuropok pumbavu watz hatupo ivyo sisi ni kenya ni ndugu futa licomment lako

    • @yunaisamir2099
      @yunaisamir2099 3 года назад

      @@veeJesus 🤣🤣🤣 alafu ana comments kila sehem ujinga yaan zaid hta angeelewa

    • @veeJesus
      @veeJesus 3 года назад +1

      @@yunaisamir2099 mwanaume mzm mjinga naziona comment zake

  • @edwinelias8554
    @edwinelias8554 3 года назад +9

    Naitwa,jaribu uyaone km umesikia hii kwa baba levo like hapa

  • @abesa_worldwide
    @abesa_worldwide 3 года назад +29

    Wanaopenda interview za Baba levo like hapa 👍👍👍 jamaa ni muwazi sana ALL IN ALL 💥💥💥✔️✔️🔥🔥

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 года назад +171

    Bb Levo nakupenda sana yaani hata kama ninastress inapotea 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na unaponifurahisha zaidi pale unapowaza kula na wala huna haya hujali uko wapi 🤣🤣🤣🤣 safi sana ❤

  • @rosemaryngowo2327
    @rosemaryngowo2327 3 года назад +103

    Usipomsikiliza baba levo unamsikiliza nani sasa

  • @drizzlesly6009
    @drizzlesly6009 3 года назад +22

    Baba levo unaitaji uanzishe reality show yako...itaweza sana au kufana😁😁😁

  • @nassorsada213
    @nassorsada213 3 года назад +41

    Asie mpenda baba levo ni mchawi
    Hata uwe umenun vip utachek tu

  • @zakstv7368
    @zakstv7368 3 года назад +132

    Niliisubiri kwa hamu sana nampenda sana baba levo

  • @shabankawambwa4397
    @shabankawambwa4397 3 года назад +109

    Napenda sana interview zake huyu jamaa

  • @hassanbukukwe8345
    @hassanbukukwe8345 3 года назад +20

    Baba Levo kabadilsha Suti. Ile Ya Pink Karudisha kwa mweyewe😀😀😀😀 Wakigoma mwenzangu

  • @irenejackson3227
    @irenejackson3227 3 года назад +23

    eti mke wako pekee ndo unaweza kumshindilia ngumi akavumilia😂😂😂ila baba levo jaman👏👏

  • @erick.j
    @erick.j 3 года назад +18

    Nilikua nasikiliza podcast hio sehemu ya Jesca ikanifanya nije huku Daaaaaah.

  • @mtajishow6830
    @mtajishow6830 3 года назад +19

    Baba levo anachekesha kuliko MC Pilipili, na Yeye sio mchekeshaji

  • @zainabzuber4263
    @zainabzuber4263 3 года назад +20

    🤣🤣Jesca nmenyee hili chenzaaaaa da! B.levo utanivunja mbavuuuu

  • @sulemandaud2967
    @sulemandaud2967 3 года назад +8

    Ila baba levo kiukwel bro hujui kujivunga wallah Mungu akuweke miaka mingi

  • @jaqlinetumaini4893
    @jaqlinetumaini4893 3 года назад +34

    Nikiangalia interview zake naenjoy sanaa big up bro 🦾

  • @josephjmuna4773
    @josephjmuna4773 3 года назад +29

    Baba Levo has a sense of humor! Very charming

  • @mrholela7906
    @mrholela7906 3 года назад +46

    Baba levo unanichekesha unaongea Kiswahili cha kiha Eti UKAFOMOLOLA!!

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 3 года назад +30

    Nani ka Like na kuweka comments ata kama hajackiliza kuona Baba levo tuu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @gogoboy3300
    @gogoboy3300 3 года назад +14

    Yan baba levo kwann usiwe mchekeshaj

  • @rachelernest6874
    @rachelernest6874 3 года назад +100

    Baba levo mwanzo tu wa kipind glass iko nusu khaa 😂😂😂

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 3 года назад +27

    Apa najua kitakua n vichekesho jinsi ninavyo mjua babalevooo😂😂😂🇰🇪❤️

    • @subiradalabu6616
      @subiradalabu6616 3 года назад

      Apo anakwambia poli police wanapenda mambo yaishe juu kwa juu

  • @Hottatto816
    @Hottatto816 3 года назад +8

    Duniani hakuna haki Mwenyezi Mungu pekee ndiye mtoa haki naipo cku Aliyemkuu zaidi atakuja kutoa hukumu ya kesi zote.

  • @pilatowaya4959
    @pilatowaya4959 3 года назад +7

    Na wish one day iwe Salama na Masanja Mkandamizaji ,please nataman iwe hvoo Salama nafkir tutajifunza mengi kuhusu historia yake

  • @elishamwabalogile8775
    @elishamwabalogile8775 3 года назад +53

    Kingereza cha baba levo #All in all maisha yanaendelea 😂😂😂😂😂

  • @ndundetommasz9158
    @ndundetommasz9158 3 года назад +9

    Baba levo you are a comedian tamaa ya baba levo huishia kujipuli akiona wenye maini 🤣🤣🤣🤣🤣,but nakupenda sana bro,but do me a favour I love salama, nipigieni kura nimwoe salama 😘😘😘😘😘😘

  • @neemamayco3238
    @neemamayco3238 3 года назад +6

    Yaan hii intevew inajieleza kbs baba levo alifungwa kichuki

  • @rosekingalu4403
    @rosekingalu4403 3 года назад +69

    We jesca njoo nimenyeee chenza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @saggyramadhan7832
    @saggyramadhan7832 3 года назад +4

    Et machenza ya mapambo tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu baba levo ni mwisho wa maneno jmn anafurahisha sana

  • @sherrysalim50
    @sherrysalim50 3 года назад +47

    😂😂🤣🤣🤣 Baba Levo hana utani kwenye Kula

  • @joycemerinyo7133
    @joycemerinyo7133 3 года назад +17

    nimenyee chenza au ni kwaajil ya maua

  • @mcdee007justitbro6
    @mcdee007justitbro6 3 года назад +14

    BABA LEVO UKUU JUU YANI HIGH WAALA SIO LOW

  • @jijieldaron1400
    @jijieldaron1400 3 года назад +20

    😂😂😂 Nani mwengine ka shitukiya uyu mchezo wa Baba levo 🤣 movie ina anza jus 🥤 robo nusu 😂😂🙌🏾🙌🏾 Baba levo mkigoma halisi 🙌🏾 One love from Burundi 🇧🇮 Bujumbura

    • @tinaelias3432
      @tinaelias3432 3 года назад

      Ndivyo inavyotengenzwa hiyo cocktail hiyo nyingine ni barafu

  • @alexmasawe9674
    @alexmasawe9674 3 года назад +8

    Ngoja Nile aka kachenzaa😁😁😁

  • @preneruth5110
    @preneruth5110 3 года назад +8

    Subiri salama punguza kihererehe😆😆😆 baba Levo bhana 🔥🔥🔥🔥

  • @noahyavinmlela859
    @noahyavinmlela859 3 года назад +3

    BABA LEVO NAKUKUBALI SANA MH. DIWANI KWANZA UKO TOFAUTI NA WASANII WENGINE KUWA CCM LAKINI UNAPENDWA NA KILA MTU CHAMA CHOCHOTE NA UNAENDA SEHEMU YOYOTE KAMA MIMI MWANA CCM LAKINI NAKUPENDA SANA

  • @judithmakundi3513
    @judithmakundi3513 3 года назад +33

    I like this guy jaman uwiii

    • @mbembelatv
      @mbembelatv 3 года назад +1

      😜😜 nikupe konekisheni nae

    • @ismailkatala4792
      @ismailkatala4792 3 года назад +1

      @FyN Neno nakupenda Lina maana pana....but we unajaribu kulipunguza kwenye hicho unachofikiri ww 😀😀

  • @janethmwacha5208
    @janethmwacha5208 3 года назад +47

    yani mimi nkimuona baba levo nachekaaaaaaaaa

  • @ifrahali8707
    @ifrahali8707 3 года назад +29

    Baba levo nakupenda bureeee...make me laugh lol.

  • @barakavlogs913
    @barakavlogs913 3 года назад +9

    Mzee wa ALL in ALL naomba ufanye Comedy😂😂😂😂

  • @oyay2821
    @oyay2821 3 года назад +4

    Baba levo ni Simba wa Mwanga kigoma mjini

  • @stanfordjeremiah8943
    @stanfordjeremiah8943 3 года назад +6

    Hongera sana Salama kutuletea huyu mjuba, so funny

  • @nurudovino288
    @nurudovino288 3 года назад +6

    🤣🤣🤣🤣🤣Huyu jamaa nomaaa kwakila kitu haswa kwenye misosi

  • @wemajohn9283
    @wemajohn9283 3 года назад +10

    Nakupenda bure mfipa mwenzagu, Dada salama tuletee Singo mtambalike

  • @happymarksimwita5244
    @happymarksimwita5244 3 года назад +10

    Nani kaona baba levo kangonga maiki kaduwaaa arafu kairudisha kimya kimya.

  • @freddieelice6377
    @freddieelice6377 3 года назад +11

    Wow, kwa mala ya kwanza, baba levo amenivuta huku nitazame interview

  • @ericjonas539
    @ericjonas539 3 года назад +16

    Kama umeiskia "ALL IN ALL" mara nyingi kama mimi Gonga like😄😂😂😂😂😂😂

    • @misslinda6258
      @misslinda6258 3 года назад

      Anaipenda hiyo ALL IN ALL😂😂😂😂

  • @sculleyjones3913
    @sculleyjones3913 3 года назад +5

    Sio poa jamaa ana trend had imebd wampe part 2

  • @khamoshmikidadi9262
    @khamoshmikidadi9262 3 года назад +10

    Baba levo mbwa sn ww eti nilicheka kigoma yote🤣🤣🤣🤣🤣😏😏😏😏😏

  • @richardmassawe7147
    @richardmassawe7147 Год назад +1

    Jesca nmenyee chenza hil😁😁😁😁

  • @frenchygigi
    @frenchygigi 3 года назад +10

    Huyo polisi ninge penda kujua ako wapi. Malipo ni hapa hapa. Usijali.

  • @mumspencernleah8037
    @mumspencernleah8037 3 года назад +13

    Mwenye ana hate baba levo maybe ako na shida 974 tuned sana 💪big up

  • @mdauzedonabouttruckadventu1850
    @mdauzedonabouttruckadventu1850 3 года назад +6

    Baba levo kwa kweli interview ilikuwa poa sana salama nimependa sana

  • @jennifermlyakalam5000
    @jennifermlyakalam5000 3 года назад +25

    Bangi siyo alicheka kigoma nzima that part nimecheka mpk bac..... Uwiiii

    • @neemamayco3238
      @neemamayco3238 3 года назад +1

      Yaan nimechek hapo eti hat bibi angu akipete mchele naona ananichekesha

    • @upendohery8252
      @upendohery8252 3 года назад

      Sio uongo nilijarbu siku moja haki sababu c sababu kicheko

    • @afsaswaleh3395
      @afsaswaleh3395 3 года назад

      neema mayco 🤣🤣🤣🤣🤣

    • @richardkalumiye6445
      @richardkalumiye6445 3 года назад

      😁😁😁😁😁😁😁

  • @dokasalim943
    @dokasalim943 3 года назад +3

    Mpatie mtu nafasi ya kula....au usinifokeee 😂😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪BabaLevo.

  • @mariemkanya1478
    @mariemkanya1478 3 года назад +3

    daah baba levo yuko ni msema kweli always sio mtu wakujisikia au kujib maswali kwa misifa sifa....

  • @barakalayzer6846
    @barakalayzer6846 3 года назад +3

    Salama nilikuombaga umlete Dijaro arungu hapa au comment yangu hujaiona

  • @zawadhaidary6332
    @zawadhaidary6332 3 года назад +3

    Haaaaaaa baba levoo unapajuaa nyumban mbagala kingugiii shikamoo diwani

  • @kalimemselema882
    @kalimemselema882 3 года назад +11

    We jesca eb nmenyee chenza

  • @austindaud8926
    @austindaud8926 3 года назад +12

    Baba Levo inaonesha usiku wa jana yake alikuwa wimbi sana!!😆😆😆😀

  • @sharonke7442
    @sharonke7442 3 года назад +2

    Kipenzi changu baba levoo

  • @beberulambegu660
    @beberulambegu660 3 года назад +9

    Safi sana moja kati ya watu ambao nina imani nao sana katika focus zake japo watu wengi wanamchukulia poa kwa mambo yake. Huyu ni Kanye West wa Tanzania

  • @nickmoshi8243
    @nickmoshi8243 3 года назад +14

    Baba Levo mwehu, eti Bibi akipeta Mchele naona kama ananichekesha

  • @ydisomusickilistofa9011
    @ydisomusickilistofa9011 3 года назад +7

    Baba Levo Ataaleee Eti Nimkaa Napiga Story Sisikii Unaniambia Kunyaa Hahahaii

  • @hasnasaif1075
    @hasnasaif1075 3 года назад +2

    Ahaa kumbe kinaendelea waooo ngoja niendelee kuona huku naenjoy

  • @oyay2821
    @oyay2821 3 года назад +17

    All in All he has to come back again

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 3 года назад +5

    Mimi namwangalia tu Salama nampenda mno Hongera Salama kwa kazi nzuri.

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 3 года назад +27

    I've noticed the pictures on the wall.. kuna ile ya interview na lordeyes

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI 3 года назад +10

    pima uyambe .. from 18:00 - 20:25 this interview is pure Grammy award comedy material. love it!

  • @hamzamohamed9832
    @hamzamohamed9832 3 года назад +2

    Salama umependeza n'a baba levo

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 3 года назад +4

    OBD aka Baba level, nacheka sn ndugu yngu WA kigoma

  • @beautymasatu1200
    @beautymasatu1200 3 года назад +20

    Much respect baba levoo❤️

  • @shomytwinsinc9381
    @shomytwinsinc9381 3 года назад +5

    kwa kautafiti kadogo tu,hii ni interview yenye Views zaidi na comments nyingi zenye furaha...BABA LEVEL unakubalika..hahaha.

  • @MilitaryCompass
    @MilitaryCompass 3 года назад +8

    I love Baba Levo, ni mhalisi kabisa

  • @aprilrosaliapanda4895
    @aprilrosaliapanda4895 3 года назад +2

    Dah nimechekaaa sanaa yaan anavo adithia iyo ishu ya jelaa kama sio habari yakusikitisha vile

  • @oscarx5916
    @oscarx5916 3 года назад +3

    Baba levo kaona msosi haelewiii

  • @naomimmary3885
    @naomimmary3885 3 года назад +15

    Nilianza kukufuatilia baada ya kuona utaniwako na piter msechu mpk saiv nakupenda bure

    • @hasnasaif1075
      @hasnasaif1075 3 года назад

      Hata mm napenda sana utani wao

    • @naomimmary3885
      @naomimmary3885 3 года назад

      @@hasnasaif1075 pale bab levo anaposema piter msechu alienda kwa huyo mzamin kuangua maembe wakaomba unga hahahah

  • @nunuumohd1130
    @nunuumohd1130 3 года назад +13

    Nmeipenda interview 😀😀

  • @mcdee007justitbro6
    @mcdee007justitbro6 3 года назад +18

    Salama mstarabu sana I LOVE YOU UNTIL DIE

  • @hamisimsalapai962
    @hamisimsalapai962 3 года назад +9

    Huyu jamaa ananikumbusha rafiki yangu kassim kebero wanafanana kuongea hadi vichekesho....shoutout kassim

  • @athumaniboyrajabu4112
    @athumaniboyrajabu4112 3 года назад +3

    Kumbe ukicheka Salama unapendeza tofaut na nilivyo kua nakuona Bss 😘😘

  • @hezbonmahaulane7798
    @hezbonmahaulane7798 3 года назад +5

    Haki jamaan me huwa napenda interviews za babalevo aiseeee ..... huwa na enjoy sanaaaaaa

  • @mustafahaji8063
    @mustafahaji8063 2 года назад +1

    Hunambii kuhusu kula

  • @naasamson4905
    @naasamson4905 3 года назад +6

    Duuh,hela tumboni laki 3

  • @yakiniramadhan8921
    @yakiniramadhan8921 3 года назад +5

    Daah napenda tabasam LA salama tu anavyochekaa

  • @shaniahrachma3114
    @shaniahrachma3114 3 года назад +16

    😂😂😂🔥🔥🔥you never disappoint salama much love from kenya 🇰🇪

  • @asteriakapolo2583
    @asteriakapolo2583 3 года назад +7

    Salama punguza kiherehere 😂😂😂😂

  • @badbeats5637
    @badbeats5637 3 года назад +8

    Jamaa anatakiwa afanye stand up comedy

  • @whatif..6961
    @whatif..6961 3 года назад +51

    Ol in ol, baba Levo kapiga story hapo, hadi nimesahau swali ni nn......

  • @strong8534
    @strong8534 Год назад +4

    Baba Levo, u're the best interviewee I've ever seen

  • @tysdiyouthtv2509
    @tysdiyouthtv2509 3 года назад +2

    Baba levo unazingua elimu huna sema mdomo ni ndefu

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 3 года назад +1

    Du sipendi uonevu hapa ulionewa sana pole.

  • @barakatenes
    @barakatenes 3 года назад +6

    😂😂😂😂jamaa ana mbwembwe huyuu

  • @abesa_worldwide
    @abesa_worldwide 3 года назад +1

    All in all unawashusha shusha...

  • @secymasako8269
    @secymasako8269 3 года назад +5

    Yan Baba levo utulivu Umeisha tuuu chakula kilipokuja😀😀

  • @hafsamaulid1256
    @hafsamaulid1256 3 года назад +10

    😂😂😂😂Da salama Bana eti mpe vyote, ashindwe yeye tu hahahahaha

  • @alexmasawe9674
    @alexmasawe9674 3 года назад +4

    Nani amegunduaaa baba Levo alikuaa vyomboo

  • @mwabayachacha3557
    @mwabayachacha3557 3 года назад +7

    Asante salama
    tumeisubiri sana hii

  • @jonasjohn1384
    @jonasjohn1384 3 года назад +1

    Jamani ivi salama kaolewa nipeni jibu ilo sio ombi nilazima