Mwanamke hawajibiki kulisha familia, kulipa ada na zingine vingi, Ni jukumu la kila Mwanaume, na ndoa ili iwe TAMU , Mke awe mjakazi Kwa Mumewe na Mume awe mtumwa Kwa Mkewe
kuna tofauti ya matunzo na malezi....mfano kumpa mtoto shule bora, chalula na hata mavazi hamaanishi ndio malezi bora hapo ndio utapata mume bora ambaye sio baba bora
Mke bora. Anapenda Mume na watoto pia. Lakini Hapiki kwa wakati. Watoto nguo za shule hazina usafi wa kutosha. Nyumba hata pazia hazina mpangilio. Vyombo usiku vinalala vichafu. Huyo sio Mama bora. Anampenda Mumewe Ana msikiliz Mumewe Hana hekaheka za Mtaani. Ham cheat Mumewe
Mm nilienda zanzbar hata nyumban sikusema nilisema baada ya miez miwili tena nikasema mm sahv sipo tena tanga nimepata connection kwamwalim wangu wa chuo tna nilituma mesej fullstop😅😅😅😅
Mimi naomba niongee kitu hapo kwenye swala ya kutafuta, mimi naishi marekani ambako wanaaminisha wanawake kua mwanamk na mwanaum ni sawa yaani 50/50 lakini likija swala la majukumu kisheria bado wanakuambia mali za baba niza wote lakini za mama ni zake hapo ndo utajua ni jukumu letu kutafuta so ukweli usiopingika ni kwamba ni jukumu la mwanaum kutafuta na sio la mwanamk, so kwa mwanaum yoyte anayejitambua ni lazima atimize jukumu lake la kutafuta na mama ni sehemu tu ya kuchangia kwa kile anacholeta baba.
Yani vido mumebora ni mtu Ambae anakupenda ww saana kila ukitakacho unapata ila tuu ukisha Kua na ujauzito uliofikisha miezi Saba anakua mvivu kwakoTena ukijifungua tuu ndio anakuja nyumban kwa mwez maramoja ukweli apo anasua sua kwa majukum uzazi ndipo seem ya matumizi mengi ya pesa,
Shida ya huyu dada ni jeuri fulani ila wanaume hatupendi mtu wa aina yke na hata kaa aolewe ndo shida ya mwanamke mwenye kipato angekuwa nandy cjui ingekuwaje lakini bado naonaga nandy anamheshimu mume wake! Ipo hivi ww dada kuvuta bangi kusikufanye ujione upo sawa na mwanaume
Millard unaonaje kuanzisha Moja segment inayohusiana na kuonyesha fursa mbalimbali za Ajira kwa vijana kupitia taasisi au makampuni au sehemu mbalimbali kuzitembelea kwa kuzionyesha kupitia kamera zenu
Mi nilikuwa nimekaa muda mrefu single kwa miaka 4 nilipamua kuwa kwenye mahusiao jamaa akawa anataka nimuage hata km natoka nje ya nyumban yani hata km naenda beach 😂😂😂😂sasa bac mi hizo sijazoea kbs nimezoe nakurupuka km chafya huyoooo sasa akawaakinipigia namwambia sipo nyumban nipo kwa bro wangu nimelala huku😂😂😂😂anasema sinilikuwa uwe unaniambia km unatoka nilichomwambia we zoea tu na mie nitajitahidi nizoee kuupa taarifa km natoka
Napenda venye ana pronounce frida
Nimewapenda hamna presha na maongezi
ila frida jamanii mhhhhh
Mwanamke hawajibiki kulisha familia, kulipa ada na zingine vingi, Ni jukumu la kila Mwanaume, na ndoa ili iwe TAMU , Mke awe mjakazi Kwa Mumewe na Mume awe mtumwa Kwa Mkewe
kuna tofauti ya matunzo na malezi....mfano kumpa mtoto shule bora, chalula na hata mavazi hamaanishi ndio malezi bora hapo ndio utapata mume bora ambaye sio baba bora
Mke bora.
Anapenda Mume na watoto pia.
Lakini
Hapiki kwa wakati.
Watoto nguo za shule hazina usafi wa kutosha.
Nyumba hata pazia hazina mpangilio.
Vyombo usiku vinalala vichafu.
Huyo sio Mama bora.
Anampenda Mumewe
Ana msikiliz Mumewe
Hana hekaheka za Mtaani.
Ham cheat Mumewe
Frida 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Mm nilienda zanzbar hata nyumban sikusema nilisema baada ya miez miwili tena nikasema mm sahv sipo tena tanga nimepata connection kwamwalim wangu wa chuo tna nilituma mesej fullstop😅😅😅😅
Converstion yenu ni nzuri na ya kibabe, i love it
🔥🔥🎉
True
Frida ww unaendaga kutafuta kwajil ya familia unaweza
Mpenzi ,wazazi. Kote huombi ruhusa. Adabu 0
Mna madini sana nyie watu🙏
Video huvi hiyo tusheti hua una nyingi nyeupe au mana unaipenda sana 😂😂😂😂😂😂
Ujumbe unao ongelewa umeuelewa lakini??maana huo ndyo muhimu kuliko nguo ya vido
Frida mjinga Sana 😂😂😂
Ati mume anazaalisha njee ale mtt apate kuambia c mke Bura nimeipenda Sana
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakukubali sana Frida
Ujue ruhusa Unaeza kataliwa🤣😁inshort natoa taarifaa
Huyu dada Jeuri hafai kuwa mke Ana kiburi
Ila nyieeh😀😀😀😀😀
Mimi naomba niongee kitu hapo kwenye swala ya kutafuta, mimi naishi marekani ambako wanaaminisha wanawake kua mwanamk na mwanaum ni sawa yaani 50/50 lakini likija swala la majukumu kisheria bado wanakuambia mali za baba niza wote lakini za mama ni zake hapo ndo utajua ni jukumu letu kutafuta so ukweli usiopingika ni kwamba ni jukumu la mwanaum kutafuta na sio la mwanamk, so kwa mwanaum yoyte anayejitambua ni lazima atimize jukumu lake la kutafuta na mama ni sehemu tu ya kuchangia kwa kile anacholeta baba.
Mimi natoa taarifa pia😂😂😂
Eti mke bora awapende mawifi😂😂😂
Na mm ni fridah kabisaa niko zangu kitaa napambana
7:27 "mhhh na ni very ok" 😅
Yani vido mumebora ni mtu Ambae anakupenda ww saana kila ukitakacho unapata ila tuu ukisha Kua na ujauzito uliofikisha miezi Saba anakua mvivu kwakoTena ukijifungua tuu ndio anakuja nyumban kwa mwez maramoja ukweli apo anasua sua kwa majukum uzazi ndipo seem ya matumizi mengi ya pesa,
Shida ya huyu dada ni jeuri fulani ila wanaume hatupendi mtu wa aina yke na hata kaa aolewe ndo shida ya mwanamke mwenye kipato angekuwa nandy cjui ingekuwaje lakini bado naonaga nandy anamheshimu mume wake! Ipo hivi ww dada kuvuta bangi kusikufanye ujione upo sawa na mwanaume
Yaani Frida unanichekesha😂😂 yu r such a genius kudadavua staffs
Millard unaonaje kuanzisha Moja segment inayohusiana na kuonyesha fursa mbalimbali za Ajira kwa vijana kupitia taasisi au makampuni au sehemu mbalimbali kuzitembelea kwa kuzionyesha kupitia kamera zenu
Asante!
Mnatafuta ajira hapahapa TZ ama wapi😂😂
Hata ingewezekana nje ya hapa MR MIllard
@@Thekidsknowledger saivi uhaba wa ajira ni mkubwa sana kazi ndio zipo ila ajira amna
Wazo zuri @millardayo njoo uone
Rrida kanicheksh mwisha wa hii video yani kajitetea hawez leo watot wa shigaak❤😂😂😂😂😂😂hawez iy
Frida anafanan na vido ety
😂😂
Unavyo cheka kama ngumu😂😂😂😂
Mi nilikuwa nimekaa muda mrefu single kwa miaka 4 nilipamua kuwa kwenye mahusiao jamaa akawa anataka nimuage hata km natoka nje ya nyumban yani hata km naenda beach 😂😂😂😂sasa bac mi hizo sijazoea kbs nimezoe nakurupuka km chafya huyoooo sasa akawaakinipigia namwambia sipo nyumban nipo kwa bro wangu nimelala huku😂😂😂😂anasema sinilikuwa uwe unaniambia km unatoka nilichomwambia we zoea tu na mie nitajitahidi nizoee kuupa taarifa km natoka
Ka frida kana macho ya wizi aka
Wewe🤣
Ruhusu kwamzaz sio mpenz mpenz mpenz apew taarifa2 ili ikiktokea lolot ajue nilisem
Kiburi hicho
@@pascalmgassa8441 chanin wakat nimahusian sio wanandoa
Kuishi ni kunyenyekeana
Vido hivi hiyo tusheti nikwamba unanyingi nyeupe au mana😂😂😂😂😂