Nafkiri ifike mahali wanawake tuelewe wanaume hawatupendi,they don't dont care about us,they don't have any regard for us. Kwaiyo ukipata mwanaume anakujali shukuru Mungu,pia ukiona mwanaume hana maana,move on peacefully,usijimalize kiakili ju ya mwanaume,mwisho wa siku you're ur own person,tena especially kama una mtoto,infact unapoamua kuzaa tu kumbuka anything can happen,kwaiyo jiandae kisaikolojia,ni ngumu lakini tutambue uhalisia wa wanaume na tujiandae kisaikolojia kwa yote yanayoweza kutokea
Mwanaume hajawahi kuwa na upendo kwa mwanamke anahitaji kitu kutoka kwa mwanamke kile ambacho hawezi kukipata kwingine so akishakipata anasepa tu sasa ukishaona mwanaume anakutaka weka mbele mahitaji yako kwanza akiyakamilisha ndo uwe nae ila kwa akili sana
Kuhusu hii story ya wazazi ni issue sana wazazi tunavumilia kisa watoto lakini tunawapa watoto matatizo ya kimwili na kiroho sana sijui nieleze vipi yaani tunapoteza kabisa akili za watoto wooooyi wazazi tuweni makini sana
Sikuhizii hamna cha ndoa watu wapate mimba uzae n kilamtu ashugulike n maishayake kama utampenda sana mwao aya utachukua majukumu ykumlea period hio ndio dunia ya sasa 😂😂😂😂
Who cares about what the man feels anyway? Born to suffer. God help us. No child, no airtime, no sympathy, only blames from possibly unjust cries. May it be easy for the kid to experience love from both parents in near future.
One thing I love about Frida Amani is her natural look. Look at that sura usuyo na makorombwezo wala kucha bandia. Keep it gal.
Pole sana Roselee mapenzi hayana formula ila umetumia akili sana kumove on❤
Saggy boobs tell a story💯
Wooow this hits hard.
People should really stop body shaming women.
God bless all mothers🙏
Nampenda sana rozaree ila nimsaidia kuumia situation alopitia 😢
She's right,❤❤❤
Nafkiri ifike mahali wanawake tuelewe wanaume hawatupendi,they don't dont care about us,they don't have any regard for us.
Kwaiyo ukipata mwanaume anakujali shukuru Mungu,pia ukiona mwanaume hana maana,move on peacefully,usijimalize kiakili ju ya mwanaume,mwisho wa siku you're ur own person,tena especially kama una mtoto,infact unapoamua kuzaa tu kumbuka anything can happen,kwaiyo jiandae kisaikolojia,ni ngumu lakini tutambue uhalisia wa wanaume na tujiandae kisaikolojia kwa yote yanayoweza kutokea
Mwanaume hajawahi kuwa na upendo kwa mwanamke anahitaji kitu kutoka kwa mwanamke kile ambacho hawezi kukipata kwingine so akishakipata anasepa tu sasa ukishaona mwanaume anakutaka weka mbele mahitaji yako kwanza akiyakamilisha ndo uwe nae ila kwa akili sana
Kunywa soda Kwa mangi utalipa Kwa hela yako❤
Eeeeh Mwenyezi Mungu niepushe nahawa viumbe wasinipe msongo wa mawazo 😔
Kuhusu hii story ya wazazi ni issue sana wazazi tunavumilia kisa watoto lakini tunawapa watoto matatizo ya kimwili na kiroho sana sijui nieleze vipi yaani tunapoteza kabisa akili za watoto wooooyi wazazi tuweni makini sana
Fridaa nakupendaa sana
Frida❤❤ amani nakupenda popote ulpo una nafasi kwenye moyo wngu ❤🎉❤
Mmmh 😂😂🤣🤣🤣
eeeh
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂
Nawapenda mnooooo
🔥🔥🔥🔥
Jamaa anaongea point tupu, sema utekelezaji sasa
#roseree Female king
Pole sana lamama 😢
Singo maza huwa ni wanawake walio TOXIC usiombe uka date na hao viumbe 😂😂 wanakua na roho mbaya mnoo sabab wame tendwa
Sio wote wametendwa,wengine ndio wanatenda watu
Na wapo ambao wanaupendo wa kweli.
Yupo sahihi sana
Pole sana nakuelewa snaa nimepitia snaa hiyo nyakat wakujifungua 😢
Mimi mpaka leo sijaieelewa hii single mother hii maana ake kwamba ni mama kujipa mimba mwenyew au imekaaj
Si ndo apo sasa.. mtoto ana baba lkn unasema uko peke yko. how
Mtoto kulelewa mbali na baba
@@happybryce1269kua peke yake inatokana na mapito aliyopitia na mzazi mwenzie
Baba kutohusika na malezi ya mtoto alieshiriki kumleta duniani
kiukweli hawa
Rosa needs someone to talk too
😂😂😂😂Rose mapicha picha
Frida i love u❤
Nani kaona "KUSIMUALIA" kweny description 😂😂
Sikuhizii hamna cha ndoa watu wapate mimba uzae n kilamtu ashugulike n maishayake kama utampenda sana mwao aya utachukua majukumu ykumlea period hio ndio dunia ya sasa 😂😂😂😂
She is concious
Nyie acheni mtoto akifanana na baba na baba asiwe na mchango wowote acheniii tuuu ila katik yotee mungu utusaidia
Yaaani huyo dada Frida nimempenda.
Who cares about what the man feels anyway? Born to suffer.
God help us.
No child, no airtime, no sympathy, only blames from possibly unjust cries.
May it be easy for the kid to experience love from both parents in near future.
ahahha rosa kanichekeshaaa jmn eti nyinyi kama mimi
Roza una akili sana dada💪🏽
Millard ayo my young sister anakupenda tuliiba diary yake tukakuta kakuandika na kamessage kazito😂
Njaa itawaua😀
Hivi Millard kinyozi wako nani lakin?
hata mimi sipendi anavyonyoa
Yani sijui ananyoa wapi wallah anamnyonyoa mwenzie anakua kama kuku kishingo 😂😂😂🙌🏻
Frida amani 👊
😂
Yule kaka na kile kitambi nilijua tu hawata toboa 😂
Ebanee, sema olo in olo, frida ni pisi moja hatari sana
Nani amemuona roseee anaongea kasauti kama ya wema sepetu
Kwani masingo mama huwa wanajitomba? Na kujipa mimba? Nimechoshwa na neno singo matha.
Jitahidi kuwa mstaarabu tumia lugha nzuri
Ungetumia lugha nzuri bas
Punguza ukali wa maneno ndugu🙆
Mchukue mtoto mlee mwenyewe ili tukuite single dad
We nae unaitaj elim
Kila mtu ana sababu yake so kila kitu usem kwa watu???