FRIDA AMANI afunguka MAAJABU ya Millard AYO, kukwepa bifu na Rosa Ree, kutumbuiza mbele ya Marais 11
HTML-код
- Опубликовано: 3 май 2024
- Frida Amani f/ G.Nako - platoon.lnk.to/can-i
Frida Amani "This Is Me Live" Performance - • Frida Amani "This Is M...
Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi - Развлечения
Safi Sana mm namkubali huyu sister Frida Amani toka BSS Brother SKy mfikishia mauwa yangu
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kaka SKY tuletee DJ FETTY anaua Sana Power Breakfast.... Ikiwezekana fanya utofauti kidogo walete PB baadhi yao wafanyie interview I believe itakuwa ya utofauti lkn itakuwa enjoyable sana mlete Fetty, KP na Sza wafanyie interview nahis kitakuwa kitu kipya na italeta maudhui mapya.
Greeeat idea
@@faudhiakhaji4767 thank you...itatupa picha maisha yao nje na ndani ya kazi... Na jinsi utofauti wao unatengeneza chemistry nzuri kwenye PB yaah ni great idea sana
Hii interview imenifanya nimfuatilie frida as an artist... bye the way namkubali sana frida...hata kwenye utangazaji
One of the braviest girl have ever seen frida🙌🏽
?????!!!😢
Hey Frida kip it cool.na pia heshima avoid scandal km ulivyo tulia utachukuwa tuzo nyingi na pia advets zitakutafuta gal ur incredible
I just love how Fifi Talks as if she isn’t from Chuga😂🫡
Ila kale ka lafudhi KETU Kako kwa mbali, mm nakasikia 😂
Frida ni mtangazaji mnoma sana anaongea unaskia neno mojamoja i love frida
Shule mama,frida ana pure bachelor siyo kina dida
Wapili nipo hapa mwanafamilia kabsa wa sns❤
Her eloquence, articulation, her Vision and ambition and the Way She Views and Approaches Life tells you how Smart Frida Amani Is! Way to go Beautiful, Keep It Up 👍🏾
Sure thing yani
❤❤❤Fria dada very smart ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤
I am a professor in a Kenyan university with research interests in conservation biology utilizing environmental DNA (eDNA). When she gets to studying environmental conservation, she is welcome to reach out for guidance.
Unajua kuna watu unaweza kuwasikiliza siku nzima na usichoke.
Hawa hapa sasa ndo watu wenyewe.Kuna mdau kasema kwenye comment humu kuhusu Dj Fetty,na mimi naunga mkono hoja. Skywalker,tuletee Dj Fetty tafadhali.😊😊
Wakwanza kila kitu love u SNS Sky kaka nakupenda
Asante sana Joseph kwa kuwa Mwana SnS wa kweli
Kichwa sana huyu mwanamama 🫡
Shule ndugu yangu,frida kapiga kitabu mnooo,wakati wa Bss alikuwa University, shule inasaidia sana,siyo kina baba revo
Nimependa sana wazo la kumiterview huyu mwamba mdada.. yuko pw sanaa
Mungu awatunze. Nimewapenda Frida Mama love u so much ufke mbali
Napenda sana SKY anavyotumia kiswahili
All the way from 🇰🇪 love you madam president ❤️❤️❤️
Frida upo vzr nakupenda sn una.vibomu vyako napenda sn kukusikiluza ww ni msomi ulirap kwa kingereza kule nairobi big up barikiwa
Kasoma safi sana
Damn this girl.. The baddest❤🎉
Apo kua yeye ndio mtangazaji na ni msanii mkali big up kwake fifi🔥
Sky ,its so humble of you personally interviewing people. Your listening and communication skills is at top...thank you for bringing content that are not only informative but so entertaining. 🙏🙏
Thank you much
On Behalf of #SnS fans,,,We Say Thanks Much 💝
Ukimuangalia Frida kwa mbali alitaka kufanana vido vidox
I love her,,chuga mate
😂😂😂😂 45: ety hawa watu wako serious na mchongo😂😂
MashaAllah 🥳🥳🥳🥳huyu dada ni mpoa sana🎉anajua afu anajua tena
SNS
Jaribu kutafuta background beat ata ya kutengeneza mwenyewe
Uitumie kwenye interview yako
Au nitafute nikuandalie
very nice interview..... loved her mara ya kwanza nimemsikia east africa radio enzi hizo
Namkubali sana Frida Amani
Mlete Millard kk sky
Nakupenda sana frida❤❤❤❤
Dialogy nzuri
Bro fanya jambo umlete adam mchomvu na b dozen , because i want to hear alot from them .
Kaka sky ungekuwa hujaoa ningekutongoza wallah 😂 aky unanikosha sana sauti yako 😂
Tukupe maua Yako 🌺🌹
Maongezi yamenyooka nawapenda
Sns for life🥰💪💪💪🔥
sky tuletee na vido
Kazi nzuri utulivu ,ila mikuchaa duuh
Nakubali sana Frida Aman big 💕
ila nakutabiria kitu SKY, ipo siku utakuwa mtu wa system mwenye nafasi za kiserikali kwa kuteuliwa na Mh Rais
My frida❤
Namkubali sana frida😊
Nice
tunamtaka dakika 10 za maangamizi sasa kama nimwanamziki kweli
Alikuwaga na utomboy mwingi naona kapunguza siku hizi
Mbona huyo Sky sauti yake inafanana na Millard
❤❤❤
❤❤❤❤
Wanahabari ndo watu pekee wanaopendana
Thibitisha.
Natamani fridah awe na collabo na Aaliyah
Natamani siku moja mumhoji Sammisago yule jamaa atakuwa na mengi sana
Fify
Frida Anaongea vzr sana, napenda anavyo ongea
Umezisikia NAZANI
Shule ndugu ipo,hawezi ropoka kama kina dida😂
NIMEKUPENDENI NYOOTE SKY WORKER NA FRIDA NINYI MNAJUA KUZUNGUMZA BANA DAH
Frida nilikua najiuliza ukomedy ambao unao umetoka wap??? Kumbe mina ally ndo aliekuambukiza
Ninacho mpendea sky kwenye interview sio mtu wa kununa mda wote ni mtu wa furaha
🫡🫡🫡
mim hata sijui anaimba nin
@wema Michael-fr4th: sasa kama una ulemavu wa elimu na akili huwezi fahamu anacho imba
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂aki
Mwenye amemupaka make up Mungu anamuona kwa kweli😅😅
What's wrong with the makeup mbn kapendeza sna
We ndo hujui make up😅…kila kitu kiko perfect bob
Globally,, #SnS walks humbly and strongly always interesting and entertaining us 🇹🇿
@Sky_walker_Tanzania