SHOW BIZZ NYUMBANI KWA NYOSHI EL SAADAT/NGUO ZAKE NA VIATU NI BALAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 авг 2023
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 75

  • @fortheloveofsafaritanzania3796
    @fortheloveofsafaritanzania3796 7 месяцев назад +9

    Nampenda sana Nyoshi 😂😂😂 Raha ya wakongo hata kama anaishi mazingira mabovu vipi nenda kaangalie nguo zake,viatu,bakora,Kiko,kofia utanyoosha mikono.Wengine wanajiita Sapee kama sikosei.

  • @user-nm2pr1xz6u
    @user-nm2pr1xz6u 9 дней назад

    Sisi wa Congo ni watu ya sifa mingi sana 😂😂😂👍❤️🇨🇩

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 9 месяцев назад +17

    Wakongo kwakuvaa namba moja duniani

  • @user-zk7sc7fg1s
    @user-zk7sc7fg1s 3 месяца назад +1

    Daaah ivi kweli nyoshi miaka yote ame kaaa tzbado swahili hajuwi!!!

  • @hukusweden08
    @hukusweden08 9 месяцев назад +1

    Njo hivyo.. le Prezidan Nyosho 👍🏾👍🏾👍🏾

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 9 месяцев назад +4

    Yan huyu Kaka kaibusu jezi ya Simba Yan adi nikatama. Nizame kwenye cm nmpe ela 🤣🤣🤣

  • @iamdjgunz1414
    @iamdjgunz1414 4 месяца назад +1

    Huyu msenge ana sifa sana 🙌😂😂😂😂😂😂😂

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 22 дня назад

    🤣🤣uyu mzeee kavulugwa ninoma sana minnamiaka 32 natangaza kama nimezeeka kumbe bado sana nimejiskia laa sana kumchek uyu dingi ataki uzee

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 9 месяцев назад

    Iyo samanii anii sardine uko juu nakumbuka congo kbs

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 19 дней назад

    Huyu jamaa nimtu saf sana

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 6 месяцев назад +1

    Napenda wakongo wapo smart na ongea Yao 😅😅❤🎉

  • @UjusMukandama
    @UjusMukandama 9 месяцев назад +2

    Nyoshi ongera 🇨🇩🇨🇩

  • @papaamularfins599
    @papaamularfins599 2 месяца назад

    Mokonzi @Nyosh.......Danger 💥💥💥💥⚡⚡⚡🔥🔥🔥🔥

  • @user-yu3kg6zl8q
    @user-yu3kg6zl8q 2 месяца назад

    uko vizuri minakuombea ukumbuke na sadaka ya wale ambao hawana

  • @KhadijaKhadijadunia-ed5nv
    @KhadijaKhadijadunia-ed5nv 9 месяцев назад +2

    Napenda kipindi chenu mnafanya vzr sana .. ila ndugu mtangazaji nafatilia sana vipindi vyako ikifika swala la kukaribiswa kinjwaji au kilaji macho yanakutoka unakuwa muoga kweli kweli si useme umefunga tuh

  • @salimuramsey9124
    @salimuramsey9124 9 месяцев назад

    Duuh aisee jamaa nomaa

  • @aziza9093
    @aziza9093 6 месяцев назад +2

    Daemond akasome huyukiboko

  • @melissarama3061
    @melissarama3061 10 месяцев назад

    Fresh

  • @EventElias
    @EventElias 6 месяцев назад +1

    Nyoshi mtu safi sana

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 6 месяцев назад +1

    Ila wakongo kwnyw kuvaa ni nyoko wapo vzr 😂😂😂😂😂

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 9 месяцев назад +5

    Ila huyu Nyoshi anaonekana ni mtu wakutoa sana ana imani

    • @somiasomia2306
      @somiasomia2306 5 месяцев назад +1

      kabisa nimependa alivomkumbuka na camera wetu

  • @hussenyahaya8675
    @hussenyahaya8675 10 месяцев назад +4

    Km umeckia soda pale maji hpa like yko pls

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 9 месяцев назад +1

    Msisha simple kbs

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 9 месяцев назад +3

    Aisee Nyoshi Unaweza Mpaka Unaweza Tena 🙌 Pamba na Viatu Kama Vyote 🤭🔥😎🤠

  • @theresiatemba3706
    @theresiatemba3706 6 месяцев назад

    Good ❤

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 9 месяцев назад

    Yupo yupo lakini hayupo 😂😂

  • @MonicaMhina-sf4pz
    @MonicaMhina-sf4pz 7 месяцев назад

    Nyoshi yupo poa sana

  • @user-ii1ro2vf9x
    @user-ii1ro2vf9x 5 месяцев назад

    Ila mtangazaji ukipewa kitu shukuru.....af ulisahau kuuliza nguo ya bei ndogo n ipi na viatu vya bei ndogo n vip...sijapenda😂😂sijaendamkubwa

  • @specialminds23
    @specialminds23 9 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂 nyoshi 😂😂😂😂😂

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 7 месяцев назад

    Jamani Nyoshi mkaribishe Ndani Mgeni Mbona Mnakaa nje jamani

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 5 месяцев назад

    Mke wake anaishi nje miaka 18 halafu jamaa ana watoto 14 na mama tofauti

  • @mjunicharles1198
    @mjunicharles1198 2 месяца назад

    Swahili ya wakongo napenda kuwasikilizaga mm😂

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 2 месяца назад

    Nyoshi Ana watoto 14 mamae,unasaga valvu sana😂😂😂

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 9 месяцев назад +1

    Nyoshu El Saadat 'Sauti ya Simba'....🤣🤣🤣, Ila Nyoshi mpk Leo hujui kutamka kiswahili, 🤣🤣🤣

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 5 месяцев назад

    Huyu anazo nguo nyingi na viatu vingi sana sio kama kwa Lukamba kuna vijaketi vitatu tu

  • @rashidkatundu9674
    @rashidkatundu9674 6 месяцев назад +1

    Jamaa anaonekana n mtu wa watu alafu hana majifuno

  • @anethbwino1026
    @anethbwino1026 6 месяцев назад

    Kwenye Mkorogo hapo

  • @dafrosamonko8254
    @dafrosamonko8254 Месяц назад

    Jamaa kakanyagwa kafuta

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 2 месяца назад

    Anny samaki wakopo huku Lubumbashi 500fc au 100fc😂

  • @giztony2009
    @giztony2009 6 месяцев назад

    Salehe leo amekutana na moto eti hahaaaaa

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 6 месяцев назад

    VAR -machawa wake wa kikongo wanamfuata ili waonekqna

  • @dottowache5149
    @dottowache5149 9 месяцев назад

    Hao samaki wa Kongo honey mkongo wa samaki huo wanakulisha hao weka tu weke iyo

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 9 месяцев назад +1

    Ila nmegundua salehe ni muoga Sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 9 месяцев назад +2

    Kwenye Sardine fish eti inatoka congo 😅😅

  • @congoboymbeyas2440
    @congoboymbeyas2440 10 месяцев назад +1

    Congo 🇨🇩 ❤😂

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 9 месяцев назад +1

      Haki huyu jamaa ni special nampenda sana mambo zake hajitupi 😂

    • @nyoshielsaadat1710
      @nyoshielsaadat1710 9 месяцев назад

      Jamnii nKupnda babangu dahh upo n ujasiri sana. Nyoshii

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 9 месяцев назад +2

    Na hayo mapoda je ni ya wapi halafu nyoshi miaka yote hiyo uliyoishi tanzania kiswahili hujui tu mpk leo

  • @SashaOscar
    @SashaOscar 6 месяцев назад

    😂😂😂kwa hio na yy kumbe mkorogo anautumia 😅😅😅😅

    • @user-ii1ro2vf9x
      @user-ii1ro2vf9x 5 месяцев назад

      Wacongo kawaida sana wanapenda sana urembo wame kwa wake wanaume wa kikongo ad wanja chini ya macho wanapaka na lipshine na hawanaga story sana za ushoga ....wapo smart

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 9 месяцев назад

    Sema nyoshi Hana roho safi sana

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 9 месяцев назад +8

    Wacongo ni kama wahaya wanapenda sifa 😂😂😂

    • @Mimy_keys
      @Mimy_keys 9 месяцев назад

      Kupenda Sifa ndo Zao 😂😂😂😂

  • @pharesdismas8876
    @pharesdismas8876 5 месяцев назад

    Versace=vechachi 😂

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 9 месяцев назад

    Kipindi kizuri sema mtangazaji ana wenge kinoma. Ujuaji mwingi nyumbani kwa mtu kama kwake vile...

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 6 месяцев назад

      Sasa utaonaje asipokuwa mpekuz Ila apunguze kidogo chumban

  • @darlinmamawatatu6411
    @darlinmamawatatu6411 5 месяцев назад

    Jordan alivyo vaa alafu yeye ana manguo na viatu km vyote nyie

  • @fettymilly7664
    @fettymilly7664 9 месяцев назад

    Nyoshi Hana watoto 14 🙄🙄🙄🙄

  • @roseraymond4954
    @roseraymond4954 6 месяцев назад

    Mtangazaji ni mnafk sana kha😂

  • @kessymnumbile7540
    @kessymnumbile7540 6 месяцев назад +1

    Wakongo wapenda sifa sana

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 9 месяцев назад

    Kumbe kapanga

  • @12322879
    @12322879 9 месяцев назад +1

    Muzee ya verchachi

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q 9 месяцев назад

    Jamani huyu swalehe ni mmbea kaa

  • @zagabechishali9060
    @zagabechishali9060 6 месяцев назад

    Elle sadath …🙏

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k 8 месяцев назад

    Ninyumba yake ao amepanga?? Samahani kwa hiro swari

  • @lilianpeter1631
    @lilianpeter1631 7 месяцев назад

    😂

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 9 месяцев назад

    👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝

  • @hejmabohejhej9
    @hejmabohejhej9 9 месяцев назад

    Ikulu Dishi limeota kutu na mazingira ya Ikulu yako byeee

  • @lenoxbuhanza4926
    @lenoxbuhanza4926 9 месяцев назад

    Bongo bana yaani bado mtu anagonga geti kwa mikono kwani wireless bell bado hazijafika bongo?badilikeni walau kiasi nyumba na geti vinaumbali wa mita kazaa halafu unasikia mtu eti hodiii ngongongongo,sio poa,eti bongo Newyork!!newyork haina hata kengele milangoni.

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 6 месяцев назад

    Napendaga sana kiswahili ya hawa wakongo 😂🤣..