Sio kwa ubaya bro starah ni nzuri sana jaribu usafi daah sicomentigi ila umetisha mwanangu. Unasonga makamasi afu unakula unamshika mwenzio bila ata kujipanguza daah jitahidi stara kiasii
Mmh nmeanza kusoma comment nkajua watu wana choyo ila hapana tena hawajakuchamba kisasawa mkali wenu ni mchafuuuuuuuuuu hiyo mipua unaishika muda woteeee mbele ya camera mbele ya mtu anakuhoji ukiwa mwneyewe nahisi na huko chini unajikuna muda wote mchafuuuuuuuuuuu unatia kinyaaaa😢
Huyu jamaa kiafya hayupo sawa na ndo mana anakosa ham ya kula anakaa siku tatu bila kula ajaribu kwenda kupima dam huenda ana dam chafu ndo mana anajikuna hovyo
Yaani nimechefukwa hatari uyu kaka anaonekana ninmchafu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa nauhakika atakuwa ananuka sana kama jasho, mdomo, pumbu, yaaani dhohari jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Anajikuna sana haogagi nimuchafu kweli nakura birakuosha mikono hatalii
Kweri vipi vina muda wake
Leo mo! Town sanya ayupo
Tena duu! MKARI WENU AUOGI MAJI UNAJIWASHA
JASHO SANA MAANA DU!
Sio kwa ubaya bro starah ni nzuri sana jaribu usafi daah sicomentigi ila umetisha mwanangu. Unasonga makamasi afu unakula unamshika mwenzio bila ata kujipanguza daah jitahidi stara kiasii
Hapo sio kwake huo ndo ukweli, kabandika tu mapicha
Atakama c kwake but uwa anaishi apo Kwa mda mlefu sana toka mwaka juzii so kama una wivuuu jinyinge okay
Sule anaona kinyaa kula hiyo miogo, jitu halijanawa kujikuna muda wote mara pua mara miguu huyu kaka mchafu bhana... 🙌
😅😅😅😅😂
Mmh nmeanza kusoma comment nkajua watu wana choyo ila hapana tena hawajakuchamba kisasawa mkali wenu ni mchafuuuuuuuuuu hiyo mipua unaishika muda woteeee mbele ya camera mbele ya mtu anakuhoji ukiwa mwneyewe nahisi na huko chini unajikuna muda wote mchafuuuuuuuuuuu unatia kinyaaaa😢
Mkali akija kusoma comments atajuuuta kuwaita kwake😂😂
Una Haribu interview
Ila salehe usivae helen bana unajihalibu nawakat uko vizur sana na langi yako iyo
😂😂nimecheka mpaka basi anavyo jikuna daah😅
Yuko vizuri sana mkaliwenu
Unamjua mama ake
Saleh, ukifika nyumbani hizo nguo zako toa zimejaa makamasi tu 😅😅 kila akiingiza vidole puani naona maganda ya makamasi yanatondoka chii😅😅😅
Mkali wenu sjui ana kunguni mbona anajikuna sana 😖🤮 kula bila kunawa🤮
Nyumba yako ujui vyumba viko vingapi😢
Salehe napenda sana vipindi vyako
Kijana mchafu sana hadi anaona jau kuonesha chumba chake
mke wapi
ihii sebule au seem ya kupiga pcha maan pcha nyngi
Kwani hio pua yawasha nn unavoikuna na kumshika mwenzio
Viumba vyote ivo mama anaishi vibaya sana
mimi sio mkamilifu ila Kiujumla huyu ni MCHAFU .ukweli usemwe
Kwani yle mke wake waliachana
Mchafu hatar loogh😅😅😅kujikuna tu koga aaaa😂😂😂😂
Amejikuna miguu yote kisha bila kunawa mumekula hongereni😂😂😂
Ila do mnamoyo kila bila kunawa m.Inawezekana kweli sio kwake.
mbona uanjikuna sna mkali gitaaaaaaaa @mkali
Wachafuu hawa ht kunawa tuu hakuna km mkali wenu full kujikuna kunaa tuu
Kujikuna jamani
Mkaliwenu na Tannah ❤❤
Mungu wangu amechokonoa pua wwe akajikuna ajanawa mikono anakula mihogo jaman 🤮🤮🤮🤮 huu uchafu wawaz kabisa c angenawa mikono tu jman 😭🙆
Huyu Saleh msenge huyuuu,mwanammw rijali hawez kuvaa hereni maskioni.
Kwan urijali unakaa maskioni
Vaa nawewe
Watu wamecomments maneno mabovu daah. Tanzania
Mkali wenu anang'atwa sana na mbu ndo mikuno yake iyoo
😂cyo kwako bro..
bwana ejiimenda tisini nanane wapi wemuogo
Jaman mkali wenu ety siku tatu bila kula sio kweli kwa kweli😅😅😅
Huyu kweli mchafu hata kuoga anaweza kukaa siku nne simnaona hivyo anavyojikuna😅😅😅umarrrrr kwarukaaruuu
Cio kwa kujikuna hivo had unatia kitapitapi😂😂😂
Amini kwamba sio kwake😂
Uachane na mahereni😮
khaaa mkaliwenu ni mchafu jmni duh
Yaan huo muhogo aliompa camera man kinyaa nimeona mimi loh
Duuh mwamba kauzuu!!!
Saleh punguza uroho mtu kajikuna pua na miguu ajanawa unakula naye utapata kipundupindu😂😂😂😂 ila unapitia mengi sana mtangazaj wetu
😂😂😂😂
Yn huyu kajiwasha mwilini kwny mapua daa mchafu xn 🤔🤔
Daah comment 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka sana ila jamaa kweli mchafuuuuuuuuu sana
Kitasa kimeng,oka
Hamjaskia kitu mmakonde wa chale 😂😂 mipua foko foko mikuno miguu muda wote na mnakula bila kunawa khaaa, salehe ww ni mwanaume wa kweli aiseee 😂😂😂😊😊
Jamani hakuna chumba malumu
Lakin mkali amejitahidi
Ngumi sarehe kama anacheza rede
Huyu jamaa kiafya hayupo sawa na ndo mana anakosa ham ya kula anakaa siku tatu bila kula ajaribu kwenda kupima dam huenda ana dam chafu ndo mana anajikuna hovyo
Salehe anajikaza tu kula ila anaona kinyaaa kula mtu ajikuna ukurutu😂😂
Hahahaha 😂😂😂😂yani kumont zinanifurahisha
😂😂😂😂😂😂😂
Msani kama uyo mchafu sanaa
Kwan mkali wetu mslm ama
Ni mchafu sana kha siwezi ata omba maji kwake loh
KWAN HIZO PUA ZINA SHIDA GANI KILA SAA UNAZICHOKONOA? KWAKWELI UNABOA KAMA NI UGONJWA NENDA KWA DAKTARI
Cameraman 😂 akaombaa muogo wish tumuoneee 😅😅
Boys,mmmmh
Kaka mchafu 😢jamani kajikuna pua lake ,miguu mikwapa kaja kula viazi mkono ajanawa ni mchafu sanaa
Huyu mkali nivenye tuh kuna camera am sure anajikuna pia makende akiwa lonely😅😅😅
Hla mkali akili hana😂
Iichafu kweli kila saa linajikuna mapua 😂😂😂😂
Kumbe mkali ni mdogo sanaa,yani ndo kwanza na 26
Jichanganye😂😂
Sa mbona anajikuna sana miguu kwann hukumuuliza anashida gani anajikuna sana
Mtangazaji nakuomba uvue iyo heren kwa camera
Jamn nimecheka sana hizi comment
anajikuna nn shida
Mbona anajikuna sana kweny mguu?ana matatiz ya ngoz au????😂😂 😂😂😂
Itakua anafunzaa sisi wangoni tunaita matekenyaa
Yaani nimechefukwa hatari uyu kaka anaonekana ninmchafu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa nauhakika atakuwa ananuka sana kama jasho, mdomo, pumbu, yaaani dhohari jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Jamani nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣
mchafuuu anajikuna pua miguu hanawi khaaa mimi hpna siwez😅
Una uparata nn mjomba mbn unajikuna sana
Huwa sipendi mtu aongee anakushikashika!!!halafu mara achezee mapua,ajikune halafu anakushika jamaaani
😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂
Na Kuna mwingine anajipiga dole la matako kabisa halafu anakushika eti, hio ni adabu kweli?😢
🤣🤣🤣🤣 umeonaeeeeeeh
Nilitaka kusema mapua kuchokonoachokonoa hata Mimi umeniwahi sipendi kabisa na pia mtu anaetafuna cheengam mdomo wazi😕😕😕😕😕
😂😂😂😂😂ww ndio mm
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anatafuna mbwa kidogo😢😢
Mkaliwenu vipi mama wako unawasiliana kweli mpaka gari umeuza chukua dua kwa mama
😢😢😢😢Ajierewi uyu
@@rahimaaaaa5682 kweli anaonekana anasikiliza baba sana
Mkali wenu kwani ukiongea unawashwa nini co kwa kujikuna huko,na hizo vidole puani unamafua kwani
Mbona kama sio kwake hajui hata vyumba ina vyumba vingapi
uyu kali wenu si amchukue mama ake na wadogo zake awe ana ishi nao hapo ,watu wengine wana kosa baraka bure ajui mama ake ndio amebeba balaka zake😊
Tafuna taratibu jaman😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkali wenu mchafu sana
We unae jiita mkali wenu kilio tv wanao kuuliza maswali unajicjokonoa mapuani tu kila intaviyu kidole ni👃
MAYBE KUCHOKONOA PUA NDO SWAGA YAKE 14:20
pua vipi jmni mmmh uchafuuu
Mike ametoa wapi kama ulkua unamsubiri
Jina ndo nutu, uyo ni mkali tuh
Yani mchafu adi nackia kinyaa
Jamani Mkali wenu kajikunaaaaa kapata chakula kala bila kunawa jamani😳😳😳
Kwani pua zina Nini haipit dakika zinashikwa shikwa
Kupata confidence tu
Kujikuna uko veepee
Waolewaji wanakazi kwamfano ni mume wako anaeongea hivo akigusa pua nakula bila kunawa 😂 ni aibu mbele zawatu 🫣
Nmesoma comments tu nimeshindwa kuangalia..me mtu kujicokonoa pua namuangalia hapana aisee
hiyo kuna pua ni mapozi au veepe
Kumbe unajijua kama mchafu eeh
Amekula bila kunawa aisee ndoo mana watu wameponda sana hii interviews
Funzo pesa hazi nunuwi usafi…
Ndio majani mpaka mlangoni kweli anashindwa tafuta vibarua wakalima hapo
Mbona unajikuna sana
Acha umbea
Yaani hata haipendezi kwa kweli
Ukurutu na kunguni
Mina nipe number yako
Ana mapunye
Alooo kaka nimchafu huyu looo anavojikuna anakula atakunawa hanawi
WANAKULA MIHOGO HAWAJANAWA MIKONO DAAH 😅😂 20:12
Mwamba mchafu 😂😂 anajikuna mapua afu anakula
anakula bila kunawa
😅😂😂😂😂😂
Kavuta unga lazima pua ziwashe😂
😂😂😂😂
Ujaoga kujikuna afu unakula bika kunawa