NYUMBANI KWA MKALIWENU/ ANAKAA SIKU NNE BILA KULA/ AONYESHA KIBAO CHA MBUZI JIKONO.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 янв 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 208

  • @johnbwirabukiza1878
    @johnbwirabukiza1878 5 месяцев назад +11

    Anajikuna sana haogagi nimuchafu kweli nakura birakuosha mikono hatalii

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 месяцев назад +3

    Kweri vipi vina muda wake
    Leo mo! Town sanya ayupo
    Tena duu! MKARI WENU AUOGI MAJI UNAJIWASHA
    JASHO SANA MAANA DU!

  • @mercymodest2248
    @mercymodest2248 5 месяцев назад +2

    Sio kwa ubaya bro starah ni nzuri sana jaribu usafi daah sicomentigi ila umetisha mwanangu. Unasonga makamasi afu unakula unamshika mwenzio bila ata kujipanguza daah jitahidi stara kiasii

  • @maireshsaid1628
    @maireshsaid1628 5 месяцев назад +12

    Hapo sio kwake huo ndo ukweli, kabandika tu mapicha

    • @user-lw7sy2gy9d
      @user-lw7sy2gy9d 4 месяца назад +1

      Atakama c kwake but uwa anaishi apo Kwa mda mlefu sana toka mwaka juzii so kama una wivuuu jinyinge okay

  • @thedygeorge4548
    @thedygeorge4548 5 месяцев назад +10

    Sule anaona kinyaa kula hiyo miogo, jitu halijanawa kujikuna muda wote mara pua mara miguu huyu kaka mchafu bhana... 🙌

    • @EmJesho
      @EmJesho 5 месяцев назад

      😅😅😅😅😂

  • @salmamsakuzi3070
    @salmamsakuzi3070 5 месяцев назад +13

    Mmh nmeanza kusoma comment nkajua watu wana choyo ila hapana tena hawajakuchamba kisasawa mkali wenu ni mchafuuuuuuuuuu hiyo mipua unaishika muda woteeee mbele ya camera mbele ya mtu anakuhoji ukiwa mwneyewe nahisi na huko chini unajikuna muda wote mchafuuuuuuuuuuu unatia kinyaaaa😢

  • @venusmillonge4240
    @venusmillonge4240 5 месяцев назад +7

    Mkali akija kusoma comments atajuuuta kuwaita kwake😂😂

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 5 месяцев назад +2

    Una Haribu interview

  • @user-jj9xf7nt9k
    @user-jj9xf7nt9k 5 месяцев назад +3

    Ila salehe usivae helen bana unajihalibu nawakat uko vizur sana na langi yako iyo

  • @user-sh2rl9yz4x
    @user-sh2rl9yz4x 5 месяцев назад +2

    😂😂nimecheka mpaka basi anavyo jikuna daah😅

  • @EbambeWakilongo
    @EbambeWakilongo 5 месяцев назад +1

    Yuko vizuri sana mkaliwenu

  • @user-qb3hx2ku9v
    @user-qb3hx2ku9v 5 месяцев назад +8

    Saleh, ukifika nyumbani hizo nguo zako toa zimejaa makamasi tu 😅😅 kila akiingiza vidole puani naona maganda ya makamasi yanatondoka chii😅😅😅

  • @joycechaz2840
    @joycechaz2840 5 месяцев назад +9

    Mkali wenu sjui ana kunguni mbona anajikuna sana 😖🤮 kula bila kunawa🤮
    Nyumba yako ujui vyumba viko vingapi😢

  • @salmahanai
    @salmahanai 5 месяцев назад +1

    Salehe napenda sana vipindi vyako

  • @GloriaMillinga
    @GloriaMillinga 5 месяцев назад +3

    Kijana mchafu sana hadi anaona jau kuonesha chumba chake

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l 5 месяцев назад +2

    mke wapi

  • @djhajiztz
    @djhajiztz 5 месяцев назад +1

    ihii sebule au seem ya kupiga pcha maan pcha nyngi

  • @fatmakashi7948
    @fatmakashi7948 5 месяцев назад +5

    Kwani hio pua yawasha nn unavoikuna na kumshika mwenzio

  • @ruu6592
    @ruu6592 5 месяцев назад +1

    Viumba vyote ivo mama anaishi vibaya sana

  • @marthahozza2964
    @marthahozza2964 5 месяцев назад +13

    mimi sio mkamilifu ila Kiujumla huyu ni MCHAFU .ukweli usemwe

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 5 месяцев назад +4

    Mchafu hatar loogh😅😅😅kujikuna tu koga aaaa😂😂😂😂

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 5 месяцев назад +9

    Amejikuna miguu yote kisha bila kunawa mumekula hongereni😂😂😂

  • @AishaFerous-jp8oq
    @AishaFerous-jp8oq 5 месяцев назад +1

    Ila do mnamoyo kila bila kunawa m.Inawezekana kweli sio kwake.

  • @barotvonlineofficialramaba4334
    @barotvonlineofficialramaba4334 5 месяцев назад +3

    mbona uanjikuna sna mkali gitaaaaaaaa @mkali

  • @deboranicoraus4866
    @deboranicoraus4866 5 месяцев назад +2

    Wachafuu hawa ht kunawa tuu hakuna km mkali wenu full kujikuna kunaa tuu

  • @keynasseib9999
    @keynasseib9999 5 месяцев назад +1

    Kujikuna jamani

  • @user-wu4jj7ms2c
    @user-wu4jj7ms2c 5 месяцев назад

    Mkaliwenu na Tannah ❤❤

  • @rynesalewa7043
    @rynesalewa7043 3 месяца назад +2

    Mungu wangu amechokonoa pua wwe akajikuna ajanawa mikono anakula mihogo jaman 🤮🤮🤮🤮 huu uchafu wawaz kabisa c angenawa mikono tu jman 😭🙆

  • @salumjumanne-bn8zp
    @salumjumanne-bn8zp 5 месяцев назад +4

    Huyu Saleh msenge huyuuu,mwanammw rijali hawez kuvaa hereni maskioni.

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 5 месяцев назад +1

    Watu wamecomments maneno mabovu daah. Tanzania

  • @ZabibuJulius
    @ZabibuJulius 5 месяцев назад +2

    Mkali wenu anang'atwa sana na mbu ndo mikuno yake iyoo

  • @katalinabuhoro3599
    @katalinabuhoro3599 5 месяцев назад

    😂cyo kwako bro..

  • @zaituniallyjuma8845
    @zaituniallyjuma8845 5 месяцев назад +2

    bwana ejiimenda tisini nanane wapi wemuogo

  • @Sarah-tq2vc
    @Sarah-tq2vc 5 месяцев назад

    Jaman mkali wenu ety siku tatu bila kula sio kweli kwa kweli😅😅😅

  • @komboko4143
    @komboko4143 2 месяца назад

    Huyu kweli mchafu hata kuoga anaweza kukaa siku nne simnaona hivyo anavyojikuna😅😅😅umarrrrr kwarukaaruuu

  • @photonatuschie9477
    @photonatuschie9477 5 месяцев назад +1

    Cio kwa kujikuna hivo had unatia kitapitapi😂😂😂

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 5 месяцев назад +1

    Amini kwamba sio kwake😂

  • @user-hf1vy8hj9e
    @user-hf1vy8hj9e 5 месяцев назад +1

    Uachane na mahereni😮

  • @user-hp5kl8wd1e
    @user-hp5kl8wd1e 5 месяцев назад +1

    khaaa mkaliwenu ni mchafu jmni duh

  • @thabeapaul2473
    @thabeapaul2473 5 месяцев назад +1

    Yaan huo muhogo aliompa camera man kinyaa nimeona mimi loh

  • @bossykalewa7036
    @bossykalewa7036 5 месяцев назад +1

    Duuh mwamba kauzuu!!!

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 5 месяцев назад +3

    Saleh punguza uroho mtu kajikuna pua na miguu ajanawa unakula naye utapata kipundupindu😂😂😂😂 ila unapitia mengi sana mtangazaj wetu

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 5 месяцев назад +3

    Yn huyu kajiwasha mwilini kwny mapua daa mchafu xn 🤔🤔

  • @EmJesho
    @EmJesho 5 месяцев назад +2

    Daah comment 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nmecheka sana ila jamaa kweli mchafuuuuuuuuu sana

  • @JescaMwagama-oc9yt
    @JescaMwagama-oc9yt 5 месяцев назад +1

    Kitasa kimeng,oka

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 19 дней назад

    Hamjaskia kitu mmakonde wa chale 😂😂 mipua foko foko mikuno miguu muda wote na mnakula bila kunawa khaaa, salehe ww ni mwanaume wa kweli aiseee 😂😂😂😊😊

  • @Zuwenasungura
    @Zuwenasungura Месяц назад

    Jamani hakuna chumba malumu

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 5 месяцев назад +1

    Lakin mkali amejitahidi

  • @JacklineWisiko-pi4xp
    @JacklineWisiko-pi4xp 5 месяцев назад +2

    Ngumi sarehe kama anacheza rede

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 5 месяцев назад +1

    Huyu jamaa kiafya hayupo sawa na ndo mana anakosa ham ya kula anakaa siku tatu bila kula ajaribu kwenda kupima dam huenda ana dam chafu ndo mana anajikuna hovyo

  • @joycechaz2840
    @joycechaz2840 5 месяцев назад +4

    Salehe anajikaza tu kula ila anaona kinyaaa kula mtu ajikuna ukurutu😂😂

    • @rehmakondo
      @rehmakondo 5 месяцев назад +1

      Hahahaha 😂😂😂😂yani kumont zinanifurahisha

    • @EmJesho
      @EmJesho 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @graceyamado8578
    @graceyamado8578 5 месяцев назад +1

    Msani kama uyo mchafu sanaa

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 5 месяцев назад

    Kwan mkali wetu mslm ama

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 5 месяцев назад

    Ni mchafu sana kha siwezi ata omba maji kwake loh

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 5 месяцев назад +3

    KWAN HIZO PUA ZINA SHIDA GANI KILA SAA UNAZICHOKONOA? KWAKWELI UNABOA KAMA NI UGONJWA NENDA KWA DAKTARI

  • @nuruscard9534
    @nuruscard9534 5 месяцев назад

    Cameraman 😂 akaombaa muogo wish tumuoneee 😅😅

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 5 месяцев назад +1

    Boys,mmmmh

  • @darlinmamawatatu6411
    @darlinmamawatatu6411 4 месяца назад

    Kaka mchafu 😢jamani kajikuna pua lake ,miguu mikwapa kaja kula viazi mkono ajanawa ni mchafu sanaa

  • @HamisiSaid-ni8kp
    @HamisiSaid-ni8kp 2 месяца назад

    Huyu mkali nivenye tuh kuna camera am sure anajikuna pia makende akiwa lonely😅😅😅

  • @chichiereyh
    @chichiereyh 4 месяца назад

    Hla mkali akili hana😂

  • @emmanuelkihiyo9236
    @emmanuelkihiyo9236 5 месяцев назад

    Iichafu kweli kila saa linajikuna mapua 😂😂😂😂

  • @user-ly2mj6od3v
    @user-ly2mj6od3v 5 месяцев назад

    Kumbe mkali ni mdogo sanaa,yani ndo kwanza na 26

    • @Joliegal834
      @Joliegal834 5 месяцев назад

      Jichanganye😂😂

  • @matridasambali6432
    @matridasambali6432 3 месяца назад

    Sa mbona anajikuna sana miguu kwann hukumuuliza anashida gani anajikuna sana

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 5 месяцев назад +7

    Mtangazaji nakuomba uvue iyo heren kwa camera

  • @GeorgeWilson-cu6bp
    @GeorgeWilson-cu6bp 26 дней назад

    Jamn nimecheka sana hizi comment

  • @user-dp5fj2kn6d
    @user-dp5fj2kn6d 5 месяцев назад +1

    anajikuna nn shida

  • @IssaSefu
    @IssaSefu 5 месяцев назад +5

    Mbona anajikuna sana kweny mguu?ana matatiz ya ngoz au????😂😂 😂😂😂

    • @WemaOmary-of6to
      @WemaOmary-of6to 4 месяца назад

      Itakua anafunzaa sisi wangoni tunaita matekenyaa

  • @JanethMadios-oe5ue
    @JanethMadios-oe5ue 5 месяцев назад +1

    Yaani nimechefukwa hatari uyu kaka anaonekana ninmchafu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaa nauhakika atakuwa ananuka sana kama jasho, mdomo, pumbu, yaaani dhohari jamani 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @JennyJma
      @JennyJma 5 месяцев назад

      Jamani nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @teddynsashe8704
    @teddynsashe8704 5 месяцев назад

    mchafuuu anajikuna pua miguu hanawi khaaa mimi hpna siwez😅

  • @sixmundleonard2135
    @sixmundleonard2135 5 месяцев назад +1

    Una uparata nn mjomba mbn unajikuna sana

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 5 месяцев назад +36

    Huwa sipendi mtu aongee anakushikashika!!!halafu mara achezee mapua,ajikune halafu anakushika jamaaani

    • @gracepatric4371
      @gracepatric4371 5 месяцев назад +1

      😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂

    • @Boaz22
      @Boaz22 5 месяцев назад +1

      Na Kuna mwingine anajipiga dole la matako kabisa halafu anakushika eti, hio ni adabu kweli?😢

    • @Kuminamoja1995
      @Kuminamoja1995 5 месяцев назад +1

      🤣🤣🤣🤣 umeonaeeeeeeh

    • @anjelinakasembe845
      @anjelinakasembe845 5 месяцев назад +3

      Nilitaka kusema mapua kuchokonoachokonoa hata Mimi umeniwahi sipendi kabisa na pia mtu anaetafuna cheengam mdomo wazi😕😕😕😕😕

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 5 месяцев назад +1

      😂😂😂😂😂ww ndio mm

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anatafuna mbwa kidogo😢😢

  • @zainabhussein8142
    @zainabhussein8142 5 месяцев назад +2

    Mkaliwenu vipi mama wako unawasiliana kweli mpaka gari umeuza chukua dua kwa mama

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 5 месяцев назад

      😢😢😢😢Ajierewi uyu

    • @zainabhussein8142
      @zainabhussein8142 5 месяцев назад

      @@rahimaaaaa5682 kweli anaonekana anasikiliza baba sana

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 5 месяцев назад +2

    Mkali wenu kwani ukiongea unawashwa nini co kwa kujikuna huko,na hizo vidole puani unamafua kwani

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 5 месяцев назад +1

    Mbona kama sio kwake hajui hata vyumba ina vyumba vingapi

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr 5 месяцев назад +3

    uyu kali wenu si amchukue mama ake na wadogo zake awe ana ishi nao hapo ,watu wengine wana kosa baraka bure ajui mama ake ndio amebeba balaka zake😊

  • @EmJesho
    @EmJesho 5 месяцев назад +1

    Tafuna taratibu jaman😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 5 месяцев назад

    Mkali wenu mchafu sana

  • @zoab2699
    @zoab2699 5 месяцев назад

    We unae jiita mkali wenu kilio tv wanao kuuliza maswali unajicjokonoa mapuani tu kila intaviyu kidole ni👃

  • @issamanyota
    @issamanyota 5 месяцев назад +1

    MAYBE KUCHOKONOA PUA NDO SWAGA YAKE 14:20

  • @teddynsashe8704
    @teddynsashe8704 5 месяцев назад

    pua vipi jmni mmmh uchafuuu

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 5 месяцев назад

    Mike ametoa wapi kama ulkua unamsubiri

  • @NzoramaBahati
    @NzoramaBahati Месяц назад

    Jina ndo nutu, uyo ni mkali tuh

  • @MAKWEGASALUM
    @MAKWEGASALUM Месяц назад

    Yani mchafu adi nackia kinyaa

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 5 месяцев назад +2

    Jamani Mkali wenu kajikunaaaaa kapata chakula kala bila kunawa jamani😳😳😳

  • @ashuramahali3410
    @ashuramahali3410 5 месяцев назад +2

    Kwani pua zina Nini haipit dakika zinashikwa shikwa

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 5 месяцев назад +1

    Kujikuna uko veepee

  • @renildevenerand9473
    @renildevenerand9473 5 месяцев назад +2

    Waolewaji wanakazi kwamfano ni mume wako anaeongea hivo akigusa pua nakula bila kunawa 😂 ni aibu mbele zawatu 🫣

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd5403 5 месяцев назад

    Nmesoma comments tu nimeshindwa kuangalia..me mtu kujicokonoa pua namuangalia hapana aisee

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 4 месяца назад

    hiyo kuna pua ni mapozi au veepe

  • @isabellamichael1025
    @isabellamichael1025 5 месяцев назад +1

    Kumbe unajijua kama mchafu eeh

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 5 месяцев назад

    Amekula bila kunawa aisee ndoo mana watu wameponda sana hii interviews

  • @hawasuleiman
    @hawasuleiman 5 месяцев назад +7

    Funzo pesa hazi nunuwi usafi…

  • @mwanaidimunga9099
    @mwanaidimunga9099 5 месяцев назад

    Ndio majani mpaka mlangoni kweli anashindwa tafuta vibarua wakalima hapo

  • @bensonmwananchi7701
    @bensonmwananchi7701 5 месяцев назад +2

    Mbona unajikuna sana

  • @eysherjuma3779
    @eysherjuma3779 3 месяца назад

    Alooo kaka nimchafu huyu looo anavojikuna anakula atakunawa hanawi

  • @issamanyota
    @issamanyota 5 месяцев назад

    WANAKULA MIHOGO HAWAJANAWA MIKONO DAAH 😅😂 20:12

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 5 месяцев назад +4

    Mwamba mchafu 😂😂 anajikuna mapua afu anakula

  • @Qtep-eb3og
    @Qtep-eb3og 5 месяцев назад +1

    Kavuta unga lazima pua ziwashe😂

  • @user-bt1vl8nu5n
    @user-bt1vl8nu5n 5 месяцев назад +1

    Ujaoga kujikuna afu unakula bika kunawa