SIONGEI NA ZAMARADI KABISA / WIVU / SITAKI TENA - IRENE PAUL

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 64

  • @issaomari5297
    @issaomari5297 2 года назад +27

    Fahar wawil hawaishi zizi moja yeye na zamarad wote nimageniuos lazima wapite njia mbili tofaut big up

  • @bahathmuro7145
    @bahathmuro7145 2 года назад +3

    Hata wamseme vipi Zamaradi but kwangu ni the best on I appreciate her

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 года назад +6

    Am Tz 🇹🇿💋dunia ni mapito samehe usamehewe ❤🍭

  • @husainsmith3103
    @husainsmith3103 2 года назад +22

    Irene Paul she's like angelina jollie I like her

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 2 года назад +20

    Hapa ukichunguza sana zamaradi hapendagi azidiwe anapenda yeye ndio awe kinara watu anaokuwa nao wawe nyuma kama mkia ndicho anachotaka.

    • @restitutalucian78
      @restitutalucian78 2 года назад +1

      Unauhakika

    • @lovemusicnoreen9185
      @lovemusicnoreen9185 2 года назад

      Ewaaaaa kuna shidaa Kwa zama na inaonekana anapenda kunyenyekewa na kua juu ya wenzake

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 3 дня назад

      Hii inawezekana kabisa kwasababu kila mtu akimzidi kidg lazima wagombane 😢😢

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 года назад +5

    Irene❤️❤️❤️

  • @iddymangwela9049
    @iddymangwela9049 2 года назад +8

    Irene unanivutia sana

  • @silyvya2408
    @silyvya2408 2 года назад +4

    Nampenda Sana huyu Irene

  • @rabielfadhili994
    @rabielfadhili994 2 года назад +4

    Huyu Diva sio journalist...ethics za journalism hana....

  • @mabinajackson5356
    @mabinajackson5356 2 года назад +7

    Umeongea vzr sana

  • @jescalutegonsombnambyakoda6719
    @jescalutegonsombnambyakoda6719 2 года назад +12

    Zamarad atakuwa anamatatizo haiwezakan kila mtu anamkataa Irene sio mtu Wa media

    • @lovemusicnoreen9185
      @lovemusicnoreen9185 2 года назад +3

      Ata mimi nimewaza zama ana shida itakua Maana kila kati ya watu 5 wa 3 haongei nao kuna shida sehemu

  • @hellenismail4351
    @hellenismail4351 2 года назад

    Beautiful Irene....uko Real

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 2 года назад +3

    Kwenye group lenu mmoja akuwa na mafanikio lazima aonewe wivu hao ni wivu unann ww muongo

  • @nasrafazal6564
    @nasrafazal6564 2 года назад +1

    Tunaomba na zama aje siku moja aongee sabbu wote wanaongea ila yeye hata siku moja hajawahi kuongea halafu wale marafiki zako wote wanaunda time wanakuwa wao marafiki pamoja katika haya maisha usihitaji marafiki sabbu hutusaliti

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 2 года назад +1

      Wewe ndio muelewa 🥰🥰🥰💗 wengine kazi kufuata mkumbo na wote hakuna hata mmoja aliyewahi kusema wanachogombea

  • @Storyzatown
    @Storyzatown 2 года назад +13

    Do you miss her? “No” duh hapo tatizo ni Zamaradi au tatizo ni hao marafiki zake,

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 2 года назад +3

      Zama alivyokuwa clouds alikosana na wengi ata Dina marios

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 2 года назад +21

    Ila Zamaradi ana tatizo mahali maana ukiangalia faiza nae hawaongei shamsaford nae pia hawaongei haya na Iline nae sasa na hawaongei kuna sehem zamarad anashid na hata Dina morios wa EFM nao wanaugomvi wa toka enzi za Ruge yupo hadi leo yule Dina aliamua kuaa nae mbali Zama kuna sehem anataz kwa wenzie hawa

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 2 года назад +4

      Hata wema na ant ezekiel nae hawana urafiki naye ana jiskia sana zamaradi

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 2 года назад

      Alivyokuwa Clouds si unajua alikuwa mke wa boss ,watu wengi alikosana nao kipindi hicho,Dina Mario's pia walikosana

    • @vickychialo5054
      @vickychialo5054 2 года назад +1

      Anasifa sana anajifanya kila kitu anajua na wanae kila kitu wanajua na wanaakili sana ndio shida

    • @totobigi274
      @totobigi274 2 года назад

      Lamdha ana kiburi,ama majibu

    • @rehemaothman2200
      @rehemaothman2200 2 года назад +1

      kuna shida kwa zama sio bure tu zaidi ya watu 5 hawaongei nae

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад +3

    Munywere kama kichaa ujapendeza pia wabongo bwana mnajifanya wangeleza mnazidiwa na bongo zozo anapenda kiswahili

    • @rereshap9416
      @rereshap9416 2 года назад +2

      Zako zikoje ?
      Zionyeshe basi tuzione,
      May be utaonekana kama mwenzawazimu kabisaaa !

    • @cherylcheryl7694
      @cherylcheryl7694 2 года назад

      Kinge raha bana sema tu sikijui

  • @minnahmsangi6117
    @minnahmsangi6117 2 года назад +1

    Tumtu twembamba tunashida sana

  • @user-eo7ug2tg9r
    @user-eo7ug2tg9r 2 года назад

    💓👌

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 2 года назад +3

    Huyo anayo onewa wivu mumemuona 🤨

  • @irenemzirai5890
    @irenemzirai5890 2 года назад +1

    Zama atakuwa na tatizo sehemu

    • @thebosslady9001
      @thebosslady9001 2 года назад +1

      Hata mi nimewaza hivyo atakuwa anamatatizo sana haiwezekani Kila mtu agombane nae kapewa sura mbaya mpk roho mtihan

  • @evankya1955
    @evankya1955 2 года назад +1

    Do u miss her? No

  • @harissmithtz4994
    @harissmithtz4994 2 года назад

    Do you miss her?.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад

    Mh

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад +1

    Hata wema na ant ezekiel nae hawana urafiki naye ana jiskia sana zamaradi

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 2 года назад +2

    Ila zamaradi ajichunguze haiwezekani hawa wote awe na ugomvi nao, kwanini?

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 2 года назад +4

    Huyu zamaradi naye anamatatizo yaan yeye kila mtu anaugomvi naye

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 2 года назад +3

    Utajiri haujifichi wivu wenu tuu Kwa Zama

    • @jackyluns8224
      @jackyluns8224 2 года назад +2

      Zama anautajiri gani wanamuonea wivu

    • @hanifaomar7438
      @hanifaomar7438 2 года назад

      @@jackyluns8224 wewe haujauwona

    • @cherylcheryl7694
      @cherylcheryl7694 2 года назад

      Mh utajili? Mbona haonewi wivu mo na baresa ama yeye anautajili wa kipekee

    • @hanifaomar7438
      @hanifaomar7438 2 года назад

      @@cherylcheryl7694 unauwakika mo haonewi wivu?mtu anaweza kukuonea wivu kwakitu cha kijinga tu ije kuwa Zama🤣mbona Yuko vizuri tu kipesa utamlinganisha na wanuka mikojo😅😅mm ndio nimeona wivu sijui kwaupande wako naukumbuke kila mtu namaono yake upo

  • @user-eo7ug2tg9r
    @user-eo7ug2tg9r 2 года назад

    💓👌