huweze changanya washikaji na familiaaaa... tafuta sehem nyingine ambayo washkaji a.k.a wahuni watakuwa wanakuja na kufikiaaa mixa mashisha... ila nyumbani pabaki kuwa na heshima yakeee.
Hakuna kitu kubaya duniani kma kuweka mafanikio yako adharani weka ila baadhi yaifadhi sio yote systems ndugu watu wanamuangalia unavyoyatema mafanikio yako sisi binadamu ndio hawa hawa mm nakupenda
Halima upo Sahihi sema binadamu hata ukiongea Kwa vzuri kabisa unaonekana mchawi,,,Ila hayo maisha ya wasanii huta yaweza Bora tuyaache kama yalivyooo ukitoa wazo waambulia kejer na matus🤐🤐🤐
Baada ya kumtoa mwenzake wa karibu sanaa kumtoa kafara ... ndo freemasonry ndo wanafanya hvyo either ,family or mtu wako wakaribu or rafiki yako wa karibu sanaa ama watu kwa live performance kisha unatajirika c pesa halali azipatazo hizo
Jamaa Alovaa White" Anaushamba Anaboa sanaaa kuandama adama! watu kama hawa ni wachawii" jamaa atamani kama yy ndo Angekua Chino" dah! mshamba wa camera 😂😂😂😂😂😂
Halafu Namba 13 Falaaaaaa Anaboa Yeye utasema ndio Camera Man, NI NANI HUYU???😂😂😂😂😂 Jinga Kweliiii 😂😂😂😂😂 Kila eneo yupo anafuata fuata tuu… Yeye ndio nani kwa Chino😂😂😂😂
@@user-vu9ee7yg1j Acha utoto huoni alikuwa anazuia camera, halafu unajua dhima ya hicho kipindi? Bora alivyotumwa akapeleke viatu kwa fundi huyo mjinga
ILA CHINO ANA MAMBO YA WASHKAJI SANA SANA BADO MTOTO MDOGO HUYU AKILI ZAKE, ZIMEKAA KISHKAJI KISHKAJI TU… ANASEMA AKIHAMA ANAWAGA VITU KWA WANA, HUYU ATAKUJA FULIA VIBAYA SANA MWISHO WAKE WAJA.. KAMA ANASHINDWA KUJIJENGA KWA UPEPO ALIOPATA SASA ATAFULIA SANA VIBAYA MNO
Iman yake inaamin watu hawo aliwo kuwa nawo ndo wamechangia mchango mkubwa kweny harakat zake.. appreciate my king chino you doing well bro waliyo kusaidia kutafut kuni ndo hawo hawo ota nawo moto...wewe ni Really mengine mungu ndo refa...
Msanii ni tofauti na ww, vilevile maisha ni plan....mawazo ya kuwaza kuwai kujeng ni ya kimaskini saana watu wengi waliofanikiwa huanza na investment haijalishi kapanga maana kwa mji wa dar es salaam kimsingi huwezi jenga nyumba ya mil.3
Kitu mtu anatafuta pesa mwenyewe na anaamua mwenyewe atumie vipi, anaweza tumia zote hata ndani ya siku moja. Tatizo tunapenda kujadili maisha ya watu wakati wao hawana habari na maisha yetu. Hatujui mipango yao na hawajui yetu
@@stanslausmathias1878 Daaah blaza kwa Muonekano wako unaonekana ni mtu mmoja mwenye akilizake lakin si hivyo nilivyo tegemea Kwan kumshauli mtu kunatatz kwan nnachomwambia mim kinaubaya kwan wasanii wote lazima waishi maisha anaishi yeye au hujaona wasanii walikua wakubwa kama wakina chidi mst naisi wakowap sasaiv
Hao mabisboo wote humo ndani wanakula wapi 😢 uwiii usanii kazi sio kwa nyomi hilo
huweze changanya washikaji na familiaaaa... tafuta sehem nyingine ambayo washkaji a.k.a wahuni watakuwa wanakuja na kufikiaaa mixa mashisha... ila nyumbani pabaki kuwa na heshima yakeee.
Tafuta hela Binaaadam
@@user-yc7cx8lw8h mbona nilichoandika na ulichoandika havina mahusiano mzeee🤣🤣🤣
Kwani maana ya familia ni nini Mzee???
@@afrodinova familia inahusisha washkaji/marafiki sio... anyway tumwache na maisha yake hata akifungua bar nyumbani poa tuu🤣🤣
@@musicheals1545😂😂😂
Jersey Namba 13 ni bora ulivyotumwa kwa Shoe Shine Maan Too Much Kimbelembele Kimezidii..
Nyumba ina watu weng sana kama wahindi yani
Maisha yana badilika mzee acha kutumia ela nyingi kupga ga fanya mpango jenga home boy
Usanii mzee
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu mwenye nyeupe yaan ni kama mwanajeshi wa zamani
Huyo mwenye tshirt ya baseball ana kimbelembele
Hilo jamaa lenye mtishet mwekundu linanichefua mim nafsiii yng😂😂
Una mimba?
huyo wa tshrt nyeupe namba 13 ni mshamba wa kamera ee
Hakuna kitu kubaya duniani kma kuweka mafanikio yako adharani weka ila baadhi yaifadhi sio yote systems ndugu watu wanamuangalia unavyoyatema mafanikio yako sisi binadamu ndio hawa hawa mm nakupenda
Nyie ndo wachawi wenyewe ,kila kitu kutishana tu.ukiona hivyo ujue hata buku huna.muache dogo aishi anvyotaja yeye.akionyesha Mali ni maamuzi yake.
Halima upo Sahihi sema binadamu hata ukiongea Kwa vzuri kabisa unaonekana mchawi,,,Ila hayo maisha ya wasanii huta yaweza Bora tuyaache kama yalivyooo ukitoa wazo waambulia kejer na matus🤐🤐🤐
haya ndio mambo marioo hataki😅😅😅
Jumba la dhambi,😂😂
Ongela sana
😂uyo mwenye 13 asee unaweza mpa banzi
Hingera sn punguza marafiki wengne sio wazuri kbs
Sisi uku DRC🇨🇩 sisi wenye maisha ya chini ndo tuna tembeleya ma BMW kama izo.lkn tz ni za wasanii
Kwanni usingempangishia mamako nyumba ingine tofwaut na hapo akae na ndugu zako maana hapo mpo vijana wengi haipendezi mi naona ushaur tuu lakin
Amesema anamjengea mama yake nyumba, so hakuna haja ya kupanga nyumba ingine
😅
Huyo alovaa white anazunguka kama Nesi wa zamu 😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Daah huyo jamaa kazi anayo
😂😂😂😂😂
🔥🔥🔥
Chinoo 🔥🔥🔥🔥
Sema kuna mwamba uyo mwenye base ball anaranda sana si atulie
Sawa bro chino jaa bress
Hongera bro more blessings
Ilo Kabat👀👀
Lake?
Mungu akuongoze
Ooooh karibu Oman chino bro❤
Tunaomba NGOMA na Mavoko ❤❤❤❤ sio kila SIKU unamtaja alafu humsapiti boss wako wakitambo❤❤❤❤😂
Nyie wapoli poli sana timberland haioxhwi na maji daa😂😂
Hkuna kiatu kinasafishwa kwa maji hayo ni mambo ya zamani saaana 😅
Wewe wa 79 bdio maana hujui
MKIAMBIWA KUNA BAHATI MSIWE MNABISHA😊,,HUYO CHINO HAINGII KIVYOVYOTE,,,,KWA BADI.
Tutakupelekea moto
@@hateemmerj6020 😆
Uyo namba 13 mmempigilia 😂😂😂😂😂 kila comment watu wana mlalamikia 😂😂😂 mwane2 anapenda camera anachukua mafundisho ya ustar😅😅😅😅
Salehe Umekosea Uyo Mwenye Nguo Nyeupe Ungemfukuza Bwana Anaboa
Muhudumu
Dah Nashkuru Taifa Zima Tumetambua Namna Muuni mwenye uzi namba 13 namna anaushamba mwingi😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Sio ushamba bali ni mshikaj wake chino......we ndo mshamba 😢
😂😂😂😂😂😂
Namba 13 anataka aonekane mwanafamiliaa 😂😂😂
Nakuona umekua superstar faster illuminate wanapawa ya kumkuza mtu hongera sana
Acha usenge wew na kama vp na wew nenda ukakuzwe na illuminati
@@syntaxsaintezzer5547 nyie si mnapakuliwa wenye shobo nani kakuuliza paka mweusi wewe
Vitmtkea puani
Wape ukwelikakuzwa na illuminati juu ya kumuua mwenzake
@@donhussle948 kuna huyo hapo sijui ndo chakula chake chino kuna watu wasanii wanapambana na hawatoki sasa huykatokea wap
Kwani Uyo Kama Bodgard Vp
Nimefulai sna kwakuelewana unajua wewe chino na Mario mnabond nzur Sana na mkiwa pamoja ndo mtapiga pesa Kwa pamoja kwamana mnaendana sana
Mwenye no 13 anaziba kamera anaboa😂😂
Niozesheni uyo philomeno bwana
guuudi man munguu akubaaariiikii San brother daa ur soo smart blood.... Utazidii itakuwa
Kashapotea🚶huyo hamna kitu
Huyo kijana mwingine mbona anafata nyuma kama mkia 😅
Jamaa kazingua sana hatulii, na mnguo wake namba 13
Superstar lazima awe na mpambe😂😂
Mpambe
Baada ya kumtoa mwenzake wa karibu sanaa kumtoa kafara ... ndo freemasonry ndo wanafanya hvyo either ,family or mtu wako wakaribu or rafiki yako wa karibu sanaa ama watu kwa live performance kisha unatajirika c pesa halali azipatazo hizo
Salehe nampenda anaheshima na nyumba za watu saana haingii tuu kama chooni
Umetisha chinno
Waka miradi ndugu yangu
Nampendaga salehe Anaadabu sana yani kila sehemu anambia viatu mashallah
Huyu namba 13 mtafutie bwana
Jamaa Alovaa White" Anaushamba Anaboa sanaaa kuandama adama! watu kama hawa ni wachawii" jamaa atamani kama yy ndo Angekua Chino" dah! mshamba wa camera 😂😂😂😂😂😂
Yan hawa ndo wachawi😂wenyew hawa kaaah 🙌
Huyu nwenye mtshrt mweupe mbona anafwata kila mahal jmn ameboa
Si ndo maana kapewa kiatu apeleke kupiga dawa😂😂
😂😂
@@kelvinkilale kwakwel maana asingewaaacha peke yao interview isinge pendeza
Mlinzi wa boss
Hongera sana chino wan man
Washkaji ndio wamejaa. Kuna privacy kweli humu duh
No 13 bwanaake nani😅 jmn
myumba aina privacy kabisa
Currently viatu havioshwi, tumia foam
Namba 13 mgongoni is typing and deleting.............😂😂😂😂
😂😂
Jenga utenganishe washkaji nabfamilia
Halafu Namba 13 Falaaaaaa Anaboa Yeye utasema ndio Camera Man, NI NANI HUYU???😂😂😂😂😂 Jinga Kweliiii 😂😂😂😂😂 Kila eneo yupo anafuata fuata tuu… Yeye ndio nani kwa Chino😂😂😂😂
Apo chino umekosea kusema utaki mama ako kufunga ni Kwasababu atakonda? Kwer? Apo umekosea piga astakafirural kama nimuislam
Hivi "kama kawa" ndio salam
Uyu nae anataka kuoneka maan sio kwa kufata uko kama mkia
Ao masela tafta shm uwapeleke nyumba inakosa heshima
Aoe mara ngapi
@@tanzcanmediatv4473kamaanisha sehemu sio shemu
Mchizi mwenye jezi ya base ball kaleta ushamba wa kizamani sana, mbona wenzake wametulia tu
baba levo uyo
Bro uwo sio ushamba but kaonesha upendo mkubwa appreciate broo chino uyo ndo mshikaji kweli ✌️
@@user-vu9ee7yg1j
Acha utoto huoni alikuwa anazuia camera, halafu unajua dhima ya hicho kipindi? Bora alivyotumwa akapeleke viatu kwa fundi huyo mjinga
Tafuta nafasi ujenge Ili familia ikae sehem moja maana naona group kubwa ,
Bora umempa kazi yakupeleka viatu kwa fundi😂😂😂😂
Pambana sasa ujenge yako cyo kila siku kupanga punguza stare heee make pesa tengeneza maisha bro,,,
Kapanga kapangiwa na boss mpya mume wa Fety Kitasa
Uyo Jamaaa ana kaz gn anatembea tu
Bodyguard wa mchongo😂😂
ILA CHINO ANA MAMBO YA WASHKAJI SANA SANA BADO MTOTO MDOGO HUYU AKILI ZAKE, ZIMEKAA KISHKAJI KISHKAJI TU… ANASEMA AKIHAMA ANAWAGA VITU KWA WANA, HUYU ATAKUJA FULIA VIBAYA SANA MWISHO WAKE WAJA.. KAMA ANASHINDWA KUJIJENGA KWA UPEPO ALIOPATA SASA ATAFULIA SANA VIBAYA MNO
Iman yake inaamin watu hawo aliwo kuwa nawo ndo wamechangia mchango mkubwa kweny harakat zake.. appreciate my king chino you doing well bro waliyo kusaidia kutafut kuni ndo hawo hawo ota nawo moto...wewe ni Really mengine mungu ndo refa...
@@user-vu9ee7yg1j UPUUZI HAKUNA MCHANGO WOWOTE, NGOJA AFIRISIKE NDIO UTAJUA HUO MCHANGO WA WANA ULIVYO
Khaaa hii nyumba au ghetto 🙄
Bongo bana mchiz kafua timberland yani 😂😂😂😂
Hakuwa anajua angejua adingefanya Hvo ki ubinadamu tu Viatu sio kitu cha thaman kuzid binadam
Chinoo punguza marafiki watakuponza
Ulimwosha nani miguu Chino,mbona usenge huo????
Zawadi ya damu ilishapita mambo yanafunguka
😂😂😂😂..but we not sure....speculations mzee....
@@arianjrstanslaus4991Alooooooh😂😂😂😂
Mpe kolabo mavoko sasa
Camera man umezingua
Mnaekelekwa na 13 gonga like
Bora mwamba katumwa apeleke viatu kwa shoe shiner
Kabla umeki ujenge unaanza kupanga majumba ya gharama shaulizako
Msanii huyo mkuu, acha aishi maisha yanayofanana na sanaa yake. Na kujenga anamjengea kwanza mama ake
Msanii ni tofauti na ww, vilevile maisha ni plan....mawazo ya kuwaza kuwai kujeng ni ya kimaskini saana watu wengi waliofanikiwa huanza na investment haijalishi kapanga maana kwa mji wa dar es salaam kimsingi huwezi jenga nyumba ya mil.3
Kitu mtu anatafuta pesa mwenyewe na anaamua mwenyewe atumie vipi, anaweza tumia zote hata ndani ya siku moja. Tatizo tunapenda kujadili maisha ya watu wakati wao hawana habari na maisha yetu. Hatujui mipango yao na hawajui yetu
@@agreymbwilo5874 Duuuh saw ndio fikla zako ziliko ishia
@@stanslausmathias1878 Daaah blaza kwa Muonekano wako unaonekana ni mtu mmoja mwenye akilizake lakin si hivyo nilivyo tegemea Kwan kumshauli mtu kunatatz kwan nnachomwambia mim kinaubaya kwan wasanii wote lazima waishi maisha anaishi yeye au hujaona wasanii walikua wakubwa kama wakina chidi mst naisi wakowap sasaiv
Napenda unavyo ishi na mzazi wako
hili li namba 13 jaman kila sehemu
Uwo ndo upendo wa kweli kwa chino🎉
Bola katumwa 😂
😂😂😂
Maisha ya kufeki haya mtakuja muumbuke
Watu wanaishi broo awafek tafuta nawew upate ili tuone kama utafek au utaishi....
Bonge show
mbona mafanikio ya chino yanaanza kujitokeza baada ya ile ajali na kifo cha yule kijana ama nina mawazo potovu
Saleh hivo viatu kama ni mimi ningevua kisha nikashika mkononi nikapanda navo maana ulipo mbali😂😂
😅😅😅kwamba ataibiwa
@@user-cq5dx1vr2p
Ehee
Kama ni kwako hongera sana ila kama umepanga da! POLE SANA usije laumu watu baadae
Anajenga kwake hapo kapanga
Maisha ni yake aachwe aishi
ushauri muhimu mwisho wa siku asije kwenye media akaomba msaada, umri unaendaaaaaaa@@narrissajackson3869
Anamalizia nyumba 2.ziko pamoja
Usimpangie MTU maisha na matumizi ya pesa zake kwani anasaidiwa na MTU apo?
Aahh kwer ili jumba la zambi 😂😂 watu kibao😅😅
alimtoa mwenzake kafara chura huyu
Usikufur mungu Allah ndo refa wa mchezo 🖤
ruclips.net/video/Ks3yvfIK0Eg/видео.htmlsi=go--XEKTOW151aga
AMEN
MANKOLOMATZ FT MC KIBILITI X KHAZAV ( MASNICHI )