GHOROFA JIPYA ALILOHAMIA CHINO/ LINA SEBULE MBILI NA VYUMBA SITA/ AWAOMBA MSAMAHA MASHABIKI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 фев 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 162

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 3 месяца назад +2

    Hao mabisboo wote humo ndani wanakula wapi 😢 uwiii usanii kazi sio kwa nyomi hilo

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 3 месяца назад +26

    huweze changanya washikaji na familiaaaa... tafuta sehem nyingine ambayo washkaji a.k.a wahuni watakuwa wanakuja na kufikiaaa mixa mashisha... ila nyumbani pabaki kuwa na heshima yakeee.

    • @user-yc7cx8lw8h
      @user-yc7cx8lw8h 3 месяца назад

      Tafuta hela Binaaadam

    • @musicheals1545
      @musicheals1545 3 месяца назад

      @@user-yc7cx8lw8h mbona nilichoandika na ulichoandika havina mahusiano mzeee🤣🤣🤣

    • @afrodinova
      @afrodinova 3 месяца назад

      Kwani maana ya familia ni nini Mzee???

    • @musicheals1545
      @musicheals1545 3 месяца назад

      @@afrodinova familia inahusisha washkaji/marafiki sio... anyway tumwache na maisha yake hata akifungua bar nyumbani poa tuu🤣🤣

    • @user-ck7pw4fm8c
      @user-ck7pw4fm8c 3 месяца назад

      ​@@musicheals1545😂😂😂

  • @ArnoldMarley-xz1vj
    @ArnoldMarley-xz1vj 3 месяца назад +2

    Jersey Namba 13 ni bora ulivyotumwa kwa Shoe Shine Maan Too Much Kimbelembele Kimezidii..

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo 4 дня назад

    Nyumba ina watu weng sana kama wahindi yani

  • @saidibanda8347
    @saidibanda8347 3 месяца назад +5

    Maisha yana badilika mzee acha kutumia ela nyingi kupga ga fanya mpango jenga home boy

  • @EsterMpete
    @EsterMpete Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uyu mwenye nyeupe yaan ni kama mwanajeshi wa zamani

  • @kerryestomic8099
    @kerryestomic8099 3 месяца назад +2

    Huyo mwenye tshirt ya baseball ana kimbelembele

  • @AgnesAgnes-fm8wp
    @AgnesAgnes-fm8wp 3 месяца назад +5

    Hilo jamaa lenye mtishet mwekundu linanichefua mim nafsiii yng😂😂

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 3 месяца назад +2

    huyo wa tshrt nyeupe namba 13 ni mshamba wa kamera ee

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 3 месяца назад +6

    Hakuna kitu kubaya duniani kma kuweka mafanikio yako adharani weka ila baadhi yaifadhi sio yote systems ndugu watu wanamuangalia unavyoyatema mafanikio yako sisi binadamu ndio hawa hawa mm nakupenda

    • @Mkombozi255
      @Mkombozi255 3 месяца назад

      Nyie ndo wachawi wenyewe ,kila kitu kutishana tu.ukiona hivyo ujue hata buku huna.muache dogo aishi anvyotaja yeye.akionyesha Mali ni maamuzi yake.

    • @PhyinaElias-mu4wf
      @PhyinaElias-mu4wf 3 месяца назад +2

      Halima upo Sahihi sema binadamu hata ukiongea Kwa vzuri kabisa unaonekana mchawi,,,Ila hayo maisha ya wasanii huta yaweza Bora tuyaache kama yalivyooo ukitoa wazo waambulia kejer na matus🤐🤐🤐

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l 3 месяца назад +8

    haya ndio mambo marioo hataki😅😅😅

    • @TheBastarrrd
      @TheBastarrrd 3 месяца назад

      Jumba la dhambi,😂😂

  • @SenetaKilaka
    @SenetaKilaka 3 месяца назад +3

    Ongela sana

  • @faridalihondo3322
    @faridalihondo3322 3 месяца назад +4

    😂uyo mwenye 13 asee unaweza mpa banzi

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 3 месяца назад +3

    Hingera sn punguza marafiki wengne sio wazuri kbs

  • @user-zk7sc7fg1s
    @user-zk7sc7fg1s 2 месяца назад

    Sisi uku DRC🇨🇩 sisi wenye maisha ya chini ndo tuna tembeleya ma BMW kama izo.lkn tz ni za wasanii

  • @bennamush4616
    @bennamush4616 3 месяца назад +9

    Kwanni usingempangishia mamako nyumba ingine tofwaut na hapo akae na ndugu zako maana hapo mpo vijana wengi haipendezi mi naona ushaur tuu lakin

    • @AfricanLady889
      @AfricanLady889 3 месяца назад +2

      Amesema anamjengea mama yake nyumba, so hakuna haja ya kupanga nyumba ingine

    • @jamesgustav196
      @jamesgustav196 3 месяца назад

      😅

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 3 месяца назад +5

    Huyo alovaa white anazunguka kama Nesi wa zamu 😂😂😂😂😂

  • @mrrajjy
    @mrrajjy 3 месяца назад

    🔥🔥🔥

  • @mrrajjy
    @mrrajjy 3 месяца назад

    Chinoo 🔥🔥🔥🔥

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 3 месяца назад +3

    Sema kuna mwamba uyo mwenye base ball anaranda sana si atulie

  • @LinaUlaya-ze4en
    @LinaUlaya-ze4en 3 месяца назад

    Sawa bro chino jaa bress

  • @salekhvidal8346
    @salekhvidal8346 3 месяца назад +6

    Hongera bro more blessings

  • @jumanamwasa-iw2zn
    @jumanamwasa-iw2zn 3 месяца назад +2

    Ilo Kabat👀👀

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 3 месяца назад

    Lake?

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 3 месяца назад

    Mungu akuongoze

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 3 месяца назад +1

    Ooooh karibu Oman chino bro❤

  • @Wigoz_puppy
    @Wigoz_puppy 3 месяца назад +5

    Tunaomba NGOMA na Mavoko ❤❤❤❤ sio kila SIKU unamtaja alafu humsapiti boss wako wakitambo❤❤❤❤😂

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 3 месяца назад +5

    Nyie wapoli poli sana timberland haioxhwi na maji daa😂😂

    • @leecode6135
      @leecode6135 3 месяца назад

      Hkuna kiatu kinasafishwa kwa maji hayo ni mambo ya zamani saaana 😅

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 3 месяца назад

      Wewe wa 79 bdio maana hujui

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 3 месяца назад +3

    MKIAMBIWA KUNA BAHATI MSIWE MNABISHA😊,,HUYO CHINO HAINGII KIVYOVYOTE,,,,KWA BADI.

  • @Saumujames1234
    @Saumujames1234 3 месяца назад

    Uyo namba 13 mmempigilia 😂😂😂😂😂 kila comment watu wana mlalamikia 😂😂😂 mwane2 anapenda camera anachukua mafundisho ya ustar😅😅😅😅

  • @mamrashdon3632
    @mamrashdon3632 3 месяца назад +3

    Salehe Umekosea Uyo Mwenye Nguo Nyeupe Ungemfukuza Bwana Anaboa

  • @user-sg1du9dp1i
    @user-sg1du9dp1i 3 месяца назад +3

    Dah Nashkuru Taifa Zima Tumetambua Namna Muuni mwenye uzi namba 13 namna anaushamba mwingi😂😂😂

  • @mwinyiado1129
    @mwinyiado1129 3 месяца назад +1

    Namba 13 anataka aonekane mwanafamiliaa 😂😂😂

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 3 месяца назад +3

    Nakuona umekua superstar faster illuminate wanapawa ya kumkuza mtu hongera sana

    • @syntaxsaintezzer5547
      @syntaxsaintezzer5547 3 месяца назад +1

      Acha usenge wew na kama vp na wew nenda ukakuzwe na illuminati

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 3 месяца назад

      @@syntaxsaintezzer5547 nyie si mnapakuliwa wenye shobo nani kakuuliza paka mweusi wewe

    • @user-gn7nk7mw8v
      @user-gn7nk7mw8v 3 месяца назад

      Vitmtkea puani

    • @donhussle948
      @donhussle948 3 месяца назад +1

      Wape ukwelikakuzwa na illuminati juu ya kumuua mwenzake

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 3 месяца назад

      @@donhussle948 kuna huyo hapo sijui ndo chakula chake chino kuna watu wasanii wanapambana na hawatoki sasa huykatokea wap

  • @mamrashdon3632
    @mamrashdon3632 3 месяца назад

    Kwani Uyo Kama Bodgard Vp

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 месяца назад +4

    Nimefulai sna kwakuelewana unajua wewe chino na Mario mnabond nzur Sana na mkiwa pamoja ndo mtapiga pesa Kwa pamoja kwamana mnaendana sana

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 3 месяца назад

    Mwenye no 13 anaziba kamera anaboa😂😂

  • @badifundi6089
    @badifundi6089 3 месяца назад

    Niozesheni uyo philomeno bwana

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w 3 месяца назад

    guuudi man munguu akubaaariiikii San brother daa ur soo smart blood.... Utazidii itakuwa

  • @Pro_editings2024
    @Pro_editings2024 3 месяца назад +1

    Kashapotea🚶huyo hamna kitu

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 3 месяца назад +5

    Huyo kijana mwingine mbona anafata nyuma kama mkia 😅

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 3 месяца назад

      Jamaa kazingua sana hatulii, na mnguo wake namba 13

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 3 месяца назад

      Superstar lazima awe na mpambe😂😂

    • @MuviisTV
      @MuviisTV 3 месяца назад

      Mpambe

  • @donhussle948
    @donhussle948 3 месяца назад

    Baada ya kumtoa mwenzake wa karibu sanaa kumtoa kafara ... ndo freemasonry ndo wanafanya hvyo either ,family or mtu wako wakaribu or rafiki yako wa karibu sanaa ama watu kwa live performance kisha unatajirika c pesa halali azipatazo hizo

  • @OmanOman-bm1lr
    @OmanOman-bm1lr 3 месяца назад +2

    Salehe nampenda anaheshima na nyumba za watu saana haingii tuu kama chooni

  • @Official_JohnVicker
    @Official_JohnVicker 3 месяца назад +1

    Umetisha chinno

  • @nelsonmaganya5391
    @nelsonmaganya5391 3 месяца назад +1

    Waka miradi ndugu yangu

  • @user-so2yy8se7o
    @user-so2yy8se7o 3 месяца назад +1

    Nampendaga salehe Anaadabu sana yani kila sehemu anambia viatu mashallah

  • @user-ie6hs3ul2q
    @user-ie6hs3ul2q 3 месяца назад

    Huyu namba 13 mtafutie bwana

  • @Barakatabudul
    @Barakatabudul 3 месяца назад +2

    Jamaa Alovaa White" Anaushamba Anaboa sanaaa kuandama adama! watu kama hawa ni wachawii" jamaa atamani kama yy ndo Angekua Chino" dah! mshamba wa camera 😂😂😂😂😂😂

    • @faridalihondo3322
      @faridalihondo3322 3 месяца назад +1

      Yan hawa ndo wachawi😂wenyew hawa kaaah 🙌

  • @pascalinajames9117
    @pascalinajames9117 3 месяца назад +5

    Huyu nwenye mtshrt mweupe mbona anafwata kila mahal jmn ameboa

    • @kelvinkilale
      @kelvinkilale 3 месяца назад

      Si ndo maana kapewa kiatu apeleke kupiga dawa😂😂

    • @sabrinaraphael3474
      @sabrinaraphael3474 3 месяца назад

      😂😂

    • @pascalinajames9117
      @pascalinajames9117 3 месяца назад

      @@kelvinkilale kwakwel maana asingewaaacha peke yao interview isinge pendeza

    • @kipukatz
      @kipukatz 3 месяца назад

      Mlinzi wa boss

  • @user-lw7wd8nz9g
    @user-lw7wd8nz9g 3 месяца назад

    Hongera sana chino wan man

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 3 месяца назад

    Washkaji ndio wamejaa. Kuna privacy kweli humu duh

  • @naumikabila5880
    @naumikabila5880 3 месяца назад

    No 13 bwanaake nani😅 jmn

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 месяца назад

    myumba aina privacy kabisa

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 3 месяца назад

    Currently viatu havioshwi, tumia foam

  • @saidtembele3070
    @saidtembele3070 3 месяца назад +3

    Namba 13 mgongoni is typing and deleting.............😂😂😂😂

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 3 месяца назад

    Jenga utenganishe washkaji nabfamilia

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 3 месяца назад

    Halafu Namba 13 Falaaaaaa Anaboa Yeye utasema ndio Camera Man, NI NANI HUYU???😂😂😂😂😂 Jinga Kweliiii 😂😂😂😂😂 Kila eneo yupo anafuata fuata tuu… Yeye ndio nani kwa Chino😂😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 3 месяца назад +3

    Apo chino umekosea kusema utaki mama ako kufunga ni Kwasababu atakonda? Kwer? Apo umekosea piga astakafirural kama nimuislam

  • @khadijamemba785
    @khadijamemba785 3 месяца назад

    Hivi "kama kawa" ndio salam

  • @user-jj9xf7nt9k
    @user-jj9xf7nt9k 3 месяца назад

    Uyu nae anataka kuoneka maan sio kwa kufata uko kama mkia

  • @rockyjr6314
    @rockyjr6314 3 месяца назад +4

    Ao masela tafta shm uwapeleke nyumba inakosa heshima

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 3 месяца назад +5

    Mchizi mwenye jezi ya base ball kaleta ushamba wa kizamani sana, mbona wenzake wametulia tu

    • @user-pi2zh8fg7g
      @user-pi2zh8fg7g 3 месяца назад

      baba levo uyo

    • @user-vu9ee7yg1j
      @user-vu9ee7yg1j 3 месяца назад

      Bro uwo sio ushamba but kaonesha upendo mkubwa appreciate broo chino uyo ndo mshikaji kweli ✌️

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 3 месяца назад

      @@user-vu9ee7yg1j
      Acha utoto huoni alikuwa anazuia camera, halafu unajua dhima ya hicho kipindi? Bora alivyotumwa akapeleke viatu kwa fundi huyo mjinga

  • @ezekielmichael9431
    @ezekielmichael9431 3 месяца назад

    Tafuta nafasi ujenge Ili familia ikae sehem moja maana naona group kubwa ,

  • @happy56timothy58
    @happy56timothy58 3 месяца назад

    Bora umempa kazi yakupeleka viatu kwa fundi😂😂😂😂

  • @Happy-ef9kf
    @Happy-ef9kf 3 месяца назад +1

    Pambana sasa ujenge yako cyo kila siku kupanga punguza stare heee make pesa tengeneza maisha bro,,,

    • @S__Official24
      @S__Official24 3 месяца назад

      Kapanga kapangiwa na boss mpya mume wa Fety Kitasa

  • @pozclever854
    @pozclever854 3 месяца назад +1

    Uyo Jamaaa ana kaz gn anatembea tu

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 3 месяца назад +2

    ILA CHINO ANA MAMBO YA WASHKAJI SANA SANA BADO MTOTO MDOGO HUYU AKILI ZAKE, ZIMEKAA KISHKAJI KISHKAJI TU… ANASEMA AKIHAMA ANAWAGA VITU KWA WANA, HUYU ATAKUJA FULIA VIBAYA SANA MWISHO WAKE WAJA.. KAMA ANASHINDWA KUJIJENGA KWA UPEPO ALIOPATA SASA ATAFULIA SANA VIBAYA MNO

    • @user-vu9ee7yg1j
      @user-vu9ee7yg1j 3 месяца назад

      Iman yake inaamin watu hawo aliwo kuwa nawo ndo wamechangia mchango mkubwa kweny harakat zake.. appreciate my king chino you doing well bro waliyo kusaidia kutafut kuni ndo hawo hawo ota nawo moto...wewe ni Really mengine mungu ndo refa...

    • @leylamohamed9939
      @leylamohamed9939 3 месяца назад +1

      @@user-vu9ee7yg1j UPUUZI HAKUNA MCHANGO WOWOTE, NGOJA AFIRISIKE NDIO UTAJUA HUO MCHANGO WA WANA ULIVYO

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 3 месяца назад

    Khaaa hii nyumba au ghetto 🙄

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 3 месяца назад +2

    Bongo bana mchiz kafua timberland yani 😂😂😂😂

    • @mattmax773
      @mattmax773 3 месяца назад +2

      Hakuwa anajua angejua adingefanya Hvo ki ubinadamu tu Viatu sio kitu cha thaman kuzid binadam

  • @AgnesAgnes-fm8wp
    @AgnesAgnes-fm8wp 3 месяца назад +3

    Chinoo punguza marafiki watakuponza

  • @TheBastarrrd
    @TheBastarrrd 3 месяца назад

    Ulimwosha nani miguu Chino,mbona usenge huo????

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 3 месяца назад +1

    Zawadi ya damu ilishapita mambo yanafunguka

    • @arianjrstanslaus4991
      @arianjrstanslaus4991 3 месяца назад

      😂😂😂😂..but we not sure....speculations mzee....

    • @jesterfredrick9497
      @jesterfredrick9497 3 месяца назад

      @@arianjrstanslaus4991Alooooooh😂😂😂😂

  • @fredanthony740
    @fredanthony740 3 месяца назад +2

    Mpe kolabo mavoko sasa

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 3 месяца назад +1

    Camera man umezingua

  • @HanceBablo-ot8sz
    @HanceBablo-ot8sz 3 месяца назад

    Mnaekelekwa na 13 gonga like

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 3 месяца назад

    Bora mwamba katumwa apeleke viatu kwa shoe shiner

  • @abbassalum6824
    @abbassalum6824 3 месяца назад +3

    Kabla umeki ujenge unaanza kupanga majumba ya gharama shaulizako

    • @agreymbwilo5874
      @agreymbwilo5874 3 месяца назад

      Msanii huyo mkuu, acha aishi maisha yanayofanana na sanaa yake. Na kujenga anamjengea kwanza mama ake

    • @stanslausmathias1878
      @stanslausmathias1878 3 месяца назад +1

      Msanii ni tofauti na ww, vilevile maisha ni plan....mawazo ya kuwaza kuwai kujeng ni ya kimaskini saana watu wengi waliofanikiwa huanza na investment haijalishi kapanga maana kwa mji wa dar es salaam kimsingi huwezi jenga nyumba ya mil.3

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 3 месяца назад +2

      Kitu mtu anatafuta pesa mwenyewe na anaamua mwenyewe atumie vipi, anaweza tumia zote hata ndani ya siku moja. Tatizo tunapenda kujadili maisha ya watu wakati wao hawana habari na maisha yetu. Hatujui mipango yao na hawajui yetu

    • @abbassalum6824
      @abbassalum6824 3 месяца назад

      @@agreymbwilo5874 Duuuh saw ndio fikla zako ziliko ishia

    • @abbassalum6824
      @abbassalum6824 3 месяца назад

      @@stanslausmathias1878 Daaah blaza kwa Muonekano wako unaonekana ni mtu mmoja mwenye akilizake lakin si hivyo nilivyo tegemea Kwan kumshauli mtu kunatatz kwan nnachomwambia mim kinaubaya kwan wasanii wote lazima waishi maisha anaishi yeye au hujaona wasanii walikua wakubwa kama wakina chidi mst naisi wakowap sasaiv

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j 3 месяца назад

    Napenda unavyo ishi na mzazi wako

  • @halima_nasseb
    @halima_nasseb 3 месяца назад

    hili li namba 13 jaman kila sehemu

    • @user-vu9ee7yg1j
      @user-vu9ee7yg1j 3 месяца назад

      Uwo ndo upendo wa kweli kwa chino🎉

  • @benahdesigner
    @benahdesigner 3 месяца назад

    Bola katumwa 😂

  • @handenitakuru6696
    @handenitakuru6696 3 месяца назад

    Maisha ya kufeki haya mtakuja muumbuke

    • @user-vu9ee7yg1j
      @user-vu9ee7yg1j 3 месяца назад

      Watu wanaishi broo awafek tafuta nawew upate ili tuone kama utafek au utaishi....

  • @yasiniramadhani4871
    @yasiniramadhani4871 3 месяца назад

    Bonge show

  • @ruu6592
    @ruu6592 3 месяца назад

    mbona mafanikio ya chino yanaanza kujitokeza baada ya ile ajali na kifo cha yule kijana ama nina mawazo potovu

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 3 месяца назад

    Saleh hivo viatu kama ni mimi ningevua kisha nikashika mkononi nikapanda navo maana ulipo mbali😂😂

  • @dr_godfrey
    @dr_godfrey 3 месяца назад +3

    Kama ni kwako hongera sana ila kama umepanga da! POLE SANA usije laumu watu baadae

    • @naifathassan2607
      @naifathassan2607 3 месяца назад

      Anajenga kwake hapo kapanga

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 3 месяца назад +1

      Maisha ni yake aachwe aishi

    • @musicheals1545
      @musicheals1545 3 месяца назад

      ushauri muhimu mwisho wa siku asije kwenye media akaomba msaada, umri unaendaaaaaaa@@narrissajackson3869

    • @selemanisalum7685
      @selemanisalum7685 3 месяца назад

      Anamalizia nyumba 2.ziko pamoja

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 3 месяца назад

      Usimpangie MTU maisha na matumizi ya pesa zake kwani anasaidiwa na MTU apo?

  • @Saumujames1234
    @Saumujames1234 3 месяца назад

    Aahh kwer ili jumba la zambi 😂😂 watu kibao😅😅

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 3 месяца назад

    alimtoa mwenzake kafara chura huyu

    • @user-vu9ee7yg1j
      @user-vu9ee7yg1j 3 месяца назад

      Usikufur mungu Allah ndo refa wa mchezo 🖤

  • @BAGAMOYOMEDIATZ
    @BAGAMOYOMEDIATZ 3 месяца назад +1

    ruclips.net/video/Ks3yvfIK0Eg/видео.htmlsi=go--XEKTOW151aga
    AMEN
    MANKOLOMATZ FT MC KIBILITI X KHAZAV ( MASNICHI )