Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
Unalipa kod hujui nyumba ina nini na nini eti jiko sijui kitchen 😂
Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
Kwan tray inaliwa pia?
Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo
Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂
Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
milioni 36 mchezoo
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
labda kapewa alinde😂😂
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
We una magari mangapi?
Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .
Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa
kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu
Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu
Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo
@@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe
Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅
😂😂😂😂😂
Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa
Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂
Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊
Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu
Ndy
Ndo yeye huyoooo😅😅😅😅😅
Jesca wa jaraha
Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅
cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂
Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki
😂😂😂
Hehehee kwakweli
Hahahah jamni
Demu ana kiherehere
Wigi la kijani khaaa😂😂😂
ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅
Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr
😂😂😂😂😂 kweli
Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi
Dada amekauka km mimi😂😂
Mwanamke ndo Ana hela hapo
Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
Mwajuma ndala ndefu
Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani
Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida
Muongo mamaee🤣🤣
Ona kafriji jmn😂
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
watanzania acheni wivuwamaendeleo kukomenti vibaya nidhambi.
Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo
Kweli huyu dada mja mzito
Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A
Duuh na A ndio nini 😂😂😂
Hahaaa😂😂😂
😂😂😂😂😂😂Wooyii
Kumbe yale mapenz ya jeraha yamekuwa kweli
@@ZaynabMohamed-c3etulijua wanadanganya kumbe kweli
Wakiumwa wanataka mchango saizi wanaonekana mastaa chamana mwisho wakiumwa mchango wanataka..
Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂
Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho
Mbona kama imesimama😂😊
Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo
Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
Decoration sifuri kabisa!!
kama akili zao tu ahhaha
Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli
Jmn khaa 🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂
Nimechek na uyo dada
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂
Good life❤
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani
😂😂😂😂😂 wewe ni fala
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
Kituko 😂😂
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!
😂😂😂😂😂😂😂
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜
Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
Wigi mweeee 😂
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo
Hiyo pesa ni bora ajenge
Nyumba ina furniture 10 sijui
Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
Hana akiri uyo😅😅😅😂
Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu
Mm nilijua jumbo Lao!!!
Mzee wa kulelewa
Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
Hizo nywele sasa
Wasanii bwana😂😂😂😂😂
Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?
Kakodisha kwa mda gani😮
😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn
Kma vya motels 😂
Ghorofa kubwa vitu hawanaaa
Daaah imbomboo ngafuuu
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako
Ila uyu jamaa hajawahi kua na mwanamke mzuri hyuu😅
Kwn nyie amjui kuwa wanawake wabaya ndo watamu jmniii lukamba anataka utamu kuenjoy so kuoneshaa mwanamke mzurii😂😂😂
Wakaka wazuri wanakuwaga nashida gan sjui😂😂😂
Camera mbovu sana jamani
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
Lukamba sijui anawatoa wap hawa wanawake 😅
Aaaaaaniiiii
Milion 36 tunajenga nyumba kubwa tu tatzo napenda Kiki na misifa, mkiumwa ananza. Kutaka mchango, 😢nyooooooo kufen tu akuna mchango mpumbavu
Hahaha
Kwetu lugoba unapata eneo milioni 4
@@RacherBakari-qh2gx haswaaa
Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu
Wasenge hao
Ila uyu dada tapeli wa mapenzi jaaamani.
😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma
Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake
@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂
Huyu jamaaa muongo haiwezekani nyumba yake alafu hajuw kuna vyumba vingapi
Mama kijacho Ndio anaitwa nani