LUKAMBA ANAISHI KAMA MFALME GHOROFA LAKE KAMA HEKALU/ANALIPA MILIONI 36 KWA MWAKA -

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" RUclips channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi #showbizz

Комментарии • 261

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 2 месяца назад +1

    Unalipa kod hujui nyumba ina nini na nini eti jiko sijui kitchen 😂

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 Год назад +21

    Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani

    • @Noah-zt5zf
      @Noah-zt5zf Год назад +1

      Kwan tray inaliwa pia?

  • @lisauroble31
    @lisauroble31 7 месяцев назад +1

    Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo

  • @barakatabdul3212
    @barakatabdul3212 Год назад +3

    Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂

  • @tikaeddie7284
    @tikaeddie7284 Год назад +8

    Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Год назад +4

    Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Год назад +5

    Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz Год назад +2

      Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 9 месяцев назад

      Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.

    • @salmabasil385
      @salmabasil385 9 месяцев назад

      Lukamba anapenda wanao weza kumlea

  • @AshuraSalum-d6q
    @AshuraSalum-d6q 9 месяцев назад +2

    Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 9 месяцев назад +3

    Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Год назад +8

    Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure

    • @Ndiminijunior
      @Ndiminijunior Год назад

      Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?

    • @babiddi8620
      @babiddi8620 Год назад +1

      Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha

    • @joycechaz2840
      @joycechaz2840 11 месяцев назад +1

      Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Год назад +48

    Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin

  • @Yolanda-n3x
    @Yolanda-n3x 9 месяцев назад +2

    Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au

  • @hasani565
    @hasani565 Год назад +8

    Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .

    • @faithfaith-zr6gz
      @faithfaith-zr6gz 10 месяцев назад

      Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa

    • @sarahmcharo1548
      @sarahmcharo1548 10 месяцев назад +1

      kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu

    • @rosemarykipesha4242
      @rosemarykipesha4242 9 месяцев назад

      Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu

  • @MwarafiaAbdi
    @MwarafiaAbdi Год назад +4

    Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr 9 месяцев назад +2

    Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 9 месяцев назад +1

    Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Год назад +6

    Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu

    • @Lululemon55
      @Lululemon55 Год назад +7

      Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo

    • @stevensimon5642
      @stevensimon5642 Год назад +4

      @@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe

  • @pilimwanza8117
    @pilimwanza8117 Год назад +3

    Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅

  • @SimbaJumanne
    @SimbaJumanne 7 месяцев назад +1

    Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa

  • @upendommbaga7070
    @upendommbaga7070 8 месяцев назад

    Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 9 месяцев назад

    Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊

  • @zenachuo2963
    @zenachuo2963 Год назад +4

    Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu

  • @CleoadyHaji
    @CleoadyHaji Год назад +1

    Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅

  • @msolekaonlinemedia
    @msolekaonlinemedia 7 месяцев назад

    cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri Год назад +5

    Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki

  • @aishamossile6336
    @aishamossile6336 Год назад +3

    Demu ana kiherehere

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 5 месяцев назад

    Wigi la kijani khaaa😂😂😂

  • @bimkubwaali1605
    @bimkubwaali1605 Год назад +1

    ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅

  • @NaseebMgono-wl3bu
    @NaseebMgono-wl3bu Год назад +1

    Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 10 месяцев назад +4

    Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo1735 5 месяцев назад

    Dada amekauka km mimi😂😂

  • @kerryestomic8099
    @kerryestomic8099 10 месяцев назад +2

    Mwanamke ndo Ana hela hapo

  • @NuruKilembuka
    @NuruKilembuka 6 месяцев назад

    Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman

  • @Yolanda-n3x
    @Yolanda-n3x 9 месяцев назад

    Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Год назад +1

    Mwajuma ndala ndefu

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 10 месяцев назад

    Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 10 месяцев назад +1

    Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida

  • @hashymharun9337
    @hashymharun9337 10 месяцев назад +1

    Muongo mamaee🤣🤣

  • @chany9950
    @chany9950 Год назад +3

    Ona kafriji jmn😂

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 7 месяцев назад

    Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj Год назад +2

    watanzania acheni wivuwamaendeleo kukomenti vibaya nidhambi.

    • @khamisbk8569
      @khamisbk8569 Год назад

      Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 9 месяцев назад

    Kweli huyu dada mja mzito

  • @zenachuo2963
    @zenachuo2963 Год назад +5

    Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A

  • @FestinaMlelwa
    @FestinaMlelwa Год назад +3

    Wakiumwa wanataka mchango saizi wanaonekana mastaa chamana mwisho wakiumwa mchango wanataka..

  • @SuraiyaAli-c6t
    @SuraiyaAli-c6t Год назад

    Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂

  • @sumecute2513
    @sumecute2513 Год назад +3

    Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho

  • @Tumahinisaf
    @Tumahinisaf 8 месяцев назад

    Mbona kama imesimama😂😊

  • @Lulualshagri
    @Lulualshagri Год назад +2

    Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz Год назад +2

    Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 Год назад +7

    Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu

  • @zahra5267
    @zahra5267 10 месяцев назад +2

    Decoration sifuri kabisa!!

  • @mrsawadh5716
    @mrsawadh5716 Год назад +3

    Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli

  • @WlkmkeissBriana
    @WlkmkeissBriana 8 месяцев назад

    Nimechek na uyo dada

  • @khamisbk8569
    @khamisbk8569 Год назад +1

    Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta8439 9 месяцев назад +1

    Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂

  • @christinatemba
    @christinatemba Год назад +2

    Good life❤

  • @akiraaudreille6043
    @akiraaudreille6043 11 месяцев назад

    naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 8 месяцев назад

    hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani

  • @AishaFerous-jp8oq
    @AishaFerous-jp8oq 9 месяцев назад +1

    Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .

    • @mariammpamka
      @mariammpamka 9 месяцев назад

      😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani

  • @NancyBrayan-wi2lr
    @NancyBrayan-wi2lr 9 месяцев назад

    Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 9 месяцев назад

    Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd5403 Год назад +3

    Uyu dada sjui kavaa nn 😢

  • @husnazahorohusna3905
    @husnazahorohusna3905 11 месяцев назад

    Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 10 месяцев назад +3

    Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!

    • @Mina.15
      @Mina.15 8 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @ShekhaAzizi-yb1ow
    @ShekhaAzizi-yb1ow 7 месяцев назад

    Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 11 месяцев назад

    Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜

  • @fawzalbusayid7232
    @fawzalbusayid7232 10 месяцев назад

    Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂

  • @priscajohn6090
    @priscajohn6090 Год назад

    Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Год назад +1

    Wigi mweeee 😂

  • @angelmaige-yc5gb
    @angelmaige-yc5gb 11 месяцев назад

    Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu

  • @dottomsuya6597
    @dottomsuya6597 8 месяцев назад

    Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo

  • @neemasabarabridalissa8336
    @neemasabarabridalissa8336 9 месяцев назад

    Hiyo pesa ni bora ajenge

  • @Ginna-i3v
    @Ginna-i3v 7 месяцев назад

    Nyumba ina furniture 10 sijui

  • @SUZANSUZAN-fb9bh
    @SUZANSUZAN-fb9bh Год назад

    Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 9 месяцев назад

    Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu

  • @5Multpurpose
    @5Multpurpose Год назад

    Hana akiri uyo😅😅😅😂

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 8 месяцев назад

    Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu

  • @hidayadaymiss4386
    @hidayadaymiss4386 Год назад

    Mm nilijua jumbo Lao!!!

  • @zahra5267
    @zahra5267 10 месяцев назад +1

    Mzee wa kulelewa

  • @IreneMwenda-nl2hu
    @IreneMwenda-nl2hu Год назад

    Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech

    • @stevensimon5642
      @stevensimon5642 Год назад

      Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu

  • @ikramalmas7039
    @ikramalmas7039 Год назад +2

    Hizo nywele sasa

  • @ndrwdotts4347
    @ndrwdotts4347 Год назад

    Wasanii bwana😂😂😂😂😂

  • @ngwaleseif8586
    @ngwaleseif8586 9 месяцев назад

    Huyu demu si uliigiza nae tamthiliya Moja?

  • @ruu6592
    @ruu6592 10 месяцев назад

    Kakodisha kwa mda gani😮

  • @upendojames5378
    @upendojames5378 Год назад +2

    😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn

  • @adamkisheta8439
    @adamkisheta8439 9 месяцев назад

    Daaah imbomboo ngafuuu

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Год назад

    Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako

  • @Manswabu
    @Manswabu Год назад +1

    Ila uyu jamaa hajawahi kua na mwanamke mzuri hyuu😅

    • @maryrich
      @maryrich Год назад

      Kwn nyie amjui kuwa wanawake wabaya ndo watamu jmniii lukamba anataka utamu kuenjoy so kuoneshaa mwanamke mzurii😂😂😂

    • @tausimohammed4286
      @tausimohammed4286 10 месяцев назад

      Wakaka wazuri wanakuwaga nashida gan sjui😂😂😂

  • @MwarafiaAbdi
    @MwarafiaAbdi Год назад

    Camera mbovu sana jamani

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 Год назад

    Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond

  • @3Dshoez
    @3Dshoez Год назад +1

    Lukamba sijui anawatoa wap hawa wanawake 😅

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Год назад +3

    Milion 36 tunajenga nyumba kubwa tu tatzo napenda Kiki na misifa, mkiumwa ananza. Kutaka mchango, 😢nyooooooo kufen tu akuna mchango mpumbavu

  • @samihamansour1893
    @samihamansour1893 6 месяцев назад

    Mwanamme huyu ? Siamini kama mwanamme hebu kijana tafuta kiwanja ujenge pili mwanamme wa kweli hashindani na mwanamke public acha usenge unatutia aibu wanaume wenzio

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 Год назад +1

    umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.

  • @zenawahindi2425
    @zenawahindi2425 Год назад +4

    pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu

  • @Kharua-pw8fw
    @Kharua-pw8fw 8 месяцев назад

    Wasenge hao

  • @AishaFerous-jp8oq
    @AishaFerous-jp8oq 9 месяцев назад

    Ila uyu dada tapeli wa mapenzi jaaamani.

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 Год назад +2

    😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma

    • @rehemakimambo5363
      @rehemakimambo5363 Год назад

      Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake

    • @modestajamada3496
      @modestajamada3496 Год назад

      ​@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂

  • @BarakaMkalimbe
    @BarakaMkalimbe 8 месяцев назад

    Huyu jamaaa muongo haiwezekani nyumba yake alafu hajuw kuna vyumba vingapi

  • @sitiabubakar2892
    @sitiabubakar2892 Год назад

    Mama kijacho Ndio anaitwa nani