MULOKOZI: SIJAAJIRI NDUGU KABISA,WASOMI WALISHINDWA, NIKIFIKA 50 NASTAAFU,MSG ZA MAPENZI SIJIBU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 фев 2024

Комментарии • 639

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 3 месяца назад +78

    Uyu jamaa hata ukimpora mali zote abaki hana kitu atatajirika tena. Smart, wise, hardworking & God fearing 🙌🏼

    • @samnkoba1856
      @samnkoba1856 3 месяца назад +3

      Kweli huyu jamaa labda umpe uchiz ila ukimpora kila kitu baada ya mwaka jamaa anakupita tena kwa mawe 😂😂😂😂

    • @IsaacLameck-nz8yr
      @IsaacLameck-nz8yr 3 месяца назад +1

      God fearing ana piga pombe ?

    • @peterlujuo1640
      @peterlujuo1640 3 месяца назад +10

      @isaaclameck Kaa apo apo ukidhani wanaokunywa pombe wote hawana hofu ya mungu, nyinyi ndo wale waumini wanakufa njaa kwa kuona biashara flani flani ni za kidunia. Kaa apo apo na ufala wako

    • @Norahtemu-hj7zw
      @Norahtemu-hj7zw Месяц назад

      God protect u dear

  • @ericahajuna1555
    @ericahajuna1555 17 дней назад +2

    Nimekupata na nimekuulewa Baba Mimi kipindi nimemaliza Chuo Mwaka Jana Nilipofata Kazi Hotel Watu Au Wanafunzi wenzangu Walinicheka But Sasa Hv Wananambia Niwaunganishe Asante Mungu Kwaajili Ya Kila Mtu anaweza kutuelimisha🙏

  • @zawadibernard8232
    @zawadibernard8232 3 месяца назад +79

    Watanzania tumshukuru Huyu baba kufunguka watu wa level hii huwa Hawafunguki

  • @kijokombao5345
    @kijokombao5345 3 месяца назад +124

    Safi sana huyu mtu mi nlikua simjui kumbe tz wapo watu wenye hela zao na wametulia tu,hongera sana bro

    • @michaelmulokozi1512
      @michaelmulokozi1512 3 месяца назад +10

      Na huyo ni muhaya, lkn Hana sifa kama ambavyo inachukuliwa😂😅 kwenye jamii

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 3 месяца назад +12

      Siku zoteee wat wenye hela hawanaga makelele daima ipo hivo

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 3 месяца назад

      ​@@fotunatusimsongole7341 mwijakua ni chizi

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla 3 месяца назад +3

      ​@@michaelmulokozi1512watu wana mawe kimya kimya wametulia tu...... hawa wajinga wajinga wa town ndo wanatuletea tabu km akina makonda.

    • @chrisskucha6108
      @chrisskucha6108 3 месяца назад +7

      Sasa makonda anahusikaje hapo tatzo unaroho ya wivu mno

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 месяца назад +16

    My son will be a next billionaire. Hongera sana kijana, the sky in not a limit.

  • @user-cd8rc5jp2i
    @user-cd8rc5jp2i 3 месяца назад +6

    Ukiachana na mulokozi, milard ayo nae ni mtu mwenye akili sana. Mtakuja kunielewa baadae📌

  • @EmmaKija
    @EmmaKija 3 месяца назад +40

    Mulokozi Mungu akubariki sana
    Wasomi wengi Tanzania tunachelewesha mendeleo ya nchi
    Protocol nyingi kichwani lakini action mbov

  • @MillenMlay
    @MillenMlay 3 месяца назад +46

    Libarikiwe tumbo la mama alie kuzaaa..wanawake msitoe mimba jaman yawezekana wanatolewa watoto kama hawa

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 3 месяца назад +2

      Hata kama binadam.hatuwez kufanana kuna ataeza jambaz kahaba mweny kama huyo bas ili maisha yaende lazima tutofautiane

    • @KulwaKisansa
      @KulwaKisansa 3 месяца назад +1

      Ha ha ha 😂

  • @bezarelchilewa4062
    @bezarelchilewa4062 14 дней назад +1

    Bravo Mulokozi. Uko 100percent correct. Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa nae Zanzibar. Alikuwa boss wa UNDP alihitaji kuajiri wafanyakazi,nikamuomba aniajiri Mimi akakataa na kunoomba tuendelee kunywa soda zetu. Nikashangaa. Nikamuuliza anahitaji watu wenye sifa ipi? Akanijibu anataka wale waliopata Division 4 na zero. Kwa sababu hao ana uhakika atakuwa nao muda mrefu na hawatamsumbua. Wale wa Division 1,2 na 3 hawataki kabisa maana Bado wanahamu ya kutafuta mafanikio mbele. GOD BLESS YOU.

  • @Ilu_tinker
    @Ilu_tinker 3 месяца назад +8

    Millard thanks bro 🙏 hizi ndo interviews za kufunza hustlers in streets, MADINi ni mengi sanaa this is all we need to hear and not motivation speakers wa manyoya hadi kuku miaaa😂💥🔥much respect to u all, Millard & Mulokoz👊🫂next episode please 😅😂

  • @patientlazaro6930
    @patientlazaro6930 3 месяца назад +19

    Nimependa sana jamaa anajielewa. Maisha yake ni ushuhuda👌.
    God is everything

  • @andrewmziray2233
    @andrewmziray2233 3 месяца назад +18

    Leo nacoment kwa mara ya kwanza huyu jamaa n mtu na nusu. Hongera mulokoziiii

  • @albertlyimo2812
    @albertlyimo2812 3 месяца назад +15

    Asee Milard Ayo wewe pia uko talented sana,huyo mwamba nimesikiliza mawazo yake sana,amejua kutenganisha elimu yake na maisha halisi,natamani nifike babati nimuone fanya mpango wa appointment mkuu

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz 3 месяца назад +33

    This Episode 4 kuna madini hatari. Picha linaendelea...
    Dak 13 Mr Mulokozi anakuambia ana nguruwe 1'000+, farasi 20+, ngamia na nyati maji😮 doooh kama vile nauona utajiri wa king Solomon.
    Dak 23 Swali unategemea kustaafu ukiwa na umri gani,,, kama umesikia vizuri farasi kaguna kagoma jamaa asistaafu mapema😂
    Dak 31 Nimejifunza kuficha mafanikio ni kuwa na nidhamu ya woga... Kama kweli mafanikio ya halali basi taja ili iwe funzo kwa wengine
    Dak 43 Tajiri ana hadi PA duuh
    Na bado hajafikia ndoto zake...
    INTERVIEW BOMBA SANA. Naisubiri Episode 5 🎉🎉🎉

  • @sarahmero4561
    @sarahmero4561 3 месяца назад +22

    Aise huyu kaka nimempenda tena namuombea kabisa kwa Mungu alimlinde na kumuongezea hizo baraka,binafsi nimefurahi sana kuona tajiri msomi maana watu washakariri matajiri hawana elimu 😒 this is such a powerful success story aise thank you millard

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 месяца назад

      Usomi wake ametumia asilimja chache sana katika kutengeneza utajiri wake...uzoefu wa kazi ndio msingi wake

    • @hemedmtunguja9788
      @hemedmtunguja9788 3 месяца назад

      Kweli kabisa

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 2 месяца назад +3

    Mungu amtunze sana huyu tajiri, huyu ni asset katika nchi yetu.

  • @edwardminango8682
    @edwardminango8682 Месяц назад +2

    Uyu billionaire yupo safi saaana ni smart saaana kichwani yaaan actually ana vitu vingi saaana me nimempa maua yake nice ❤

  • @felikisimon
    @felikisimon 3 месяца назад +7

    Lakini pia millard nakushukuru kwa hili. Unajua kututafutia watu wa kutufundisha bwana sasa apa isingekuwa hii kazi yako wewe huyu jamaa si rahisi kumfikia na kupata madini kama haya. Hongera sana kwa kazi yako nzuri

  • @elicknyega7317
    @elicknyega7317 3 месяца назад +29

    Huyu jamaa ni genius aisee

  • @Official_Evara
    @Official_Evara 3 месяца назад +29

    This guy is so intelligent and real with life! Never seen such a perfect house in East Africa🧢 Big Up sir!

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 3 месяца назад +12

    Mungu awafanikishe katika hilo la sim , mtaipatia nchi yetu Tanzania heshima na nitanunua sim yako Mulokozi nasubiri

  • @mariam205
    @mariam205 3 месяца назад +15

    Aisee mm nimvivu ku comment lakini kwa huyu jamaa nimeshindwa kunyamaza mungu akutunze broo

  • @hamisikisinzah8113
    @hamisikisinzah8113 3 месяца назад +10

    Huyu Mulokozi yuko vizuri na kwa kweli elimu yake imeweza kumsaidia katika kutafuta fursa na pia amekuwa muwazi hii saaafi Saaanaaa!!

  • @ts9dna862
    @ts9dna862 3 месяца назад +24

    KIUKWELI HUYU JAMAA NI SUPER GIFTED GENIUS

  • @jumaissa542
    @jumaissa542 2 месяца назад +5

    Mimi nimekuelewa tofauti kidogo, haukutaka kutumia watu maarufu kutangaza biashara yako ila umeamua kutengeneza nyumba ambayo imetumika kutangaza biashara yako na umefaulu, hongera sana broo hii ndio maana ya elimu.

  • @deborakemmy6253
    @deborakemmy6253 3 месяца назад +37

    Basi @millardayo katika interview zako zote hii ni the best interview kwangu narudia rudia yaani!!

    • @dianajoseph8951
      @dianajoseph8951 3 месяца назад

      Ndg Mulokozi hongera kwa kazi nzuri...ni jambo jema saana ila sasa
      Wahaya mrudi muwekeze Kagera imesahaulika.. umetoa ajira babati bukoba jeeeee???

  • @user-bg8en4qc3d
    @user-bg8en4qc3d 3 месяца назад +15

    Huyu jamaa ana madini - mpaka unatamani millard atengeneze episode 10. We still need to hear from this man. More episodes please Millard

  • @kilungukitamu5577
    @kilungukitamu5577 3 месяца назад +26

    Big up brother wafanyabiashara wengi hukwepa Kodi wewe umekuwa mfano 🎉

  • @emanuelherman7029
    @emanuelherman7029 3 месяца назад +8

    Dah Mulokozi huyu mtu siyo wa kawaida fikra zake zinaenda mbali jinsi anavyoishi na watu wa Manyara ni elimu tosha kwa jamii haamini katika ushirikina kabisa mwenyezi mungu aendelee kukubariki pia hongera za dhati kwa Ayo Tv na Millard Ayo kwa kutuletea interview bora kuwahi kufanyika Tanzania tunasubiri Episode ya 5

  • @innocentadolf7284
    @innocentadolf7284 2 месяца назад +1

    Dakika ya 34:17 asee bonge 1 la point. Ushirikina ni mojawapo ya factor muhimu mno inayoturudisha nyuma sana sisi waafrika not only kwenye ishu ya maendeleo but also kwenye hali za maisha yetu wenyewe kwa wenyewe. Salute broh kwa kulitambua hilo.

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Месяц назад +1

    Nimempenda saaaana huyu Don
    Simlizi zake zimenijenga sana.
    Sasa Naona siwezi tena kuwa hivi Nilivyo,maana ni viiiingi nimejifunza, I have big future..
    Thanks Tajiri.

  • @user-vj1oz3gf2i
    @user-vj1oz3gf2i 2 месяца назад +1

    Haya yametimia sana masikioni mwetu,kumbe utajiri wa haki na unaodumu uko mikononi mwa mungu ..ni wazi unastahili pongezi sana brother Mlokozi

  • @maniscamullah6282
    @maniscamullah6282 3 месяца назад +10

    Da safi sana.....HILI NENO MILAD KALIONGEA MARA ELF 6

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 3 месяца назад +1

    Tunahitaji wasomi wanyenyekevu wasio na majigambo kama Mulokozi, hukukata tamaa ulipoona partinerships zinafaili,kuna la kujifunza hapa.Pia hukuona majivuno ya kusoma nje ya nchi,umerudi na kuamua kuajiri watanzania wenzako,Mungu azidi kukuinua umepewa kipawa cha kuona mbali sana sana.Hongera mno kaka yangu ❤

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 3 месяца назад +11

    M nilichojifunza ni mungu ndo Kila kitu katika maisha ukifanya kazi kwa bidiii na ukimtegemea mungu lazima ufanikiwe ila kuwa tajili ni kipawa ambacho si wote wanakuwa nacho

  • @user-yj3gy4jc1t
    @user-yj3gy4jc1t 3 месяца назад +30

    Uko vizuri sana unahela jalafu huna dharau watu wajifuze sana

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 3 месяца назад +26

    Good one Millard, hii session nimeikubali sana unlike the other one. Umejua kumkamua madini kwa ajili yetu vijana... kudos!👊🏿

  • @NaomiMwankina
    @NaomiMwankina 26 дней назад

    ubarikiwe Sana na kiukweli ume 38:28 barikiwasana asante kwa kuwakumbusha vijana kuhusu ajiira elimu ni nyenzo yako kuwa na uwezo kujikimu sio serikali ikupekazi kama tulivyo à wazazi time waamisha waatoto wetu laziima serikali dhana potofu

  • @friedahjohn
    @friedahjohn 3 месяца назад +6

    Hii interview ina nondo kuliko kukaa darasani na kusoma biashara kwa miaka mitatu. Asante sana Millard.

  • @joycemaimu7265
    @joycemaimu7265 2 месяца назад +1

    Haya madini ni aghalabu kuyapata duniani,,,,Big up Mulokozi

  • @goldenmaduhumedia4681
    @goldenmaduhumedia4681 3 месяца назад +15

    Nimekuelewa kaka Mulokozi na nimepata elimu kubwa

  • @user-eg1pk1sw4j
    @user-eg1pk1sw4j 3 месяца назад +26

    Dahh millard huyu jamaa n genius aiseh.

  • @JonathanMwamba-zr6rg
    @JonathanMwamba-zr6rg 18 дней назад

    Vip bro ninashida yanamba ya bro kunadili tuonge nipo Congo samahani sana kwahilo kamanitamkera

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 3 месяца назад +8

    Huwa nashere hii story kwa mtt wangu wa kiume anayepambana naamini mungu atajifunza kitu

  • @josephinebuxay3392
    @josephinebuxay3392 Месяц назад

    Fundisho nzuri sana Mulokozi, kitu nimependa jamaa cyo mtu wa kujiinua yaani yuko kama mtu wa kawaida, huyu mtu ataenda mbali sana, Mungu akulinde akutunze somo nzuri sana, Manyara tuna mtu.

  • @gerafttz5553
    @gerafttz5553 Месяц назад

    Hongera sanaa,umetupa Chachi ya kupambanaa

  • @ishmaelsimon6617
    @ishmaelsimon6617 3 месяца назад +8

    Huyu mwamba namemwelewa. no fake yani, ametiririka kila kitu. Barikiwa sana. Yani hadi nimepata pa kuanzia

  • @user-eb2el9kw6m
    @user-eb2el9kw6m 2 месяца назад +1

    Huyu jamaa anajua sana. Hizi ndo interview zinazotakiwa kwenye media.

  • @deborahkihaka6975
    @deborahkihaka6975 3 месяца назад +7

    He is amazing, he is a gem for our nation, an example to young people

  • @hammerymachogu3885
    @hammerymachogu3885 Месяц назад +2

    Hongera sana Bro binafsi nimejifunza mengi nami nina ndoto za kuja kumiliki kampuni yangu , Mungu akufanikishe zaidi na moyo wa uzalendo kwenye nchi yetu, big up.

    • @maniamba.tz_
      @maniamba.tz_ Месяц назад

      Kumiliki kampuni raisi shida kusimama kiuchumi

  • @felikisimon
    @felikisimon 3 месяца назад +2

    Mmh uyu jamaa hakwenda japan na uingereza kuzurura tu ni mtu aliyeenda kutafuta maarifa kwa ajili ya taifa letu. Na ni mtu wa kujali . Ubarikiwe sana Boss

  • @muhidiniabass4385
    @muhidiniabass4385 3 месяца назад +2

    Kuna kitu nimejifunza kwako bwana mulokoz, shukrani mirad

  • @user-wu3ld2ti1k
    @user-wu3ld2ti1k 3 месяца назад +18

    Asante nimejifunza kitu hapa

  • @Royalcakespoint
    @Royalcakespoint 3 месяца назад +3

    Kikubwa hapo imani ya dini yake...sadaka anazozitoa kwa jamii pamoja na kujituma ndio kilichomfikisha hapo ...tuna la kujifunza....hongera kwake

  • @dennisnyakilambo3992
    @dennisnyakilambo3992 Месяц назад +1

    what an interview hii ni yenyewe kabisa nmechukua madini ya kutosha bonge la interview saan

  • @fenrickmsigwa7437
    @fenrickmsigwa7437 2 месяца назад

    This interview is so waoh, the man is so wisely. Nimsjifubza mnoo. Hongera sana Mr Mlokozi. Maono na Kampuni yako vizidi kutunzwa

  • @stewardlugan576
    @stewardlugan576 3 месяца назад +5

    Bro respect you pia Mungu amwongezee marifa zaid katika kazi zake 🙏🙏

  • @NancyMlemba
    @NancyMlemba 2 месяца назад

    HONGERAA SAAANA KAKA MUNGU AZIDI KUKUTUNZA NA KUKUWEKA. BIG UP MILARD BILA WW TUSINGEMJUA BWANA MULOKOZI. PIA NAMUOMBA KAMA ANA HOSP KWAAJILI YA STAFU NAOMBA KAZI HAPO MM NI MUUGUZI MSTAFU WA MWAKA JANA NAOMBA KAZI HAPO

  • @MrSalawa-is2yf
    @MrSalawa-is2yf Месяц назад

    very powerful man and intelligent

  • @neemangunda2694
    @neemangunda2694 3 месяца назад +2

    Hongera sana kwa kweli nimependezwa sana na interview Yako . Nimejifunza kitu sana kupitia wewe nafikiria fursa nyingi sana . Ni mitaji TU tunakosa lakini kumbe hata kidogo unaweza kuanza kitu na ukafika mbali

  • @devidkingu2439
    @devidkingu2439 3 месяца назад +6

    Brother ni kitabu cha kujikwamua kimaisha na Ayo unajua kuhoji maswari ya kujenga bravo

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 3 месяца назад +6

    Hapo kwenye nguruwe kasema kweli aisee Kama MTU unamtaji na hujui chakufanya plz anza na nguruwe utakuja nishukuru nakama huna utalamu wowte juu ya huo mradi tafadhali ntakusaidieni kuwaelekez hata japo kidogo 👍

  • @sayunikihunrwa4949
    @sayunikihunrwa4949 3 месяца назад +2

    Kuna mtu alikua atuuwe kabisa haki yamungu , ila hapana mungu anamipango . Hongera kaka tunajifunza mengi yani duu umetupa mwanga wa fulsa na namna hukutaka kampuni ife ukihofia kuuwa ndoto za wengi duuh. Fikiria namna matajir wengi waliishiwa na watu wakakosa ajira jaman familia zikaumia nyingi .

  • @ERASMUSRUBUNGA
    @ERASMUSRUBUNGA 3 дня назад

    MUNGU MKUBWA SANA, 🖐🖐🖐🖐

  • @amergolil-pump6
    @amergolil-pump6 3 месяца назад +1

    Father nataka kuongeya na wewe kidogo🙏, kwasababu nimekufahia sana na mimi nimeanze mwaka jana ila ningali na myaka 20old

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 3 месяца назад

    Mimi kuanzia Leo Mr. Mulokozi ni role model wangu, nawish kumsikiliza Kila wakati, Asante sana Millard kwa kutuletea mtu muhimu na muwazi kama huyu ambaye amefanikiwa kwa njia ya kawaida sana ambavyo hata sisi wengine tukiamua tunaweza, kwa mfano nafkiria ameanza kiwanda nikiwa hapa ninapofanya kazi Hadi sasa, umaskini unaendelea kushamiri lakini yeye ameshafika mbali sana kimaendeleo. Ukifkiria hicho kiasi alichoanza nacho kiwanda sio kikubwa sana, so anani inspire sana kuanza Cha kwangu mwenyewe haijalishi ni kwa Hali ya chini kiasi gani, japo sijui pa Kuanzia, Mungu anisaidie! Hongera sana Kaka, Mtanzania mwenzetu🎉🎉🎉

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 3 месяца назад +4

    Hongera sana shemeji Mungu akupe maisha marefu siku moja na wish kuwa kama wewe nimejifunza Changamoto zisinikatishe tamaa nimeanguka kipato kabisa Mungu nipe maarifa mapyaa

  • @machasofficialsite6221
    @machasofficialsite6221 2 месяца назад

    Itoshe kusema....every successfull point is measured by point of creation and point of implimenting....bilionea mulokozi nakubali umeweza kutujenga vijana juu ya kupambania ndoto zetu na kuamini mipango binafsi iliyobebwa na tafsiri kuu ya kuamini unachokipambania....kongole millard Ayo for the best interview ever here is 2024 ❤❤❤❤❤🎉

  • @benamimulokozi6052
    @benamimulokozi6052 3 месяца назад +5

    Brilliant

  • @user-og9kq4ef3s
    @user-og9kq4ef3s 3 месяца назад +14

    Anajieleza vizuri sana, na anajibu maswali kwa ufasaha, maelezo yamenyooka, mifano hai na mengineyo. Mahojiano hayachoshi kabisa. Na kujifunza mtu unajifunza. Hongera millard hongera na kwa mulokozi piaa.

    • @musakalangahe6876
      @musakalangahe6876 3 месяца назад +1

      Exactly. Huyu anavyojieleza, unajua kabisa utajiri mbali ya mali, ni akili yake.

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 3 месяца назад

      Chenye anasema jamaa ni pure true.. Alhamdulillah mm sima elimu ya veterinary lkn kuna veterinary doctor kwa kampuni yetu na inabidi mm nimpe elimu kulingana na experience Niko nayo cha ajabu anatumia elimu hio hio anakuja ku impliment kwangu ni kana kwamba yy ndo alkua anajua na hajui chochote na ametokq shule😂😂.. experience is more better than izo documents

    • @beatricerweyemamu5540
      @beatricerweyemamu5540 3 месяца назад

      Ndiyo faida ya elimu hiyo...!!!

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx Месяц назад

    Akili kubwa ubarikiwe sana maana Kuna kitu umenipa💪

  • @ngusubilambope3964
    @ngusubilambope3964 3 месяца назад +2

    Salute! Salute! Salute! Am just speechless

  • @geofreyjeremiah4680
    @geofreyjeremiah4680 Месяц назад

    Hongera sana mulokozi kwa elimu Yako nzuri,, and big up bro milady ayo

  • @marypwanye8943
    @marypwanye8943 2 месяца назад

    Mwenyezi Mungu azidi kukutunza kwa sababu huna ubinafsi unafikiria sana nchi yako. Ni wachache sana wenye Moyo huo. Mungu akubariki sana.

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba7946 3 месяца назад +3

    Saaaf saaana kaka ,nimepata mambo meng saana kwako

  • @MellanieKay
    @MellanieKay 3 месяца назад +1

    Inspiring

  • @JIfunzeUandishi
    @JIfunzeUandishi 12 дней назад

    Kuhusu kuandika kitabu, mwambie Mulokozi anicheki mimsaidie kwenye hilo.

  • @user-mv5et9nq9s
    @user-mv5et9nq9s 3 месяца назад +3

    Asante sana kaka kwa kufunguka. Haojaongea uongo kama King msukuma. Maana watu wa biashara tunakuelewa.sana

  • @mwanjokaully4904
    @mwanjokaully4904 3 месяца назад +4

    Am highly Inspired…🎉

  • @petermangowi
    @petermangowi 3 месяца назад +14

    Hii interview imenitengeneza sana.. hongera sana Brother kwa hatua uliyofikia, pia nikupongeze kwa kushare mapambano yako... imenifanya niweze kufikiri zaidi.

    • @StellaDaniel-os4mo
      @StellaDaniel-os4mo Месяц назад

      Nashukuru sana tajiri wangu mungu akupe maisha marefu.

  • @user-wg8yw3dl4j
    @user-wg8yw3dl4j 3 месяца назад +1

    ....hongera sn kaka mulokozi,kwa yote uyafanyayo,karibu sn mbeya au Green City kama ulivyosema,cku c nyng! Bnafsi nakusubiria haasa kwny project yako,utakayoianza.b blecd.

  • @severinamwaja1822
    @severinamwaja1822 3 месяца назад

    Huwa nakatiza kusikiliza story ndefu , lkn hii mpk kufika mwisho naona km ndio unaanza ' wengi umetufumbua MULOKOZI big up

  • @olympiamtenga8761
    @olympiamtenga8761 3 месяца назад +2

    Yaani kaka uko vizuri, umeongea madini tupu barikiwa sana kaka.. barikiwa Milard

  • @theresiamacha9007
    @theresiamacha9007 3 месяца назад +1

    Salute salute speechless

  • @user-ko8on1ue5y
    @user-ko8on1ue5y 3 месяца назад +1

    Daa hongera sana Kaka millard naomba niombee kazi ndugu nipo mbeya aniajiri ktk kiwanda Cha iwambi _ mbeya.

  • @ContentBurrito-jj9yi
    @ContentBurrito-jj9yi 3 месяца назад +10

    Kaka shikamoo naomba sana sana nisaidie mtaji kaka nipo dar Sina kazi nilikua naendesha kirikuu nimenyanganywa nisaidie mkuu nipate kirikuu mkuu mungu akupe nguvu.

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 3 месяца назад +3

    Millard ipange Kweny mpangilio hii interview please inasumbua kuitafuta kuanzia part one

  • @rockstarsamk9043
    @rockstarsamk9043 9 дней назад

    jmaaa nimempenda sna mm napenda sna biashara

  • @mesietwilliam972
    @mesietwilliam972 3 месяца назад +3

    The best Interview ever! Hongera sana brother Mulokozi na ahsante sana brother Millard!

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 3 месяца назад +18

    Ishu yawaganga imekaa kipumbavu ukiendekeza waganga jua tu umaskini utakufatilia kwa nguvu

  • @AlhajiHusseni-st4os
    @AlhajiHusseni-st4os 3 месяца назад +2

    Good questions millad👊

  • @ZuwenaSinde-hj9qg
    @ZuwenaSinde-hj9qg 3 месяца назад +2

    Jameni asante sana kwa haya kwa pamoja na shukuru sana kwa mwandishi wa habari pamoja na mhojiwa

  • @faidhacute
    @faidhacute 3 месяца назад +4

    Mulokozi hapo nmekuelewa sana yaan kwamba ukiwa unafanya kazi Kuna time unatakiwa ujipongeze ni nzuri hyo nmeipenda sana❤

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 3 месяца назад +11

    Millard big up bro unatisha kwa kufanya interview kali🎉🎉

  • @johnmessi6831
    @johnmessi6831 3 месяца назад +1

    Kwa mambo ya ukabila hapo kiukweli my hands 🙌 down and I’m proud of you, wewe ni mtanzania mzalendo na hii ndiyo Tanzania 🇹🇿 tunayoitaka, Grand rising ✊🏾💯

  • @kizzjojo-qp1lv
    @kizzjojo-qp1lv 3 месяца назад

    Manshallah tabarakallah

  • @HawaKarim-ke1vb
    @HawaKarim-ke1vb 21 день назад

    Jina lako limeendana nawewe mwenyezi Mungu azidi kukubaliki we we kweli ni mfano wa kuigwa ubalikiwe sana bro nimekupenda bure kwanza una hofu na muumba wako Nina mengi ya kusema kuusu wwe .

  • @user-qb5gg2iy7o
    @user-qb5gg2iy7o 3 месяца назад

    Uko vizuri sana maelezo yako ni ya baraka sana mulokozi

  • @user-gp8rj4gz4n
    @user-gp8rj4gz4n 3 месяца назад +1

    Aisee nmejifunza vingi kupitia huyu jamaa, asante Millard kwa interview nzuri

  • @Truly_Afrikan
    @Truly_Afrikan 3 месяца назад +1

    Aloo am speechless, what a brilliant guy. Yes nyumba sio ya kifahari kama alivyosema but the things inside it it's dope. Imagine we look alike in business idea woow am into minerals liquor industry idea in my head, real estate and lastly pharmacistical as well . I am encouraged