@isaaclameck Kaa apo apo ukidhani wanaokunywa pombe wote hawana hofu ya mungu, nyinyi ndo wale waumini wanakufa njaa kwa kuona biashara flani flani ni za kidunia. Kaa apo apo na ufala wako
Nimekupata na nimekuulewa Baba Mimi kipindi nimemaliza Chuo Mwaka Jana Nilipofata Kazi Hotel Watu Au Wanafunzi wenzangu Walinicheka But Sasa Hv Wananambia Niwaunganishe Asante Mungu Kwaajili Ya Kila Mtu anaweza kutuelimisha🙏
Bravo Mulokozi. Uko 100percent correct. Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa nae Zanzibar. Alikuwa boss wa UNDP alihitaji kuajiri wafanyakazi,nikamuomba aniajiri Mimi akakataa na kunoomba tuendelee kunywa soda zetu. Nikashangaa. Nikamuuliza anahitaji watu wenye sifa ipi? Akanijibu anataka wale waliopata Division 4 na zero. Kwa sababu hao ana uhakika atakuwa nao muda mrefu na hawatamsumbua. Wale wa Division 1,2 na 3 hawataki kabisa maana Bado wanahamu ya kutafuta mafanikio mbele. GOD BLESS YOU.
Millard thanks bro 🙏 hizi ndo interviews za kufunza hustlers in streets, MADINi ni mengi sanaa this is all we need to hear and not motivation speakers wa manyoya hadi kuku miaaa😂💥🔥much respect to u all, Millard & Mulokoz👊🫂next episode please 😅😂
Asee Milard Ayo wewe pia uko talented sana,huyo mwamba nimesikiliza mawazo yake sana,amejua kutenganisha elimu yake na maisha halisi,natamani nifike babati nimuone fanya mpango wa appointment mkuu
This Episode 4 kuna madini hatari. Picha linaendelea... Dak 13 Mr Mulokozi anakuambia ana nguruwe 1'000+, farasi 20+, ngamia na nyati maji😮 doooh kama vile nauona utajiri wa king Solomon. Dak 23 Swali unategemea kustaafu ukiwa na umri gani,,, kama umesikia vizuri farasi kaguna kagoma jamaa asistaafu mapema😂 Dak 31 Nimejifunza kuficha mafanikio ni kuwa na nidhamu ya woga... Kama kweli mafanikio ya halali basi taja ili iwe funzo kwa wengine Dak 43 Tajiri ana hadi PA duuh Na bado hajafikia ndoto zake... INTERVIEW BOMBA SANA. Naisubiri Episode 5 🎉🎉🎉
Aise huyu kaka nimempenda tena namuombea kabisa kwa Mungu alimlinde na kumuongezea hizo baraka,binafsi nimefurahi sana kuona tajiri msomi maana watu washakariri matajiri hawana elimu 😒 this is such a powerful success story aise thank you millard
Lakini pia millard nakushukuru kwa hili. Unajua kututafutia watu wa kutufundisha bwana sasa apa isingekuwa hii kazi yako wewe huyu jamaa si rahisi kumfikia na kupata madini kama haya. Hongera sana kwa kazi yako nzuri
Mimi nimekuelewa tofauti kidogo, haukutaka kutumia watu maarufu kutangaza biashara yako ila umeamua kutengeneza nyumba ambayo imetumika kutangaza biashara yako na umefaulu, hongera sana broo hii ndio maana ya elimu.
Dah Mulokozi huyu mtu siyo wa kawaida fikra zake zinaenda mbali jinsi anavyoishi na watu wa Manyara ni elimu tosha kwa jamii haamini katika ushirikina kabisa mwenyezi mungu aendelee kukubariki pia hongera za dhati kwa Ayo Tv na Millard Ayo kwa kutuletea interview bora kuwahi kufanyika Tanzania tunasubiri Episode ya 5
Dakika ya 34:17 asee bonge 1 la point. Ushirikina ni mojawapo ya factor muhimu mno inayoturudisha nyuma sana sisi waafrika not only kwenye ishu ya maendeleo but also kwenye hali za maisha yetu wenyewe kwa wenyewe. Salute broh kwa kulitambua hilo.
Nimempenda saaaana huyu Don Simlizi zake zimenijenga sana. Sasa Naona siwezi tena kuwa hivi Nilivyo,maana ni viiiingi nimejifunza, I have big future.. Thanks Tajiri.
Tunahitaji wasomi wanyenyekevu wasio na majigambo kama Mulokozi, hukukata tamaa ulipoona partinerships zinafaili,kuna la kujifunza hapa.Pia hukuona majivuno ya kusoma nje ya nchi,umerudi na kuamua kuajiri watanzania wenzako,Mungu azidi kukuinua umepewa kipawa cha kuona mbali sana sana.Hongera mno kaka yangu ❤
M nilichojifunza ni mungu ndo Kila kitu katika maisha ukifanya kazi kwa bidiii na ukimtegemea mungu lazima ufanikiwe ila kuwa tajili ni kipawa ambacho si wote wanakuwa nacho
ubarikiwe Sana na kiukweli ume 38:28 barikiwasana asante kwa kuwakumbusha vijana kuhusu ajiira elimu ni nyenzo yako kuwa na uwezo kujikimu sio serikali ikupekazi kama tulivyo à wazazi time waamisha waatoto wetu laziima serikali dhana potofu
Fundisho nzuri sana Mulokozi, kitu nimependa jamaa cyo mtu wa kujiinua yaani yuko kama mtu wa kawaida, huyu mtu ataenda mbali sana, Mungu akulinde akutunze somo nzuri sana, Manyara tuna mtu.
Hongera sana Bro binafsi nimejifunza mengi nami nina ndoto za kuja kumiliki kampuni yangu , Mungu akufanikishe zaidi na moyo wa uzalendo kwenye nchi yetu, big up.
Mmh uyu jamaa hakwenda japan na uingereza kuzurura tu ni mtu aliyeenda kutafuta maarifa kwa ajili ya taifa letu. Na ni mtu wa kujali . Ubarikiwe sana Boss
HONGERAA SAAANA KAKA MUNGU AZIDI KUKUTUNZA NA KUKUWEKA. BIG UP MILARD BILA WW TUSINGEMJUA BWANA MULOKOZI. PIA NAMUOMBA KAMA ANA HOSP KWAAJILI YA STAFU NAOMBA KAZI HAPO MM NI MUUGUZI MSTAFU WA MWAKA JANA NAOMBA KAZI HAPO
Hongera sana kwa kweli nimependezwa sana na interview Yako . Nimejifunza kitu sana kupitia wewe nafikiria fursa nyingi sana . Ni mitaji TU tunakosa lakini kumbe hata kidogo unaweza kuanza kitu na ukafika mbali
Hapo kwenye nguruwe kasema kweli aisee Kama MTU unamtaji na hujui chakufanya plz anza na nguruwe utakuja nishukuru nakama huna utalamu wowte juu ya huo mradi tafadhali ntakusaidieni kuwaelekez hata japo kidogo 👍
Kuna mtu alikua atuuwe kabisa haki yamungu , ila hapana mungu anamipango . Hongera kaka tunajifunza mengi yani duu umetupa mwanga wa fulsa na namna hukutaka kampuni ife ukihofia kuuwa ndoto za wengi duuh. Fikiria namna matajir wengi waliishiwa na watu wakakosa ajira jaman familia zikaumia nyingi .
Mimi kuanzia Leo Mr. Mulokozi ni role model wangu, nawish kumsikiliza Kila wakati, Asante sana Millard kwa kutuletea mtu muhimu na muwazi kama huyu ambaye amefanikiwa kwa njia ya kawaida sana ambavyo hata sisi wengine tukiamua tunaweza, kwa mfano nafkiria ameanza kiwanda nikiwa hapa ninapofanya kazi Hadi sasa, umaskini unaendelea kushamiri lakini yeye ameshafika mbali sana kimaendeleo. Ukifkiria hicho kiasi alichoanza nacho kiwanda sio kikubwa sana, so anani inspire sana kuanza Cha kwangu mwenyewe haijalishi ni kwa Hali ya chini kiasi gani, japo sijui pa Kuanzia, Mungu anisaidie! Hongera sana Kaka, Mtanzania mwenzetu🎉🎉🎉
Hongera sana shemeji Mungu akupe maisha marefu siku moja na wish kuwa kama wewe nimejifunza Changamoto zisinikatishe tamaa nimeanguka kipato kabisa Mungu nipe maarifa mapyaa
Itoshe kusema....every successfull point is measured by point of creation and point of implimenting....bilionea mulokozi nakubali umeweza kutujenga vijana juu ya kupambania ndoto zetu na kuamini mipango binafsi iliyobebwa na tafsiri kuu ya kuamini unachokipambania....kongole millard Ayo for the best interview ever here is 2024 ❤❤❤❤❤🎉
Anajieleza vizuri sana, na anajibu maswali kwa ufasaha, maelezo yamenyooka, mifano hai na mengineyo. Mahojiano hayachoshi kabisa. Na kujifunza mtu unajifunza. Hongera millard hongera na kwa mulokozi piaa.
Chenye anasema jamaa ni pure true.. Alhamdulillah mm sima elimu ya veterinary lkn kuna veterinary doctor kwa kampuni yetu na inabidi mm nimpe elimu kulingana na experience Niko nayo cha ajabu anatumia elimu hio hio anakuja ku impliment kwangu ni kana kwamba yy ndo alkua anajua na hajui chochote na ametokq shule😂😂.. experience is more better than izo documents
Hii interview imenitengeneza sana.. hongera sana Brother kwa hatua uliyofikia, pia nikupongeze kwa kushare mapambano yako... imenifanya niweze kufikiri zaidi.
....hongera sn kaka mulokozi,kwa yote uyafanyayo,karibu sn mbeya au Green City kama ulivyosema,cku c nyng! Bnafsi nakusubiria haasa kwny project yako,utakayoianza.b blecd.
Kaka shikamoo naomba sana sana nisaidie mtaji kaka nipo dar Sina kazi nilikua naendesha kirikuu nimenyanganywa nisaidie mkuu nipate kirikuu mkuu mungu akupe nguvu.
Kwa mambo ya ukabila hapo kiukweli my hands 🙌 down and I’m proud of you, wewe ni mtanzania mzalendo na hii ndiyo Tanzania 🇹🇿 tunayoitaka, Grand rising ✊🏾💯
Jina lako limeendana nawewe mwenyezi Mungu azidi kukubaliki we we kweli ni mfano wa kuigwa ubalikiwe sana bro nimekupenda bure kwanza una hofu na muumba wako Nina mengi ya kusema kuusu wwe .
Aloo am speechless, what a brilliant guy. Yes nyumba sio ya kifahari kama alivyosema but the things inside it it's dope. Imagine we look alike in business idea woow am into minerals liquor industry idea in my head, real estate and lastly pharmacistical as well . I am encouraged
Uyu jamaa hata ukimpora mali zote abaki hana kitu atatajirika tena. Smart, wise, hardworking & God fearing 🙌🏼
Kweli huyu jamaa labda umpe uchiz ila ukimpora kila kitu baada ya mwaka jamaa anakupita tena kwa mawe 😂😂😂😂
God fearing ana piga pombe ?
@isaaclameck Kaa apo apo ukidhani wanaokunywa pombe wote hawana hofu ya mungu, nyinyi ndo wale waumini wanakufa njaa kwa kuona biashara flani flani ni za kidunia. Kaa apo apo na ufala wako
God protect u dear
Nimekupata na nimekuulewa Baba Mimi kipindi nimemaliza Chuo Mwaka Jana Nilipofata Kazi Hotel Watu Au Wanafunzi wenzangu Walinicheka But Sasa Hv Wananambia Niwaunganishe Asante Mungu Kwaajili Ya Kila Mtu anaweza kutuelimisha🙏
Watanzania tumshukuru Huyu baba kufunguka watu wa level hii huwa Hawafunguki
Matajiri wengi wabinafsi.
Huyu broo sio mchoyo wa maarifa ndio maana Mungu kambariki na anazidi kubarikiwa
Kweli kabisa
Safi sana huyu mtu mi nlikua simjui kumbe tz wapo watu wenye hela zao na wametulia tu,hongera sana bro
Na huyo ni muhaya, lkn Hana sifa kama ambavyo inachukuliwa😂😅 kwenye jamii
Siku zoteee wat wenye hela hawanaga makelele daima ipo hivo
@@fotunatusimsongole7341 mwijakua ni chizi
@@michaelmulokozi1512watu wana mawe kimya kimya wametulia tu...... hawa wajinga wajinga wa town ndo wanatuletea tabu km akina makonda.
Sasa makonda anahusikaje hapo tatzo unaroho ya wivu mno
My son will be a next billionaire. Hongera sana kijana, the sky in not a limit.
Ukiachana na mulokozi, milard ayo nae ni mtu mwenye akili sana. Mtakuja kunielewa baadae📌
Mulokozi Mungu akubariki sana
Wasomi wengi Tanzania tunachelewesha mendeleo ya nchi
Protocol nyingi kichwani lakini action mbov
Libarikiwe tumbo la mama alie kuzaaa..wanawake msitoe mimba jaman yawezekana wanatolewa watoto kama hawa
Hata kama binadam.hatuwez kufanana kuna ataeza jambaz kahaba mweny kama huyo bas ili maisha yaende lazima tutofautiane
Ha ha ha 😂
Bravo Mulokozi. Uko 100percent correct. Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa nae Zanzibar. Alikuwa boss wa UNDP alihitaji kuajiri wafanyakazi,nikamuomba aniajiri Mimi akakataa na kunoomba tuendelee kunywa soda zetu. Nikashangaa. Nikamuuliza anahitaji watu wenye sifa ipi? Akanijibu anataka wale waliopata Division 4 na zero. Kwa sababu hao ana uhakika atakuwa nao muda mrefu na hawatamsumbua. Wale wa Division 1,2 na 3 hawataki kabisa maana Bado wanahamu ya kutafuta mafanikio mbele. GOD BLESS YOU.
Millard thanks bro 🙏 hizi ndo interviews za kufunza hustlers in streets, MADINi ni mengi sanaa this is all we need to hear and not motivation speakers wa manyoya hadi kuku miaaa😂💥🔥much respect to u all, Millard & Mulokoz👊🫂next episode please 😅😂
Nimependa sana jamaa anajielewa. Maisha yake ni ushuhuda👌.
God is everything
Leo nacoment kwa mara ya kwanza huyu jamaa n mtu na nusu. Hongera mulokoziiii
Asee Milard Ayo wewe pia uko talented sana,huyo mwamba nimesikiliza mawazo yake sana,amejua kutenganisha elimu yake na maisha halisi,natamani nifike babati nimuone fanya mpango wa appointment mkuu
This Episode 4 kuna madini hatari. Picha linaendelea...
Dak 13 Mr Mulokozi anakuambia ana nguruwe 1'000+, farasi 20+, ngamia na nyati maji😮 doooh kama vile nauona utajiri wa king Solomon.
Dak 23 Swali unategemea kustaafu ukiwa na umri gani,,, kama umesikia vizuri farasi kaguna kagoma jamaa asistaafu mapema😂
Dak 31 Nimejifunza kuficha mafanikio ni kuwa na nidhamu ya woga... Kama kweli mafanikio ya halali basi taja ili iwe funzo kwa wengine
Dak 43 Tajiri ana hadi PA duuh
Na bado hajafikia ndoto zake...
INTERVIEW BOMBA SANA. Naisubiri Episode 5 🎉🎉🎉
😂😂👊👊
✊✊
@@millardayoTZAhuyu jamaa nampataje
@@millardayoTZABro nn maana ya PA nisaidie
Sana kaka
Aise huyu kaka nimempenda tena namuombea kabisa kwa Mungu alimlinde na kumuongezea hizo baraka,binafsi nimefurahi sana kuona tajiri msomi maana watu washakariri matajiri hawana elimu 😒 this is such a powerful success story aise thank you millard
Usomi wake ametumia asilimja chache sana katika kutengeneza utajiri wake...uzoefu wa kazi ndio msingi wake
Kweli kabisa
Mungu amtunze sana huyu tajiri, huyu ni asset katika nchi yetu.
Uyu billionaire yupo safi saaana ni smart saaana kichwani yaaan actually ana vitu vingi saaana me nimempa maua yake nice ❤
Lakini pia millard nakushukuru kwa hili. Unajua kututafutia watu wa kutufundisha bwana sasa apa isingekuwa hii kazi yako wewe huyu jamaa si rahisi kumfikia na kupata madini kama haya. Hongera sana kwa kazi yako nzuri
Huyu jamaa ni genius aisee
This guy is so intelligent and real with life! Never seen such a perfect house in East Africa🧢 Big Up sir!
Mungu awafanikishe katika hilo la sim , mtaipatia nchi yetu Tanzania heshima na nitanunua sim yako Mulokozi nasubiri
Aisee mm nimvivu ku comment lakini kwa huyu jamaa nimeshindwa kunyamaza mungu akutunze broo
Huyu Mulokozi yuko vizuri na kwa kweli elimu yake imeweza kumsaidia katika kutafuta fursa na pia amekuwa muwazi hii saaafi Saaanaaa!!
KIUKWELI HUYU JAMAA NI SUPER GIFTED GENIUS
Mimi nimekuelewa tofauti kidogo, haukutaka kutumia watu maarufu kutangaza biashara yako ila umeamua kutengeneza nyumba ambayo imetumika kutangaza biashara yako na umefaulu, hongera sana broo hii ndio maana ya elimu.
Basi @millardayo katika interview zako zote hii ni the best interview kwangu narudia rudia yaani!!
Ndg Mulokozi hongera kwa kazi nzuri...ni jambo jema saana ila sasa
Wahaya mrudi muwekeze Kagera imesahaulika.. umetoa ajira babati bukoba jeeeee???
Huyu jamaa ana madini - mpaka unatamani millard atengeneze episode 10. We still need to hear from this man. More episodes please Millard
Big up brother wafanyabiashara wengi hukwepa Kodi wewe umekuwa mfano 🎉
Dah Mulokozi huyu mtu siyo wa kawaida fikra zake zinaenda mbali jinsi anavyoishi na watu wa Manyara ni elimu tosha kwa jamii haamini katika ushirikina kabisa mwenyezi mungu aendelee kukubariki pia hongera za dhati kwa Ayo Tv na Millard Ayo kwa kutuletea interview bora kuwahi kufanyika Tanzania tunasubiri Episode ya 5
Dakika ya 34:17 asee bonge 1 la point. Ushirikina ni mojawapo ya factor muhimu mno inayoturudisha nyuma sana sisi waafrika not only kwenye ishu ya maendeleo but also kwenye hali za maisha yetu wenyewe kwa wenyewe. Salute broh kwa kulitambua hilo.
Nimempenda saaaana huyu Don
Simlizi zake zimenijenga sana.
Sasa Naona siwezi tena kuwa hivi Nilivyo,maana ni viiiingi nimejifunza, I have big future..
Thanks Tajiri.
Haya yametimia sana masikioni mwetu,kumbe utajiri wa haki na unaodumu uko mikononi mwa mungu ..ni wazi unastahili pongezi sana brother Mlokozi
Da safi sana.....HILI NENO MILAD KALIONGEA MARA ELF 6
😂Hatar
Tunahitaji wasomi wanyenyekevu wasio na majigambo kama Mulokozi, hukukata tamaa ulipoona partinerships zinafaili,kuna la kujifunza hapa.Pia hukuona majivuno ya kusoma nje ya nchi,umerudi na kuamua kuajiri watanzania wenzako,Mungu azidi kukuinua umepewa kipawa cha kuona mbali sana sana.Hongera mno kaka yangu ❤
M nilichojifunza ni mungu ndo Kila kitu katika maisha ukifanya kazi kwa bidiii na ukimtegemea mungu lazima ufanikiwe ila kuwa tajili ni kipawa ambacho si wote wanakuwa nacho
Uko vizuri sana unahela jalafu huna dharau watu wajifuze sana
Good one Millard, hii session nimeikubali sana unlike the other one. Umejua kumkamua madini kwa ajili yetu vijana... kudos!👊🏿
ubarikiwe Sana na kiukweli ume 38:28 barikiwasana asante kwa kuwakumbusha vijana kuhusu ajiira elimu ni nyenzo yako kuwa na uwezo kujikimu sio serikali ikupekazi kama tulivyo à wazazi time waamisha waatoto wetu laziima serikali dhana potofu
Hii interview ina nondo kuliko kukaa darasani na kusoma biashara kwa miaka mitatu. Asante sana Millard.
Mimi nimepata degree tayari.
Sure then the guy is so generous
Haya madini ni aghalabu kuyapata duniani,,,,Big up Mulokozi
Nimekuelewa kaka Mulokozi na nimepata elimu kubwa
Dahh millard huyu jamaa n genius aiseh.
Vip bro ninashida yanamba ya bro kunadili tuonge nipo Congo samahani sana kwahilo kamanitamkera
Huwa nashere hii story kwa mtt wangu wa kiume anayepambana naamini mungu atajifunza kitu
Fundisho nzuri sana Mulokozi, kitu nimependa jamaa cyo mtu wa kujiinua yaani yuko kama mtu wa kawaida, huyu mtu ataenda mbali sana, Mungu akulinde akutunze somo nzuri sana, Manyara tuna mtu.
Hongera sanaa,umetupa Chachi ya kupambanaa
Huyu mwamba namemwelewa. no fake yani, ametiririka kila kitu. Barikiwa sana. Yani hadi nimepata pa kuanzia
He is so real
Huyu jamaa anajua sana. Hizi ndo interview zinazotakiwa kwenye media.
He is amazing, he is a gem for our nation, an example to young people
Hongera sana Bro binafsi nimejifunza mengi nami nina ndoto za kuja kumiliki kampuni yangu , Mungu akufanikishe zaidi na moyo wa uzalendo kwenye nchi yetu, big up.
Kumiliki kampuni raisi shida kusimama kiuchumi
Mmh uyu jamaa hakwenda japan na uingereza kuzurura tu ni mtu aliyeenda kutafuta maarifa kwa ajili ya taifa letu. Na ni mtu wa kujali . Ubarikiwe sana Boss
Kuna kitu nimejifunza kwako bwana mulokoz, shukrani mirad
Asante nimejifunza kitu hapa
Kikubwa hapo imani ya dini yake...sadaka anazozitoa kwa jamii pamoja na kujituma ndio kilichomfikisha hapo ...tuna la kujifunza....hongera kwake
what an interview hii ni yenyewe kabisa nmechukua madini ya kutosha bonge la interview saan
This interview is so waoh, the man is so wisely. Nimsjifubza mnoo. Hongera sana Mr Mlokozi. Maono na Kampuni yako vizidi kutunzwa
Bro respect you pia Mungu amwongezee marifa zaid katika kazi zake 🙏🙏
HONGERAA SAAANA KAKA MUNGU AZIDI KUKUTUNZA NA KUKUWEKA. BIG UP MILARD BILA WW TUSINGEMJUA BWANA MULOKOZI. PIA NAMUOMBA KAMA ANA HOSP KWAAJILI YA STAFU NAOMBA KAZI HAPO MM NI MUUGUZI MSTAFU WA MWAKA JANA NAOMBA KAZI HAPO
very powerful man and intelligent
Hongera sana kwa kweli nimependezwa sana na interview Yako . Nimejifunza kitu sana kupitia wewe nafikiria fursa nyingi sana . Ni mitaji TU tunakosa lakini kumbe hata kidogo unaweza kuanza kitu na ukafika mbali
Brother ni kitabu cha kujikwamua kimaisha na Ayo unajua kuhoji maswari ya kujenga bravo
Hapo kwenye nguruwe kasema kweli aisee Kama MTU unamtaji na hujui chakufanya plz anza na nguruwe utakuja nishukuru nakama huna utalamu wowte juu ya huo mradi tafadhali ntakusaidieni kuwaelekez hata japo kidogo 👍
Toa namba zako
Laoiyadi tunaomba maelekezo
@@estherlufingo7299 tuma no yako nikucheki
Kuna mtu alikua atuuwe kabisa haki yamungu , ila hapana mungu anamipango . Hongera kaka tunajifunza mengi yani duu umetupa mwanga wa fulsa na namna hukutaka kampuni ife ukihofia kuuwa ndoto za wengi duuh. Fikiria namna matajir wengi waliishiwa na watu wakakosa ajira jaman familia zikaumia nyingi .
MUNGU MKUBWA SANA, 🖐🖐🖐🖐
Father nataka kuongeya na wewe kidogo🙏, kwasababu nimekufahia sana na mimi nimeanze mwaka jana ila ningali na myaka 20old
Mimi kuanzia Leo Mr. Mulokozi ni role model wangu, nawish kumsikiliza Kila wakati, Asante sana Millard kwa kutuletea mtu muhimu na muwazi kama huyu ambaye amefanikiwa kwa njia ya kawaida sana ambavyo hata sisi wengine tukiamua tunaweza, kwa mfano nafkiria ameanza kiwanda nikiwa hapa ninapofanya kazi Hadi sasa, umaskini unaendelea kushamiri lakini yeye ameshafika mbali sana kimaendeleo. Ukifkiria hicho kiasi alichoanza nacho kiwanda sio kikubwa sana, so anani inspire sana kuanza Cha kwangu mwenyewe haijalishi ni kwa Hali ya chini kiasi gani, japo sijui pa Kuanzia, Mungu anisaidie! Hongera sana Kaka, Mtanzania mwenzetu🎉🎉🎉
Hongera sana shemeji Mungu akupe maisha marefu siku moja na wish kuwa kama wewe nimejifunza Changamoto zisinikatishe tamaa nimeanguka kipato kabisa Mungu nipe maarifa mapyaa
Itoshe kusema....every successfull point is measured by point of creation and point of implimenting....bilionea mulokozi nakubali umeweza kutujenga vijana juu ya kupambania ndoto zetu na kuamini mipango binafsi iliyobebwa na tafsiri kuu ya kuamini unachokipambania....kongole millard Ayo for the best interview ever here is 2024 ❤❤❤❤❤🎉
Brilliant
Anajieleza vizuri sana, na anajibu maswali kwa ufasaha, maelezo yamenyooka, mifano hai na mengineyo. Mahojiano hayachoshi kabisa. Na kujifunza mtu unajifunza. Hongera millard hongera na kwa mulokozi piaa.
Exactly. Huyu anavyojieleza, unajua kabisa utajiri mbali ya mali, ni akili yake.
Chenye anasema jamaa ni pure true.. Alhamdulillah mm sima elimu ya veterinary lkn kuna veterinary doctor kwa kampuni yetu na inabidi mm nimpe elimu kulingana na experience Niko nayo cha ajabu anatumia elimu hio hio anakuja ku impliment kwangu ni kana kwamba yy ndo alkua anajua na hajui chochote na ametokq shule😂😂.. experience is more better than izo documents
Ndiyo faida ya elimu hiyo...!!!
Akili kubwa ubarikiwe sana maana Kuna kitu umenipa💪
Salute! Salute! Salute! Am just speechless
Hongera sana mulokozi kwa elimu Yako nzuri,, and big up bro milady ayo
Mwenyezi Mungu azidi kukutunza kwa sababu huna ubinafsi unafikiria sana nchi yako. Ni wachache sana wenye Moyo huo. Mungu akubariki sana.
Saaaf saaana kaka ,nimepata mambo meng saana kwako
Inspiring
Kuhusu kuandika kitabu, mwambie Mulokozi anicheki mimsaidie kwenye hilo.
Asante sana kaka kwa kufunguka. Haojaongea uongo kama King msukuma. Maana watu wa biashara tunakuelewa.sana
Am highly Inspired…🎉
Hii interview imenitengeneza sana.. hongera sana Brother kwa hatua uliyofikia, pia nikupongeze kwa kushare mapambano yako... imenifanya niweze kufikiri zaidi.
Nashukuru sana tajiri wangu mungu akupe maisha marefu.
....hongera sn kaka mulokozi,kwa yote uyafanyayo,karibu sn mbeya au Green City kama ulivyosema,cku c nyng! Bnafsi nakusubiria haasa kwny project yako,utakayoianza.b blecd.
Huwa nakatiza kusikiliza story ndefu , lkn hii mpk kufika mwisho naona km ndio unaanza ' wengi umetufumbua MULOKOZI big up
Yaani kaka uko vizuri, umeongea madini tupu barikiwa sana kaka.. barikiwa Milard
Salute salute speechless
Daa hongera sana Kaka millard naomba niombee kazi ndugu nipo mbeya aniajiri ktk kiwanda Cha iwambi _ mbeya.
Kaka shikamoo naomba sana sana nisaidie mtaji kaka nipo dar Sina kazi nilikua naendesha kirikuu nimenyanganywa nisaidie mkuu nipate kirikuu mkuu mungu akupe nguvu.
Muombe Mungu kwanza aliye mmiliki ww na yeye utapata tu
Kwer
Millard ipange Kweny mpangilio hii interview please inasumbua kuitafuta kuanzia part one
jmaaa nimempenda sna mm napenda sna biashara
The best Interview ever! Hongera sana brother Mulokozi na ahsante sana brother Millard!
Ishu yawaganga imekaa kipumbavu ukiendekeza waganga jua tu umaskini utakufatilia kwa nguvu
Waganga niwa tibabu
@@silivestatesha9262 yaaap guys
Good questions millad👊
Jameni asante sana kwa haya kwa pamoja na shukuru sana kwa mwandishi wa habari pamoja na mhojiwa
Mulokozi hapo nmekuelewa sana yaan kwamba ukiwa unafanya kazi Kuna time unatakiwa ujipongeze ni nzuri hyo nmeipenda sana❤
Millard big up bro unatisha kwa kufanya interview kali🎉🎉
Kwa mambo ya ukabila hapo kiukweli my hands 🙌 down and I’m proud of you, wewe ni mtanzania mzalendo na hii ndiyo Tanzania 🇹🇿 tunayoitaka, Grand rising ✊🏾💯
Manshallah tabarakallah
Jina lako limeendana nawewe mwenyezi Mungu azidi kukubaliki we we kweli ni mfano wa kuigwa ubalikiwe sana bro nimekupenda bure kwanza una hofu na muumba wako Nina mengi ya kusema kuusu wwe .
Uko vizuri sana maelezo yako ni ya baraka sana mulokozi
Aisee nmejifunza vingi kupitia huyu jamaa, asante Millard kwa interview nzuri
Aloo am speechless, what a brilliant guy. Yes nyumba sio ya kifahari kama alivyosema but the things inside it it's dope. Imagine we look alike in business idea woow am into minerals liquor industry idea in my head, real estate and lastly pharmacistical as well . I am encouraged