Jux Afunguka kukosa Mtoto na Ex zake wote, Jackie, Vanessa Mdee wala Karen! Part 5

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2024
  • Swala la Jux kupata mtoto limekua stori kubwa pia kwa Msanii wa RNB Jux African Boy, katika interview hii, Jux amemaliza utata wa swali la kwanini hakuwa kupata mtoto na Ex zake wote, Jackie, Vanessa Mdee wala Karen!
    Tazama full interview ya Jux hapa
    Subscribe, Like, Comment & Share
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 35

  • @esthermatisho2604
    @esthermatisho2604 Месяц назад +6

    I love the way Jux knows who he's and what he wants in life. Kila la kheri wake. 😊

  • @annethsongwe6063
    @annethsongwe6063 Месяц назад +3

    Umeongea point hapo kwenye kuhandle family alafu unakuwa na mtu kwaajil ya mapenz,mi nimeweza hilo ila nmeona watu wengi wananiambia najitesa ningetafuta mtu anisaidie kulea but mi natambua Mungu ananisimamia hata km nina umri mdogo na mume wangu amefarik nikiwa na 20something hadi leo,Nakuombea Jux upate mtu mwenye kujielewa,mpambanaji,msimamizi mzuri na hofu ya Mungu🙏

  • @scollantandu2350
    @scollantandu2350 Месяц назад +2

    Jux jamani mie nakukubali kinoma, hunaga zarau unahekima sana, MUNGU akupiganie usijebadilika ❤

  • @robert.joseph
    @robert.joseph Месяц назад +2

    This is the best part of the interview out of them all

  • @emratekawala5853
    @emratekawala5853 Месяц назад

    I wish I could meet this guy ❤one day

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Месяц назад +3

    jux kuwa makin sana kuanzia leo wanawake watajitegesha hili mladi tu wapate mimba kwakuwa tu wewe umesema upo tayar

  • @El-roseMaya
    @El-roseMaya Месяц назад

    Uwo ndo uanaume baba nakusapoti sana😮❤❤

  • @user-lq6mt5ji4l
    @user-lq6mt5ji4l Месяц назад +1

    Jamani nampenda jux sema nimezaa ananizidi umri walah angenioa tunaendana nae kabisa lakini ndio hivyo Niko usd😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤

  • @deogratiusleonard
    @deogratiusleonard Месяц назад +1

    While excessive stress isn't good for your overall health, there's no evidence that stress results in miscarriage. About 10% to 20% of known pregnancies end in miscarriage. But the actual number is likely higher because many miscarriages occur before the pregnancy is recognized.

  • @hiki242
    @hiki242 Месяц назад

    Insha'Allah Allah yupo pamoja nawe

  • @thadeoponas4458
    @thadeoponas4458 Месяц назад

    Facts🎉

  • @DorcMfinang
    @DorcMfinang Месяц назад

    Juma nakuomba plz unipigie nakupenda San

  • @thabitdaudi9815
    @thabitdaudi9815 Месяц назад +3

    Pia jamaa hajatambua nin anataka. Anasema mwanamke aweze kusimamia familia asipokuwepo. At the same time ata provide kila ktu kwake.😅 how does that even sound in the same sentence

    • @albertmullah2377
      @albertmullah2377 Месяц назад

      It does bro.. mm pia napenda mwanamke independent ambae anaweza kusimama hata nisipokuepo, but that doesn't affect the fact that am a man na nitatakiwa kuprovide kila kitu. Mtu ambae hajielew ata ukiwa unaprovide unaweza usione faida yake yoyote na kua na mtu anaejielewa/fighter, hata ukiwa na kidogo unaona impact kubwa

  • @jimmyjaphet136
    @jimmyjaphet136 Месяц назад

    Huyu ni mimi kabisaaaaaaaa yani kabisaaaaaaa❤❤🔥🔥✌🏾

  • @mariesafari4266
    @mariesafari4266 Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @j...876
    @j...876 Месяц назад

    Kaka uko ready sasa mad huo ndo una henda kupata ki TUMA njiya!! Pole lakini kwa ma fans-!!!

  • @bizzyjunior_tz
    @bizzyjunior_tz Месяц назад

    🔥🔥🔥

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Месяц назад

    Mayai viza itakua ...

  • @sylviaforest3001
    @sylviaforest3001 Месяц назад

    Haya maswali ya watoto wacheni kuliza uliza watu juu Mungu ni yeye anapewa watoto sio kwa bidii zetu watu wakajuwa hivyo wangenyamaza

  • @DjmekaMeka
    @DjmekaMeka Месяц назад

    interview bovu kinoma yaan

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um Месяц назад

    Ili chokoo tu

  • @NiceJoram-pl7vf
    @NiceJoram-pl7vf Месяц назад

    Hata usipotaja huyo ni vee coz alishawahi sema interview moja hawezi beba mimba coz hayuko tayari bado anatafuta pia ana stress nyingi za utafutaji😂😂

  • @Bill_Blaze
    @Bill_Blaze Месяц назад

    hahahahha mwamba anaachika yy tyu daily 😢

  • @user-lo5cl4ll5p
    @user-lo5cl4ll5p Месяц назад

    Wewe muongo jux ulivyo mzr iv mtu asizae na ww itoke mimi hapa siwez kuacha kubeba mimba ako ata iweje nazaaa😂

  • @misheckmisheck6350
    @misheckmisheck6350 Месяц назад

    Huyu ni Mimi kabisa

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 Месяц назад +1

    Huyu ni shoga hazai

  • @EvaBintony
    @EvaBintony Месяц назад

    nakupenda ww mmbwa

  • @williamdungumaro6668
    @williamdungumaro6668 Месяц назад

    Uyu bwana Hana mbegu

  • @gudayakutemile577
    @gudayakutemile577 Месяц назад

    Machoko bhna Huwa wanaona kama wanaongea points