SARAH WA DIAMOND : MPENZI WANGU ALIKASIRIKA NILIVYOITWA, WANAUME WANANITONGOZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Комментарии • 159

  • @zainakhalid3843
    @zainakhalid3843 4 месяца назад +45

    Saraa kiukwel huyu dada akiongea huchoki msikiliza nampenda😍

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 4 месяца назад +31

    Kati ya watangazaji tangu wameanza kumuhoji sara wewe namba 1 unaijua kazi yako hongera

    • @aminaali792
      @aminaali792 4 месяца назад +2

      Kweli nilitaka kusema the same maa sha Allah 😍😍

    • @Itssutsuri
      @Itssutsuri 4 месяца назад

      True

  • @marthanassari3524
    @marthanassari3524 4 месяца назад +15

    P you are bright since mdogo. Keep shining kipenzi. Kati ya walomuhoji da Sarah basi you did the best.

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 4 месяца назад +21

    Sarah Una busara sana ❤

  • @joycekaganga6924
    @joycekaganga6924 4 месяца назад +12

    Mdada mstaarabu nimempenda bure ana hekima heshima anajieleza vizuri anajibu vizuri huchoki kumsikiliza ❤🎉

  • @JonathanLuandala-p7j
    @JonathanLuandala-p7j 4 месяца назад +16

    Mi napenda anavoita jina la Nasiiibu sauti yake mpangilio wa maneno very nice

  • @joycekaganga6924
    @joycekaganga6924 4 месяца назад +11

    Mtangazaji upo vzur umemuhoji vzur kuliko wote ❤

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 4 месяца назад +18

    Sarah ni mzuri san❤

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 4 месяца назад +7

    Utu na utulivu busara na pole heshima Hongera sana Sarah ❤

  • @SishAbcd-gk6df
    @SishAbcd-gk6df 4 месяца назад +3

    Mm nimefurai sana kumusikiza sara namupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 4 месяца назад +12

    Mtangazaji mzuriii ❤❤❤❤❤

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 4 месяца назад +4

    nimewatazama kutoka
    Northampton uk
    Sarah uko humble,calm,respectfull

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani1101 4 месяца назад +9

    Kumbe Sarah wew ni mwislam.
    Maa Shaa Allah.

  • @tshibangumunyenza7383
    @tshibangumunyenza7383 4 месяца назад +2

    Sarah hummmmm lovely . One love ❤️ watching live from Toronto 🇨🇦🇨🇦 Nasibu mke uyu apa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿she’s beautiful. Si choke kumusikilisa , mama Dangote copyright.

  • @shabaninshimirimana5248
    @shabaninshimirimana5248 4 месяца назад +1

    Mtangazaji nomasana kamaliza maswaliyote kabissa very nice bravo

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 4 месяца назад +12

    Nampenda da Sarah ❤❤❤😊

  • @SaidaTulinge-hr2su
    @SaidaTulinge-hr2su 4 месяца назад +1

    Asante sara umejibu vzur nakupenda bulee❤

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 4 месяца назад +1

    Beautiful 🎉🎉🎉

  • @naomikrause1762
    @naomikrause1762 4 месяца назад +1

    SARAH YOUR🙏🙏💪💪♥️
    ♥️ BARIKIWA

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 4 месяца назад

    Sarah uko vizuri sana,mtangazaji umetishaa❤❤

  • @mwambaadijira7190
    @mwambaadijira7190 4 месяца назад +2

    Yani wanawake wote wangekuwa km weye duuh uko n'a hekima sana alafu unajuwa nafasi yako kbs❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 месяца назад +1

    ❤❤wewe saraha wala usijali hao walikuwa na wivu tu.We songa mbele na biashara.Yaan hapo pa kutuma hapo hata mimi vile mtu nikimtuma nataka ufanye muda huo huo❤❤❤🙏🙏👍👍

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 4 месяца назад +2

    Leo umevaa vizuri

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k 4 месяца назад

    Nakupenda Sarah kw kutopaka mkorogo we ulitishaa sana napenda confidence yko unajiamini sana❤❤❤

  • @marthanassari3524
    @marthanassari3524 4 месяца назад +1

    Waooo. Ana busara sana.

  • @BlessingMugisha-q7n
    @BlessingMugisha-q7n 4 месяца назад

    Laaa,njo kuwona musicana wa tanzania anawongeya vizuri.
    Big up

  • @zainabumtubwi1055
    @zainabumtubwi1055 4 месяца назад

    Nimeipenda hii interview Heru R na L zimetumika vizuri sana .unasikia raha kuisikiliza na kuedelea kuiyona

  • @ibrahimkarisa-bu1su
    @ibrahimkarisa-bu1su 4 месяца назад +3

    huyu dada anafaa kupewa kazi one of these media..anajua kuongea, ako open and social

  • @fettymo2055
    @fettymo2055 4 месяца назад +1

    Nilikua sijui kama kuna mwanamke mwingine tena wa mondi ila sara mashallah hakika

  • @herrwin.
    @herrwin. 4 месяца назад +5

    unahekima sana sarah ,

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 4 месяца назад +11

    Kidogo hii Media mmekuja na interview ya tofauti kabisa kwa Sara hongereni

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 месяца назад +3

    Sara❤❤❤❤❤

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 4 месяца назад

    Mwanzo sarh na kupenda bure .napia na kuunga mkono kwa cupol ulochanguwa.ni kweli wema na daimond ni cupal ilo fana sana sana.hapo umesema kweli kabisa .love yuuuuuuuuu.sarah

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 4 месяца назад +2

    Daah Sarah 🤣🤣🤣❤️❤️

  • @CeciliaChuwa-q2k
    @CeciliaChuwa-q2k 4 месяца назад +1

    Nice Sarah

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne7632 4 месяца назад +7

    Yan huyu Sarah apewe Kazi kwenye kituo fulan kikubwa cha Tv anajua kujieleza then yuko Social Sana

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 4 месяца назад +2

    Sara uko vizuri na una busara,achana na hao wanaotoa mitusi

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 4 месяца назад +2

    Uyu dada yupo vizuri sana kwa kuhoji

  • @ZainabuMohammed-tx9pj
    @ZainabuMohammed-tx9pj 4 месяца назад +3

    Simba hakukosea da Sara una utu na utulivu busara umejaaliwa❤❤❤

  • @wardamohamood
    @wardamohamood 4 месяца назад +1

    Love sarah❤

  • @TATUKIMARIO-k5t
    @TATUKIMARIO-k5t 4 месяца назад +1

    Saraaaaa ❤❤❤❤ unaongea vizur

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 4 месяца назад

    That is first love

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 4 месяца назад +1

    Uyu dada Yuko na HEKIMA na wala hajiskii... MUNGU akutunze Sana📌🙏

  • @RizikiAssenga-zn5se
    @RizikiAssenga-zn5se 4 месяца назад

    Natamani Sana Diamond angemuoa mke huyo❤

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by 4 месяца назад +2

    Media msiweke mdundo kwenye mahojiano

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 4 месяца назад +8

    Kwa kweli huyu dada anafaaa kuwa mke wa Diamond. Katulia, ana hekima na ni mzuri. Hajisikii, nakupenda bure sarah, I wish ungekuwa wifi yetu wa taifa kwa Diamond

  • @gladyskanemba1079
    @gladyskanemba1079 4 месяца назад

    nimempenda mtangazaji na kidole chake cha sita amejikubali yupo huru hafichi kidole na hii ni alama yake, she so is special.

  • @WILIAMMWIGEMA
    @WILIAMMWIGEMA 4 месяца назад +1

    Sara una hekima kweli yaniiii

  • @devotaijumba8332
    @devotaijumba8332 4 месяца назад +1

    South Africa big up.sarah mpole nyie.ongera

  • @devothachitamu1528
    @devothachitamu1528 4 месяца назад +3

    Yani hafai kuwa mke wa D youko zaidi nasibu mchafuko hafai pesa tu ndio anatumia kwa wanawake

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤sarah

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 4 месяца назад +3

    Saraa ni mwanake wa kuoa haswa sio mshamba kama wengine

    • @thamani5842
      @thamani5842 4 месяца назад

      Tena kinachofanya asiolewe nn?

  • @georgeodhiambo870
    @georgeodhiambo870 4 месяца назад

    I appreciate diamond 4 what he did

  • @salyali7807
    @salyali7807 4 месяца назад +1

    Sara nampenda anavyoongea

  • @lilianebitariho8562
    @lilianebitariho8562 4 месяца назад

    Iko na hekima

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 4 месяца назад

    Sarh we ni mstarabu sana.maongezi yako ya kikubwa.napena iyo

  • @leonidamachuru5960
    @leonidamachuru5960 4 месяца назад +1

    Diamond Unadanganywa zuchuuuuuuuuuuuuuuu ndio mrembo kwako mnaendana sana

    • @ControlRoom-q1s
      @ControlRoom-q1s Месяц назад

      @@leonidamachuru5960 nop zuchu hapana bado sana

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys 4 месяца назад

    Mtangazaji ana kidole cha 6 😢 Hongera una maswali mazuri na Sauti yako kwa Mbali kama Aaliyah 😊

  • @ZabibuMwenda
    @ZabibuMwenda 4 месяца назад +1

    Penda Sara Sarah jamani

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 4 месяца назад

    Mhhh.maaaaninaaa acheni uongo na kiki

  • @PriscarwawudatumboPriscar
    @PriscarwawudatumboPriscar 4 месяца назад +2

    We sara tumekuchoka unavuruga nyumba za watu ..siufuate maisha yako wewe mbona unangangania unajua diamond ana wake wangapi..playboy huyo ..mtoto kama kweli ni wa diamond alikuwa wapi ..sasa unataka umpe mtoto kirahisi tu hivyoo..wewe shortwire nini..

  • @SeverinoLuis-j1h
    @SeverinoLuis-j1h 4 месяца назад +2

    Waambie waelewe kwamba we sara si mshamba

  • @ladyG25
    @ladyG25 4 месяца назад

    Her confidence is my problem ❤❤❤

  • @juliethhenrymasanja940
    @juliethhenrymasanja940 4 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 4 месяца назад +1

    Maskini hana tamaa sarah

  • @FedhaNdungangowe
    @FedhaNdungangowe 4 месяца назад

    Ongera sara unabaya

  • @roseassey5173
    @roseassey5173 4 месяца назад +1

    Wangapi wamegundua sarah anaongea Kama diamond

  • @gracekirundwa1812
    @gracekirundwa1812 4 месяца назад

    Ana mtoto na Nasibu?

  • @christeralicha16
    @christeralicha16 4 месяца назад +1

    Sara❤❤❤

  • @chimamilion
    @chimamilion 4 месяца назад

    Ukiletwa mjini tumia fulsa vzr

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524 4 месяца назад

    Ndo maana Ana ng'ata ulimi kumbe last born.

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 4 месяца назад +1

    We unaesema Salah anasura mbaya kama mkundu nimkundu wako au wamamaako msenge wewe mjjalana Salah ana ubaya gan mbwa wewe

  • @NadiaNadu-r3v
    @NadiaNadu-r3v 4 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @julesngama2508
    @julesngama2508 4 месяца назад +2

    Uki Ona mwana damu Ana tukana kiumbe cha Mungu baba uyo ni kiumbe cha Shetani

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 4 месяца назад

    Yaani wa tz bado tuu mnampa interview huyu dada na wakati ile ni Kiki tuu😢

    • @ControlRoom-q1s
      @ControlRoom-q1s Месяц назад

      Sio Kiki kwani yeye sio mwanaume au ni wivu na wewe

    • @ControlRoom-q1s
      @ControlRoom-q1s Месяц назад

      Kwani Sarah sio mwanamke au ni wivu

  • @ZUHURASEIF-v1j
    @ZUHURASEIF-v1j 4 месяца назад

    Ss uyo Mtto Sara hamjui babayake halisi ss umuonyeshi mpakalini
    Naiyo birth ulimsaji Nani
    Babu yake ama Babamwingine sio sawa.

  • @leonidamachuru5960
    @leonidamachuru5960 4 месяца назад

    Hamshindi zuhura jameni ata kidogo

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 4 месяца назад +3

    Sister sarah mbona miwani yenye ncha Kali?

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 4 месяца назад

    Acha waseme wivu tu

  • @barutwanaclaude6319
    @barutwanaclaude6319 4 месяца назад +1

    Yani kina Sarah Mungu aritujaalia kabisa, yani saara unanichekesha eti utatafuta mapenzi baada yakua na hela tafuta hela kwanza😅😅

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp 4 месяца назад

    Sasa Sarah utatembea mitandao yote

  • @JacqueNiyonzima
    @JacqueNiyonzima 4 месяца назад

    Et muko na mtoto na daimnd type ukweli

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul 4 месяца назад

    Uyu dada anatabia za ex wangu

  • @ashattbooo
    @ashattbooo 4 месяца назад +1

    Uyu dada anaongea kwaadabu

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 4 месяца назад +3

    Una bahati umepaa wakati Dada wa Taifa kafungiwa, tungeshamjua bwana yako, mimba ngapi ulitoa, danga lako na mengineyo😂😂

  • @MariamWiliam-z8k
    @MariamWiliam-z8k 4 месяца назад

    Unajiita saut yamanka wenimsenge unanamtukana Salah kakukosea Nini paka wewe acha usenge mkundu wamamaako

  • @tatungwele2728
    @tatungwele2728 4 месяца назад

    Kwaiyo sara anampango wakumaliza media zote za bongo😂

  • @janetharris7509
    @janetharris7509 4 месяца назад

    TREND FOR NOW THATS BONGOLAND USHAMBAAA MEDIA NYAMBAFUU

    • @ControlRoom-q1s
      @ControlRoom-q1s Месяц назад

      Sarah ni mwanamke genius Acha wivu nyie wanawake especially you janeth

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 4 месяца назад

    Wabongo bwana kz kwelix2....

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 4 месяца назад +3

    Sara usijishaue sana, Mondi na Zuchu wanakutumia wapate kiki za wimbo zao, usijiaminishe Zuchu na Mondi mpaka Kama, umeshalewa Sifa mpaka bwana yako humpaishi? Mtu mzima shikilia Bwana yako Mondi ana mwenyewe

    • @DinaKyahe
      @DinaKyahe 4 месяца назад +1

      Amejishaua na nini sasa

    • @BeatriceChaula-v7c
      @BeatriceChaula-v7c 4 месяца назад +1

      Nimekuelewa hii ni kiki kunakitu kinakija lazima

    • @darajalakidatukilomgi2362
      @darajalakidatukilomgi2362 4 месяца назад

      @@BeatriceChaula-v7c ona Zuchu kanachachatika Mama yake anajipaisha, Mama Mondi kiki kama zote, Sara tumia muda wako sasa ikifika sabasaba tumeshakusahau

    • @thamani5842
      @thamani5842 4 месяца назад

      Haya yooote kwa vile Diamond ana pesa, kinyume chake ingelikua uyo bwana wako wa sasa ndo anapesa na diamond hohe hahe...

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 4 месяца назад +3

      Sasa kwani kafanya nini mpaka umwambie anajishaua, kama ni kujishaua Mondi ndio amejishaua kumpandisha Sarah.
      Kama Sarah angetaka kujishaua angeshafanya siku nyingi, kumbuka ni miaka 15 tangu ameachana na Mondi na yupo kimya hivi wewe ungeweza.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 4 месяца назад +1

    Naumri huu hajaolew polen wallah hamuogop kufa kupo kuziniw ndo dili duuh mungu atunusuru

    • @souvenirweber7169
      @souvenirweber7169 4 месяца назад +4

      Kama ulijioa sio kila mwanamke atamuoa. Muda ukifika sahihi wa Mola atampa mweza wa kumuoa .mwone jisura la linafiki kujifanya mweeema na kukosoa ujinga.

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 4 месяца назад +1

      @@souvenirweber7169 w ndo mjinga kabsa endeleen kuziniw hatujawakatanza ma ubwa nyie wote unakubali kuziniw alfu upo hap kenge ww uso jitambua et mda ukifika mbon hujasem mda wakufa ukifika inatosha jinga san ww

    • @aboudijaaboudija
      @aboudijaaboudija 4 месяца назад

      ​@@omanoman2044Wew ni Mungu???

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 4 месяца назад

      @@aboudijaaboudija ulisikiag mungu ana coment hap am ww ni mpuuz mmoja lam yy

    • @werehere2006
      @werehere2006 4 месяца назад

      Dhana mbaya, katawaze uswali mxiew

  • @RuhamMamy
    @RuhamMamy 4 месяца назад +1

    Huyu sara mbaya

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 4 месяца назад +3

    Kama bibi

  • @Makakulaya
    @Makakulaya 4 месяца назад

    Sura mbaya kama mukundu wa babalevo

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 месяца назад

      Huna filwa weweeee si bure

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 4 месяца назад +1

      Kifilo kimekukolea mpak akili imehama😂😂😂😂

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 4 месяца назад +2

      Maneno kama haya yanatoka Kwa mtu mchanga wa fikra na mwelekeo wa maisha.

    • @fardhanaroness4752
      @fardhanaroness4752 4 месяца назад

      Ana stress za maisha huyu

    • @ndindaqueen9346
      @ndindaqueen9346 4 месяца назад

      Aghalia sura yako kwa kioo

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 4 месяца назад +8

    Sarah ni mzuri san❤

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 4 месяца назад +5

    Mtangazaji nimekupenda saana sauti yako. Na unaongea vizuri sana kiswahili. Hutuharibii lugha. Unajua kuziwajibisha R na L.❤

  • @wamburagrace2432
    @wamburagrace2432 4 месяца назад

    ❤❤❤

  • @AliceIrankunda-kh7yy
    @AliceIrankunda-kh7yy 4 месяца назад +1

    Sarah ❤❤

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 4 месяца назад +29

    Dada mzuri sana!!! una hekima nyingi na Busara...

  • @Kakozi-pj6ib
    @Kakozi-pj6ib 4 месяца назад +6

    Hapa kuna mtu na nusu """ unajua kujb"" Sarah mda ndo huuu """