SARAH WA DIAMOND : MPENZI WANGU ALIKASIRIKA NILIVYOITWA, WANAUME WANANITONGOZA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Saraa kiukwel huyu dada akiongea huchoki msikiliza nampenda😍
Tafuta meneja akuongoze
Kati ya watangazaji tangu wameanza kumuhoji sara wewe namba 1 unaijua kazi yako hongera
Kweli nilitaka kusema the same maa sha Allah 😍😍
True
P you are bright since mdogo. Keep shining kipenzi. Kati ya walomuhoji da Sarah basi you did the best.
Sarah Una busara sana ❤
Mdada mstaarabu nimempenda bure ana hekima heshima anajieleza vizuri anajibu vizuri huchoki kumsikiliza ❤🎉
Mi napenda anavoita jina la Nasiiibu sauti yake mpangilio wa maneno very nice
Mtangazaji upo vzur umemuhoji vzur kuliko wote ❤
Sarah ni mzuri san❤
Utu na utulivu busara na pole heshima Hongera sana Sarah ❤
Mm nimefurai sana kumusikiza sara namupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mtangazaji mzuriii ❤❤❤❤❤
nimewatazama kutoka
Northampton uk
Sarah uko humble,calm,respectfull
Kumbe Sarah wew ni mwislam.
Maa Shaa Allah.
Sarah hummmmm lovely . One love ❤️ watching live from Toronto 🇨🇦🇨🇦 Nasibu mke uyu apa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿she’s beautiful. Si choke kumusikilisa , mama Dangote copyright.
Mtangazaji nomasana kamaliza maswaliyote kabissa very nice bravo
Nampenda da Sarah ❤❤❤😊
Asante sara umejibu vzur nakupenda bulee❤
Beautiful 🎉🎉🎉
SARAH YOUR🙏🙏💪💪♥️
♥️ BARIKIWA
Sarah uko vizuri sana,mtangazaji umetishaa❤❤
Yani wanawake wote wangekuwa km weye duuh uko n'a hekima sana alafu unajuwa nafasi yako kbs❤
❤❤wewe saraha wala usijali hao walikuwa na wivu tu.We songa mbele na biashara.Yaan hapo pa kutuma hapo hata mimi vile mtu nikimtuma nataka ufanye muda huo huo❤❤❤🙏🙏👍👍
Leo umevaa vizuri
Nakupenda Sarah kw kutopaka mkorogo we ulitishaa sana napenda confidence yko unajiamini sana❤❤❤
Waooo. Ana busara sana.
Laaa,njo kuwona musicana wa tanzania anawongeya vizuri.
Big up
Nimeipenda hii interview Heru R na L zimetumika vizuri sana .unasikia raha kuisikiliza na kuedelea kuiyona
huyu dada anafaa kupewa kazi one of these media..anajua kuongea, ako open and social
Nilikua sijui kama kuna mwanamke mwingine tena wa mondi ila sara mashallah hakika
unahekima sana sarah ,
Kidogo hii Media mmekuja na interview ya tofauti kabisa kwa Sara hongereni
Sara❤❤❤❤❤
Mwanzo sarh na kupenda bure .napia na kuunga mkono kwa cupol ulochanguwa.ni kweli wema na daimond ni cupal ilo fana sana sana.hapo umesema kweli kabisa .love yuuuuuuuuu.sarah
Daah Sarah 🤣🤣🤣❤️❤️
Nice Sarah
Yan huyu Sarah apewe Kazi kwenye kituo fulan kikubwa cha Tv anajua kujieleza then yuko Social Sana
Sara uko vizuri na una busara,achana na hao wanaotoa mitusi
Uyu dada yupo vizuri sana kwa kuhoji
Simba hakukosea da Sara una utu na utulivu busara umejaaliwa❤❤❤
Love sarah❤
Saraaaaa ❤❤❤❤ unaongea vizur
That is first love
Uyu dada Yuko na HEKIMA na wala hajiskii... MUNGU akutunze Sana📌🙏
Natamani Sana Diamond angemuoa mke huyo❤
Media msiweke mdundo kwenye mahojiano
Kwa kweli huyu dada anafaaa kuwa mke wa Diamond. Katulia, ana hekima na ni mzuri. Hajisikii, nakupenda bure sarah, I wish ungekuwa wifi yetu wa taifa kwa Diamond
nimempenda mtangazaji na kidole chake cha sita amejikubali yupo huru hafichi kidole na hii ni alama yake, she so is special.
Sara una hekima kweli yaniiii
South Africa big up.sarah mpole nyie.ongera
Yani hafai kuwa mke wa D youko zaidi nasibu mchafuko hafai pesa tu ndio anatumia kwa wanawake
❤❤❤❤❤❤❤❤sarah
Saraa ni mwanake wa kuoa haswa sio mshamba kama wengine
Tena kinachofanya asiolewe nn?
I appreciate diamond 4 what he did
Sara nampenda anavyoongea
Iko na hekima
Sarh we ni mstarabu sana.maongezi yako ya kikubwa.napena iyo
Diamond Unadanganywa zuchuuuuuuuuuuuuuuu ndio mrembo kwako mnaendana sana
@@leonidamachuru5960 nop zuchu hapana bado sana
Mtangazaji ana kidole cha 6 😢 Hongera una maswali mazuri na Sauti yako kwa Mbali kama Aaliyah 😊
Penda Sara Sarah jamani
Mhhh.maaaaninaaa acheni uongo na kiki
We sara tumekuchoka unavuruga nyumba za watu ..siufuate maisha yako wewe mbona unangangania unajua diamond ana wake wangapi..playboy huyo ..mtoto kama kweli ni wa diamond alikuwa wapi ..sasa unataka umpe mtoto kirahisi tu hivyoo..wewe shortwire nini..
Wapi kasema mtoto wa Dimond.
Waambie waelewe kwamba we sara si mshamba
Her confidence is my problem ❤❤❤
❤❤❤❤
Maskini hana tamaa sarah
Ongera sara unabaya
Wangapi wamegundua sarah anaongea Kama diamond
Ana mtoto na Nasibu?
Sara❤❤❤
Ukiletwa mjini tumia fulsa vzr
Ndo maana Ana ng'ata ulimi kumbe last born.
We unaesema Salah anasura mbaya kama mkundu nimkundu wako au wamamaako msenge wewe mjjalana Salah ana ubaya gan mbwa wewe
🎉🎉🎉🎉🎉
Uki Ona mwana damu Ana tukana kiumbe cha Mungu baba uyo ni kiumbe cha Shetani
Yaani wa tz bado tuu mnampa interview huyu dada na wakati ile ni Kiki tuu😢
Sio Kiki kwani yeye sio mwanaume au ni wivu na wewe
Kwani Sarah sio mwanamke au ni wivu
Ss uyo Mtto Sara hamjui babayake halisi ss umuonyeshi mpakalini
Naiyo birth ulimsaji Nani
Babu yake ama Babamwingine sio sawa.
Hamshindi zuhura jameni ata kidogo
Sister sarah mbona miwani yenye ncha Kali?
umeona miwan tu wew
Acha waseme wivu tu
Yani kina Sarah Mungu aritujaalia kabisa, yani saara unanichekesha eti utatafuta mapenzi baada yakua na hela tafuta hela kwanza😅😅
Sasa Sarah utatembea mitandao yote
Et muko na mtoto na daimnd type ukweli
Uyu dada anatabia za ex wangu
Uyu dada anaongea kwaadabu
Una bahati umepaa wakati Dada wa Taifa kafungiwa, tungeshamjua bwana yako, mimba ngapi ulitoa, danga lako na mengineyo😂😂
Wachawi sindio nyie
🙌🙌🙌
wew ndo shetani lione hovyo
Chawiiii hili jinga kabisa
@@saumbliz8983 😊 😁 😁 😁 😁 ebu cheka kidogo kwani uongo
Unajiita saut yamanka wenimsenge unanamtukana Salah kakukosea Nini paka wewe acha usenge mkundu wamamaako
Kwaiyo sara anampango wakumaliza media zote za bongo😂
TREND FOR NOW THATS BONGOLAND USHAMBAAA MEDIA NYAMBAFUU
Sarah ni mwanamke genius Acha wivu nyie wanawake especially you janeth
Wabongo bwana kz kwelix2....
Sara usijishaue sana, Mondi na Zuchu wanakutumia wapate kiki za wimbo zao, usijiaminishe Zuchu na Mondi mpaka Kama, umeshalewa Sifa mpaka bwana yako humpaishi? Mtu mzima shikilia Bwana yako Mondi ana mwenyewe
Amejishaua na nini sasa
Nimekuelewa hii ni kiki kunakitu kinakija lazima
@@BeatriceChaula-v7c ona Zuchu kanachachatika Mama yake anajipaisha, Mama Mondi kiki kama zote, Sara tumia muda wako sasa ikifika sabasaba tumeshakusahau
Haya yooote kwa vile Diamond ana pesa, kinyume chake ingelikua uyo bwana wako wa sasa ndo anapesa na diamond hohe hahe...
Sasa kwani kafanya nini mpaka umwambie anajishaua, kama ni kujishaua Mondi ndio amejishaua kumpandisha Sarah.
Kama Sarah angetaka kujishaua angeshafanya siku nyingi, kumbuka ni miaka 15 tangu ameachana na Mondi na yupo kimya hivi wewe ungeweza.
Naumri huu hajaolew polen wallah hamuogop kufa kupo kuziniw ndo dili duuh mungu atunusuru
Kama ulijioa sio kila mwanamke atamuoa. Muda ukifika sahihi wa Mola atampa mweza wa kumuoa .mwone jisura la linafiki kujifanya mweeema na kukosoa ujinga.
@@souvenirweber7169 w ndo mjinga kabsa endeleen kuziniw hatujawakatanza ma ubwa nyie wote unakubali kuziniw alfu upo hap kenge ww uso jitambua et mda ukifika mbon hujasem mda wakufa ukifika inatosha jinga san ww
@@omanoman2044Wew ni Mungu???
@@aboudijaaboudija ulisikiag mungu ana coment hap am ww ni mpuuz mmoja lam yy
Dhana mbaya, katawaze uswali mxiew
Huyu sara mbaya
Kama bibi
Wewe jmn
@@NusraHozza-qp8yywivu huyo
wee zuchu wacha wivu rudisha mabegi uko utakufa
Ww km babu
Sura mbaya kama mukundu wa babalevo
Huna filwa weweeee si bure
Kifilo kimekukolea mpak akili imehama😂😂😂😂
Maneno kama haya yanatoka Kwa mtu mchanga wa fikra na mwelekeo wa maisha.
Ana stress za maisha huyu
Aghalia sura yako kwa kioo
Sarah ni mzuri san❤
Mtangazaji nimekupenda saana sauti yako. Na unaongea vizuri sana kiswahili. Hutuharibii lugha. Unajua kuziwajibisha R na L.❤
❤❤❤
Sarah ❤❤
Dada mzuri sana!!! una hekima nyingi na Busara...
Hmmm
Hapa kuna mtu na nusu """ unajua kujb"" Sarah mda ndo huuu """