SARAH WA DIAMOND : MPENZI WANGU ALIKASIRIKA NILIVYOITWA, WANAUME WANANITONGOZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 май 2024
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 155

  • @zainakhalid3843
    @zainakhalid3843 Месяц назад +44

    Saraa kiukwel huyu dada akiongea huchoki msikiliza nampenda😍

  • @marthanassari3524
    @marthanassari3524 Месяц назад +15

    P you are bright since mdogo. Keep shining kipenzi. Kati ya walomuhoji da Sarah basi you did the best.

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 Месяц назад +31

    Kati ya watangazaji tangu wameanza kumuhoji sara wewe namba 1 unaijua kazi yako hongera

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 Месяц назад +21

    Sarah Una busara sana ❤

  • @user-vr8xv7nc8j
    @user-vr8xv7nc8j Месяц назад +16

    Mi napenda anavoita jina la Nasiiibu sauti yake mpangilio wa maneno very nice

  • @joycekaganga6924
    @joycekaganga6924 Месяц назад +11

    Mdada mstaarabu nimempenda bure ana hekima heshima anajieleza vizuri anajibu vizuri huchoki kumsikiliza ❤🎉

  • @joycekaganga6924
    @joycekaganga6924 Месяц назад +11

    Mtangazaji upo vzur umemuhoji vzur kuliko wote ❤

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by Месяц назад +11

    Kidogo hii Media mmekuja na interview ya tofauti kabisa kwa Sara hongereni

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 Месяц назад +29

    Dada mzuri sana!!! una hekima nyingi na Busara...

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 Месяц назад +18

    Sarah ni mzuri san❤

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura Месяц назад +4

    nimewatazama kutoka
    Northampton uk
    Sarah uko humble,calm,respectfull

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Месяц назад +7

    Utu na utulivu busara na pole heshima Hongera sana Sarah ❤

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Месяц назад +12

    Mtangazaji mzuriii ❤❤❤❤❤

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Месяц назад +5

    Mtangazaji nimekupenda saana sauti yako. Na unaongea vizuri sana kiswahili. Hutuharibii lugha. Unajua kuziwajibisha R na L.❤

  • @tshibangumunyenza7383
    @tshibangumunyenza7383 Месяц назад +2

    Sarah hummmmm lovely . One love ❤️ watching live from Toronto 🇨🇦🇨🇦 Nasibu mke uyu apa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿she’s beautiful. Si choke kumusikilisa , mama Dangote copyright.

  • @SishAbcd-gk6df
    @SishAbcd-gk6df Месяц назад +3

    Mm nimefurai sana kumusikiza sara namupenda sana ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani1101 Месяц назад +9

    Kumbe Sarah wew ni mwislam.
    Maa Shaa Allah.

  • @werehere2006
    @werehere2006 Месяц назад +3

    You are so beautiful sara and very polite

  • @malengalukonga19
    @malengalukonga19 Месяц назад +2

    Watching from Australia 🇦🇺

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Месяц назад +1

    Beautiful 🎉🎉🎉

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 Месяц назад +12

    Nampenda da Sarah ❤❤❤😊

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +3

    Sara❤❤❤❤❤

  • @shabaninshimirimana5248
    @shabaninshimirimana5248 Месяц назад +1

    Mtangazaji nomasana kamaliza maswaliyote kabissa very nice bravo

  • @wardamohamood
    @wardamohamood Месяц назад +1

    Love sarah❤

  • @SaidaTulinge-hr2su
    @SaidaTulinge-hr2su Месяц назад +1

    Asante sara umejibu vzur nakupenda bulee❤

  • @user-dt4te5kd8o
    @user-dt4te5kd8o Месяц назад

    Laaa,njo kuwona musicana wa tanzania anawongeya vizuri.
    Big up

  • @user-fv5se6iu9r
    @user-fv5se6iu9r Месяц назад +1

    Nice Sarah

  • @naomikrause1762
    @naomikrause1762 Месяц назад +1

    SARAH YOUR🙏🙏💪💪♥️
    ♥️ BARIKIWA

  • @AliceIrankunda-kh7yy
    @AliceIrankunda-kh7yy Месяц назад +1

    Sarah ❤❤

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Месяц назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤sarah

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 Месяц назад

    That is first love

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Месяц назад

    Sarah uko vizuri sana,mtangazaji umetishaa❤❤

  • @mwambaadijira7190
    @mwambaadijira7190 Месяц назад +2

    Yani wanawake wote wangekuwa km weye duuh uko n'a hekima sana alafu unajuwa nafasi yako kbs❤

  • @herrwin.
    @herrwin. Месяц назад +5

    unahekima sana sarah ,

  • @zainabumtubwi1055
    @zainabumtubwi1055 Месяц назад

    Nimeipenda hii interview Heru R na L zimetumika vizuri sana .unasikia raha kuisikiliza na kuedelea kuiyona

  • @Jibambeshow254k
    @Jibambeshow254k Месяц назад

    Nakupenda Sarah kw kutopaka mkorogo we ulitishaa sana napenda confidence yko unajiamini sana❤❤❤

  • @fettymo2055
    @fettymo2055 Месяц назад +1

    Nilikua sijui kama kuna mwanamke mwingine tena wa mondi ila sara mashallah hakika

  • @ibrahimkarisa-bu1su
    @ibrahimkarisa-bu1su Месяц назад +3

    huyu dada anafaa kupewa kazi one of these media..anajua kuongea, ako open and social

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Месяц назад +1

    ❤❤wewe saraha wala usijali hao walikuwa na wivu tu.We songa mbele na biashara.Yaan hapo pa kutuma hapo hata mimi vile mtu nikimtuma nataka ufanye muda huo huo❤❤❤🙏🙏👍👍

  • @marthanassari3524
    @marthanassari3524 Месяц назад +1

    Waooo. Ana busara sana.

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Месяц назад +2

    Leo umevaa vizuri

  • @wamburagrace2432
    @wamburagrace2432 Месяц назад

    ❤❤❤

  • @user-kn9yn6xe3m
    @user-kn9yn6xe3m Месяц назад +1

    Saraaaaa ❤❤❤❤ unaongea vizur

  • @juliethhenrymasanja940
    @juliethhenrymasanja940 Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @georgeodhiambo870
    @georgeodhiambo870 Месяц назад

    I appreciate diamond 4 what he did

  • @ZainabuMohammed-tx9pj
    @ZainabuMohammed-tx9pj Месяц назад +3

    Simba hakukosea da Sara una utu na utulivu busara umejaaliwa❤❤❤

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 Месяц назад +2

    Sara uko vizuri na una busara,achana na hao wanaotoa mitusi

  • @Kakozi-pj6ib
    @Kakozi-pj6ib Месяц назад +6

    Hapa kuna mtu na nusu """ unajua kujb"" Sarah mda ndo huuu """

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 Месяц назад +2

    Daah Sarah 🤣🤣🤣❤️❤️

  • @EricaBizuru-jp9by
    @EricaBizuru-jp9by Месяц назад +2

    Media msiweke mdundo kwenye mahojiano

  • @kindulijumanne7632
    @kindulijumanne7632 Месяц назад +7

    Yan huyu Sarah apewe Kazi kwenye kituo fulan kikubwa cha Tv anajua kujieleza then yuko Social Sana

  • @violetkephas7038
    @violetkephas7038 Месяц назад +4

    ❤❤anafanana na wifi yake queen darleen

    • @user-wv8ez1xt7f
      @user-wv8ez1xt7f Месяц назад

      Kumbe umeona na wew me nimeona kitambo nakupenda sarah❤❤❤❤❤❤❤

  • @RizikiAssenga-zn5se
    @RizikiAssenga-zn5se 28 дней назад

    Natamani Sana Diamond angemuoa mke huyo❤

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Месяц назад +1

    Uyu dada Yuko na HEKIMA na wala hajiskii... MUNGU akutunze Sana📌🙏

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 Месяц назад

    Mwanzo sarh na kupenda bure .napia na kuunga mkono kwa cupol ulochanguwa.ni kweli wema na daimond ni cupal ilo fana sana sana.hapo umesema kweli kabisa .love yuuuuuuuuu.sarah

  • @gladyskanemba1079
    @gladyskanemba1079 Месяц назад

    nimempenda mtangazaji na kidole chake cha sita amejikubali yupo huru hafichi kidole na hii ni alama yake, she so is special.

  • @user-ml8jd5xg1r
    @user-ml8jd5xg1r Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @devothachitamu1528
    @devothachitamu1528 Месяц назад +3

    Yani hafai kuwa mke wa D youko zaidi nasibu mchafuko hafai pesa tu ndio anatumia kwa wanawake

  • @user-dm6ww8sw9o
    @user-dm6ww8sw9o Месяц назад +1

    Sara una hekima kweli yaniiii

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 Месяц назад +2

    Uyu dada yupo vizuri sana kwa kuhoji

  • @christeralicha16
    @christeralicha16 Месяц назад +1

    Sara❤❤❤

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan Месяц назад +3

    Saraa ni mwanake wa kuoa haswa sio mshamba kama wengine

    • @thamani5842
      @thamani5842 Месяц назад

      Tena kinachofanya asiolewe nn?

  • @lilianebitariho8562
    @lilianebitariho8562 Месяц назад

    Iko na hekima

  • @ladyG25
    @ladyG25 Месяц назад

    Her confidence is my problem ❤❤❤

  • @salyali7807
    @salyali7807 Месяц назад +1

    Sara nampenda anavyoongea

  • @leonidamachuru5960
    @leonidamachuru5960 Месяц назад +1

    Diamond Unadanganywa zuchuuuuuuuuuuuuuuu ndio mrembo kwako mnaendana sana

  • @user-fx2wq2yx5r
    @user-fx2wq2yx5r Месяц назад +2

    Waambie waelewe kwamba we sara si mshamba

  • @nicolauselias9084
    @nicolauselias9084 Месяц назад

    Mhhh.maaaaninaaa acheni uongo na kiki

  • @user-gb2pl3ln9m
    @user-gb2pl3ln9m Месяц назад +1

    Penda Sara Sarah jamani

  • @devotaijumba8332
    @devotaijumba8332 Месяц назад +1

    South Africa big up.sarah mpole nyie.ongera

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Месяц назад

    Mtangazaji ana kidole cha 6 😢 Hongera una maswali mazuri na Sauti yako kwa Mbali kama Aaliyah 😊

  • @chimamilion
    @chimamilion Месяц назад

    Ukiletwa mjini tumia fulsa vzr

  • @user-mt2pn4ds9k
    @user-mt2pn4ds9k 23 дня назад

    Ongera sara unabaya

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Месяц назад +8

    Kwa kweli huyu dada anafaaa kuwa mke wa Diamond. Katulia, ana hekima na ni mzuri. Hajisikii, nakupenda bure sarah, I wish ungekuwa wifi yetu wa taifa kwa Diamond

  • @annievibes8794
    @annievibes8794 Месяц назад

    Yaani wa tz bado tuu mnampa interview huyu dada na wakati ile ni Kiki tuu😢

  • @benjaminmartin4548
    @benjaminmartin4548 Месяц назад

    Nimemkupenda bure upo vizuri sana.nitafute in box please.

    • @ismah4766
      @ismah4766 Месяц назад

      😂😂😭😭

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 Месяц назад +1

    Maskini hana tamaa sarah

  • @allyjuma2574
    @allyjuma2574 Месяц назад +3

    M/mke tafuta pesa alafu ndio uchague wakuwa nae ktk mapenzi...Guuuuud

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 Месяц назад

    Sarh we ni mstarabu sana.maongezi yako ya kikubwa.napena iyo

  • @gracekirundwa1812
    @gracekirundwa1812 Месяц назад

    Ana mtoto na Nasibu?

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524 Месяц назад

    Ndo maana Ana ng'ata ulimi kumbe last born.

  • @roseassey5173
    @roseassey5173 Месяц назад +1

    Wangapi wamegundua sarah anaongea Kama diamond

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Месяц назад +1

    Sarah unahekima n'a pia kujibu oke

  • @JacqueNiyonzima
    @JacqueNiyonzima Месяц назад

    Et muko na mtoto na daimnd type ukweli

  • @leonidamachuru5960
    @leonidamachuru5960 Месяц назад

    Hamshindi zuhura jameni ata kidogo

  • @julesngama2508
    @julesngama2508 Месяц назад +2

    Uki Ona mwana damu Ana tukana kiumbe cha Mungu baba uyo ni kiumbe cha Shetani

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Месяц назад +1

    We unaesema Salah anasura mbaya kama mkundu nimkundu wako au wamamaako msenge wewe mjjalana Salah ana ubaya gan mbwa wewe

  • @SmilingFreshwaterLake-tg5qp
    @SmilingFreshwaterLake-tg5qp Месяц назад

    Sasa Sarah utatembea mitandao yote

  • @user-ns3so9wv1f
    @user-ns3so9wv1f Месяц назад

    Ss uyo Mtto Sara hamjui babayake halisi ss umuonyeshi mpakalini
    Naiyo birth ulimsaji Nani
    Babu yake ama Babamwingine sio sawa.

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 Месяц назад +3

    Sister sarah mbona miwani yenye ncha Kali?

  • @faiqaanwar7268
    @faiqaanwar7268 Месяц назад

    Acha waseme wivu tu

  • @officialAlAbdul
    @officialAlAbdul Месяц назад

    Uyu dada anatabia za ex wangu

  • @ashattbooo
    @ashattbooo Месяц назад +1

    Uyu dada anaongea kwaadabu

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 Месяц назад

    Wabongo bwana kz kwelix2....

  • @janetharris7509
    @janetharris7509 Месяц назад

    TREND FOR NOW THATS BONGOLAND USHAMBAAA MEDIA NYAMBAFUU

  • @barutwanaclaude6319
    @barutwanaclaude6319 Месяц назад +1

    Yani kina Sarah Mungu aritujaalia kabisa, yani saara unanichekesha eti utatafuta mapenzi baada yakua na hela tafuta hela kwanza😅😅

  • @user-sb7wf2ep7f
    @user-sb7wf2ep7f Месяц назад +2

    We sara tumekuchoka unavuruga nyumba za watu ..siufuate maisha yako wewe mbona unangangania unajua diamond ana wake wangapi..playboy huyo ..mtoto kama kweli ni wa diamond alikuwa wapi ..sasa unataka umpe mtoto kirahisi tu hivyoo..wewe shortwire nini..

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Месяц назад +3

    Una bahati umepaa wakati Dada wa Taifa kafungiwa, tungeshamjua bwana yako, mimba ngapi ulitoa, danga lako na mengineyo😂😂

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q Месяц назад

    Unajiita saut yamanka wenimsenge unanamtukana Salah kakukosea Nini paka wewe acha usenge mkundu wamamaako

  • @tatungwele2728
    @tatungwele2728 Месяц назад

    Kwaiyo sara anampango wakumaliza media zote za bongo😂