JERAHA LA MOYO 💞 Love story | DONTA TV

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 116

  • @RammyanLewah
    @RammyanLewah 5 месяцев назад +11

    Brown mwambie ukweli uyo Nelly, mwanamke aliye kuvumilia mashing yako yote, saii waona umeanza kupata help, wamdharau, ukumbuke Sara alikupata ukiwa unapaya pesa, wakati zikiisha Sara ataenda tuu,

  • @Nereahneree
    @Nereahneree 5 месяцев назад +6

    Huyu ndiye vikii nime zoea dah na penda huyu Dada na kipindi chake apo kwa cinema ❤❤❤❤❤hongera victoria

  • @AntyBy
    @AntyBy 5 месяцев назад +4

    ❤❤ siku zote maisha ni,guaride nzuri sana

  • @mtikamtika8013
    @mtikamtika8013 5 месяцев назад +8

    Nimekuwa wa ishilini na nne naombeni like hata kumi Tu jamani Wana dont plas ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @MagdalenaSwai-z6u
    @MagdalenaSwai-z6u 5 месяцев назад +4

    Vizuri Sana Vicky usirudie matapishi ambayo ulishatapika hataingekua ni Mimi nisingerudiananae ten maanaalikudharau kweel hongera Vicky kwamsimamo wako tafuta mwingine nakupenda❤❤❤

  • @ChausikuJoseph-bd9fx
    @ChausikuJoseph-bd9fx 5 месяцев назад +5

    Leo wa nne like zangu jaman

  • @furahakenga6619
    @furahakenga6619 5 месяцев назад +11

    Nimewahi Leo naombeni like zinu mko wapi wakenya 🇰🇪❤️❤️

  • @GraceFunga-oz1ck
    @GraceFunga-oz1ck 5 месяцев назад +10

    Waomba like mpo wap 😅😅😅😅😅😅

  • @monicahsoita
    @monicahsoita 5 месяцев назад +5

    Wakenya tupo hapa jameni tupe likes zetu🎉🎉

  • @Rajiivoice
    @Rajiivoice 5 месяцев назад +7

    Leo mimi ndio wa kwanza nasubili like zangu ❤❤❤

  • @mwanakombo-k4o
    @mwanakombo-k4o 5 месяцев назад +2

    Ila tumewamiss shanaiza ,na kendi wak wap duuuh

    • @STANLEYKINYILI
      @STANLEYKINYILI 5 месяцев назад

      Na Marua walimtupa hivo na uo urembo wote jameni

  • @stevenolwombo9519
    @stevenolwombo9519 5 месяцев назад +2

    Vicki ❤❤ Nawapenda sana ndugu zangu wa Tanzania nikiwa hapa kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @RazikeRara
    @RazikeRara 5 месяцев назад +3

    Congratulations Vic love you 🎉🎉🎉

  • @alicelusinde618
    @alicelusinde618 5 месяцев назад +3

    Nauliza tu kwani kudate na rafiki wa ex wako nivibaya🙈🙈

    • @DeusdeditCharles
      @DeusdeditCharles 5 месяцев назад

      Amna

    • @thumuali4406
      @thumuali4406 5 месяцев назад

      😅😅sivibaya Bora ufanyie Zaid ya vnye likuwa akifnyiwa n rafiki yako

  • @ZAMUTV60
    @ZAMUTV60 5 месяцев назад +1

    Wooooooow kazi nzuri sana nimeipenda sanaaaa❤❤❤❤❤

  • @rukiahassan7001
    @rukiahassan7001 5 месяцев назад +2

    Wala sio urongo tunakuelewa kunambi kwa mahasira hasira zako na nguvu

  • @gitarindwiga2793
    @gitarindwiga2793 5 месяцев назад +2

    ,😂😂😂kunambi umemupa neli dawa nyokoo 😂😂😂

  • @AgnesMwende-p9w
    @AgnesMwende-p9w 5 месяцев назад +1

    Eee brown kumbe wajua uko na roho mbaya enway pokea maua kutoka saudi Arabia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mariamomary6003
    @mariamomary6003 5 месяцев назад +2

    Hii imenigusa mimi 😭😭😭ndio maana sito penda tena 😭😭wanaume waongo

  • @Janethbebina
    @Janethbebina 5 месяцев назад +2

    Da viki mauwa yako ayo apo🎉🎉🎉

  • @Salama-df2uu
    @Salama-df2uu 5 месяцев назад +3

    Nelly umenifuraisha ety twende sasa😂😂

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 5 месяцев назад +1

    Wewe mama ulikuwa hupaswi kufanya ulivyofa ya kumuachamtoto kwa Baba ugekwenda kushitaki kwa kituo cha watoto unapata haki za mtoto

  • @MussaMwalim-w5m
    @MussaMwalim-w5m 5 месяцев назад +1

    Bahamedi mana yake nn nauliza jaman watu wa kometi

    • @ummukhawlah8433
      @ummukhawlah8433 5 месяцев назад

      Ni wale wadada wanaouza pombe kwenye grosary

  • @PatrickBenjamin-b3n
    @PatrickBenjamin-b3n 5 месяцев назад +1

    Kelvin ikowapi yeye mbona simupati na ona Vicky na Brown ila sipate lavenence na Tina wako wapi.vicky ni mutalamu na wapenda

  • @ruthgloriaobonyo
    @ruthgloriaobonyo 5 месяцев назад +1

    Hongera Kunambi ila umenikera kwenye "Kesho Yangu"

  • @kokenye9003
    @kokenye9003 5 месяцев назад +1

    Keep it up wapendwa mko poa sana ❤❤

  • @-mwanasato
    @-mwanasato 5 месяцев назад +2

    Nakupenda Vic

  • @RomyRommy
    @RomyRommy 5 месяцев назад +1

    We ila brauni ni hatali Kwa hii movie umetisha

  • @MackSon-z1x
    @MackSon-z1x 5 месяцев назад +3

    Simpend brawn jaman anaubabe

  • @NancyGatwiri-c7n
    @NancyGatwiri-c7n 5 месяцев назад +2

    Ila beown wewe 😂😂😂😂

  • @Daestoto
    @Daestoto 5 месяцев назад

    Hawa wanao omba likes ndo ma actres ama vipi sijaelewa mnieleweshe

  • @BrilliantAdega
    @BrilliantAdega 5 месяцев назад +3

    Nice 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @FatumaBakari-c4m
    @FatumaBakari-c4m 4 месяца назад

    Poleni wanaume maana ni baba zetu bt wengi wao mafala km mafal wengine mnajisahau cnaaaaa

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 5 месяцев назад +1

    Yani konambi ungekua mwanamke mbona wangekoma sio kwakichambo hichoo😂😂😂

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 3 месяца назад

    Mwanamke csura ni tabia nelly.kumbuka akufaaye kwa thiki ndiye rafiki

  • @WapoHao
    @WapoHao 5 месяцев назад +2

    Ohoo good

  • @Kinyua-ye8kk
    @Kinyua-ye8kk 5 месяцев назад

    Neli Sio vizur kbsa unavyofanya nautakuja juta Na hiyo Sara wako atakuacha

  • @frankbenedictor
    @frankbenedictor 5 месяцев назад +2

    2:44

  • @نيجي-ن1د
    @نيجي-ن1د 5 месяцев назад

    Hongera Vicky mwache aende zake hivi ndivyo wanaume wengi walivyo utampenda umthamini na atakulipa ubaya tu ila akienda kugonga mwamba anahitaj kurudi tena kwako

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 4 месяца назад

      Inauma Palee unapo kuwa unamtu half anakupotezea wakt tu hawasemi Ukwel

  • @Wini-zx4im
    @Wini-zx4im 4 месяца назад

    Nakukubali sana viki 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MadarakaNyenza
    @MadarakaNyenza 4 месяца назад

    Dada Ake kazi zuri sana Victoria mwigani

  • @TitusPeter-t4n
    @TitusPeter-t4n 5 месяцев назад +1

    Nakupeda Bure brown ❤❤

  • @JenniferMosses
    @JenniferMosses 3 месяца назад

    Ndyo maan nchukia kumpigia pigia mwanaume sm hovyo hujui Yuko kwenye magendo gni

  • @Dicky576
    @Dicky576 5 месяцев назад

    Kunamb Weweeeh Daah sema umezingu kwenye kesho yanguu ma broda sikufichi 😂

  • @FadhilaAlliy
    @FadhilaAlliy 16 дней назад

    Hila sio vizuri

  • @EmmanuelMaduhu-h3h
    @EmmanuelMaduhu-h3h 2 часа назад +1

    Hahaahahh braun " atakutia mitusi" aw sio hahahha

  • @VanillaVictor
    @VanillaVictor 4 месяца назад +1

    Yaan uyo nelly taila ata sjapenda

  • @user-ic7felix
    @user-ic7felix 5 месяцев назад

    Hapo kunabi ameumia sana😂😂😂

  • @bucumicargele9609
    @bucumicargele9609 5 месяцев назад

    Jamani shenaiza Yuko wapiii tuna mumisa sana

    • @ManaseMoleli
      @ManaseMoleli 5 месяцев назад

      Muvi ya kudanga anaweza huyo! Na Tina wake

    • @Amina-i4r
      @Amina-i4r 5 месяцев назад

      ​@@ManaseMolelimmh jamani 😂😂😂😂😂

    • @Janethbebina
      @Janethbebina 5 месяцев назад

      Nelly me napenda sauti Yako

  • @Rebecca-bm6dw
    @Rebecca-bm6dw 5 месяцев назад

    Nice

  • @FadhilaAlliy
    @FadhilaAlliy 16 дней назад

    Naipenda michezo yenu

  • @Dicky576
    @Dicky576 5 месяцев назад

    Congrats Nelly blood 💪🏻💪🏻

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 5 месяцев назад +1

    Ugekweda ofice ya watoto kudai matumizi ya mtoto kuliko hicho uichofanya kumuachamtoto kwa babake ni kosa kubwa sana

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 4 месяца назад

    😂😂😂😂 unahangaika na viswaswad vya Mjini

  • @RamadhanKengo
    @RamadhanKengo 3 месяца назад

    Siku zote ukae ukijua wanaume niwenye siri

  • @BrilliantAdega
    @BrilliantAdega 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤

  • @JeannetteManirambona-o6m
    @JeannetteManirambona-o6m 3 месяца назад

    Vicky wa ukweli uyo

  • @AaIi-qw3ec
    @AaIi-qw3ec 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @joycemuenimutua4506
    @joycemuenimutua4506 5 месяцев назад

    Nelly leo umepatikana 😂😂😂 🇰🇪

  • @realchegent1652
    @realchegent1652 5 месяцев назад

    Vicky always never disappoint me ❤❤🎉

  • @SameripatriciopauloPatri-pv5kg
    @SameripatriciopauloPatri-pv5kg 3 месяца назад

    Love you Vic mozambique

  • @Kunambinbnactors
    @Kunambinbnactors 5 месяцев назад

    jamn mbona akuna ubaya apo kudatena ex wa rafiki

  • @MagdalenaBajuta
    @MagdalenaBajuta 4 месяца назад

    Toka lin matapishi yakarudiwa.

  • @FathimaOman-j5g
    @FathimaOman-j5g 4 месяца назад

    Don't nawapenda sana

  • @mahirmahir2407
    @mahirmahir2407 4 месяца назад +1

    m ila kunambi nyoko wee kha😂😂😂😂😂😂

    • @jamilashabani8580
      @jamilashabani8580 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @FranceaAyo-st7lt
      @FranceaAyo-st7lt 3 месяца назад

      Sijaamin jinsi anavyomdanganya vick jaman wanaume nyiee khaa

  • @MOZAHAMAD-xc5rd
    @MOZAHAMAD-xc5rd 4 месяца назад

    Kelvin MBN cmuon🥺

  • @EsterSaidi
    @EsterSaidi 5 месяцев назад

    Fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @FadhilaAlliy
    @FadhilaAlliy 16 дней назад

    Fadhila

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 5 месяцев назад

    Da vicky umefanya vizuri sana ❤❤❤❤❤❤❤

  • @SaumuRuwa-t3h
    @SaumuRuwa-t3h 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉 congratulations donta tv

    • @Amina-i4r
      @Amina-i4r 5 месяцев назад

      Mmh pengine ujaribu ukifanikiwa uniambie pia mm😂😂😂😂😂😂😂

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 5 месяцев назад

    ❤❤❤🎉🎉

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 4 месяца назад

    Kampakaa Shomboo

  • @JenniferMosses
    @JenniferMosses 3 месяца назад

    Viky hanaga machozi

  • @PhilisNabalayo98
    @PhilisNabalayo98 5 месяцев назад

    Nipeni likes zangu

  • @naomnyamoitaosiangochannel5552
    @naomnyamoitaosiangochannel5552 5 месяцев назад

    Hahaha 😂😂😂hiii ni kari

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 4 месяца назад

    Nelly burauwi 😂😂😂😂

  • @JosephNyahururu
    @JosephNyahururu 3 месяца назад

    Ciy tachi

  • @NipherRubia
    @NipherRubia 5 месяцев назад

    Victoria Asante 😂😂😂😂

  • @MariamRiziki-o8x
    @MariamRiziki-o8x 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @MariaJackson-p2n
    @MariaJackson-p2n 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @SuzanyJohn
    @SuzanyJohn 4 месяца назад

    Waomba like mmepotelea wp😂😂sura zenu nyie mmesha zoea naomba like naomba like munaomba kam chakula

  • @KhadijaShabani-i9j
    @KhadijaShabani-i9j Месяц назад

    Ila Braun 😂😂😂😂

  • @PAULINENTINYARI-gi8se
    @PAULINENTINYARI-gi8se 5 месяцев назад

    😂😂😂😂🎉

  • @ChidofGod4479
    @ChidofGod4479 5 месяцев назад

    Sara kawachanganya

  • @Aminaatieno-gz8qk
    @Aminaatieno-gz8qk 5 месяцев назад

    😂😂😂amechovya

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 5 месяцев назад

    ❤❤😂😂😂

  • @bacarNankodya
    @bacarNankodya 4 месяца назад

    Mimi nimekua wangapi? Nami naoba like zangu jamani

  • @PhilisNabalayo98
    @PhilisNabalayo98 5 месяцев назад

    😂😂😂😂😂❤❤

  • @FathimaOman-j5g
    @FathimaOman-j5g 4 месяца назад

    Nawapenda tonta kutoka oman

  • @NoelaKk
    @NoelaKk 5 месяцев назад +1

    ❤furahakenqa6619, 27 min aqo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Nereahneree
    @Nereahneree 5 месяцев назад +1

    Huyu ndiye vikii nime zoea dah na penda huyu Dada na kipindi chake apo kwa cinema ❤❤❤❤❤hongera victoria

  • @Amina-i4r
    @Amina-i4r 5 месяцев назад +2

    Were Nelly huko sana kiakili muone eti vimia mia🎉😂😂😂😂😂

  • @anermikael2189
    @anermikael2189 5 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @Salma-g1m1x
    @Salma-g1m1x 5 месяцев назад +1

    Kunambi chukua 5🤚nipeni like zangu na mm

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 5 месяцев назад +1

    Nelly amekua tatizo kaisha jipata cezeya weye wakiwa hawana penzi kama lote apate sasa ndoutajuwa unapendwa aula😅

  • @STANLEYKINYILI
    @STANLEYKINYILI 5 месяцев назад +1

    Kazi nzuri. Kenya Watching, twapenda. 🎉🎉🎉

  • @wambimwambizo3614
    @wambimwambizo3614 2 месяца назад

    @donta plus😂😂 brown igiza tu mganga

  • @ruthgloriaobonyo
    @ruthgloriaobonyo 5 месяцев назад +1

    Much❤❤❤ for Vicky.

  • @annamnyazi8206
    @annamnyazi8206 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤