Vizuri Sana Vicky usirudie matapishi ambayo ulishatapika hataingekua ni Mimi nisingerudiananae ten maanaalikudharau kweel hongera Vicky kwamsimamo wako tafuta mwingine nakupenda❤❤❤
Hongera Vicky mwache aende zake hivi ndivyo wanaume wengi walivyo utampenda umthamini na atakulipa ubaya tu ila akienda kugonga mwamba anahitaj kurudi tena kwako
Brown mwambie ukweli uyo Nelly, mwanamke aliye kuvumilia mashing yako yote, saii waona umeanza kupata help, wamdharau, ukumbuke Sara alikupata ukiwa unapaya pesa, wakati zikiisha Sara ataenda tuu,
Koment yk ipo saw kwel🤔
Huyu ndiye vikii nime zoea dah na penda huyu Dada na kipindi chake apo kwa cinema ❤❤❤❤❤hongera victoria
Mimi pia
❤❤ siku zote maisha ni,guaride nzuri sana
Nimekuwa wa ishilini na nne naombeni like hata kumi Tu jamani Wana dont plas ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Vizuri Sana Vicky usirudie matapishi ambayo ulishatapika hataingekua ni Mimi nisingerudiananae ten maanaalikudharau kweel hongera Vicky kwamsimamo wako tafuta mwingine nakupenda❤❤❤
Leo wa nne like zangu jaman
Nimewahi Leo naombeni like zinu mko wapi wakenya 🇰🇪❤️❤️
Waomba like mpo wap 😅😅😅😅😅😅
Wakenya tupo hapa jameni tupe likes zetu🎉🎉
Leo mimi ndio wa kwanza nasubili like zangu ❤❤❤
Ila tumewamiss shanaiza ,na kendi wak wap duuuh
Na Marua walimtupa hivo na uo urembo wote jameni
Vicki ❤❤ Nawapenda sana ndugu zangu wa Tanzania nikiwa hapa kenya 🇰🇪🇰🇪
Congratulations Vic love you 🎉🎉🎉
Nauliza tu kwani kudate na rafiki wa ex wako nivibaya🙈🙈
Amna
😅😅sivibaya Bora ufanyie Zaid ya vnye likuwa akifnyiwa n rafiki yako
Wooooooow kazi nzuri sana nimeipenda sanaaaa❤❤❤❤❤
Wala sio urongo tunakuelewa kunambi kwa mahasira hasira zako na nguvu
,😂😂😂kunambi umemupa neli dawa nyokoo 😂😂😂
Eee brown kumbe wajua uko na roho mbaya enway pokea maua kutoka saudi Arabia 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hii imenigusa mimi 😭😭😭ndio maana sito penda tena 😭😭wanaume waongo
Você
Mapenzi yapewe heshima
Da viki mauwa yako ayo apo🎉🎉🎉
Nelly umenifuraisha ety twende sasa😂😂
Wewe mama ulikuwa hupaswi kufanya ulivyofa ya kumuachamtoto kwa Baba ugekwenda kushitaki kwa kituo cha watoto unapata haki za mtoto
Bahamedi mana yake nn nauliza jaman watu wa kometi
Ni wale wadada wanaouza pombe kwenye grosary
Kelvin ikowapi yeye mbona simupati na ona Vicky na Brown ila sipate lavenence na Tina wako wapi.vicky ni mutalamu na wapenda
Hongera Kunambi ila umenikera kwenye "Kesho Yangu"
😁😁😁
Keep it up wapendwa mko poa sana ❤❤
Nakupenda Vic
Aya
We ila brauni ni hatali Kwa hii movie umetisha
Simpend brawn jaman anaubabe
Ila beown wewe 😂😂😂😂
Hawa wanao omba likes ndo ma actres ama vipi sijaelewa mnieleweshe
Nice 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Poleni wanaume maana ni baba zetu bt wengi wao mafala km mafal wengine mnajisahau cnaaaaa
Yani konambi ungekua mwanamke mbona wangekoma sio kwakichambo hichoo😂😂😂
Mwanamke csura ni tabia nelly.kumbuka akufaaye kwa thiki ndiye rafiki
Ohoo good
Neli Sio vizur kbsa unavyofanya nautakuja juta Na hiyo Sara wako atakuacha
2:44
Hongera Vicky mwache aende zake hivi ndivyo wanaume wengi walivyo utampenda umthamini na atakulipa ubaya tu ila akienda kugonga mwamba anahitaj kurudi tena kwako
Inauma Palee unapo kuwa unamtu half anakupotezea wakt tu hawasemi Ukwel
Nakukubali sana viki 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Dada Ake kazi zuri sana Victoria mwigani
Nakupeda Bure brown ❤❤
Ndyo maan nchukia kumpigia pigia mwanaume sm hovyo hujui Yuko kwenye magendo gni
Kunamb Weweeeh Daah sema umezingu kwenye kesho yanguu ma broda sikufichi 😂
Hila sio vizuri
Hahaahahh braun " atakutia mitusi" aw sio hahahha
Yaan uyo nelly taila ata sjapenda
Hapo kunabi ameumia sana😂😂😂
Jamani shenaiza Yuko wapiii tuna mumisa sana
Muvi ya kudanga anaweza huyo! Na Tina wake
@@ManaseMolelimmh jamani 😂😂😂😂😂
Nelly me napenda sauti Yako
Nice
Naipenda michezo yenu
Congrats Nelly blood 💪🏻💪🏻
Ugekweda ofice ya watoto kudai matumizi ya mtoto kuliko hicho uichofanya kumuachamtoto kwa babake ni kosa kubwa sana
😂😂😂😂 unahangaika na viswaswad vya Mjini
Siku zote ukae ukijua wanaume niwenye siri
❤❤❤❤
Vicky wa ukweli uyo
❤❤❤❤❤❤
Nelly leo umepatikana 😂😂😂 🇰🇪
Vicky always never disappoint me ❤❤🎉
Love you Vic mozambique
jamn mbona akuna ubaya apo kudatena ex wa rafiki
Toka lin matapishi yakarudiwa.
Don't nawapenda sana
m ila kunambi nyoko wee kha😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Sijaamin jinsi anavyomdanganya vick jaman wanaume nyiee khaa
Kelvin MBN cmuon🥺
Fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Fadhila
Da vicky umefanya vizuri sana ❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉 congratulations donta tv
Mmh pengine ujaribu ukifanikiwa uniambie pia mm😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤🎉🎉
Kampakaa Shomboo
Viky hanaga machozi
Nipeni likes zangu
Hahaha 😂😂😂hiii ni kari
Nelly burauwi 😂😂😂😂
Ciy tachi
Victoria Asante 😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤
🎉🎉🎉❤❤❤❤
Waomba like mmepotelea wp😂😂sura zenu nyie mmesha zoea naomba like naomba like munaomba kam chakula
Ila Braun 😂😂😂😂
😂😂😂😂🎉
Sara kawachanganya
😂😂😂amechovya
❤❤😂😂😂
Mimi nimekua wangapi? Nami naoba like zangu jamani
😂😂😂😂😂❤❤
Nawapenda tonta kutoka oman
❤furahakenqa6619, 27 min aqo❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Huyu ndiye vikii nime zoea dah na penda huyu Dada na kipindi chake apo kwa cinema ❤❤❤❤❤hongera victoria
Were Nelly huko sana kiakili muone eti vimia mia🎉😂😂😂😂😂
❤❤❤
Kunambi chukua 5🤚nipeni like zangu na mm
Nelly amekua tatizo kaisha jipata cezeya weye wakiwa hawana penzi kama lote apate sasa ndoutajuwa unapendwa aula😅
Kazi nzuri. Kenya Watching, twapenda. 🎉🎉🎉
@donta plus😂😂 brown igiza tu mganga
Much❤❤❤ for Vicky.
❤❤❤❤❤