ZEMBWELA AMALIZA UTATA SAKATA LA DIAMOND/ ATAJA SIRI ZA UTAJIRI WAKE
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Mtangazaji wa wasafi media Zembwela amefunguka mengi kuhusu maisha yake kutoka kwenye uigizaji hadi utangazaji pamoja na tukio ambalo hatokuja kusahau maishani mwake.
#Zembwela #Diamond #Wasafimedia
Hofu ya Mungu 👑 ndo main point uliyoiongea mtu Mzima Zembwela👍
I realize it is kinda randomly asking but does anyone know of a good place to watch newly released series online ?
Intaviu ya zebwera sirushagi yani mwanzo mwisho naangalia tusiolusha like za zebwera tafadhari.
Zembwela nakukubali, safi Sana mkuu,
Zembwela na Swebe nawapenda sana hawana majigambo ya kisaana mpaka kutowatowa familiya zao mitandaoni.
Kabisa hawa jamaa mashine hata usipo waona kwenye maigizi lakini wakiongeatu unafurahi
Zembwera hakika nimtu sana na anajielewa mnoo na anajua aliko toka ndio mana ana hofu ya mungu
😂😅 aliye muelewa Beberu kuwa kuna mwana Mama aliyeza na mtu mweusi alafu baadae kuza na mtu mweupe bila shaka uyo ni Aunty Ezekiel
Daah ww baba Umeongea kiutuuzima na na busala na kidini kbs🙏🙏🙏🙏
Point sanaa 👊👊👊
Nasibu MD na DIMOND MSANINI NI WATU WAWILI TOFAUTI, DAA! NIMEIPENDA HIYO SAANA, JAMII NI VEMA IJITAMBUE NA KUMJUA MUNGU.KUNA AHERA
Naaaaam
Nimekuget Mr.Zembwela.
Vizur Sana zembwela
Uko vizuri
mungundo mjuzi wa hiili
genius
Uko vizuri sana mkuu
Miss u zembwela babu
Max na zembwela
Jaman ee tukubali huyu zembwela wetu ni mtu mdanger sana kwenye hii tasnia ya habari
Litttttt
Kali sana hii dauka
Hakika naisubiri sehemu ya pili
😂😂😂😂😂😂😂😂yani babu una msema shangazi sioooo😂😂😂😂😂😂
FAHAMU DALILI ZA TEZI DUME
(0655523211)
1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
2.mkojo kutoka kisiri siri
3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
🔸 Saratani ya tezi dume
🔸Figo kufeli
🔸Mawe kwenye figo
🔸Kifo
Kwa ushauri na tiba 0655523211.
Ana jina la tandale hujakwama.
Asante studio
Inamaana kubwa sana hii💎📌
Kama umeona stone Tangawizi Gonga like
Kwaiyo diamond ni nasib abdull sio nyange
Kabisa
Lil Omy yuajisahau ndio ujue mungu ni mkubwa
Haiwez badilika kabisa mama Dangote Ana Lana
Mbonaaa hewaaa
We ndo baba laoo hunakuogopa mtu
Na ww ni mine wa Sandra pia
Kama alivyo mzee abdul.maana kw maneno anayo ongea tu unajua kia huyo ana hofu na mngu maana anayakubar maisha yake
Mtu mwenye hekma zake
Asaaaaante
😁😁😁😁😁gume gume mfupa wa fisi nimecheka 😅😅😅😅
Nani kamuelewa zembwela mdada mmoja kazaa na kijana mweusi na sasa hivi kazaa na kijana mweupe
Auntie 😂😂
mhh kweli.. ha ha ha
Babuuu wa busara
Mtu mzima unaekubali kuitwa majina ya kijinga na wewe unakubali si upuuzi huo.
umekutana na pacha wako....
Nimekuget Mr.Zembwela.
Zembwela unawauwaaa watu jamaniii khaaa!!!😂😂😂😂
Mungu mbaliki na mzidishie Diamond Nyange 🙏
Useless
Stupid
We chiz kwelii
@@salmacazzy1915 chizi wewe ambae uwezi nisaidia kwa lolote
Yaan wewe unaonekana ni danga sugu kama uyo mama ako unae mtetea
Akuna chochote😂😂
Nasibu abdull?