ZEMBWELA AMALIZA UTATA SAKATA LA DIAMOND/ ATAJA SIRI ZA UTAJIRI WAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mtangazaji wa wasafi media Zembwela amefunguka mengi kuhusu maisha yake kutoka kwenye uigizaji hadi utangazaji pamoja na tukio ambalo hatokuja kusahau maishani mwake.
    #Zembwela #Diamond #Wasafimedia

Комментарии • 68

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 3 года назад +14

    Hofu ya Mungu 👑 ndo main point uliyoiongea mtu Mzima Zembwela👍

    • @clayremy5346
      @clayremy5346 3 года назад

      I realize it is kinda randomly asking but does anyone know of a good place to watch newly released series online ?

  • @abdallahantony9524
    @abdallahantony9524 3 года назад +7

    Intaviu ya zebwera sirushagi yani mwanzo mwisho naangalia tusiolusha like za zebwera tafadhari.

  • @allymohamed8658
    @allymohamed8658 Год назад

    Zembwela nakukubali, safi Sana mkuu,

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +4

    Zembwela na Swebe nawapenda sana hawana majigambo ya kisaana mpaka kutowatowa familiya zao mitandaoni.

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 3 года назад +1

      Kabisa hawa jamaa mashine hata usipo waona kwenye maigizi lakini wakiongeatu unafurahi

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 3 года назад +7

    Zembwera hakika nimtu sana na anajielewa mnoo na anajua aliko toka ndio mana ana hofu ya mungu

  • @sshaby52
    @sshaby52 3 года назад +4

    😂😅 aliye muelewa Beberu kuwa kuna mwana Mama aliyeza na mtu mweusi alafu baadae kuza na mtu mweupe bila shaka uyo ni Aunty Ezekiel

  • @salmajuma3704
    @salmajuma3704 3 года назад +1

    Daah ww baba Umeongea kiutuuzima na na busala na kidini kbs🙏🙏🙏🙏

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 года назад +1

    Point sanaa 👊👊👊

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 3 года назад +8

    Nasibu MD na DIMOND MSANINI NI WATU WAWILI TOFAUTI, DAA! NIMEIPENDA HIYO SAANA, JAMII NI VEMA IJITAMBUE NA KUMJUA MUNGU.KUNA AHERA

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 года назад +1

    Nimekuget Mr.Zembwela.

  • @edwinlawi6544
    @edwinlawi6544 3 года назад

    Vizur Sana zembwela

  • @zinabotnzani1492
    @zinabotnzani1492 3 года назад

    Uko vizuri

  • @amantepa2582
    @amantepa2582 3 года назад +3

    mungundo mjuzi wa hiili

  • @nurdin.mndeme3447
    @nurdin.mndeme3447 3 года назад +3

    genius

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 3 года назад

    Uko vizuri sana mkuu

  • @uchebeeumetisha9018
    @uchebeeumetisha9018 3 года назад

    Miss u zembwela babu

  • @samsonezekiel9232
    @samsonezekiel9232 3 года назад

    Max na zembwela

  • @hamisisha
    @hamisisha 3 года назад

    Jaman ee tukubali huyu zembwela wetu ni mtu mdanger sana kwenye hii tasnia ya habari

  • @oscarchales8715
    @oscarchales8715 3 года назад

    Litttttt

  • @dtv3245
    @dtv3245 3 года назад +2

    Kali sana hii dauka

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 3 года назад +1

    Hakika naisubiri sehemu ya pili

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 3 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂yani babu una msema shangazi sioooo😂😂😂😂😂😂

  • @jenynaafya
    @jenynaafya 3 года назад

    FAHAMU DALILI ZA TEZI DUME
    (0655523211)
    1.Kukojoa mara kwa mara hasa wakati wa usiku
    2.mkojo kutoka kisiri siri
    3.mkojo kutoka bila nguvu na kutokuruka mbali.
    4.kokosa hamu ya tendo la ndoa na kuishiwa nguvu za kiume.
    5.kupata ugumu na maumivu wakati wa kukojoa.
    Tezi dume isipotibiwa mapema huleta madhara mbalimbali kama
    🔸 Upungufu wa nguvu za kiume
    🔸 Saratani ya tezi dume
    🔸Figo kufeli
    🔸Mawe kwenye figo
    🔸Kifo
    Kwa ushauri na tiba 0655523211.

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +2

    Ana jina la tandale hujakwama.

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 года назад

    Asante studio

  • @jafariramadhani4630
    @jafariramadhani4630 3 года назад +2

    Inamaana kubwa sana hii💎📌

  • @khamiskamtoi5094
    @khamiskamtoi5094 3 года назад

    Kama umeona stone Tangawizi Gonga like

  • @abdallabakari6000
    @abdallabakari6000 3 года назад +4

    Kwaiyo diamond ni nasib abdull sio nyange

  • @fiancekikoti1772
    @fiancekikoti1772 3 года назад

    Mbonaaa hewaaa

  • @emmyyahya8358
    @emmyyahya8358 3 года назад +3

    We ndo baba laoo hunakuogopa mtu

  • @karimujuma6595
    @karimujuma6595 3 года назад

    Na ww ni mine wa Sandra pia

  • @jentlikuse5719
    @jentlikuse5719 3 года назад +1

    Kama alivyo mzee abdul.maana kw maneno anayo ongea tu unajua kia huyo ana hofu na mngu maana anayakubar maisha yake

  • @ashnuhu1420
    @ashnuhu1420 3 года назад

    Mtu mwenye hekma zake

  • @younglady118
    @younglady118 3 года назад +1

    Asaaaaante

  • @zachariakishiwa4154
    @zachariakishiwa4154 3 года назад

    😁😁😁😁😁gume gume mfupa wa fisi nimecheka 😅😅😅😅

  • @chauabdalah3311
    @chauabdalah3311 3 года назад

    Nani kamuelewa zembwela mdada mmoja kazaa na kijana mweusi na sasa hivi kazaa na kijana mweupe

  • @vdhjhdhdhhhd9332
    @vdhjhdhdhhhd9332 3 года назад

    mhh kweli.. ha ha ha

  • @sixmondkamwe1535
    @sixmondkamwe1535 3 года назад

    Babuuu wa busara

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 года назад

    Mtu mzima unaekubali kuitwa majina ya kijinga na wewe unakubali si upuuzi huo.

  • @nindemkeremi3708
    @nindemkeremi3708 3 года назад

    umekutana na pacha wako....

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 3 года назад

    Nimekuget Mr.Zembwela.

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 3 года назад

    Zembwela unawauwaaa watu jamaniii khaaa!!!😂😂😂😂

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 3 года назад +8

    Mungu mbaliki na mzidishie Diamond Nyange 🙏

  • @lufundadimpoz6063
    @lufundadimpoz6063 3 года назад +1

    Akuna chochote😂😂

  • @abdallabakari6000
    @abdallabakari6000 3 года назад +1

    Nasibu abdull?