Milard, achilia mbali na kipaji ulichonacho katika tasnia yako.... Unaongozwa sana na hekima. Kabla hujatoka Kilimanjaro pitia Arusha umwambie Mama Asante kwa malezi mazuri.
Millard hongera sana, hakika umeona umuhimu wa Mzee ukaona ukamhoji wewe mwenyewe, umefamya vyema hongera na pole kwako na Mzee Habash. Mungu awape nguvu na uvumilivu.
Millard yupo vzr katika mahojiano anakipaji kabisa..Pole Mzee ningumu sana kwamzazi kuondokewa na mtoto jamani hii kauli yakutaka kumsomea neno la Biblia na akawa ameshatangulia mbele ya haki..hongera kwaupendo wako kwawatoto wako ❤
Masikini huyu baba mungu alimjaalia kumpa mtoto mwema Gardner kupata Radhia ya Baba yake Baba akifurahi na akamsifu mtoto wake huyo mtoto mungu atampata fungu lake inshaallah
Hakika umaruufu wa Gardner umetoka kwa Malezi bora kabisa ya Mzee Habash.Jambo la kujifunza sana familia zingine.Busara,Utulivu,upendo kwa watu haina nunuliwi. Mungu akubariki na akutunze Mzee Habash na familia yako. Asante sana Millard tulijiuliza Captain Wazazi wako wapi??Umetupa jibu..Milard barikiwa unaupeo mkubwa katika.kazi yako.
ASILIMIA KUBWA YA VIJANA WAKIUME, PESA ZAO NGUMU SANA KUTUNZA WAZAZ. ILA KWA MADEM HAWAJAMBO. MJIFUNZEEE HAPA, BABA GARDNER ALKUA HAOMBI PESA HUTUMIWA TU. RIP CAPTAIN. ❤❤❤SISI WAKIKE HODARI KUTUNZA WAZAZI
Pole sana mzee inaumiza sana watoto wanatangulia badala ya kutuzika wazee! Mwenyezi Mungu awafariji na awape nguvu za kukubali hali iliyotokea. R.I.P Gadner😭
Pole sana Baba...neno lako kwamba alikuwa amevimba ukawa unamkanda ...ni wazi presha ilimpeleka kuwa na tatizo la figo...Ndugu zangu Presha ni Janga kubwa tuzingatie na tuwe na Nidhamu kwa taratibu za mazingatio ya wataalam...
Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia nzima na sisi wote ,kikubwa tuendelee kumuombea, na hongera Milad ayo kwa upendo ulionao,na hekima wewe ni mtu muhim sana kazi yako unaipenda na una wito
Pole Mzee Gabriel Habash,nimeguswa mno na maongezi yako,cpati mfano wa cmanzi/mayonzi ulonayo,Mungu wa huruma azidi kukutia nguvu/subra hili unalopitia,hakika Mola kazi yake HAINA MAKOSA,Pole Mzee Gabriel/familia yote + wana hbr nyote,hii ni njia yetu sote.POLENI MNO.
Pole sana baba tunajuwa wote kufiwa usikie tuu Kwa mwenzako kama tunavyosema .baba umeumea zaid.mungu amempenda Zaid .pole sana baba mungu akupe nguvu Zaid yetu🙏🙏🙏
Inasikitisha watangazaji wote anaonwataja mzee walio kuwa Clouds wamefariki akina Amina Chifupa, Efrem Kibonde na Boss wao Ruge na sasa huyu Gadner Mungu awaweke mahala pema.
Pole sana baba etu tunaona vile unajikaza kujibu maswali kwa uchungu kaka Millad asante kwa kuwa katika sehemu ya watu wenye kujua kuuliza maswali ya msingi
Kaka mirada ayo mungu akupe uzima mwiga sana na mungu amekupa kibati had now umefikia sehemu hiyo mungu akubaliki sana ila tu jitahid kuwafwatilia wenyee uhitaki kaka ila we mungu akubaliki please naomba usome text yangu
Daaah😭😭😭😭 Kipo kitu kikubwa mno nimejifunza kupitia nahojiano na mzee na maneni yake. Gadner sio mtu wa kumuomba kitu nilikuwa nashtukia tu amefanya kitu kwenye simu😭😭😭 Huu ndio utu unapaswa kuwa nao kwa watu wetu wa karibu zaidi wazazi,kuna muda unaombwa kumbe huna,tutoe pale tunahisi uhitaji wa mzazi. R.I.P Gardner mbele yako nyuma yetu.
Sina experience na tasinia ya habari lakini najifunza sanaaa kutoka kwako,Hongera kwa hili Broo lakini Mungu akutie nguvu zaidi kwenye kipindi hiki kigumu uwepo kwa Mzee Habash ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki barikiwa sanaa Kaka
Millard Ayo wewe ni kipaji cha Taifa kwa tasnia hii ya Habari una hekima na utulivu wa hali ya juu,natamani vijana wengi wa Tanzania na EAST AFRICA waige mfano wako..keep the fire 🔥 burning
Aisee Bro Millard jomba unajua kuhoji vizuri. Wewe ni Professor kwenye Mahojiano. Umewaacha mbalii wengine. Na Baba(Mzee) ameongea vizuri na kueleweka. Pole kwa Mzee naPoleni Clouds..
Milard, achilia mbali na kipaji ulichonacho katika tasnia yako.... Unaongozwa sana na hekima. Kabla hujatoka Kilimanjaro pitia Arusha umwambie Mama Asante kwa malezi mazuri.
Kweli kabisa, Millard Ayo ana personality ya kutolea ndano! Poleni sana na msiba
Milard ayo hongera kwa kufatilia taalifa za ukweli wewe nitofauti namedia zingine nakubali mwambaaaa
mama yake alisha fariki
@@africa7479 Oohhhhh! Sikujua.
Basi akapite hata kuzuri kaburi la mama yake na kumuombea maghfila kwa Allah Insha Allah
Poleni familia na Watanzania Mungu awape nguvu na tuendee kumuombea amen
Millard hongera sana, hakika umeona umuhimu wa Mzee ukaona ukamhoji wewe mwenyewe, umefamya vyema hongera na pole kwako na Mzee Habash. Mungu awape nguvu na uvumilivu.
Millard yupo vzr katika mahojiano anakipaji kabisa..Pole Mzee ningumu sana kwamzazi kuondokewa na mtoto jamani hii kauli yakutaka kumsomea neno la Biblia na akawa ameshatangulia mbele ya haki..hongera kwaupendo wako kwawatoto wako ❤
Mungu akufariji baba na wana tanga wote hasa chumbageni tutakukumbuka daima bro G
😭😭Mzee ni mwingi wa shukran ,hakika umejaa busara
MZEE ANA BUSARA SANA NA PIA MTULIVU MNO 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 HE IS SO HUMBLE.
Pole sana Baba Gardner. Mungu akupe nguvu na Faraja, katika kipi di hiki kigumu.
Mwanamme analia ndani ya moyo,,,pole baba 😭😭
Mimi ni mkenya ila napenda sana kufatilia interview zako milard kwa hakika Mungu amekubariki big up sana
Mahojiano mazuri yenye mengi ya kujifunza katika mapito haya ya dunia Millard ayo upo vizuri kwenye interview zako hongera sana brother 🙏.
Millard Hongera brother Kwa mahojiano Bora sana
Millard una hekima sana katka mahojiano yako mungu azidi kubariki kazi yako
Amen, asante sana Ndugu yangu
Amin Amin Amin
MOR BLESSINGS 💝👐💝
Baba pole sana, Millard endelea hivyo hivyo mdogo wangu uko poa sana kwenye mahojiano
Hakika he is smart millad
Huyu mzee is very smart minded. Pole Sana baba, Mungu akutie nguvu. I wish ningekua Marangu nyumbani hapo tarakea ningekuja hata kwa bike.👏
Daah polee sana mzee wetu kwa kumpoteza mtoto wako, Mungu awatie nguvu..Polee MillardAyo
Kuna watangazaji alafu kuna wewe millard ayo aisee unajua una ekima unajua unamhoji nani unapaswa kuongea nini aisee millard mungu aendelee kukuongoza bravo bravo
Mungu akupe nguvu mzee kwa kipindi hiki kingumu kwa kufiwa na mwanao.
Ameen
Pole Sana mzee wetu, Mungu awe faraja kwako na familia kwa ujumla.
Millard kuwa karibu na huyo mzee, inaonekana kama anafarijika sana kuwa karibu yako.
sawasawa Benson
Pole sana Mzee , Allah akutie nguvu inshallah
Dah aisee Baba yuko vizuri sana Busara na hekima zimejaa,Pole sana baba Mungu awape faraja 🙏
Gardner alikuwa very smart kama baba yake, hakika baba amepoteza jembe.R.I.P bro Gardner
dah mzee yuko smart sana pole baba ndio maisha kila mtu hajui ataondoka lini duniani tunapita2 mungu amueke mahala pema peponi
Masikini huyu baba mungu alimjaalia kumpa mtoto mwema Gardner kupata Radhia ya Baba yake Baba akifurahi na akamsifu mtoto wake huyo mtoto mungu atampata fungu lake inshaallah
Hakika umaruufu wa Gardner umetoka kwa Malezi bora kabisa ya Mzee Habash.Jambo la kujifunza sana familia zingine.Busara,Utulivu,upendo kwa watu haina nunuliwi.
Mungu akubariki na akutunze Mzee Habash na familia yako.
Asante sana Millard tulijiuliza Captain Wazazi wako wapi??Umetupa jibu..Milard barikiwa unaupeo mkubwa katika.kazi yako.
Pole mzee wetu sote njianimoja wete niwakupitatu apa duniani
ASILIMIA KUBWA YA VIJANA WAKIUME, PESA ZAO NGUMU SANA KUTUNZA WAZAZ. ILA KWA MADEM HAWAJAMBO. MJIFUNZEEE HAPA, BABA GARDNER ALKUA HAOMBI PESA HUTUMIWA TU. RIP CAPTAIN. ❤❤❤SISI WAKIKE HODARI KUTUNZA WAZAZI
Pole sana mzee wng,mungu akufanyie wepesi ktk kipindi hichi cha majonzi
Pole sana Baba Mungu akutie nguvu Hongera sana Millardy kwa hekima uliyonayo una busara sana mshukuru Mungu kwa Neema hiyo aliyokupa Mungu Ubarikiwe
Aron aliwah kufanya kazi PIL namkumbuka sana hii familia wana moyo mzur mno Mungu amlaze mahali pema peponi
Pole Sana baba Kazi ya mungu haina makosa. Sote njia yetu nimeona yy ametangulia na sisi tuanfatia.
Pole sana mzee inaumiza sana watoto wanatangulia badala ya kutuzika wazee! Mwenyezi Mungu awafariji na awape nguvu za kukubali hali iliyotokea. R.I.P Gadner😭
Milard kazi nzuri sana Brother!
Baba ana Imani safi sana
Mungu mwema
Millard unabusara sana mungu akubariki
Pole sana Baba...neno lako kwamba alikuwa amevimba ukawa unamkanda ...ni wazi presha ilimpeleka kuwa na tatizo la figo...Ndugu zangu Presha ni Janga kubwa tuzingatie na tuwe na Nidhamu kwa taratibu za mazingatio ya wataalam...
Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia nzima na sisi wote ,kikubwa tuendelee kumuombea, na hongera Milad ayo kwa upendo ulionao,na hekima wewe ni mtu muhim sana kazi yako unaipenda na una wito
Pole sana babuu Allah akufanyie wepesi sana 😢😢
Pole sanaa mzee
Mungu anatupenda sana nasi tuendelee kupendana kama yeye alivyotupenda...na Mungu ndivyo atakavyotukuzwa ndani yetu.
Pole Mzee Gabriel Habash,nimeguswa mno na maongezi yako,cpati mfano wa cmanzi/mayonzi ulonayo,Mungu wa huruma azidi kukutia nguvu/subra hili unalopitia,hakika Mola kazi yake HAINA MAKOSA,Pole Mzee Gabriel/familia yote + wana hbr nyote,hii ni njia yetu sote.POLENI MNO.
Pole baba , kazi ya mungu haina makosa. Mwenyezi mungu akupe nguvu.
Pole sana mzee wangu na wajina wa baba yng mzazi mzee gabriel Mwenyenzi Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu. Amina
Pole sana mzee na familia milad pole sana hongera sana kwa mahojiano yako wakati wote mungu akuze kipaji chako mara dufu
Millard una hekima brow mungu akuimarishe zaidi
mzee mwenye hekma na busara masha Allah mungu akupe subra na imani
Hekima kubwa sana, Mungu akutunze Baba yangu na akutie nguvu sana
Daah! pole sana baba na familia Mungu Roho Mtakatifu akawe faraja kwenu nyote.
Hakika Miradi Ayo ni kijana mwenye hekima sana na mwanamke atakaye muoa atajivunia kweli
Pole sana mzee.MUNGU akutie nguvu zaidi na zaidi
Pole Baba ndo duniani kazi ya mungu haina makosa mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema inshaallah
Pole sana baba tunajuwa wote kufiwa usikie tuu Kwa mwenzako kama tunavyosema .baba umeumea zaid.mungu amempenda Zaid .pole sana baba mungu akupe nguvu Zaid yetu🙏🙏🙏
Pole Sana Baba Mzee Habash! Mwenyezimungu akutie nguvu!
pole sana mzee wetu mungu azidi kukupa hekima na akupe umri zaidi
Duh mzee bado yuko vizuri sana...
Pole sana baba Mungu akawe faraja yako
Pole sana kwa familia, pole sana mzee wetu Mungu awatie nguvu katika hili mnalolipitia!!
Pole sana baba. Mungu awe faraja kwenu.
Inasikitisha watangazaji wote anaonwataja mzee walio kuwa Clouds wamefariki akina Amina Chifupa, Efrem Kibonde na Boss wao Ruge na sasa huyu Gadner Mungu awaweke mahala pema.
Pole Sana Mzee Habadh Mungu akutie nguvu
Milliard you are on time,and you bring the best exclusive
Poleni kwa msiba Allah ametoa Allah ametwaa ... Innalilah waina ilaih rajiun....Millard Ayo napenda sana habari zako,,shabiki wako kutokea kenya
Poleni Sana family, MUNGU mwema Sana,daima ntamkumbka kipnd cha jahazi pia alimpenda Sana baby malkia careen
Inauma Sanaa mzazi kumzika mtoto wake..Mungu akupe nguvu Baba🙏
Huyo babu nimempenda bure jamani 😊 pole babu kwa kumpoteza mwanao MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI AMINA
Milard mungu akubariki Kwa mahojiano yako mazuri na Kwa utulivu, watangazaji wengine eti unamuuliza Mzazi msiba huu umekuumizaje kweli
Pole sana baba mwenyezi mungu awatie nguvu muweze kumpumzisha katika nyumba yake ya milele🙏🙏🙏
Poleni sana babaangu mungu ndie mwamwuzi wetu sisi si lolote tuendelee kumwombea
Pole sana Mzee. Kifo kisikie kwa mwenzako, that's true!!!
Millard congratulations🎉 unsijua kazi yako babaaaa❤❤❤❤
Pole sana baba etu tunaona vile unajikaza kujibu maswali kwa uchungu kaka Millad asante kwa kuwa katika sehemu ya watu wenye kujua kuuliza maswali ya msingi
Kaka mirada ayo mungu akupe uzima mwiga sana na mungu amekupa kibati had now umefikia sehemu hiyo mungu akubaliki sana ila tu jitahid kuwafwatilia wenyee uhitaki kaka ila we mungu akubaliki please naomba usome text yangu
Pole sana baba hakika ulizaa mtoto mwenye kipaji na hekima ya hali ya juu
Good talented Millard ayo 💯🙏🏻
Big up @MillardAyo upo njema sana
Kati ya wanafunzi wa patandi uyu anafanya vizuri busara hekima ayo big up
Daaah😭😭😭😭
Kipo kitu kikubwa mno nimejifunza kupitia nahojiano na mzee na maneni yake.
Gadner sio mtu wa kumuomba kitu nilikuwa nashtukia tu amefanya kitu kwenye simu😭😭😭
Huu ndio utu unapaswa kuwa nao kwa watu wetu wa karibu zaidi wazazi,kuna muda unaombwa kumbe huna,tutoe pale tunahisi uhitaji wa mzazi.
R.I.P Gardner mbele yako nyuma yetu.
Big up home boy. Be blessed abundantly Ayo
Amen Anande, nashkuru sana Homeboy
I am humbled brother. Your sizy from Ar. Stay healthy. Kazi nzuri 😘🙏
Sina experience na tasinia ya habari lakini najifunza sanaaa kutoka kwako,Hongera kwa hili Broo lakini Mungu akutie nguvu zaidi kwenye kipindi hiki kigumu uwepo kwa Mzee Habash ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki barikiwa sanaa Kaka
Pole sana mzee wetu mwenyezi mungu awe faraja kwenu. Tunawaombea
Dah pole mzee unaumia sana
Millard Ayo wewe ni kipaji cha Taifa kwa tasnia hii ya Habari una hekima na utulivu wa hali ya juu,natamani vijana wengi wa Tanzania na EAST AFRICA waige mfano wako..keep the fire 🔥 burning
Mungu akupe faraja Baba , pole Sana
Aisee Bro Millard jomba unajua kuhoji vizuri. Wewe ni Professor kwenye Mahojiano. Umewaacha mbalii wengine. Na Baba(Mzee) ameongea vizuri na kueleweka. Pole kwa Mzee naPoleni Clouds..
Pole sana baba kwa msiba wa mwanao,Mungu akutie nguvu
Hospital kuna mambo mengi ya siri ukipewa macho ya rohon ndo maana wengine hali zinakuwa mbaya zaid wakifika hospital
Yapi mkuu
Ni kweli kabisa
Mungu akupe nguvu Baba kwenye kipindi kingumu Sana kwa kuondokewa na GADNA
Pole sana mzee wetu mungu akutie nguvu katika kipindi iki kigumu mungu amreem mpendwa wetu
Kusema ukweli Baba anajibu maswali vizuri sana na Millard naye maswali yanafaa kwa mfiwa. Mungu awabariki na poleni kwa msiba.
Mungu akutie nguvu Baba pamoja na wanafamilia
Pole sana baba Gardener ningekua tarakea ningekuja msibani
Pole sana babangu mwenyezi mungu akupe subira na nguvu
Like father like son... humble people
Mwenyezi Mungu awape wepesi katika kipindi hiki kigumu😢💔😢
Candle of wind may shine upon your soul😢
Mungu mtunze Baba yetu. Hongera Milard.
Pole sana mzee Habash, Mungu azidi kukutia nguvu. R.I.P Captain Gardner 😥
Pole baba kifo kisikie kwa mwenzio inauma sana
Duh pole sana mzee mungu akutie nguvu katika kipind kigumu
Pole sana Kakangu GABRIEL pole saana . MUNGU akupe NGUVU ya ziada.
Pole sana Baba, Mungu pekee akupe faraja 🙏
Pole Baba tuzidi kumuombea nasi tujiandae na Safari yetu kwake tutarejea😢😢
Duh uku akipendwa mtu anapendwa kweli usiombe ukachukiwa utajutaaa comenti zote ni maua tu mungu amzidishie
Pole sana baba mungu akupe nguvu na uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu