EXCLUSIVE: DAKIKA ZA MWISHO ZA GARDNER NA BABA YAKE MZAZI "ALINIAMBIA USIPANIKI USIJE KUFA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 апр 2024

Комментарии • 349

  • @nurumbaraka
    @nurumbaraka 26 дней назад +139

    Milard, achilia mbali na kipaji ulichonacho katika tasnia yako.... Unaongozwa sana na hekima. Kabla hujatoka Kilimanjaro pitia Arusha umwambie Mama Asante kwa malezi mazuri.

    • @ezytradeafrica2978
      @ezytradeafrica2978 25 дней назад +9

      Kweli kabisa, Millard Ayo ana personality ya kutolea ndano! Poleni sana na msiba

    • @SaidNsyengula-rf3to
      @SaidNsyengula-rf3to 25 дней назад +6

      Milard ayo hongera kwa kufatilia taalifa za ukweli wewe nitofauti namedia zingine nakubali mwambaaaa

    • @africa7479
      @africa7479 25 дней назад +3

      mama yake alisha fariki

    • @nurumbaraka
      @nurumbaraka 25 дней назад +4

      @@africa7479 Oohhhhh! Sikujua.
      Basi akapite hata kuzuri kaburi la mama yake na kumuombea maghfila kwa Allah Insha Allah

    • @elizabethsenyagwa6270
      @elizabethsenyagwa6270 25 дней назад +1

      Poleni familia na Watanzania Mungu awape nguvu na tuendee kumuombea amen

  • @MagrethMallya-we8ui
    @MagrethMallya-we8ui 26 дней назад +40

    Millard hongera sana, hakika umeona umuhimu wa Mzee ukaona ukamhoji wewe mwenyewe, umefamya vyema hongera na pole kwako na Mzee Habash. Mungu awape nguvu na uvumilivu.

    • @user-id8ys3lg5d
      @user-id8ys3lg5d 25 дней назад +2

      Millard yupo vzr katika mahojiano anakipaji kabisa..Pole Mzee ningumu sana kwamzazi kuondokewa na mtoto jamani hii kauli yakutaka kumsomea neno la Biblia na akawa ameshatangulia mbele ya haki..hongera kwaupendo wako kwawatoto wako ❤

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 26 дней назад +33

    Mungu akufariji baba na wana tanga wote hasa chumbageni tutakukumbuka daima bro G

  • @crillarlawcmo2366
    @crillarlawcmo2366 25 дней назад +25

    😭😭Mzee ni mwingi wa shukran ,hakika umejaa busara

  • @leylamohamed9939
    @leylamohamed9939 26 дней назад +58

    MZEE ANA BUSARA SANA NA PIA MTULIVU MNO 🙏🏽🙏🏽🙏🏽 HE IS SO HUMBLE.

  • @user-fz1ph3cn4s
    @user-fz1ph3cn4s 26 дней назад +35

    Pole sana Baba Gardner. Mungu akupe nguvu na Faraja, katika kipi di hiki kigumu.

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 25 дней назад +14

    Mwanamme analia ndani ya moyo,,,pole baba 😭😭

  • @salimsoyo8118
    @salimsoyo8118 25 дней назад +10

    Mimi ni mkenya ila napenda sana kufatilia interview zako milard kwa hakika Mungu amekubariki big up sana

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics 25 дней назад +8

    Mahojiano mazuri yenye mengi ya kujifunza katika mapito haya ya dunia Millard ayo upo vizuri kwenye interview zako hongera sana brother 🙏.

  • @adamfumbo5116
    @adamfumbo5116 25 дней назад +11

    Millard Hongera brother Kwa mahojiano Bora sana

  • @user-mf6vv1mf6x
    @user-mf6vv1mf6x 26 дней назад +42

    Millard una hekima sana katka mahojiano yako mungu azidi kubariki kazi yako

  • @barikimoshi4443
    @barikimoshi4443 26 дней назад +26

    Huyu mzee is very smart minded. Pole Sana baba, Mungu akutie nguvu. I wish ningekua Marangu nyumbani hapo tarakea ningekuja hata kwa bike.👏

  • @olesterleonard9737
    @olesterleonard9737 25 дней назад +6

    Daah polee sana mzee wetu kwa kumpoteza mtoto wako, Mungu awatie nguvu..Polee MillardAyo

  • @johnsondominick2089
    @johnsondominick2089 25 дней назад +15

    Kuna watangazaji alafu kuna wewe millard ayo aisee unajua una ekima unajua unamhoji nani unapaswa kuongea nini aisee millard mungu aendelee kukuongoza bravo bravo

  • @Afrikalove736
    @Afrikalove736 26 дней назад +15

    Mungu akupe nguvu mzee kwa kipindi hiki kingumu kwa kufiwa na mwanao.

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 25 дней назад +6

    Pole Sana mzee wetu, Mungu awe faraja kwako na familia kwa ujumla.

  • @bensonkinjofu3377
    @bensonkinjofu3377 26 дней назад +20

    Millard kuwa karibu na huyo mzee, inaonekana kama anafarijika sana kuwa karibu yako.

  • @user-jd6vr9xw1o
    @user-jd6vr9xw1o 26 дней назад +7

    Pole sana Mzee , Allah akutie nguvu inshallah

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 25 дней назад +2

    Dah aisee Baba yuko vizuri sana Busara na hekima zimejaa,Pole sana baba Mungu awape faraja 🙏

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 23 дня назад +2

    Gardner alikuwa very smart kama baba yake, hakika baba amepoteza jembe.R.I.P bro Gardner

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 25 дней назад +5

    dah mzee yuko smart sana pole baba ndio maisha kila mtu hajui ataondoka lini duniani tunapita2 mungu amueke mahala pema peponi

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 24 дня назад +1

    Masikini huyu baba mungu alimjaalia kumpa mtoto mwema Gardner kupata Radhia ya Baba yake Baba akifurahi na akamsifu mtoto wake huyo mtoto mungu atampata fungu lake inshaallah

  • @hopegwimile53
    @hopegwimile53 25 дней назад +4

    Hakika umaruufu wa Gardner umetoka kwa Malezi bora kabisa ya Mzee Habash.Jambo la kujifunza sana familia zingine.Busara,Utulivu,upendo kwa watu haina nunuliwi.
    Mungu akubariki na akutunze Mzee Habash na familia yako.
    Asante sana Millard tulijiuliza Captain Wazazi wako wapi??Umetupa jibu..Milard barikiwa unaupeo mkubwa katika.kazi yako.

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah4641 25 дней назад +3

    Pole mzee wetu sote njianimoja wete niwakupitatu apa duniani

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 25 дней назад +1

    ASILIMIA KUBWA YA VIJANA WAKIUME, PESA ZAO NGUMU SANA KUTUNZA WAZAZ. ILA KWA MADEM HAWAJAMBO. MJIFUNZEEE HAPA, BABA GARDNER ALKUA HAOMBI PESA HUTUMIWA TU. RIP CAPTAIN. ❤❤❤SISI WAKIKE HODARI KUTUNZA WAZAZI

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 25 дней назад +2

    Pole sana mzee wng,mungu akufanyie wepesi ktk kipindi hichi cha majonzi

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 25 дней назад +1

    Pole sana Baba Mungu akutie nguvu Hongera sana Millardy kwa hekima uliyonayo una busara sana mshukuru Mungu kwa Neema hiyo aliyokupa Mungu Ubarikiwe

  • @editorfrank7471
    @editorfrank7471 25 дней назад +1

    Aron aliwah kufanya kazi PIL namkumbuka sana hii familia wana moyo mzur mno Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @user-qe3fs1xc3b
    @user-qe3fs1xc3b 25 дней назад +1

    Pole Sana baba Kazi ya mungu haina makosa. Sote njia yetu nimeona yy ametangulia na sisi tuanfatia.

  • @ngamugamahonzelosanga3316
    @ngamugamahonzelosanga3316 25 дней назад +1

    Pole sana mzee inaumiza sana watoto wanatangulia badala ya kutuzika wazee! Mwenyezi Mungu awafariji na awape nguvu za kukubali hali iliyotokea. R.I.P Gadner😭

  • @yasinimalya4001
    @yasinimalya4001 20 дней назад

    Milard kazi nzuri sana Brother!

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 23 дня назад +1

    Baba ana Imani safi sana
    Mungu mwema

  • @MathiasLyimo
    @MathiasLyimo 25 дней назад +3

    Millard unabusara sana mungu akubariki

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 22 дня назад

    Pole sana Baba...neno lako kwamba alikuwa amevimba ukawa unamkanda ...ni wazi presha ilimpeleka kuwa na tatizo la figo...Ndugu zangu Presha ni Janga kubwa tuzingatie na tuwe na Nidhamu kwa taratibu za mazingatio ya wataalam...

  • @agnessntiburella8816
    @agnessntiburella8816 25 дней назад

    Mwenyezi Mungu awatie nguvu familia nzima na sisi wote ,kikubwa tuendelee kumuombea, na hongera Milad ayo kwa upendo ulionao,na hekima wewe ni mtu muhim sana kazi yako unaipenda na una wito

  • @FelistersMejumaa-xi2ge
    @FelistersMejumaa-xi2ge 25 дней назад +2

    Pole sana babuu Allah akufanyie wepesi sana 😢😢

  • @DonaldMshani
    @DonaldMshani 23 дня назад

    Pole sanaa mzee

  • @user-rx7te2px5d
    @user-rx7te2px5d 26 дней назад +12

    Mungu anatupenda sana nasi tuendelee kupendana kama yeye alivyotupenda...na Mungu ndivyo atakavyotukuzwa ndani yetu.

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 25 дней назад

    Pole Mzee Gabriel Habash,nimeguswa mno na maongezi yako,cpati mfano wa cmanzi/mayonzi ulonayo,Mungu wa huruma azidi kukutia nguvu/subra hili unalopitia,hakika Mola kazi yake HAINA MAKOSA,Pole Mzee Gabriel/familia yote + wana hbr nyote,hii ni njia yetu sote.POLENI MNO.

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 25 дней назад

    Pole baba , kazi ya mungu haina makosa. Mwenyezi mungu akupe nguvu.

  • @romanilyimo
    @romanilyimo 25 дней назад

    Pole sana mzee wangu na wajina wa baba yng mzazi mzee gabriel Mwenyenzi Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu. Amina

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 25 дней назад

    Pole sana mzee na familia milad pole sana hongera sana kwa mahojiano yako wakati wote mungu akuze kipaji chako mara dufu

  • @HappyMbise-fb3mc
    @HappyMbise-fb3mc 25 дней назад +1

    Millard una hekima brow mungu akuimarishe zaidi

  • @user-pe1qv1sn5p
    @user-pe1qv1sn5p 24 дня назад

    mzee mwenye hekma na busara masha Allah mungu akupe subra na imani

  • @rehemaobbasy8409
    @rehemaobbasy8409 25 дней назад +1

    Hekima kubwa sana, Mungu akutunze Baba yangu na akutie nguvu sana

  • @janehenry1730
    @janehenry1730 25 дней назад

    Daah! pole sana baba na familia Mungu Roho Mtakatifu akawe faraja kwenu nyote.

  • @sarahbrown7884
    @sarahbrown7884 13 дней назад

    Hakika Miradi Ayo ni kijana mwenye hekima sana na mwanamke atakaye muoa atajivunia kweli

  • @khatijahayoub2105
    @khatijahayoub2105 24 дня назад

    Pole sana mzee.MUNGU akutie nguvu zaidi na zaidi

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 24 дня назад

    Pole Baba ndo duniani kazi ya mungu haina makosa mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema inshaallah

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 26 дней назад +3

    Pole sana baba tunajuwa wote kufiwa usikie tuu Kwa mwenzako kama tunavyosema .baba umeumea zaid.mungu amempenda Zaid .pole sana baba mungu akupe nguvu Zaid yetu🙏🙏🙏

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 25 дней назад

    Pole Sana Baba Mzee Habash! Mwenyezimungu akutie nguvu!

  • @Rojajaynor
    @Rojajaynor 25 дней назад

    pole sana mzee wetu mungu azidi kukupa hekima na akupe umri zaidi

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 25 дней назад +1

    Duh mzee bado yuko vizuri sana...

  • @maryobedi6807
    @maryobedi6807 25 дней назад +1

    Pole sana baba Mungu akawe faraja yako

  • @pmpaga1063
    @pmpaga1063 25 дней назад

    Pole sana kwa familia, pole sana mzee wetu Mungu awatie nguvu katika hili mnalolipitia!!

  • @MonicaTemba
    @MonicaTemba 25 дней назад +1

    Pole sana baba. Mungu awe faraja kwenu.

  • @billgussy6099
    @billgussy6099 18 дней назад

    Inasikitisha watangazaji wote anaonwataja mzee walio kuwa Clouds wamefariki akina Amina Chifupa, Efrem Kibonde na Boss wao Ruge na sasa huyu Gadner Mungu awaweke mahala pema.

  • @happinesspessa9390
    @happinesspessa9390 25 дней назад

    Pole Sana Mzee Habadh Mungu akutie nguvu

  • @MonickaMkasi
    @MonickaMkasi 24 дня назад

    Milliard you are on time,and you bring the best exclusive

  • @user-lh4bb8mm8w
    @user-lh4bb8mm8w 25 дней назад

    Poleni kwa msiba Allah ametoa Allah ametwaa ... Innalilah waina ilaih rajiun....Millard Ayo napenda sana habari zako,,shabiki wako kutokea kenya

  • @user-uu1nx8lj7f
    @user-uu1nx8lj7f 24 дня назад

    Poleni Sana family, MUNGU mwema Sana,daima ntamkumbka kipnd cha jahazi pia alimpenda Sana baby malkia careen

  • @hidaya95james53
    @hidaya95james53 25 дней назад

    Inauma Sanaa mzazi kumzika mtoto wake..Mungu akupe nguvu Baba🙏

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 25 дней назад

    Huyo babu nimempenda bure jamani 😊 pole babu kwa kumpoteza mwanao MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI AMINA

  • @mwanahamisinyenzi-vo6mj
    @mwanahamisinyenzi-vo6mj 25 дней назад

    Milard mungu akubariki Kwa mahojiano yako mazuri na Kwa utulivu, watangazaji wengine eti unamuuliza Mzazi msiba huu umekuumizaje kweli

  • @jasminmdimi6059
    @jasminmdimi6059 25 дней назад

    Pole sana baba mwenyezi mungu awatie nguvu muweze kumpumzisha katika nyumba yake ya milele🙏🙏🙏

  • @stellaukovizurimtanku2744
    @stellaukovizurimtanku2744 25 дней назад

    Poleni sana babaangu mungu ndie mwamwuzi wetu sisi si lolote tuendelee kumwombea

  • @sabablonde9189
    @sabablonde9189 23 дня назад

    Pole sana Mzee. Kifo kisikie kwa mwenzako, that's true!!!

  • @tricemollel6739
    @tricemollel6739 23 дня назад

    Millard congratulations🎉 unsijua kazi yako babaaaa❤❤❤❤

  • @user-ir3ne3by3n
    @user-ir3ne3by3n 24 дня назад

    Pole sana baba etu tunaona vile unajikaza kujibu maswali kwa uchungu kaka Millad asante kwa kuwa katika sehemu ya watu wenye kujua kuuliza maswali ya msingi

  • @paularinda6361
    @paularinda6361 3 дня назад

    Kaka mirada ayo mungu akupe uzima mwiga sana na mungu amekupa kibati had now umefikia sehemu hiyo mungu akubaliki sana ila tu jitahid kuwafwatilia wenyee uhitaki kaka ila we mungu akubaliki please naomba usome text yangu

  • @ThembelihleWilbert-du7hg
    @ThembelihleWilbert-du7hg 24 дня назад

    Pole sana baba hakika ulizaa mtoto mwenye kipaji na hekima ya hali ya juu

  • @hashilijuma1331
    @hashilijuma1331 25 дней назад +1

    Good talented Millard ayo 💯🙏🏻

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili 25 дней назад

    Big up @MillardAyo upo njema sana

  • @user-zh6qj9kd9x
    @user-zh6qj9kd9x 24 дня назад

    Kati ya wanafunzi wa patandi uyu anafanya vizuri busara hekima ayo big up

  • @albanombunju902
    @albanombunju902 26 дней назад +10

    Daaah😭😭😭😭
    Kipo kitu kikubwa mno nimejifunza kupitia nahojiano na mzee na maneni yake.
    Gadner sio mtu wa kumuomba kitu nilikuwa nashtukia tu amefanya kitu kwenye simu😭😭😭
    Huu ndio utu unapaswa kuwa nao kwa watu wetu wa karibu zaidi wazazi,kuna muda unaombwa kumbe huna,tutoe pale tunahisi uhitaji wa mzazi.
    R.I.P Gardner mbele yako nyuma yetu.

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 26 дней назад +12

    Big up home boy. Be blessed abundantly Ayo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  26 дней назад +4

      Amen Anande, nashkuru sana Homeboy

    • @anandemungure2500
      @anandemungure2500 26 дней назад +1

      I am humbled brother. Your sizy from Ar. Stay healthy. Kazi nzuri 😘🙏

    • @BerthaRaymond-qv2zn
      @BerthaRaymond-qv2zn 25 дней назад +1

      Sina experience na tasinia ya habari lakini najifunza sanaaa kutoka kwako,Hongera kwa hili Broo lakini Mungu akutie nguvu zaidi kwenye kipindi hiki kigumu uwepo kwa Mzee Habash ni muhimu zaidi kwa kipindi hiki barikiwa sanaa Kaka

  • @brendashao36
    @brendashao36 26 дней назад

    Pole sana mzee wetu mwenyezi mungu awe faraja kwenu. Tunawaombea

  • @MaryMmole-en9qz
    @MaryMmole-en9qz 25 дней назад +1

    Dah pole mzee unaumia sana

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 23 дня назад

    Millard Ayo wewe ni kipaji cha Taifa kwa tasnia hii ya Habari una hekima na utulivu wa hali ya juu,natamani vijana wengi wa Tanzania na EAST AFRICA waige mfano wako..keep the fire 🔥 burning

  • @dianangailo9878
    @dianangailo9878 23 дня назад

    Mungu akupe faraja Baba , pole Sana

  • @user-wc3hn4kt1x
    @user-wc3hn4kt1x 25 дней назад

    Aisee Bro Millard jomba unajua kuhoji vizuri. Wewe ni Professor kwenye Mahojiano. Umewaacha mbalii wengine. Na Baba(Mzee) ameongea vizuri na kueleweka. Pole kwa Mzee naPoleni Clouds..

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 23 дня назад

    Pole sana baba kwa msiba wa mwanao,Mungu akutie nguvu

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph1755 26 дней назад +11

    Hospital kuna mambo mengi ya siri ukipewa macho ya rohon ndo maana wengine hali zinakuwa mbaya zaid wakifika hospital

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 25 дней назад

    Mungu akupe nguvu Baba kwenye kipindi kingumu Sana kwa kuondokewa na GADNA

  • @allymganga3223
    @allymganga3223 25 дней назад

    Pole sana mzee wetu mungu akutie nguvu katika kipindi iki kigumu mungu amreem mpendwa wetu

  • @caritasmushi8896
    @caritasmushi8896 25 дней назад +1

    Kusema ukweli Baba anajibu maswali vizuri sana na Millard naye maswali yanafaa kwa mfiwa. Mungu awabariki na poleni kwa msiba.

  • @user-hs7cr3tk2e
    @user-hs7cr3tk2e 25 дней назад

    Mungu akutie nguvu Baba pamoja na wanafamilia

  • @HawaGaudace
    @HawaGaudace 23 дня назад

    Pole sana baba Gardener ningekua tarakea ningekuja msibani

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883 25 дней назад

    Pole sana babangu mwenyezi mungu akupe subira na nguvu

  • @siyangasamson7963
    @siyangasamson7963 22 дня назад

    Like father like son... humble people

  • @laurashao2618
    @laurashao2618 24 дня назад

    Mwenyezi Mungu awape wepesi katika kipindi hiki kigumu😢💔😢
    Candle of wind may shine upon your soul😢

  • @otarurosie
    @otarurosie 25 дней назад

    Mungu mtunze Baba yetu. Hongera Milard.

  • @robertlary6007
    @robertlary6007 25 дней назад

    Pole sana mzee Habash, Mungu azidi kukutia nguvu. R.I.P Captain Gardner 😥

  • @deborajoseph5270
    @deborajoseph5270 23 дня назад

    Pole baba kifo kisikie kwa mwenzio inauma sana

  • @Msafirifimbo
    @Msafirifimbo 25 дней назад

    Duh pole sana mzee mungu akutie nguvu katika kipind kigumu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 26 дней назад +3

    Pole sana Kakangu GABRIEL pole saana . MUNGU akupe NGUVU ya ziada.

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 25 дней назад

    Pole sana Baba, Mungu pekee akupe faraja 🙏

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 25 дней назад

    Pole Baba tuzidi kumuombea nasi tujiandae na Safari yetu kwake tutarejea😢😢

  • @NusraHozza-qp8yy
    @NusraHozza-qp8yy 16 дней назад

    Duh uku akipendwa mtu anapendwa kweli usiombe ukachukiwa utajutaaa comenti zote ni maua tu mungu amzidishie

  • @BibieMakame
    @BibieMakame 25 дней назад

    Pole sana baba mungu akupe nguvu na uvumilivu ktk kipindi hiki kigumu