MAISHA YA KAREN, MTOTO WA GARDNER, ALIVYOISHI NA JAYDEE NA KITU ALIMWAMBIA KUHUSU MUZIKI WAKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 янв 2020

Комментарии • 582

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 25 дней назад +487

    Wale tumekuja kuangalia hii interview baada ya captain kufariki tujuane kwa like, Anyway Caren pole sana kwa kuondokewa na father

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 12 дней назад +4

    Binti anajieleza vizuri na kujiamini,pia anaelekea amelelewa vizuri,hajakaa ki wale wadada! Na hajisikii,
    Mungu azidi kukutunza binti mrembo.❤

  • @shufaiyammohd5623
    @shufaiyammohd5623 4 года назад +78

    Kama umegundua kareen anaakili Gonga like nyingi....anampenda mama ake JAYD bila shida ...mwengine angemponda mama ake wa kambo

  • @wacundirangu1661
    @wacundirangu1661 26 дней назад +27

    She is giving Nandy humbleness ❤.

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 25 дней назад +51

    Karembo kenyewe❤pole kwa kuondokewa na baba kipenz

  • @ndetiefredielmushi9978
    @ndetiefredielmushi9978 24 дня назад +12

    Waoooo ka binti Kazuki jamaniii, pole sana Mungu akutunze ufanikiwe sana. Ila namuona kiongozi mkubwa sana wa nchi hii ya Tanzania.

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 26 дней назад +22

    Pole kipenzi kwa kuondokewa na baba mzazi😢

  • @sospeterurassa9894
    @sospeterurassa9894 24 дня назад +5

    Pole mamii kwa kuondokewa na baba mzazi.
    Hii interview na top two zangu kwa ufasaha na hekima za kujieleza upo vizuri sana,Mungu akutangulie akupe haja ya moyo wako iliyo njema machoni pake

  • @Aggy-888
    @Aggy-888 4 года назад +13

    She is strong and beautiful.big up kwa millard ayo gonga like yako hapa

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 24 дня назад +6

    ❤pole sana mtoto mzuri mungu akawe faraja kwako jeshi pia imekusaidia kuwaa na akili mungu akutunze toto ❤

  • @theonestinamutole8549
    @theonestinamutole8549 28 дней назад +12

    Pole sana binti kumpoteza baba

  • @edinabenard3342
    @edinabenard3342 22 дня назад +16

    Tulimfahamu baada ya kifo Cha baba ake tujuane 🤔Mungu akutie nguvu mrembo 🙏

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 4 года назад +25

    MaashaAllah mzuri sana...jitunze mwanangu uwe na heshima..usiwe kama wasanii wengine wa kike ambao hawajiheshimu

  • @sand4946
    @sand4946 4 года назад +8

    Beautiful girl. God bless you🙏🏾😘

  • @beasthunter4003
    @beasthunter4003 4 года назад +141

    Brother mbonamunaee ndana nauyo mdada vp kuowa millard kamaunaona akokatoto kanamfaa millard like tujuwane bro tunatakatumjuwe shem

    • @rosemerynjau7367
      @rosemerynjau7367 4 года назад +1

      BEAST Hunter kweli bhanaa cyo minaaly Kareem ndoanamfaa achukue chombohchooo

    • @sophiamosses2367
      @sophiamosses2367 4 года назад

      Anamfaa wanaendana Kuna chemistry

    • @tonganekwizayo9642
      @tonganekwizayo9642 4 года назад

      Wewe je mimi simfai😋😋

    • @haysanhassan2685
      @haysanhassan2685 4 года назад

      Wanaendana coz mchaga na mmeru ni kabila moja so chemistry imekaa poa hata kwenye interview

    • @shabanizena2612
      @shabanizena2612 26 дней назад

      Millard ana mke wake

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 24 дня назад +4

    Pole ndugu.yangu Kwa kumpoteza baba

  • @thegirlfromafrica5726
    @thegirlfromafrica5726 4 года назад +39

    I love the way anajibu maswali yake anajibu akifikili hakurupuki

  • @gabrielamrutu6277
    @gabrielamrutu6277 24 дня назад +10

    Pole sana kipenzi kwa kuondokewa na baba yako mzazi ,Mungu akutie nguvu

  • @godsongodson6087
    @godsongodson6087 4 года назад +19

    Nimekukubali kamanda, umenikumbusha introduction to the camp

  • @princehenry7113
    @princehenry7113 4 года назад +85

    Kama umeona millard anaonyesha hisia live za kimapenzi kwa karen na entevrwe inakuwa ngumu kwake like twende sawaaaaa

  • @gloryprotas1043
    @gloryprotas1043 25 дней назад +5

    Kanajibu vizuri jaman mungu akutie nguvu beby

  • @johnmarwa6654
    @johnmarwa6654 4 года назад +19

    Munaosema huyo Dada aolewe na Millard mwendeni ninyi Kwanza halafu badala mfocus kwny talent yake Nini mnazungumzia miwa

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 4 года назад

      Kweli Marwa,waswahili wakiona jinsia tofauti ,wanawaza kuoana tu

  • @danielmarwa5122
    @danielmarwa5122 25 дней назад +6

    pole sana kwa kumpoteza baba

  • @assengamn
    @assengamn 24 дня назад +15

    Kama unaona Careen akitoa single na Lady Jay D itaenda.... gonga Like

  • @nhalekasmir478
    @nhalekasmir478 4 года назад +67

    Kama umeonae hii interview ngumu kwa millard ayoo gonga like! 🤣 millard chukua huyo dogo! Alafu na wewe millard uwe unaweka maji ya kunywa maana unajikaza sana et 🤣🤣

  • @mbonicashoo3459
    @mbonicashoo3459 День назад

    jamaa hapo hapo uchumba uanze,bint mzuri sana tena yupo vizuri

  • @kettyym9859
    @kettyym9859 24 дня назад +3

    She is sooo loving.

  • @yusuphkayoka5452
    @yusuphkayoka5452 4 года назад +65

    Ktk interview ngumu Kwa Mirrad Ayo ni hii, amejikaza lkn hisia zimeonekana, kama mbwai mbwai Tu, wewe sio jiwe damu inachemka so keep on keeping.

  • @DonSompo
    @DonSompo 4 года назад +5

    Huyu dada nlikua namskia juu juu tu... Hapa ndo nmemjua.. af wimbo wake "tabu" nlikua nauskia redion na nkaupenda thou nlikua sjui umeimbwa na nan... BiG up Millard

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад +53

    Msanii wa kwaza wa kike anaeongea lafudhi nzuriiii.❤✅

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 25 дней назад +6

    Safiii sana Millard Ayo, interesting interview. RIP GARDNER HABASH GABRIEL.

  • @joyceandrew2426
    @joyceandrew2426 21 день назад

    Pole sana Mallkia kwa kumpoteza baba. Mwenyezi Mungu ampumzishe kwa Amani Amina 🙏

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 4 года назад +4

    uyu ndio mwanamke anaenivutia zaidi kuwahi kuwaona kwa wasanii .ana rangi nzuri ana sauti nzuri ..ila macho yake namfananisha na mwanamke ambae nilikua nampenda sn ...ana mapozi hayariiii ..i love you

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 25 дней назад +1

      vyote hivyo ni vya urithi na mapenzi ya Mungu tu hajatumia nguvu yoyote kuvipata, kwahivyo hakuna haja yoyote ya kusifiwa

  • @sakinaomar2312
    @sakinaomar2312 4 года назад +32

    Nimekupenda bure Malkia na Millard muowane banah

    • @pascalmsechu6874
      @pascalmsechu6874 4 года назад

      Millard hana mrembo mpaka leo kweli..?! Na Karin nae ..?!

    • @jovintosssi3287
      @jovintosssi3287 4 года назад

      @@pascalmsechu6874 millard ayo kaona ana mke na mtt

  • @wardamalunde3881
    @wardamalunde3881 4 года назад +1

    Uko vizuri sn

  • @vailethywalter5674
    @vailethywalter5674 4 года назад +9

    upo vizuri love nimekumbuka jeshi daaaa love you

  • @zaitunishafii3313
    @zaitunishafii3313 24 дня назад +2

    Pole mpenzi mungu akutie nguvu

  • @wingracealfred1978
    @wingracealfred1978 4 года назад +9

    Careen anakakengeza kazurii kwa mbalii....so cute totoo

  • @gloryndescoy8579
    @gloryndescoy8579 2 года назад +2

    She is very bright..anajua namna ya kujieleza

  • @user-te1gh1oo2e
    @user-te1gh1oo2e 21 день назад

    Interview kali sana careen una vionjo vyakujielezea sana pia smile ucheshi nakujiweka kawaida kama father

  • @yascomdoe5686
    @yascomdoe5686 4 года назад +6

    Nampenda sana careen jamn kam unaona uo nd ukwel

  • @jacqulinemushi5849
    @jacqulinemushi5849 4 года назад +15

    Cute, smart,black beauty 😍😍

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 года назад +45

    Millard MUOE HUYU MTOTO MNAENDANA SANA JAMANI

    • @arnoldmeyasi6217
      @arnoldmeyasi6217 4 года назад +3

      saitoti saitoti Millard anamke au ujui

    • @haysanhassan2685
      @haysanhassan2685 4 года назад +4

      Wamekutana makabila yanayoshabihiana ndo maana chemistry imeonekana kwa haraka, Millard mmeru, huyo Karen mchaga

    • @saitotisaitoti6734
      @saitotisaitoti6734 4 года назад

      @@arnoldmeyasi6217 hee sijui 😀😀

    • @doreenchacha7692
      @doreenchacha7692 24 дня назад

      Anamimba

    • @12322879
      @12322879 23 дня назад

      Utafeli,sio kila mwanamke ukiambiwa mnaendana uoe unaoa 😂

  • @maryfloramsuya8139
    @maryfloramsuya8139 24 дня назад +1

    Pole careen Mungu akupiganie ❤

  • @UpendoNkya-ci9dr
    @UpendoNkya-ci9dr 22 дня назад

    Pole my dogo langu Mungu akupe nguvu kwa kipindi hichi kigumu cha kuondokewq na bdba mzazi

  • @user-bs6os3yu4b
    @user-bs6os3yu4b 9 дней назад

    Nmekupenda bureee kwa kweli.Una point.

  • @jakobosundew363
    @jakobosundew363 4 года назад +16

    Mtoto kakidagate😂😂 Ayo naye ana macho, Exclusive inakuwa ngumu,
    2lokuwa mda tumeona lkn ndo challenge Za kazi hizi na hawa visura wa bongo Dar Es salama .👍👍

  • @KipampeMedia
    @KipampeMedia 21 день назад +1

    Nakukibali sana Millard ayo kwa izi kazi

  • @andrewmathias9662
    @andrewmathias9662 19 дней назад

    Beautiful Muimbaji msomi

  • @khadijasalum624
    @khadijasalum624 4 года назад +9

    Congrats kwa kupitia mafunzo ya ukakamavu na ulikubali kukunjua nafc tunasema!

  • @rachelmligwa5922
    @rachelmligwa5922 4 года назад +17

    Wewe Ni binti mzuri Sana wa sura naumetulia Sana, jitahidi uendelee hivyohivyo usibadilishwe na Dunia

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c 25 дней назад +5

    Pole kwa kumupoteza baba yako dada mzuri

  • @graciousabdilah4642
    @graciousabdilah4642 4 года назад +9

    Dada una hekima sana hufeck life yako angekuwa mt mwngin mara ashike nywel mara nn nakupenda bure

  • @geoffreyembasa8483
    @geoffreyembasa8483 4 года назад +5

    This is one of the best interviewer.He shld put English subtitles in the video for a much more wider audience

    • @hamisamataka3650
      @hamisamataka3650 Год назад

      Mmmkim ki8k í ok I'm i8nkmkm8mkm my m88kkmmí join imm8 Kik oky í hi it I k k k ok 88 tyou likeTo u

  • @aronelius9515
    @aronelius9515 4 года назад +4

    Cute with loveable voice. .....love u for real.

  • @rosemarydeograthius7041
    @rosemarydeograthius7041 4 года назад +4

    Watu na macho yetu bwana😘😘

  • @TIMZMEDIA-
    @TIMZMEDIA- 4 года назад +11

    Karibu RoNeCa ututembelee. The school of choice.

  • @allawithegenius2117
    @allawithegenius2117 4 года назад +19

    Story za Jeshini zimechukua airtime mpka kero 🚶🕷️

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 23 дня назад

    Pole sana Careen kwa kumpoteza Baba yako mpendwa ,ulimpenda sana lkn Mungu kampenda zaidi.Mungu akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.R.I.P Gadner 🙏🏼

  • @mandegoro9322
    @mandegoro9322 4 года назад +14

    A good JKT advocate.

  • @user-qi8qq3bo2k
    @user-qi8qq3bo2k 19 дней назад

    Pole sana mtoto wa gadna g abash mungu akutangulie mi ni jafet andrea silayo nipo pande za tarakea rombo kikelelwa mi ni jirani wa gadna

    • @trudafortu
      @trudafortu 17 дней назад

      Mbona kujitambulisha kwingi bro😅😅

  • @MwalimuMarwa
    @MwalimuMarwa 4 года назад +8

    Hongera bro kwa interview iko poa na malkia yupo real. Big up

  • @mdmubrak8152
    @mdmubrak8152 4 года назад +15

    Strong gall and beautiful

    • @geofreymjasiriamali5762
      @geofreymjasiriamali5762 4 года назад +1

      Unajua kujieleza

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 25 дней назад

      vyote hivyo ni vya urithi na mapenzi ya Mungu tu hajatumia nguvu yoyote kuvipata, kwahivyo hakuna haja yoyote ya kusifiwa

  • @user-rd7vh8lz6r
    @user-rd7vh8lz6r 23 дня назад +1

    Pole sana karen kwa kupoteza baba

  • @MoreenMichaelmichael
    @MoreenMichaelmichael 24 дня назад +1

    Itakuwa gumu sana kuzowea kuish bila baba😭😭😭😭😭pole Sana kwakuondokewa na baba,maumivu uliyonayo hayaelezek wala hayazoelek

  • @grolyjoseph2622
    @grolyjoseph2622 4 года назад +1

    Nakupenda bureeee💖💖💖💖💖

  • @mandegoro9322
    @mandegoro9322 4 года назад +14

    Inaonekana mzee Gardiner ni mzazi mwenye maadili mazuri. Hongera sana

  • @gaspermoko171
    @gaspermoko171 24 дня назад +1

    Pole sana karen kwa kuondokewa na baba mzazi kiukweli inauma sana lkn kazi yake mola haina makosa

  • @veredianamagesa5229
    @veredianamagesa5229 4 года назад +3

    Mwanamuziki Safi Sana endelea ivo carlen 🤷🤷🤷

  • @samsonchaross8700
    @samsonchaross8700 4 года назад +13

    Aaaaah,, Karen big up sana kama uliwahi kwenda jkt ,,, jkt haijawah tokea kuamka SAA kumi na moja,,,, sema kama wew ulibahatika sana ,, maana mimi sikubahatika kuamka SAA kumi na moja

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 23 дня назад +1

    Pole sana

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 4 года назад +5

    Beautiful 💕

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 4 года назад +3

    Kumbuka kufanya kazi kwa bidii...Usikumbuke kuwa baba ataniwezesha...😊

  • @mastermindmastermind9046
    @mastermindmastermind9046 4 года назад +58

    Millard inaonekana kamuelewa huyu demu .muangalien vzuri

  • @4vorose
    @4vorose 4 года назад +9

    Story za jeshi zinaisha at 19:00 minutes na swali ya Jaydee ni dakika ya 30:00 huko

    • @behindakalenda1144
      @behindakalenda1144 4 года назад

      ruclips.net/channel/UCEg0KwwKxHmbghAdaLGU6pw naomba sapoti yako ku subscribe official channel by #GOLDBOY asante God akubless

    • @hariethlukensa6346
      @hariethlukensa6346 19 дней назад

      Asante umenisaidia kwenda straight kwa nilichotaka kuskia

  • @shadracksamson6688
    @shadracksamson6688 4 года назад +1

    Careen ana hekima na busara kama za mama ake mdogo jide jay dee.....vizuri sana nakuelewa

  • @merysianapaschal478
    @merysianapaschal478 4 года назад +4

    Jmn nimependa tena asa icho kipengele cha jkt apo

  • @Dayana-hw8kh
    @Dayana-hw8kh 18 дней назад

    Polee kwake mungu amtia nguvu🙏

  • @azizakhassim9365
    @azizakhassim9365 23 дня назад

    Pole kwakuondokewa na baba mwenye upendo watofauti kwa Tz

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 26 дней назад +2

    Mamako bado yuko Mwanza? CAREEN. Ulikaa sana Mwanza KIRUMBA. na mama yako mdogo wake Sr Ex pide.

  • @ashaomary8969
    @ashaomary8969 4 года назад +2

    Nice

  • @asinatikarim5401
    @asinatikarim5401 4 года назад +4

    Wow

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 25 дней назад +1

    Pole sana kareen aise mwenyewe mpole sana

  • @FaidhaIssa-or3ws
    @FaidhaIssa-or3ws 14 дней назад

    Pole sana sister careen kwa kumpotez baba

  • @delldeede4311
    @delldeede4311 4 года назад

    Msangeeeeeeee...2018...😘😘

  • @alicianjenga6921
    @alicianjenga6921 4 года назад +1

    Happy birthday caren

  • @nancyruoruo1025
    @nancyruoruo1025 4 года назад +6

    So cute na heshima zake

  • @doreenMolla
    @doreenMolla 14 дней назад

    Pole sana mwanangu mungu akutie nguvu

  • @MwanaidiKihiyo
    @MwanaidiKihiyo 11 дней назад

    Km hujaowa hebu muowe huyu mtt pia utakuwa umemuenzi baba ❤

  • @msokeentertainment5720
    @msokeentertainment5720 4 года назад +2

    Point zote

  • @zaibonge7867
    @zaibonge7867 4 года назад +23

    Kama umeona careen anafanana na Irene uyowa mbaka uongeaji nipe like😘kasoro rangi zao tu ..ila wapo copy rite 😜

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 4 года назад +1

      Mh

    • @zaibonge7867
      @zaibonge7867 4 года назад

      @@samwelimoshi5614 mba😏

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 4 года назад +2

      Mi sioni hivyo.

    • @zaibonge7867
      @zaibonge7867 4 года назад

      @@RuzoOwzy jaman angalia vizur🤗🤗🤗

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy 4 года назад

      @@zaibonge7867 Kwa jinsi nlivyomtamani na macho yake ya kurembua. Nmemwangalia mara mia tayari. Wako tofauti, labda ki-interview wanafanana swaga ya kuongea na pozi

  • @Passionate-women
    @Passionate-women 23 дня назад +1

    Mzuriii

  • @RamadhaniNorbet
    @RamadhaniNorbet 25 дней назад +2

    KWA HIYO NW NDIO 30, 2024

  • @zaibonge7867
    @zaibonge7867 4 года назад +30

    Kama unamuona millady anazeeka nipe like maana hataki kuoa huyu lol 🙄🙄cjui yupoje mena Ally yupo careen ndo HUYO millady unakwama wap broo🤔🤔🤔

    • @annamwambosya8577
      @annamwambosya8577 4 года назад +1

      Labda hapendi. Kama alivyokuwa isack gamba

    • @zaibonge7867
      @zaibonge7867 4 года назад

      @@annamwambosya8577 🧐🧐itakuwa. 🤨🤔

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 25 дней назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @MacrinaLameck-yv2mu
      @MacrinaLameck-yv2mu 24 дня назад

      😄 🤣 😂 😆 imebidi nicheke tuu maana umenifurahisha😅😅

    • @tatumzelela5515
      @tatumzelela5515 24 дня назад

      Millady alishaga oa kimyakimya sema hamjui tyuu

  • @eileenremmy8576
    @eileenremmy8576 4 года назад

    Hongera Sana msange si kwa mchezo

  • @nurubofu2766
    @nurubofu2766 4 года назад +3

    Napenda interview zako broo hongerw

  • @hamisule3878
    @hamisule3878 3 года назад

    Kazuri mashallah

  • @fadhilindunguru7946
    @fadhilindunguru7946 24 дня назад +1

    Msange Tabora......❤

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer 4 года назад +7

    Nampenda bure uyu mrembo 💥🕊

    • @pitargamba9208
      @pitargamba9208 4 года назад +1

      Ommie 36 Karen anajiamini hayo hongera na maisha yako

    • @ommie_nyzer
      @ommie_nyzer 4 года назад

      @@pitargamba9208 umeona sindio👊

    • @salimakadri7423
      @salimakadri7423 4 года назад +1

      Ommie 36 Carin namkumbuka kipindi cha chuchuchu nakuomba nyimbo Jide

  • @gracekomba7107
    @gracekomba7107 4 года назад +30

    I just love her expressions...she is cute and real..😍😍