SEHEMU YA 1 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 апр 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds

Комментарии • 188

  • @kibito8339
    @kibito8339 14 дней назад +14

    Gadner lived his life to the fullest...ameondoka dunia haimdai na wala haidai dunia kitu!!

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 15 дней назад +19

    Kaka ulimpa heshima sana kufanya nae mazungumzo. Pumzika kwa amani captain G.

  • @user-qd9vf6ud3f
    @user-qd9vf6ud3f 15 дней назад +12

    Mungu Ailaze roho ya marehem pema peponi .

  • @user-bt6tl9hn5u
    @user-bt6tl9hn5u 13 дней назад +5

    Yaani nimekuja apa , nilivyosikia msiba, Mungu amlaze mahala pepa G

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 15 дней назад +14

    Mmoja kati kati watangazaji wenye kuvutia kuwasikiliza wakiongea. RIP kamanda G.
    Nenda kaonane na mwamba mwenzio na rafiki Yako kipenzi Ephrahim kibonde.
    Msalimie Ruge.
    Zaidi Pole mkurugenzi Jo kusaga na pacha wake G bwana George Bantu.
    Jahazi itakumis muda wote

  • @samsonmollel8147
    @samsonmollel8147 15 дней назад +11

    Pumzika Kwa Amani captain Mungu akupe pumziko la milele

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 15 дней назад +2

      Ameen 😭😭😭moyo waniumaaa 😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 15 дней назад +6

    Captain G .Mungu aiweke wepesi katika safari yako aliyoianza.

  • @DivinebabyDee
    @DivinebabyDee 11 дней назад +3

    Gadna alikuwa msema kweli,.daaah Mungu ampe pumziko jema

  • @elizabethlukoo4662
    @elizabethlukoo4662 15 дней назад +13

    R.I.P mwamba aiseee Jahazi litakumis sanaaaasanaa😢

  • @oscartalljembemgonya3528
    @oscartalljembemgonya3528 15 дней назад +10

    daaah jahazi limezama nilipenda sana sauti yako km inamusisitizo frani hizi na mpangilio wako waneno br.R.I.P Gardiner G ha bash.

    • @Fadhilimwamlima
      @Fadhilimwamlima 13 дней назад

      Jahazi limezama kweli Ephraim kibonde , gardiner, joj bantu hivi vinu vilikuwa vinafanya kazi alafu walikuwa wanasauti za adimu hupati radio nyingine aisee kifo bana

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 14 дней назад +5

    Historia ya clouds Fm yote ni wewe Uncle ❤❤❤na wanamuziki wote wa bongo flavour wamepita kwako kisawasawa..
    Rest easy 💔 😢 🙏

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 13 дней назад

      Basi huyu ndiye alikuwa mbanaji wa wasaniii chipukizi..!

  • @salaita2829
    @salaita2829 14 дней назад +6

    Jamaa anajuwa nini maana ya mahojiano,hakwepi swali wala hana jazba,hii ni maana halisi ya mahojiano.

  • @HassanHassan-pe7kj
    @HassanHassan-pe7kj 13 дней назад +3

    Innalillah wainna illah rajiun... Jamaa alikuwa anjua sana kazi yake...

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zy 12 дней назад +4

    Anayehoji yuko vizuri pia

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m 15 дней назад +9

    Kama Kuna kuonana msalimie ruge kibonde na mke wake😭😭😭😭

  • @johnmuro9915
    @johnmuro9915 15 дней назад +7

    huyu mwamba anaakili nyingi sana ,Mungu amuweke salama

  • @halimaallyazizi4443
    @halimaallyazizi4443 15 дней назад +3

    Mungu akupumzishe amen kaka

  • @mmangaabas2416
    @mmangaabas2416 15 дней назад +8

    Rip mlipa Kodi mwenzangu

  • @fadhilmnyamwezi5037
    @fadhilmnyamwezi5037 15 дней назад +23

    Nakukubali sana nilikutana na ww pamoja marehemu runge kwenye mazko y bi kidude znz dah yupo poa sana brother upumzikge kwa amani mbele yako nyuma yetu

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 12 дней назад +1

    Watu wa karibu na Karen wawe nae karibu sana kipindi hichi…My deepest condolences to her family and friends
    May his soul rest peacefully

  • @erickbarthazar9316
    @erickbarthazar9316 15 дней назад +2

    Mungu ailaze roho yake katika makao yake ya milele.

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 15 дней назад +4

    Jahaz litapooza dahhh kibonde na garden walilinigesha😢😢😢😢😢

  • @lulumkongwe9987
    @lulumkongwe9987 15 дней назад +2

    Pumzika kwa Amani Legend.

  • @beautymushi6164
    @beautymushi6164 15 дней назад +3

    Mungu ampumzishe pema

  • @abdulhassan6482
    @abdulhassan6482 15 дней назад +2

    mungu akusamehe bro hakuna mkamilifu

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 14 дней назад

    Mungu akulaze pema kwenye nyumba yako ya milele Dardner Habash🤲😭

  • @Shadadihamis25
    @Shadadihamis25 15 дней назад +8

    Rest in peace Gardner
    Inasikitusha sana hii

    • @alidamgeni7051
      @alidamgeni7051 15 дней назад

      Rest in peace Gardner tutaonana baadae

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 15 дней назад +5

    Bwana atwaa bwana ametoa, jina lako libarikiwe. RIP Gardner Habash.

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer 15 дней назад +1

    Captain G habash 🕊️

  • @enofrank1842
    @enofrank1842 13 дней назад

    Ameuma Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi

  • @CharlesLymo
    @CharlesLymo 15 дней назад +1

    Ni kweli

  • @DeTrinahx
    @DeTrinahx 12 дней назад

    He lives in us daima ❤️❤️❤️❤️🙏

  • @neemakiula8884
    @neemakiula8884 12 дней назад +1

    Mungu wa mbinguni ailaze roho yake pema peponi

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 15 дней назад +1

    Mungu ampuzishe kwa Aman

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 14 дней назад +2

    Careen Pole sana na msiba wapeni kina mama yako na Sr Ex Pide mamako mkuu . Pole jipeni moyo Mungu alimpenda zaidi tunamuombea kwa Mungu amuweke pahala pema peponi

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 15 дней назад +4

    Umemkuta.rafiki.yako KIBONDE. ,R.l P Gadna G..Habash.jahazi limezizima.

  • @junioremmanuel1695
    @junioremmanuel1695 15 дней назад

    Really I'm speechless 😢

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 15 дней назад +6

    RIP Captain 😢

  • @Wendy-kz6cy
    @Wendy-kz6cy 15 дней назад +3

    Pumzika kaka Captain we will miss like nobody business Salute bro R.I.P

  • @teddymutani856
    @teddymutani856 14 дней назад

    Daaah Gadnerrrr oooh jamniii

  • @DavidDavidmaleko
    @DavidDavidmaleko 15 дней назад +3

    R.i.p captain

  • @EvodiaMgunda
    @EvodiaMgunda 14 дней назад

    Kila nafsi itaonja umauti mungu ailaze roho yake mahari pema

  • @Timoclement
    @Timoclement 9 дней назад

    RIp legend

  • @eliamtani2840
    @eliamtani2840 14 дней назад +4

    Hapo kwenye mshahara nime angalia lips za Captain, Kasema Milioni 10. Prove Me Wrong, any one.

  • @collinsrutenge6449
    @collinsrutenge6449 15 дней назад +4

    RIEP Kaptein....Salimia Kaka Ruge& rafiki Kibonde

  • @alitoufik5477
    @alitoufik5477 15 дней назад +2

    Innallillah wainna illah rajiun

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q 15 дней назад +4

    Duhhh pole sana Baba Calen jaman mm ni shabiki wako katika kipindi chako na kile kipindi cha Mihogo jaman ukiwa na George bantu tutakukumbuka sana daima pumzika Kwa aman 🙏😭😭😭😭😭

  • @davidnyitambe3399
    @davidnyitambe3399 14 дней назад +5

    Mbona huo mshahara sijasikia vizuri..kama imekatwa hivi

    • @Bettingreviewtz
      @Bettingreviewtz 13 дней назад

      29,000,000

    • @blessedaggie9159
      @blessedaggie9159 13 дней назад

      ​@@Bettingreviewtzaisee, pesa ndefu

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 6 дней назад

      Ila mm nmeangalia mdomo wake ni kama amesema ""si chini ya 10""

    • @Bettingreviewtz
      @Bettingreviewtz 6 дней назад

      @@leedsoldat4189 Milion 10 wapo wanaolipwa hiyo pesa

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 14 дней назад +4

    Hv uwa inakuaje interview inaachiliwa mtu akifa..anyways pumzika kwa aman captain

    • @audaxmlowa9953
      @audaxmlowa9953 14 дней назад +1

      Hatuko sawa kabisa wabongo

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 14 дней назад

      @@audaxmlowa9953 ujue mi sielewagi kabisa.

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 12 дней назад

      Ya muda sana nyie tu ndio huwa mnakosa vifurushi vya kutazama

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 11 дней назад +1

      ​@@joycekalago532😂😂mi naona wew ndo unakosa kifurushi coz ina 4 days mpk leo na gadna toka afariki ana kama 5 to 6 days mpk leo.

  • @FaridaNassor-oj7tx
    @FaridaNassor-oj7tx 13 дней назад

    Pumzika Kwa Amani bro

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 15 дней назад +2

    Pumzika salama kamanda wangu..😭

  • @JulesWilondja70
    @JulesWilondja70 14 дней назад

    ❤❤❤❤

  • @JulesWilondja70
    @JulesWilondja70 14 дней назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @user-dt9iz2gq3s
    @user-dt9iz2gq3s 15 дней назад +9

    Apumzike kwa aman

  • @dulla9195
    @dulla9195 7 дней назад

    Real man

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 15 дней назад +2

    Pumzika kwaamani Captain

  • @YousraNjokiMGHAZA-rq7wz
    @YousraNjokiMGHAZA-rq7wz 15 дней назад +1

    Rest in peace LEGEND

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 15 дней назад +2

    MTANGAZAJI NDO UKAAMUA UTUPIGE PALE PALE KWENYE NYUZI??

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je 15 дней назад +1

    Jahazii

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 15 дней назад +3

    😢😢😢Sasa MBN clouds majembe yote yaenaenda mbinguni.

    • @Zainab-qg6xv
      @Zainab-qg6xv 15 дней назад

      Yatarudi yameenda kupalilia majani yamezidi

  • @mwasitimajid
    @mwasitimajid 15 дней назад +1

    Rest in peace gadner g🙏

  • @fortunatafelician5625
    @fortunatafelician5625 14 дней назад

    RIP Legendary

  • @AgripinaJosephMushi-hw2xw
    @AgripinaJosephMushi-hw2xw 15 дней назад +4

    Huo mshahara amengata maneno sijasikia vizuri

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 15 дней назад

    Kama mtu anachangia kuwatupia magonjwa watangazaji Hawa wanakufa kama kuku Mungu aliyemtumbua Farao atawaumbua tu kiukweli sio kitu kizuri kumpa mtu magonjwa kufa bila kujitarajia rip roho ya jaydee poleni familia kiujumla jina la bwana libarikiwe milele ❤

    • @AdrianoStephen
      @AdrianoStephen 15 дней назад +1

      Lazma Kuna kitu c bule

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 15 дней назад

      achezi izo mungu anafanya mambo yake wanekufa mitume tukumbuke iloooo m...’G lala salama😢

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 15 дней назад +1

    Kwa heri Captain pumzika salama, moja ya watu waliokuwa wanajiamini

  • @janecolleter
    @janecolleter 11 дней назад

    Daah! May his soul rest in peace 💔

  • @shillachiumbo4241
    @shillachiumbo4241 15 дней назад

    You have gone very soon Gardner, Tutakumiss kwenye Jahazi, Na U-MC wa Sherehe mbalimbali!!

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 15 дней назад

    Polen wanahabari

  • @FurahaNgomango-zr3bz
    @FurahaNgomango-zr3bz 15 дней назад +2

    Mimi Nakumbuka mwaka 2005 ananasifu

  • @TupokigweKibopile
    @TupokigweKibopile 15 дней назад

    Rest in Paradise Captain G😢

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w 15 дней назад

    R. I. P Captain 😭😭😭

  • @kamulisamson896
    @kamulisamson896 12 дней назад

    Poleni sana😢😢😢😢

  • @OmaryJuma-lo1kw
    @OmaryJuma-lo1kw 15 дней назад

    Rest easy G

  • @levinabyamungu8453
    @levinabyamungu8453 15 дней назад

    Rup capten

  • @anithamuttassa8981
    @anithamuttassa8981 15 дней назад

    R.i.p Brother

  • @hamisiussiku1151
    @hamisiussiku1151 15 дней назад

    Inna lillah waina Illah rajiun

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 15 дней назад +1

    Dunia 😢😢

  • @mwajumanjama4023
    @mwajumanjama4023 15 дней назад +1

    😢😢

  • @erickedward581
    @erickedward581 9 дней назад

    Rip Gardner we love u

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 15 дней назад

    Nakumbuka msemo wa maisha ni nyumba jahazi😢😢😢

  • @imanimwakinga4934
    @imanimwakinga4934 15 дней назад

    Apumzike kwa amani

  • @EliasElias-ee7wl
    @EliasElias-ee7wl 15 дней назад

    Rest in peace habash

  • @RaphaelDaffa
    @RaphaelDaffa 15 дней назад

    R.I.P my brother G...

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 15 дней назад

    Pumzika kwa amani bro!😭😭

  • @georgebundala1915
    @georgebundala1915 14 дней назад

    RIP Captain G H

  • @annamakomele339
    @annamakomele339 13 дней назад

    Aiseeeee😢😢😢

  • @abdalamhamed3586
    @abdalamhamed3586 14 дней назад

    Daaaaaaa

  • @zulaikasalum3568
    @zulaikasalum3568 13 дней назад

    Inna Lillah Wainna Ilayhi Raajiun 😢

  • @teodorypeter6677
    @teodorypeter6677 15 дней назад

    R i p mkuu pumzika salama kaka nimaumivu makubwa ila hatuna jinsi 😭😭😭😭😭

  • @aminaaziz5451
    @aminaaziz5451 14 дней назад

    R.I.p

  • @TizoMgaya-pd9nw
    @TizoMgaya-pd9nw 15 дней назад

    r.i.p captain wanajahazi tutakukumbuka daima

  • @junioremmanuel1695
    @junioremmanuel1695 15 дней назад

    R.i.p Gadna

  • @martinlulale3626
    @martinlulale3626 14 дней назад +1

    Pumzika kwa amani mwamba

  • @saudalilingani9264
    @saudalilingani9264 14 дней назад

    Innalillahi Wainnailaihi Rajiun

  • @momylaviel
    @momylaviel 14 дней назад

    Pumzika kwa aman captain

  • @user-gv6ij2zt2h
    @user-gv6ij2zt2h 14 дней назад

    Mm nashindwa kuzungumza ila mungu hakoseagi pumzika kwa amani kaka

  • @OmaryJuma-lo1kw
    @OmaryJuma-lo1kw 15 дней назад

    😢😢😢

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 13 дней назад

    Nimekuja baada ya msiba wake😢😢

  • @NhungosolloMuya
    @NhungosolloMuya 15 дней назад

    R•I•P Mwambaaaaa😢😢

  • @user-jl6uj4lf6q
    @user-jl6uj4lf6q 15 дней назад

    Huyu jamaa aliwahi kukaa mza wakati akitokea Kampala akitangaza kiss FM,kama sikosei..