SEHEMU YA 1 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA
HTML-код
- Опубликовано: 19 апр 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds
Gadner lived his life to the fullest...ameondoka dunia haimdai na wala haidai dunia kitu!!
❤ kabisaa kapumzika
Kaka ulimpa heshima sana kufanya nae mazungumzo. Pumzika kwa amani captain G.
Mungu Ailaze roho ya marehem pema peponi .
Yaani nimekuja apa , nilivyosikia msiba, Mungu amlaze mahala pepa G
Mmoja kati kati watangazaji wenye kuvutia kuwasikiliza wakiongea. RIP kamanda G.
Nenda kaonane na mwamba mwenzio na rafiki Yako kipenzi Ephrahim kibonde.
Msalimie Ruge.
Zaidi Pole mkurugenzi Jo kusaga na pacha wake G bwana George Bantu.
Jahazi itakumis muda wote
Huko hakuna kuonana
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina
Poleni sana ndugu jamaa namarafiki nakukumbuka sana Gadner ulipo sherehesha harusi moja kubwa mnoo pale olasiti arusha
Msalimie swaiba wako kibonde
Wew @@8pistons194😅😅 umejuaje 😅😅😊
Pumzika Kwa Amani captain Mungu akupe pumziko la milele
Ameen 😭😭😭moyo waniumaaa 😭😭😭😭💔💔💔💔
Captain G .Mungu aiweke wepesi katika safari yako aliyoianza.
Gadna alikuwa msema kweli,.daaah Mungu ampe pumziko jema
R.I.P mwamba aiseee Jahazi litakumis sanaaaasanaa😢
Rest in peace 😢 broo
daaah jahazi limezama nilipenda sana sauti yako km inamusisitizo frani hizi na mpangilio wako waneno br.R.I.P Gardiner G ha bash.
Jahazi limezama kweli Ephraim kibonde , gardiner, joj bantu hivi vinu vilikuwa vinafanya kazi alafu walikuwa wanasauti za adimu hupati radio nyingine aisee kifo bana
Historia ya clouds Fm yote ni wewe Uncle ❤❤❤na wanamuziki wote wa bongo flavour wamepita kwako kisawasawa..
Rest easy 💔 😢 🙏
Basi huyu ndiye alikuwa mbanaji wa wasaniii chipukizi..!
Jamaa anajuwa nini maana ya mahojiano,hakwepi swali wala hana jazba,hii ni maana halisi ya mahojiano.
Innalillah wainna illah rajiun... Jamaa alikuwa anjua sana kazi yake...
Anayehoji yuko vizuri pia
Kama Kuna kuonana msalimie ruge kibonde na mke wake😭😭😭😭
huyu mwamba anaakili nyingi sana ,Mungu amuweke salama
Mungu akupumzishe amen kaka
Rip mlipa Kodi mwenzangu
Nakukubali sana nilikutana na ww pamoja marehemu runge kwenye mazko y bi kidude znz dah yupo poa sana brother upumzikge kwa amani mbele yako nyuma yetu
mbele yako nyuma yetu kalale salam
inauma sana ila nenda kaka, mwendo ume umaliza vzr
Watu wa karibu na Karen wawe nae karibu sana kipindi hichi…My deepest condolences to her family and friends
May his soul rest peacefully
Mungu ailaze roho yake katika makao yake ya milele.
Jahaz litapooza dahhh kibonde na garden walilinigesha😢😢😢😢😢
Pumzika kwa Amani Legend.
Mungu ampumzishe pema
mungu akusamehe bro hakuna mkamilifu
Mungu akulaze pema kwenye nyumba yako ya milele Dardner Habash🤲😭
Rest in peace Gardner
Inasikitusha sana hii
Rest in peace Gardner tutaonana baadae
Bwana atwaa bwana ametoa, jina lako libarikiwe. RIP Gardner Habash.
Captain G habash 🕊️
Ameuma Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi
Ni kweli
He lives in us daima ❤️❤️❤️❤️🙏
Mungu wa mbinguni ailaze roho yake pema peponi
Mungu ampuzishe kwa Aman
Careen Pole sana na msiba wapeni kina mama yako na Sr Ex Pide mamako mkuu . Pole jipeni moyo Mungu alimpenda zaidi tunamuombea kwa Mungu amuweke pahala pema peponi
Umemkuta.rafiki.yako KIBONDE. ,R.l P Gadna G..Habash.jahazi limezizima.
Really I'm speechless 😢
RIP Captain 😢
Pumzika kaka Captain we will miss like nobody business Salute bro R.I.P
Daaah Gadnerrrr oooh jamniii
R.i.p captain
Kila nafsi itaonja umauti mungu ailaze roho yake mahari pema
RIp legend
Hapo kwenye mshahara nime angalia lips za Captain, Kasema Milioni 10. Prove Me Wrong, any one.
Yeah nimerudia kama mara 5 ni sahh
Yah kasema ""Si chin ya 10""
RIEP Kaptein....Salimia Kaka Ruge& rafiki Kibonde
Innallillah wainna illah rajiun
Duhhh pole sana Baba Calen jaman mm ni shabiki wako katika kipindi chako na kile kipindi cha Mihogo jaman ukiwa na George bantu tutakukumbuka sana daima pumzika Kwa aman 🙏😭😭😭😭😭
Mbona huo mshahara sijasikia vizuri..kama imekatwa hivi
29,000,000
@@Bettingreviewtzaisee, pesa ndefu
Ila mm nmeangalia mdomo wake ni kama amesema ""si chini ya 10""
@@leedsoldat4189 Milion 10 wapo wanaolipwa hiyo pesa
Hv uwa inakuaje interview inaachiliwa mtu akifa..anyways pumzika kwa aman captain
Hatuko sawa kabisa wabongo
@@audaxmlowa9953 ujue mi sielewagi kabisa.
Ya muda sana nyie tu ndio huwa mnakosa vifurushi vya kutazama
@@joycekalago532😂😂mi naona wew ndo unakosa kifurushi coz ina 4 days mpk leo na gadna toka afariki ana kama 5 to 6 days mpk leo.
Pumzika Kwa Amani bro
Pumzika salama kamanda wangu..😭
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
Apumzike kwa aman
Real man
Pumzika kwaamani Captain
Rest in peace LEGEND
MTANGAZAJI NDO UKAAMUA UTUPIGE PALE PALE KWENYE NYUZI??
Jahazii
😢😢😢Sasa MBN clouds majembe yote yaenaenda mbinguni.
Yatarudi yameenda kupalilia majani yamezidi
Rest in peace gadner g🙏
RIP Legendary
Huo mshahara amengata maneno sijasikia vizuri
Wameedit aisee
Wameedit saut kipande Iko ila nmeangalia mdomo ni million 10
Amesema SI chin ya 10
Kama mtu anachangia kuwatupia magonjwa watangazaji Hawa wanakufa kama kuku Mungu aliyemtumbua Farao atawaumbua tu kiukweli sio kitu kizuri kumpa mtu magonjwa kufa bila kujitarajia rip roho ya jaydee poleni familia kiujumla jina la bwana libarikiwe milele ❤
Lazma Kuna kitu c bule
achezi izo mungu anafanya mambo yake wanekufa mitume tukumbuke iloooo m...’G lala salama😢
Kwa heri Captain pumzika salama, moja ya watu waliokuwa wanajiamini
Daah! May his soul rest in peace 💔
You have gone very soon Gardner, Tutakumiss kwenye Jahazi, Na U-MC wa Sherehe mbalimbali!!
Polen wanahabari
Mimi Nakumbuka mwaka 2005 ananasifu
Rest in Paradise Captain G😢
R. I. P Captain 😭😭😭
Poleni sana😢😢😢😢
Rest easy G
Rup capten
R.i.p Brother
Inna lillah waina Illah rajiun
Dunia 😢😢
😢😢
Rip Gardner we love u
Nakumbuka msemo wa maisha ni nyumba jahazi😢😢😢
Apumzike kwa amani
Rest in peace habash
R.I.P my brother G...
Pumzika kwa amani bro!😭😭
RIP Captain G H
Aiseeeee😢😢😢
Daaaaaaa
Inna Lillah Wainna Ilayhi Raajiun 😢
R i p mkuu pumzika salama kaka nimaumivu makubwa ila hatuna jinsi 😭😭😭😭😭
R.I.p
r.i.p captain wanajahazi tutakukumbuka daima
R.i.p Gadna
Pumzika kwa amani mwamba
Innalillahi Wainnailaihi Rajiun
Pumzika kwa aman captain
Mm nashindwa kuzungumza ila mungu hakoseagi pumzika kwa amani kaka
😢😢😢
Nimekuja baada ya msiba wake😢😢
R•I•P Mwambaaaaa😢😢
Huyu jamaa aliwahi kukaa mza wakati akitokea Kampala akitangaza kiss FM,kama sikosei..