WAZUNGU WANATABIA ZA AJABU| MAHUSIANO YA KUCHANGANYA TAMADUNI YANA CHANGAMOTO NYINGI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Natalie ameeleza alivyokua anawachukulia Wazungu na vitu vilivyomshangaza sana baada ya kufika Switzerland
    Amewaasa vijana kuangalia kutafuta maisha kwa pamoja na sio kuwaza kutumia pesa za mtu mwingine tu
    Maisha sio marahisi Ulaya ila ni kujituma kwa pamoja na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima.
    Pia ameeleza kwanini amechagua kua child free na upendo wake kwa watoto.
    Thank you Natalie for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 86

  • @neemakessy6209
    @neemakessy6209 8 месяцев назад +3

    Great interview! Anajielewa na ni mkweli kuhusu experience zake! Kuwa mama sio jambo kila mtu anaweza au anataka. Big up kwa kufikia maamuzi mapema😊

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 месяцев назад

      🥰❤️

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 8 месяцев назад

      Yaani kuwa mama si kila mama anaweza au anataka halafu unampa hongera, Is itTrue!!!???? Kwani mbona yeye kazaliwa makubwa!!!

  • @tatumzelela5515
    @tatumzelela5515 8 месяцев назад +8

    Shena, please pray for me one day and I will come to your live to give a testimony

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 8 месяцев назад +1

    😂😂😂 every single ....haha we dada hapana. Asante Shena na interviewee wako, you made my day.

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 8 месяцев назад +11

    Mi Nimefanya job ya NGO Na wanorway for 10yrs and now Im in Sweden for 15yrs kiswahili cha kichagga kimekataa kutoka😅😂😂 mdada ana english Mbovuu mambo ya X cousin nimezimia mara 2

    • @camillamdeda6870
      @camillamdeda6870 8 месяцев назад

      😅yani kulazimisha kitu ambacho hujui mwisho unahalibu

    • @zamBakar-y3j
      @zamBakar-y3j 8 месяцев назад +1

      Ameboa Sana

    • @elsaMo-b5r
      @elsaMo-b5r 7 месяцев назад +1

      Basi siendelei Tena .ote mae
      Nachukia mashauzi jamani.

    • @Urembomileleofficial
      @Urembomileleofficial 5 месяцев назад

      😂😂😂

  • @samniza1763
    @samniza1763 8 месяцев назад +8

    Ni kawaida kwa wazungu, train ni fast! Mentality ya kiafrika kwelikweli. Gari ulaya sio luxury, ni kawaida tu.

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 5 часов назад

      True sis. Nchi za huku public transportation ipo very well developed no needs ya cars

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 8 месяцев назад +4

    Ni kweli kabisa, sio kila mtu anafaa kuwa mzazi, ni vizuri kuheshimu maamuzi ya mtu maana kuwa mzazi ni jukumu lisilokwisha na linahitaji commitment ya hali ya juu mno.

  • @BabyfaiyaSalum
    @BabyfaiyaSalum 8 месяцев назад +5

    Ulaya Ukiwa na Amani, furaha na ukipata mtu sahihi basi inatosha sana Siyo Lazima Upate mtu tajiri Au nyumba kuubwa.

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 5 часов назад +1

      Ni kweli kabisa. Watu watafute mume unaempenda na yeye anakumpenda then Ulaya uta enjoy sana

  • @nicekweba9920
    @nicekweba9920 8 месяцев назад +2

    Wapenzi mnaokuja kuhojiwa mjitahid kuongea kiswahili mwee😢sio watu wote wanaojua lugha ya kingereza mengine tunashindwa kuelewa😢😢ila yote kwa yote interview nzuri na tunafurahia kuwaona wageni wetu mkihojiwa na shena wetu😊😊

    • @nicekweba9920
      @nicekweba9920 8 месяцев назад

      Ila shena hili jina lako sijui kama huwa naliandika sahihi au nalikosea?😢 nirekebishe mwaya😊

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  17 дней назад

      Ni sahihi dear

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 5 часов назад

      Mbona ansonge kiswahili jamani??​@@nicekweba9920

  • @AbeidKassim
    @AbeidKassim 8 месяцев назад +4

    Sister mwambie aongee Swahili .anatuboa sana

  • @evelynekabaka7405
    @evelynekabaka7405 7 месяцев назад

    Inabidi dada umjue Mungu,nini kusudi la Mungu kukuleta duniani na ufanye mapenzi yake,Mwamini Yesu ni jawabu la kila mambo.

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 8 месяцев назад +4

    Watoto hawaondoi lonlyness kwenye uzee, ni bahati , ukipata watoto wenye kujali , cha muhimu ni kuombeana mungu.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 8 месяцев назад +1

      Sasa si bora wawepo kama hawapo no shida zaidi

  • @jennifersongani2734
    @jennifersongani2734 8 месяцев назад +1

    Shena upo vizuri

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 8 месяцев назад +1

    Tafadhali Dada Ongea Kiswahili

  • @florencegamaya9277
    @florencegamaya9277 8 месяцев назад +4

    Vumilia Nathali luggage itakuja na mimi nilianza kama wewe sasa nina miaka minne na niko vizuri mume ndio company yangu ndio rafiki ndio kila kitu yaani wala sihitaji rafiki niko Germany naomba mawasiliano niko Vijijini kidogo ki mji fulani hivi Schwarzwald

  • @jesuspower2390
    @jesuspower2390 8 месяцев назад +2

    Nadhani unamaisha ya kujibana kwa vile huna kazi, ukiwa na kazi hakunaga mzungu anayependa kupika jumata tu mpaka jumapili yaki week nzima unless hana hela, wazungu wengi wanapenda kula nje hasa dinner na siku za weekend, kadri na marafiki wa kizungu ni wengi tu utawapata hata majirani wapo wazuri na wa kukusaidia, ukijifanya niaje uko busy na wao huwa hivyo ...if ur friendly they do the same for my experience.

  • @neemasalema1546
    @neemasalema1546 8 месяцев назад +2

    Nimeipenda hii ni kweli kabisa sio lazima kuzaa na Mungu pekee ndio mpangaji

  • @PaulinaPatrick-rm5lz
    @PaulinaPatrick-rm5lz 7 месяцев назад +2

    anaogea sana kigereza ogea kiswahili

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 5 часов назад

      Jamani mbona kiingereza kinatumika hata Tanzania? Hivi Dunia hii ya Leo ya utandawazi hamjifunzi kiingereza.
      Hemu mjiongeze kujifunza hata hii simple English mwee

  • @hadijajaicy2507
    @hadijajaicy2507 8 месяцев назад +1

    sijui nani kamwambia kwamba ukiwa na hela hauwezi kuwa mpweke, kama kuna shule aende akajisajili ili aelewe vizuri.

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 8 месяцев назад +1

    Dada Jitahidi kuongea Lugha ya Kiswahili itakua jambo jema.

  • @elizamushi-yv4iz
    @elizamushi-yv4iz 8 месяцев назад +4

    Lugha gongana,kiswahili kidogo basi Dada Shena

  • @SinaHafidhi
    @SinaHafidhi 8 месяцев назад +2

    Kama hajui kizungu niyeye mungu Kam jalia kafanikiwa. Je wewe mwenzangu unaye mcheka mwenzio unajujua nini?

  • @florencegamaya9277
    @florencegamaya9277 8 месяцев назад +2

    Yaani hiyo ya hela ni hivyo kabisa wakiona umeolewa na mzungu wanaomba balaa na bila shukrani solution ni kuwablock haswaa

  • @brigitajohn8102
    @brigitajohn8102 7 месяцев назад +1

    Acha watu wa funnge ndoa wapate fursa ya kuja Ulaya . Mimi kama siyo ndoa nisingekuja ulaya na mwanaume tayari tumeachana.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  7 месяцев назад

      Karibu sana kwa kipindi Brigita tupate kujifunza kupitia wewe +4367764790884

  • @Kikungwi
    @Kikungwi 8 месяцев назад +1

    Watu wa hapa nyumbani ni sahihi kabisa kudhania na hata kuamini kwamba Wazungu wana hela kwa kuwa hata hao Wazungu wenyewe hasa wale wanaowawakilisha katika Serikali zao na nyanja mbali mbali ndivyo wanavyosema na kuwaambia watu hasa wa Afrika pamoja na viongozi wao wa Afrika kwamba wao wana fedha. (For this how precisely they do portray themselves before the majority of Africans countries. Thus it is fair for the young Africans to believe so; besides the Whites themselves wants Africans to think and believe so.)
    Kwa hiyo ni sahihi watu wa hapa nyumbani kufikiria hivyo. Huenda nyie ambao mmeolewa na hao Wazungu muwaambie hili ili waambie wale wawakilishi wao waache kuwa wanawaaminisha watu hasa wa Afrika kuwa wao wana fedha na matajiri wa dunia.
    Otherwise, it is true they are one who got the money.

  • @ESTHERKamala-qp7gi
    @ESTHERKamala-qp7gi 8 месяцев назад +3

    Ongea lugha ya taifa mkataa kwao ni mtumwa

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 5 часов назад

      Jamani mbona kiingereza kinatumika hata Tanzania? Hivi Dunia hii ya Leo ya utandawazi hamjifunzi kiingereza.
      Hemu mjiongeze kujifunza hata hii simple English mwee

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 8 месяцев назад +1

    Jmn ndo mana dura maqabila qaimba niiije ama nsije mtoto qabananishwa na mpira uwo jmn mqiwa waja wzto vaeni nguo za nafas hee

  • @leahchigugu7313
    @leahchigugu7313 8 месяцев назад

    Jamani hebu muongeagi kiswahili vizuri maana mjue mnatwambia sisi na sikama mnasimuliana wenyewe,mbona hiyo dada anaehiji hajidai?

  • @reginajohnmaghisa322
    @reginajohnmaghisa322 8 месяцев назад +1

    Hata Shena hana hamu tena.

  • @RehmaBeatrice
    @RehmaBeatrice 17 дней назад

    Ongea ruga enyekilamtu anaelea mzuri acha uzunguuzungu hata waleambao wanaliza miakamingi wanaongea swahili

  • @RuthAllan-sd5dy
    @RuthAllan-sd5dy 8 месяцев назад

    😢

  • @reginajohnmaghisa322
    @reginajohnmaghisa322 8 месяцев назад

    Mmh namshangaaa, hata waliozaliwa ulaya. Wanaongea kiswahili, yeye miaka kidogo tu anajifanya kasahau Kiswahili..

    • @neemaseiler1122
      @neemaseiler1122 16 дней назад +1

      Sio kujifanya,nazani a naongea zaidi kinge na mumewe,ikiwa muda mrefu na unataka kuongea kiswahili maneno yanapotea,imenikuta ht mimi..kila mtu ni tofauti.karibu,nakoment toka Bern.

  • @AhmedAdan-po5ps
    @AhmedAdan-po5ps 8 месяцев назад

    Huyu anambiwa azungumze kiswahili kuna watu wengine hawajui kiswahili

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 8 месяцев назад

    Tanzania hatukuwa na lockdown hata kidogo unayosema,

  • @AmnaAmna1-xs3rx
    @AmnaAmna1-xs3rx 8 месяцев назад

    Sasa Dada www Nimtamzania lakini unajifanya kama hujui kiswahili

  • @fridanyoni2867
    @fridanyoni2867 8 месяцев назад

    Yeye anafikiri wote wasomi humu wengine tumesomea miembeni

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 5 часов назад

      Acha chuki ndugu kujua lugha yoyote sio kama umesoma...kuna watu wanaongea kijerumani na Wala hawajaenda shule

  • @habibajumahabiba6730
    @habibajumahabiba6730 8 месяцев назад

    Mtu ana maringo mengi jamani 😂

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 месяцев назад +1

      Maringo yapi jamani na umemuona hapa hata lisaa halijaisha
      Mwe 🤦🏾‍♀️

    • @neemaseiler1122
      @neemaseiler1122 16 дней назад +1

      Wala hana

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 5 часов назад

      Anaringa vipi tena wakati wewe haumjui?
      Watanzania acheni chuki kwa mtu ambae anaongea kiingereza kidogo tu povu jingiii.

  • @PatriciaAdriani-sx1ss
    @PatriciaAdriani-sx1ss 8 месяцев назад

    Dada angu Ninashida nitafutie kazihuko

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 8 месяцев назад

    Jamani mjue kuna watu wanakuwaga wanaadapt mapema and in another way somehow ni furaha as well

  • @florencegamaya9277
    @florencegamaya9277 8 месяцев назад +1

    Ya kufungua zawadi hapo hapo ni kawaida kabisa ipo Europe

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 месяцев назад +1

      Ndio yeye amekuja ku Share Experience yake kwamba ilikua kitu kigeni kwake

    • @Veallesgut
      @Veallesgut 5 часов назад

      Dada hapa anaongelea experience yake...kwa nchi za huko ni kawaida sana..kwa mtu anayetoka TZ na kuja huku huwa wanashangaa

  • @fatnasaidi3027
    @fatnasaidi3027 27 дней назад

    😂

  • @simonmarwa
    @simonmarwa 8 месяцев назад +1

    Natalie hio kwa kufungua zawadi hapo hapo ni kawaida kwa Europe kote hata huku Italy ni hivyo hivyo

    • @Natiegolucky
      @Natiegolucky 8 месяцев назад

      Inasaidia mtu ununue kitu cha maana: nikikumbuka kipaimara watu wanakufungia mkate jamani😂😂😂😊 au kidaftari kimoja

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  8 месяцев назад

      🤣

  • @fatnasaidi3027
    @fatnasaidi3027 27 дней назад

    😂

  • @florencegamaya9277
    @florencegamaya9277 8 месяцев назад

    Vumilia Nathali luggage itakuja na mimi nilianza kama wewe sasa nina miaka minne na niko vizuri mume ndio company yangu ndio rafiki ndio kila kitu yaani wala sihitaji rafiki niko Germany naomba mawasiliano niko Vijijini kidogo ki mji fulani hivi Schwarzwald