Salama Na Lady Jaydee Ep 24 | POWERHOUSE Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 июл 2020
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
    Kwa Judith Wambura Mbibo kuongea anayoyawaza bila ya kupepesa au kutafuta sapoti kabla hajafanya hivyo ndo hulka yake haswa, si wa kukwepeshakwepesha au kung’ata maneno ili yawe malaini zaidi kwa anayeambiwa asijikie vibaya labda. Kwake yeye lilivyo ndo lilivyo, kazi ya kupaka mawingu rangi huwaachia wahusika, yeye yake ni kuhakikisha mawingu yapo, na kwa hilo? Mimi namheshimu sana.
    Mwanangu mwengine ambaye hii ni mara yetu ya kwanza kukaa chini na kutia story ili wananchi waweze kupata majibu ya baadhi ya maswali waliyokua nayo muda mrefu sana pengine. Na round hii nilihakikisha sichezi mbali naye kama Chama na Mogella, na kwa bahati nzuri muda wake na wangu ukaenda vizuri kabisa kwa sote kuweza kuifanya kazi hii. Ijumaa ya kuamkia Jumamosi ili kuweza kuifanya kazi hii ulikua usiku mfupi sana kwangu. Mawazo yalikua huko tu kwa Jide na kwa kwa watu wengine watatu ambao nlikua na kikao nao. Na Nashkuru Mungu mambo yalienda kama yalivyopangwa.
    Kuanzia kulelewa na Kaka zake alipokuja Dar es Salaam na kuhakikisha anakua katika maadili mema kwahiyo haikua rahisi kwake kuhakikisha agenda yake ya kutaka kuwa msanii na mara nyengine alikua akichezea kichapo kwasababu tu alikua harudi nyumbani kwa wakati au nyendo zake zilipokua hazieleweki. Baba yake alifariki zamani na Mama yake alifariki 2017 kama nitakua sawasawa. Sikutaka kwenda kwenye details sana juu ya kifo cha Mama yake ila zaidi nilikua nataka tuongelee ubora wake ambao umekua ni kivutio kikubwa kwa wale wanaoanza na ambao tayari washaanza. Kujifunza kwake juu ya ukomavu, uvumilivu, jinsi ya kujibeba. Kutafuta nafasi, kutokata tamaa na kuandika historia. Na kwa hilo alituambia mengi.
    Kuna issue ya wivu, ndoa, kazi, mahusiano, kipaji na kuwa mwanamke ndani ya kiwanda kichanga ambacho kimezungukwa na wanaume na jinsi ya kupasua milango ya kuziba matabaka ili mambo yaende na historia iandikwe. Vipi aliwezaje ku push hivyo? Na lini haswa alijua ana kipaji chake kikubwa ambacho kinatakiwa kuonekana? Kuna support yoyote aliipata toka nyumbani? Na je baada ya mlango kufunguka, aliwezaje ku maintain hiyo nafasi? Mwaka huu wa 2020 Lady Jay Dee anatimiza miaka ISHIRINI toka ameanza kufanya mziki RASMI. Je hii ndo definition ya MAFANIKIO kwake?
    Yangu matumaini maongezi yetu yatasaidia sehemu flani na kuongeza jambo kwenye mbio zako za kutaka kuzifuata ndoto zako. Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 204

  • @angelalberth1472
    @angelalberth1472 Месяц назад +19

    Tulio angalia hii interview baada ya Gadner kufariki like hapa tujuane😢

  • @allymatilda7519
    @allymatilda7519 3 года назад +33

    Jide kama jide...komando kama komando..anaconda kama anaconda..queen kama queen..respect you kwa mziki mzuri much love and respect kwako binti machozi ..mlio penda hiki kipindi like hapa ku show love kwa komando jide 🖤

  • @brigithadidas5128
    @brigithadidas5128 3 года назад +63

    Mtangazaji pekee ambae hakumbukagi kupak ata lipshine😀

    • @hashemsaef1516
      @hashemsaef1516 3 года назад +6

      Salama kwa maumbile haitaji chochote kile cha kupaka zaidi ya mafuta ya muili.
      Kosa kubwa la SALAMA haja badilika roho na akili sababu kaja na kipindi kipya kwa kazi ya zamani yani ana hoji watu wale wale aliye wahi ku wahoji katika zama za kipindi cha MKASI ilihali sio hivo inavo stahili. Pame pita kipindi kirefu sana kisha pame jitokeza wasani wengi chipkizi ambao mashabiki wengi wa mziki wana hitaji kuwajuwa kupitiya kipindi chako

    • @AmCool_
      @AmCool_ 3 года назад +5

      @@hashemsaef1516 mimi nahisi ni sahihi anavyofanya, kwa sababu lazima apate attention ya watu kwanza. Laiti angeanza kwa hao chipukizi kwanza watu wangeboeka mapema. Mbona hata Gigy kapita hapo na ni wa juzi tu. Mimi nahisi anakuza kipindi na jina kwanza na nahisi mengine yatafuata.

    • @musicheals1545
      @musicheals1545 3 года назад

      Utu uzima dawa

    • @dominicnzai8256
      @dominicnzai8256 3 года назад

      Unanitania Nini anapaka hivi wadada wa sikuizi inawezekana kweli bila makeup.....

    • @mutwalesylvie7443
      @mutwalesylvie7443 3 года назад

      Salama nimzuri bila vipodozi

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 3 года назад +8

    Salama ww uko natural sana nanimzuri mashallah

  • @Elfuego257
    @Elfuego257 3 года назад +8

    Tunachukuliaga watu poa sana mitandaoni but the Lady Jide sounds like a really smart woman to me, actually among the few i came in contact so far👍💪

  • @mrnorthern0740
    @mrnorthern0740 3 года назад +6

    Mtangazaji bora kabisa wa kike kuwahi kutokea Afrika Mashariki. Salama Jabir

  • @johnchannelmacha3221
    @johnchannelmacha3221 3 года назад +4

    jaydee is my best female artist..words alone cant express what u mean to me

  • @kaskaziniansgang1288
    @kaskaziniansgang1288 3 года назад +18

    Ukimuangalia Jay Dee unajihisi kumuona Yondo Sista au Miss ChakaChaka

  • @allytauka8196
    @allytauka8196 3 года назад +16

    The real meaning of legends

  • @edwindudi4806
    @edwindudi4806 3 года назад +4

    One of the best interviwer and interviewee l have ever had, very matured, !!!! Kutoka kwa msanii anayejitambua sana.

  • @antoniolionfit
    @antoniolionfit 3 года назад +15

    she so cute. Jaydee love you. i'm from Rwanda.

  • @simonpangare458
    @simonpangare458 3 года назад +6

    gonga za LADY JAY DEE HAPA

  • @thelynntv7131
    @thelynntv7131 3 года назад +4

    She is so beautiful my jay dee💋💋💋 I love u so much 😘😘😘😘😘form sauza Afrika 😘😘😘I need one day I can meet u . My jay dee 😭😘😘but I'm form burundi. Watu wananifananisha na jay dee San sn 😭😭😭 I love u jay dee .love u so much . Please come one day to sauza Africa I can see u 😭😭😭

  • @thobiasnerro2743
    @thobiasnerro2743 2 года назад

    Lady Jaydee. Mungu amekujalia kipaji cha kuimba lakini zaidi sauti yako tamu sana. Umeimba nyimbo nyingi sana lakini wimbo wa FARAJA ulinitoa machozi kila nilipousikia. Kila ninapokuona wimbo huo unanijia kichwani. Hongera sana. Baadaye urudi kwenye dini yako uimbe nyimbo za kumtukuza Mungu.

  • @ohlalaboutique2481
    @ohlalaboutique2481 3 года назад +7

    Jd wewe msatarabu sana sauti mzuri na wimbo kali kali

  • @LilianMwamwaja
    @LilianMwamwaja 3 года назад +32

    Hii interview ilikuwa ngumu kwa Salama kuhoji ...umenyatia nyatia sana maswali huku ukifuatilia mood ya Jide....pole

  • @jenniferomar786
    @jenniferomar786 3 года назад +4

    SO MATURE LADY JAY DEE....MA'SHAA'ALLAH QUENTINUE DE AWSM SPIRIT 👌😍❤😚STRONG WOMEN💪GOOD HOST MAM...SALAMA... ❤😊

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 3 года назад +4

    Your voice is stunning Judith. I love it.

  • @rehemanguli5887
    @rehemanguli5887 3 года назад +7

    Amazing interview

  • @abyssiniaseif1703
    @abyssiniaseif1703 3 года назад +1

    Salama i loved how you put your questions forward and expressed your arguments👌🏽

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 3 года назад +2

    Hii sijui kwanini🙌🏽 ukiwa mtu ambae unasema kweli yani black ni black, white ni white watu wanakuona jeuri au unaongea sana 🙌🏽

  • @knifensharper2725
    @knifensharper2725 3 года назад

    Maashaallah

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 3 года назад +6

    Misimamoo,kabambeee safi sana komandooo Jide I love the spirit🙌😊

  • @kassimoludara4746
    @kassimoludara4746 3 года назад +5

    love the interviews... but i'd be sure to visit samaki samaki nikija TZ

  • @augustinolaurent3409
    @augustinolaurent3409 3 года назад +2

    Naomba siku moja ufanye interview na AMOS MWIJONGE!

  • @shamsaali982
    @shamsaali982 27 дней назад

    Wana ngokolo tujuane shy oyeeee❤❤❤❤

  • @princemujuni9803
    @princemujuni9803 3 года назад +7

    Haya majina ya vyakula wallah hizi ni akili za Salama mwenyewe msosi utaitwaje Sharukhan mara Bruce Lee

  • @mercykatabi1567
    @mercykatabi1567 Год назад

    I just love the both of you ladies♥️

  • @zuhurangindoh3087
    @zuhurangindoh3087 3 года назад

    Mm nawapenda wote mwenyezi mungu awabariki

  • @nurumanyota416
    @nurumanyota416 3 года назад +6

    Wahooooo! mama judithi, na kuita mama sababu ulisoma darasa moja na baba yangu mzazi, nawapenda sana dada salama, na mom jud

  • @beautymasatu1200
    @beautymasatu1200 3 года назад +2

    Love you Salama❤️💪

  • @lilypuka2922
    @lilypuka2922 3 года назад +1

    Jide na kupenda sana una jitambua na una fanya mambo kwa uweledi hongera sana

  • @salummhina4857
    @salummhina4857 3 года назад

    Nimependa life style hiyo ya yeye kufanya kila kitu pamoja na kua yeye ni star 💫
    Wengi kibongobongo akianza maisha tuu hata hajaolewa au kuoa basi anakua na house girl au houseboy.
    Nimejifunza kitu

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 3 года назад +2

    Nilikuwaa na deni hapa,siwez kosa hii 👌

  • @pascalsamwel4841
    @pascalsamwel4841 2 года назад

    nakumkubari sana jide kwa kazi zake nzuri na zenye ujumbe

  • @GGGB2011
    @GGGB2011 3 года назад

    Nice nawapenda wote Jide na salama

  • @nasrikileo7291
    @nasrikileo7291 3 года назад +1

    Nawapenda dada zangu#@ salma na Jide

  • @saumuhamisi1603
    @saumuhamisi1603 Год назад

    Beautiful show Salama 🥰

  • @kaizamulinda633
    @kaizamulinda633 3 года назад

    Jay dee. Very cool

  • @tabithadaniel7364
    @tabithadaniel7364 3 года назад +1

    Yan mi jide NAMPENDA SANAAAAAAA jamani komando jide big up sana

  • @simulizionline8049
    @simulizionline8049 3 года назад

    Show kali sana, kama mngeweza kupunguza matangazo kidogo, ingekuwa kali zaidi..

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад

    Legendary jide, una madini sana ya maneno 😘😍

  • @atuganilemwakasege3277
    @atuganilemwakasege3277 3 года назад

    Nicely

  • @bwaxlady688
    @bwaxlady688 3 года назад

    Woww

  • @asterialucas4680
    @asterialucas4680 3 года назад

    Jasiri sn Lady Jay Dee ❤

  • @glorianikiza6033
    @glorianikiza6033 3 года назад +1

    Nampendaga saana commando hatakuongea sauti yake ni nzuri big up

  • @ethiopidemakaveli6644
    @ethiopidemakaveli6644 2 года назад

    Napenda sana uyu dada jay dee. Anakasauti kazuri sanaaaa

  • @tracemsolla7604
    @tracemsolla7604 3 года назад

    Nakupenda jide

  • @mussamsella5801
    @mussamsella5801 3 года назад +1

    Jide kiukweli ni dada ambae uko so unique ...umepitia mengi sana kiasi sijui lipi litakua geni kwako
    Salama ni mtangazaji flan wa kipekee sana hapa Tz ...
    Bahati mbaya sana kujielewa kwenu kumewafanya muishi maisha flani tofauti sana

  • @innocentmushi1550
    @innocentmushi1550 3 года назад

    convo hii very matured

  • @khamissshaban4016
    @khamissshaban4016 3 года назад +1

    Lagendaryy

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 3 года назад +22

    Salama utuleteaga watu wenye nidhamu kama JD siku zote, siyo zile parapara za gigy money kulala na davido it's a shame kwa jamii yetu, wale waache wahojiwe kwingine wewe uko juu sana.

    • @ndojes711
      @ndojes711 3 года назад +7

      Kila k2 n kujifunza.... Kam hujajifunz ww kuna m2 kajifunza

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 3 года назад

      @@ndojes711 Umesoma kuelewa au umesoma kujibu? Idiot

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 3 года назад +4

      @@damariszuckschwert9489 You even call someonebody Idiot really?Go check yourself on the mirror. Jamii inahitaji wakina Jide na kina Gigy pia. Ni kweli kwa mtazamo wako Gigy anaiaibisha jamii ila ana haki pia ya kuhojiwa na ninaamini kuna walijifunza

    • @queenseptember4640
      @queenseptember4640 3 года назад +9

      Jamii ni mchanganyiko wa machizi, wazima, malaya, wachaMungu, wapumbavu, werevu..... kwa hiyo tusitengane.

    • @evancenicholaus7739
      @evancenicholaus7739 3 года назад

      @@queenseptember4640 umenifurahisha Sana😂😂😂

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 3 года назад +2

    Legendary mwenyewe Komandoo Jide

  • @bellabakera
    @bellabakera 3 года назад +1

    yaan hii interview iko ngumu sana Jady hapana

  • @immaculatakadyanji5927
    @immaculatakadyanji5927 3 года назад

    Kipindi kizuri sana nimefurahi kumuona jide. Nampenda balaa.

  • @chany9950
    @chany9950 3 года назад

    Jyd namupenda saaana jyd

  • @kendrahivy361
    @kendrahivy361 3 года назад +2

    Kipind cha kibabe hongera sana salama na team yako nzima💫🔥

  • @juliennempawenimana2049
    @juliennempawenimana2049 3 года назад +2

    Mimi nimunyarwanda nakupenda salam Mimi nishabiki wa ledy j

  • @ZaharadaffaZaharadaff
    @ZaharadaffaZaharadaff 3 года назад +3

    Interview ya kibabe sana ✌️ Salama umekua bonge sana aisee

  • @husnazahoro7082
    @husnazahoro7082 3 года назад

    Nakuelewa sana wewe ni comando hunaga shobo uko juu kuliko mwanamziki Yoyoote si wa kiume wala wa kike

  • @johnkailler4660
    @johnkailler4660 3 года назад

    Nice

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga9757 3 года назад

    Ukipata mwanamke Kama salama Safi sana

  • @nellymatalanga5033
    @nellymatalanga5033 3 года назад +1

    Nice one .respect ti ths lady .next #ALIKIBA #MRBLUE hope we see them here

  • @sele2507
    @sele2507 3 года назад

    Jide mpole sana

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 3 года назад +1

    Mimi Kiswahili Nakipenda Lakini Jay Dee Katoka Mbali 👏🏾👏🏾👏🏾

  • @dajia4787
    @dajia4787 3 года назад

    interview yakizazi sana Jide ; unajua Salama nisha HIT SANA,36:11

  • @user-mt2ck9pw3n
    @user-mt2ck9pw3n 6 месяцев назад

    naangalia mara ya mia this episode ya Salama na Jide it was FIRE

  • @avinjephuta7511
    @avinjephuta7511 3 года назад +1

    Hii kali

  • @musicheals1545
    @musicheals1545 3 года назад +1

    Jide anajua sana, hakuna promo kwenye ile media kubwa kipindi kile lakini bado tuu mziki ukasonga mbele, na matuzo kama yote.
    Hakuna wa kumfananisha Jide na vitoto vya promooooo.

  • @kapona927
    @kapona927 3 года назад

    Nampenda lady jay dee

  • @godfreymwandoje122
    @godfreymwandoje122 2 года назад

    Jide yuko pow sana

  • @erickendrick3330
    @erickendrick3330 3 года назад

    I love u Jide

  • @gracesuleiman7458
    @gracesuleiman7458 2 года назад

    Nampenda hyu dada

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 3 года назад

    Ooh kumbe my mate Mbuyuni primary! Ok

  • @marthandenuka7903
    @marthandenuka7903 3 года назад

    Jide iron lady, nakupenda sana dada.

  • @kijangapeter5135
    @kijangapeter5135 3 года назад

    Embu mpeni jimbo huyu Dada mkuu,,kichwa sanaaa

  • @samkiria450
    @samkiria450 3 года назад

    I love jide ❤

  • @aishamother9943
    @aishamother9943 3 года назад

    M nawapenda wote mashallah kila mtu anasababu zake zenye zinanifanya n wapende. Salama naomba ile movie ukacheza ka mwanaume plz.

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 3 года назад +8

    Damn Lot to Learn Thanks For the Free advices Woooow Salama Cheupe You One Hell of A Presenter ❤️🇰🇪

  • @ommysimple5981
    @ommysimple5981 3 года назад +2

    *_Thanks _**_#SALAMA_**_ Kumbe KutwitTWITTER Mwisho⁴_*

  • @talentshows8984
    @talentshows8984 3 года назад

    Smart girl

  • @mussamsella5801
    @mussamsella5801 3 года назад

    Bonge 1 la jibu ...ni kweli ulihit vya kutosha na bado uko vizuri so huna unachojutia

  • @charlesdamas1863
    @charlesdamas1863 3 года назад

    Gdee nakuzimia sana

  • @naasamson4905
    @naasamson4905 3 года назад

    Commandooo💪

  • @rukiachamani1101
    @rukiachamani1101 3 года назад +3

    Interview kali sana na yenye mvuto.

  • @magrethgeofrey7532
    @magrethgeofrey7532 3 года назад

    Nakuelewà sana jide

  • @wisehood0417
    @wisehood0417 3 года назад +4

    I can't wait to see hormonize on this special table be blessed without politically you the best

  • @judithapolinal4943
    @judithapolinal4943 3 года назад

    Wajina dada yangu tumelingana tabia🥰🥰🥰🥰

  • @ZuwenaKabwe
    @ZuwenaKabwe 2 месяца назад

    ❤❤

  • @FranklinMtei
    @FranklinMtei 3 года назад +4

    I love the idea, but the background inapoteza attention to the foreground, too many pics on the wall. Think about it madam legendary

  • @ramadhaniabdi9530
    @ramadhaniabdi9530 3 года назад +3

    Jide una majbu mazur sana cjui kwann hutak Siasa

  • @letisiaseleman3806
    @letisiaseleman3806 3 года назад

    Meipenda saut yake ya kuongelea

  • @naomimwaipola8569
    @naomimwaipola8569 3 года назад

  • @ljm4867
    @ljm4867 3 года назад +1

    Much respect for you Jide...👍👍

  • @tanzamax2837
    @tanzamax2837 3 года назад

    💥💥

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 3 года назад

    ❤️

  • @erza6832
    @erza6832 3 года назад +5

    I m your first fan from burundi, salama💙💙

  • @christinenyamu1645
    @christinenyamu1645 3 года назад +2

    I just like how you let people tell their stories without interruption

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 3 года назад

    🤩

  • @azahomar2504
    @azahomar2504 3 года назад

    Salama jamani umebadilika umekua mzuri si uzaeeee katoto