Salama Na Lady Jaydee Ep 24 | POWERHOUSE Part 1
HTML-код
- Опубликовано: 11 июл 2020
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
RUclips Link bit.ly/RUclipsSalamaNa
Kwa Judith Wambura Mbibo kuongea anayoyawaza bila ya kupepesa au kutafuta sapoti kabla hajafanya hivyo ndo hulka yake haswa, si wa kukwepeshakwepesha au kung’ata maneno ili yawe malaini zaidi kwa anayeambiwa asijikie vibaya labda. Kwake yeye lilivyo ndo lilivyo, kazi ya kupaka mawingu rangi huwaachia wahusika, yeye yake ni kuhakikisha mawingu yapo, na kwa hilo? Mimi namheshimu sana.
Mwanangu mwengine ambaye hii ni mara yetu ya kwanza kukaa chini na kutia story ili wananchi waweze kupata majibu ya baadhi ya maswali waliyokua nayo muda mrefu sana pengine. Na round hii nilihakikisha sichezi mbali naye kama Chama na Mogella, na kwa bahati nzuri muda wake na wangu ukaenda vizuri kabisa kwa sote kuweza kuifanya kazi hii. Ijumaa ya kuamkia Jumamosi ili kuweza kuifanya kazi hii ulikua usiku mfupi sana kwangu. Mawazo yalikua huko tu kwa Jide na kwa kwa watu wengine watatu ambao nlikua na kikao nao. Na Nashkuru Mungu mambo yalienda kama yalivyopangwa.
Kuanzia kulelewa na Kaka zake alipokuja Dar es Salaam na kuhakikisha anakua katika maadili mema kwahiyo haikua rahisi kwake kuhakikisha agenda yake ya kutaka kuwa msanii na mara nyengine alikua akichezea kichapo kwasababu tu alikua harudi nyumbani kwa wakati au nyendo zake zilipokua hazieleweki. Baba yake alifariki zamani na Mama yake alifariki 2017 kama nitakua sawasawa. Sikutaka kwenda kwenye details sana juu ya kifo cha Mama yake ila zaidi nilikua nataka tuongelee ubora wake ambao umekua ni kivutio kikubwa kwa wale wanaoanza na ambao tayari washaanza. Kujifunza kwake juu ya ukomavu, uvumilivu, jinsi ya kujibeba. Kutafuta nafasi, kutokata tamaa na kuandika historia. Na kwa hilo alituambia mengi.
Kuna issue ya wivu, ndoa, kazi, mahusiano, kipaji na kuwa mwanamke ndani ya kiwanda kichanga ambacho kimezungukwa na wanaume na jinsi ya kupasua milango ya kuziba matabaka ili mambo yaende na historia iandikwe. Vipi aliwezaje ku push hivyo? Na lini haswa alijua ana kipaji chake kikubwa ambacho kinatakiwa kuonekana? Kuna support yoyote aliipata toka nyumbani? Na je baada ya mlango kufunguka, aliwezaje ku maintain hiyo nafasi? Mwaka huu wa 2020 Lady Jay Dee anatimiza miaka ISHIRINI toka ameanza kufanya mziki RASMI. Je hii ndo definition ya MAFANIKIO kwake?
Yangu matumaini maongezi yetu yatasaidia sehemu flani na kuongeza jambo kwenye mbio zako za kutaka kuzifuata ndoto zako. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown - Развлечения
Tulio angalia hii interview baada ya Gadner kufariki like hapa tujuane😢
Nipo hapa
Jide kama jide...komando kama komando..anaconda kama anaconda..queen kama queen..respect you kwa mziki mzuri much love and respect kwako binti machozi ..mlio penda hiki kipindi like hapa ku show love kwa komando jide 🖤
Me namkubali sana commando jide
Mtangazaji pekee ambae hakumbukagi kupak ata lipshine😀
Salama kwa maumbile haitaji chochote kile cha kupaka zaidi ya mafuta ya muili.
Kosa kubwa la SALAMA haja badilika roho na akili sababu kaja na kipindi kipya kwa kazi ya zamani yani ana hoji watu wale wale aliye wahi ku wahoji katika zama za kipindi cha MKASI ilihali sio hivo inavo stahili. Pame pita kipindi kirefu sana kisha pame jitokeza wasani wengi chipkizi ambao mashabiki wengi wa mziki wana hitaji kuwajuwa kupitiya kipindi chako
@@hashemsaef1516 mimi nahisi ni sahihi anavyofanya, kwa sababu lazima apate attention ya watu kwanza. Laiti angeanza kwa hao chipukizi kwanza watu wangeboeka mapema. Mbona hata Gigy kapita hapo na ni wa juzi tu. Mimi nahisi anakuza kipindi na jina kwanza na nahisi mengine yatafuata.
Utu uzima dawa
Unanitania Nini anapaka hivi wadada wa sikuizi inawezekana kweli bila makeup.....
Salama nimzuri bila vipodozi
Salama ww uko natural sana nanimzuri mashallah
Tunachukuliaga watu poa sana mitandaoni but the Lady Jide sounds like a really smart woman to me, actually among the few i came in contact so far👍💪
Mtangazaji bora kabisa wa kike kuwahi kutokea Afrika Mashariki. Salama Jabir
jaydee is my best female artist..words alone cant express what u mean to me
Ukimuangalia Jay Dee unajihisi kumuona Yondo Sista au Miss ChakaChaka
Yap
The real meaning of legends
One of the best interviwer and interviewee l have ever had, very matured, !!!! Kutoka kwa msanii anayejitambua sana.
she so cute. Jaydee love you. i'm from Rwanda.
Helloo..welcome to Tanzania😘
Welcome Tanzania arsene niyonkuru
gonga za LADY JAY DEE HAPA
She is so beautiful my jay dee💋💋💋 I love u so much 😘😘😘😘😘form sauza Afrika 😘😘😘I need one day I can meet u . My jay dee 😭😘😘but I'm form burundi. Watu wananifananisha na jay dee San sn 😭😭😭 I love u jay dee .love u so much . Please come one day to sauza Africa I can see u 😭😭😭
Lady Jaydee. Mungu amekujalia kipaji cha kuimba lakini zaidi sauti yako tamu sana. Umeimba nyimbo nyingi sana lakini wimbo wa FARAJA ulinitoa machozi kila nilipousikia. Kila ninapokuona wimbo huo unanijia kichwani. Hongera sana. Baadaye urudi kwenye dini yako uimbe nyimbo za kumtukuza Mungu.
Jd wewe msatarabu sana sauti mzuri na wimbo kali kali
Hii interview ilikuwa ngumu kwa Salama kuhoji ...umenyatia nyatia sana maswali huku ukifuatilia mood ya Jide....pole
Alijua atatukanwa😁😂
😀😀😀😀😂😂😂kweli kabisa
🤣🤣
True
Hahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣
SO MATURE LADY JAY DEE....MA'SHAA'ALLAH QUENTINUE DE AWSM SPIRIT 👌😍❤😚STRONG WOMEN💪GOOD HOST MAM...SALAMA... ❤😊
Your voice is stunning Judith. I love it.
Amazing interview
Salama i loved how you put your questions forward and expressed your arguments👌🏽
Hii sijui kwanini🙌🏽 ukiwa mtu ambae unasema kweli yani black ni black, white ni white watu wanakuona jeuri au unaongea sana 🙌🏽
Maashaallah
Misimamoo,kabambeee safi sana komandooo Jide I love the spirit🙌😊
Wawoooo
love the interviews... but i'd be sure to visit samaki samaki nikija TZ
Naomba siku moja ufanye interview na AMOS MWIJONGE!
Wana ngokolo tujuane shy oyeeee❤❤❤❤
Haya majina ya vyakula wallah hizi ni akili za Salama mwenyewe msosi utaitwaje Sharukhan mara Bruce Lee
I just love the both of you ladies♥️
Mm nawapenda wote mwenyezi mungu awabariki
Wahooooo! mama judithi, na kuita mama sababu ulisoma darasa moja na baba yangu mzazi, nawapenda sana dada salama, na mom jud
Mbona hukunitafuta tena?
Ok.
Love you Salama❤️💪
Jide na kupenda sana una jitambua na una fanya mambo kwa uweledi hongera sana
Nimependa life style hiyo ya yeye kufanya kila kitu pamoja na kua yeye ni star 💫
Wengi kibongobongo akianza maisha tuu hata hajaolewa au kuoa basi anakua na house girl au houseboy.
Nimejifunza kitu
Nilikuwaa na deni hapa,siwez kosa hii 👌
nakumkubari sana jide kwa kazi zake nzuri na zenye ujumbe
Nice nawapenda wote Jide na salama
Nawapenda dada zangu#@ salma na Jide
Beautiful show Salama 🥰
Jay dee. Very cool
Yan mi jide NAMPENDA SANAAAAAAA jamani komando jide big up sana
Show kali sana, kama mngeweza kupunguza matangazo kidogo, ingekuwa kali zaidi..
Legendary jide, una madini sana ya maneno 😘😍
Nicely
Woww
Jasiri sn Lady Jay Dee ❤
Nampendaga saana commando hatakuongea sauti yake ni nzuri big up
Napenda sana uyu dada jay dee. Anakasauti kazuri sanaaaa
Nakupenda jide
Jide kiukweli ni dada ambae uko so unique ...umepitia mengi sana kiasi sijui lipi litakua geni kwako
Salama ni mtangazaji flan wa kipekee sana hapa Tz ...
Bahati mbaya sana kujielewa kwenu kumewafanya muishi maisha flani tofauti sana
convo hii very matured
Lagendaryy
Salama utuleteaga watu wenye nidhamu kama JD siku zote, siyo zile parapara za gigy money kulala na davido it's a shame kwa jamii yetu, wale waache wahojiwe kwingine wewe uko juu sana.
Kila k2 n kujifunza.... Kam hujajifunz ww kuna m2 kajifunza
@@ndojes711 Umesoma kuelewa au umesoma kujibu? Idiot
@@damariszuckschwert9489 You even call someonebody Idiot really?Go check yourself on the mirror. Jamii inahitaji wakina Jide na kina Gigy pia. Ni kweli kwa mtazamo wako Gigy anaiaibisha jamii ila ana haki pia ya kuhojiwa na ninaamini kuna walijifunza
Jamii ni mchanganyiko wa machizi, wazima, malaya, wachaMungu, wapumbavu, werevu..... kwa hiyo tusitengane.
@@queenseptember4640 umenifurahisha Sana😂😂😂
Legendary mwenyewe Komandoo Jide
yaan hii interview iko ngumu sana Jady hapana
Kipindi kizuri sana nimefurahi kumuona jide. Nampenda balaa.
Jyd namupenda saaana jyd
Kipind cha kibabe hongera sana salama na team yako nzima💫🔥
Mimi nimunyarwanda nakupenda salam Mimi nishabiki wa ledy j
Interview ya kibabe sana ✌️ Salama umekua bonge sana aisee
Nakuelewa sana wewe ni comando hunaga shobo uko juu kuliko mwanamziki Yoyoote si wa kiume wala wa kike
Nice
Ukipata mwanamke Kama salama Safi sana
Nice one .respect ti ths lady .next #ALIKIBA #MRBLUE hope we see them here
Jide mpole sana
Mimi Kiswahili Nakipenda Lakini Jay Dee Katoka Mbali 👏🏾👏🏾👏🏾
interview yakizazi sana Jide ; unajua Salama nisha HIT SANA,36:11
naangalia mara ya mia this episode ya Salama na Jide it was FIRE
Hii kali
Jide anajua sana, hakuna promo kwenye ile media kubwa kipindi kile lakini bado tuu mziki ukasonga mbele, na matuzo kama yote.
Hakuna wa kumfananisha Jide na vitoto vya promooooo.
Nampenda lady jay dee
Jide yuko pow sana
I love u Jide
Nampenda hyu dada
Ooh kumbe my mate Mbuyuni primary! Ok
Jide iron lady, nakupenda sana dada.
Embu mpeni jimbo huyu Dada mkuu,,kichwa sanaaa
I love jide ❤
M nawapenda wote mashallah kila mtu anasababu zake zenye zinanifanya n wapende. Salama naomba ile movie ukacheza ka mwanaume plz.
Damn Lot to Learn Thanks For the Free advices Woooow Salama Cheupe You One Hell of A Presenter ❤️🇰🇪
*_Thanks _**_#SALAMA_**_ Kumbe KutwitTWITTER Mwisho⁴_*
Smart girl
Bonge 1 la jibu ...ni kweli ulihit vya kutosha na bado uko vizuri so huna unachojutia
Gdee nakuzimia sana
Commandooo💪
Interview kali sana na yenye mvuto.
Yah
Nakuelewà sana jide
I can't wait to see hormonize on this special table be blessed without politically you the best
Wajina dada yangu tumelingana tabia🥰🥰🥰🥰
❤❤
I love the idea, but the background inapoteza attention to the foreground, too many pics on the wall. Think about it madam legendary
Jide una majbu mazur sana cjui kwann hutak Siasa
Meipenda saut yake ya kuongelea
⚘
Much respect for you Jide...👍👍
💥💥
❤️
I m your first fan from burundi, salama💙💙
I just like how you let people tell their stories without interruption
🤩
Salama jamani umebadilika umekua mzuri si uzaeeee katoto