Salama Na Shilole Ep 5 | MAMA Part 1
HTML-код
- Опубликовано: 6 фев 2025
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast #SalamaNaShilole
Listen our Podcast on
Boomplay Link boomplay.lnk.t...
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru
RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
Mama
Zuwena Yusuf Mohammed ndo jina alopewa na wazazi wake na siko hapa kuwakosoa kwa chaguo lao hilo ila mi nadhani Shilole ndo limekaa mahala pake zaidi. Anaongea kama Shilole, anacheka kama Shilole, ni shujaa kama Shilole, REAL kama Shilole, anapenda kama Shilole na sisi tunampenda kama Shilole. Ally Rehmtullah alikua anaadhimisha miaka kumi ya kazi yake. So alifanya auditions kwa ajili ya kuchagua models kuelekea kwenye adhimisho lenyewe, Shilole aka Shishi alikua mmoja wa ma judge wa skuihiyo, picha likaanza hakuwepo popote pa kuweza kuonekana, shuguli ambayo ilichelewa kuanza kutokana na mambo mengine ilibidi pia iendelee bila yeye. Akatokea wakati tunakaribia kabisa kumaliza ila alipofika kila mtu alijua kama Shishi KAWASILI. Vicheko na matani vilitawala na kila mtu akasahau kama hata Shishi alichelewa kufika. Shishi ni ‘special’. Kuanzia muonekano mpaka tabia, jinsi anavyoishi maisha yake na jinsi anavyotafuta na kujiongeza kila siku ni mfano tosha kwetu sote ya kwamba ‘mwenda bure si mkaa bure’
Anaweza pia akawa kafanya yote ili kuweza kutumiza ndoto yake au zake. Kaigiza, kaimba, kaishi kwenye mahusiano ambayo hajivunii kama alishawahi kuishi hivyo, kafanya biashara, kapigana na mengine mengi kapitia ambayo yanaweza kumaliza kurasa, yote kwa yote... Ni mfano wa kuigwa kwa watafutaji na wanaoanza wengi.
Kwenye meza yetu pia alikuja kachelewa, huku akiwa kavurugwa na baadhi ya watu lakini tulipokaa tu kwenye viti yote yalisahaulika na tukajikita zaidi kwenye mazunguzo yetu ambayo yalijaa vicheko, masikitiko, simulizi za kuacha midomo wazi na faraja tele.
Tafadhali enjoy, na chukua mawili matatu ambayo yatakufunza jambo katika safari yako na kukufanya uwe bora zaidi.
Love,
Salama.
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Kama unapenda kipindi hiki ngonga like twende sawa
Shishi....charming soul...nimependa ulivyojisifia na kukuhimiza wasanii wa kike upande wa mziki wajitunze.
Hii ni kwa wadada wote ,muhimu kujitunza na kuweka mipaka.Last but one...You are truly beautiful dadaa🤩
"it's okay I am a woman let me do it" words of the great shishi baby! what a strong woman
"Mtu mwenye shida unaeza mfanya unavotaka". Bonge la point, "Maskini haaminiki". Show moja nzuri Dada Sally.
Salama hongera sna kwakutuandalia kipindi kizuri mambo yako huwa 🔥🔥💯 kila cku mwenyeze Mungu azidi kukuzidishia uombacho.mwambie shishi tunampenda pia
Inaumiza sana kuona anavyoteswa na mume wake. I love you Shishi and wish you all the best! We need you and your kids need you more.
My best loved people based in TZ, nawapenda from +254🇰🇪🇰🇪🥰
Salama hepu naomba siku moja uwe na huyu Dada Sheri mwenye story nzuri kuhusu kazi za ndani Oman wataelemika wengi
SITOCHOKA KUWA SHABIKI WA KIPINDI HIKI, NAENJOY
Strong woman you are Shishi,sipendi zalau ya wanaume!
She is so real.. best interview so far ingekua hata siku nzima haichoshi
Halima Rk ruclips.net/video/FGhRyiorW1Y/видео.html
una vipindi vya ki LEGEND SANA MTU MZIMA. NAKUFUATILIAGA SANA KITAMBO. una maswali ya kikubwa sana........ big up salama jabiri
SALAMA mtafute Zuhura yunus kabla hajaenda London Basi!!!
Nice observation🤝🏽🤝🏽
Kabisa
Luhanya Mipawa Ntobi cc’d Es ccccfrfgtty
Katika interview zote ulizofanya hii bhana ni noma coz dada shishi kafunguka mpaka raha! i realy preciate that
Mi ni mshabiki mkubwa sana wa kipindi hiki from Rwanda...na sitachoka kamwe!
Shishi ni OG comedian.salama umecheka kulko interview zote.
Mdada aliye real asiyefeki,mama ntilie wa Taifa👌💃❣
Beatrice Tenywa firigisi za kuku rosti ruclips.net/video/pjqOur9SMn4/видео.html naomba subscribe tafadhal
She has a big heart... hongera Shilole
Salama ubana nywele umependeza kweli mashallah
Shi shi nacheka ka mazur unanifurahish we we mchesh mashaallah
Salama hongera kwa kazi nzr sana.Nakupenda Sana na Mungu akubariki mno
Zuena nakupenda sana napenda nyenendo zako San nataman SKU moja tukutane tuongee jambo
U know what i love from u Salama? Unaishi wewe unatenda wewe haufake. Naamini una vitu vingi vikubwa mbeleni. Tuombe tuishi
The story is so touchable😭😭😭
So touching.....sio touchable bro
Sijapenda hiyo style ya mike kufunika vitambaa inaonekana kama mnatambika hivi kaah
Sikuwa najua historia yako kabla, pole na hongera sana kwa hatua uliyofikia shishi, nakupenda sana, Mungu ni mkubwa
umekuwa legend sana mtu mzima.......
NEXT LEVEL
Very inspiring story.story imenigusa sana.hatufai kukata tamaa wakati Bado tunaishi.
Yaan shilole anajihoj mwenyewe😂😂😂
Shishi naomba soma comet mm Niko kama ww nawachukia zaidi yako
Nakupenda sana Shilole, mpambanaji superwoman
Toka mkasi nimemmic welcome back salama
Shishi pole sana kwa tukio la kubakwa, miaka 14 ulikua bado mdogo sana, i can imagine maumivu uliyoyapata, ila nimefurahi kua ulisamehe na maisha yakaenda, inaonesha na wewe ulikua unamkubali, lol.
Au altoa ushrikiano cku hiyo
Kweli. Shishi. Mzuri. Sana. Mashaallah
Natamani kungekuwa na voice note ili niwaeleweshe nyie mnaosema shishi nae alimrekodi yule dada wa machungwa aliyemsaidia, ni kweli ndio alimrekodi sio uongo, lakini mnasahau kitu kimoja yule muuza machungwa hakwenda kwa shishi kuomba msaada, hapo ndo ilipo tofauti ya alichoongea shishi na alichofanya shishi kwa dada wa machungwa....! Shishi alimuinua yule Dada pale alipo na kwenda sehemu nyingine (kwa kumuongezea mtaji) Na alifanya kama kushawishi wengine ambao kiukweli wengi wetu tunawalalia sana wale wamama kwa kuomba punguzo wakati hatujui mikiki wanayopitia kupata hiyo 15000 ya beseni moja la matunda,......! hao anaosema shishi ni wale ambae anafatwa na mtu mwenye shida then anamsadia kwa kumrekodi uko ni kudhalilishwa, HIVI MNAELEWA?
Hv una bishana na mbongo haja sikiliza kitu akaki elewa kasha comments anavo jua hata uwa eleweshe vep hawaelew mwengine ndo kaamka hata mswak haja piga ana wenge la usingiz ata elewa wap mada yan me wanan kera kama nn sema ndo uswahili tena
Latriciah01 Augustino Asante kunielewesha
Yn bora umejitahidi kuelewesha, mana mi nilishindwa haa, big up
Waoooo bora umesem ww wengne hawaelew jmn
Haijalishi point ni kwamba unapotoa msaada hutangazi, ni siri yako na Mungu wako.
leo ww haupo kesho upo😀😀😀
Nilikuwa nataman sana interview Na huyu Dada Nakupenda Shishi mm nataman siku Moja nikutane Na ww
Shishi wengi tunampenda
Piko hotel ndo alifanya shangazi yangu
Alipata na kazi kabisa. Hata mimi nilisomea hotel walimu walikuwa wananipenda kwel kwasababu nilikuwa naelewa
Ndo mana anajuwa kupika vizur
Ya tulifundishwa hayo mambo ya wee ni mzur hata mimi nilisemaga
Nampenda huyu dada jamani💖
🔥🔥🔥🔥salama na shishi😚😚😚👌👌👌👌bravoooo
Nampenda shishiii kiukweli napenda mpk maisha yake afek life uyuuu Dada
Sema shishi chizi sana 😂😂😂 ndomana nakuelewq sana mama
Salama uko juuuuuu unatuwakilisa wa Zanzibar yahstone Towan
She's so good mwanamke mpambanaj ❤️❤️❤️
Love u so much my Salama u so beautiful 💞😍💞💞😍really. and vry strong. Joo sauza one day💞💞💞 please Salama
Shishi hii interview imenichelesha kazin
Kama unaamin salama alikuwa danger BCC like yako
Hata Sasa Shishi Wa Pendeza 👍😘
Mungu azidi kukulinda na kukubariki dada zuwena
Kaz nzuri da Salama
She is right though.. Imagine you at the lowest point of your life.. And then someone comes to help u with a camera.. People keep ur cameras at home when helping the need....
Salama jaribu kuwaambia wageni wako wasiongee huwa wanakula huwa wanatukirihisha.
Salama rudia kumuhoji shilole its a nice interview
Mhhhmhhhh da shishi nakupenda lkn kwa hilo hpn ,,heb kumbuk we yule muuza machungwa ulimrekodi ili iwe nn mxeeew kwel muongo hn kumb kumb..
Lily Juma Alafu tena yuko siliazi hapo kama cyeye wa machungwa
ahahaha bongo movie wanasahu harakaaa yan kakauka kama sio yeye alotoa elfu 50
@@veronicadaniel1122 hahahahah
@@veronicadaniel1122 jamn mbon yule dada wa machungwa hakutak msaada ila shilole alichokifanya ni kumuunga mkono tuu
Ndio wasanii baadhi yao hujiropokea tuu
We mwanamke badilisha neno lako la kusema Mungu alivo mbaya
🤣🤣🤣🤣🤣🤣salama much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣shilole ❤️❤️❤️❤️💕💕💕💕
Kwanza naweoenda nyote salama sana nakupenda shichi umeongea ukweli
Shishi is so priceless ❤
Shishi Nakupenda eti mimi mzuri 😍😍😍😍😍🤣🤣😜
Una chura?
Salama nafatilia sana na nakupenda Sana dadangu udumu katika hii sanaa nakufatilia Sana toka kipindi kile cha nyuma sijaipitwa ata na interview moja.😍😍🇰🇪🇰🇪🇰🇪😍😍
Salama leo umeishiwa pozi mana ata masuali yamekuishia chezea Shishi baby wewe ana story mpk bac unacheka unahizunika maisha yanaenda na maisha ni kupambana wanawake hakuna kukata tamaa
Yani sisi wanawake tuna akili sana.
@@tedymwandara5480 sanaa. Sisi jembe!!
Daah shilole ananipa raha sana anavitukoo hahahahaa
Nanisingo mama,,, Story zinafafa nayakwangu kabisa,, by the way nampenda Sana shishi nataman nionane nae
Shishi nakupenda ukiongea staki. Ata umalize
Interview za shishi aziishi hamu kusikilza
What a strong woman,and 🙌👌
Shi shi mtam we we nakupend sn ila pole kwa mitihani iyo sio yamoja mm pia imenikuta ila Allah atusaheh
Kweli Salama unampenda Shish😍co kwa kufurahi huko😂😂😂!!.....happy life
Bahaja Juma firigisi za kuku rosti ruclips.net/video/pjqOur9SMn4/видео.html naomba subscribe tafadhal
Nishasubscribe
Subscribe kwenye RUclips channel yangu BONYEZA hiyo picha kushoto hapo dear
You are amazing Salama😍😍😍😍
Shilole you are great! Great interview!
Nakupenda sana *shishibaby* adi naumwa 😘😍😍😍😍🌹💋
am a big fan shishi love from canada yani nakupenda mnoo
Bonge ya interview, plz tuletee idris,bigbrain pfunk na dj fetty plzplz
Hapo kwenye kuota nimecheka San uwii
Story ya shishi inafanana nayakwangu nampaka sasa mwanangu anamiaka 14 Yupo form one
more love kwa shishi
Shilole nakupenda😭😭😭😭😭😭
Waooo yani nmejifunzaa sana kupitia shishi good interview nakipenda hichi kipindii mnoo
Salama eti kama mtama ulivyotokea 😅😅😂😂😂
Shishi bhana mara nyingine usipende ongea huku unakula... Hii hali inakua inaboa flan kuongea huku unatafuta... Yaan mpaka mzuka unakata wa kukusikiliza
Nakupend buree dada yanguu zuwena
Dada ulimpa dada machungwa elfu hamsini tunakumbuka ukamrekodi
Woow Salama na Shishi pendaaa sana
Hii stoli imenigusa mm miezi 7 ndo najua km mjamzito na siku aliotoa bikra na mimba 😭
😂😂😂😂😂😂😂😂😂shishi pole yani kama wanieleza mm yalinikuta
Hakiamungu shishi nakupenda. Natamani cku moja uje Zanzibar tupige picha tu
iddaty mwinyi hahahah mi mwenyewe nampenda kama nini
Halafu huyu mdada ana miakili mashallah
Ni kweli mzuri bhn weee
Nakupenda Shishi😘😘😘
Ah stori hii ya mchezo hakuna lolte shishi kama uongo flani
nyumba big brother 😁
Ehee sorry nimebadilikaa😀😀😀...I loved this part alot na cheko lake kwa mbelee....hehehe....intavyuuu hii na ya Gigy nimecheka sana😅😅😍😍😍
shishi ni jasuli kama mm ila mm sija bakwa2 ila ugumu oote aliopitia nikama mm mpaka leo niko na wanangu2 tuu
Nampenda sana huyu dada
Salama umehoji vyote nilivyotaka aisee
Breathe of fresh air💓
Good job salama from 🇨🇦🇨🇦🇨🇦
Good interview
Wilson Maduhu firigisi tamu rosti ruclips.net/video/pjqOur9SMn4/видео.html naomba subscribe tafadhal
Nakukubali salama.my lv pia shish
Wallah hawa watu wawili minawapenda hahahahahaha
Miaka Mia nakupenda we ni strong woman