Salama Na Shilole Ep 5 | MAMA Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast #SalamaNaShilole
    Listen our Podcast on
    Boomplay Link boomplay.lnk.t...
    ‪Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru‬
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
    Mama
    Zuwena Yusuf Mohammed ndo jina alopewa na wazazi wake na siko hapa kuwakosoa kwa chaguo lao hilo ila mi nadhani Shilole ndo limekaa mahala pake zaidi. Anaongea kama Shilole, anacheka kama Shilole, ni shujaa kama Shilole, REAL kama Shilole, anapenda kama Shilole na sisi tunampenda kama Shilole. Ally Rehmtullah alikua anaadhimisha miaka kumi ya kazi yake. So alifanya auditions kwa ajili ya kuchagua models kuelekea kwenye adhimisho lenyewe, Shilole aka Shishi alikua mmoja wa ma judge wa skuihiyo, picha likaanza hakuwepo popote pa kuweza kuonekana, shuguli ambayo ilichelewa kuanza kutokana na mambo mengine ilibidi pia iendelee bila yeye. Akatokea wakati tunakaribia kabisa kumaliza ila alipofika kila mtu alijua kama Shishi KAWASILI. Vicheko na matani vilitawala na kila mtu akasahau kama hata Shishi alichelewa kufika. Shishi ni ‘special’. Kuanzia muonekano mpaka tabia, jinsi anavyoishi maisha yake na jinsi anavyotafuta na kujiongeza kila siku ni mfano tosha kwetu sote ya kwamba ‘mwenda bure si mkaa bure’
    Anaweza pia akawa kafanya yote ili kuweza kutumiza ndoto yake au zake. Kaigiza, kaimba, kaishi kwenye mahusiano ambayo hajivunii kama alishawahi kuishi hivyo, kafanya biashara, kapigana na mengine mengi kapitia ambayo yanaweza kumaliza kurasa, yote kwa yote... Ni mfano wa kuigwa kwa watafutaji na wanaoanza wengi.
    Kwenye meza yetu pia alikuja kachelewa, huku akiwa kavurugwa na baadhi ya watu lakini tulipokaa tu kwenye viti yote yalisahaulika na tukajikita zaidi kwenye mazunguzo yetu ambayo yalijaa vicheko, masikitiko, simulizi za kuacha midomo wazi na faraja tele.
    Tafadhali enjoy, na chukua mawili matatu ambayo yatakufunza jambo katika safari yako na kukufanya uwe bora zaidi.
    Love,
    Salama.
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown

Комментарии • 289

  • @jacquelinesasiyo7915
    @jacquelinesasiyo7915 4 года назад +30

    Kama unapenda kipindi hiki ngonga like twende sawa

  • @esterdanford5563
    @esterdanford5563 4 года назад +1

    Shishi....charming soul...nimependa ulivyojisifia na kukuhimiza wasanii wa kike upande wa mziki wajitunze.
    Hii ni kwa wadada wote ,muhimu kujitunza na kuweka mipaka.Last but one...You are truly beautiful dadaa🤩

  • @lavenderCWTCHEEKS
    @lavenderCWTCHEEKS 4 года назад +8

    "it's okay I am a woman let me do it" words of the great shishi baby! what a strong woman

  • @sidval-el5816
    @sidval-el5816 4 года назад +2

    "Mtu mwenye shida unaeza mfanya unavotaka". Bonge la point, "Maskini haaminiki". Show moja nzuri Dada Sally.

  • @neemacharles5135
    @neemacharles5135 4 года назад +4

    Salama hongera sna kwakutuandalia kipindi kizuri mambo yako huwa 🔥🔥💯 kila cku mwenyeze Mungu azidi kukuzidishia uombacho.mwambie shishi tunampenda pia

  • @Wanairobi
    @Wanairobi 4 года назад +3

    Inaumiza sana kuona anavyoteswa na mume wake. I love you Shishi and wish you all the best! We need you and your kids need you more.

  • @brendaa.5222
    @brendaa.5222 4 года назад +11

    My best loved people based in TZ, nawapenda from +254🇰🇪🇰🇪🥰

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 5 лет назад +3

    Salama hepu naomba siku moja uwe na huyu Dada Sheri mwenye story nzuri kuhusu kazi za ndani Oman wataelemika wengi

  • @alexshallom3094
    @alexshallom3094 5 лет назад +28

    SITOCHOKA KUWA SHABIKI WA KIPINDI HIKI, NAENJOY

  • @G.S985
    @G.S985 4 года назад +5

    Strong woman you are Shishi,sipendi zalau ya wanaume!

  • @infinityfreak6561
    @infinityfreak6561 5 лет назад +2

    She is so real.. best interview so far ingekua hata siku nzima haichoshi

    • @IlhaamMarshed
      @IlhaamMarshed 5 лет назад

      Halima Rk ruclips.net/video/FGhRyiorW1Y/видео.html

  • @leslienakara9890
    @leslienakara9890 4 года назад

    una vipindi vya ki LEGEND SANA MTU MZIMA. NAKUFUATILIAGA SANA KITAMBO. una maswali ya kikubwa sana........ big up salama jabiri

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 5 лет назад +59

    SALAMA mtafute Zuhura yunus kabla hajaenda London Basi!!!

  • @ibrahimdea2659
    @ibrahimdea2659 5 лет назад +2

    Katika interview zote ulizofanya hii bhana ni noma coz dada shishi kafunguka mpaka raha! i realy preciate that

  • @harounamahoro3436
    @harounamahoro3436 4 года назад +3

    Mi ni mshabiki mkubwa sana wa kipindi hiki from Rwanda...na sitachoka kamwe!

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад +3

    Shishi ni OG comedian.salama umecheka kulko interview zote.

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 5 лет назад +26

    Mdada aliye real asiyefeki,mama ntilie wa Taifa👌💃❣

    • @IlhaamMarshed
      @IlhaamMarshed 5 лет назад

      Beatrice Tenywa firigisi za kuku rosti ruclips.net/video/pjqOur9SMn4/видео.html naomba subscribe tafadhal

  • @preciouspeter6126
    @preciouspeter6126 5 лет назад +5

    She has a big heart... hongera Shilole

  • @swaumabdi4213
    @swaumabdi4213 4 года назад +1

    Salama ubana nywele umependeza kweli mashallah

  • @halimaaasaeed8785
    @halimaaasaeed8785 4 года назад +1

    Shi shi nacheka ka mazur unanifurahish we we mchesh mashaallah

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673
    @mtanzaniahalisimungunimwem673 4 года назад +2

    Salama hongera kwa kazi nzr sana.Nakupenda Sana na Mungu akubariki mno

  • @happinessmagesa3704
    @happinessmagesa3704 5 лет назад +6

    Zuena nakupenda sana napenda nyenendo zako San nataman SKU moja tukutane tuongee jambo

  • @gradelinemedia6453
    @gradelinemedia6453 4 года назад +3

    U know what i love from u Salama? Unaishi wewe unatenda wewe haufake. Naamini una vitu vingi vikubwa mbeleni. Tuombe tuishi

  • @pendohumphrey7588
    @pendohumphrey7588 5 лет назад +6

    The story is so touchable😭😭😭

  • @rodgernambuta7502
    @rodgernambuta7502 4 года назад +3

    Sijapenda hiyo style ya mike kufunika vitambaa inaonekana kama mnatambika hivi kaah

  • @theresiandasuya1849
    @theresiandasuya1849 5 лет назад

    Sikuwa najua historia yako kabla, pole na hongera sana kwa hatua uliyofikia shishi, nakupenda sana, Mungu ni mkubwa

  • @leslienakara9890
    @leslienakara9890 4 года назад +2

    umekuwa legend sana mtu mzima.......
    NEXT LEVEL

  • @musamwambindo2929
    @musamwambindo2929 2 года назад

    Very inspiring story.story imenigusa sana.hatufai kukata tamaa wakati Bado tunaishi.

  • @jacklinemichael9462
    @jacklinemichael9462 5 лет назад +9

    Yaan shilole anajihoj mwenyewe😂😂😂

  • @chobydibibi8115
    @chobydibibi8115 4 года назад +3

    Shishi naomba soma comet mm Niko kama ww nawachukia zaidi yako

  • @estermakasi6246
    @estermakasi6246 5 лет назад +4

    Nakupenda sana Shilole, mpambanaji superwoman

  • @ufugajitv4749
    @ufugajitv4749 5 лет назад +4

    Toka mkasi nimemmic welcome back salama

  • @queenseptember4640
    @queenseptember4640 5 лет назад +20

    Shishi pole sana kwa tukio la kubakwa, miaka 14 ulikua bado mdogo sana, i can imagine maumivu uliyoyapata, ila nimefurahi kua ulisamehe na maisha yakaenda, inaonesha na wewe ulikua unamkubali, lol.

  • @said306nyatu9
    @said306nyatu9 4 года назад +4

    Kweli. Shishi. Mzuri. Sana. Mashaallah

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 5 лет назад +62

    Natamani kungekuwa na voice note ili niwaeleweshe nyie mnaosema shishi nae alimrekodi yule dada wa machungwa aliyemsaidia, ni kweli ndio alimrekodi sio uongo, lakini mnasahau kitu kimoja yule muuza machungwa hakwenda kwa shishi kuomba msaada, hapo ndo ilipo tofauti ya alichoongea shishi na alichofanya shishi kwa dada wa machungwa....! Shishi alimuinua yule Dada pale alipo na kwenda sehemu nyingine (kwa kumuongezea mtaji) Na alifanya kama kushawishi wengine ambao kiukweli wengi wetu tunawalalia sana wale wamama kwa kuomba punguzo wakati hatujui mikiki wanayopitia kupata hiyo 15000 ya beseni moja la matunda,......! hao anaosema shishi ni wale ambae anafatwa na mtu mwenye shida then anamsadia kwa kumrekodi uko ni kudhalilishwa, HIVI MNAELEWA?

    • @yunaisamir2099
      @yunaisamir2099 5 лет назад +2

      Hv una bishana na mbongo haja sikiliza kitu akaki elewa kasha comments anavo jua hata uwa eleweshe vep hawaelew mwengine ndo kaamka hata mswak haja piga ana wenge la usingiz ata elewa wap mada yan me wanan kera kama nn sema ndo uswahili tena

    • @veronicadaniel1122
      @veronicadaniel1122 5 лет назад +4

      Latriciah01 Augustino Asante kunielewesha

    • @chinamilenas3375
      @chinamilenas3375 5 лет назад +4

      Yn bora umejitahidi kuelewesha, mana mi nilishindwa haa, big up

    • @haimahaima9135
      @haimahaima9135 4 года назад +2

      Waoooo bora umesem ww wengne hawaelew jmn

    • @Bintimrembo-y1v
      @Bintimrembo-y1v 4 года назад +3

      Haijalishi point ni kwamba unapotoa msaada hutangazi, ni siri yako na Mungu wako.

  • @vailethamin8439
    @vailethamin8439 4 года назад +3

    leo ww haupo kesho upo😀😀😀

  • @hawamtambwa402
    @hawamtambwa402 5 лет назад +14

    Nilikuwa nataman sana interview Na huyu Dada Nakupenda Shishi mm nataman siku Moja nikutane Na ww

  • @faithmwangosi16
    @faithmwangosi16 4 года назад +3

    Nampenda huyu dada jamani💖

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 5 лет назад +6

    🔥🔥🔥🔥salama na shishi😚😚😚👌👌👌👌bravoooo

  • @huktyasnaty4023
    @huktyasnaty4023 5 лет назад +2

    Nampenda shishiii kiukweli napenda mpk maisha yake afek life uyuuu Dada

  • @prosperpuro1712
    @prosperpuro1712 4 года назад +2

    Sema shishi chizi sana 😂😂😂 ndomana nakuelewq sana mama

  • @shemsaabdallah3898
    @shemsaabdallah3898 4 года назад +1

    Salama uko juuuuuu unatuwakilisa wa Zanzibar yahstone Towan

  • @dianafesto4240
    @dianafesto4240 2 года назад

    She's so good mwanamke mpambanaj ❤️❤️❤️

  • @Emmy22655
    @Emmy22655 4 года назад +3

    Love u so much my Salama u so beautiful 💞😍💞💞😍really. and vry strong. Joo sauza one day💞💞💞 please Salama

  • @shedrackelia687
    @shedrackelia687 4 года назад +6

    Shishi hii interview imenichelesha kazin

  • @aronnyboy_tz7785
    @aronnyboy_tz7785 4 года назад +1

    Kama unaamin salama alikuwa danger BCC like yako

  • @carolmuchiri9921
    @carolmuchiri9921 5 лет назад +2

    Hata Sasa Shishi Wa Pendeza 👍😘

  • @nurumanyota1957
    @nurumanyota1957 4 года назад

    Mungu azidi kukulinda na kukubariki dada zuwena

  • @husnazaid827
    @husnazaid827 4 года назад +1

    Kaz nzuri da Salama

  • @kentychristine8539
    @kentychristine8539 5 лет назад +2

    She is right though.. Imagine you at the lowest point of your life.. And then someone comes to help u with a camera.. People keep ur cameras at home when helping the need....

  • @aliabraj688
    @aliabraj688 4 года назад

    Salama jaribu kuwaambia wageni wako wasiongee huwa wanakula huwa wanatukirihisha.

  • @fellygal5414
    @fellygal5414 4 года назад +2

    Salama rudia kumuhoji shilole its a nice interview

  • @lilyjuma2265
    @lilyjuma2265 5 лет назад +10

    Mhhhmhhhh da shishi nakupenda lkn kwa hilo hpn ,,heb kumbuk we yule muuza machungwa ulimrekodi ili iwe nn mxeeew kwel muongo hn kumb kumb..

    • @veronicadaniel1122
      @veronicadaniel1122 5 лет назад +1

      Lily Juma Alafu tena yuko siliazi hapo kama cyeye wa machungwa

    • @kazkaz1943
      @kazkaz1943 5 лет назад +2

      ahahaha bongo movie wanasahu harakaaa yan kakauka kama sio yeye alotoa elfu 50

    • @lilyjuma2265
      @lilyjuma2265 5 лет назад

      @@veronicadaniel1122 hahahahah

    • @mariamsiraju5612
      @mariamsiraju5612 5 лет назад

      @@veronicadaniel1122 jamn mbon yule dada wa machungwa hakutak msaada ila shilole alichokifanya ni kumuunga mkono tuu

    • @zenamadhan2517
      @zenamadhan2517 5 лет назад

      Ndio wasanii baadhi yao hujiropokea tuu

  • @jumanina446
    @jumanina446 4 года назад

    We mwanamke badilisha neno lako la kusema Mungu alivo mbaya

  • @shaniahrachma3114
    @shaniahrachma3114 4 года назад +4

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣salama much love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣shilole ❤️❤️❤️❤️💕💕💕💕

  • @hadijasalimu1808
    @hadijasalimu1808 5 лет назад +2

    Kwanza naweoenda nyote salama sana nakupenda shichi umeongea ukweli

  • @agnessjohn2460
    @agnessjohn2460 4 года назад +4

    Shishi is so priceless ❤

  • @agnesbo8812
    @agnesbo8812 4 года назад +1

    Shishi Nakupenda eti mimi mzuri 😍😍😍😍😍🤣🤣😜

  • @dokasalim943
    @dokasalim943 5 лет назад +1

    Salama nafatilia sana na nakupenda Sana dadangu udumu katika hii sanaa nakufatilia Sana toka kipindi kile cha nyuma sijaipitwa ata na interview moja.😍😍🇰🇪🇰🇪🇰🇪😍😍

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 5 лет назад +15

    Salama leo umeishiwa pozi mana ata masuali yamekuishia chezea Shishi baby wewe ana story mpk bac unacheka unahizunika maisha yanaenda na maisha ni kupambana wanawake hakuna kukata tamaa

    • @tedymwandara5480
      @tedymwandara5480 5 лет назад +1

      Yani sisi wanawake tuna akili sana.

    • @adbellar338
      @adbellar338 5 лет назад +1

      @@tedymwandara5480 sanaa. Sisi jembe!!

  • @elizabethjoseph2116
    @elizabethjoseph2116 4 года назад +2

    Daah shilole ananipa raha sana anavitukoo hahahahaa

  • @jamilaathumani9004
    @jamilaathumani9004 4 года назад +1

    Nanisingo mama,,, Story zinafafa nayakwangu kabisa,, by the way nampenda Sana shishi nataman nionane nae

  • @halimasoyomar7289
    @halimasoyomar7289 5 лет назад +5

    Shishi nakupenda ukiongea staki. Ata umalize

  • @jacklinemichael9462
    @jacklinemichael9462 5 лет назад +7

    Interview za shishi aziishi hamu kusikilza

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 4 года назад +3

    What a strong woman,and 🙌👌

  • @halimaaasaeed8785
    @halimaaasaeed8785 4 года назад +1

    Shi shi mtam we we nakupend sn ila pole kwa mitihani iyo sio yamoja mm pia imenikuta ila Allah atusaheh

  • @bahajajuma5947
    @bahajajuma5947 5 лет назад +6

    Kweli Salama unampenda Shish😍co kwa kufurahi huko😂😂😂!!.....happy life

    • @IlhaamMarshed
      @IlhaamMarshed 5 лет назад +1

      Bahaja Juma firigisi za kuku rosti ruclips.net/video/pjqOur9SMn4/видео.html naomba subscribe tafadhal

    • @bahajajuma5947
      @bahajajuma5947 5 лет назад

      Nishasubscribe

    • @jaychagagaltv659
      @jaychagagaltv659 5 лет назад

      Subscribe kwenye RUclips channel yangu BONYEZA hiyo picha kushoto hapo dear

  • @violtimoth770
    @violtimoth770 5 лет назад +3

    You are amazing Salama😍😍😍😍

  • @sharonkitur5645
    @sharonkitur5645 3 года назад

    Shilole you are great! Great interview!

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 5 лет назад +2

    Nakupenda sana *shishibaby* adi naumwa 😘😍😍😍😍🌹💋

  • @gasanajacques2247
    @gasanajacques2247 4 года назад +4

    am a big fan shishi love from canada yani nakupenda mnoo

  • @ibrahimzuberi1029
    @ibrahimzuberi1029 5 лет назад +6

    Bonge ya interview, plz tuletee idris,bigbrain pfunk na dj fetty plzplz

  • @annatariq5378
    @annatariq5378 4 года назад

    Hapo kwenye kuota nimecheka San uwii

  • @jamilaathumani9004
    @jamilaathumani9004 4 года назад +2

    Story ya shishi inafanana nayakwangu nampaka sasa mwanangu anamiaka 14 Yupo form one

  • @michaelpela-yb3jr
    @michaelpela-yb3jr 2 месяца назад

    more love kwa shishi

  • @atienograce7564
    @atienograce7564 4 года назад +3

    Shilole nakupenda😭😭😭😭😭😭

  • @monicamsemo7577
    @monicamsemo7577 5 лет назад +11

    Waooo yani nmejifunzaa sana kupitia shishi good interview nakipenda hichi kipindii mnoo

  • @agnesbo8812
    @agnesbo8812 4 года назад +1

    Salama eti kama mtama ulivyotokea 😅😅😂😂😂

  • @munirasalim148
    @munirasalim148 4 года назад +2

    Shishi bhana mara nyingine usipende ongea huku unakula... Hii hali inakua inaboa flan kuongea huku unatafuta... Yaan mpaka mzuka unakata wa kukusikiliza

  • @khimfarawaytz6910
    @khimfarawaytz6910 4 года назад

    Nakupend buree dada yanguu zuwena

  • @amriyaaziz2199
    @amriyaaziz2199 4 года назад +4

    Dada ulimpa dada machungwa elfu hamsini tunakumbuka ukamrekodi

  • @emmynjeri2478
    @emmynjeri2478 4 года назад

    Woow Salama na Shishi pendaaa sana

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 5 лет назад +3

    Hii stoli imenigusa mm miezi 7 ndo najua km mjamzito na siku aliotoa bikra na mimba 😭

  • @hadijasalimu1808
    @hadijasalimu1808 5 лет назад +7

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂shishi pole yani kama wanieleza mm yalinikuta

  • @bintyk5149
    @bintyk5149 5 лет назад

    Hakiamungu shishi nakupenda. Natamani cku moja uje Zanzibar tupige picha tu

    • @estermakasi6246
      @estermakasi6246 5 лет назад

      iddaty mwinyi hahahah mi mwenyewe nampenda kama nini

  • @justdee6086
    @justdee6086 4 года назад +1

    Halafu huyu mdada ana miakili mashallah

  • @jennifermlyakalam5000
    @jennifermlyakalam5000 4 года назад

    Ni kweli mzuri bhn weee

  • @mizamizaa7728
    @mizamizaa7728 5 лет назад +1

    Nakupenda Shishi😘😘😘

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah7461 4 года назад +2

    Ah stori hii ya mchezo hakuna lolte shishi kama uongo flani

  • @dollyandthedoliganeloi3025
    @dollyandthedoliganeloi3025 4 года назад +2

    nyumba big brother 😁

  • @esterdanford5563
    @esterdanford5563 4 года назад

    Ehee sorry nimebadilikaa😀😀😀...I loved this part alot na cheko lake kwa mbelee....hehehe....intavyuuu hii na ya Gigy nimecheka sana😅😅😍😍😍

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 5 лет назад +2

    shishi ni jasuli kama mm ila mm sija bakwa2 ila ugumu oote aliopitia nikama mm mpaka leo niko na wanangu2 tuu

  • @albanokomba5363
    @albanokomba5363 2 года назад

    Nampenda sana huyu dada

  • @deboramatpapaztv
    @deboramatpapaztv 4 года назад +1

    Salama umehoji vyote nilivyotaka aisee

  • @fridahmuthinja3288
    @fridahmuthinja3288 3 года назад

    Breathe of fresh air💓

  • @samihzamil2346
    @samihzamil2346 5 лет назад +4

    Good job salama from 🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @wilsonmaduhu6013
    @wilsonmaduhu6013 5 лет назад +4

    Good interview

    • @IlhaamMarshed
      @IlhaamMarshed 5 лет назад

      Wilson Maduhu firigisi tamu rosti ruclips.net/video/pjqOur9SMn4/видео.html naomba subscribe tafadhal

  • @sheysarahnjeno9326
    @sheysarahnjeno9326 5 лет назад

    Nakukubali salama.my lv pia shish

  • @user-ye3nh4vm3p
    @user-ye3nh4vm3p 5 лет назад +2

    Wallah hawa watu wawili minawapenda hahahahahaha

  • @annasamwel9522
    @annasamwel9522 5 лет назад +1

    Miaka Mia nakupenda we ni strong woman