Salama Na Gabo Ep 25 | MTOGAPAAFWE Part 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 232

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 4 года назад +25

    Kiswahili kizuri jamaa anaongea...alafu nidhamu kubwa ya maneno yake mwanzomwisho

    • @yassinkassim5241
      @yassinkassim5241 4 года назад +1

      Yaani kingereza hakuna kabisa nimependa sana

    • @mwanajakalatv8656
      @mwanajakalatv8656 Месяц назад

      Huyo ni mtoto wa kitanga.. So, Ki​swahili lazima kinyooke...@@yassinkassim5241

  • @rosemofuga6313
    @rosemofuga6313 4 года назад +15

    Yaani salama huwa napenda sana maswali kwa wageni wako, yaani huwa una maswali fulani hivi amazing l real like it

  • @aishakidotigakii6157
    @aishakidotigakii6157 4 года назад +39

    Salama looks like Ellen

  • @beshuuambarali4960
    @beshuuambarali4960 3 года назад +4

    Salamaa fanya uje unihoji na mimi mjuba bEshuu mii nna saloon ungujaa

  • @twalibutwalibu5252
    @twalibutwalibu5252 3 года назад +2

    Mtangazaji bora wa kike wa mda wote.... Kwa muongo wa pili Sasa

  • @fidelisraymond940
    @fidelisraymond940 4 года назад +17

    Lini utamleta 20% hapo jamaa ana mengi ya kuongea pls dada salama

  • @maryamhamad5158
    @maryamhamad5158 3 года назад +4

    Kumbe ni wa 3 ndio maana ana akili mingi like me

  • @alexiamruu7581
    @alexiamruu7581 4 года назад +8

    Throug your interview i learn alot and get courage where i have fall.....Big up kwako sis Salama💋💋💋

  • @mzulunatal8062
    @mzulunatal8062 4 года назад +4

    Bro #Gabo huku kuna kitu kinaitwa #panguso, ndio habar ya mjini kwa sasa, ikifuatiwa na shilingi. Natumai ukimya wako sio wa bure, bila shaka kuna bomu unaliandaa, tupo tunalisubiria kwa ham, najua hutatuangusha. Fikisha salam kwa bro Ray, mwambie tumechoshwa na kufoka foka, abuni style mpya ya kuvutia mashabiki. Watu wanapenda kuona mambo halisi yanayojir uswahilini sio maofisini tu kila siku

  • @beshuuambarali4960
    @beshuuambarali4960 3 года назад +2

    Yaan hii interview ni Yaajabu Gabo hana kuekti kiingrezaa ata kidog so awo wengne wangkuja tusingeelewana.

  • @mohgamhooga1270
    @mohgamhooga1270 4 года назад +6

    Napenda maswali yako kwa mgeni wako salama,,,,,ni maswali yeny uhai ivi,,,,,na hasa majibu yaendane na maswali,,,big up kwenu,,,Allah awahifadhi insha Allah

  • @mahmudsalim9140
    @mahmudsalim9140 4 года назад +6

    Salama mambo vipi?
    Salama Jana sikukuona mlimani city kwa I AM ZUCHU?
    Naomba utulete kigwendu hapo tumsikiye na yeye.
    Nitokeya Mombsas Kenya

    • @Amneamne-qi2du
      @Amneamne-qi2du 4 года назад

      Salama Masha'allah nampenda sio mnafki msema kweli

  • @charlesdamas1863
    @charlesdamas1863 3 года назад +3

    Salama leo umepatikana
    Maana bro anaongea kama ana rap

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 4 года назад +7

    Gabo ni actor mkubwa asiye na majigambo atafika mbali..anajibu maswali vizur sana🤗

  • @hamenyayohanakasase5836
    @hamenyayohanakasase5836 4 года назад +5

    Bonge la interview asee, huwezi kuchoa kutazama. Kwa kweli Salim (Gabo) ni mwana Kiswahili, na muitikio wake kwenye maswali yako Salama yanafanya mahojiano yavutie. Hongera Salama kwa mahojiano ya kistaarabu.

  • @evnglst.rahniel5238
    @evnglst.rahniel5238 4 года назад +5

    Good convo salama na kila mgeni wako unaemualika ... Special applause to you mamaa, and whole crew of yours ... Nawapenda na ninapenda kipindi chako ...ni fireeeee,

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 года назад +6

    Ellen wa Tanzania Salama jabir ❤🥰

  • @shariffabdallah4669
    @shariffabdallah4669 4 года назад +3

    Baadhi ya waandishi wadogo waige mfano wa Salama ktk kuhoji ili wakue kitaaluma,haichoshi kumsilikiliza Salama anapohoji kama inavyochosha baadhi yao,kuanzia jinsi ya kuhoji mpaka lafudhi zao zinachosha kwani hawajui tofauti kati ya L na R....Ahsante Salama........Ombi...tuletee na viongozi wa dini

  • @ujudiabdull9442
    @ujudiabdull9442 4 года назад +4

    Kwanza nimependa matching blackblack mmetokelezea ....pili Salama nakupenda mana maswali yako huaga yanachangamoto hufkirii km utaulizwa wajipange..huchoshi love it..

  • @ajaxjunior4151
    @ajaxjunior4151 3 года назад +4

    Good interviews, good questions, good answers Mimi ninapenda hivyo vyote cause ninajifunza vitu vingi sana

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 4 года назад +18

    One of my favorite INTERVIEWER-Salma Jabir, tafsiri sahihi ya Interviewer

    • @alush3138
      @alush3138 Год назад

      Nampenda gapo anamaneno yahekmaa

  • @aminahamis9377
    @aminahamis9377 4 года назад +12

    Hi salam I love ur show never miss it love from Dubai I can’t wait see wema sepetu or Diamond Platnumz on ur show

  • @zamamuuhamisi6654
    @zamamuuhamisi6654 4 года назад +3

    Yaan katik wasanii wa kiume ninao wapenda GABO jmn uko vzr hngera sana dada salama kwa kumleta huyu mtu

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 4 года назад +3

    mungu akupe afya njem na umri mrefu ln shaa Allah.. najifunza mengi sana tena sana.. 🌹🌹❤️❤️

  • @reenlis7665
    @reenlis7665 4 года назад +3

    It will be best if we get to know your story salama.... so its NA SALAMA

  • @lavilavi2018
    @lavilavi2018 4 года назад +3

    oya uyu jamaa ameongea point ata wasani hadi wakue wengine ndio watafika level za international konki master ashaongea sana kuhusu ilo hakuna yeyote yuko level za international

  • @furahasalim5962
    @furahasalim5962 4 года назад +4

    nakipenda hichi kipindi mm

  • @beshuuambarali4960
    @beshuuambarali4960 3 года назад +2

    Salama Tuletee manGe kimambii yaani najikuta nampend BURE😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

  • @elyzahlizzy7674
    @elyzahlizzy7674 4 года назад +4

    I love gabo so much..🍎

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +4

    Lungembaaa hiyooo!!!!wazee wa matukio machifu hataree sana

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 4 года назад +2

    Kumbe ni mwarabu ALMAZRUI 🤔🤔

  • @POGtv-xp9ee
    @POGtv-xp9ee 4 года назад +2

    Daaaah my brother gabo anajibu maswal so nice one day Nita fanya kazi I believe and I know

  • @noxlosingida2369
    @noxlosingida2369 4 года назад +3

    Gabo nampendaga hasa ngozi yake ni Natural macho yake ndiyo ya nanivutiaga zaidi na huo urefu wake sasa 👌

    • @annemakaka210
      @annemakaka210 3 года назад +1

      Nami napenda kicheko, busara na hekima anapojibu maswali. Yaani yuajibu kiufundi kabisa. Kudos from 254

  • @frankngereza6373
    @frankngereza6373 4 года назад +2

    Kazi nzuri sana napenda kukufatilia toka zamani dada

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir6320 4 года назад +1

    Nmeipenda hiyo tafsiri ya punda

  • @samkiria450
    @samkiria450 4 года назад +4

    Jamaa akili nyingi Sana 🔥🙌

  • @charlesyapuka4992
    @charlesyapuka4992 3 года назад +1

    Kwani Da SALAMA BROTHER K usha mwita😀😀😀😀😂😂

  • @narcosmaoze9486
    @narcosmaoze9486 4 года назад +4

    YahStone Town ♥️♥️

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 года назад +2

    Namkubali sana Gabo , Intevie imetulia👏👏👏

  • @stevenmeless9734
    @stevenmeless9734 4 года назад +2

    We katarina karatu njoo ukuu

  • @zailulu7781
    @zailulu7781 4 года назад +2

    Salama mwite na wema please

  • @juniormushi8178
    @juniormushi8178 4 года назад +12

    Gabo ni mnyamwez xanaaa 🙌🙌🙌🔥🔥

  • @reyshard3770
    @reyshard3770 3 года назад +2

    Ur my favourite salama😍

  • @davidmwakisyala4486
    @davidmwakisyala4486 4 года назад +10

    Napenda sanaa kazi yako Dada angu ila me ningependa au kushauri kwamba uwe unafanya interview hata na watu ambao wana ndoto kubwa ila bado hawajapata nafasi ya kuonyesha vipaji vyao. Mfano mim nina kipaji kikubwa cha kuigiza natamani sanaa kufanyiwa interview na wwe please naomba mwaliko my contact 0783115951

    • @kisasarob751
      @kisasarob751 4 года назад

      Asa ndugu yang akuite ww umefanya nn ktk jamii au tuseme kaz gani kali uliofanya akufanye uitwe kipindi kama hicho hadi kina samak wamewwka hela hapo mzee...do something ambacho utafanywa uutwe

    • @hawa4968
      @hawa4968 3 года назад

      @@kisasarob751 mbona unamkatish tamaah

    • @eliasmbise4328
      @eliasmbise4328 Год назад

      🤣🤣🤣🤣

  • @Emmy22655
    @Emmy22655 4 года назад +2

    Love u so much form sauza Africa my salama .😘😘😘😘😘😘😘really I like u

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 4 года назад +2

    MHEHE kumdharau ufanye KAZI🙆🙆🙆kamwene be mwagito

  • @omarmaryam9889
    @omarmaryam9889 3 года назад +1

    Duh gabo hadi nakupenda yan unafurahish kwel

  • @misslovria
    @misslovria 4 года назад +2

    Jaman Gabo amenifanya nicheke mpaka basi love u so much GZ

  • @celestin4684
    @celestin4684 3 года назад +1

    Duuu Gabo mi nakukubali sana tangu zamani. Kwenye *Bado natafuta* Nakubali sana Sara kwa kumuita Gabo

  • @saidahj2543
    @saidahj2543 4 года назад +3

    My favourite actor...Mr Brown

  • @sarahfaith3074
    @sarahfaith3074 3 года назад +1

    😂😂😂😂😂hapo kwenye dharau aisee ata me simaindi hzi pigo

  • @pheninhojr5875
    @pheninhojr5875 4 года назад +3

    Tema Limeeleweka Lakin??

  • @mkiwamkiwa3570
    @mkiwamkiwa3570 4 года назад +1

    Nakkbari sn slm kitambo

  • @ramadhanimbegu2384
    @ramadhanimbegu2384 4 года назад +3

    Nice interview from nice guys

  • @youngtuso3048
    @youngtuso3048 4 года назад +5

    Sio muigizaji niliyemtazama Nilipokua mdogo kama SINGLE MTAMBALIKE.. JACOB STEPHEN AU NATASHAA MAMVI lakini Nimemjua kama Muigizaji Bora Katika Generation Yake... Namkubali Sana Gabo...!!! He is One Of The Best Actors in Tanzanian film...!!!

  • @johnmwita3297
    @johnmwita3297 4 года назад +2

    acjey am sorry naomba utuletee MinaAliy wa clauds

  • @kazunguthoya8800
    @kazunguthoya8800 2 года назад +1

    Watching it today although watched others before but this is my fav with my fav artist so far I enjoyed

  • @linusyusuph4583
    @linusyusuph4583 4 года назад +4

    Safi interview.... tuletee baba levo now

  • @richardmollel2032
    @richardmollel2032 3 года назад +1

    Gabo baba lao salama vipindi vyako navikubali sana iyani upo ameizing

  • @rashidinyakanyaka5992
    @rashidinyakanyaka5992 4 года назад +1

    Kpind kzur na nafuatilia kwa kuwa nakufuatilia salama kitambo sana kabla hata ya mkasi

  • @trumpetoflife7312
    @trumpetoflife7312 3 года назад +1

    Napenda sana akili yako....akili yako ina akili sana

  • @magicfighter5475
    @magicfighter5475 4 года назад +2

    Wooooh big up dada salama huyu brooh namkubali sanaa

  • @shanishosho911
    @shanishosho911 4 года назад +1

    Aamiin usinywe pombe kabisa

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 года назад +2

    Duhhh....Al Mazurui iko mpaka kwa wasukuma?

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 4 года назад

      Nadhani ni mwarabu baba mwarabu na mama mtanzania. Na ni wasukuma. Ndio sababu kabila lake ALMAZRUI

  • @mwljohnray1725
    @mwljohnray1725 3 года назад +1

    Nakielewa sana hichi kipindi,
    Naomba tuletee Mtitu G wa Game first Quality

  • @johnsonjohn2231
    @johnsonjohn2231 3 года назад +1

    Jamaa ni mtu fulani hivi real sana kanimalizia popcorn zangu za 15 elfu.

  • @maansaitoti3712
    @maansaitoti3712 4 года назад +3

    Nice show 🔥🔥🔥

  • @scripturetz1056
    @scripturetz1056 4 года назад +1

    From Tabora unyamwezini naichek show APA #madsoft

  • @makamefaki9513
    @makamefaki9513 4 года назад +1

    Kipindo kiko poa sn mung akujalie mafanio mazur pia gabo namkubali sn big shara kwake 👊

  • @fathumramadhan7567
    @fathumramadhan7567 3 года назад +1

    Mambo vp salama napenda sana vipi vyako na uko sawa one love watching you from Qatar Doha

  • @omar08othman27
    @omar08othman27 2 года назад

    mbona hatuioni interview ya Christian chuchu you tube

  • @therealmsopa
    @therealmsopa 4 года назад +2

    Aire Kama Hailesalasie 🔥🔥 Gabo Katisha

  • @vanpower9798
    @vanpower9798 3 года назад +1

    Gabo uko vzr 💪💪

  • @simonsweka7305
    @simonsweka7305 4 года назад +1

    Gabo zigamba(amefafanua)...kirfu chakee...au nzagamba...

  • @johnobadia5215
    @johnobadia5215 3 года назад

    Mzeee move ya bado natafuta mbona inapotea

  • @faswilatniyonkuru3861
    @faswilatniyonkuru3861 4 года назад +1

    Dash my favorite actress Gabo zigamba

  • @khalidbalala7753
    @khalidbalala7753 3 года назад

    Saii ndio napata picha kumbe serekali ndio chanzo cha kumfilisi mtu...ndio kama kwa Diamond saii wasafi kufungiwa 6 months!!!??

  • @marcojay7066
    @marcojay7066 3 года назад

    Fanya siku moja umlete nabii mswahili

  • @rukiaomar3369
    @rukiaomar3369 2 года назад

    NAKUKUBALI GABO ZIGAMBWE SEMA NAOMBA KUJUA WW KABIRA GANI MAANA UNAONGEA KIMAKONDE ÀU MMAKONDE

  • @baruthdickson9463
    @baruthdickson9463 4 года назад +1

    Nakubali sana kazi zako

  • @salehsalmin1972
    @salehsalmin1972 4 года назад +1

    Big show big up my sister

  • @fayjaychriss9156
    @fayjaychriss9156 4 года назад +1

    Duhh
    Namkubali San uyo bro

  • @dianakalinga6420
    @dianakalinga6420 4 года назад +2

    Nimeipenda apo kwenye mjani 😂😂😂😂

  • @aliqueenirakoze6112
    @aliqueenirakoze6112 4 года назад +1

    Tunataka umuhoji madam sepetu

  • @ramlaamiri5601
    @ramlaamiri5601 Год назад

    Jamaa ongea yke dizain km billnenga hv

  • @MariamShaha-nj4bg
    @MariamShaha-nj4bg 5 месяцев назад

    Sister salama naomba umlete na hamisa

  • @mzeemakame3734
    @mzeemakame3734 4 года назад +1

    Mrithi wa kanumba Namkubali

  • @maryamhamad5158
    @maryamhamad5158 3 года назад

    Hatari sisemi kitu

  • @boscoamani3057
    @boscoamani3057 4 года назад +1

    Chege plz

  • @charlesmabena954
    @charlesmabena954 4 года назад +1

    Daaaaah Nampenda Sana Gabo Zigamba/ Salim ❤️❤️❤️❤️

  • @Emmy22655
    @Emmy22655 4 года назад +1

    Wooooooooowwww 9this man is so cut😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @aishafarahani3475
    @aishafarahani3475 3 года назад

    Gabon nakukubal mzee baba . Aunt tuletee madebe lidai anaetamba kuwa yy ndio kafufua tasnia ya filam ksa nabii mswahil .

  • @deograssymwavipa6887
    @deograssymwavipa6887 4 года назад +1

    Nakubari sana gabo

  • @husnazahoro7082
    @husnazahoro7082 4 года назад +1

    Salama nakupenda sana mm ni shabiki wako na Gabo ni msanii wangu

  • @mwajabumalekela4511
    @mwajabumalekela4511 3 года назад

    Nzuri saana!!! Ila natamani nipate jina la movie uliyokuwa na JB kwny kampuni ya usafi ...... jina tu jmn!!

  • @lizziesylivester3159
    @lizziesylivester3159 4 года назад +2

    Nakuelewa Zigamba👑

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 3 года назад

    Uyu bwana anafanana na Darassa

  • @innocenterneus5093
    @innocenterneus5093 4 года назад +1

    Bi mkubwa uko vizuri xn hongera

  • @paulmgoli4853
    @paulmgoli4853 4 года назад +1

    Ailes lasi man na mkushi kiane kekede why Gwataman 😂

  • @elizajuma5616
    @elizajuma5616 4 года назад +6

    It was an Amazing interview ever.... Gabo your the best indeed