Salama Na Gabo Ep 25 | MTOGAPAAFWE Part 2
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2024
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
Audiomack Link bit.ly/YahSton...
RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
Jina halisi ni Salim Ahmed Issa, na kwa mujibu wa niloyasoma ni mjukuu wa moja ya watu maarufu mkoani Iringa ambaye alikua anatambulika kama Mtogapaafwe Kiyeyeu. Huyo alikua ni BABU wa Gabo Zigamba kabisaa ambaye binti yake Rafia Issa Kiyeyeu ndo Mama mzazi wa Gabo huyu tunayemfahamu mimi na wewe. Unaambiwa kaburi la Marehemu Mzee Mtogapaafwe lilikua na maajabu sana, ila hiyo ni khadithi ya siku nyengine. Hapa ilikua juu ya utambulisho wetu kwake na sifa zake actor hodari toka kwetu Tanzania.
Gabo si moja ya marafiki zangu ila baada ya kuonana hapa ndo urafiki wetu ulipoanzia baada ya kujua pia tunafanana kwa mambo mengi kwa kweli. Gabo ni MTENDAJI, kuongea anaongea pale anapokua huru na mazingira ila mara nyingi huwa hasemi sana bali anatenda zaidi. Toka nimemsikia mara ya kwanza mwaka 2016, kijana huyu amekua akishinda tuzo mbali mbali na kutengeneza base yake vizuri kabisa. Na ukimuuliza mtu yoyote anayefuatilia mambo ya filamu kuhusu yeye basi hakika utaskia kipaji chake kikizungumziwa pia. Tuzo mbali mbali Gabo ameziokota sana na mpaka kuna kipindi ilikua inasemekana kwamba yeye ndo ‘mrithi’ wa Marehemu Steven Kanumba kitu ambacho kinaweza ikawa motivation au viatu vikubwa sana kwa miguu yake. Swali ni je, anajua watu wanamuona huko?
Kwenye kikao chetu zaidi mimi nilitaka kumfahamu haswa, kumfahamu yeye binafsi na familia yake, nilitaka kufahamu kinachompa raha na karaha. Nilitaka kujua alianzia wapi, nilitaka kujua starehe yake, mipango yake, mitihani yake. Nilitaka kujua kuhusu jina lake, kuhusu kipaji chake, kuhusu dini na mahusiano. Kuhusu industry na ushindani wa ndani na nje na Sanaa kwa ujumla. Na nashkuru alinipa time yake na yangu matumaini humu utapata chochote kitu cha kukufunza jambo. Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Nani Amegundua Gabo Anaongea Kiswahili Cha Peke Yake 😁😁😁
👍
Salama ongeraaa sana umebarikiwa na Salim pia amebarikiwa ongeren sana inshaallah
🍁Napenda sana watu ambao wako "real" he is genius.... kaka Gabo shikamoo 🙏🙏🙏 nikisema nichague "interview" zangu 5 za hiki kipindi kwenye 5 bora yangu upo #Gabo na pengine kwenye top 3 yangu ukaingia. Nimependa sana ubunifu wako na uthubutu. Sikufikiria jina lako lilitoka na hayo maelezo aiseeh na limekukaa sana. #Mr_Gabon 🔥🔥🍁
amin amin nawaambiaeni gabo ndo RAISI WA TASNIA YA FILAMU TANZANIA nakupenda ZIGAMBA KWA AJILI YA ALLAH
Salama leo umecheka saaana😍...kn watu hawachoshi kusikiliza jamani Gabo mmoja wapo....tunaendelea kujifunza!!
Imekua fupi yaan
Salama please rudia interview na gabo haja maliza, it seems bdo ana mengi sana
Ila Salama anacheka vizuri... Maaan when she smiles it's like she opens a new World😩❤. I love you Salama Allah akuweke 🙏
U feel the same I do Yaan,, nami nasmile akichek,, Ani ht haiko n noises
KATIKA INTVYUU KIBOKO SALAMA HII 2020 IMEUWA TURUDISHIE TENA GABO KWENYE INTAVYUU HUYU MTU MTAMU KWELI HUCHOKI KUMSKILIZA😅😅😅😅
11.04..mzungu:what's your plan
Gabo:this skin no plann😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂my all time favorite actor
Hahaha
A. Alaykum warahmatullah wabarakat mambo vp salama nimependa sana mazungumzo we na Gabo nime ijoy na kucheka
Naomba kaka Gabo arudi Tena jamani mbona bado hajamalizaaa.. "kazi nzuri"
Kaka Gabon uko vizuri nakukubali sana Zigamba unajuwa wemkali kama nawewe wakumbali gonga like yako apo chini😜😍😘🎥😍
Interview ya pili kuielewa sana ya ki-genius sana Baada ya ile ya Jokate Mwegelo ni hii ya zigamba zigambani 🔥🙌
This skin does no plan 🤣🤣🤣🤣🤣 gabo kumbe uko very fanny nimekupenda bure ❤
Pleas hii interview irudiwe..Gabo still have a lot of things to say
Kuna watu huchoki kuwasikiliza wakiongea, Gabo kwangu ni namba moja. Love u Salama Allah barik
Banaaah umeona this my second time to watch this interview
Nimecheka mpaka machozi yana nitoka dah, huyu Gwalu noma 😂😂😂😂
Mashallah nimeipenda stori hiiiya Gabozigamba wapo wengi hiii imo kwenye hesabu yangu mashallah
MashAllah Gabo mungu azid kukuongoza ila hiyo story ya kaka yako daah imeniumiza sana
Interview tamuuuuuuuuuuuuu sanaaaaa🥰
Salama na #Gabo#Darassa zinaingia kwenye top 5 yangu
Kabisaaa, ya Darasa ilikuwa noma sanaa, akifuatia Jide
Tunamtaka rammy galess msomaliii salama tusaidie huyo mtuuu maana wengine sio fans wa miziki Ila bongo movie tumo kwahio wainjoy saaana tukiwapata watu kma hawa
Kuna baadhi ya watu huwa wanateka kipindi gabo your the one.
namkubali sana huyu mchizi gabo zigamba nimefurahi alivyosema ukweli kua anakula kitu cha jamaica
Hahaha huyu mwamba kweli noma aisee,,eti wazee mnanijadili?,😂😂
Interview nzuri sana
The best interview 2020..Gabo ur going to be my role modol...kip it up
Thenks my sister salama.tumeku miss Sana kwavipindi vyako uku Australia Halah.mungu akuzidishie
Japo kuwa utaishi miaka mingi ujuwe huto ishi miaka yote
Mambo ya albadil hayanaga utani..... Ndo maana hata ukitaka kufanya hivyo unaambiwa ufikirie mara mbili mbili maana ikienda Imeenda kurudi haiwezi 🙌🏽
Interview flani hivi imesimama sana
big up yahStone Town salama unafanya poa sana
Gabo welcome to +254
Gabo vs salam more ipticiate
Why did I have to watch this in 2022?
Big up gabo nakukubali 100% let them say
Jamani sikufaham kasema nini hapo kuhusu halibadili? 🤔
Salamaaa I wishi umrudieee makochalii aiseeeee anavituuu vingiii sana vya kujifunzaaaaa
Ww wa moto sn
Waoooo
I like this conversation
Namkubali sana jamaa
💯✅
Haaaaaaaah
naiona bongo move itarud jomon gabu fanya mambo tuekee ata you tubu kaz zako sisi mashabiki zako tupo 😍😍
Nakukubali xana Gabooo
Nimefurah sn na kipnd nime enjoy
Dah! Salama rudia na huyu fundi plz.... nimeenjoy mnooo
Salama msosi unapoa wallah😋
Nimefulahi intaviwee
Daaah mbn imekuwa fupi sanaa madam salama
GABO ZIGAMBA NA SALAMA mmejua kunifurahisha
Can i get linked to gabo plz...
Ihv amazing script 4him
SALAMA AKITUA #DIAMOND PLATNUMZ itanoga sanaaa
The words anatumia dis man👌
Kaka allah akufikishe kwenye malengo yako yote ya kher in shaa allah unajua sana
Big up saaana Gabo. Aisee wewe ni pande la raia. Binafsi nakukubali from +254
Gabo uko vzr shikamooo🙄🙄🙄🙄🙄
Namkubali sana gabo
Eti unakuw mkenya ghafla 🤣😂🤣😂🤣
......the BEST INTERVIEW EVER.....THIS GUY IS GENIUS AND IT SEEMS LIKE HE DIDN'T FINISH , HE HAS A LOT TO TALK ABOUT...... PLEASE SALAMA , WE NEED ANOTHER ONE 🙏🙏🙏🙏
What a fine show✍
Salim maashàallah
Sauti kama Nenga hivi mwana namkubali sana na wish one day ntafanya nae kazi
😂😂😂😂😂😂 Gabo Bana wallahy u the best
Eti kipingu umemkumbuka eeh mwalm wako wa English na michezo
Gabo big up same to you salama
Big up xaaan gabo nakukubalii xaaan🔥🔥🔥🙏🙏
Nakupenda gabo wangu na salama wangu😍
Haha watu wa mpepe utawajua tu....
Love u salama💓💖
Gabo is gud
Salama tunamtaka king Kiba pls
Nimekubali sana ...salute kwako salama na gabo
Kwenye utamu Zaid ndo kumeisha jaman
The show is GUD
Intaviyuu fupi sanaaa wallah
Salama imenoga shoo imenoga
Umetubania show imekua fupi sana
Jamani mbona imekuwa fupi
rafiki wa king na Samatta
Yuko real sana gabo
Duuuu this is smart interview
Bravo Gabo Ur a gud speaker.
Mm nampenda saana da salama jaman alivyo tuuuuu yakupasa umpendee ntamchukia mwanaume atakae mkera kma ameolewa lakn kma bado mungu akupe mmee mwenye fikraa kma za gabo kwa mwanamkee
Mm namkubali saaana gabo
Kipindi kiko pouwa
Dada salama na gabo mmetisha sana
Gabo zigamba ✊
Gabo 100%
Wallahy huyu jaama yani unacheka kma chizi ukimsikia uko sawa
Gabo kama Pusha
Salamaaaaa
Good show
Gabon
Gabo love u
Jamani gabo niowe wa pili bc
🤣🤣🤣🤣...wanaume km hawa wapo wachache😍
Sanaaa 💞💞
Nami watatu 😀
Hahahaaa
Salama uweunaleta watu kama hawa sio wakina ladyjadee wananyodo kila kitu siwezi ongelea.
Kwer kabisa
Gabo umetisha big up brooo
😂😂😂😂