Salama Na Gabo Ep 25 | MTOGAPAAFWE Part 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahSton...
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GoogleP...
    Audiomack Link bit.ly/YahSton...
    ‪RUclips Link bit.ly/RUclipsS...
    Jina halisi ni Salim Ahmed Issa, na kwa mujibu wa niloyasoma ni mjukuu wa moja ya watu maarufu mkoani Iringa ambaye alikua anatambulika kama Mtogapaafwe Kiyeyeu. Huyo alikua ni BABU wa Gabo Zigamba kabisaa ambaye binti yake Rafia Issa Kiyeyeu ndo Mama mzazi wa Gabo huyu tunayemfahamu mimi na wewe. Unaambiwa kaburi la Marehemu Mzee Mtogapaafwe lilikua na maajabu sana, ila hiyo ni khadithi ya siku nyengine. Hapa ilikua juu ya utambulisho wetu kwake na sifa zake actor hodari toka kwetu Tanzania.
    Gabo si moja ya marafiki zangu ila baada ya kuonana hapa ndo urafiki wetu ulipoanzia baada ya kujua pia tunafanana kwa mambo mengi kwa kweli. Gabo ni MTENDAJI, kuongea anaongea pale anapokua huru na mazingira ila mara nyingi huwa hasemi sana bali anatenda zaidi. Toka nimemsikia mara ya kwanza mwaka 2016, kijana huyu amekua akishinda tuzo mbali mbali na kutengeneza base yake vizuri kabisa. Na ukimuuliza mtu yoyote anayefuatilia mambo ya filamu kuhusu yeye basi hakika utaskia kipaji chake kikizungumziwa pia. Tuzo mbali mbali Gabo ameziokota sana na mpaka kuna kipindi ilikua inasemekana kwamba yeye ndo ‘mrithi’ wa Marehemu Steven Kanumba kitu ambacho kinaweza ikawa motivation au viatu vikubwa sana kwa miguu yake. Swali ni je, anajua watu wanamuona huko?
    Kwenye kikao chetu zaidi mimi nilitaka kumfahamu haswa, kumfahamu yeye binafsi na familia yake, nilitaka kufahamu kinachompa raha na karaha. Nilitaka kujua alianzia wapi, nilitaka kujua starehe yake, mipango yake, mitihani yake. Nilitaka kujua kuhusu jina lake, kuhusu kipaji chake, kuhusu dini na mahusiano. Kuhusu industry na ushindani wa ndani na nje na Sanaa kwa ujumla. Na nashkuru alinipa time yake na yangu matumaini humu utapata chochote kitu cha kukufunza jambo. Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown

Комментарии • 111

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 4 года назад +29

    Nani Amegundua Gabo Anaongea Kiswahili Cha Peke Yake 😁😁😁

    • @MctMct-tt4rq
      @MctMct-tt4rq 4 года назад +2

      👍

    • @salamasaid6905
      @salamasaid6905 3 года назад +1

      Salama ongeraaa sana umebarikiwa na Salim pia amebarikiwa ongeren sana inshaallah

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz 4 года назад +22

    🍁Napenda sana watu ambao wako "real" he is genius.... kaka Gabo shikamoo 🙏🙏🙏 nikisema nichague "interview" zangu 5 za hiki kipindi kwenye 5 bora yangu upo #Gabo na pengine kwenye top 3 yangu ukaingia. Nimependa sana ubunifu wako na uthubutu. Sikufikiria jina lako lilitoka na hayo maelezo aiseeh na limekukaa sana. #Mr_Gabon 🔥🔥🍁

  • @dysamarcus8462
    @dysamarcus8462 4 года назад +10

    amin amin nawaambiaeni gabo ndo RAISI WA TASNIA YA FILAMU TANZANIA nakupenda ZIGAMBA KWA AJILI YA ALLAH

  • @bahajajuma5947
    @bahajajuma5947 4 года назад +13

    Salama leo umecheka saaana😍...kn watu hawachoshi kusikiliza jamani Gabo mmoja wapo....tunaendelea kujifunza!!

  • @allykaranja4398
    @allykaranja4398 4 года назад +9

    Salama please rudia interview na gabo haja maliza, it seems bdo ana mengi sana

  • @samkiria450
    @samkiria450 4 года назад +22

    Ila Salama anacheka vizuri... Maaan when she smiles it's like she opens a new World😩❤. I love you Salama Allah akuweke 🙏

    • @annedavienyamhanga4738
      @annedavienyamhanga4738 4 года назад

      U feel the same I do Yaan,, nami nasmile akichek,, Ani ht haiko n noises

  • @MctMct-tt4rq
    @MctMct-tt4rq 4 года назад +6

    KATIKA INTVYUU KIBOKO SALAMA HII 2020 IMEUWA TURUDISHIE TENA GABO KWENYE INTAVYUU HUYU MTU MTAMU KWELI HUCHOKI KUMSKILIZA😅😅😅😅

  • @iky183
    @iky183 4 года назад +9

    11.04..mzungu:what's your plan
    Gabo:this skin no plann😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂my all time favorite actor

  • @fathumramadhan7567
    @fathumramadhan7567 3 года назад +2

    A. Alaykum warahmatullah wabarakat mambo vp salama nimependa sana mazungumzo we na Gabo nime ijoy na kucheka

  • @officialvassa9023
    @officialvassa9023 4 года назад +7

    Naomba kaka Gabo arudi Tena jamani mbona bado hajamalizaaa.. "kazi nzuri"

  • @mwajumalubunga1534
    @mwajumalubunga1534 3 года назад +2

    Kaka Gabon uko vizuri nakukubali sana Zigamba unajuwa wemkali kama nawewe wakumbali gonga like yako apo chini😜😍😘🎥😍

  • @samkiria450
    @samkiria450 4 года назад +6

    Interview ya pili kuielewa sana ya ki-genius sana Baada ya ile ya Jokate Mwegelo ni hii ya zigamba zigambani 🔥🙌

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 года назад +4

    This skin does no plan 🤣🤣🤣🤣🤣 gabo kumbe uko very fanny nimekupenda bure ❤

  • @firdausyalhaji5569
    @firdausyalhaji5569 3 года назад +2

    Pleas hii interview irudiwe..Gabo still have a lot of things to say

  • @baiduhawa565
    @baiduhawa565 4 года назад +5

    Kuna watu huchoki kuwasikiliza wakiongea, Gabo kwangu ni namba moja. Love u Salama Allah barik

    • @omarabdallah372
      @omarabdallah372 Год назад

      Banaaah umeona this my second time to watch this interview

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 4 года назад +3

    Nimecheka mpaka machozi yana nitoka dah, huyu Gwalu noma 😂😂😂😂

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 4 года назад +2

    Mashallah nimeipenda stori hiiiya Gabozigamba wapo wengi hiii imo kwenye hesabu yangu mashallah

  • @ashasiaga3197
    @ashasiaga3197 4 года назад +3

    MashAllah Gabo mungu azid kukuongoza ila hiyo story ya kaka yako daah imeniumiza sana

  • @sherrysalim50
    @sherrysalim50 4 года назад +6

    Interview tamuuuuuuuuuuuuu sanaaaaa🥰

  • @josephmeratah9230
    @josephmeratah9230 4 года назад +4

    Salama na #Gabo#Darassa zinaingia kwenye top 5 yangu

    • @kijangapeter5135
      @kijangapeter5135 4 года назад

      Kabisaaa, ya Darasa ilikuwa noma sanaa, akifuatia Jide

  • @bizimanasaid7678
    @bizimanasaid7678 4 года назад +3

    Tunamtaka rammy galess msomaliii salama tusaidie huyo mtuuu maana wengine sio fans wa miziki Ila bongo movie tumo kwahio wainjoy saaana tukiwapata watu kma hawa

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 4 года назад +3

    Kuna baadhi ya watu huwa wanateka kipindi gabo your the one.

  • @babayoria9181
    @babayoria9181 4 года назад +2

    namkubali sana huyu mchizi gabo zigamba nimefurahi alivyosema ukweli kua anakula kitu cha jamaica

  • @kijangapeter5135
    @kijangapeter5135 4 года назад +3

    Hahaha huyu mwamba kweli noma aisee,,eti wazee mnanijadili?,😂😂

  • @wildatmsellem7531
    @wildatmsellem7531 4 года назад +3

    Interview nzuri sana

  • @jitupatel2192
    @jitupatel2192 4 года назад +3

    The best interview 2020..Gabo ur going to be my role modol...kip it up

  • @onzeekankuli7621
    @onzeekankuli7621 4 года назад +1

    Thenks my sister salama.tumeku miss Sana kwavipindi vyako uku Australia Halah.mungu akuzidishie

  • @abdulfirst_pilot
    @abdulfirst_pilot 3 года назад

    Japo kuwa utaishi miaka mingi ujuwe huto ishi miaka yote

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 4 года назад +1

    Mambo ya albadil hayanaga utani..... Ndo maana hata ukitaka kufanya hivyo unaambiwa ufikirie mara mbili mbili maana ikienda Imeenda kurudi haiwezi 🙌🏽

  • @andrewjulius2306
    @andrewjulius2306 Год назад

    Interview flani hivi imesimama sana

  • @babayoria9181
    @babayoria9181 4 года назад +2

    big up yahStone Town salama unafanya poa sana

  • @edwinmbugua7738
    @edwinmbugua7738 4 года назад +2

    Gabo welcome to +254

  • @robytechnicalservise
    @robytechnicalservise 3 года назад

    Gabo vs salam more ipticiate

  • @husseinwemmar6217
    @husseinwemmar6217 2 года назад

    Why did I have to watch this in 2022?

  • @anisayahya5018
    @anisayahya5018 4 года назад +2

    Big up gabo nakukubali 100% let them say

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 4 года назад +1

    Jamani sikufaham kasema nini hapo kuhusu halibadili? 🤔

  • @miminaafya3585
    @miminaafya3585 4 года назад +1

    Salamaaa I wishi umrudieee makochalii aiseeeee anavituuu vingiii sana vya kujifunzaaaaa

  • @FridaySelemani
    @FridaySelemani 11 месяцев назад

    Ww wa moto sn

  • @farhatseif3041
    @farhatseif3041 4 года назад +3

    Waoooo
    I like this conversation

  • @didahbebe3866
    @didahbebe3866 2 года назад

    Namkubali sana jamaa

  • @naheyaadam9191
    @naheyaadam9191 4 года назад +2

    💯✅

  • @pendomasawe5477
    @pendomasawe5477 4 года назад +1

    Haaaaaaaah

  • @shadyamuksin5043
    @shadyamuksin5043 4 года назад

    naiona bongo move itarud jomon gabu fanya mambo tuekee ata you tubu kaz zako sisi mashabiki zako tupo 😍😍

  • @rajabuchimbwahi9535
    @rajabuchimbwahi9535 3 года назад

    Nakukubali xana Gabooo

  • @queenwesthilson6009
    @queenwesthilson6009 4 года назад +1

    Nimefurah sn na kipnd nime enjoy

  • @innocentsimika1937
    @innocentsimika1937 3 года назад

    Dah! Salama rudia na huyu fundi plz.... nimeenjoy mnooo

  • @dottnatt7110
    @dottnatt7110 4 года назад +1

    Salama msosi unapoa wallah😋

  • @yustinageorge1771
    @yustinageorge1771 4 года назад +1

    Nimefulahi intaviwee

  • @juniormushi8178
    @juniormushi8178 4 года назад +1

    Daaah mbn imekuwa fupi sanaa madam salama

  • @dysamarcus8462
    @dysamarcus8462 4 года назад

    GABO ZIGAMBA NA SALAMA mmejua kunifurahisha

  • @baslomsalim6604
    @baslomsalim6604 3 года назад

    Can i get linked to gabo plz...
    Ihv amazing script 4him

  • @mshingaboy
    @mshingaboy 4 года назад

    SALAMA AKITUA #DIAMOND PLATNUMZ itanoga sanaaa

  • @khaykaw
    @khaykaw 4 года назад +1

    The words anatumia dis man👌

  • @akidambashiri7578
    @akidambashiri7578 3 года назад

    Kaka allah akufikishe kwenye malengo yako yote ya kher in shaa allah unajua sana

  • @annemakaka210
    @annemakaka210 3 года назад

    Big up saaana Gabo. Aisee wewe ni pande la raia. Binafsi nakukubali from +254

  • @pendondossy2158
    @pendondossy2158 4 года назад

    Gabo uko vzr shikamooo🙄🙄🙄🙄🙄

  • @allantmusic5988
    @allantmusic5988 4 года назад

    Namkubali sana gabo

  • @yassinkassim5241
    @yassinkassim5241 4 года назад

    Eti unakuw mkenya ghafla 🤣😂🤣😂🤣

  • @mohamedsalum3112
    @mohamedsalum3112 3 года назад

    ......the BEST INTERVIEW EVER.....THIS GUY IS GENIUS AND IT SEEMS LIKE HE DIDN'T FINISH , HE HAS A LOT TO TALK ABOUT...... PLEASE SALAMA , WE NEED ANOTHER ONE 🙏🙏🙏🙏

  • @nyakwesimusa1683
    @nyakwesimusa1683 4 года назад +1

    What a fine show✍

  • @knifensharper2725
    @knifensharper2725 4 года назад +1

    Salim maashàallah

  • @octoojay8261
    @octoojay8261 4 года назад

    Sauti kama Nenga hivi mwana namkubali sana na wish one day ntafanya nae kazi

  • @omarabdallah372
    @omarabdallah372 2 года назад

    😂😂😂😂😂😂 Gabo Bana wallahy u the best

  • @nathalieswedy3653
    @nathalieswedy3653 4 года назад

    Eti kipingu umemkumbuka eeh mwalm wako wa English na michezo

  • @naamanhaji4913
    @naamanhaji4913 4 года назад

    Gabo big up same to you salama

  • @mwananimezipendaasantxaana1516
    @mwananimezipendaasantxaana1516 3 года назад

    Big up xaaan gabo nakukubalii xaaan🔥🔥🔥🙏🙏

  • @lakimdiu2547
    @lakimdiu2547 4 года назад

    Nakupenda gabo wangu na salama wangu😍

  • @kisasarob751
    @kisasarob751 4 года назад

    Haha watu wa mpepe utawajua tu....

  • @rehemanguli5887
    @rehemanguli5887 4 года назад +1

    Love u salama💓💖

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 4 года назад

    Gabo is gud

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya8773 4 года назад

    Salama tunamtaka king Kiba pls

  • @hassannyangasa8687
    @hassannyangasa8687 4 года назад

    Nimekubali sana ...salute kwako salama na gabo

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 4 года назад

    Kwenye utamu Zaid ndo kumeisha jaman

  • @ibrahimkambi9288
    @ibrahimkambi9288 4 года назад +1

    The show is GUD

  • @nadhraabdulaziz9193
    @nadhraabdulaziz9193 3 года назад

    Intaviyuu fupi sanaaa wallah

  • @binfoumame7938
    @binfoumame7938 4 года назад

    Salama imenoga shoo imenoga

  • @Abu_Arshad23
    @Abu_Arshad23 4 года назад

    Umetubania show imekua fupi sana

  • @hafsamaulid1256
    @hafsamaulid1256 4 года назад

    Jamani mbona imekuwa fupi

  • @hamispeter9043
    @hamispeter9043 4 года назад

    rafiki wa king na Samatta

  • @mwasitiiddy7425
    @mwasitiiddy7425 4 года назад

    Yuko real sana gabo

  • @fatumahassan4476
    @fatumahassan4476 3 года назад

    Duuuu this is smart interview

  • @halemmmbarak16
    @halemmmbarak16 4 года назад

    Bravo Gabo Ur a gud speaker.

  • @bizimanasaid7678
    @bizimanasaid7678 4 года назад

    Mm nampenda saana da salama jaman alivyo tuuuuu yakupasa umpendee ntamchukia mwanaume atakae mkera kma ameolewa lakn kma bado mungu akupe mmee mwenye fikraa kma za gabo kwa mwanamkee

  • @sarahedward539
    @sarahedward539 4 года назад

    Kipindi kiko pouwa

  • @farhatseif3041
    @farhatseif3041 4 года назад

    Dada salama na gabo mmetisha sana

  • @amanimushi4052
    @amanimushi4052 4 года назад

    Gabo zigamba ✊

  • @lizziesylivester3159
    @lizziesylivester3159 4 года назад

    Gabo 100%

  • @babubabz4507
    @babubabz4507 4 года назад

    Wallahy huyu jaama yani unacheka kma chizi ukimsikia uko sawa

  • @abdallahomari9860
    @abdallahomari9860 4 года назад

    Gabo kama Pusha

  • @marymsemo3801
    @marymsemo3801 4 года назад

    Salamaaaaa

  • @rehemanguli5887
    @rehemanguli5887 4 года назад

    Good show

  • @mammyquetkiba9672
    @mammyquetkiba9672 4 года назад

    Gabon

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir6320 4 года назад

    Gabo love u

  • @fatmahussein3876
    @fatmahussein3876 4 года назад +1

    Jamani gabo niowe wa pili bc

  • @bellabakera
    @bellabakera 4 года назад +3

    Salama uweunaleta watu kama hawa sio wakina ladyjadee wananyodo kila kitu siwezi ongelea.

  • @annedavienyamhanga4738
    @annedavienyamhanga4738 4 года назад

    😂😂😂😂