Women Matters: Hii ndio sababu KUBWA kwanini NDOA zinakufa! *MUHIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • PART FOUR
    Nini kinachofanya ndoa zidumu? Au nini kinachofanya Ndoa zingine zivunjike? Dr. Chris Mauki wa UDSM, Dr Ellie Vd Waminian pamoja na Aunty Sadaka wanajadiliana na Lillian Mwasha kuhusu suala hilo.
    #WomenMatters

Комментарии • 105

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 5 лет назад +23

    Dr Ellie ni fireeeeeee........

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore 5 лет назад +29

    I like when Dr. Elli speak English

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 5 лет назад +8

    Yaani munanielimisha Sana mungu awabariki mno, pamoja Sana Wana SNS

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 5 лет назад +13

    Mko vizuri, mtaponya nyumba nyingi sana

  • @elpidiusmulokozi9258
    @elpidiusmulokozi9258 5 лет назад +11

    Brother Sky Ubarikiwe sana. (Dr.Elly, Dr.Chriss, na wengine wote elimu mliotoa ni gharama na Tunu Kubwa Mno.

  • @marthaallen1164
    @marthaallen1164 5 лет назад +34

    Jaman alieelewa kingereza na matamshii ya dr elly 😘😘😘😘 plus namna anavoelezeaa hapaa ni vichwaa tuuu !!
    Hapa ni hot 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 asanten kwa elimu nzurii 🌷👏👏👏👏
    Point taken ✍️

  • @arakazaarcade3692
    @arakazaarcade3692 5 лет назад +5

    Woow this man speak out English like 🥰🥰👌👌I understood A to Z Dr and i love this show anyone else here 🤷🏻‍♀️🤷🏻‍♀️💕

  • @loycephaida5884
    @loycephaida5884 5 лет назад +2

    Nampenda sana Dr Elly, nmebarikiwa na kipindi hiki

  • @maggiehazel2454
    @maggiehazel2454 5 лет назад +9

    🔥🔥🔥My all time class

  • @nafisakhalfani2010
    @nafisakhalfani2010 5 лет назад +3

    Very informative & enlightening session. Much respect & love 💖. Kindly host Dr. Ellie again.

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 5 лет назад +16

    Mapenzi sio kulalana, kulalana kuna nafasi ndogo sana ya kuimarisha ndoa watu wanatoka kulalana walimaliza wanagombana kwa sababu ndogo tu na kutupiana maneno makali na mmetoka kulalana muda si mrefu.

    • @aminafweke2810
      @aminafweke2810 2 месяца назад

      Kuna mtu atakuwa amemlazimisha mwingine. Huwezi kumaliza kula chakula kitamu ukawa na negative mind 😅😅😅

    • @bekalass463
      @bekalass463 27 дней назад

      Ndoa bila ya tendo haiwezi kusimama km Ndoa,kwakuwa kuliendea tendo inaitaji utayari wa hisia ili kulifanya tendo Hilo, utimamu huo Sasa unapopatikana ndipo Amani itatawala ndani, ila utimamu ukiwepo ila tendo halitendeki basi hata iyo Ndoa Dosari kubwa itaanza na kumaliza sio rahisi km tendo Hilo halitatendeka ipasavyo

  • @bigboyben6932
    @bigboyben6932 5 лет назад +2

    asante sana kwa idea kubwa ya kuanzisha this WOMAN MATTERS
    thing

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 5 лет назад +3

    Wow!! 😍👏🏾👏🏾👏🏾very true Maneno Matamu sana hayo thanks guys .

  • @nyarkamrumbeayoma6886
    @nyarkamrumbeayoma6886 5 лет назад +27

    Huyu Dr Elly ni hatari

  • @neemambwambo8339
    @neemambwambo8339 5 лет назад

    Nimeelewa sana.yaan leo wanawake mmekuwa wasikivu.sio kila mmoja kupaza saut.
    session nyingine mngetulia hivi tungeelewa saana.love you all DR.ELLIE UNAONGEA MAGUMU JAMAN

  • @munirsalman5910
    @munirsalman5910 2 года назад +1

    Yani ukifatilia uislam utakuja kujua kwamba mtume wetu Muhammad (sw)alisema kwamba mwanamke ni kitulizo sha mwanaume.karibu kwenye uislam

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta 2 года назад

      Sahihi kabisa dada Muniyr, yaani hata hawa watangazaji hapo kama wangeufuatilia uislam wangegunduwa kuwa hayo wanayozungumza yamefundishwa na kipenzi cha umma Mtume Muhammad s.a.w wangesilimu hawa. Ila kwa fikra zao ni eti sayansi ndo ipo hapo.
      I proud to be a Muslim.

  • @Lynn-yx1jw
    @Lynn-yx1jw 3 месяца назад

    This discussion is very insightful.
    Nashukuru sana nimesikiliza pia part of Manyara women Gala which is available on RUclips. Yamebeba elimu ya kutusaidia kustawi physically and mentally.
    Ni muhimu kutafakari na kufanyia kazi, one step at a time. Knowledge is power.
    Mimi ni mzawa wa Kilimanjaro na ninaishi London. Asanteni tena na Mungu azidi kubariki vipaji na kazi zenu.

  • @ashabrown1792
    @ashabrown1792 5 лет назад +14

    🔥 uyo mwana psychology namkubali sana

  • @lacksonomary9583
    @lacksonomary9583 5 лет назад +3

    dr elie ni 👍👍👍👍

  • @husnakh5136
    @husnakh5136 4 года назад +1

    Najifunza sana
    Ahsanteni....

  • @massawejohn
    @massawejohn 3 месяца назад +1

    Nimependa sana hiki kipindi

  • @leimondyhands
    @leimondyhands 5 лет назад +4

    Still a teenager but I've learned a lot...

  • @EmanuelMathias-v2p
    @EmanuelMathias-v2p 6 месяцев назад

    Nakumubali sana dr

  • @phina8058
    @phina8058 3 года назад

    Dr. Hiko kingerenza chako khaaa i like it

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 4 года назад +1

    Maashaa Allah kinatupa furaha kujua zaid

  • @banguha
    @banguha Год назад

    Dr Asante kwa kweli hili somo ndo nalisikiliza leo lkin wakat wa tendo la ndoa najihudumia mwenyewe sbbu raha ni yangu na yeye ana raha zake sipend ujinga 😂

  • @views-qk4fr
    @views-qk4fr 5 лет назад +11

    Mimi huwa nawaeleza wanawake kuwa ukishafanya ngono na mtu tayari umeshauza utu wako.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 5 лет назад +4

    Funguka zaidi Doctor..basata wenyewe wanapata somo hapo.

    • @luckydavid7475
      @luckydavid7475 5 лет назад +1

      Chidiomari. 😁😁😁😁😁😁😁 dah watu mmepinda, kwamba basata nao wanapata somo😋😋😋😜😜😜😜

  • @modestawilliam7964
    @modestawilliam7964 4 года назад

    Ubarikiwe sana

  • @hellenmrema8350
    @hellenmrema8350 5 лет назад

    Thank you for such an outstanding education!

  • @belindagiliard8977
    @belindagiliard8977 5 лет назад +9

    Jamani this time nitajihudumia mwanzo mwisho.
    Hii ndoa ijue Nina elimu yakutosha

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 2 года назад

    Kweli sana

  • @mwanaidiyousup8727
    @mwanaidiyousup8727 3 года назад

    Ahsant sana kwakwel najifunza ving

  • @mpundujeanine315
    @mpundujeanine315 5 лет назад

    That's interested thank you so much guys

  • @mnyopi
    @mnyopi 5 лет назад +1

    nimeipenda mpaka nimeishea kwa mke wangu

  • @mrsmisifa7908
    @mrsmisifa7908 5 лет назад +1

    nimeipenda sanaa

  • @monicasamba2557
    @monicasamba2557 Год назад

    Education for days

  • @ramadhanijuma7106
    @ramadhanijuma7106 5 лет назад +6

    Shangazi sadata, liliani, na doctor punguzeni kingereza sisi ni waswahili hatuwaelewi kabisa kuweni Kama Cris.

  • @upendomwalupogo462
    @upendomwalupogo462 5 лет назад +2

    Ni kweli kbxa xecx inatuliza hasira

  • @niwaelimsanga3182
    @niwaelimsanga3182 5 лет назад

    Ni kweli kabisa

  • @zainabukassim9924
    @zainabukassim9924 5 лет назад +2

    Braaavooo

  • @stevenngaitv7001
    @stevenngaitv7001 5 лет назад

    Kweli doctor Elly nimekuelewa

  • @solangesoso3100
    @solangesoso3100 7 месяцев назад

    Nimekifumza mno,natamani hiki kipindi kingeendelea taklibani kila mwezi 😢

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 5 лет назад +8

    nimeelewa sana mpaka siamini nilichokuwa nasikia na kuona.

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад

    Dr ellie🙌

  • @halimababu3256
    @halimababu3256 3 года назад +1

    I love this😍

  • @abdiyjaaz8180
    @abdiyjaaz8180 5 лет назад +4

    Mzee nimekuelewaaa

  • @lightnessraymos8420
    @lightnessraymos8420 5 лет назад +19

    Mtupangie kuanzia y kwanza hadi ya mwisho ,namaanish session ya kwanza tuonyeshwe 1,the same ya pili hivohivo

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 5 лет назад

      LIGHTNESS MVUNGI
      Ipokwenye description.. ingewekwa kwenye caption..👌👌👌

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 2 года назад

    Aloooh! Somo lirudiwe

  • @agneswanjiru3841
    @agneswanjiru3841 5 лет назад +1

    Nxt time.mtupangie. 1,2 iwe rahisi ku follow

  • @jenifatarimo3699
    @jenifatarimo3699 4 года назад

    Nimempenda dokt al bure

  • @dominickalume2891
    @dominickalume2891 5 лет назад +4

    #Womenmatters#$n$...Lilian Mwasha Unanimaliza na huo mdomo wako jamani😎

  • @estermgaya5816
    @estermgaya5816 5 лет назад +4

    Jamani jamani😭😭😭😭🙌kipindi kizuri mpk basi

  • @rizikisamwel9904
    @rizikisamwel9904 5 лет назад +2

    Doctor yaani hapo si coment sahihi

  • @princessgrace21
    @princessgrace21 5 лет назад +4

    Ivo vingereza vingi wengine mnatuacha nyuma

  • @jamilajamila9682
    @jamilajamila9682 5 лет назад

    Uff ni moto kabisa issue hii ya leo🤣🙈🤭

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 5 лет назад +2

    Kulia sawa😁😁🔥🔥🔥🔥👏👏👏

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 5 лет назад +6

    PATAMU HAPO😂😂😂😂
    3x😃😃

  • @abdallahrenatus6677
    @abdallahrenatus6677 5 лет назад +9

    Mtangazaji inaonekana Kuna magum ya kimapenzi kapitia.

    • @Ralianstyle154
      @Ralianstyle154 5 лет назад +1

      Hapana,yeye anawasemelea wanaopitia changamto...na anafanya ivo kuwapa challenge wageni ili wafunguke

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 5 лет назад +1

    kun sehem sijaelew,,,, sas mwanamke atajiudumiab mwenyew, docter naomb jib😅😅😳

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 4 года назад

    Makubwa hayo ujumbe mzuri

  • @hafidhikassim8675
    @hafidhikassim8675 3 года назад

    Uyu doctor kabarikiwa

  • @tawoostanzania9602
    @tawoostanzania9602 5 лет назад +1

    Hpo kwenye maziwa nimecheka sanaaaa ila lily umecheka snaa kiswahl 🤣🤣🤣

    • @تةامممن
      @تةامممن 2 года назад

      😂🤣🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣😂😆😆😆😆😆😁

  • @esterpaul795
    @esterpaul795 5 лет назад

    Dr.... Punguza kinge

  • @tawoostanzania9602
    @tawoostanzania9602 5 лет назад +2

    Dr ELLY n dawa asie kuelewa basi ni bonzo....

  • @danielsamson7885
    @danielsamson7885 3 года назад

    Host unakera sana, wape watu uhuru wa kujielezea, kila kitu unakuwa wa kwanza kucomment au urged. What was the reason yo invented the panelists. Jifunze kuwa msikilizaji na sio muongeaji zaid kuliko uliowaalika

  • @leahmnkeni7466
    @leahmnkeni7466 4 года назад

    Lili umenichekesha et inauma jamani msiongee haya maneno

  • @sialadymosha3355
    @sialadymosha3355 5 лет назад

    Jamani host wa kipindi usipandishie disk unatukata bwana hatupati in full

  • @nazmaabdullkarim8022
    @nazmaabdullkarim8022 5 лет назад

    Najifunza kitu

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 5 лет назад +3

    🔥🔥🔥🔥👏👏👏❤❤❤❤

  • @makaaya_3449
    @makaaya_3449 5 лет назад

    lili acha kimbelembele tulia mama

  • @catherinemseke8976
    @catherinemseke8976 3 года назад

    Dada Lilian Mambo! Tunapata contact zenu jamani?

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 5 лет назад

    😍💪

  • @jamesharrison1553
    @jamesharrison1553 5 лет назад +1

    Uwezi kukomoa shimo kwa kuchimba shimo!!!

  • @beckymsupuu7328
    @beckymsupuu7328 4 года назад

    Mafunzo mema

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @edwardmdee6100
    @edwardmdee6100 5 лет назад +2

    Upuuzi wa kuongea kingereza kwenye mada za kiswahili siupendi sana niushamba sana

    • @abelimasau905
      @abelimasau905 4 года назад

      Samahani dct VIP kwa mwanamke amba haitaji kuguswa kabisa au hataki kabisa kusikia kufanya tendo LA ndoa zaidi ya wiki mbili adi tatu na yupo kwenye ndoa

  • @noveehermany
    @noveehermany 5 лет назад

    ᴅʀ ᴇʟʏ' sʜɪɪɪᴅᴀ ᴍᴇɴ

  • @mukhtarjuma6871
    @mukhtarjuma6871 5 лет назад +1

    Wanaume selfish

    • @elineematarimo1076
      @elineematarimo1076 5 лет назад

      Isaya 30:20b... Na waalimu wako hawatafichwa tena, Bali macho yako yataona waalimu wako. Wakisema njia ni hii ifuateni..) Kipindi ni kizuri na mafundisho ni bombaaaaa.Wadau tunaomba Mpesa/Tigo pesa ya kutuma maji ya waalimu wakiwa studio.

    • @rinnahquillahthebossthesou5160
      @rinnahquillahthebossthesou5160 5 лет назад

      Safi dor shukran

    • @suzzynkohi7444
      @suzzynkohi7444 5 лет назад

      jamani