Women Matters: Hii ndio sababu KUBWA kwanini NDOA zinakufa! *MUHIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • PART FOUR
    Nini kinachofanya ndoa zidumu? Au nini kinachofanya Ndoa zingine zivunjike? Dr. Chris Mauki wa UDSM, Dr Ellie Vd Waminian pamoja na Aunty Sadaka wanajadiliana na Lillian Mwasha kuhusu suala hilo.
    #WomenMatters

Комментарии • 101

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 5 лет назад +23

    Dr Ellie ni fireeeeeee........

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore 5 лет назад +29

    I like when Dr. Elli speak English

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np 5 лет назад +13

    Mko vizuri, mtaponya nyumba nyingi sana

  • @marthaallen1164
    @marthaallen1164 5 лет назад +34

    Jaman alieelewa kingereza na matamshii ya dr elly 😘😘😘😘 plus namna anavoelezeaa hapaa ni vichwaa tuuu !!
    Hapa ni hot 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 asanten kwa elimu nzurii 🌷👏👏👏👏
    Point taken ✍️

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 5 лет назад +8

    Yaani munanielimisha Sana mungu awabariki mno, pamoja Sana Wana SNS

  • @elpidiusmulokozi9258
    @elpidiusmulokozi9258 5 лет назад +11

    Brother Sky Ubarikiwe sana. (Dr.Elly, Dr.Chriss, na wengine wote elimu mliotoa ni gharama na Tunu Kubwa Mno.

  • @kiazikitamu3985
    @kiazikitamu3985 5 лет назад +15

    Mapenzi sio kulalana, kulalana kuna nafasi ndogo sana ya kuimarisha ndoa watu wanatoka kulalana walimaliza wanagombana kwa sababu ndogo tu na kutupiana maneno makali na mmetoka kulalana muda si mrefu.

  • @arakazaarcade3692
    @arakazaarcade3692 5 лет назад +5

    Woow this man speak out English like 🥰🥰👌👌I understood A to Z Dr and i love this show anyone else here 🤷🏻‍♀️🤷🏻‍♀️💕

  • @nyarkamrumbeayoma6886
    @nyarkamrumbeayoma6886 5 лет назад +26

    Huyu Dr Elly ni hatari

  • @nafisakhalfani2010
    @nafisakhalfani2010 4 года назад +3

    Very informative & enlightening session. Much respect & love 💖. Kindly host Dr. Ellie again.

  • @loycephaida5884
    @loycephaida5884 5 лет назад +2

    Nampenda sana Dr Elly, nmebarikiwa na kipindi hiki

  • @bigboyben6932
    @bigboyben6932 5 лет назад +2

    asante sana kwa idea kubwa ya kuanzisha this WOMAN MATTERS
    thing

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 5 лет назад +3

    Wow!! 😍👏🏾👏🏾👏🏾very true Maneno Matamu sana hayo thanks guys .

  • @neemambwambo8339
    @neemambwambo8339 4 года назад

    Nimeelewa sana.yaan leo wanawake mmekuwa wasikivu.sio kila mmoja kupaza saut.
    session nyingine mngetulia hivi tungeelewa saana.love you all DR.ELLIE UNAONGEA MAGUMU JAMAN

  • @ashabrown1792
    @ashabrown1792 5 лет назад +14

    🔥 uyo mwana psychology namkubali sana

  • @lacksonomary9583
    @lacksonomary9583 5 лет назад +3

    dr elie ni 👍👍👍👍

  • @husnakh5136
    @husnakh5136 3 года назад +1

    Najifunza sana
    Ahsanteni....

  • @EmanuelMathias-v2p
    @EmanuelMathias-v2p 2 месяца назад

    Nakumubali sana dr

  • @views-qk4fr
    @views-qk4fr 5 лет назад +11

    Mimi huwa nawaeleza wanawake kuwa ukishafanya ngono na mtu tayari umeshauza utu wako.

  • @maggiehazel2454
    @maggiehazel2454 5 лет назад +9

    🔥🔥🔥My all time class

  • @lightnessraymos8420
    @lightnessraymos8420 5 лет назад +18

    Mtupangie kuanzia y kwanza hadi ya mwisho ,namaanish session ya kwanza tuonyeshwe 1,the same ya pili hivohivo

    • @RamazaniMulongeca
      @RamazaniMulongeca 5 лет назад

      LIGHTNESS MVUNGI
      Ipokwenye description.. ingewekwa kwenye caption..👌👌👌

  • @munirsalman5910
    @munirsalman5910 Год назад +1

    Yani ukifatilia uislam utakuja kujua kwamba mtume wetu Muhammad (sw)alisema kwamba mwanamke ni kitulizo sha mwanaume.karibu kwenye uislam

    • @Maalim_Samatta
      @Maalim_Samatta Год назад

      Sahihi kabisa dada Muniyr, yaani hata hawa watangazaji hapo kama wangeufuatilia uislam wangegunduwa kuwa hayo wanayozungumza yamefundishwa na kipenzi cha umma Mtume Muhammad s.a.w wangesilimu hawa. Ila kwa fikra zao ni eti sayansi ndo ipo hapo.
      I proud to be a Muslim.

  • @leimondyhands
    @leimondyhands 5 лет назад +4

    Still a teenager but I've learned a lot...

  • @modestawilliam7964
    @modestawilliam7964 3 года назад

    Ubarikiwe sana

  • @azzaalmaamry5817
    @azzaalmaamry5817 4 года назад +1

    Maashaa Allah kinatupa furaha kujua zaid

  • @belindagiliard8977
    @belindagiliard8977 5 лет назад +10

    Jamani this time nitajihudumia mwanzo mwisho.
    Hii ndoa ijue Nina elimu yakutosha

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 2 года назад

    Kweli sana

  • @hellenmrema8350
    @hellenmrema8350 5 лет назад

    Thank you for such an outstanding education!

  • @monicasamba2557
    @monicasamba2557 Год назад

    Education for days

  • @ramadhanijuma7106
    @ramadhanijuma7106 5 лет назад +6

    Shangazi sadata, liliani, na doctor punguzeni kingereza sisi ni waswahili hatuwaelewi kabisa kuweni Kama Cris.

  • @mpundujeanine315
    @mpundujeanine315 5 лет назад

    That's interested thank you so much guys

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 5 лет назад +4

    Funguka zaidi Doctor..basata wenyewe wanapata somo hapo.

    • @luckydavid7475
      @luckydavid7475 5 лет назад +1

      Chidiomari. 😁😁😁😁😁😁😁 dah watu mmepinda, kwamba basata nao wanapata somo😋😋😋😜😜😜😜

  • @phina8058
    @phina8058 3 года назад

    Dr. Hiko kingerenza chako khaaa i like it

  • @banguha
    @banguha Год назад

    Dr Asante kwa kweli hili somo ndo nalisikiliza leo lkin wakat wa tendo la ndoa najihudumia mwenyewe sbbu raha ni yangu na yeye ana raha zake sipend ujinga 😂

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 5 лет назад +8

    nimeelewa sana mpaka siamini nilichokuwa nasikia na kuona.

  • @mwanaidiyousup8727
    @mwanaidiyousup8727 3 года назад

    Ahsant sana kwakwel najifunza ving

  • @niwaelimsanga3182
    @niwaelimsanga3182 5 лет назад

    Ni kweli kabisa

  • @upendomwalupogo462
    @upendomwalupogo462 5 лет назад +2

    Ni kweli kbxa xecx inatuliza hasira

  • @mnyopi
    @mnyopi 5 лет назад +1

    nimeipenda mpaka nimeishea kwa mke wangu

  • @mrsmisifa7908
    @mrsmisifa7908 5 лет назад +1

    nimeipenda sanaa

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 Год назад

    Aloooh! Somo lirudiwe

  • @abdallahrenatus6677
    @abdallahrenatus6677 5 лет назад +9

    Mtangazaji inaonekana Kuna magum ya kimapenzi kapitia.

    • @smavilifestyle2471
      @smavilifestyle2471 5 лет назад +1

      Hapana,yeye anawasemelea wanaopitia changamto...na anafanya ivo kuwapa challenge wageni ili wafunguke

  • @stevenngaitv7001
    @stevenngaitv7001 5 лет назад

    Kweli doctor Elly nimekuelewa

  • @solangesoso3100
    @solangesoso3100 4 месяца назад

    Nimekifumza mno,natamani hiki kipindi kingeendelea taklibani kila mwezi 😢

  • @zainabukassim9924
    @zainabukassim9924 5 лет назад +2

    Braaavooo

  • @jenifatarimo3699
    @jenifatarimo3699 4 года назад

    Nimempenda dokt al bure

  • @agneswanjiru3841
    @agneswanjiru3841 5 лет назад +1

    Nxt time.mtupangie. 1,2 iwe rahisi ku follow

  • @princessgrace21
    @princessgrace21 5 лет назад +4

    Ivo vingereza vingi wengine mnatuacha nyuma

  • @estermgaya5816
    @estermgaya5816 5 лет назад +4

    Jamani jamani😭😭😭😭🙌kipindi kizuri mpk basi

  • @abdiyjaaz8180
    @abdiyjaaz8180 5 лет назад +4

    Mzee nimekuelewaaa

  • @rizikisamwel9904
    @rizikisamwel9904 5 лет назад +2

    Doctor yaani hapo si coment sahihi

  • @hafidhikassim8675
    @hafidhikassim8675 3 года назад

    Uyu doctor kabarikiwa

  • @dominickalume2891
    @dominickalume2891 5 лет назад +4

    #Womenmatters#$n$...Lilian Mwasha Unanimaliza na huo mdomo wako jamani😎

  • @OmanOman-gc1zu
    @OmanOman-gc1zu 5 лет назад +1

    kun sehem sijaelew,,,, sas mwanamke atajiudumiab mwenyew, docter naomb jib😅😅😳

  • @azzamahamdu7039
    @azzamahamdu7039 4 года назад

    Dr ellie🙌

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 4 года назад

    Makubwa hayo ujumbe mzuri

  • @catherinemseke8976
    @catherinemseke8976 3 года назад

    Dada Lilian Mambo! Tunapata contact zenu jamani?

  • @tawoostanzania9602
    @tawoostanzania9602 5 лет назад +2

    Dr ELLY n dawa asie kuelewa basi ni bonzo....

  • @danielsamson7885
    @danielsamson7885 3 года назад

    Host unakera sana, wape watu uhuru wa kujielezea, kila kitu unakuwa wa kwanza kucomment au urged. What was the reason yo invented the panelists. Jifunze kuwa msikilizaji na sio muongeaji zaid kuliko uliowaalika

  • @leahmnkeni7466
    @leahmnkeni7466 4 года назад

    Lili umenichekesha et inauma jamani msiongee haya maneno

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 5 лет назад +2

    Kulia sawa😁😁🔥🔥🔥🔥👏👏👏

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 5 лет назад +6

    PATAMU HAPO😂😂😂😂
    3x😃😃

  • @esterpaul795
    @esterpaul795 5 лет назад

    Dr.... Punguza kinge

  • @sialadymosha3355
    @sialadymosha3355 5 лет назад

    Jamani host wa kipindi usipandishie disk unatukata bwana hatupati in full

  • @nazmaabdullkarim8022
    @nazmaabdullkarim8022 4 года назад

    Najifunza kitu

  • @jamilajamila9682
    @jamilajamila9682 5 лет назад

    Uff ni moto kabisa issue hii ya leo🤣🙈🤭

  • @halimababu3256
    @halimababu3256 3 года назад +1

    I love this😍

  • @makaaya_3449
    @makaaya_3449 4 года назад

    lili acha kimbelembele tulia mama

  • @tawoostanzania9602
    @tawoostanzania9602 5 лет назад +1

    Hpo kwenye maziwa nimecheka sanaaaa ila lily umecheka snaa kiswahl 🤣🤣🤣

    • @تةامممن
      @تةامممن 2 года назад

      😂🤣🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣😂😆😆😆😆😆😁

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 5 лет назад

    😍💪

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @jamesharrison1553
    @jamesharrison1553 5 лет назад +1

    Uwezi kukomoa shimo kwa kuchimba shimo!!!

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 5 лет назад +3

    🔥🔥🔥🔥👏👏👏❤❤❤❤

  • @edwardmdee6100
    @edwardmdee6100 5 лет назад +2

    Upuuzi wa kuongea kingereza kwenye mada za kiswahili siupendi sana niushamba sana

    • @abelimasau905
      @abelimasau905 4 года назад

      Samahani dct VIP kwa mwanamke amba haitaji kuguswa kabisa au hataki kabisa kusikia kufanya tendo LA ndoa zaidi ya wiki mbili adi tatu na yupo kwenye ndoa

  • @beckymsupuu7328
    @beckymsupuu7328 4 года назад

    Mafunzo mema

  • @noveehermany
    @noveehermany 5 лет назад

    ᴅʀ ᴇʟʏ' sʜɪɪɪᴅᴀ ᴍᴇɴ

  • @mukhtarjuma6871
    @mukhtarjuma6871 5 лет назад +1

    Wanaume selfish

    • @elineematarimo1076
      @elineematarimo1076 5 лет назад

      Isaya 30:20b... Na waalimu wako hawatafichwa tena, Bali macho yako yataona waalimu wako. Wakisema njia ni hii ifuateni..) Kipindi ni kizuri na mafundisho ni bombaaaaa.Wadau tunaomba Mpesa/Tigo pesa ya kutuma maji ya waalimu wakiwa studio.

    • @rinnahquillahthebossthesou5160
      @rinnahquillahthebossthesou5160 5 лет назад

      Safi dor shukran

    • @suzzynkohi7444
      @suzzynkohi7444 4 года назад

      jamani