Makosa saba (7) ya kuepuka kwenye mahusiano yako

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Je umeshawahi kujiuliza kwanini mnagombana mara kwa mara na mpenzi wako? Yapo makosa ambayo mmoja wenu au wote mnayafanya bila kufahamu athari yake kwenye mahusiano yenu, Haya hapa makosa 7 ya kuepuka kwenye mahusiano yako
    #DrChrisMauki#Mahusiano#Makosa

Комментарии • 173

  • @EstherMgumila
    @EstherMgumila 10 месяцев назад +2

    Mungu akubariki sana najifunza mengi sana toka kwako

  • @citegetsealine5704
    @citegetsealine5704 3 года назад +4

    Nilejifunza mengi sana kupitiya mafunzo yako docta Chris Mauki Mungu akupe umri mrefu

  • @ziadaambanjaula8900
    @ziadaambanjaula8900 10 месяцев назад +1

    ❤ ahsant saaana Dr .kwa mafunzo yako mazur naendelea kujifunza kutoka kwako

  • @KelvinMusyani-w6x
    @KelvinMusyani-w6x 6 дней назад

    Barikiwa Sana mwalimu

  • @AlvicSnow
    @AlvicSnow 2 месяца назад

    Nafurahi sana ,maana Mungu amekuinua kwa ajili ya Darasa la Mahusiano kwa ajili yetu

  • @jellynesssemu9406
    @jellynesssemu9406 2 года назад +2

    Asante sana Dr. Kwa mafunzo mazur. Mwenyezi Mungu akubaliki 🙏🙏🙏

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 4 года назад +2

    Dr. Chris mauki anaongea point kwa kweli ubarikiwe

  • @namsifuwadeya497
    @namsifuwadeya497 Год назад

    Sahihi kabisa kaka Chris's,tena hili la kutokufurahia na kukwamishwa ktk mambo ya maendeleo ni kikwazo sana ba inakera sana

  • @lucypeter5321
    @lucypeter5321 2 года назад +1

    Nakukubali Sana doctor big up Sana kaka

  • @magrethrk3125
    @magrethrk3125 2 года назад +1

    Mwanafunzi wa channel hii.very educative

  • @hellenkombe8835
    @hellenkombe8835 4 года назад +2

    Asante kwa kuendelea kutufungua. Mungu akubariki

  • @levinavenance1200
    @levinavenance1200 3 месяца назад +1

    1.Kutaka kua wa Kwanzaa kwenye kila kitu
    2.tabia ya lawama
    3.kukana kua tatizo lipo
    4.kutafuta majibu kwingine na sio kwako
    5.usifocus kuangalia tatizo la mwenzio Bali angalia kwako unamchango gani kwenye Hilo tatizo
    6.si vitu vyote utasaidiwa kusolve na watu mzungumze nyie
    7.tabia ya kuweka kinyongo utataka kulipiza kisasi
    8.mpenzi mmoja kutokupenda maendeleo ya mwenzio
    9.maisha yasiyokua na jipya

  • @magrethdicson8577
    @magrethdicson8577 4 года назад +3

    Asante kwa kunifungua maana kuna mambo yamenigusa

  • @berthamassawe6207
    @berthamassawe6207 Год назад

    Asante sana dr umeponya maisha yang .nimejifunza mengi sana toka nimekujua.

  • @saumukaniki2244
    @saumukaniki2244 4 года назад +3

    Asante san kwa mafunzo mazuri

  • @nathanpius5997
    @nathanpius5997 Год назад

    I understand you are concept

  • @episawaki1281
    @episawaki1281 4 года назад +6

    Asante snaaa,unazidi kunibadilisha kila nikiona video zakooo🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @josephongeri4762
    @josephongeri4762 Год назад

    I like this charnel

  • @cyrilfrancis5326
    @cyrilfrancis5326 Год назад +1

    Blessed sana

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 2 года назад

    Asant sana Dr kwasomo nitarifanyia Kaz🙏🙏

  • @lilianraynertarimo9650
    @lilianraynertarimo9650 2 года назад

    Asante sana hakika tunafaidi madini yako

  • @evafrancis6382
    @evafrancis6382 4 года назад +2

    Aisee father unatarget mulemule🙏🙏❤❤

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 4 года назад +1

    Mungu akubarki

  • @emmanueljacob1301
    @emmanueljacob1301 3 года назад

    SoMo zuri mwalim

  • @viviankaaya7630
    @viviankaaya7630 3 года назад +1

    God bless you

  • @janethaule4281
    @janethaule4281 4 года назад +6

    Mm naona pia jinsi tunavyoongea na wenzi wetu au lugha ambazo tunatumia inaweza kuwa one of the great source ya kufanya mtu hasibadirike

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад +1

    God be with you

  • @kalalatongora6680
    @kalalatongora6680 2 года назад

    Asante saana dr

  • @winfridasteven4560
    @winfridasteven4560 2 года назад

    God bless you.

  • @janethtobius6173
    @janethtobius6173 3 года назад

    Dokta uko vzur sana

  • @ishabbe4489
    @ishabbe4489 4 года назад +2

    Shukran barikiw dr

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 года назад +1

    Duuu asante Dr.Mauki

  • @neemacharles7044
    @neemacharles7044 3 года назад

    Kweli kabisa nimeipenda hii charnel

  • @filipejoaonhama6791
    @filipejoaonhama6791 2 года назад

    Asante 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @deborapeter9653
    @deborapeter9653 3 года назад

    Asante Dr.

  • @mwajumajuma4461
    @mwajumajuma4461 3 года назад

    Thanks so much brother

  • @upendoadolf4570
    @upendoadolf4570 4 года назад +3

    Be blessed Dr. Chris

  • @frankamosi5963
    @frankamosi5963 4 года назад +1

    nimeipenda hii channel

  • @tausihasheem5051
    @tausihasheem5051 4 года назад

    Dcr asnt nmepona kbsaa yaan unaongea fct....Be blessed u

  • @joshuamweta6551
    @joshuamweta6551 4 года назад +9

    Daah mapenzi magumu sana kama hampendani ila mapenzi matam na mepesi sana kama mnapendana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  4 года назад

      Kweli kabisa

    • @zoainamuscat6835
      @zoainamuscat6835 4 года назад

      @@ChrisMauki1 Daaah Mungu azidi kukulinda uzidi kutupa somo kipo kitu na jifuza sana aseeee 🙏🙏

    • @samwelngassa4941
      @samwelngassa4941 4 года назад +1

      HILO LA KUPENDANA NDO KILA KITU HAYA MENGINE NI NYONGEZA TU

  • @emmyminah1261
    @emmyminah1261 2 года назад

    Asante 🙏🙏🙏

  • @anthonymusyoka7930
    @anthonymusyoka7930 3 года назад

    So interesting,you are really a nice teacher

  • @sabylaby
    @sabylaby 3 года назад

    You are great

  • @aishamaulidi4679
    @aishamaulidi4679 4 года назад

    Ubarikiwe sana mafundisho ni mazur sana

  • @issamuzamilu5222
    @issamuzamilu5222 3 года назад

    niceness doctor

  • @winfridagama2042
    @winfridagama2042 4 года назад

    Kwa kweli nitakufuatilia upo vzr baba tena sanasana.

  • @abdallamwawughanga9007
    @abdallamwawughanga9007 3 года назад +7

    Dr Chris..nilikua nauliza...ikiwa uko kwa mahusiano na mpenz wako,kisha mpenz wako awe napikiwa na jirani wa kiume ni makosa,(2)je unaweza ukawa na namba za ex wako ikiwa uko na mpenz mwengne.(3) ni haki mpenz wako Kuintertain msg za wanaumme ukimuliza anasema ni rafiki zake?

  • @christermelaka5689
    @christermelaka5689 4 года назад +1

    Asante sana dr,nimejifunza mambo mengi sana ambayo nilikuwa siyajui,namba 6 imenigusa,ex-husband alikuwa hapendi mimi nijishughulishe na biashara wakati yeye hakuwa mtunzaji wa familia,ubarikiwe sana dr

  • @norakaaya9166
    @norakaaya9166 4 года назад

    Nimekuelewa sana dk

  • @annapumba1695
    @annapumba1695 4 года назад

    Ubarikiwe sana

  • @machemkojohn9611
    @machemkojohn9611 3 года назад

    It's good

  • @doricayohana3533
    @doricayohana3533 3 года назад

    Dah! Mengine yananihus mm mung akusaidie uzid ku2fndsha

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 4 года назад +2

    Thanks so much Dr. I appreciate you 👊👊👍

  • @alghamsalim3952
    @alghamsalim3952 3 года назад +1

    Ameen

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 4 года назад +2

    Bless you..

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 4 года назад

    Nakuhelewa sn Mtumishi

  • @idrissaaugustin1604
    @idrissaaugustin1604 Год назад

    Dah! Bro nafatiliaga sana vipindi vyako lakini mm sijui kwanini sikaaga Na mahusiano ata ni mpende vip lkn yatavunjika tu.

  • @nicintijedenize1095
    @nicintijedenize1095 4 года назад

    Asante sana

  • @allyadam7001
    @allyadam7001 4 года назад

    Nikweli kabisa kaka

  • @doricepetro45
    @doricepetro45 3 года назад

    Niceeee

  • @mercimerci7334
    @mercimerci7334 4 года назад

    Kuwa wakwanza nivizu kwamana ukiwa wakanza unaweza kuwakumbusha wengine tusiwe na kinyongo asante Mungu unaniwezesha kushameheya ata kabura Mutu kuniomba musamaha na yesu pia arisema baba wasamehe hawajuwi waritendaho tutie mbere mungu wetu .

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 4 года назад

    Shukran Mr

  • @veeJesus
    @veeJesus 4 года назад

    Very helpful

  • @fatimanoh2575
    @fatimanoh2575 4 года назад +3

    Haha...wacha nicheke doc,you hav touched my heart,hapo kwenye mafanikio lolz!nilitaka kujenga and he was a weird of every step that i was taking.ilikua issue and it's end up him divorces me.God nipe hitaji la moyo wangu

  • @sophiakimena4126
    @sophiakimena4126 4 года назад

    Thanks Dr

  • @YasintaJames-kz2vj
    @YasintaJames-kz2vj 3 месяца назад

    Hat mm pia lakin mm Niko na mpezi wangu kila nikijaribu kujitahindi kumubandiriaha habadiriki utanisaindiaje kaka mm nampend San na siko tayari kbc kuachana naye

  • @mariammsiilwa5023
    @mariammsiilwa5023 4 года назад +2

    Mung akubarik San kwa funzo hil

  • @evefesto1985
    @evefesto1985 4 года назад +1

    Be blessed dr

  • @emmanuelgidion2653
    @emmanuelgidion2653 4 года назад

    nimesikia vizur kutembelea Chanel hii nimejifunza mengi sana

  • @elizabethleonard470
    @elizabethleonard470 4 года назад

    Vizuri xana axante kutufundisha

  • @samirasaid6948
    @samirasaid6948 3 года назад

    Hamujambo mm naomba nitakupata vpi kwa prvt ninayamuhimu kwa nasaha yetu SS wanawake asante

  • @elphasjastin3594
    @elphasjastin3594 4 года назад

    Naomba namba zako jaman
    Me namatatizo mengi kwel

  • @happyhaule5865
    @happyhaule5865 2 года назад

    Mwingine badala ya kutatua tatizo, anakujibu maneno ya kuku umiza

  • @rahmahamisi7604
    @rahmahamisi7604 4 года назад

    Namba sita hiyo daaaah

  • @lucyhenry1062
    @lucyhenry1062 4 года назад +1

    Wanaume ndo naonaga mnazo sana hzo

  • @violetmmbando1510
    @violetmmbando1510 4 года назад

    Naomba unisaidie Dr kuna kitu natamani sana kuelewa unaposema kuzungumza na mwenzako hasa kuzungumza maana yake nini je ni ku discuss mambo au maana yake hasa nini. MAZUNGUMZO KATI YAKO NA MWENZAKO

    • @hamisa3447
      @hamisa3447 4 года назад

      Mie ndugu nilivyoelewa yaan kama kuna jambo alijakaa vizuri au ata mazuri kaeni nyie wawili Kwanzaa ili mueleweshani kuliko kukimbilia kwa watu kabla nyie wenyewe amjakaa na kulizungumzia ilo jambo

  • @amanikavuna4381
    @amanikavuna4381 3 года назад

    Naitaji musahada na mimi matatizo hayo yanamusibu kipenzichangu ilaningelipata what's App namba basi ingelikuwa vizuri

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali494 4 года назад

    Ila hii namba sita hii mm imenifanya adi sasa atuelewani na mchumba angu natamani adi kuvunja uchumba sasa

  • @annamarandu9393
    @annamarandu9393 4 года назад

    Nice

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 3 года назад +1

    🙏🙏❤️

  • @lucyhenry1062
    @lucyhenry1062 4 года назад +3

    Kwanye kukana hapo me kwakwel napotezea sna kwasasa mtu unamkuta anakanaaa na ugomv juu.

  • @kerryhoza6173
    @kerryhoza6173 4 года назад

    Namba 7...!!

  • @DaveHumphrey2514
    @DaveHumphrey2514 4 года назад +1

    NARCISSISM NDIO TATIZO PEKEE.... Ni utoto na ujinga uliopitiliza, ila pia ni malezi, peaceful and tender relationship feels boring kwa wale waliozoea au kukuzwa kwenye dramatic na toxix relationship. Kuna ushindani mwingi... Yani hamna amani.... Watu needs to wake up and heal their children trauma!

  • @rehemabakali494
    @rehemabakali494 4 года назад

    Hii namba 6 hii kweli huu ni uchawi km kweli kuna mtu apendi

  • @dorisjessy5960
    @dorisjessy5960 4 года назад +1

    Ur so amazing I wish u could talk to my hubby

    • @elibarikikateman5846
      @elibarikikateman5846 4 года назад

      c ndo umkaribishe asubscribe sasa

    • @dorisjessy5960
      @dorisjessy5960 4 года назад

      Aah wapi hapendi kusikiliza

    • @elibarikikateman5846
      @elibarikikateman5846 4 года назад

      yaaan kuna vitu n vizur sana kwa ustaw wa mahusiano mtu anaposikia anajfunza pakubwa sana yaan penz unakuta linastaw tu na kufurahia maisha

    • @elibarikikateman5846
      @elibarikikateman5846 4 года назад

      na toka nianze kumfuatilia chriss nmejifunza vitu ving sana, kiufup namkubali sana

  • @vincentmtana2521
    @vincentmtana2521 4 года назад

    No.6..anayefanya hvyo km si mchawi tumuite nani.

  • @bandolatztrump2470
    @bandolatztrump2470 4 года назад +1

    Naaam

  • @rebeccamgunga.8147
    @rebeccamgunga.8147 3 года назад

    kaka umeongea kweli

  • @abubakarihamissi4178
    @abubakarihamissi4178 Год назад

    ndiyo mwanamke niliyenae kiukweli nimechoka kabisa, bora nimuache

  • @khdijaahmed8458
    @khdijaahmed8458 4 года назад +2

    Asante san ila bado nipo single

  • @lovenessdiva3370
    @lovenessdiva3370 4 года назад +1

    🧡

  • @queenmalikia4172
    @queenmalikia4172 4 года назад

    Umenikuna ....maana huyu mume wangu anagubu mpaka basi

  • @JumaMatimbwa-s6z
    @JumaMatimbwa-s6z 4 месяца назад

    Akik umeongea vizuli na nimeamini manen yako akika nina jifunza san nakua jasili kwenye mausiano

  • @gilliansimon8517
    @gilliansimon8517 2 года назад

    My grammar

  • @fatumaititi9700
    @fatumaititi9700 4 года назад

    U deserve bless from Allah

  • @thomaskapande8618
    @thomaskapande8618 9 месяцев назад

    Shangwe

  • @angelshirima3295
    @angelshirima3295 4 года назад

    Brother napenda mafuzo yako ila ingependa Kama ningepata no zako maana nina tatizo nahitaji unishauri

  • @mwanaishaomary5010
    @mwanaishaomary5010 4 года назад

    Kutaka kuwa wakwanza kwenye kila kitu! Aisee siipendi hii kitu yani kila kitu mtu anataka awe yeye tu .siwezi kuvumiliaga hii kitu

  • @pendondossy2158
    @pendondossy2158 4 года назад +1

    Tatz naweza kuongea nae atakasilika alafu yy anakuwa na ahadi za uongo k ukweli sipendagi yan mm nijisahihishe lkn yy nkimwambia aelewi bora niwe alone😣😣😣😣😣

  • @madamboss348
    @madamboss348 4 года назад

    6 ndio yangu😥😥😥😥😥