MIRIAM LUKINDO MAUKI - ALIVYOKUTANA NA MUMEWE CHRIS MAUKI/ALIKUWA NA BAISKELI TU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi, Mfinanga In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
    Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
    Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
    Cameras - Edward Fanuel, SirMbezi
    Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
    Photography - SirMbezi
    Editing - Sirmbezi,

Комментарии • 73

  • @setholivier4862
    @setholivier4862 4 года назад +10

    Asante sana kwa hizi interview za waimbaji... Mungu akubariki ndugu .you deserve more subscribers . Can't wait for Martha baraka

  • @victoriakhatibu2288
    @victoriakhatibu2288 Год назад +3

    Miriam unaakili sana najifunza kutoka kwako,pia unamjua Mungu kikweli kweli inshort unajitambua sana

  • @glorymwazyunga641
    @glorymwazyunga641 11 месяцев назад +2

    Hongera sana Miriam! Huduma iko hai naamini na Yesu yu hai ndani yako. Nilikufahamu live ulivyokuja UDSM hadi sasa naamini ni Yesu amekutendea/amefanya!

  • @NEEMASULLE-o3j
    @NEEMASULLE-o3j 3 месяца назад +2

    Ahsantee mamangu nahitaji maombi yako niwe na familia nzuri kama wewe

  • @glorymwazyunga641
    @glorymwazyunga641 11 месяцев назад +1

    Kujifunza kwa YESU, I like that

  • @glorymwazyunga641
    @glorymwazyunga641 11 месяцев назад +1

    Unyenyekevu ni jambo la muhimu sana

  • @josephinesakaya2616
    @josephinesakaya2616 3 года назад +9

    Dada Mariam umenibariki kwa maelezo yako hasa hiyo ya kutulia miaka 4 Na kuacha kila kitu na kwenda kwa mume wako na nguo 10 😍🥰🥰🥰

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 2 года назад +5

    Waaaaa blikiweni kwel had mmefanana Kama Kaka na dada hongera mungu azid kuwabaliki na kuwalinde napenda Sana mafunzo ya Dr Chris mauki ♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @glorymwazyunga641
    @glorymwazyunga641 11 месяцев назад

    Huyu ni Yesu amefanya hakika hata kwangu!

  • @evangelistenockmwakapalila125
    @evangelistenockmwakapalila125 2 года назад +3

    Nasikitika kwanini nimechelewa kukujua madam Miliam Lukindo

  • @odethamathias9103
    @odethamathias9103 3 года назад +8

    Natamani ma binti woooote wajifunze hapa

  • @marthauisso5803
    @marthauisso5803 Год назад

    Hongereni sana my dia najua unaweza kwenda kwenye right place na ikawa chungu kwani baadhi ya wanaume wana jipretend wakati wa uchumba, mkishaoana baasi

  • @glorymwazyunga641
    @glorymwazyunga641 11 месяцев назад

    Nimependa sana maelezo yako ulivyo break hiyo relation ya kwanza ambaye si sahihi. Mungu ni mwaminifu kama wimbo wako. Maana mabinti wengi mmmmh! Mungu atusaidie

  • @neemamjengi9913
    @neemamjengi9913 3 года назад +6

    Hongera nyingi kwa dada Miriam,yaani ana vitu vikubwa sana,na vizito sana,
    pia hongera nyingi kwa Mr Mfinanga,maana uko viwango vikubwa sana kwenye kuhojiana na mtu hadi mtu anasikia kuenjoy kuendelea kuwqqngalia,
    Mungu Akupeleke haja za moyo wako Masihi wa Bwana

  • @angelurioh5383
    @angelurioh5383 Год назад

    ❤❤ nakupenda

  • @rehemarehema294
    @rehemarehema294 2 года назад

    Umenifunza neno kushuka unahekima sana dada

  • @rehemamwasomola4362
    @rehemamwasomola4362 3 года назад +1

    Miriam ni muda mrefu kwa mara ya mwisho tumeonana Baraza Majengo Moshi.Hongera sana Ubarikiwe.Natuma from Mbeya

  • @carolinejohn347
    @carolinejohn347 3 года назад +2

    Woooooow napenda vile mnaishi wapendwa.....ndoa yenu ni mfano wa kuigwa kwakwel

  • @mecktemba8937
    @mecktemba8937 3 года назад +2

    Yuko vizuri sana huyu Dada... Ni wa tofauti sana...huyu sio msanii wa nyimbo za injili,ni muimbaji wa nyimbo za injili

  • @rehemamwasomola4362
    @rehemamwasomola4362 3 года назад +1

    MUNGU AKUBARIKI SANA MIRIAM LUKINDO NAKUMBUKA WIMBO WAKO AMEN AMEN AIMENAAA ENDELEA KUNYENYEKEA BEST I LOVE YOU SO MUCH KARIBU MBEYA

  • @HosianaBuuta
    @HosianaBuuta Год назад

    Safi sana

  • @mgurefanuel5581
    @mgurefanuel5581 Год назад

    God bless you soumach..... ROHO MTAKATIFU TUSAIDIE 🙏

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 3 года назад +2

    Amina hii family naipenda sanaaaa Mungu azidi kuwabariki

  • @elishasomb7152
    @elishasomb7152 4 года назад +4

    Hongera sana Miriam Lukindo kufikisha miaka 20 ya huduma ya Uimbaji. Kweli Mungu wa Mbingu na Nchi azidi kukupa mafunuo zaidi ktk kumtumikia.

  • @claramkisi5268
    @claramkisi5268 3 года назад +5

    Nmeipenda iyo ya Dr Chris kukulipa mshahara WA kulea watoto mbarikiwe kwa ndoa njema ndoa nzr n mchakato hongera sana madam

    • @ndolilehaule1158
      @ndolilehaule1158 3 года назад

      Malezi ya watoto ni sadaka na ktk ukristo ni sehemu ya sala na tunapata neema kupitia hiyo hatupaswi kilipwa kama wanawake

    • @dativajoachimwai1194
      @dativajoachimwai1194 5 месяцев назад

      ​@@ndolilehaule1158
      ni kumtia moyo na kuonesha unajali. kama unaweza mlipe tu.
      mazoezi jamani, nami nilipatwa hivo. nilikua napita tu kwa mazoezi naomba nikusalimie

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda926 3 года назад +1

    MUNGU Akubariki sana MIRIAMU LUKINDO

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 года назад +2

    Hongera Miriam wa Mauki. Nakupenda dada sana. Wish to meet

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda926 3 года назад +1

    Asante kwaushuhuda tunajifunza sana

  • @carolynammon9185
    @carolynammon9185 3 года назад +3

    Your the best 💑 ever
    Nimejifunza ever

  • @dapriccy3574
    @dapriccy3574 2 года назад

    Mungu awabariki binafsi nawakubar Sana Chris & Miriam

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 2 года назад

    Nimefurahii mbarikiwe

  • @victoriabulambo2029
    @victoriabulambo2029 3 года назад +1

    Dada miriam ongera kwa wito nakupenda buleee

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 2 года назад

    Nimekupenda Miriam

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda926 3 года назад

    Nimekuelewa zaidi yaufahamu

  • @rachelchalz3615
    @rachelchalz3615 7 месяцев назад

    Nmejifunzaa hekima na busara kutoka kwakoo

  • @mercypeledawson1622
    @mercypeledawson1622 3 года назад +1

    Be blessed my role model I love your lifestyle God bless you 🙌🏻

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda926 3 года назад +1

    MUNGU anikutanishe na Mume sahh hongera kwa huduma

  • @officialalama1092
    @officialalama1092 3 года назад +1

    This is powerful gospel 👏🏾🙌🏾

  • @womanoffaith2001
    @womanoffaith2001 4 года назад +3

    I love your voice Miriam lukindo..

  • @AnnickNdikumana
    @AnnickNdikumana Год назад

  • @pendosalehe8941
    @pendosalehe8941 2 года назад

    Kweli mume umepata dada

  • @pendosalu9660
    @pendosalu9660 4 года назад +1

    Mungu akubariki Dada Miriam, nakufurahia

  • @neemahamza1116
    @neemahamza1116 3 года назад

    yaaaaani nimeelewa kuliko kiasiiiiiii

  • @estherwilliam5125
    @estherwilliam5125 3 года назад +3

    Mtangazaji acha izo yeah yeah na kama unajibu

    • @songweairport7602
      @songweairport7602 3 года назад

      YOUR CORRECT...But nimemfuatilia katika vipindi vingi naona Mtumishi kazoea sana hicho kipokezi... but ni vizuri akakipunguza kama sio kuacha kabisa...ol in ol Tunakupenda sanaaa

    • @JacquelineJanuary-ll8oz
      @JacquelineJanuary-ll8oz 2 месяца назад

      😂😂

  • @alexmavindi2104
    @alexmavindi2104 3 года назад +1

    Daah, dada Miriam una kitu mungu amekubarikia na wish mungu anipatie mke Kama wewe maaana dàahh Hawa wa dada wengine sijui Wana kwama wapi japo sio wote ila laiti km wangeijua dhamani yao hakika wangekuwa wake Bora sana, kiukweli mungu tu atusaidie maana Hali sio shwari.

    • @rhodasaid3262
      @rhodasaid3262 3 года назад

      Kama Bwana alivyokutendea kwa kukupa ndoa tamu, nami naomba anikumbuke cku moja niwe na ndoa tamu nizidi kumtukuza milele Amen!

    • @CryptoAa-k3u
      @CryptoAa-k3u 9 месяцев назад +1

      Unatakiwa kuwa mume mwema ili upate mke mwema na wewe unishushe uanaume uuweke pembeni uangalie kilichowaunganisha

  • @elfeletycalory2074
    @elfeletycalory2074 3 года назад

    Barikiwa sana aunt

  • @celestinebenson8183
    @celestinebenson8183 3 года назад +1

    Wow amazing....

  • @pendosalehe8941
    @pendosalehe8941 2 года назад

    So powerful

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 3 года назад +1

    God bless you sister.

  • @skyluu
    @skyluu 3 года назад +2

    Ni mrembo sana

  • @oliversanga1498
    @oliversanga1498 3 года назад

    Asante Mrs Mauki

  • @floramajor3381
    @floramajor3381 3 года назад +1

    Napenda hiki kipindi

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 3 года назад

    Wawooo Bless

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 3 года назад +4

    Mimi nasikia tuu ndoa ninzuri ila kwangu mungu kanitenga kaniacha kanitupa hanisikii ...naona kwangu yupo likizo tena kalala ...naumia sana kuhusu matendo yamume wangu najuta sijui sidhani sielewi najuta tuu

    • @sele2507
      @sele2507 3 года назад +1

      Ni wakati tu,unapita Mungu atakusaidia

    • @agnesnoelina2465
      @agnesnoelina2465 3 года назад +1

      Pole sana endelea kumuomba Mungu mambo yatakuwa sawa

    • @immajuzo2440
      @immajuzo2440 3 года назад +1

      Pole Mungu atakukumbuka jitamkie baraka na kumuombea tu

    • @evancekimath7405
      @evancekimath7405 3 года назад +3

      Pole sana, maisha yanamabonde na milima, mwombe Mwenyez Mungu atakusaidia,
      Usikate tamaa,usimkufuru Mwenyez Mungu,hata wengine pia kuna wanayoyapitia katika ndoa zao ila uvumilivu ndio unaowasaidia,
      Imagine unamwacha mume wako unaenda kwa mwingine unakuta mambo nimabaya kuliko hata mume wako wa awali au unaishi single mother maisha yanakua magumu kuliko kawaida, ISHI PAMOJA ,SALI SANA,REKEBISHANENI.

    • @kissageorge3987
      @kissageorge3987 Год назад

      Jaman pole sn mpendwa kweli kabisa ndoa za sasa.hivi ni pasua kichwa mwenzetu amempata na wakumpa hela za uzazu kweli hongeta mno kwakwe ikiwapndeza watengeneze semina ya wanandoa ili wengi wetu tupone

  • @jackjacklin3310
    @jackjacklin3310 3 года назад

    Ameen

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 2 года назад +2

    Kidgo Kama Elizabeth Michael (LULU)

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад

    Maneno matamu hayo kama mume huko mbele atakumbuka mliko toka hakika