Surely Yesu nisababu ya mimi kuishi hasa nikifikiria namna anavonivusha kwenye nyakati ngumu pale akili zangu zinapofika mwisho pale ninapokata tamaa amekuwa nguvu yangu hakika yeye ni sababu ya mimi kuishi wimbo bora kabisa hongera Mtumishi Mungu azidi kukuinua zaidi.
Umechelewa kuziweka mtandaoni nyimbo nzuri hizi za blessings. Tulikuwa tukivizia wapo radio FM watuwekee. Wimbo mzuri sana
Powerful praiseer..... we're with you here at Mombasa VOK with Boaz,wilkander, Eko,,,day two is wooow....Tuko Hadi sato....God bless you more and more
Tamasha la mlipuko wa furaha
Hakika yeye ni sababu ya uhai wetu🙏
Huu wimbo ni fire miaka mia 200 .....nikaaa nakutafakari najua wewe u sababu
❤❤❤❤❤❤ barikiwa sana
wimbo mzuli San balikiwa sana mtumishi wamungu
Barikiwa na Bwana Yesu
Surely Yesu nisababu ya mimi kuishi hasa nikifikiria namna anavonivusha kwenye nyakati ngumu pale akili zangu zinapofika mwisho pale ninapokata tamaa amekuwa nguvu yangu hakika yeye ni sababu ya mimi kuishi wimbo bora kabisa hongera Mtumishi Mungu azidi kukuinua zaidi.
Zamani ulikuwa rohoni sana Miriam
Rudi hapa
Usibadilishwe na chochote kukutoa kwenye huduma ya kweli katika Kristo
Haleluya! Hakika wimbo huu ulitoka barazani pa Mungu alie Hai, Yesu Kristo Ni sababu ya sisi kuishi.
Wewe ni sababu Mungu wangu barikiwa dada kwa ujumbe mzuri
hakika mungu ni mwema, yeye ndo sababu ya sisi kuishi coz ni yeye anayejua kuketi kwetu na kuondoka kwetu. barikiwa sana dada miri
We still watching this video...... I love you so much
Nakupenda wajina wangu ,,,Mungu akusimamishe siku zote
Wewe ni sababu ya mm kuishi ooh haleluya Bwaana ubarikiwe dada
hakika wimbo huu unanibariki asante sana dada
Wewe ni sababu yesu
Wewe ni Sababu ya Mimi kuishi Yesu
Hakika wewe ni sababu MUNGU wangu ya mimi kuishi
yes.... lord Jesus iz my planner of my destination
Asante Baba muumba wangu wewe nisababu yangu kuishi.......barikiwa sana wewe ni chombo kilichobarikiwa mum
Hakika yeye sababu ya mim kuishi ahsante Yesu kwa uzima huu
Pamoja sana mmmmh no sababu ndio
Wewe ni sababu ya mimi kuishi Yesu.More grace.
Miliam Endelea na kuabudu Nabarikiwa Sana ukiwa unaabudu
Amen amen
Amen Amen Amen Yesu ni sababu ya Mimi kuishi.
Hongera Sana mamy ,Hakika Mungu ni sababu ya sisi kuishi 🙏🙏
Yesu wewe ni sababu ya mm kuishi hakika .
Ubarikiwe mwana wa Mungu hakika wewe ni sababu ya mimi kuishi
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wewe ni sababu ya Mimi kuishi ...Asante yesu🙏🙏
YOU are the reason for everything my GOD. stay blessed my sister
2022 still listening to this song and it's as fresh as if it was done today..... Yesu tu ndiye sababu ya kuishi kwangu
ww mungu wangu ni sababu ya mimi kuwa mzma
Wewe ni sababu ya mimi kuishi....... Oooooh thank u 4 the grace/love n mercy,thank u for paying my debt on the cross
Nilipozushwa moyo wangu nilikuona ukiniinua baba
Amen
WEWE ni sababu ya mimi kuisha
AMEN
Hakika mungu wetu ni sababu ya sisi kuwa hai
Wew ni sababu ya mm kuishi barkiwa sana
Lord you are the reason for my breath
Kweli yesu wewe ni sababu ya Mimi kuishi
kabisa yeye ni sababu ya sisi kuishi
Wewe Yesu ni sababu ya mimi kuishi
Yaani ingekuwa raha basi c.f.
Barikiwa saana mrs Chris mauki,
Wewe ni 7babu ya mm kuishi YESU
Nakupenda Yesu wangu
Dec 2023.LORD YOU'RE THE REASON THAT I LEAVE
WW nisababu yangu mungu ne blessing sister for the songs
Yes Lord you're the reason
👏👏👏
Yes Lord you're my everything
Hakuna yeye ni sababu
Mutumishi wa mungu ubarikiwe Yesu kweli ni sababu🙏
I feel JESUS in my soul
Wewe Bwana nisababu hakika ya mimi kuishi
Hakika nisababu ndio ninaishi
Maisha yangu ni wewe tu e MUNGU
oooh hakika Lord your my reason
Here2022
🙏🏽🙏🏽
Barikiwa sana
❤
Amen barikiwa
Ameni Jehova,wewe ni sababu Yesu
🙏🙏🙏
Love you Sister Miriam
Be blessed
Wewe ni sababu ya Mimi kuishi
Hakika yeye ni sababu