Miriam Lukindo - Umenikumbuka (Live Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- UMENIKUMBUKA!
It’s a prophetic song.
Ni wimbo uliotokana na hadithi ya
Mfalme Daudi. Katika Samweli 2, 9:1-11
“Kisha Daudi akasema, Je! Amesalia mtu mmoja katika nyumba ya Sauli, nipate kumtendea mema kwa ajili ya Yonathani?.
Tunakumbuka kuwa
Daudi’ alikuwa rafiki mkubwa wa mtoto wa Sauli. Na Daudi alitamani kutenda mema kwaajili ya Yonathani.
Akaambiwa yupo mtoto wa Yonathani jina
Lake Mafiboshethi.
Daudi akamwambia, Mefiboshethi!
Usiogope, maana bila shaka nitakutendea mema; kwa ajili ya Yonathani, baba yako, nami nitakurudishia mashamba yote ya Sauli, baba yako; nawe utakula chakula mezani pangu dalma.
-
Mofiboshethi’ Akasujudu, akasema, Mimi mtumwa wako ni nini, hata ukamwangalia mbwa mfu kama mimi.
Sijui wewe ni nini kimekuwa ni msiba wako.
Au kimekuwa mzigo wako.
Au ndio sababu ya ukiwa au upweke unao usikia.
Nimaombi yangu Bwana akufanyie nafasi
Bwana akukumbuke hivi leo
Bwana arudishe vyote vilivyo chukuliwa.
Ufanye wimbo huu kama Utabiri’ au prophetic song, kwenye kila unachoona kimekuwa kama MBWA MFU!
Wimbo huu utaenda kufanyika pumnzi ya Mungu iliyo hai kwenye hicho kitu
Umenikumbuka 🔥🔥🔥🙇🏽♀️😭🙌🏼
Mungu akubariki mtumishi,Wimbo unanibariki sana
Nimependa sana unavyo imba mungu Akupe neema tele
Haya ndio mambo Mtumishi Miriam Lukindo Wamauki, nimefurahi kuona ukifanya mziki wa live performance ubarikiwe sanaa.Dada wa hakuna wa kubadili ubarikiwe sana
Amina
Umenilumbuka 🎉🎉😭
Umenikumbuka na mimi
Powerfully song, Hongera sana Mumy❤ God Bless you
Wakati wa Mungu ukifika Kila kitu kinakuwa mahali pake Mungu nikumbuke na mimi
Hata wajumbe wa nyumba kumi awatujui lakini MUNGU ANATUJUA ILOVE JESUS❤❤❤❤
Mungu akubariki..mmevaa vizuri sana ..unamfanya shetani akose point
This is awesome... wapi likes za Kenya
Barikiwa sana dads
Superb i love the dressing code❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen
🔥🔥🔥🔥🔥
Aminaaa
Hallelujah hallelujah awwwww miezi Sita ya mwisho ni kukumbukwa tu
Haya ndio mavazi ya mtumishi sasa,hongera sana.
Amenikumbuka more grace my namesake
Amen❤
Come on mum!!! 🎉🔥❤️
Ni leo tu nilikuwa naskiza SIKUPIMII kumbe unakuja na motooooooo nakupenda dadangu hugs from MOMBASA vok
be blessed WOG Kwa wimbo Mzurii Naziona Baraka za Bwana
Umenichora huwezi nisahau,umenipa nafasi💃Umenikumbuka na mimi🔥Miriam lukindo 🙏
Wewe dada Mungu akutunzee kwaajili ya sisi fans wako
Aiyaaaa! Aiyaaaa! Wapi vigelegele 🔥🔥🔥 Imenikumbuka na mimi 😊😊😊
huku ndo kwako kwa live sauti yako inapendeza ukiwa huku Achana na zile za kwenda studio wimbo mzuri Sana huu wimbo sauti Nzur kiufup uko vizur Sana 🥰🥰🥰🥰🥰
Ulitakiwa ufike huku kitambo, hongera sana dada Miriam
🎉🎉 hongera sana
Hakika Mungu amenikumbuka, şifa na utukufu zirudi kwako🙏🙏
Beautiful!! Powerful song, nimefurahi kukuona Dada Mkubwa huku kwenye o ve recording!! Hongera sana wewe na team yako! Blessings
Hongera kipenzi umerudi MUNGU akupeleke zaidi ya hapo❤❤❤
Much blessings mommy ❤
nice song,ue unaimba ivi ivi live dada sauti unayo
Hallelujah so powerful be blessed madam with your team 👏👏👏
Powerful ministration.Indeed God has remembered us.May this song minister to the hearts of many.
Na wewe ukifanikiwa zaidi kwenye muziki usimgeuke mme wako. Inawezekana ndoa yako mpaka sasa ipo salama kwa utii ulio nao kwa mme wako. Ukitijitukuza tu utashuhudia anguko kama ambalo wenzako wamepitia.
Huyu dada siyo mshamba ana zaidi ya miaka 20 anafanya hii kazi bila kuchafuka.
Yeah nimekumbukwa HALLELUJAH
❤ wow, so amazing song....hakika Bwana umenikumbuka na mimi hata hapa nilipo ni wew ty Bwana
Umewafunga vinywa vyao na manzuri
Wooow, ni motooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥
The Band🔥🔥🔥🙌
Hallelujah! Hiii ni furaha yangu kuona unaimba live🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu aendelee kukutumia apendavo mtumishi
Dada anajuw ani🔥Chitete kawaid yak🔥🔥shuxy brother proud san san san All in All Utukufu kwa Mungu Mbarikiwe
Wimbo mzuri, barikiwa ❤❤❤
Video nzuri sana ya kiwango🔥
Annointing ....wow
❤❤❤❤❤
Hongera sana Mtumishi wa Mungu Miriamu ❤❤🙏🙏
Mungu azidi kutukuzwa sana, kazi kubwa na nzuri mno🙌
Wimbo mtamu sana
Wooooooh Glory to God 🙌🙌🙌
❤❤❤❤❤Glory to the Mighty GOD. Hongera sana Mtumishi wa MUNGU. Hakika amenikumbuka kwani amekuwa mwingi mnooooooo❤❤❤
asantee Jehova
Blessings ss❤
Nilitaman haya Muda Mrefu
this is powerful, kenya nimebarikiwa
Wow! Umemikumbuka YESU
UMEJUA KUTUFURAHISHA MASHABIKI WAKO
Umenikumbuka Yesu asante
Glory to God Glory to God bless you sister
Hallelujah Jehovah... asantee kwa kunikumbuka na mimi
😭😭
UMENIPA NAFASI YESU
Hallelujah, Praise the King🙏🙏🙏
Congratulations mom be blessed more.
Blessed - Great song, Work on sound
Wimbo ni wa motooo...Lembo Jr hapa enjoying ooh!
Amazing ❤❤
❤🎉 umenikumbuka BWANA YESU
Wow🎉🎉
Hallelujah hongera sana Mama
Nimekumbukwa
Hallelujah 🙌🙌🙌🔥🙌🔥🙌🔥🔥🙌🔥🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Umenikumbuka na mimi Bwana Yesu
Hongera sana Mama Marium Mauki
Nice song, congratulations 👏👏👏
Congrats mumy, blessed ❤
Asante Yesu kwa kuniona Tena.
Ewaaaa
Praises Halleluyah!!bless you woman of God!xoxoxo
Umenikumbuka na mimi yesu❤
Wow
I'm waiting yoooooo🙌🙌🙌🙌
utukufu kwa Mungu ubarikiwe sana mtumishi nimebarikiwa
❤❤❤🎉
Hongera nyimbo nzuri niko hapa shabiki yako❤ni mekupa maua yako kote
Asante mtu wa Mungu
Nikumbuke na mimi
❤
Umenikumbuka na mm...Aiyaaaa aiyaaaa
Blessings 🔥🔥🔥
♥️♥️♥️
Hongera Dr Cris..Mkeo amemwakilisha Kristo na wewe vyema
Mama❤❤🎉🎉
Praise the King👑
Hakika amenikumbuka🙌🏿❤Glory be to God
Nice song❤
BASSIST, I REPEAT BASSIST did it well 1:29
🙌
🙌🙌🙌🔥
A great blessing
Blessings...