UKWELI KUHUSU NDOA YA MWIMBAJI ANGEL BENARD NA ALIEKUWA MUME WAKE GODSAVE SAKAFU....✍️

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Baada Ya Minong'ono Mingi Ya Watu Wakitaka Kujua Ukweli Kuhusu Ndoa Ya Mwimbaji Wa Nyimbo Za Injili ANGEL BENARD Na Aliekua Mume Wake GODSAVE SAKAFU Hatimae Tumempata FELIS MUBIBYA Kutoka Marekani Na Amethibitisha Kuwa Wawili Hao Wametengana Na ANGEL BENARD Kufunga ndoa Nyingine Huko Marekani.

Комментарии • 129

  • @abrahamkanuya1076
    @abrahamkanuya1076 Год назад +5

    Wanawake bhnaaa😢😢😢

  • @theopistamwayeya1764
    @theopistamwayeya1764 Год назад +17

    Unaehojiwa Mungu akubariki,una hekima,endeleeni kuwapokea wengine wanaotoka Tanzania na kufika huko.Mungu atawalipa.

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 Год назад +15

    Watoto watatu baba tofauti sasa na mume wa NNE!!
    Na bado anaitwa mtumishi!!
    Mungu tusamehe😭😭.

    • @SuzanMoshi-m1s
      @SuzanMoshi-m1s Год назад +12

      Ndio Mungu wetu ni Mungu wa wasio wakamilifu ko mtu n lazima atafute furaha yake na sio afanye kisaya walimwengu

    • @messiasulleydidy2585
      @messiasulleydidy2585 Год назад

      Kwa hyo anao watoto 3 now?

    • @pendolaison5478
      @pendolaison5478 Год назад

      @@messiasulleydidy2585 anao 5

    • @sleeprelaxation8431
      @sleeprelaxation8431 Год назад +3

      Yesu mwenyewe hakuwa wa yusuf. Wewe mkalifu hongera yako

    • @messiasulleydidy2585
      @messiasulleydidy2585 Год назад

      @@pendolaison5478 weweee na ni kweli mtoto na babake?

  • @zumasamson6603
    @zumasamson6603 Год назад +2

    Dah jamani Angel na mumewe ...what happened?...imeshindikana Kabisa kutatua changamoto zao ...dah maisha haya

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Год назад +1

    Mmmh walokolo wengi hawajiombei ila wanapoteza muda mwingi kulaumu na kuwakosoa ambao hawajaokoka. Walokole jirekebisheni. Mnaturudisha nyuma kimaombi

    • @evodiaaloyce3670
      @evodiaaloyce3670 11 месяцев назад

      Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe. Wasikurudishe nyuma maana Kila mtu anawajibikia maisha yake

  • @aliethlwaitama9592
    @aliethlwaitama9592 Год назад

    Ninachokijua katika ukristo kwa maana katika ulokole ,Mke mmoja mume mmoja mpaka kifo kiwatenganishe,atakayeipenda nafsi yake ataiangamiza Bali atakeichukia nafsi yake ataiokoa

  • @danielkullwa1613
    @danielkullwa1613 Год назад

    Jesus...hsysa mambo yametokeaje tena...ok hakuna aliye mkamilifu but ...

  • @evangelistdanielsenyagwa4018
    @evangelistdanielsenyagwa4018 Год назад +5

    Amejibu vema sana huyu mtu

  • @salvinahassan8778
    @salvinahassan8778 Год назад +4

    Sijaelewa, ni nini?, ,Angel au mwingine?, Mbona ndo mwimbaji ambae nilikuwa nafikiri ana akili na anamjua MUNGU

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Год назад

    Hiv waimbaj wanawake asa wa gospel mko na shida gani???😢😢😢;,mkipta umaarufu tu kidgo kosaa mnakimbiaa ndoaa zenu?? Mbona mnatuimbiaa kuhusu ukuu wa MUNGU?? Anaweza kurejesha ndoa yko?? Inakuwaje ashindwe kusaidiaa ndoaa zenu???😢😢😢😢;waimbaj rudini magotin pa MUNGU hukumu inakuja uzinz wenu usifanye YESU atukukanwe n watu kisha muende jehanamu😢😢😢😢.tubun ufalme wa MUNGU umekujaaa??😢😢😢

  • @pastor_benjie
    @pastor_benjie Год назад +26

    Uyu jamaa anaye hojiwa Ana akili kubwa na uwezo mkubwa sana.

  • @marrynaftali7969
    @marrynaftali7969 Год назад +9

    Nimeumia mno,sijui shida Ni Nini lakini angel kuachana na God kwangu huzuni mno

  • @yamungungendu4839
    @yamungungendu4839 Год назад +6

    Mwanamke ni Mtu usieweza kumuelewa sana.But every woman wants good life.Imeenda hyo

  • @jukaelyelisha6311
    @jukaelyelisha6311 Год назад +8

    Umh kuna kazi kweli the Bible is say that kifo ndo kitakachotenganisha mtu na mkewe ama na mmewe hii imezidi penye ukweli lazima ukweli usimame sihukum lakini hapo bado yupo dhambini ni heri angebaki bila ndoa ingefaa zaidi maana hapo yupo ndani ya uzinzi bado hajaokoa kitu hata kama wao wanajua huko chanzo cha kufikia hapo lakini hyo sio ndoa ni uzinifu

  • @graysonkewe1004
    @graysonkewe1004 Год назад +10

    huyu Baba ana hekima sana, i like him aseee

  • @TullyDaudi
    @TullyDaudi 28 дней назад

    We kaka unahekima ila enje kama kweli umeachana na mume wako urudi kwa mungo up ya au umeenda kwa mungo singing

  • @mariamaloda5447
    @mariamaloda5447 Год назад +9

    Ni kweli anaangalia na kupiga pale Mungu anapoweka mkono na mahali penye baraka yako.😢

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Год назад +4

    Dont judge kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake..hata Mungu anajua ndo sababu ya Yesu kuja ulimwenguni.

  • @AileenMakungu
    @AileenMakungu Год назад +2

    Waimbaji wa kike wengi wanaachana na waume zao
    Shetani yupo kazini jamani sio wao ni roho ya uharibifu kwa kazi wanayofanya
    Kinachotakiwa ni wao wakae katika maombi ya kina ili kuepuka uovu ulioandaliwa na ibilisi dhidi yao.

  • @deborahrehema4066
    @deborahrehema4066 9 месяцев назад +2

    MCONGOMANI WETU GOD BLESS YOU ❤❤❤🎉🎉

  • @florenciajacob5463
    @florenciajacob5463 Год назад +9

    😭😭😭😭😭😭😭nimeumia Sana jamani

  • @abrahamkanuya1076
    @abrahamkanuya1076 Год назад +11

    Mtu anaimba lakn afati maandiko Mungu atusaidiee😢

  • @marianablessed7135
    @marianablessed7135 Год назад +8

    Shetani ni muongo sana, yaani ni kuzidi tu kumwomba Mungu atusaidie.

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 Год назад

      Kwamba hatumombi? Tunamwomba jamaniiiiiii ila nass wanadam tupunguze tamaa na mihemko

  • @janetahmed6948
    @janetahmed6948 Год назад +5

    huo mwanamke anajificha eti kaokoka nyumba anatabia mbaya

  • @jennifermmanyema6693
    @jennifermmanyema6693 Год назад +6

    Narudia tena shikamoo waimbaji 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @fbr5113
      @fbr5113 Год назад

      NA WANAIMBA TU KAMA AJIRA LAKINI HAIMAANISHI MATENDO YAO. KWAMBA SIO KILA MUIMBA INJILI KAOKOKA KUTOKA MOYONI

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Год назад

      😅😅😅😂

  • @farfijahgibson6965
    @farfijahgibson6965 Год назад +2

    Mungu awasaidie watumishi wake wote kuishi kwa kufuata kusudu na kanuni za kiMungu hapa duniani.

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi Год назад +5

    😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu turehemu

  • @elizabethfrank4396
    @elizabethfrank4396 Год назад +5

    Duh,, Mungu awasaidie waimbaji

  • @FloraMarinyo
    @FloraMarinyo 5 месяцев назад

    Mtu unamuacha mume wako au mnaachana tena wewe ni mtumishi halafu unaenda kufunga ndoa na mwanaume mwingine na unaamani kabisa na unaendelea na hudùma kweli.....ivi mnajua mnatupa uguu gani wakuhubiri au kutangaza neno la Mungu ukishakuwa mtumishi jaman unakua barua watu wanqkusoma wewe matendo yko mpk maneno yako ....unakua kiooo kwamataifa na nikitu ambacho kinaleta utukufu kwa Mungu ...aisee Mungu atusaidie sanaa

  • @evankya1955
    @evankya1955 Год назад +4

    Aisee hii kali! I never expected this. May God help us

  • @MargaretMunyao-m3t
    @MargaretMunyao-m3t Год назад +2

    Naona huu mrembo anaeza bada olewa mara tena iwe tena ndoa tatu

  • @deborahrehema4066
    @deborahrehema4066 9 месяцев назад

    Mungu wangu Angel ameolewa ndoa ya tatu ?? Ooh my God the enemy is at work kabisa

  • @WilfredLamaiMollel
    @WilfredLamaiMollel Год назад +2

    Nimefurahia sana hekima uliyotumia brothe Felis.

  • @hopesengo6972
    @hopesengo6972 Год назад +12

    Kaka unahekima Sana,ubarikiwe.

  • @marymarie9941
    @marymarie9941 Год назад +1

    Tusihukumu jamani wanaojua ukweli kati yao ni wao wenyewe, usinyooshe kidole wakat vingine vinne vinakurudia, emb tumuache MUNGU ndie muhukumu sahihi

    • @upendojohn
      @upendojohn Год назад

      Kweli ndo ni ya wawili Siri ya kuachana wanaijua wenyewe

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 Год назад

      Kweli

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Год назад +4

    Duh asee mungu aturehemu sana

  • @evangelistdanielsenyagwa4018
    @evangelistdanielsenyagwa4018 Год назад +3

    Waimbaji wengi sana Wanaachika ase

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Год назад +4

    Duh ila wadada 😢😢🙌🏻 mkaka wawatu anakusapoti unamuacha akikutaza unasema anakuonea mwee 🙌🏻🙌🏻

    • @messiasulleydidy2585
      @messiasulleydidy2585 Год назад +1

      Wew angel ameachn na Gody?

    • @janethvincent7572
      @janethvincent7572 Год назад +1

      Hakuna anayejua nini kiliwakuta jaman usisimamie upande mmoja tu

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Год назад

      @@messiasulleydidy2585 et mwayego ndo namm nimebaki nashangaa wameachana nayy ameisha olewa uko uko USA

    • @ashurajengela3926
      @ashurajengela3926 Год назад

      @@janethvincent7572 ni kweli unacho sema ila waimbaji wa gospel wa KIBONGO wengi wanazingua wakifanikiwa tu wanawaacha waume zao

    • @AntonyDova
      @AntonyDova 11 месяцев назад

      Maisha haya

  • @josephmandelapenet4587
    @josephmandelapenet4587 Год назад +10

    Very mindful and logical man.

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Год назад +2

    Binadamu na waasi by nuture, Mungu atusaidie

  • @yustaishengoma8526
    @yustaishengoma8526 Год назад +3

    Duh! Mungu tuwezeshe jamani

  • @kiswahilimovierecaps2024
    @kiswahilimovierecaps2024 Год назад +1

    MADEM WAHUNI HAHAHA

  • @TzwatotowetuAzina
    @TzwatotowetuAzina 10 месяцев назад

    Mungu awape uvumilivu katika kila jambo waimbaji wa nyimbo za injili

  • @nereaigogo4442
    @nereaigogo4442 Год назад +1

    What I can say is
    Don't judge

  • @JanethAlbert-bq8mm
    @JanethAlbert-bq8mm Год назад +3

    Kaka umeongea vyema tena kwa hekima kubwa sanaa🙌👏.Mungu azid kukuneemesha

  • @GraceSimba
    @GraceSimba Год назад

    Kaka, ulishawahi kuwa mtangazaji was prez power radio?

  • @tumainimsigomba4117
    @tumainimsigomba4117 Год назад

    duu angel bernad nimekosa neno la kuongeza

  • @gracemwita4167
    @gracemwita4167 Год назад

    Ila angle n too much,Mungu amusaidie asee

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 4 месяца назад

    Waimbaji wengi wanatamaa

  • @josephatn5040
    @josephatn5040 Год назад +5

    Theologia ina evolve?!!!. Ni sawa na kusema Mungu anabadilika kulingana na wakati. Mie napita!

  • @mariethamtawa314
    @mariethamtawa314 Год назад +1

    This man, Mungu ambariki

  • @EvaInnocent-nd2vg
    @EvaInnocent-nd2vg 9 месяцев назад

    Mungu wajua yote jaman uwiiii haya

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Год назад

    Huyu angle ajitathmn ase sjapenda mm,, kabla ya kuolewa alibeba mimba, akazaa mtoto, alipoanza kuwa maarufu akaolewa akazaa watoto wawili, so ameacha huyo mume ndo kaolewa na mwingne so sadness sjapenda hata kidogo

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Год назад

      Alizaa na Nick shaboka kabla hajaolewa 🙌
      Kumbe Kwa mumewe kazaa watt2? Sikujua ,nilidhani 1

    • @elizabethmabula6044
      @elizabethmabula6044 Год назад

      Mpendwa ni vita tuu wewe muombeee,, unapokuwa na kitu kikubwa zaidi ndo unazidi fatiliwa zaidiii

  • @happysimle991
    @happysimle991 Год назад +2

    Huyu kaka anaonhea kwa upeo sana yupo rohoni, nilazima tuwe makini maana shetani pia yupo kazini

  • @8019bm
    @8019bm Год назад

    Hamnaga ndoabya mfano. Kila ndoa ni unique.

  • @catherinekiwipa9271
    @catherinekiwipa9271 Год назад +1

    Duuu kweli

  • @ezzyzephania2597
    @ezzyzephania2597 Год назад

    MUNGU atusaidie wanaume!

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад +1

    Dada amesha ingia mjini ame pata mabawa 😂

  • @hamisikibwana6642
    @hamisikibwana6642 Год назад

    HONGERA

  • @jacklineanyumba5413
    @jacklineanyumba5413 Год назад

    Ni kweli haya

  • @anessabinery5654
    @anessabinery5654 Год назад

    eehehehehehe

  • @hamisikibwana6642
    @hamisikibwana6642 Год назад

    SAFI SANA

  • @ennykyambiki2680
    @ennykyambiki2680 Год назад

    So sad kwakweli,.angel,Shetani anamtumia sanaa.

  • @neypaul6416
    @neypaul6416 Год назад

    😭😭

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Год назад +10

    Kumbe uyu Dada anaishi Marekani sikuizi

  • @marrynaftali7969
    @marrynaftali7969 Год назад

    My wizo favie

  • @macdonaldmwakisambwe6494
    @macdonaldmwakisambwe6494 Год назад +3

    Inatisha aisee Mungu atusaidie ila akumbuke hayo ni yadunia tu ila kuna mbingu, na mwisho wa mambo yote umekaribia

  • @mariammbwaga8463
    @mariammbwaga8463 Год назад

    🤦 Mungu tusaidie