UKWELI KUHUSU NDOA YA MWIMBAJI ANGEL BENARD NA ALIEKUWA MUME WAKE GODSAVE SAKAFU....✍️
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Baada Ya Minong'ono Mingi Ya Watu Wakitaka Kujua Ukweli Kuhusu Ndoa Ya Mwimbaji Wa Nyimbo Za Injili ANGEL BENARD Na Aliekua Mume Wake GODSAVE SAKAFU Hatimae Tumempata FELIS MUBIBYA Kutoka Marekani Na Amethibitisha Kuwa Wawili Hao Wametengana Na ANGEL BENARD Kufunga ndoa Nyingine Huko Marekani.
Wanawake bhnaaa😢😢😢
Unaehojiwa Mungu akubariki,una hekima,endeleeni kuwapokea wengine wanaotoka Tanzania na kufika huko.Mungu atawalipa.
Watoto watatu baba tofauti sasa na mume wa NNE!!
Na bado anaitwa mtumishi!!
Mungu tusamehe😭😭.
Ndio Mungu wetu ni Mungu wa wasio wakamilifu ko mtu n lazima atafute furaha yake na sio afanye kisaya walimwengu
Kwa hyo anao watoto 3 now?
@@messiasulleydidy2585 anao 5
Yesu mwenyewe hakuwa wa yusuf. Wewe mkalifu hongera yako
@@pendolaison5478 weweee na ni kweli mtoto na babake?
Dah jamani Angel na mumewe ...what happened?...imeshindikana Kabisa kutatua changamoto zao ...dah maisha haya
Mmmh walokolo wengi hawajiombei ila wanapoteza muda mwingi kulaumu na kuwakosoa ambao hawajaokoka. Walokole jirekebisheni. Mnaturudisha nyuma kimaombi
Kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe. Wasikurudishe nyuma maana Kila mtu anawajibikia maisha yake
Ninachokijua katika ukristo kwa maana katika ulokole ,Mke mmoja mume mmoja mpaka kifo kiwatenganishe,atakayeipenda nafsi yake ataiangamiza Bali atakeichukia nafsi yake ataiokoa
Jesus...hsysa mambo yametokeaje tena...ok hakuna aliye mkamilifu but ...
Amejibu vema sana huyu mtu
Sijaelewa, ni nini?, ,Angel au mwingine?, Mbona ndo mwimbaji ambae nilikuwa nafikiri ana akili na anamjua MUNGU
Yaani🙌
Humjui Angel vizuri ww
@@denismabeyo3350 namjulia wapi kaka, basi tu nsikitika,
Hiv waimbaj wanawake asa wa gospel mko na shida gani???😢😢😢;,mkipta umaarufu tu kidgo kosaa mnakimbiaa ndoaa zenu?? Mbona mnatuimbiaa kuhusu ukuu wa MUNGU?? Anaweza kurejesha ndoa yko?? Inakuwaje ashindwe kusaidiaa ndoaa zenu???😢😢😢😢;waimbaj rudini magotin pa MUNGU hukumu inakuja uzinz wenu usifanye YESU atukukanwe n watu kisha muende jehanamu😢😢😢😢.tubun ufalme wa MUNGU umekujaaa??😢😢😢
Uyu jamaa anaye hojiwa Ana akili kubwa na uwezo mkubwa sana.
0:10 w
Hahahaa😂😂😂😂😂
Nimeumia mno,sijui shida Ni Nini lakini angel kuachana na God kwangu huzuni mno
Mwanamke ni Mtu usieweza kumuelewa sana.But every woman wants good life.Imeenda hyo
Umh kuna kazi kweli the Bible is say that kifo ndo kitakachotenganisha mtu na mkewe ama na mmewe hii imezidi penye ukweli lazima ukweli usimame sihukum lakini hapo bado yupo dhambini ni heri angebaki bila ndoa ingefaa zaidi maana hapo yupo ndani ya uzinzi bado hajaokoa kitu hata kama wao wanajua huko chanzo cha kufikia hapo lakini hyo sio ndoa ni uzinifu
Exactly 💯
huyu Baba ana hekima sana, i like him aseee
We kaka unahekima ila enje kama kweli umeachana na mume wako urudi kwa mungo up ya au umeenda kwa mungo singing
Ni kweli anaangalia na kupiga pale Mungu anapoweka mkono na mahali penye baraka yako.😢
Dont judge kila mtu ana mazuri yake na mabaya yake..hata Mungu anajua ndo sababu ya Yesu kuja ulimwenguni.
Waimbaji wa kike wengi wanaachana na waume zao
Shetani yupo kazini jamani sio wao ni roho ya uharibifu kwa kazi wanayofanya
Kinachotakiwa ni wao wakae katika maombi ya kina ili kuepuka uovu ulioandaliwa na ibilisi dhidi yao.
MCONGOMANI WETU GOD BLESS YOU ❤❤❤🎉🎉
😭😭😭😭😭😭😭nimeumia Sana jamani
Mtu anaimba lakn afati maandiko Mungu atusaidiee😢
Mungu Hapendi kuachana aiseee
KUIMBA HAKUMPELEK MTU MBNGUNI ASE
Shetani ni muongo sana, yaani ni kuzidi tu kumwomba Mungu atusaidie.
Kwamba hatumombi? Tunamwomba jamaniiiiiii ila nass wanadam tupunguze tamaa na mihemko
huo mwanamke anajificha eti kaokoka nyumba anatabia mbaya
Narudia tena shikamoo waimbaji 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
NA WANAIMBA TU KAMA AJIRA LAKINI HAIMAANISHI MATENDO YAO. KWAMBA SIO KILA MUIMBA INJILI KAOKOKA KUTOKA MOYONI
😅😅😅😂
Mungu awasaidie watumishi wake wote kuishi kwa kufuata kusudu na kanuni za kiMungu hapa duniani.
😭😭😭😭😭 Ee Mwenyezi Mungu turehemu
Duh,, Mungu awasaidie waimbaji
Mtu unamuacha mume wako au mnaachana tena wewe ni mtumishi halafu unaenda kufunga ndoa na mwanaume mwingine na unaamani kabisa na unaendelea na hudùma kweli.....ivi mnajua mnatupa uguu gani wakuhubiri au kutangaza neno la Mungu ukishakuwa mtumishi jaman unakua barua watu wanqkusoma wewe matendo yko mpk maneno yako ....unakua kiooo kwamataifa na nikitu ambacho kinaleta utukufu kwa Mungu ...aisee Mungu atusaidie sanaa
Aisee hii kali! I never expected this. May God help us
Mungu atusaidie sn
Naona huu mrembo anaeza bada olewa mara tena iwe tena ndoa tatu
Mungu wangu Angel ameolewa ndoa ya tatu ?? Ooh my God the enemy is at work kabisa
Nimefurahia sana hekima uliyotumia brothe Felis.
Kaka unahekima Sana,ubarikiwe.
Sana
Sanaaaa
Tusihukumu jamani wanaojua ukweli kati yao ni wao wenyewe, usinyooshe kidole wakat vingine vinne vinakurudia, emb tumuache MUNGU ndie muhukumu sahihi
Kweli ndo ni ya wawili Siri ya kuachana wanaijua wenyewe
Kweli
Duh asee mungu aturehemu sana
Waimbaji wengi sana Wanaachika ase
Duh ila wadada 😢😢🙌🏻 mkaka wawatu anakusapoti unamuacha akikutaza unasema anakuonea mwee 🙌🏻🙌🏻
Wew angel ameachn na Gody?
Hakuna anayejua nini kiliwakuta jaman usisimamie upande mmoja tu
@@messiasulleydidy2585 et mwayego ndo namm nimebaki nashangaa wameachana nayy ameisha olewa uko uko USA
@@janethvincent7572 ni kweli unacho sema ila waimbaji wa gospel wa KIBONGO wengi wanazingua wakifanikiwa tu wanawaacha waume zao
Maisha haya
Very mindful and logical man.
Binadamu na waasi by nuture, Mungu atusaidie
Duh! Mungu tuwezeshe jamani
MADEM WAHUNI HAHAHA
Mungu awape uvumilivu katika kila jambo waimbaji wa nyimbo za injili
What I can say is
Don't judge
Kaka umeongea vyema tena kwa hekima kubwa sanaa🙌👏.Mungu azid kukuneemesha
Kaka, ulishawahi kuwa mtangazaji was prez power radio?
duu angel bernad nimekosa neno la kuongeza
Ila angle n too much,Mungu amusaidie asee
Waimbaji wengi wanatamaa
Theologia ina evolve?!!!. Ni sawa na kusema Mungu anabadilika kulingana na wakati. Mie napita!
Wala hajakosea mana Mungu hapendwzw na hiyo kitu
Mungu ni yuleyule habadiriki
Watu ndo wanabadirika
Theology is not God just curriculum .God is the same yesterday, today and tomorrow.
@@linetwanjira4472 good
This man, Mungu ambariki
Mungu wajua yote jaman uwiiii haya
Huyu angle ajitathmn ase sjapenda mm,, kabla ya kuolewa alibeba mimba, akazaa mtoto, alipoanza kuwa maarufu akaolewa akazaa watoto wawili, so ameacha huyo mume ndo kaolewa na mwingne so sadness sjapenda hata kidogo
Alizaa na Nick shaboka kabla hajaolewa 🙌
Kumbe Kwa mumewe kazaa watt2? Sikujua ,nilidhani 1
Mpendwa ni vita tuu wewe muombeee,, unapokuwa na kitu kikubwa zaidi ndo unazidi fatiliwa zaidiii
Huyu kaka anaonhea kwa upeo sana yupo rohoni, nilazima tuwe makini maana shetani pia yupo kazini
Hamnaga ndoabya mfano. Kila ndoa ni unique.
Duuu kweli
MUNGU atusaidie wanaume!
Dada amesha ingia mjini ame pata mabawa 😂
😅😅
HONGERA
Ni kweli haya
eehehehehehe
SAFI SANA
So sad kwakweli,.angel,Shetani anamtumia sanaa.
Usilolijua ni kama usiku WA giza
@@leticialubala9721we unajua ukweli nini ?
😭😭
Kumbe uyu Dada anaishi Marekani sikuizi
ee
Mda mrefu
Mmh hayaa
Muda sana
😅ndio na kaolewa huko tena
My wizo favie
Inatisha aisee Mungu atusaidie ila akumbuke hayo ni yadunia tu ila kuna mbingu, na mwisho wa mambo yote umekaribia
Ni kweli kabisa
🤦 Mungu tusaidie