EXCLUSIVE: MTOTO MWINGINE WA GARDNER KAFUNGUKA MAZITO BAADA YA KUKUTANA NA BABA YAKE UKUBWANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 авг 2020
  • #millardayoUPDATES

Комментарии • 539

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm 3 года назад +88

    MMH.............JAMAN KAMA NA WEWE UMEBAKI MDOMO WAZI KAMA MIMI
    LIKE YAKO JAMAN

  • @shukurukoll7269
    @shukurukoll7269 3 года назад +11

    Haiba yake inafanana naye Gardner. Haya yanatokea duniani si mageni kwani ujana wakati mwingine husababisha haya. Mimi pia nilikutana na kijana wangu wa kwanza akiwa ana miaka 26 na alikuwa hana shida ila alikosa amani kutonijua nami pia kipindi chote nilikosa amani. Lakini Mwenyezi Mungu alitukutanisha na tunaishi vizuri sana, akiniheshimu sana na kwa upendo mkubwa.

  • @eddiexjr1
    @eddiexjr1 3 года назад +1

    You're so beautiful and smart ...keep it real . Nimekupenda sana

  • @erickmanyeck3913
    @erickmanyeck3913 3 года назад +27

    Umekuja kufanyaje hapo sasa kama hauna majibu??? Kwendraaah

  • @cimpaye5625
    @cimpaye5625 3 года назад +10

    Wamefanana sanaaa😍🥰

  • @reubendick4033
    @reubendick4033 3 года назад +2

    Beautiful

  • @moureenmartin4125
    @moureenmartin4125 3 года назад +9

    Mmmh mtu anashndwa kukiri kama ni baba au lah.. hii ni kiki tu hamna jambo hapa

  • @arafaally2895
    @arafaally2895 3 года назад +20

    Huyu ananidhamu kubwa.mtoto anaejilea bila wazazi huwa anakomaa kiakili

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Месяц назад +2

    Ni mzuri. Gadner alikuwa mjuzi wa mambo

  • @MfaumeNgare
    @MfaumeNgare 23 дня назад +1

    REAL Daughter, she sound like her Father

  • @ramadhanimrisho5532
    @ramadhanimrisho5532 3 года назад +1

    Safi

  • @dianamlagwa9383
    @dianamlagwa9383 29 дней назад +1

    Ana busara sana👏🏽👏🏽👏🏽

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 3 года назад +23

    Mashallah nimependa nidham yake katika kujieleza.

  • @janemhagama1925
    @janemhagama1925 3 года назад +19

    Hii interview inaboa mtu wenyewe hafunguki mnamuoji wa nn kama hajibu maswali

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 года назад +20

    Haijalishi lini,we mtafute tu baba ako,tena nenda unakimbia

  • @user-qw8tm3jz2u
    @user-qw8tm3jz2u 22 дня назад +2

    Sisi timejua tuna mdogo wetu akiwa form four yaani wababa wengi wako hivyo ,ila mapenzi yanakuwa madogo mno mimi najilazimisha kumpenda yule msichana lakini wapi

    • @user-bn9iw1lw8f
      @user-bn9iw1lw8f 21 день назад

      Nimekupenda sana we binti anajuwa kujieleza

  • @islandgirl4578
    @islandgirl4578 3 года назад +3

    Nampenda vido

  • @maryammaryam7778
    @maryammaryam7778 19 дней назад

    Mashaallah hapataki tochi sura moja na baba ake

  • @reginamzanje8815
    @reginamzanje8815 3 года назад +1

    Mmmmm,atar

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 Месяц назад +4

    Hii Ndio raha ya zinaa

  • @anniefrankie8110
    @anniefrankie8110 3 года назад +10

    Mrembo,mcheshi,mtaratibu....high vibration na amefanana na gadner puan kwenda juu😍😍😍😍

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 3 года назад

    Waoo

  • @lucylinus4751
    @lucylinus4751 3 года назад +2

    Jaman

  • @rozinaswenya9682
    @rozinaswenya9682 3 года назад

    Safi mwanangu

  • @magrethmoris215
    @magrethmoris215 3 года назад +4

    Hivi mnawajua wa Mama wa kichaga........kiruuuu huyu bint siokwamba hawezii kuongea ila tatiz ni Mama.......msinifokee

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 года назад

    Miwani maashaallah

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 года назад +3

    Eeeh jamani muwatafute baba zenu👐👐👐👐👐👐

  • @fortunataphilipo9049
    @fortunataphilipo9049 Месяц назад +1

    wamefanana ❤

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 3 года назад +3

    Hongera sana gadina unafanana sana na mwanao

  • @godfreydestury8813
    @godfreydestury8813 3 года назад

    Hongera sana Gadnal .

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 3 года назад +4

    Mzuri na anafanana na baba yake Mungu mkubwa na ni vitu vya kawaida watakaa na kumaliza hilo🙏🏼🙏🏼

  • @user-dp1ej6so9i
    @user-dp1ej6so9i 3 дня назад

    Day miwan mikubwa kama vioo vya nyumba!

  • @SalimhchialaAtilio-qj5cs
    @SalimhchialaAtilio-qj5cs 29 дней назад

    ❤❤❤

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda6554 3 года назад

    Mmmmm

  • @nassorsada213
    @nassorsada213 3 года назад +24

    Nahis huy dad alikuw anatngozwa na gdn alivy muelezea ndo akagundua hivy
    Kareen mkubal ndung yak
    Maish yeny mafup hay

  • @reaganlyimo6259
    @reaganlyimo6259 3 года назад

    Duh

  • @herbertkamote2213
    @herbertkamote2213 3 года назад +1

    Hamueleweki bhana

  • @spreadlove2119
    @spreadlove2119 3 года назад +5

    Kazuri na kanajua kujieleza kenyewe 😍

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf Месяц назад +2

    😢rip gadner

  • @MohamedAli-rl8cl
    @MohamedAli-rl8cl 3 года назад +2

    Ana akili sana

  • @user-sj7ux6uw7t
    @user-sj7ux6uw7t 29 дней назад

    Vido pole maan mtu mwenyewe hajui kujieleza uwiiiii

  • @joycedinden530
    @joycedinden530 20 дней назад

    Lakini sauti nisawa na careen.

  • @shangwefisima3993
    @shangwefisima3993 Месяц назад +4

    Ila kweli wanafanana na careen

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 3 года назад +6

    Mmh... Karen 🙅🙅🙅 ...piga kelelee kwa Karen akeee.. weeeeeeweeeehhh

  • @venerandamwalimu16
    @venerandamwalimu16 3 года назад +3

    Kwa mila zetu za kiafrika kakosea sana na ilitakiwa amsitiri mama yake na baba aliyemlea ameteta gumzo kwenye ukoo....chuki kwa wadogo zake ambao amezaliwa nao.

  • @mudimswaz1339
    @mudimswaz1339 3 года назад

    Mmmh

  • @rosekadanga3940
    @rosekadanga3940 3 года назад

    Mmmhhh

  • @GaudenciaBasil-wk7qk
    @GaudenciaBasil-wk7qk Месяц назад +1

    Hovyooo

  • @asljaslj5375
    @asljaslj5375 3 года назад +1

    Eee

  • @salisali174
    @salisali174 3 года назад +2

    Kudanga kazi

  • @ashamayuwe2891
    @ashamayuwe2891 Месяц назад +1

    Kama mzazi nasikia vibaya kwa situation aliyokuwa nayo huyu binti. So sad. Ila vote maisha

  • @flyoverfamilyentertainment9275
    @flyoverfamilyentertainment9275 3 года назад +20

    WABONGO ACHENI WIVU..MTU NA BABA YAKE INAWAUMA NINI.ILA ITABIDI MZOEE.

  • @rebeccageorge9006
    @rebeccageorge9006 15 дней назад

    kashajua Kuna mafao uyoo

  • @naomimabula2660
    @naomimabula2660 3 года назад +20

    Kafanana na Gadn, pia Kereen hawez kuzuia chochote kwa alichofanya baba yake, ni kumkubal ndug yake.

  • @priscaprisca2569
    @priscaprisca2569 3 года назад +4

    sio Babake mzazi ila kutokana na ukaribu pamoja na mazoea ndio hivyo wamechukuliana kama baba na mwana, da way nilivyomwolewa

  • @sarahangel9814
    @sarahangel9814 3 года назад +1

    Hilo limiwan ss

  • @priskajustin707
    @priskajustin707 3 года назад +1

    Wamefanana macho

  • @esterkimario1126
    @esterkimario1126 3 года назад +3

    sasa anacheka nn mmh

  • @janesemngindo4544
    @janesemngindo4544 29 дней назад +2

    Sidhani kama ni baba mzazi. Anazungusha sana maneno hayupo straight. Huenda ni mlezi yaani aliamua kumsaidia kimaisha tu. Mtazamo wangu.

    • @annadua9083
      @annadua9083 28 дней назад +1

      Hata G Habashi mwenyewe amesema ni mtoto wake

  • @mamymamiza2924
    @mamymamiza2924 3 года назад +2

    Safi my umajieleza vizuri sanaaa

  • @yusrasalmin9563
    @yusrasalmin9563 3 года назад +5

    Mara unamwambia mama umepewa ada na Baba mara ulikua hujamuambia mama km umemjua baba woiiii

  • @julianelusubiro4655
    @julianelusubiro4655 3 года назад +22

    sipendi kiki za kijnga mimi jamani, najiskia kufoka tu hapa kwa jinsi nilivyokasirika

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t 28 дней назад

    Jamani lakini kafanana na Gardner 👌

  • @erneverernest5552
    @erneverernest5552 3 года назад +2

    Amefanana na kareen sana.Gadna hongera Mungu akutunzie watoto wako na mjukuu wako

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 года назад +10

    Yaani huyu hajui hata kuongea eti mama alikuwa anajua kama unawasiliana na baba eti alikuwa hajui.Na kama mama alikuwa hajui kama mnawasiliana ulijuaje sasa kama Gadner ni baba yako? Ila wewe kuna kitu kikubwa amabcho mmeshafanya na Gardner na si bure hapo.

  • @hamishamis4439
    @hamishamis4439 3 года назад +2

    Maajabu,mbona tunamjua huyu......Acha zako

  • @sophiajackson5001
    @sophiajackson5001 3 года назад +8

    Maelezo hayaeleweki.... Sasa alijuaje Kama mamaake hakusema..... Hapa kuna jambo limejificha

  • @S__Official24
    @S__Official24 3 года назад +24

    Matunda ya fiesta hayo waliyoyapanda mikoani
    Yashastawi yanakuja sasa yenyewe

  • @AboubacarcastingKassim
    @AboubacarcastingKassim 28 дней назад

    Hayo yapo sana,binafsi mimi nina watoto 2 ambao ni mapacha wa kike na kiume wanamiaka17 .hawamjui baba yao yupo hai na hana habari nao wala watoto nao hawana namna.wamekubali matokeo

  • @TwahaShoo
    @TwahaShoo 27 дней назад

    Ukiangalia kwa makini wanafanana

  • @fridaystartv9921
    @fridaystartv9921 3 года назад +1

    Kwhy gardner anamjukuu tyr

  • @tausingomeni2568
    @tausingomeni2568 3 года назад +9

    Ila wamefanana sura gadner, saut kdg na careen

    • @khadijazinga8173
      @khadijazinga8173 3 года назад +2

      Kabsa iyo sauti

    • @aminaramdan3283
      @aminaramdan3283 3 года назад +2

      Yani mpk kucheka kabisa NA Anafanana na baba yake, ni kweli hata kuongea kabisa

  • @idrisssuleh7761
    @idrisssuleh7761 3 года назад

    Fara we

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 года назад +3

    👌👌👌👌👌👌👌👌👌Gadner mambo ni pambe

  • @stainasimkoko7504
    @stainasimkoko7504 3 года назад +14

    Kumbe baba wa hiari kwa maneno hayo sio baba mzazi

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 3 года назад

    Kweli wamefanana.

  • @laylasuliman5805
    @laylasuliman5805 3 года назад +1

    We dada hutoi maelezo vzr

  • @swahilionline6001
    @swahilionline6001 3 года назад +5

    Mm hata simwelewi!! Haya bhana mtajua wenyewe

    • @marylucas5285
      @marylucas5285 3 года назад +1

      Ata me simuelewi

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 2 дня назад

      😂😂😂😂 umeuwa yaani wewe ni Mimi kabisa 😂😂

  • @rajmkonje7149
    @rajmkonje7149 3 года назад +11

    Huyu ndo kafanana na gardener macho sura mnaekosoa sio mtoto wake ni jealous zao na wengine hawana watoto

    • @clevermngao7565
      @clevermngao7565 3 года назад +1

      Nafikiri alikuwa video vix wimbo wa Christian Bella " Si ulisema"

  • @epifaniakavishe9282
    @epifaniakavishe9282 Месяц назад

    Ah ata havieleweki

  • @blandinamnyinga8318
    @blandinamnyinga8318 3 года назад +8

    Baba halisi wa mtoto wanawake ndio wanawajua.habari ndiyo hiyoooo.🤣🤣🤣🤣🤣wanaume yawezekana watoto mnaowapost Instagram siyo wakwenu""cc siyo watu wa mchezo mchezo saa nyingine""

    • @danielalphonce1653
      @danielalphonce1653 3 года назад

      Sio mara zote

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 3 года назад +1

      @@danielalphonce1653 Dan, tulia ndio maana mwisho nimeandika""saa nyingine"""

    • @danielalphonce1653
      @danielalphonce1653 3 года назад

      @@blandinamnyinga8318 Kuna wanawake wanajielewa kwaiyo usiwapake matope...

    • @blandinamnyinga8318
      @blandinamnyinga8318 3 года назад +1

      @@danielalphonce1653 narudia tena ndio maana nikaandika ""saa nyingine mwishoni,kwa hiyo ni kweli siyo wote.

    • @danielalphonce1653
      @danielalphonce1653 3 года назад

      @@blandinamnyinga8318 sisi siyo watu wa mchezo mchezo saa nyingi. Usiinge andika 'sisi' ila ungetumia neno baadhi yetu.

  • @nathanmmasi3890
    @nathanmmasi3890 Месяц назад

    Da ase ayamaisha bana

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 3 года назад +1

    Wanaume tuzae tuuu, ilimradi mwanamke unaezaa nae ni above 18yrs na ana akili timamu tuuu, watoto ndio mtaji wa maisha,na siku ukifa hawawez kusema umeacha magari 10, mashamba mengi NO, WATASEMA TU KWAMBA MAREHEMU KAACHA MKE/MME NA WATOTO KADHAAA,!

  • @tommyjames5669
    @tommyjames5669 3 года назад +3

    Hakuna kitu hapo upupu tupu aseme anatoa ngoma gani

  • @flyoverfamilyentertainment9275
    @flyoverfamilyentertainment9275 3 года назад +11

    WANAWAKE ACHENI WIVU..ROHO ZINAWAUMA ...ILA MTAZOEA TU

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d Месяц назад +1

    Sasa huyu ndie kafanana na gadner yule careen wa mchongo hawafanani na gadner

  • @eliakisigila6753
    @eliakisigila6753 Месяц назад +1

    Msibani mbona hatujakuona mdada? Au ulikuwa nje ya nchi mama?

  • @rosaliembarikiwa592
    @rosaliembarikiwa592 3 года назад +1

    Hivi ulikuwa wapi miaka yote hiyo?

  • @mamuliciosrajab6664
    @mamuliciosrajab6664 3 года назад

    Ajui Kujieleza

  • @happynesskampando9425
    @happynesskampando9425 3 года назад +5

    Vizuri but anajichekesha kwa mambo ya sirius ni pesonal .

  • @theophilwilliam6906
    @theophilwilliam6906 3 года назад +3

    DNA Test ni muhimu sana ili kuondoa utata hapo. Gardner awezeshe hilo ili kuweka kila kitu sawa.

  • @julianasekela9251
    @julianasekela9251 Месяц назад +1

    Msibani amekaa kipande gani ? Jamani

  • @evaasenga6351
    @evaasenga6351 3 года назад

    Iyo miwani sasaaaaa

  • @violethdavid309
    @violethdavid309 26 дней назад

    yaani huyu maisha aloyapitia ni mimi kabisaaaaa

  • @winnermariah
    @winnermariah 3 года назад +2

    Sawa SKUKI 🤣🤣🤣🤣

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Месяц назад +3

    Kafanana sana na Gadna! Aisee

  • @africosimonmattogoro6986
    @africosimonmattogoro6986 Месяц назад +1

    Kwenye msiba wa gadna, wamesema gadna kahacha mtoto 1 Kareen, na mjukuu 1. Je hii imekaaje

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 Месяц назад +1

    caren hamtaki huyu dada alihojiwa akamkataa kabisa

  • @musason1680
    @musason1680 3 года назад +1

    Hajaulizwa ya Instagram kashafika mbali

  • @teddyndungurusabnu4792
    @teddyndungurusabnu4792 3 года назад +4

    Mmmh nimesikiliza kwa makini maelezo yake me hata sijamuelewa mbona Kama mpenzi wake? Huyu sio baba yake kabisaaa sijui lakini ngoja tusubiri