Haiba yake inafanana naye Gardner. Haya yanatokea duniani si mageni kwani ujana wakati mwingine husababisha haya. Mimi pia nilikutana na kijana wangu wa kwanza akiwa ana miaka 26 na alikuwa hana shida ila alikosa amani kutonijua nami pia kipindi chote nilikosa amani. Lakini Mwenyezi Mungu alitukutanisha na tunaishi vizuri sana, akiniheshimu sana na kwa upendo mkubwa.
Sisi timejua tuna mdogo wetu akiwa form four yaani wababa wengi wako hivyo ,ila mapenzi yanakuwa madogo mno mimi najilazimisha kumpenda yule msichana lakini wapi
Kwa mila zetu za kiafrika kakosea sana na ilitakiwa amsitiri mama yake na baba aliyemlea ameteta gumzo kwenye ukoo....chuki kwa wadogo zake ambao amezaliwa nao.
Yaani huyu hajui hata kuongea eti mama alikuwa anajua kama unawasiliana na baba eti alikuwa hajui.Na kama mama alikuwa hajui kama mnawasiliana ulijuaje sasa kama Gadner ni baba yako? Ila wewe kuna kitu kikubwa amabcho mmeshafanya na Gardner na si bure hapo.
Hayo yapo sana,binafsi mimi nina watoto 2 ambao ni mapacha wa kike na kiume wanamiaka17 .hawamjui baba yao yupo hai na hana habari nao wala watoto nao hawana namna.wamekubali matokeo
Baba halisi wa mtoto wanawake ndio wanawajua.habari ndiyo hiyoooo.🤣🤣🤣🤣🤣wanaume yawezekana watoto mnaowapost Instagram siyo wakwenu""cc siyo watu wa mchezo mchezo saa nyingine""
Wanaume tuzae tuuu, ilimradi mwanamke unaezaa nae ni above 18yrs na ana akili timamu tuuu, watoto ndio mtaji wa maisha,na siku ukifa hawawez kusema umeacha magari 10, mashamba mengi NO, WATASEMA TU KWAMBA MAREHEMU KAACHA MKE/MME NA WATOTO KADHAAA,!
MMH.............JAMAN KAMA NA WEWE UMEBAKI MDOMO WAZI KAMA MIMI
LIKE YAKO JAMAN
Haiba yake inafanana naye Gardner. Haya yanatokea duniani si mageni kwani ujana wakati mwingine husababisha haya. Mimi pia nilikutana na kijana wangu wa kwanza akiwa ana miaka 26 na alikuwa hana shida ila alikosa amani kutonijua nami pia kipindi chote nilikosa amani. Lakini Mwenyezi Mungu alitukutanisha na tunaishi vizuri sana, akiniheshimu sana na kwa upendo mkubwa.
You're so beautiful and smart ...keep it real . Nimekupenda sana
Umekuja kufanyaje hapo sasa kama hauna majibu??? Kwendraaah
Wamefanana sanaaa😍🥰
Beautiful
Mmmh mtu anashndwa kukiri kama ni baba au lah.. hii ni kiki tu hamna jambo hapa
Huyu ananidhamu kubwa.mtoto anaejilea bila wazazi huwa anakomaa kiakili
Ni mzuri. Gadner alikuwa mjuzi wa mambo
REAL Daughter, she sound like her Father
Safi
Ana busara sana👏🏽👏🏽👏🏽
Mashallah nimependa nidham yake katika kujieleza.
Hii interview inaboa mtu wenyewe hafunguki mnamuoji wa nn kama hajibu maswali
Haijalishi lini,we mtafute tu baba ako,tena nenda unakimbia
Sisi timejua tuna mdogo wetu akiwa form four yaani wababa wengi wako hivyo ,ila mapenzi yanakuwa madogo mno mimi najilazimisha kumpenda yule msichana lakini wapi
Nimekupenda sana we binti anajuwa kujieleza
Nampenda vido
Mashaallah hapataki tochi sura moja na baba ake
Mmmmm,atar
Hii Ndio raha ya zinaa
Mrembo,mcheshi,mtaratibu....high vibration na amefanana na gadner puan kwenda juu😍😍😍😍
Wamefanana mno
hata busara kama za baba yake
Waoo
Jaman
Safi mwanangu
Hivi mnawajua wa Mama wa kichaga........kiruuuu huyu bint siokwamba hawezii kuongea ila tatiz ni Mama.......msinifokee
Miwani maashaallah
Eeeh jamani muwatafute baba zenu👐👐👐👐👐👐
wamefanana ❤
Hongera sana gadina unafanana sana na mwanao
Hongera sana Gadnal .
Mzuri na anafanana na baba yake Mungu mkubwa na ni vitu vya kawaida watakaa na kumaliza hilo🙏🏼🙏🏼
Day miwan mikubwa kama vioo vya nyumba!
❤❤❤
Mmmmm
Nahis huy dad alikuw anatngozwa na gdn alivy muelezea ndo akagundua hivy
Kareen mkubal ndung yak
Maish yeny mafup hay
Duh
Hamueleweki bhana
Kazuri na kanajua kujieleza kenyewe 😍
😢rip gadner
Ana akili sana
Vido pole maan mtu mwenyewe hajui kujieleza uwiiiii
Lakini sauti nisawa na careen.
Ila kweli wanafanana na careen
Mmh... Karen 🙅🙅🙅 ...piga kelelee kwa Karen akeee.. weeeeeeweeeehhh
Kwa mila zetu za kiafrika kakosea sana na ilitakiwa amsitiri mama yake na baba aliyemlea ameteta gumzo kwenye ukoo....chuki kwa wadogo zake ambao amezaliwa nao.
Mmmh
Mmmhhh
Hovyooo
Eee
Kudanga kazi
Kama mzazi nasikia vibaya kwa situation aliyokuwa nayo huyu binti. So sad. Ila vote maisha
WABONGO ACHENI WIVU..MTU NA BABA YAKE INAWAUMA NINI.ILA ITABIDI MZOEE.
kashajua Kuna mafao uyoo
Kafanana na Gadn, pia Kereen hawez kuzuia chochote kwa alichofanya baba yake, ni kumkubal ndug yake.
sio Babake mzazi ila kutokana na ukaribu pamoja na mazoea ndio hivyo wamechukuliana kama baba na mwana, da way nilivyomwolewa
Baba wa hiari
Hilo limiwan ss
Wamefanana macho
sasa anacheka nn mmh
Sidhani kama ni baba mzazi. Anazungusha sana maneno hayupo straight. Huenda ni mlezi yaani aliamua kumsaidia kimaisha tu. Mtazamo wangu.
Hata G Habashi mwenyewe amesema ni mtoto wake
Safi my umajieleza vizuri sanaaa
Mara unamwambia mama umepewa ada na Baba mara ulikua hujamuambia mama km umemjua baba woiiii
sipendi kiki za kijnga mimi jamani, najiskia kufoka tu hapa kwa jinsi nilivyokasirika
😀😀😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mamae ondoka hapa kabla hujafoka
😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙈
🤣🤣🤣
😆😆😆😆😆🤸🤸
Jamani lakini kafanana na Gardner 👌
Amefanana na kareen sana.Gadna hongera Mungu akutunzie watoto wako na mjukuu wako
Yaani huyu hajui hata kuongea eti mama alikuwa anajua kama unawasiliana na baba eti alikuwa hajui.Na kama mama alikuwa hajui kama mnawasiliana ulijuaje sasa kama Gadner ni baba yako? Ila wewe kuna kitu kikubwa amabcho mmeshafanya na Gardner na si bure hapo.
Wapuuzi kweliii
kinatafuta kiki...kujieleza hajui
Kweli
Maajabu,mbona tunamjua huyu......Acha zako
Maelezo hayaeleweki.... Sasa alijuaje Kama mamaake hakusema..... Hapa kuna jambo limejificha
Kweli
Nahisi ni muongo.
Matunda ya fiesta hayo waliyoyapanda mikoani
Yashastawi yanakuja sasa yenyewe
😂😂😂😂🙌😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkubwa kuliko fiesta Kama ni mkubwa kwa karen.huyu ni wa zaidi 1998 clouds ilipoanzishwa rasmi pale kitega uchumi.
Ur so genius😁
True
Hayo yapo sana,binafsi mimi nina watoto 2 ambao ni mapacha wa kike na kiume wanamiaka17 .hawamjui baba yao yupo hai na hana habari nao wala watoto nao hawana namna.wamekubali matokeo
Ukiangalia kwa makini wanafanana
Kwhy gardner anamjukuu tyr
Ila wamefanana sura gadner, saut kdg na careen
Kabsa iyo sauti
Yani mpk kucheka kabisa NA Anafanana na baba yake, ni kweli hata kuongea kabisa
Fara we
👌👌👌👌👌👌👌👌👌Gadner mambo ni pambe
Kumbe baba wa hiari kwa maneno hayo sio baba mzazi
Kweli wamefanana.
We dada hutoi maelezo vzr
Mm hata simwelewi!! Haya bhana mtajua wenyewe
Ata me simuelewi
😂😂😂😂 umeuwa yaani wewe ni Mimi kabisa 😂😂
Huyu ndo kafanana na gardener macho sura mnaekosoa sio mtoto wake ni jealous zao na wengine hawana watoto
Nafikiri alikuwa video vix wimbo wa Christian Bella " Si ulisema"
Ah ata havieleweki
Baba halisi wa mtoto wanawake ndio wanawajua.habari ndiyo hiyoooo.🤣🤣🤣🤣🤣wanaume yawezekana watoto mnaowapost Instagram siyo wakwenu""cc siyo watu wa mchezo mchezo saa nyingine""
Sio mara zote
@@danielalphonce1653 Dan, tulia ndio maana mwisho nimeandika""saa nyingine"""
@@blandinamnyinga8318 Kuna wanawake wanajielewa kwaiyo usiwapake matope...
@@danielalphonce1653 narudia tena ndio maana nikaandika ""saa nyingine mwishoni,kwa hiyo ni kweli siyo wote.
@@blandinamnyinga8318 sisi siyo watu wa mchezo mchezo saa nyingi. Usiinge andika 'sisi' ila ungetumia neno baadhi yetu.
Da ase ayamaisha bana
Wanaume tuzae tuuu, ilimradi mwanamke unaezaa nae ni above 18yrs na ana akili timamu tuuu, watoto ndio mtaji wa maisha,na siku ukifa hawawez kusema umeacha magari 10, mashamba mengi NO, WATASEMA TU KWAMBA MAREHEMU KAACHA MKE/MME NA WATOTO KADHAAA,!
Hakuna kitu hapo upupu tupu aseme anatoa ngoma gani
WANAWAKE ACHENI WIVU..ROHO ZINAWAUMA ...ILA MTAZOEA TU
Sasa huyu ndie kafanana na gadner yule careen wa mchongo hawafanani na gadner
Msibani mbona hatujakuona mdada? Au ulikuwa nje ya nchi mama?
Hivi ulikuwa wapi miaka yote hiyo?
Ajui Kujieleza
Vizuri but anajichekesha kwa mambo ya sirius ni pesonal .
Unanimalizia bando tu kwedraaaaaaaaa
DNA Test ni muhimu sana ili kuondoa utata hapo. Gardner awezeshe hilo ili kuweka kila kitu sawa.
Msibani amekaa kipande gani ? Jamani
Iyo miwani sasaaaaa
yaani huyu maisha aloyapitia ni mimi kabisaaaaa
Sawa SKUKI 🤣🤣🤣🤣
Kafanana sana na Gadna! Aisee
Acha uongo
Kwenye msiba wa gadna, wamesema gadna kahacha mtoto 1 Kareen, na mjukuu 1. Je hii imekaaje
caren hamtaki huyu dada alihojiwa akamkataa kabisa
Hajaulizwa ya Instagram kashafika mbali
Mmmh nimesikiliza kwa makini maelezo yake me hata sijamuelewa mbona Kama mpenzi wake? Huyu sio baba yake kabisaaa sijui lakini ngoja tusubiri
Ni hawala yake