TUKIO LA AJABU JAMAA AGANDA BARABARANI NA MWAMVULI HAONGEI WALA KUTIKISIKA "AMTAJA MARIAMU"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 апр 2024

Комментарии • 693

  • @coj7920
    @coj7920 23 дня назад +132

    Liitieni jina la Yesu , jina lipitalo majina yote, hakuna nguvu zozote za giza zitakazobaki hapo. Haijalishi kama kuna uliyemkosea au la, Mungu ni mwenye rehema, utafunguliwa kwa Jina la Yesu.

    • @jumaenzi4760
      @jumaenzi4760 23 дня назад +17

      Pole sana yesu anakula anakunya mtu kama wewe t pekeyake mwenye nguvu Allah tu

    • @shamiramsoke1365
      @shamiramsoke1365 23 дня назад +4

      AMINA🙏

    • @denisrukangula2227
      @denisrukangula2227 23 дня назад +26

      Jina la YESU ni Kila kitu Duniani

    • @binseif2216
      @binseif2216 23 дня назад +15

      Kwanini mnamtanguliza Yesu badala ya Mungu?hivi hamjui mnamuudhi Mwenyezi Mungu kiasi gani nyie wagalatia?

    • @pillykinabo8722
      @pillykinabo8722 23 дня назад +5

      Mleteten Raboni ministry ipo Zanzibar..case imeisha hio kwa Jina la yesu.

  • @rosemarymapango3747
    @rosemarymapango3747 22 дня назад +22

    Hizi ni nyakati za kukaa na Mungu Kwa ukaribu sana kuliko maelezo,.Mungu atamfungua lakini

  • @AminaIssa-ee6kl
    @AminaIssa-ee6kl 22 дня назад +7

    Subhannah Allah....maajabu hayaeshi duniani kwa kweli....bado tutaona mengi kabla ya kufa.

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh 22 дня назад +2

      Allah atunusuru, na madhila ya dunia' we Amina Issa kimolo au?

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 23 дня назад +7

    MMM MUNGU TUSAIDIE watu hakika ni wabaya waleteni watu wa Mungu limetushinda sisi hakika Mungu halijamshinda

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 22 дня назад +17

    Sema Damu ya Yesu!! Atapona. Kama ni nguvu za giza bac ni mwisho tu kwa jina la Yesu Kristo. Mathayo8:5-13.

    • @mussamgonola3983
      @mussamgonola3983 22 дня назад

      Damu ya kazi gani mtu asha kufa miaka na miaka acheni kudanganya watu

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m 22 дня назад

      @@mussamgonola3983 Yesu hajafa wala hawezi kufa. Hahahahahaha we ni mjinga kwelikweli

    • @user-jv1ch4tr8q
      @user-jv1ch4tr8q 22 дня назад

      Wewe siwaende useme km inainmani sn😂

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y 23 дня назад +12

    Hakika dunia imeisha mungu msaidie baba huyo aludi kwenye haliyake yamwazo

  • @lizekajigil3243
    @lizekajigil3243 23 дня назад +28

    Waite watumishi wa Mungu wamwombee Yesu atamponya kabisa

    • @martinemaganga5253
      @martinemaganga5253 23 дня назад

      hapo hawezi vinginevyo wamtafute huyo mtu aliyetajwa

    • @user-rw2mm1jk6o
      @user-rw2mm1jk6o 23 дня назад +1

      Watumishi wenyewe wababaishaji tu wapiga pesa

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 23 дня назад +2

      Sasa kama yesu anaweza kumponya je mungu anaweza kufanya Nini au mungu niwakazigani???

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 23 дня назад

      @@zaidiissa3714 wewe umejazwa ujinga wa muddy.

    • @rosekimaro384
      @rosekimaro384 23 дня назад

      Kabisa

  • @IbrahimJoji
    @IbrahimJoji 15 часов назад

    Dam ya yesu inanena mema atakaa sawa

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez 5 дней назад

    Jamani pengine ni husda mpelekeni akasomewe kisomo cha husda😢ishaallah atapoa😮🎉

  • @user-wq8kw7wb1n
    @user-wq8kw7wb1n 23 дня назад +26

    kama vile yesu alivyo hai nakuombea rehema mungu akusamehe akurudishie ufaham kwa jina la yesu uwe mzima uwe mzima

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 23 дня назад

      Je mungu unamuweka upandegani kama yesu anaweza kutenda kilakitu je mungu anaweza kutendanini??

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 23 дня назад +4

      ​@zaidiissa3714
      Mamlaka ya mbinguni na duniani amepewa yeye..kama ukisema mungu ni mungu yupi kuna watu wanaabudu mpaka ng'ombe,miti mashetani. Na ata tembo na wanasema mungu, sasa ili upokee uponyaji wa aina yoyote unatakiwa uliite jina la Yesu Kristo pekee ndilo lenye Mamlaka.

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 23 дня назад

      Ameeeeeeeeeeen Ameen​@@andrewmhagama9816

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 22 дня назад

      Tuwe tunatoa vifungu vya neno la Mungu la bible, watu wengi wamelishwa ujinga
      Unakuta hatujui vitabu vyetu vya dini Zetu. Tumekariri kama kasuku hatari imani ikiwa kwenye lugha za kigeni. Umungu wa Yesu ni tatizo kuelewa. Hata hivyo huyo ndiyo mpinga kristo mwenyewe.

    • @julianamwamgogwa
      @julianamwamgogwa 7 дней назад

      Amina

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 23 дня назад +21

    Chukueni simu yake tafuteni jina la mariam aje amalize iyo mambo ndio kamloga uyo mshenzi sana.

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 23 дня назад +13

    Haha.. kwa nini agande na mwanvuri... Yani amejiandaa asinyeshewe wala asipigwe na jua. Mambo ya ajabu anampigia kampeni mganga atakaekuja kutumtoa ...huo ni mchungo

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 23 дня назад +1

      Jamani acheni utani mana ukisema ni dogo sema halija kukuta

    • @user-cv7vm1mx9d
      @user-cv7vm1mx9d 23 дня назад

      Kuna mganga atakuja kumtoa

  • @user-lz5it9yn4q
    @user-lz5it9yn4q 23 дня назад +4

    Mariam ww! Fanya kufungua chapu, hawa viumbe hatuwalogi tunawasemehe t Mungu anajibu

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 22 дня назад +9

    Waislam wanamakasiriko na wakristo sijui kwanini??? Hivi akilizenu zipo timamu kweli??? Nyie aminini mnacho amini acheni wakristo tuamini tunachoamini punguzeni makasiriko😊

    • @TuyizereHusna
      @TuyizereHusna 18 дней назад

      Wewe za kwako zilizo timia unabishana nini

    • @neemakungule8633
      @neemakungule8633 18 дней назад

      Wew mwenye akili ungekua nazo ungejitahd uwape ata watoto wako mwehu ww

    • @elinapetro7136
      @elinapetro7136 18 дней назад

      @@neemakungule8633 mnatufatilia sana mmbwa nyie utafikiri tunashea msikiti fyuuuuu shetani wenu anawapeleka puta sana mwambieni kabisa hakuna kitakachobadilika yesu ataabudiwa siku zote za Maisha ya mskristo kwaiyo tulizeni vijambio vyenu

    • @Mariam-ke4og
      @Mariam-ke4og 17 дней назад

      udini umeingiaje hapo ?

    • @East_Africa_120
      @East_Africa_120 13 дней назад

      We toa ujinga wako apa

  • @user-hv6qw2zw2y
    @user-hv6qw2zw2y 22 дня назад +4

    Wewe mariam wewe mungu anakuona mwache mwenzako . Akutaje wewe tu .unatisha mariamu

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 20 дней назад

      Inawezekana asiwe yy labda hyo mkewe alikuwa hamuhudumii kisa mariam ndo maana mwenzie kamfanyia hvo ili amtaje hyo mariam anaemuona wa maana

  • @JosephSteven-pf1kf
    @JosephSteven-pf1kf 2 дня назад

    Labda yawezekana kafanya makosa kwa marium au kutembea nae half kamuacha bila bila

  • @mussaadamtheMiXologist1996
    @mussaadamtheMiXologist1996 23 дня назад +9

    I'm the first.... Kapigwa kitu Kizitooo.. Allah amjalie mpambnaji mwenzet arejee katak hali yake na kuendeleza mapambno

    • @kanankirannko6174
      @kanankirannko6174 23 дня назад

      Jamani ,hii barabara kiboko ndo na gambushi njia hiyohiyo ushirikina huko duh

  • @rhodacharles8857
    @rhodacharles8857 23 дня назад +37

    Marium popote ulipo mungu anakuona

  • @mkemiabenzn7811
    @mkemiabenzn7811 23 дня назад +21

    Mariam atafutwe popote alipo aje atwambie amemfanyaje ndugu yetu

    • @MaryanDavid-jo2fs
      @MaryanDavid-jo2fs 23 дня назад +2

      😂😂😂jamani sijamfanya lolote😂😂😂ah jina Mariam ndio mnalolijua

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 23 дня назад +3

      ​@@MaryanDavid-jo2fs😅😅😅😅😅😅😅 tunatisha 😅😅😅😅

    • @gadyetheboss8738
      @gadyetheboss8738 22 дня назад +5

      Wanaume wote tuungane kumsaka mariam amempa nin kijana mwenzetu!

    • @Revelation1412.
      @Revelation1412. 22 дня назад +1

      😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 21 день назад +1

      @@gadyetheboss8738 mtafanikiwa kweli? Kashawashika ndevu 😅😅😅😅😅😅

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 22 дня назад +1

    Damu ya Yesu kila eneo la maisha yngu

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 23 дня назад +19

    Mariamu popote ulipo mtengue mwenzako hiko kitu ulicho mfanyia

  • @MohamediAthumani-ub8nn
    @MohamediAthumani-ub8nn 23 дня назад +4

    Mungu amwepushe na Hilo

  • @MCBTv-el3kh
    @MCBTv-el3kh 23 дня назад +5

    🤣Haongei wala kutikisika kamtaja vipi tena mariam. Millard imekaeje hii mkuu.......wew mtu muhimu bhana habari zako....iweke sawa hiyo

    • @hajraissa5089
      @hajraissa5089 22 дня назад

      Amekata kauli asubuhi ya siku yapili

  • @FatmahPwatati
    @FatmahPwatati 18 дней назад +1

    Lailah illah allah muhammad rasurullah,allah mwema atamxaidia

  • @NeemaSamweli-zo7zi
    @NeemaSamweli-zo7zi 22 дня назад

    Mmh hii Kali ya mwezi jomon 😂😂😂😂 Mariam jamn, sameh mana ujui nawe mungu amekupangia hukumu gani na Kwa njia gani ples letdwn 4hm

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 3 дня назад

    Enyi wakristo hamujielewi au ni upendo kwa Yesu umezid, unapokutwa na msiba matatizo majanga huzuni hata furaha wa kutajwa) ima kwa furaha au huzuni na wakuombwa msaada ni M. Mungu peke yake sio yesu lbrahim wala Daud wacheni mihemko isiyo na tija

  • @user-hj8rl8cn5u
    @user-hj8rl8cn5u 6 дней назад

    Kwahiyo we Mariam ni kipi hasa alichokufanya mwenzako mpaka ukaamua kufanya hivyo!

  • @moseschrislumole2496
    @moseschrislumole2496 23 дня назад +2

    Huyo meneja wa kampuni ya ulinzi...anavyotaja Maria nmekumbuka JUAKALI wazee hawa kina maria mkae nao mbali mtakuja kunishukuru😢

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 8 дней назад

    Apelekwe maombi hasa Ngurumo y upako atapona

  • @StimaOfficial
    @StimaOfficial 22 дня назад +1

    Anahitaji kupelekwa maombi sio tatzo la hospital hilo.
    Yupo Mungu afanyaye mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 23 дня назад +2

    Umejuaje Yuko kateshi Yale Yale MUNGU anawaona

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 22 дня назад

    Mwenyezi mungu nimwingi walmaa atapona inshallah

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o 17 дней назад +2

    Kama muna maji ya mwamposa mnywesheni na mpakeni mafuta

  • @bonifacejohn9373
    @bonifacejohn9373 23 дня назад +2

    Serekali itasaidia nini hapo… kila kitu serekali serekali… hii ujinga wetu utatutoka lini… huyo mtu mpelekeni kwenye maombi tu atapona hayo ni mapepo tu.. wala hajachanganyikiwa.. bali amechanganyiwa madawa tu…

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 23 дня назад +12

    Et kapigwa na kituy kizitoo duuh

    • @Mina.15
      @Mina.15 22 дня назад +1

      😂😂😂😂 mariam peponi haendi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 22 дня назад +1

      @@Mina.15 tutawatangulia wote , tuachwe tuko busy 😂😂😂😂😂

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 23 дня назад +6

    ODEMBA 😢😢😢😢MARIAM

    • @Officialshontz
      @Officialshontz 22 дня назад +1

      Mariam odemba aje😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 22 дня назад +2

      @@Officialshontz jamani tuacheni tuko kazini 😂😂😂😂😂😂😘

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 7 дней назад

    Tanzania kuna vituko

  • @razackadam-cj2bx
    @razackadam-cj2bx 9 дней назад

    haongei sasa kwann munasema anataja jina mariam sasa nani kachanganyikiwa hapo chapa viboko mutaona matokeo

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 17 дней назад +2

    Apelekwe hospitali kwanza jamani labda celebral malaria

  • @user-yq5uh1fr2p
    @user-yq5uh1fr2p 23 дня назад +20

    Dunia imefika mwisho mungu tusaidie

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 23 дня назад

      😢😢😢khaaaa isimame tuchukeee😢😢

    • @jassontv5366
      @jassontv5366 23 дня назад +1

      Koma wewe Dunia haiwezi fika mwisho kwa vitu vya kijinga wewe

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 22 дня назад

      Wala.aijafika.mwisho watu ndio tunafika..wisho.matukio haya yalikuwepo yapo tangu zamanj ila.tu zamani watu walikuwa wachache Sasa huvi watu tupo wengiii.. si ushirikina wala nn anaumwa huyo aikili zimemruka uenda Mahalia tu wampeke hospital na wamuimbee au uenda anatafuta kiki tu😂 Mungu atamsahidia wampeleke hospital Imani za kishirikia ndio zinatufanya kumchelewesha mtu hospital matokeo yke anazidi kuumia angepqta tiba mapema anapona

    • @dayana5513story
      @dayana5513story 22 дня назад +1

      imeniuma sana😢

  • @timopanga5286
    @timopanga5286 23 дня назад

    Wajina pole sana mungu akunasue kwenye mitego mibaya 😢😢

  • @eddynaingasian2813
    @eddynaingasian2813 7 дней назад

    Amtaja Mariamu kimoyomoyo ama ...umesema haongei😂😂

  • @user-nt4ov4gl2o
    @user-nt4ov4gl2o 22 дня назад +2

    akianani sikuizi akuna wanawake daa

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 23 дня назад +1

    muonee uruma huyo kaka mariam kama Amekukosea msamehe tu mkabidhi mungu kipenzi changu.

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 23 дня назад +1

    Umesema haongei, amemtajaje Mariam sasa

  • @DianaMaseke
    @DianaMaseke 16 дней назад

    Mleteni Dar es salaam kanisani .Ngomeni Kwa Kuhani Mussa Kila kitu kitajulikana hapo

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 23 дня назад +10

    Daaaa jamani walimwengu wabaya sana.Aliyemfanyia hivi yupo amekaa ametulia tu anafurahi.Kumb la torati 28:7 inasema Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako watakutokea kwa njia moja nao watakimbia mbele yako kwa njia Saba.Bwana Mungu akashughulike na aliye fanya Jambo hili kwa huyu kaka.

  • @PetronilaRaymond
    @PetronilaRaymond 22 дня назад

    Mungu amponye

  • @ashuumuhammad8269
    @ashuumuhammad8269 11 дней назад

    Pengine Maryam amefanyiwa jambo na huyo mkaka ndio akaona afanye hvoo
    Maryam msamehe tenaaa

  • @stevendavid8054
    @stevendavid8054 15 дней назад

    Kwa jina la Yesu naaribu uchawi

  • @justice607
    @justice607 22 дня назад +3

    Huyu jamaa nnaomba huyo ndugu yake amlete Kanisa la Vuka Yordani Kisongo waya kwa Askofu Elibariki Sumbe, atapona kabisa nakuendelea na shughuli zake

    • @Revelation1412.
      @Revelation1412. 22 дня назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂 Siyo kwamba wamuombee tu kwa JINA LA YESU KRISTO apone Lazima aje huko yordan

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 19 дней назад

      ​@@Revelation1412.Tangazo la biashara 😂😂😂😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 23 дня назад

    😂😂😂😂😂😂mwaka ushaanza kuchanganya ata kabla june😂😂😂tutaona mengi

  • @user-gs1xl8nu1s
    @user-gs1xl8nu1s 20 дней назад

    Jamni ndugu zangu tusisahau kama hizi ninyakati za mwisho ko chamuhimu ni kumuomba mungu peke yake

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 23 дня назад +3

    Mh manyara tena. Uchawi huo

  • @janemushi850
    @janemushi850 13 дней назад

    Ina maana hakuna waombaji hapo? Hii ni kesi ndogo sana kwa Yesu

  • @producercharlz2549
    @producercharlz2549 23 дня назад +1

    Sasa kama haongei kamtaja vp mariam

  • @user-iz3sl6ul7f
    @user-iz3sl6ul7f 16 дней назад

    Wewe dada mwogope mungu

  • @user-ub3er7zf9j
    @user-ub3er7zf9j 6 дней назад

    Mariamu akamatwe jamani

  • @JohariMagoha
    @JohariMagoha 12 дней назад

    Mariamu popote ulipo,chonde chonde.mwache huyu kijana

  • @mikaelchazi4616
    @mikaelchazi4616 23 дня назад

    Duh😢 hatari sana😢

  • @mithlaabdulrahim8566
    @mithlaabdulrahim8566 23 дня назад +1

    Ila mganga wa mamu aiseeee😅😅

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 23 дня назад

    Maryam jamanii imekuwaje tenaa baba wa watu 😂😂😂

  • @user-iz3sl6ul7f
    @user-iz3sl6ul7f 16 дней назад

    Mwogope mungu ww dada

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 22 дня назад +1

    wakina mariamu nao huwa wanashida jamani

  • @upendomtui6544
    @upendomtui6544 23 дня назад

    Waganga wameshafanya kazi ya boss wao babaa wa uongo

  • @Mineshrey
    @Mineshrey 6 дней назад

    Wamlaze jamani damu itaganda

  • @HappyNanotechnology-bz4cn
    @HappyNanotechnology-bz4cn 16 дней назад

    Niuchawi jamani ila liko Jina la Yesu linaponya

  • @MiriamSamuelke
    @MiriamSamuelke 16 дней назад

    He has been initiated to the dark world .aombewe

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa 22 дня назад

    Liwalo na liwe pesa Kwanza mengine NI mengineyo. Uwoga wako ndo unaskini wako. Maria Yuko kazini

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 22 дня назад +2

    Mariamu Tuoneshane Machaka Hayo😅😅😅

  • @SingoMedia
    @SingoMedia 23 дня назад

    Wa kwanza mimi leo ❤

  • @farajiajali3030
    @farajiajali3030 23 дня назад +6

    HAONGEI MARIAM KAMTAJA VIPI?

  • @EmJesho
    @EmJesho 14 дней назад

    Duuh kwao tabora mm nliskia tabora ni noma uchawi inje inje

  • @victorianganyagwa2467
    @victorianganyagwa2467 21 день назад

    Wanaume mmezd jmn kutumia wtt wa wt n kuwaacha cyo buree kbx Mariamu wwww Tunyoooshee Mtu iwe fundisho n kwa wanaume wengne mmezd me xjaon ht hrma akome tu Mariamu ppt ulipo chukuwa mauwa yako😂

  • @chimamilion
    @chimamilion 23 дня назад +1

    Mariam nae asingempa mwamvuli wanaume wanazd sana

  • @vero57
    @vero57 23 дня назад

    Lipa pesaa za watu , mariam ata kutegua , kheeee kazii kweli kweli

  • @timonmsuya3389
    @timonmsuya3389 12 дней назад

    Marium jini huyo

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r 13 дней назад

    Hio ni schizophrenia,dalili zake ni hizo mpelekeni hospital ya wagonjwa wa akili

  • @robertflorian9462
    @robertflorian9462 23 дня назад

    Eti ana kitambi kizuri

  • @shabanimshanga8863
    @shabanimshanga8863 23 дня назад +3

    ya ulimwengu mengi😊

  • @user-jb8bo2qw6r
    @user-jb8bo2qw6r 22 дня назад

    Wenye uwezo wa kimazingara bado wapo hadi leo wanaoweza kumtoa mtu ndani na kulaza nje bila kujijfahamu,

  • @user-ti6eg1qf6j
    @user-ti6eg1qf6j 9 дней назад

    Wacha mungu amukuze

  • @user-mu7ge1ky7u
    @user-mu7ge1ky7u 22 дня назад

    Mpelekeni Kwa pastor Tony kapola......ataombewa hio ni mapepo hayana uwezo

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 21 день назад

    Music Producers kazi tunayo 😂😂

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 12 дней назад

    Mariam acheni uchawi

  • @siamnyone8403
    @siamnyone8403 23 дня назад

    🤗🤗Tabora ....

  • @saidomary7930
    @saidomary7930 23 дня назад +1

    Ila Tanzania raha sana jmn😅

  • @martinemaganga5253
    @martinemaganga5253 23 дня назад +1

    huyo huenda alitembea na mke wa mtu au alimtapeli mwanamke

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 23 дня назад

    Ila hawa waganga hawa wanatutesa Sana dah akamwambia achukue na mwamvuli kbs😅😅😅

  • @SV_astro
    @SV_astro 23 дня назад +6

    Wale manabii wakowapi?! Waende huko

    • @CairoJames9
      @CairoJames9 23 дня назад

      Si ndo hapo...au tuwatag hapa wote😂😂

  • @user-pi8vf2vp3i
    @user-pi8vf2vp3i 9 дней назад

    Huyo yupo studio anatafuta jina 😂

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 23 дня назад +2

    mpigieni nabii dominik kiboko wawachawi nahuyo mariamu namganga wake wanakufaa

  • @user-jr3mo3je3k
    @user-jr3mo3je3k 19 дней назад +1

    Jaman MARIAMU nn umemfanyia huyu kijana

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 23 дня назад +6

    Mchapeni bakora muone kama hatonyanyua iyo miguu😂😂😂

  • @XxhamxyyxShhams
    @XxhamxyyxShhams 23 дня назад +2

    Apelekwe milembe

  • @salminabuhudhaifa4273
    @salminabuhudhaifa4273 22 дня назад

    hii si iliwahitokea arusha? mnazingua

  • @MiriamSamuelke
    @MiriamSamuelke 16 дней назад

    Life is spiritual

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i 22 дня назад

    Siku tano😢Subhannallah

  • @rogerabdallah439
    @rogerabdallah439 22 дня назад

    Uko Tanzania 🇹🇿 mimi sirudi ndio mambo gani yakugandishana ayo

  • @jerominalfonce9521
    @jerominalfonce9521 23 дня назад

    Hamna kitu 😂😂😂 hapo