tatuzo viongoz wa tanzania huwa hawajali baraka za inchini mwao wakaendekeza kwa faida ya inchi huyu mtoto masha allah kajaliwa sana Allah ambariki sana😘😘😘😘
@@gracemacha9357 serikali za afrika zimetuharibia maisha yetu na zinaendelea kutuharibia maisha yetu wazungu wamejitengenezea maisha wana serikali mzuri asilimia kubwa ya watoto wa kizungu wanaanza kufunguka akili wakiwa wadogo sana lakini afrika unaweza kukuta mtoto wa miaka mi5 bado ananyonya wakati mtoto wa kizungu wa miaka mi5 kaenda kuimba kwenye AMERICAN GOT TALENT huyo mtoto angekuwa kazaliwa mazingira poa anaonekana kazaliwa na akili za ziada
Kwa kweli roho wa bwana yu juu yake. Sio jambo la kawaida. Mwenyezi Mungu amlinde huyu mtoto mzuri. We love you gift. Youa are such a true gift from God
kwa kweli huyu mtoto kiboko yaan mimi ataa baathi ya mawaziri siwajui lakini huyu mtoto kama ana memory kichwani , for sure god bless you baby na mama pia mungu akubariki sana 🙏🙏
mashaAllah mashaAllah.... angekuwa muislam uyu mtoto na akapelekwa madrasa.. within two months angekuwa ameshahifadhi Msahafu mzima... Allah alinde na amuongoze
The child is really extra gifted. She should be supported by the government to have a decent life. She's a big gift for the country. God keep her to work for the church.
Duuuuu!!!! Na elimu yangu niliyonayo ya 4m4 hayo maswali yote siwwezi kuyajibu fasta hivo na mengine cyajui kabisa lakn mtoto mdogo mwenye miaka3 anajibu halaka na hakosei ata kdogo duuuuuuu!!! MUNGU amulinde kwakwweli nimependa❤❤ kipaji chake ana kitu atafika mbariii
Kipaji chake ni cha kipekee! Mungu atimize mapenzi yake njisi alivyo panga katika ulimwengu huu. Mama wewe pia unakipaji,maneno yako ni chache na ya nidhamu....Mungu akuongoze unapolea mtoto wako...Mungu alipangu uwe mamake na sababu zake...
I just love this sweet girl, she's God gifted, she's so very preety, can I adopt her, I ask the mother, I will adore and take exectent care of her education.
Hii ndiyo miujiza ya Mungu!! Utukufu kwa Mungu juu🙏🙏🙏
Akili za Mungu hazichunguziki...
narundia huyu mtoto alelewe kanisani
sanaaa Mungu ni Mungu tu
Hii ni maajabu Mungu amlinde huyu girl 😘😘afike mbali
Huyu kweli ni gift from god Mungu amtunze mtoto huyu kwa kipaji chake hongereni Mungu awabariki wazazi
Sío gog ni God
Genius girl, Mungu amlinde huyu mtoto na Wazazi wake pia Amen 🙏🙏
Hata Kama amefundishwa kusoma lakini Kwa umri huo ni Moto wa kuotea mbali maashallah mm mwenyewe sijui
Unipati Mimi yani na haya maisha yanavyo peleka kasi asimia 95% sijui chochote,hata aliyoyasema ukiniambia niludie nawajua wachache! Mungu mzur sana
😂😢😂😂😂😂😂😂
tatuzo viongoz wa tanzania huwa hawajali baraka za inchini mwao wakaendekeza kwa faida ya inchi huyu mtoto masha allah kajaliwa sana Allah ambariki sana😘😘😘😘
Namfunika Kwa damu ya Yesu huyu mtt Gift!
Ni mtumishi wa Bwana
Hakika Mungu kweli upo! Naomba Uzidi kuibariki familia hii siku zote za maisha yao
Nimemsikiliza hadi nimelia nimempenda sana huyu mtoto
Mungu amfunike kwa jina la Yesu
Maadui wasimuone
Na akafanikiwe
Mungu amtunze huyu mtoto
@@gracemacha9357 serikali za afrika zimetuharibia maisha yetu na zinaendelea kutuharibia maisha yetu wazungu wamejitengenezea maisha wana serikali mzuri asilimia kubwa ya watoto wa kizungu wanaanza kufunguka akili wakiwa wadogo sana lakini afrika unaweza kukuta mtoto wa miaka mi5 bado ananyonya wakati mtoto wa kizungu wa miaka mi5 kaenda kuimba kwenye AMERICAN GOT TALENT huyo mtoto angekuwa kazaliwa mazingira poa anaonekana kazaliwa na akili za ziada
Amen amen
Yesu azidii Kukutunza Kipenziii Ukue katika maadili Yanayompendeza Mungu
Na Kila Lililopangwa na Mungu likazidi kung'ara
Amen
😍🥰Safi sana mungu Ambariki sana huyu mtoto na wazazi wake pia"
May God cover this gifted child and protect her in Jesus name amen amen amen
Amen
Kwa kweli roho wa bwana yu juu yake. Sio jambo la kawaida. Mwenyezi Mungu amlinde huyu mtoto mzuri. We love you gift. Youa are such a true gift from God
Du..! IQ kubwa sana...! Mungu amsimamie huyu mtoto afike Mbali
kwa kweli huyu mtoto kiboko yaan mimi ataa baathi ya mawaziri siwajui lakini huyu mtoto kama ana memory kichwani , for sure god bless you baby na mama pia mungu akubariki sana
🙏🙏
mashaAllah mashaAllah.... angekuwa muislam uyu mtoto na akapelekwa madrasa.. within two months angekuwa ameshahifadhi Msahafu mzima... Allah alinde na amuongoze
Hakika mungu anauwezo,tunaomba amlinde daima
Inaonekana wewe m binafx Sana Sasa yuko katika kiristo Yesu na roho mtakatifu yundani yake
@@justinmkumbwa2330 Hamna ubinafsi pale mungu amfanye muislamu Ahifadhi quran takatifu najua baada ya hata wiki mbili atahifadhi
Kwan ata akiwa Mkristo akashika bibilia eeee Acha ndo mana akaitwa gift tafakar hilo neno
nakumbuka Mimi nilikuwa naweza nikiwa na Miaka Saba japo Kuna vitu nilikuwa nasahau but this child is brilliant
Mungu amkuze vyema binti uyu, aje awe mtu mashuhuri na mwenye mafanikio
Amina
Kweli ni wa miujiza SERIKALI ÌAMKE KWA WATOTO KAMA HAWA.TATIZO WIVU NA UBINAFSI.
Waaat kusema ukweli mi sijui marais wa nchi zingine......so amazing baby 🐥🍼 girl
Ukweli tu huyu mtoto nikipangwa naye kwenye mtihani na hii degree yangu ya mchongo ananitoa KO😂
Nmempenda Bure jaman huyu mtoto mungu amwepushe na watu wabaya hicho ni kipaji Cha kipekee🤗🤗🤗😍❤
Kwakweli Mungu aitwe Mungu, ongera sana Gift kwakukujaliya kipaji kikubwa kama hiki Mungu atukuzwe
AMAZING..!
GIVE ME THE CONTACTS OF THIS FAMILY PLEASE..
Why? I'm the bodyguard, are you dangerous or good?😂😂😂😂
Unbelievable I didn't expect this truly amazing
Amazing Angel. Her gift is rare. God bless her and give her a prosperous life.God bless her family.
Mungu ni mwema serikali kipaji muhimu hicho nimefurahi Mungu aendelee kumuinua
Huyu Mtoto ni genius mungu ampe uhai mrefu
Waooooooo Mungu amfikishe viwango vya juu mno yupo vizuri
Daaah aise acheni mungu aitwe mungu hongela gift
Wow ! Wonderful. May the God Almighty cover this Angel Gift with the Precious Blood of Jesus Christ🙏🙏🙏
The child is really extra gifted. She should be supported by the government to have a decent life. She's a big gift for the country. God keep her to work for the church.
Nimelia kwakweli...Mungu akubariki princesses
Mungu akubariki sana zawadi 🎁 au gift
Mimi mwenyewe sijui hata jaji mkuu anaitwa nan
Kwakwel tuungane 😂😂😂😂😂 Mimi hata sjui Tanzania inamaziwa mangap 😄😄😄😄😄
Kweli huyu ni mtoto wa Mungu. Mungu ni Mkuu Sana mtoto huyo Mungu amsimamie Sana katika maisha yake yote Duniani. Amina.
Duuuuu!!!! Na elimu yangu niliyonayo ya 4m4 hayo maswali yote siwwezi kuyajibu fasta hivo na mengine cyajui kabisa lakn mtoto mdogo mwenye miaka3 anajibu halaka na hakosei ata kdogo duuuuuuu!!! MUNGU amulinde kwakwweli nimependa❤❤ kipaji chake ana kitu atafika mbariii
Roho mtakatifu,mwalimu mkuu,akimkumbusha yote,Mungu amtunze na kumhifadhi!Azidi kukua ktk kimo na hekima akimpendeza Mungu na wanadamu!
Gifted from God 🙏🙏🙏🙏 Mungu ni mwema kila wakati
Ma shaa Allah tabaraka rahman
kuna haja kubwa amuone mama samia NA ikimpendeza zaidi mama amsomeshe shule please 🙏 ⭐❤💘
Mashallha Kwa furaha hadi😭 jmn ee mwenyezi mungu mlinde malaika huu
So wonderful She’s gifted.
Huyu mtoto akipata connection ya kufika bungeni maisha yake yatakuwa poa huyo DC ni mzembe
😂😂😂
Afanye mpango ampelekeee Bungeni
Yaani hata mimi mama mzima sitawwza haya yote ,Mungu awe na we mtoto 👏👏👏🙏🙏
mashaAllah mashaAllah mashaAllah husda zisikupate inshaAllah ukuwe mtoto mzuri mama yako alematunda inshaAllah 🥰
huyu mtoto anakipaji kweli kweli Mungu akamuinue zaidi na zaidi Congrats 👏 🙌 ♥
Gift from God🙏🙏🙏...
Mh jameni kweli mungu ni makubwa
Kwa uwezo wake mungu atakuwa doctor kweli, mungu ni mwema
Nimekupenda mno mtoto jaman mungu ukutunze ushangaze ulimwengu
Big up baby girl, ufike mbali pale ambapo Mungu amekusudia ufike
Wooooooooooooow ... may God protect this gifted soul 🥰
Hata Mimi wengine cwajui warah🙆
Mungu Asante Kwa uumbaji wako 🙏🙏🙏🙏🙏
Waoooo gift mungu akulinde na akufikishe mbali zaidi
Miracle baby
Mmmmh Mwenyezi Mungu anatisha sanaaaaa du
Sina cha kusema kitoshe kuelezea jambo hili. Mungu aitwe Mungu.
Kwa udogo wa umri na akili hawezi kariri mambo yote hayo, iyo ni MIRACLE
Hakika nikweli Kuna nguvu nyingine sio kipaji TU hapo
@@samwelsimon7392 kweli kabisaa
Lakini kumekuwa na watoto wa namna hii wenye miujiza, Iq kubwa, hivi hawa huwa wanaishia wapi. Sasa tunataka mwendelezo wa huyu mtoto
Hawa bana kadri anavyokuwa uwezo unapotea
@@cmantz8837 😅😅🤣
Kingine mfumo wa elimu yetu utamchelewesha..mpelekeni uko duniani.
Mungu uzidi kutendea miujiza huu mtoto ameeeen
Her eyes reveals presence of a spirit hence reason for her unique talent.
Hio ni kipawa cha Mungu
MashaaAllah Allah amrinde vyema
Mungu mtunze huyu mtoto Yesu mfunike hongera mama kwa bidii hiyo
She is without doubt a genie! Very blessed baby! She needs a professional guidance!
Mungu wa miungu mfunike mtoto huyo kwa damu yako Yesu Genius girl
Mungu akufunike mtoto mzuri waooo ukafanyike heri na baraka
Uhuru Kenyatta ,,,,, amazing baby gal ,,,more blessings
Kipaji chake ni cha kipekee!
Mungu atimize mapenzi yake njisi alivyo panga katika ulimwengu huu.
Mama wewe pia unakipaji,maneno yako ni chache na ya nidhamu....Mungu akuongoze unapolea mtoto wako...Mungu alipangu uwe mamake na sababu zake...
Amaizing🙏👏
This baby is surely genius 👏👏 mind blowing brilliantly 👏 😳 genius 👏 👌 amazingly 👏 👌
Machozi yamenitoka kutizama hii video,,, Mungu akujalie Gift.
Wow this is unbelievable my self i have 32 years but i can't manage all this God bless this little girl
Mungu akubariki gift akulinde ukue salama maadui wasikupate
Professor huyo 💯🥰🥰
Nimelia Kwa furaha, yaani huyu mtoto anaakili nyingi sana
Mungu amsimamie huyu mtot mashallah walah nimiujiza ya mungu yaani nizawad kubwa sanaa huyu mama kapewa na Allah
Asante YESU kwajili ya kumtumia huyu mtoto
Kabisaa
am a teacher bt amenichallenge God bless this girl
Aisee hongera sana gift safari..
Be blessed Gift....this is so wonderful,she knows more than I do....Mama this is a great blessing,itunze vyema...
Mashallah 🙏🙏🙏😍😍😍 Mungu amuongoze na azidishe uwezo wake uwe ni wenye kumnufaisha. Amin 🙏🙏🙏🤲🤲🤲
Maashalah Mwenyezi Mungu akuakuze . Mashalah
Wow sending blessings to this angel from Kenya 🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Aseeee , MUNGU amsimamie na njia ya mtoto huyu ikawe ya kheri katika maisha yake yote 🙏
I just love this sweet girl, she's God gifted, she's so very preety, can I adopt her, I ask the mother, I will adore and take exectent care of her education.
Kulikua na Baraka sijui kaishia wapi na huyu nae atapotea Yaani viongozi wakiwasaidia hawa watoto wanahisi kama nafasi zao watazichukua
Mungu ambariki na kumlinda mtoto huyu afikie ndoto zake
Waaaaah ooh my God. God is within us...this is amazing! Wonders of the world! Wueh! This child needs to be taken care of please.
Mashaallah Mwenyezi Mungu azidi kumuongoza Gift🥰🥰
Alooooooooh noma sanaa allah mlinde mtoto huyuu afikee mbalii sanaaaa inshaallah
Daaaah had najickia vzr mungu akutangulie mdogo wang 🌹❣💯❤
Watching from Kenya Love for you gift,,God bless you again
Mashaallah Gift, umejaaliwa umahitaji kutunzwa sana
Woooooooouuuh so amazing 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Shes so beautiful ❤❤❤ God bless her and her family 🙏👏
Mashallah mungu hatulindiye inshallah
Hongera baby Mungu akulinde na abariki familia
Hongera sana ukue katika imani
dadadadaaaaaaaaa, hatari sana,!!!!!! hongela sasa
Amazing!